ANNUUR 1212

download ANNUUR 1212

of 20

Transcript of ANNUUR 1212

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1212 RABBIUTH THAN 1437, IJUMAA , JANUARI 15-21, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Soma Uk. 20

    Asishikwe sharubu Jecha pekee

    Kiroja cha Saudia na

    Alqaida halali Vs haramWakata vichwa 47. Wadai magaidi

    Watumia Aya za Quran kujihami

    Turudi katika kauli ya Lukuvi KanisaniTusisahau na Sheikh Madevu wa Sitta

    Rose aonja jotola chuki za kidini

    Leo 2016 bado Muislamu ni mgeniKama walivyokuwa babu zao 1960s

    Major General Mansour Al-Turki, msemaji wa mambo yausalama, Wizara ya Mambo ya Ndani Saudi Arabia.

    MHE. Samwel Sita. MHE. William Lukuvi.

    Soma Uk. 9

    Shulezimefunguliwakasomesheni

    EDK - Jengo

    ANNUUR NEW.indd 1 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    2/20

    2 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Jina la kitabu cha Hadithi kilichokusanywa na Imam Malik kinaitwa:Muwaa, Bukhari, Riyadh Salihina. Jawabu: Muwaa2.Sahaba yupi aliotajwa kwa jina katika Quran? Jawabu: Zaid (bin) Harith3.Taja jina la mava ambalo wamezikwa Masahaba na ambalo hadi sasawanazikwa watu. Jawabu: Baqi4.Taja jina kati ya wake wa Mtume Muhammad (SAW) aliokuwa na umrimdogo na alikuwa sio mjane. Jawabu: Aisha5.Mtume Muhammad (SAW) alipohajiri kwenda Madina alikuwa na umrigani? Jawabu: 536.Mtume Muhammad (SAW) alipohajiri kwenda Madina aliishi Madina kwamiaka mingapi kabla ya kufariki? J awabu: 107.Shahidi wa mwanzo kuuwawa katika Uislamu alikuwa ni: Syd Hamza,Bibi Sumayah au Bilali (RA). Jawabu: Sumayah8.Mtumwa wa mwanzo kusilimu? Jawabu: Zaid9.Turat aliteremshiwa Mtume gani? Jawabu: Daud10.Nimrood aliishi katika zama za Mtume yupi? Jawabu: Ebrahim

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 34

    CHEMSHA BONGO: 35Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

    MASUALA1.Yataje majira manne ya Kiswahili, kwa kizungu Summer, Winter, Springna Autumn.2.Jee sauti inatembea kwa haraka kwenye: Maji, Hewa, Mtungi?3.Wakati wa kiangazi Mchana huwa. na usiku huwa?4.Wakati wa Kipupwe Mchana huwa . Na Usikuhuwa?5.Nyezo gani kuu inayosababisha kupatikana kwa misimu? Jua, Mwezi,Maji kujaa na kukupwa.6.Jee ni kweli kila Sayari duniani ina miongo sawa? Ndio, Sio.7.Dunia inaizunguka: Jua, Mwezi au Wenyewe?8.Sayari ipi iliokubwa koliko zote kati ya 9? Mars, Venus, Jupiter.9.Zitaje Sayari 9 kwa mpangilio kutokea kubwa hadi ilio ndogo.10.Jee Afrika ni Sayari, Bara au Nchi?

    1.Kuwa hakuna tafauti ya wakati baina ya Makka, Madina, Iraq na Afrikaya Masharik na baadhi ya sehemu za Urusi Tanzania ipo mbele kwa masa3 na nchi ya Uiengereza na ipo nyuma kwa Saa moja na nchi za Ghubana ipo mbele kwa Saa moja na nchi za Kusini mwa Afrika ?: hp://www.worldtimezone.com/ au hp://www.timeanddate.com/2.Fatwa zilitolewa kuwa tafsiri ya Quran isitafsiriwe kwa lugha mbalimbalihadi ilipoka mwaka wa 1000 ikiwa ni karne ya 11ndipo tafsiri za Qurankwa lugha mbalimbali ilianza kufanyiwa: http://moonsighting.com/faq_ms.html3.Katika ukanda wa Indo-Pak ilikuwa hairuhusiki kutumia vipaza sauti(loud speaker) kwenye kusalisha: hp://moonsighting.com/faq_ms.html4.Unajua fedha ilio kongwe duniani ikiwa bado inatumika ni Pound yaKiengereza ina umri ukao miaka 1,200 na ilianza kutumika katika miakaya 775 AD: hp://www.cmcmarkets.co.uk/en/blog/2015/07/06/worlds-oldest-currency-key-facts5.Mji wa Aleppo uliopo nchini Syria ndio mji mkongwe uliopo dunianihadi leo: hp://www.theguardian.com/cities/2015/feb/16/whats-the-oldest-city-in-the-world6.Crain of Barnenez ni moja kati ya jengo lililo kongwe kabisa dunianililisimamishwa sehemu hii kama ni mava katika mwaka wa 4,800 BC kablaya kuzaliwa Mtume Issa (AS): hp://10mosoday.com/10-oldest-buildings-in-the-world/7.Mtumbwi unaojulikana kwa jina la Dafuna ni mtumbwi ulio wa zamaniwa pili kukuwepo duniani ukiwa upo nchini Nigeria: hps://en.wikipedia.org/wiki/List_of_oldest_ships8.Kati ya Staarabu za kale duniani zinazonekana hadi hii leo duniani ni ileya Mapiramidi iliopo Misri: hp://www.ancienthistorylists.com/ancient-civilizations/10-oldest-ancient-civilizations-ever-existed/

    HAKIKA katikakuumbwa kwambingu na ardhi

    na kupishanakwa usiku namchana, panaalama nyingisana za uwezowa MwenyeziMungu kwawenye akili.[Aali-Imran 190]

    Unahesabiwamfano wa kukirihuku kwenyekuendea ni katikamapungufuyetu yaliyomuhimu. Kukirindio ambakokutaifanya upyaimani yetu nakutakakoihifadhiikiwa hai wakatiwote kamaunavyosisimkamwili pindilikimiminiwa juuyake tone la majibaridi ambalohaujalizoea.Hivyo hivyo nijuu yetu kutafutakatika kukiri nauchunguzi juuya kile ambachokitaifanyaimani yetuichangamke nakitakachotufanyatushuhudiekudhihiri kwamajina na sifaza mmiliki wahakika wa vitu

    Aali Imran 190na mwenye navyona mwenye

    kuathiri wa hakikakatika vitu hivyo.Tuzitumie sikuzilizobaki katikamaisha yetu, katikakutafuta radhi zaMwenyezi Mungumtukufu na katikamwangaza na kaziya kuchunguzahuku na kukiri.

    Isipokuwakuhisi na kusikiana kufahamuna kuifanyia

    tathmini roho namaana na sauti,na nafsi, na rangina mapambo, nalugha na shauku,ambayo, vyotevinaenea katikambingu na ardhi,na vilivyo kati yao kuyaelewa hayo hakuwi rahisikwa watu wote,bali kunadhihirikakuwa kuna hajaya kumhitajia

    mwenyekuyaelewa maanahaya na kupimakina chake katikarangi, na hukuuwiano katikasauti na muziki,kisha kulifanyiatathmini jambohilo, kupitiakikundi chawataalamu nawasomi katikawatu wenye akiliambao akili zao

    hazikuharibika,kwa sababuya makosa nakupondoka nahavikuharibikambele zao vipimokwa sababu yamapenzi ya nafsi.Tunawahitajiawenye akiliambao wanawezakupima kina

    cha mbingu naardhi, kwa sifa

    zake zote ambazotumetajwa kwazoeleweko la mahalina yale ambayokunayahitajiakuumbwa vilivyondani yakemiongoni mwavitu mbalimbali,katika kuelekeamatakwa na hiyarikatika pande zakezote kwa kuanziakatika msingiwa uwiano wa

    juu kwa ajili yakuka kupitianjia ya mantikina uchambuzina uundaji kwayule mwenyekusababishaaliyekamilika,na kwa mwenyeuwezo wenyekukamilikaambaye niMwenyezi Mungumtukufu.

    Kwa hakika

    imeumbwa rohoya kila mtu na akiliyake kwa sifa yakuwa anawezakuyafahamu hayana kuyaelewakwa maumbile,isipokuwavipingamizi,mifano yamajivuno nakuvuka mipakana kukosea katikakipembe chamtazamo, hayo

    yote yanazuiakuliona lengo kwasura ya wazi, nahata lau alikiliamtu kilele chaelimu, hawezikuepukana namaamuzi yenyemakosa muda wakuwa hakuwezakuepukana navipingamizi hivi.

    M A N S B D E Z S L D M I Z

    U L O A I A B A H U A U S A

    W A U L B R R I U T U S S I

    A M H E I S A D A K D S S D

    T U I H S A H I I U M A A H

    T B D T U H I Z B S H M A A

    A A R H M A M Z Y A U W I R

    53 Q I A A M A A E Y D E S I

    54 I S M Y Z A H M I U Z H T

    10 E A D H A D N E I Y I A H

    M P L U T O U N M M M U B K

    A N E P T U N E R A F R A K

    S S A T U R N D E J U A R I

    I M E R C U R Y F I P N A A

    K J U P I T E R U P I U J N

    A E A R T H V E N U S S U G

    J U P I T E R M A R S L A A

    M W E Z I E S I O N D I O Z

    D A K I K A 8 V J U A S O I

    K I P U P W E 1 3 4 V U L I

    ANNUUR NEW.indd 2 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    3/20

    3 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Habari

    JUMAMOSI mwishonimwa wiki, Vaticanilitangaza rasmi kuwa

    inalitambua taifa huru laPalestina.

    Viongozi wa Vaticanwametangaza kuwa,makubaliano ambayoyalitiwa saini mwishonimwa mwezi Juni mwakahuu baina ya Vaticanna Palestina, yataanzakutekelezwa kuanzia sikuhiyo ya Jumamosi.

    Aidha, viongozi wa Vaticanwametangaza kuwa wanaungamkono mazungumzo yautatuzi wa mgogoro uliopobaina ya Wapalestina naWazayuni kwa njia ya amani.

    Mwezi Mei mwaka janaPapa Francis alikutana mjiniRoma na Rais wa Mamlaka yaNdani ya Palestina, MahmoudAbbas.

    Hii ni katika hali ambayoutawala wa Kizayuniulionyesha masikitiko yakemakubwa kutokana na kutiwasaini makubaliano baina yaVatican na Palestina.

    Itafahamika kuwa,Vatican ni moja ya nchi 130ambazo tayari zimetangazakulitambua rasmi taifa hurula Palestina. Inaelezwa kuwa,mwishoni mwa mweziDesemba mwaka jana, Bunge

    la Ugiriki pia lililitambuataifa huru la Palestina baadaya kupigiwa kura ya ndiona wabunge wote katikamuswada huo.

    Kabla ya hapo mwaka2012, Umoja wa Mataifauliikubali Palestina kuwa nchimwangalizi. Miaka miwilibaadaye na katika hatuampya, jamii ya kimataifailitaka kutambuliwa taifa hurula Palestina ndani ya mipakaya mwaka 1967.

    Nchi kadhaa tayarizimelitambua taifa laPalestina. Kufuatia hali hiyo,tarehe 30 Septemba kwamara ya kwanza, bendera yaPalestina ikaweza kupepeakwenye osi ya Umoja waMataifa mjini New York,Marekani. Inaonekanakuwa, hatua ya Vaticanambayo ni kitovu chaKanisa Katoliki duniani yakuitambua Palestina kamataifa huru, ni pigo kubwakwa utawala wa Kizayuniwa Israel.

    Tangu Palestinailipotangazwa kuwa taifa

    Vatican yalitambua rasmi taifa huru la Palestina

    PAPA Francis

    huru na baadhi ya nchi,utawala wa Kizayuni kwakushirikiana na Marekaniumekuwa ukifanya njama zakimkakati kwa ajili ya kuzuiasuala hilo.

    Pamoja na hayo njama hizoziliambulia patupu ambapohadi sasa nchi 135 tayarizimetangaza rasmi kuitambuaPalestina kama nchi huru.Mabunge ya nchi kadhaaza Ulaya nayo yamelipaumuhimu wa kipee sualala kuundwa taifa huru laPalestina.

    Mabunge ya Sweden,

    Ufaransa, Uingereza, Ugiriki,Ubelgiji, Uhispania, Jamhuriya Ireland na Ureno tayariyametangaza rasmi kuitambuaPalestina kama taifa huru.Sweden ndio nchi ya kwanzamiongoni mwa nchi za Ulayakuitambua Palestina kamataifa huru.

    Hatua hiyo ya Mabunge yanchi za Ulaya inahesabiwakuwa ni harakati chanya yakisiasa katika kuinua nafasiya taifa huru la Palestina

    kwenye ngazi ya kimataifa.Aidha hatua ya Vatican

    ya kuitambua Palestina

    kama taifa huru nisuala linalofaa kupewaumuhimu zaidi, hasa kwakuzingatia kuwa, sualahilo licha ya kuonyeshakushindwa njama zavyombo vya habari vyautawala wa Kizayuni waIsrael na washirika wake,bado kadhia ya Palestinaimeendelea kupewaumuhimu wa hali ya juu najamii ya kimataifa, hususankwa nchi za Ulaya ambazoawali zilikuwa waungaji

    mkono wakubwa kwautawala huo pandikizi.

    Hivi sasa mbali na

    kukosolewa siasa zautawala wa Kizayunihususan hatua ya Tel Avivya kuendeleza ujenzi wavitongoji vya walowezi waKizayuni, kususiwa bidhaazinazozalishwa katika ardhiza Palestina zinazokaliwakwa mabavu, hususanUkingo wa Magharibi waMto Jordan na kutambuliwataifa huru la Palestina naMabunge ya nchi za Ulaya,ni mambo yaliyoifanyaIsrael kuhamaki.

    Inawatanganzia Waislam wote kuwa imeandaa safari ya Hijja mwaka2016 sawa na mwaka 1437 Hijria kwa Dola US$ 3,555

    Kutakuwa na punguzo la asilimia 16% kuanzia muda huu mpakaFeb 29/2016. Itakuwa Dola $2986 tu.

    Kuanzia mwezi Machi 01-2016 mpaka Juni 12-2016 kutakuwa napunguzo la asilimia 6% sawa na Dola $3,341 tu.

    MAMBO YATAKAYOGHARAMIWA1. Semina za Hija, 2. Huduma za afya na kuchinja 3.Airport

    Charge na ticket za Ndege 4.Nyumba Makkah na Madina5.Irham na Kuchinja kwa ajili ya Tama-tuu 6.Chakula wakatiwote 7.Usafri na ziara Makkah na Madina 8.Mahema Mina

    na Arafa.UMRA MWEZI WA RAMADHANI ITAKUWA NI DOLA US$1995

    Fomu zinapatikana sehemu zifuatazo:-1.Osi ya Ahlul Daawa Dar es Salaam Mtaa wa Dosi naMkadini nyumba Namba 26 mkabala na Showroom yamagari Tell. 0713 730 444, 0773 804 101 ,0785 930 444 au0773 930 444.2. Osi ya Ahlu Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777 484982, 0777 413 987.3. Abubakr Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es Salaam,Tel: 0784 453 8384. Abdallah Salehe Mazrui (Hoko) Dar es Salaam, Tel:0715 724 4445. Abdallah Hadh Mazrui, Wete Pemba Tel: 0777 482 6656. Mohammed Hadh Mazrui Mkoani Pemba 0777 456 9117. Sheikh Daud Khamis Shekha Tel: 0777 679 6928. Maalim Seif Humoud Hamed (Kijichi Zanzibar) 0777 417736WAHI KULIPIA1. Osi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Tel: 0713 730444,

    0773 804101,0785 930444.2. Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777

    484982, 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed (Kijichi Zanzibar) Tel: 0777417 736

    TANBIH(a) Atakaemaliza taratibu zote mwanzo ndie

    atakayeshughulikiwa mwanzo(b) Ili uwemo katika fungu la kwanza unatakiwa

    umalize taratibu zote kabla ya punguzo(c) Kumbuka kikundi cha Ahlul Daawa kwa bei nafuu

    kuliko wote na huduma kuliko wengi.Wabillah Tawq

    Ahlu Daawa Hajj and Travel Agency

    ANNUUR NEW.indd 3 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    4/20

    4 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Tahariri/Makala

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    KATIBU Mkuu wa Chamacha Wananchi CUF naaliyekuwa mgombea Uraiswa Zanzibar kupitia chamahicho na UKAWA, MaalimSeif Sharif Hamad, amesemakwa namna yeyote ile,chama chake hakipo tayarikukubali kurejewa uchaguzimkuu visiwani humo.

    M a a l i m S e i f a l i t o am s i m a m o h u o k a t i k amkutano na waandishi wahabari na wahariri katikaukumbi wa Serena Hotel,jijiniDar es Salaam Jumatatu wikihii.

    Maalim Seif , ambaye

    alikuwa Makamo wa Raiskatika serikali ya umoja waKitaifa Zanzibar, alikuwamgombea Urais kwa tiketiya CUF katika Uchaguziul iofanyika Oktoba 25mwaka jana, ambao ulifutwakatika hatua za mwisho naMwenyekiti wa Tume yaUchaguzi Zanzibar (ZEC)Jecha Salum Jecha Oktoba 28.

    Huku akinukuu vipengelekadhaa vya sheria katikaKatiba ya Zanzibar ya mwaka1984 na Sheria za uchaguziza Zanzibar katika mkutanohuo, Maalim Seif alielezakuwa hatua iliyochukuliwakufuta uchaguzi wa Oktoba25 haikuwa halal i kwamujibu wa rejea hizo mbili

    za kisheria.Msimamo wa MaalimSeif na CUF kwa ujumla nikwamba, Tume ya Uchaguziinatakiwa kuhitimishwa kwakukamilishwa kutangazwamatokeo katika maeneomachache ambayo yalisaliana mshindi atangazwe nahatimaye mshindi huyoaunde serikali ya umoja wakitaifa.

    Hata hivyo katika maelezoyake, Maalim Seif alionyeshaimani kuwa sulhu pekee yamkwamo wa kisiasa uliopoZanzibar kwa sasa, ni Raiswa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. John Magufuli,ambaye kwa nyakati tofautiamefanya mazungumzo na

    pande zote zinazovutana,yaani Dkt. Ali MohammedShein wa CCM na MaalimSeif Sharif Hamad wa CUFkatika Ikulu ya Dar es Salaam.

    Siku moja baada yaMaalim Seif kutoa msimamowake na CUF, na kutoamuhtasari wa vikao vyausuluhishi vinavyoendelea,tu l i s h u h u d i a Dk . A l iMohamed Shein, ambayeanaendelea kuwa Rais waZanzibar hadi sasa hatabaada ya kufutwa uchaguziwa Zanzibar, naye akitoamsimamo wake kuhusu

    Misimamo itakwamisha suluhu Zanzibarhatma ya ucjhaguzi waZanzibar.

    Aktoa hotuba yake katikasherehe za Mapinduzi yaZanzibar zilizofanyika katikauwanja wa Aman Jumanne yaJanuari 12, Dkt. Shein alitoamsimamo wake hadharani,ambao tunaamini pia kuwandio msimamo wa CCM,kwamba lazima UchaguziMkuu Zanzibar utarejewana kinachosubiriwa ni ZECkutangaza tu tarehe yakurejewa uchaguzi huo.

    Yeye alisema kuwa Tumeya Uchaguzi ndio yenyemamlaka kikatiba kuandaa,

    kusimamia na kutangazamshindi na kwamba, Tumehiyo ndiyo yenye mamlakaya kufuta uchaguzi paleinapoona kuna kasoro nakurejewa uchaguzi na sivinginevyo.

    Tukisikiliza kwa kina kilasentensi ya kila mmoja wao,yaani Dkt. Shein na MaalimSeif, tunapata jibu bila kuhitajiutati wa kina kwamba kilaupande una msimamo wakekatika mkwamo uliopo.

    Tunaona kwamba pamojana kufanyika vikao nanevya kutafuta suluhu kamaalivyosema Maalim Seifkwenye mkutano wake nawaandishi wa habari paleSerena, na hata wawili

    hao kwa nyakati tofautikuzungumza na Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania Dkt. John PombeMagufuli Ikulu ya Dar esSalaam, tunaona kwambamazungumzo yanayoendeleayamebaki kuwa nadharia yakiutaratibu tu katika kusakasuluhu. Lakini kimmantiki,hakuna dalili ya kupatikanati ja yeyote kwa pandehusika. Kinachoonekana nimisimamo ya waliohitilaanapamoja na vyama vyao, ndioimekuwa mazungumzoyenyewe.

    Tukumbuke kwambatayari imetimia miezi miwilina nusu tangu kufutwaUchaguzi Mkuu Zanzibar

    Oktoba 28, 2915. Wazanzibarindani na nje ya visiwa hivyona watanzania kwa ujumla,bado wapo katika mtanziko.

    Hata hivyo kujitokezaMaalim SeifSharif Hamadk ue l e z a a l i k o f i k i a n akilichokuwa kinaendelak a t i k a v i k a o v y a o n amatumiani yake, ni kamaamejinasua katika kitendawilicha ukimya kilichowatiaWazanzibar wasiwasi, ambaowalikuwa na hamu kubwa yakujua nini kinaendelea baadakuwepo mazungumzo katiyake na Dk. Shein.

    Lakini kwa kudhibirimisimamo ya pande hizombili licha ya kuwepo juhudiza suluhu, ni dalili kwambajuhu di na busara za akinaAmaan Abeid Karume, AliHassan Mwinyi zinaelekeakugonga mwamba.

    Ile hamu ya kuona serikali

    ya umoja wa kitaifa ikiendeleakuwaunganisha Wazanzibarimefunikwa na wingu jeusi.

    Tunaiona ile ndoto yakuwa na mamlaka kamiliikiyoyoma, tunaona upepomkali ukiinyemelea Zanzibar,wapo watakaofanikiwakubaki na wengine wanawezakuchukuliwa na dhoruba.

    Aidha kul ingana namisimamo iliyowekwa naviongozi hawa, hatudhaniRais Magufuli ataweza kufuadafu kuiondoa na hatimayesuluhu ya kweli kupatikana,

    hasa ikizingatiwa kwambaRais Shein katoa msimamowake na bila shaka wa chamachao (Shein na Rais Magufuli)mbele yake.

    Lakini pia tunaona RaisMagufuli hana nguvu katikasiasa za dola ya Zanzibar.Hatutarajii kama atakuwa

    na nguvu na uwezo wakuyeyusha msimamo waDkt. Shein na CCM kwaujumla.

    Katika mazingira haya,hatudhani kama msimamowa Maalim Seif (wa CUF),ambao ni wa upinzaniutakuwa na nafasi zaidiya ule wa Shein mbeleya Rais Magufuli katikamazungumzo yao ya kusakasuluhu.

    P a m o j a n a k w a m b aMaalim Seif kaonyeshakwamba nusura pekee kwa

    upande wake ni kwa RaisMagufuli kuingia kikamilifukatik a kusaka suluhu,lakini tunachukua fursa hiikushauri kwamba, iwapopande husika zitaendeleakushikilia misimamo yao navyama vyao badala ya maslahi

    ya ummah wa Zanzibar,ni kuitafutia Zanzibar naWazanzibar balaa kwa kosalisilokuwa lao.

    Ni vyema ikatizamwahaki kuliko dhulma natamaa za nafsi. Itizamwehatma ya maisha ya nduguzetu Wazanzibari, ambaobado wapo kizani. Hawajuimustakabali wa kisiasa wanchi yao.

    Tunasubiri kuona ummawa Wazanzibar ukipatiwahaki yao ya kidemokrasia.

    S H U K U R A N I z o t eanastahiki MwenyeziM u n g u , r e h e m a n aamani zimkie mjumbewa Mwenyezi Mungukipenzi chetu Mtume(s.a.w)

    A m a k w a h a k i k ahukumu ya kisheria nauwepesi wa kisheria,ni kuweka uwepesi wahukumu kwa namnaya kuchunga haja yaanayelazimika kisheriana uwezo wak e j uuya kutekeleza amri yaAllah s.w na kujitenga na

    makatazo yake na kujigawakatika madhehebu.M t u m e ( S . A . w )

    toka kwa Aisha (R.A)Amesema hajapatapokuchagua Mtume (S.A.W)kati ya mambo mawiliisipokua huchagua lilelililojepesi mno ambalosila madhambi na lilikuwala madhambi basi hukaanalo mbali na hajapatapokuiadhibu nafasi yakekatu isipokuwa atakeyekwenda kinyume na sheriahapo huadhibu kwa ajili ya

    Allah katu hatoiadhibu nafsi ya mtuIla kwa itakayekwenda kinyume na maamrisho yake

    Na Sheikh Abdusalam

    Mohamed Abdusalam

    Mwenyezi Mungu sahihiBukhari.

    K w a w a n a c h u o n ip a m o j a n a w a l ewanaofanya kazi za kutoafatua, kushikamana namfumo wa kufuata sheriaya ukati na kati ambazozinapima kati ya sheriathabiti na zile za kubadilika,hakuna kuvuka mipakana kupunguza basi watuwanaha j a k ubwa y akujenga muongozo wauwepesi na uadilifu katikafatua sheria ya Allah (S.W).

    Sayidina Ally Bin AbiiTwalib (R.A) anasema jeenikufahamisheni juu yasheria zote ni wale watuambao hawakati tamakwa rehema za MwenyeziMungu na wala hawafanyiwepesi katika kumuasiMwenyezi Mungu.

    Hakuna kheri kwamwanachuoni bila yakujua sheria fikhi nahakuna kheri juu ya qhiisiyo na ucha Munguwala kisomo kisicho namazingatio ndani yake nani wajibu kwa yule anayetoa fatua asinganganieyale yaliyo thibiti ndaniya dini katika kutatuamag omvi y a mamboyaliyotofautiana ambayoyamegawanyika makundimbali mbali.

    Kimadhehebu ambayoyanawatofautisha watuna kuwa sambaratisha nawala hayawakusanyi naumoja katika dini yetu niwajibu kwa wale wanaotoatafua kwa jitihada kwakutumia fedha na juhudizao katika kuhakikishaumoja ambao nifaradhi yakisheria na ni lazima juu ya

    kujenga dini yetu naumammoja kwa ujumla.

    Kama ilivyokuwa niwajibu kwa Mufti na walewanaotoa fatua kujisomeahabari mbali mbali katikanyanja tofauti sawa zikiwakwa upande wa siasa auza kijamii au za kiuchumipamoja na kupimia nakuchukua kwa dalili zahukumu ya kisheria inayonasibiana nayo kwa njiaya kuoanisha katika khiiya dini na ile ya ya sheria.

    Kiongozi huyo awe

    ameulizwa au hukuulizwak w a n i M u f t i k a m awalivyosema wanachuoniwetu wenye elimu ambaowal io m ri th i Mtum e(S.A.W) kwani huyoanakua naibu wa Mtumekatika kukisha hukumuza sheria zake kwa wafuasiwake.

    I k u m b u k w e k u w awanachuoni ni warithiwa Mitume kwani waowanakisha haki na walahawaogopi lawama zamwenye kulaumu.

    Amsema MwenyeziMungu wale ambaowanaofikisha ujumbe

    wa Mwenyezi Munguna wanamuogopa naw a l a h a w a m u o g o p iy e y o t e i s i p o k u w aMwenyezi Mungu nayatosha kwa MwenyeziMungu kuwa muhasibuamekuwepesisha fatuam aana y ak e , n i v i leMufti kutoa fatua kwakukusanya na kutofanyah a r a k a k u f u t a k w akutumia utashi wa nafsiyake au kuhalalisha yaliyoharam.

    ANNUUR NEW.indd 4 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    5/20

    5 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Habari za Kimataifa

    POLISI nchini Marekaniwamemtimua mwanamke waKiislamu aliyekuwa kavalia

    Hijabu, ambaye alikuwa katikamkutano wa kampeni uliokuwaukihutubiwa na Bw. DonaldTrump, anayewania nafasiya kugombea Urais nchinihumo kwa tiketi ya chama chaRepublican.

    Kwa mujibu wa Press TV,Rose Hamid, 56, siku ya Ijumaaalikuwa katika mkutano wakampeni wa Trump, kwalengo la kulalamikia hatua yamwanasiasa huyo tajiri kutoamatamshi yaliyo dhidi yawakimbizi Waislamu kutokaSyria.

    Trump alipomuona Bi.Hamid, aliwataka polisiwamtimue kutoka katikamkutano huo.

    Baada ya kutimuliwa katika

    mkutano huo wa kampeni, Bi.Hamid, alisema alika katikamkutano huo ili kuwaonyeshawashiriki taswira halisi yamwanamke wa Kiislamu.

    Aliongeza kuwa alisimamawakati wa mkutano huo, iliampe Trump na wafuasi wakefursa ya kumuona mwanamkealiyevalia Hijabu.

    Hata hivyo wafuasi wa Trumpwalimzingira na kumvunjiaheshima kama mwanamkeMuislamu.

    Kufuatia hujuma za kigaidiza Paris, Ufaransa na SanBernardino Marekani, Trumpalitaka Waislamu wasiruhusiwekukanyaga ardhi ya Marekani.

    Msimamo huo mkali waTrump amesababisha kuibuka

    wimbi jipya la chuki dhidi yaUislamu Marekani.

    Atimuliwa mkutanoni kwa kuvaa Hijabu

    JESHI la Walinzi waMapinduzi ya Kiislamunchini Iran limezinduamji wa pili wa kijeshi wamakombora katika haailiyohudhuriwa na Spikawa Majlisi ya Ushauri ya

    Iran yazindua mji wa makomboraKiislamu, Bunge la Iran, AliLarijani

    Mji huo umezinduliwaikiwa ni miezi mitatu tubaada ya kuzinduliwa mjimwingine wa kijeshi wamakombora nchini humo.

    Katika mji huo ulio chini yaardhi, kuna makombora yaaina mbalimbali likiwemokombora jipya zaidi labalistiki la Emad, lenye uwezowa kulenga shabaha umbaliwa kilomita 1,700.

    Jeshi la Walinzi waMapinduzi ya Kiislamulimetangaza kuwa linamaghala makubwa yamakombora katika mijikadhaa ya Iran na kwamba,adui hawezi kubaini yalipomaghala hayo.

    Meja Jenerali Amir-AliHajizadeh, Kamanda waKitengo cha Anga cha Jeshila Walinzi wa Mapinduziya Kiislamu, alisema vituovya makombora ya Iranviko umbali wa mita 500chini ya ardhi na viko tayarikukabiliana na tishio lamaadui. Irib.

    WAZIRI Mkuu wa SlovakiaRobert Fico, amefafanuakwamba jamii mchanganyikokatika Ulaya sasa ni sualalililoshindwa na kwamba,Serikali ya nchi hiyohaitawavumilia tena jamii ya

    Waislamu nchini Slovakia.Tukio la kushambuliwa

    Slovakia haitaki Waislamuwanawake mjini Cologne wakatiwa mkesha wa mwaka mpya,limesababisha mataifa mengi

    jirani ya Ujerumani ambayoyalikuwa yanapinga kwa nguvuzote kuingia kwa wakimbizi

    barani Ulaya, kupata sababu

    ya kuhalalisha msimamo waohuo. Mataifa hayo ni pamoja na

    Slovakia na Poland.Slovakia imetangaza kwamba

    haitachukua tena mkimbiziambaye ni Muislamu, halikadhalika na Poland.

    Waziri Robert Fico,amethibitisha kwamba anajisikia

    yuko sahihi katika msimamowake. Alisema mtazamo wakemkali kuhusiana na sera zawakimbizi na watu wanaoombahifadhi ni sahihi kabisa. WaziriMkuu huyo wa Slovakia alisema

    baada ya matukio mjini Colognehakuna tena njia nyingine.

    "Hatutaki kitokee kitu kamakilichotokea mjini Colognenchini Slovakia. Kwamba mtuanayeendesha maisha yaketofauti kabisa na sisi, anakirianaweza kuwadhalilishawanawake wetu hadharani."Alifafanua.

    Chama kinachotawala nchiniSlovakia cha Social Democratickimesema kuwa ni makosamakubwa kudhania kwambawakimbizi ambao ni wa dininyingine wanaweza kujumuikakirahisi na kwamba, utamaduniwa ukarimu wa kuwakaribishawatu katika bara la Ulayaumekufa.

    "Serikali ya Slovakia inahakika kwamba , kira za kuwana Ulaya yenye mchanganyikowa tamaduni haiwezekani.Ni suala la kukirika tu.Haiwezekani katika hali halisi."Alieleza zaidi Waziri Mkuuhuyo.KOMBORA la balistiki la Emad.

    Bw. Donald Trump.Rose Hamid

    ANNUUR NEW.indd 5 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    6/20

    6 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Hoja ya Juma Kilaghai

    LISHE ni jumla ya vitu vyotetunavyovila na kuvinywakwa minajili ya kuupatia

    mwili nishati, kuukarabatina kuwezesha ukuaji. Lishetunayokula na kunywahugawa maligha kwa miiliyetu na kukisha ujumbeunaoiwezesha miili hiyokufanya kazi kwa ufanisi. Kamaujumbe utakaotolewa siyosahihi, basi mifumo yetu yaujenzi na uvunjifu wa kemikalimwilini (metabolic processes)haitafanya kazi kwa usahihina hali hii itapelekea afya zetukuyumba.

    Kwa mfano, iwapo tunakulachakula kingi kuliko mahitajiyetu, au chakula tunachokulakinatoa maelekezo yasiyosahihi kwa miili yetu, tunaweza

    tukajikuta tunakabiliwa namatatizo ya kiafya kamaongezeko kubwa sana la uzito,kukonda sana, na kukumbwa namagonjwa kama vile kisukari,shinikizo la damu, maumivu yaviungo, kiharusi na moyo.

    Kwa kifupi ni kwambakila tunachokula na kunywakinaathiri afya zetu, iwe ni kwaheri au kwa shari.

    Ni Kitu Gani Lishe InafanyaNdani Ya Miili Yetu?Viini-lishe (nutrients) vilivyoko

    kwenye chakula huwezeshaseli za miili yetu kutekelezamajukumu yake. Viini-lishe nivirutubisho vilivyoko kwenyechakula ambavyo ni vya lazima

    kwa ajili ya ukuaji, kudumishauhai, na kuwezesha mifumo yamwili kufanya kazi kwa weledi.Kauli ni vya lazima maanayake ni kuwa kama kiini-lishehakipo, au kipo kidogo kulikoinavyotakiwa, basi utendaji wamwili unaohusiana na kiini lishehicho utadhurika, na kudhurikahuku kutaambatana nakutetereka kwa afya. Upungufuendelevu wa viini lishe ambaohaukidhi mahitaji yaliyoainishwana shughuli za seli, hupelekeakupungua kwa kasi ya mchakatowa ujenzi na uvunjifu wakemikali ndani ya mwili, nawakati mwingine kusimamakabisa.

    Tunapozungumzia upungufuhapa tunatazama upandemmoja tu wa shilingi. Vipi kamakiini-lishe kimezidi? Ukweliwa mambo ni kwamba ziadaendelevu ya viini lishe ambayoni juu ya mahitaji yaliyoainishwana shughuli za seli, hupelekeakuya-sumu mazingira ya selihusika, na matokeo yake ni yaleyale ya kupungua kwa kasi yamchakato wa ujenzi na uvunjifuwa kemikali ndani ya mwili,wakati mwingine kusimamakabisa, au kubadilisha mwelekeona kufanya kitu ambacho

    Lishe na athari zake katika siha

    hakikukusudiwa.Kwa maneno mengine ni

    kwamba viini lishe kwenye

    chakula, kulingana na uwingi naubora wake, hutoa maelekezokwa miili yetu ya jinsi yakuyaendea majukumu yake.

    Kuna haja ya kujali?Viini lishe vilivyoko katika

    chakula chetu vinatakiwakuipa miili yetu maligha namaelekezo yanayohitajiwana miili hiyo ili ifanye kazikwa weledi. Tatizo ni kwambavyakula tunavyokula siyo kilamara vina uwezo wa kuipamiili yetu hiyo maligha nataarifa zinazohitajika. Pamojana kwamba siye wote tunajuakuwa tunahitaji tupate lisheiliyo kamili, kwa maana yaviini-lishe vikiwa katika uwiano

    unaotakiwa, ni wachache tutunaojua maana halisi ya uwianounaokusudiwa. Kwa wengi wetuujuzi wa suala hili unaishia kwakile ambacho tulifundishwashuleni kuwa lishe bora ni ileinayojumuisha vyakula vyakujenga mwili, vyakula vyakuongeza nguvu mwilini, navyakula vya kulinda mwili.Katika masuala ya lishe huu niujuzi kidogo mno, na pengineambao hausaidii sana. Hii nikutokana na ukweli kuwa:

    1) Miili yetu inatofautiana

    katika jinsi inavyochakatachakula. Hii ina maana kuwachakula bora kwa mtu mmoja

    kinaweza kuwa sumubaridi kwa mtu mwingine.Sayansi ya leo inabainishakuwa watu wamegawanyikakatika makundi makuumatatu ya uchakataji chakula.Makundi haya ni KUNDI LAWACHAKATI WA PROTINI(Protein Type); KUNDI LAWACHAKATAJI WA WANGA(Carbohydrate Type); na KUNDILA KATI NA KATI (MixedType). Hii ina maana kuwamchakataji wa protini hudhurikaiwapo atakuwa ni mlaji mkubwawa vyakula vya wanga, na hivyohivyo mchakataji wa wangaiwapo atakuwa ni mbugiajimzuri wa vyakula vya protini.

    2) Katika ubora wa chakulakuna tofauti kubwa sana katiya chakula kilichochakatwa(processed) na kile ambachohakijachakatwa. Vyakula vingivilivyochakatwa hupungukiwana kiasi kikubwa cha viambata,ambavyo ni viini-lishe muhimuna huku vingine vikizidi sana.Chukua kwa mfano tofauti katiya unga wa dona unaotokanana mahindi na ule wa sembeunaotokana na mahindihayohayo. Ukilinganisha nadona, unga mweupe (sembe)

    unakuwa umepoteza 98% yamadini ya chromium; 78% yamadini ya zinki; na 86% yamadini ya manganese. Wakatihuo huo kiasi cha sukarikwenye sembe kinakuwakimeongezeka kwa wastani wa36%! Nini uhusiano wa takwimuhizi na siha? Miongoni mwamadini yanayompunguziamtu uwezekano wa kupatakisukari cha ukubwani nimadini ya chromium. Watatiwanatuambia kuwa madini hayahupunguza uwezekano wa seliza mwili kujenga usugu dhidi yahomoni ya insulin inayozalishwana kongosho (insulin resistance).Wakati huohuo chanzo kikubwacha kisukari cha ukubwani nikongosho kuchoka kutokana nakila saa kulazimika kuzalisha

    homoni ya insulin kutokanana viwango vikubwa vyasukari vinavyokuwa kwenyedamu kama matokeo ya ulajiwa vyakula vyenye kiwangokikubwa cha sukari. Hii inamaana kuwa kila unapokulasembe siyo tu kwambaunaongeza uwezekano wa selizako za mwili kujenga usugudhidi ya insulin, lakini piaunachochea kongosho lakokuchoka na kuacha kuzalishainsulin ya kutosha. Matokeo ninini? Ugonjwa wa kisukari!

    Ukiondoa madini, viini lishemuhimu vingine vinavyopoteakutokana na kuchakatachakula ni nyuzi lishe (bers)

    na vimengenyo. Pamoja namadini, vimengenyo ni muhimusana kama vichocheo muhimuvya michakato mbalimbali yakikemia (chemical reactions)inayoendelea mwilini. Kwaupande wake, nyuzi lishe nimuhimu sana katika kutusaidiakujisikia shibe na hivyokutupunguzia kiwango chawanga mtupu unaoingia mwilinimwetu. Aidha nyuzi hizi piahusaidia sana kupunguzakasi ya ufyonzwaji wa sukari(glucose) kutoka katika utumbona kuiingiza katika mfumo wadamu. (Hii ni moja ya sababukuu zinazomfanya mgonjwawa kisukari anufaike sana navyakula gha ukilinganisha navile vilivyochakatwa).

    Faida nyingine ya nyuzi hizini kusaidia sana kurahisishamchakato wa kutoa uchafutumboni. Kwanza nyuzi hizizinashikilia kiasi kikubwa chamaji ambayo husaidia sanakulainisha njia ya haja kupita.Pili husaidia sana kuboreshana kuimarisha mwondoko wamisuli ya ndani ya utumbomkubwa (bowel movement),unaosababisha haja itembee kwawepesi kuelekea katika tundu la

    Inaendelea Uk. 14

    ANNUUR NEW.indd 6 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    7/20

    7 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Makala

    Inaendelea Uk. 14

    MMOMONYOKO wa maadilikatika jamii limekuwani tatizo kubwa katikamataifa mbalimbali duniani.Malezi mabovu, ulevi,uzinzi, utoaji mimba, uhuruuliopitiliza uliobatizwa jinazuri la demokrasia, kutupamafundisho ya dini, yotehaya yamekuwa chanzokikubwa cha kuharibika jamiina kusababisha madharamakubwa katika maisha yamwanadamu wa sasa.

    Hayo ni baadhi tu ya sababuza msingi zimekuwa chanzo chakuharibika wanafamilia na jamiikwa ujumla. Pamoja na sababuhizi kuwa wazi, bado watuwameendelea kuzikumbatia,huku wakiona kuwa ni stailiya maisha ya kisasa. Imekamahali siku hizi, kijana kamahanywi pombe, hana raki wakike au wa kiume, anaonekanakama mtu wa karne ya ujima,

    hajaelimika, mshamba naasiyekwenda na wakati.

    Pamoja na kwamba nimetajasababu hizo za msingi zakuporomoka maadili katika

    jamii yetu, leo nitatupia jichosababu ambayo imekuwakichocheo muhimu katikakuharibika kimaadili familia au

    jamii yetu. Ulevi.Surat al-Maida aya ya 90-91

    inasema kwamba: "Enyi mlioamini! Bila ya shaka ulevi, nakamari, na kuabudu masanamu,na kupiga ramli, ni uchafukatika kazi ya Shetani. Basi

    jiepusheni navyo, ili mpatekufanikiwa. Hakika Shet'anianataka kutia kati yenu uadui

    na chuki kwa ulevi na kamari,na akuzuieni kumkumbukaMwenyezi Mungu na kusali."

    Kinywaji aina yeyote ambachokinaweza kumbadilisha mtuakili, kiwe kidogo au kingi niharamu. Wataalamu wa masualaya tiba wanaamini kwamba,kuna jumla ya magonjwa 60yanayosababishwa na unywajiwa pombe. Aidha kuna madharayanayopatikana kutokanana matendo ya mlevi kamamfarakano katika familia,matusi, vitendo vya aibu,majeraha nk. Baadhi ya athariza magonjwa ya mwilini nikama maambukizi ya ugonjwawa ukimwi, unene kupita kiasi,

    utapiamlo, mimba kuharibika,kisukari, msukumo wa damu wakasi (BP) nk.

    Ulevi umezidi kujikitakatika maisha yetu ya kilasiku licha ya kubainika atharizake mbaya katika familia na

    jamii kwa ujumla. Kwa mujibuwa mafundisho ya Kiislamu,pombe au ulevi ujumlaumeharamishwa. Lakini piaimebainika madhara makubwaya ulevi kiafya achilia mbalikuwa chanzo cha ushawishi wakufanya maovu na kusababishamadhara kwa wengine.

    Ulevi unatumalizaNa Shaban Rajab

    Siku hizi mwanadamuamepiga hatua kubwa kielimuna kiufahamu katika kukabilianana maisha yake hapa dunianina kuyakidhi hasa katikayale ya msingi katika maisha.Hata hivyo mwanadamu piaanaandamwa na kukabiliwana vikwazo vingi katika njiayake ya kukia maisha salama.Wataalamu wa masuala yakisaikolojia wanasema kuwa,moja kati ya sifa muhimu ya

    ulimwengu wa leo, ni watukuwa mbali na masuala yakiimani na maadili. Anachojali

    binadamu wa sasa ni kupatamahitaji yake ya kimaisha tu nakustarehe.

    Suala la mmomonyoko wamaadili limekuwa ugonjwamkubwa sana katika nchizilizoendelea kiasi chakuwafanya baadhi ya watukukata tamaa ya kuendeleakuishi. Hata hivyo suala la utovuwa maadili na mmomonyokowa maadili haliishi tu katika

    jamii za ulimwengu wa

    Magharibi. Ugonjwa umeeneahadi katika nchi zinazoendeleakama hapa kwetu Tanzaniahususan kwa mtindio wa kuigawalioendelea. Ulevi ni moja yamambo yanayochangia kwakiasi kikubwa sana kuporomokamisingi ya maadili katikafamilia. Taasisi moja ya utatiya Kimarekani imeandika katikamakala moja kwamba, utumiajikileo, madhara na matokeo yakehupelekea kuongezeka kwa

    vitendo vya utumiaji mabavu,ubakaji na hata kukithiri ajaliambazo husababisha mauajihususan baina ya vijana.

    Hii leo tunashuhudiakiwango kikubwa cha mauajikwa kutumia bunduki nchiniMarekani. inatokana na kushukakwa umri wa watumiaji ulevi.Imekia hatua hata Rais BarackObama kupendekeza kuwekwasheria ya kudhibiti umiliki wasilaha nchini humo. Hata hivyopendekezo lake limekuwalikipingwa na Maseneta wengi,

    jambo ambalo limekuwa kama

    kikwazo mojawapo katikautawala wake.

    Ni jambo la kawaida katikajamii za nchi za Magharibiwazazi kuwafundisha nakuwapa watoto wao wadogovinywaji vyenye ulevi kamasehemu chakula. Wanasayansiwanaeleza kuwa madharaya kutumia ulevi huwa naathari katika ukuaji wa mtotokimwili na kikra na hivyokukabiliwa na hatari kubwa.Ulevi una madhara mengiambayo si rahisi kuyataja yote.Tati nyingi zimethibitishamadhara ya pombe au kileo kwamwanadamu. Madhara hayayanathibitisha pia utukufu washeria ya Kiislamu inayokatazapombe pale ilipoliharamishasuala hili. Athari ya kwanza nahatari zaidi kwa Muislamu niathari katika imani.

    Athari ya pili ya ulevi ni kwamtumiaji mwenyewe. Pombe,kilevi au kileo kina madharamakubwa ya kimwili kwa kila

    sehemu ya mwili wa mnywajina kina sumu inayoathirimoja kwa moja katika mfumomzima wa mwili. Wapo watuambao ni shida kupata ganzipale wanapohitajika kupatiwamatibabu yanayohitaji dawaza ganzi, kutokana na kutumiakilevi. Pombe na baadhi ya vileohuwa na mada inayojulikanakwa jina la alkoholi, ambayohuwa na sifa ya kulewesha nakudhoosha. Humfanya mtukuwa zezeta na mzembe kwamuda.

    Kinyume na wanavyodhanibaadhi ya watu, utumiajiulevi hauimarishi viungo vyamwili na kusahau matatizo au

    kuondoa msongo wa mawazo,bali athari yake ya kuleweshahudhoosha mwili pamoja nakupunguza umakini katikakufanya kazi mbalimbali hasazinazohitajia akili na kukiri.Ulevi umethibika kuwa unamadhara katika chembechembe za mfumo wa ngozi nakwenye viungo vinavyohusikana utengenezaji wa nishati.Inaelezwa kuwa viungo hivihupoteza uwezo wa kufanyakazi simama, viungo ambavyovinapoteza uwezo wakewa kufanya kazi ndani kwakutumia ulevi. Ulevi unadhuruhususan moyo ambao baadaya muda unabadilika. Hali hiihusababisha kushuka mapigoya moyo na hatimaye kifo. Uleviunaongeza sana uzalishwajiwa sukari mwilini, jamboambalo ni hatari kwa afya yamwanadamu. Ulevi humfanyamlevi hukosa haya na hatakumfanya kusema na kufanyamambo ambayo akiwa hajalewahawezi kuyafanya. Hii ni tofautina wanavyodhani watumiajiwa vileo kwamba ulevi humpamtu nguvu na ujasiri. Hakika nikwamba vitendo anavyovifanya

    AJALI nyingi ni matokeo ya ulevi wa madereva.

    ASKARI wa usalama barabarani akimpima dereva kamaamekunywa pombe.

    ANNUUR NEW.indd 7 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    8/20

    8 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Habari

    Msimshike sharubu Jecha

    rudini kwa Lukuvi Kanisani

    MJADALA wa viziwi wasiojualugha ya alama una ugumuwake. Mmoja analalamikaakisema, joto limezidi,natamani hata kuvua shati.

    Kwa kweli ile biriyani yajana ilikuwa tamu sana, mpishi

    wake nadhani katoka Mascut.Anajibu mwenzake. Nini? Kwasababu hakusikia wala kuelewaalichosema mwenzake.

    Hii ndiyo sura inayojitokezakatika yanayodaiwa kuwamazungumzo yanayoendeleaZanzibar na mjadala mzimawa mkwamo wa kisiasa katikavisiwa hivyo. Katika pandembili zinazokinzana, kila mmojaanasema lake linalompendeza

    bila kujali hoja za mwinginewala bila kuweka maswali yamsingi na kuyatizama pamoja.Ukisikiliza aliyosema MaalimSeif Shari Hamad na yale yaRais Dr. Shein juu ya msimamowa CCM, mtu unajiuliza, kwamuda wote huo, tunaambiwavikao sita, nini kilichokuwakinazungumzwa, iwapo hakunahata moja wanaloongea lughamoja?

    Yawezekana wapoWazanzibari ambao bado wanatamaa kuwa ipo siku MaalimSeif Shari Hamad atatangazwana kuapishwa kuwa Rais waZanzibar na Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi. Haondio wanaamini pia kwamba,Mheshimiwa Rais JPManashughulika na ipo sikuatatumbua jipu la Jecha kishaMaalim atangazwe!!! Lakini piawanatamaa kubwa kwamba hatakama jipu la Jecha litamshindaMheshimiwa JPM, basi ipo

    jumuiya ya Kimataifa ambayoitaingilia kati na kumpa hakiyake Maalim.

    Binafsi sitaki kurejeakatika msemo wa wenyeweWazanzibari , Yaguju! Lakininataka tutafakari kwa pamoja.Ukitaka kuyaelewa haya ya

    Jecha Salum Jecha na kauliya Rais Shein katika shereheza mapinduzi Jumanne,rudi katika mzizi wa jambo.Rudi katika yale yaliyotokeakupindua Katiba iliyotokanana maoni ya wananchi,kama yalivyokusanywa naWaziri Mkuu na Jaji Mstaafu,Mzee Joseph Sinde Warioba.Wazanzibar/Wananchi walitakaMuungano wa Serikali Tatu(wengine Mkataba na MamlakaKamili) na mpaka leo ndiokilio chao. Lakini Muswada ule

    ulitupiliwa kwa mbali, ukajamjadala mpya kabisa kiasi chakushutumiwa Tume ya Wariobana kuonekana kama wasalitifulani hivi.

    Labda tujiulize, lile la Katibalina tofauti gani na haya ya

    Jecha ya Uchaguzi Mkuu?Mapendekezo yaliyosomwana Mzee Warioba Bungeni, niya Serikali kwa sababu Tumeilikuwa ya Rais na mapendekezoyao waliyakabidhi serikalinindio yakapelekwa Bungeni.

    Leo Rais Shein anatambakuwa yeye ni Rais halali kwamujibu wa Katiba. Na anaongeza

    Msisahau na Sheikh madevu wa Sitta

    Tatizo si Shein kumpisha Maalim Seif

    Na Omar Msangi

    kusema kuwa kufutwa uchaguziilikuwa kwa mujibu wa sheriana hivyo hata kurejewa uchaguzini kwa mujibu wa sheria. Watuwa CUF na wengine wenyekufuatilia mambo haya kwamujibu wa Sheria na Katiba yaZanzibar, wanasema hapana.

    Hapa utaona kuwa ni yaleyale ya wajumbe wa Tumeya Jaji Warioba walivyokuwawakitetea na kusema kuwawalikuwa wamewasilisha maoniya wananchi, kujali masilahiya nchi na mustakbali mwemawa muungano. Waliokujakuyapindua nao walidai kuwawanatetea maoni, matakwa namasilahi ya wananchi.

    Mtu pekee aliyekujakuwa mkweli na kufumbuafumbo la Katiba ya UKAWAna Mapinduzi ya CCM, niMheshimiwa William Lukuvi.Pengine kwa kuona kuwaMaaskofu, Mapadiri na wauminiwenzake hawatalielewa fumbolile na hivyo kudandia Bogila kutaka serikali tatu, ilibidiawe muwazi. Alisema hofu niUislamu. Muungano wa SerikaliTatu, utaifanya Zanzibar kuwahuru zaidi na hivyo ni hatarikwa Waislamu kuchukua nchina kuleta hatari ya ugaidi mpakaBara. Hilo akalirudia aliyekuwaMwenyekiti wa BungeMaalum la Katiba, SamwelSia alipokuwa akiongeana Watanzania wanaoishiUingereza alipotakiwa kuelezakwa nini walipindua Katiba yaWananchi. Pamoja na maelezoyake mengi ya kuzunguka, lakini

    mwisho akawataka Watanzaniawale wajiulize, iwapo wangetakakuona Zanzibar inayotawaliwana Sheikh mwenye madevu nakilemba? Hawaoni hatari yake?

    Huu ndio msingi wamapinduzi ya Jecha katikauchaguzi, akaufutilia kwa mbali.

    Mengine ni porojo tu. Ndiomaana yanachukua sura yamdahalo wa viziwi.

    Labda kama alivyofanyaMheshimiwa Lukuvi, tulifafanuehili. CUF ni UKAWA. UKAWAndio wanataka Muungano waSerikali Tatu, kuwapa nchi,ni kutafuta Shari na hatarialiyoizungumzia MheshimiwaWilliam Lukuvi. Kwa hiyo, hojainayosimama hapa ni ya Dr.Shein. Kwamba lazima uchaguziurudiwe na kuhakikisha kuwaCCM inatapa ushindi wakishindo. Mantiki yake ni kuwa,kwa kundi la G-Lukuvi/Sia,ndiyo njia pekee ya kuhakikishakuwa Tanzania inaondokanana hofu aliyozungumzia

    Mheshimiwa Waziri WilliamLukuvi Kanisani.Nimesikia kauli ya CCM

    wakiomba radhi juu ya lilebango la kibaguzi lililoingiauwanjani siku ile mbele ya RaisMagufuli, Rais Shein na Maraiswastaafu. Lakini nini kosa lawatu wale? Kile kilichoandikwakatika bango lile, kina tofautigani na aliyosema SamwelSia? Hivi maneno ya bangolile, tuseme ndiyo mazito kulikoyale aliyosema MheshimiwaWilliam Lukuvi katika jukwaa laKanisa, kisha akayakariri ndani

    ya Bunge!Hivi karibuni Jumuiya ya

    Maimamu Zanzibar imetoakauli, ikisisitia kuwa matarajioyao ni kwa Rais Magufulikwamba punde tu juhudizake zitazaa matunda. Nakushutumu kauli za baadhiya wana-CCM Zanzibar kuwazinalenga kuvuruga juhudi zaMheshimiwa Rais JPM. Penginetujiulize, Rais Shein na Jecha,wana mamlaka na nguvugani ya kuja na jambo kubwakama la kufuta uchaguzi nakungangania urudiwe kamahakuna maelekezo kutokaCCM Dodoma (Dar es Salaam)na Serikali ya Muungano!Tukijiuliza swali hilo, sasatutizame vile vikao vya MaalimSeif na JK na kisha Mheshimiwa

    JPM, tulitarajia vije na ufumbuzigani?

    Leo mjadala ni Maalimkupewa haki yake, atapewa vipiiwapo yale ya Waheshimiwasana William na Samwel

    hatuyaoni na kuyasemeakama Wazanzibari? MbonaBara hatusikii wakisema kuwaikishika CHADEMA atarudiMjerumani na siasa zake zaki-Hitler au kusimika sera zaakina Angela Dorothea Merkelza Christian Democratic Union(CDU)? Kwa nini hofu iweni kurudi Mwarabu/Hizbu,Sheikh mwenye midevu nakilemba?

    Kama hayo hatuyaoni,basi tusubiri Jumuiya yaKimataifa na wenye MCCwampiganie Maalim haki yakeya kutangazwa! Pengine ikemahali tutumie akili japo kidogotu tujiulize, watu walioipiga

    Afghanistan, wakaivamiana kuiharibu Iraq, kishawakaisambaratisha Libya nasasa wapo Syria, watasilikizakilio cha wanaotaka Maalimatangazwe au watajali zaidi yaleya William Lukuvi aliyetoa kauliya kulihami Kanisa na hatariya Katiba ya CUF/UKAWAinayotaka Muungano wa SerikaliTatu?

    Hao wenye MCC wana mengiwanayataka katika madini yetu,mafuta na gesi, watahangaikana ya kumpa haki yake Maalimwaache mikakati yao na waliomadarakani kupata mradi wao?

    Suala hapa, sio Dr. Sheinkuwepo Ikulu au kumpishaMaalim. Tatizo la Zanzibarni kubwa zaidi ya hapo. Namaadhali hawataki kuliona,litaendelea kuwatafuna kamanchi na kama jamii.

    Jiulize tu, hii hali iliyopoZanzibar hivi sasa kiuchumi,kijamii na kila hali, namustakbali wake utakavyokuwakama siasa zikiendelea katikamkondo wake huu huu, walewaliokuwa wamebeba bangola sera za akina Samwel Siaza Sheikh mwenye madevupale uwanjani katika sherehe zaMapinduzi, wananufaika vipi?

    MHE.Samwel Sita MHE. William Lukuvi.

    ANNUUR NEW.indd 8 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    9/20

    9 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Makala

    "Salam. I come in peace."Alisimama mama mmojawa Kiislamu kimyaa,akisikiliza mkutano wakampeni wa Donald Trump.

    Donald Trump anawaniakupata tiketi ya chama chaRepublican kuwa mrithi waBarack Obama kukalia WhiteHouse. Huyu ndiye yulemwanasiasa tajiri ambayeanasema kuwa kuna haja yakupiga marufuku Waislamukuingia Marekani.

    Rose Hamid, akivalia hijabuyake ya kawaida, alivaa piafulana iliyoandikwa Salam.I come in peace", ikiwa namaana ya kutoa salam yaAmani Salaam-Amani.Naja kwa Amani.

    Rose Hamid anasemakuwa lengo lake kuhudhuriamkutano huo ni kutoaujumbe kwa Wamarekaniwenzake Wakristo kuwaWaislamu ni raia na wananchiwenzao, kama walivyowengine. Ni wazalendo,watu wa Amani na si watuwaovu na magaidi kamawanavyopakwa matope nabaadhi ya wanasiasa pamojana vyombo vya habari.

    Hata hivyo, Rose Hamidmwenye umri wa miaka56, akiwa kasimama kimyakatika mkutano uliokuwaukifanyika South Carolina,akimsikiliza Donald Trump,alijikuta akizongwa nakisha kuitiwa polisi ambayealimkokota na kumtoa njeya ukumbi, huku wenginewakimzomea. Akiongea nawandishi wa habari, RoseHamid amesema kuwa watuwalimzonga huku wakipazasauti wakisema kuwa anabomu. "You have a bomb, youhave a bomb."

    Rose alinukuu manenoya wazomeaji jambolililosababisha Polisi kuingilia

    kati na kumwondoa katikamkutano. Amesema,jambo hilo linaonyeshawazi kwamba kilekilichokusudiwa, kujengachuki zisizo na msingikatika jamii ya Wamarekani,na hasa baina ya Wakristona Waislamu kupitiakinachodaiwa kuwa niugaidi unaonasibishwa naWaislamu, kimefanikiwa.Anasema kuwa yeye aliona

    Trump Vs Roze HamidLeo 2016 bado Muislamu ni mgeni

    Kama walivyokuwa babu zao 1960s

    Na Omar Msangi

    DONALD Trump.

    kwa kuka pale akiwakatika hali yake ya kuvaahijabu, kama wenginewanavyotumia uhuruwao kuvaa wapendavyo,itasaidia sisi wote kujionani wamoja. Hakuna sualala wale Wakristo, wala waleWaislamu. Hoja yake ni

    kuwa iwapo Waislamuwatajitenga na kujizuiyakuhudhuria shughuli zakijamii na kisiasa kamamikutano ya hadhara kamahuo wa Bwana DonaldTrump, itawafanya Wakristokuzidi kuwanyanyapaa nahiyo itafanya Waislamu naokujinyanyapaa wao wenyewena hivyo kujiona kuwa waohawastahiki kuwepo katikahadhara za kisiasa na katika

    sehemu muhimu za kiserikali,kisiasa na kijamii.

    "It's their hatred. It's notour hatred", alisema Roseakiwahimiza Waislamu kuwawao waendelee kuonyeshaupendo kwa wananchiwenzao Wakristo. Kama nichuki wawe nayo Wakristo,

    lakini asiwepo Muislamuwa kumchukia Mkristo, baliwajitahidi kutekeleza wajibuwao wa Dawah kuwaonyeshahaki na njia ya sawa.

    Katika toleo lililopitala gazeti hili, mwandishiAbdallah Juma aliandikamakala akichambua uteuziwa Mawaziri na Manaibuwao halikadhalika MakatibuWakuu na Manaibu wao.Katika uchambuzi wake

    akaonyesha kuwa katikaujumla wake, kwa maeneoyote hayo mawili katikaserikali, inaonekana uwepowa Wakristo ni kwa asilimia80. Abdallah Juma akasemakuwa hilo sio jambo

    jema kwa nchi na serikaliinayokusudia kujenga umojana mshikamano kwa watuwake. Sio jambo linalojengaImani kwa wananchi kwambaserikali yao inakusudiakuongoza kwa uadilifu na bilaupendeleo wa kidini. Walasio ishara chanya kwambaserikali inakusudia kusimamakatika maadili na mwongozowa katiba inayopigamarufuku watu kubaguliwakwa dini zao.

    Abdallah Juma kwa kutoamifano anasema kuwa kauli

    za kisiasa kwamba serikalihaina dini na kwamba katikauteuzi kinachozingatiwa niujuzi na wala sio dini, haiwezikufanya kazi. Anasisitizajambo hilo kwa kunukunuukauli ya Mzee Edwin Mteiakisema kuwa Imani ya kidinini jambo muhimu katikamaisha ya mwanadamu nakwamba, huwezi kukwepaukweli kwamba mtizamo nautendaji wa mtu huathiriwana dini yake. Lakini alitoapia mfano kwa upandewa pili akionyesha kuwaWakristo hawana ujasiriwa kustahmili wanapohisikwamba kuna eneo linamajina mengi ya Waislamu,hata kama sio kwa zaidi yaasilimia 40. Wao huja juubila kujali sifa na uwezo waWaislamu hao walioteuliwa.Tuna mifano ambapo usomiwa mtu akiwa na Shahadaya Uzamivu (Ph.D) na hataUprofesa, ulitupwa ikawaanatajwa kama Alhaj,utadhani Ualhaj wake ndioilikuwa sifa ya kuteuliwa.Wanaokumbuka kisa hiki,watakuwa wanajua nasema

    nini juu ya wale ma-Alhajiwawili Wakurugenzi waMamlaka ya Bandari, kamakilivyokuwa kimeripotiwakatika gazeti la Daily Newswakati huo.

    Labda nukta ya MzeeMtei iturejeshe katikayale aliyowahi kuyasemaMzee Bori Lilla. Mzee Lillaalikuwa mtumishi waserikali wakati wa Mwalimu

    Inaendelea Uk. 10

    ROSE Hamid.

    ANNUUR NEW.indd 9 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    10/20

    10 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Makala

    Trump Vs Roze HamidInatoka Uk. 9

    Nyerere akianzia na Ukuuwa Shule (Head Master) namara mbili alikumbana navisa vya hujuma dhidi yaWaislamu katika elimu. Kisa

    cha kwanza ilikuwa katikajopo la kuchagua wanafunziwa kuingia kidato chaTano. Jopo zima walikuwaWaislamu wawili, yeye BoriLilla na Mzee AbdurahmaniMwalongo na ilikuwa mweziwa Ramadhani. Wakati wamchana wakati wenzaowalipokwenda kula, waowalibaki wakifanya kazi.Ilitokea Mzee Mwalongoanatafuta rula akafunguadroo ya meza ya mwenyekitiakakuta orodha ya vijana waKiislamu 25 wenye divisheniOne ambao hawakuwawamepangiwa shulewakati zoezi linamalizikana wamechaguliwa mpakawenye alama za chini kulikowale. Kikao kilivyoanza,Mwalongo alihoji juu yaorodha ile. Mwenyekitiambaye alikuwa Padiri pia,akatupilia kwa mbali swali nahoja ya Mwalongo kwa kutoamaelezo yasiyoeleweka.

    Kumbe ndiomnavyowafanyia Waislamuhivi! Alihamaki MzeeMwalongo na kupiga mezakwa hasira za Kihehe. Na

    haikufanyika shughuliyoyote mpaka watoto walewakapangiwa shule.

    Julai 1997 MzeeAbdurahmani Mwalongoalithibitisha habari hizi kamazilivyokuwa zimesimuliwaawali na Mzee Lilla. Naitakumbukwa kuwa MzeeMwalongo aliwahi kutumikiaBakwata baada ya kustaafuutumishi wake serikalini.

    Kisa cha pili ilikuwakatika kusahihisha mitihaniya kidato cha 4. Mitihanihufanywa kwa namba naBori Lilla alikuwa katika jopola kurekodi alama (marks)

    kama zilivyoandikwa katikakaratasi za mitihani nawasahihishaji. Katika orodhayake ikaonekana Waislamuwamekuwa wengi. Yeyealifuata utaratibu kamaulivyo. Kumbe wenzakewalikuwa waki-Decodekwanza na kutambua makisizile ni za nani kwa kuangaliajina la mwenye namba.

    Wewe huoni kama orodhayako ina Waislamu wengisana, au wewe ni mgeni nini

    hapa?Aliyekuwa mwenyekiti

    wa jopo aliuliza baada yakuona orodha ya Lilla inamajina mengi ya Kiislamu.Hakufuata utaratibu usiorasmi wa ku-decodekwanza kujua mwenye makisini Muislamu au Mkristokutokana na jina lake nakufanya maarifa.

    Mimi siyo mgeni, mimi niMuislamu, alijibu Mzee Lilla

    akimkazi macho mwenyekiti,hali iliyofanya wajumbekupiga kimya.

    Aliyofanya Mzee Lilla nikama alivyowahi kuagizana kusimamia Prof. Malimawakati alipokuwa Waziriwa Elimu kwamba mitihaniikishafanywa kwa nambayasiweke majina baliibakie namba hivyo hivyompaka wachaguliwe kamani wa kuingia kidato chakwanza au cha tano iweni namba inachaguliwa.Zoezi likishakamilika ndioiangaliwe mwenye namba ninani. Inaelezwa kuwa mwakahuo idadi ya vijana waKiislamu walioingia kidatocha kwanza ikaongezekakwa asilimia 40. Sotetunakumbuka kilichotokea.Zogo likawa kubwa, Prof.Malima akangolewa katikanafasi hiyo na utaratibuwa zamani ukarudi. Idadiya watoto wa Kiislamuwanaoingia kidato chakwanza ikarudi kule kule kwaasilimia 10 hadi 15!

    Ni bahati mbaya kabisa

    kwamba Mzee Lilla aliyasemahaya na yakaandikwa sana,lakini mpaka anakufa,hakuna aliyejitokeza,na hasa kwa upande waserikali kuhoji, kuyatoleaufafanuzi na kuyafanyiakazi. Nakumbuka sikutuliyofuatana naye, tulipoitwakwenda kumuona Waziri waMambo ya Ndani, wakati huoAugustino Lyatonga Mrema,alivyokuwa akizungumza

    mambo haya kwa uchungu.Wakati huo ashakuwa mtumzima, amepooza miguutunamsukuma katika kigarichake.

    Vijana fanyeni kazimuirejeshe nchi hii katikamaadili yake, na katiba yake,watu wasibaguliwe kwa dinizao. Alikuwa akisema marakwa mara Mzee Bori Lilla.

    Sasa haya aliyosimuliaLilla, ndiyo anayosemaMzee Edwin Mtei. Na ni kwamaana hiyo hiyo AbdallahJuma anahoji, kwa nini

    idhaniwe kwamba Waislamuwao wataridhia hali hizizilizowakuta babu zao BoriLilla mpaka leo wajukuukatika Baraza la Mawazirina Makatibu Wakuu? Nakwa sura hii ya Kebineti,yawezekana pia kamati namajopo muhimu kama lilealiloingia Lilla akaonekanakuwa ni mgeni asiyetakiwa,yatakuwa hivyo hivyo.

    Rose Hamid alikwenda

    katika mkutano wa hadharaakidhani kuwa kwa kufanyahivyo itasaidia kuonekanakuwa kumbe Waislamu niwatu wa kawaida, ni raiakama wengine. Na hapanashaka kama waliohudhuria

    mkutamo ule wagekuwa nasubra, wakamwacha Roseakashiriki mkutano mpakamwisho, akaondoka hukuakifurahi na kusalimianana wenzake kwa kushikanamikono, ingejenga hali fulaniya kuondoa hofu ya kuwaukikutana na mtu kavaakama Bint Hamid, umekutanana gaidi. Lakini kwa bahatimbaya kutokana na chukiiliyokithiri, Rose alitimuliwa.

    Hayo ni ya Wamarekanina Donald Trump waopamoja na Hoax zao za

    ugaidi. Labda tuje kwetu natujiulize maswali ya msingi.Kwa mujibu wa maelezo yaMzee Lilla, kwenye miakaya 1960s/70s, Muislamualionekana kama mtu mgeni,asiyetakiwa katika kamatiza kuchagua wanafunzi wakupata elimu ya sekondari naile ya juu. Hii maana yake nikuwa waliobahatika kusomawalipitia tundu la funikakombe mwanaharamu apite.

    Kwa haya ya 20 kwa 80aliyojadiliAbdallah Mussa,je, yanaimarisha au kuondoayale ya kuwaona Waislamu

    kuwa ni wageni katikasehemu muhimu serikalini?Je, hatuoni kuwa hali hiiinatupeleka kule kule kwaakina Donald Trump dhidi yaRose Hamid?

    Iwapo Mwalimu Nyererealitoa ahadi kwamba baada yamkoloni kuondoka, jukumukubwa la serikali itakuwa nikufuta historia iliyowabaguawananchi kutokana na Imanizao, rangi na asili yao, je, leotunapozungumzia 20 kwa80, inatafsiri kivitendo ileahadi ya Mwalimu Nyerere?Katika miaka hii 55 ya uhuru,

    kipi tumefanya kuhakikishakuwa hatuwi na majopo naTume ambapo baadhi ya watuwakiingia wanaonekana kuwani wageni?

    Swali muhimu kwa kilaMuislamu: Nini unafanyakuthibitisha uananchiwako na uzalendo wako.Kwamba Tanzania ni nchiyako. Unajihisi na unajiaminikwamba upo katika nchi yakona si mamluki asiyeaminika?

    RAIS John Magufuli. MARHUM Prof. Malima.

    ANNUUR NEW.indd 10 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    11/20

    11 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,201611AN-NUUR

    Makala

    Major General Mansour Al-Turki, msemaji wa mambo yausalama, Wizara ya Mambo ya Ndani Saudi Arabia.

    JUMATATU wiki hiimakachero, wanausalamana wanasiasa kutoka nchi50 walikutana The Hague,Netherlands kujadili kilewalichodai, namna yakushirikiana katika kupambanana magaidi waiwemo walewenye msimamo mkaliwanaotoka makwao kwendakupigana Syria na Iraq.Wakasema, wanafanya hivyokwa sababu hao wanaopiganaSyria (IS) ndio hao haowanaopenya na kwenda kupigaParis na miji mingine ya Ulaya.Aliwahi kujisemea MarehemuAli Nabwa kuwa waso hayawana mji wao. Kwamba hawaambao nchi zao ndio zinafadhilimakundi ya siasa kali namagaidi wanaoiangamiza Syria,ndio wanaokutana kujadilinamna ya kupambana na watuwao wanaowafadhili katika

    proxy war yao!Hayo yakijiri Ulaya,hivi karibuni Saudi Arabiaimewanyonga watu 47 kwamadai ya ugaidi. Katikawalionyongwa ni pamoja naSheikh wa Kishia Nimr al-Nimrna watu wengine watatu wamadhehebu ya Shia. Watu haowalinyongwa katika miji 12tofauti, baadhi wakipigwa risasina kikosi maalum cha mauwaji(ring squads) huku wenginewakikatwa vichwa. Riyadhwanasema kuwa watu 43 waSunni, walihusika na ulipuajimabomu katika osi kadhaaza kiserikali na za taasisi za njezikiwemo osi za kibalozi kati ya

    mwaka 2003 na 2006 na kwambakatika mashambulizi hayo,waliuliwa watu kadhaa.

    Kwa upande wa Mashiawanne akiwemo SheikhNimr, Riyadh inasema kuwawalihusika na ulipuaji wamabomu ya petroli katikamaandamano katika wilaya yaQatif mwaka 2011-2013 ambaposerikali ya Riyadh inadai kuwapolisi kadhaa waliuliwa. Qatifni eneo linalokaliwa na Mashiawengi na limekuwa likikumbwana maandamano kutokana naupinzani dhidi ya serikali yaSaudia. Mashia hao wamekuwawakidai kuwa hawathaminiwikama raia wa nchi na kwambawananyimwa uhuru wa kidinina kiraia.

    Taasisi za kutetea haki zabinadamu duniani, ikiwemoAmnesty International,zimekuwa zikipaza sauti kulanimauwaji hayo zikituhumumfumo wa sheria na mahakamakwamba haukuendesha kesikwa haki na kwamba hukumuhizo zimetolewa na mfumousioweza kuaminika kwambaunaweza kutenda haki. Hatahivyo, serikali ya Saudi Arabiaimekuwa ikijitetea ikidai kuwakwa muda mrefu sasa imekuwa

    Kiroja cha Saudi Arabia na

    Alqaida halali Vs haramWakata vichwa 47. Wadai magaidiWatumia Aya za Quran kujihami

    Na Mwandishi Maalum

    katika shinikizo kubwa kutokakwa wananchi wengi wakitakawahalifu hao na magaidi haowa Al-Qaida waadhibiwe.

    Taarifa ya Wizara ya Mamboya Ndani katika kutoa taarifaya tukio hilo, ilianza kwa

    kukariri aya za Quran ambazozinahalalisha adhabu ya kifokwa makosa kadhaa. Baada yahapo Mufti wa Saudi Arabia(Grand Mufti) Sheikh AbdulazizAl al-Sheikh, naye akatoa kauliakihalalisha kuuliwa watu hao.

    Hata hivyo, mgogoro katikasuala hili haupo katika kuwepoau kutokuwepo kwa makosayenye kusitahiki adhabu yakifo. Suala na hoja hapa niiwapo kulikuwa na tuhuma zakweli na iwapo hukumu dhidiya watu hao imefuata mkondo

    wa kisheria, uadilifu, utawalabora na kuzingatia haki na hiyoFiqhi na Shariah, inayoegemewana utawala wa Riyadh. Na

    je, hakuna ubalakala (doublestandards) katika kutumiaShariah?

    Hoja hizi zinapata nguvuikizingatiwa kuwa Saudi Arabiainatuhumiwa, na kwa hakikakuna ushahidi madhubutiunatolewa, kuonyeshakuwa Saudi Arabia ni katikawaanzilishi na wafadhiliwakubwa wa Al-Qaida. Ukwelihuu unaibua swali la msingi,ni wakati gani Al-Qaidawanakuwa halali na wakatigani wanakuwa haramu.

    Ukirejea ile Reagan Doctrinena ilivyokuja kufanya kazikuandaa jeshi la kupiganakwa niaba ya Marekani kuleAfghanistan, Saudi Arabia naPakistan ndio nchi za Kiislamuzilizotumiwa kuanzisha jeshila Mujahidina chini ya OsamaBin Laden ambao ndio baadaewalipachikwa jina la Al-Qaida.

    Ukisoma taarifa za OperationCyclone uliokuwa mpangowa Shirika la Ujasusi laMarekani- United States CentralIntelligence Agency (CIA) wakuwapa mafunzo na silahaMujahideen wa Afghanistankati ya mwaka 1979 mpaka1989, utaona kuwa CIAwalijicha nyuma ya Saudi

    Arabia na Pakistan. Hawa ndiokama Masheikh wakitumiwakukusanya wanaharakati waKiislamu na kuwahamasishakwamba kuna Jihad Afghanistanna kuwawezesha kusari(huenda Ghailani wetu alikuwakatika mkumbo huo huo). Pesana silaha zikipita kwao, ambapokwa kila dola moja iliyokuwaikitolewa na CIA (Marekani)katika kutoa mafunzo kwa haoambao leo wanaitwa magaidiwa Al-Qaida, Saudi Arabiawakiongeza Dola moja. Kwamaana kuwa kama kwa mfano

    bajeti ya mwezi ilikuwa Dolamilioni 500, CIA wakitoa 250milioni, Saudia wanatoa nusu

    iliyobakia. Lakini pia ndiowakitoa wakufunzi-Masheikh naakina Osama.

    Mhadhiri na mtati waChuo Kikuu cha Harvard,Garikai Chengu, katika utatina uchambuzi wake alioupaanuwani How the US HelpedCreate Al Qaeda and ISIS,anaonyesha kuwa ugaidiimekuwa mbinu inayotumiwa naMarekani katika kupata masilahiyake ya kibeberu na anaonyesha

    jinsi inavyoshirikiana na Saudi

    Inaendelea Uk. 19

    MFALME Salman wa Saudi Arabia(kushoto) akisalimiana naWaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Kerry.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Kerry (kulia) akiwa naRais Hadi wa Yemeni

    ANNUUR NEW.indd 11 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    12/20

    12 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,201612 Safu ya Ben Rijal

    KAMA tilivyosoma katika makala iliopita kuwa SheikhAbdalla Saleh Farsy alikuwa ni alim, alikuwa hakusitakujisomea ili kuweza kupanua mawazo na kujiongezeaelimu. Katika makala hii ya pili itamuangalia zaidi SheikhAbdalla Saleh Farsy katika kazi zake alizozifanya nanamna alivyopokewa katika jamii kazi zake ikiwa pamojana tafsiri ya Quran na vitabu mbalimbali alivyoviandika.Nyingi ya kazi zake hazikuwa na haki miliki na wenginewamezigeuza kuzifanya kuwa ni kazi zao. Kuna juhudihivi sasa inayofanywa na Jumuia moja ya Kiislamukuweza kuzikusanya kazi zake zote alizozifanya kati ya zilealizozichapisha na zile ambazo hakuzichapisha.

    SHEIKH Abdalla Saleh Farsy.Maisha yake kwa jumlaKwa ujumla She ikh

    Abdalla Saleh alikuwa najuhudi kubwa ya kuhadhiri,k u s o m e s h a d a r s a n akutowa mawaidha katikaSauti ya Unguja kila wikina mawaidha yake hayoyalikuwa na wasikilizajiwengi ambao hawakuwaw a k i y a k o s a . A l i k uw ana sauti kali na alikuwani mtu anayeweza kuletamikasa ya kila aina ambayom s i k i l i z a j i h u v u t i w a ,akijuwa wasikilizaji wakitakakusikia nini na alivyokuwaakiimudu tarakhe vilivyona watu kupenda visa vyaQuran alikuwa akielezeatarekhe na visa mbalimbalivya umma zilizopita.

    Katika mwezi 7 Januari1960 a l ipata fursa yakutembelea Malawi nchiyenye Waislamu wachachewaliokuwa na uchu wa

    kujifunza dini ya Kiislamu nabaadhi ya vijana wa Kinyasawa Ki i s lamu waki f ikaZanzibar kujifunza elimu yadini katika Chuo cha MsikitiBarza na wanapohitimuhurudi makwao kuendelezakazi ya Daawah.

    M w a k a w a 1 9 9 4nilibahatika kufika AfrikaKusini kat ika mj i waNeilsprut na nikaka katikaduka ambalo mmiliki nijamaa wa Kihindi aliyowezakunitambua kwa wajihiwangu kuwa ni Muislamunakunitaka kujua nimetokeamaeneo gani, nilipomuelezanatokea Zanzibar, alimwitamfanyakazi wa duka hilokwa j ina la Abubakar

    aje kuzungumza na mie.A b u b a k a r a k i k i s e m aK i s w a h i l i c h a p a n anilipomfahamisha kuwan i m e t o k e a Z a n z i b a ralinikumbatia na alipojuakuwa nimesoma MsikitiBarza ndio mambo yalizidi,kwani Abubakar nayealisoma Msikiti Barza kishaakarudi kwao Malawiakapata nafasi ya kwendakusoma Chuo cha Al-Azharkiliopo Misri na aliporudindio akenda kutafuta kaziAfrika Kusini na kupewaUimamu.

    Masheikhe wetu: Sheikh Abdalla Saleh Farsy-10 Sehemu ya tatu

    Sheikh Abdalla alipokuwaMalawi alikwenda sehemumbalimbali kuhadhiri nakuwashajiisha Waislamukuweka mbele elimu. Alikaahuko kwa kipindi chamiezi miwili na aliporudisafari yake aliandika ripotialiyoeleza umuhimu wamafunzo ya dini. Aidhaaliwataka wanaohusika

    kutilia nguvu umuhimu wakuwapatia Waislamu elimukatika skuli za serikali. Alionajambo amb alo lil ims htuakuwa watoto wa Kiislamuni duni ukilinganisha nawasiokuwa Waislamu.Alielezea kuwa hali kama hioambayo kwenye nchi mmojakunakuwepo kwa jamiimbili mojawapo imeelimikana nyengine haijaelimika.Akaashiria kuwa jambo hiloni hatari kwa serikali na kwajamii. Alitoa ushauri ulazimawa watoto wa Kiislamukusomeshwa katika skuliza kawaida na kupatiwamasomo ya dini ya Kiislamukama yanavyofundishwamasomo ya Kik i r i s to .Akasisitiza katika ripotiyake hio kuwa Skuli zaserikali hazina budi kuwana walimu watakaosomeshamafunzo ya Kiislamu wenyekulipwa na serikali kwakuwa waalimu wa Kikristokatika shule hizo wanalipwana serikali wakati waalimuwa Kiislamu wanalipwa najamii. Akasisitiza na walimuwa Kiislamu nao walipwe naSerikali.

    Sheikh Abdalla alijifunzakatika skuli za Kisekulana baada ya kukamilishamasomo yake katika Chuocha Ual imu 'TeachersTraining College (TTC)',alisomesha katika shule zamsingi kuanzia mwaka 1932hadi 1947, na kutokana na

    jitihada zake kubwa katikakazi zake, alikuja kupewacheo cha Mkaguzi Mkuu waSkuli za Msingi za Unguja naPemba kuanzia mwaka 1949hadi mwaka 1952. Baada yahapo akapewa wadhifa waMwalimu Mkuu wa MuslimAcademy Secondary Schoolkuanzia mwaka 1952 hadi1956. Ikafwatiwa kupewawadhifa Mwalimu Mkuu'Headmaster' wa ArabicMedium School kuanziamwaka 1957 hadi 1960.

    Katika mwaka wa 1960,Sheikh alikwenda kuhiji

    Makka na waliofwatananaye walisema mara nyingiwakimuona anatembeab i l a ya v i a t u n a s i okawaida yake kutembeabila ya viatu. Alipoulizwaalisema musiniige hayawameyafanya kina ImamuShafi kuwa wakitamanikutemebea katika ardhitakatifu ambayo Mtume

    M u h a m m a d ( S A W )amekanyaga , kwa hioanatamani akikanyagapopote pale alipopaganyagaMtume Muhammad (SAW)awe amepakanyaga pasikuwa na viatu. Alifanyahivyo hata kutokuja kupatamalenge lenge. Nafsi yangunilipokuwa hijja ilitokeamkoba wangu wenye viatukauchukua mwenzangutukakosana, ikabidi nirudihoteli bila ya viatu na kutokaMsikiti wa Madina hadihoteli niliyokuwa nakaani dakika tano, nilitokeamlango wa Baqii unapotokakwenye ziara ya kaburi laMtume Muhammad (SAW)nami yakanijia hayo yaSheikh Abdalla ya kwendabila ya viatu. Nilijiona ndaniya imani bila ya kujali ukaliwa jua.

    Sheikh Umar bin Sumeytmo j a k a t i y a ma a l i mwaliopita na akiwa mchaMungu alikataa kuwa Kadhina kupendekeza SheikhAbdalla Saleh akamateukadhi. Katika mwaka 1960Sheikh Abdalla alishikaukadhi wa Zanzibar hadimwaka wa 1968 alipoamuakuacha kazi hio na kuhamiaKenya na nafasi yake hiokupewa Sheikh Fatawi binIssa.

    Alipofika Kenya katikamji wa Mombasa mwenyejiwake huko Kenya alikuwaSheikh Muhammad Kassimal-Mazrui, sahibu yake wa

    zamani tokea waliposomapamoja chini ya mwalimuwao Sheikh al-Amin bin Alial-Mazrui. Mombasa hakuwamgeni kwani akifahamikana harakati zake katikakufwata mkondo uliokuwaukifwatwa na Sayyid AbdulAla Maududi, MoahmedAbdu, Sayyid Qutub nawengineo kushikamanazaidi na yale aliyotuwachiaMtume Muhammad (SAW).Mwenyeji wake akimfahamuka uwezo wake na kuonakuna haja ya kuwa Kadhi waKenya na akalipendekeza jinalake kwa Rais wa zama hizoMzee Jomo Kenyaa na ombi

    hilo likakubaliwa. Bila yakusahau kuwa Kenya kunaMahkama za Kadhi zenyekufanya kazi zake sawa sawana malipo ya Kadhi analipwana Serikali. Aliifanya kazi hio

    kwa uadilifu kwa kipindicha miaka 14 na mwishoweakastaafu mwaka wa 1980na kuhamia Musqat, Oman.

    Sheikh Abdalla alitoafunzo moja kubwa sikumkubwa a l iokuwa s ioMuislamu alipokufa nakutakiwa kumuombea dua.Kwa kujua kwenye Uislamudua ya kusema Mola amlazepema Peponi ni kinyume,yeye alichukua hekimakubwa na kusema Molaamlaze anapostahiki maitihuyu. Muislamu hatakiwikumuombea asio kuwaMuislamu makazi memaPeponi na mfano katuachiaSheikh Abdalla maneno yakusema. Aidha, Muislamuhatakiwi kupita katika maitiya aliokuwa sio Muislamu

    na kutoa salamu za mwisho.Anachotakiwa ni kwendakumfariji na kisha kuondokana haya ndio alioyafanyaMtume Muhammad (SAW).

    A l i p o k u w a K e n y aalikuwa na darsa nyingi sanana darasa zake hizo zilikuwahupati pakutia mguu.Mtiririko wa darsa zakeulikuwa kwa mtindo huu:Msikiti Sakina (Majengo) kilaJumanne, Msikiti Al-Azhar(Guraya) kila Al Khamisi,Msikiti Shihab (MwembeTayari) ki la Jumatano,Msikiti Mlango wa papa (mjiwa Kale) Jumatatu, MsikitiRidhwaan (Kingorani)Ijumaa, Msikiti MuhammadRashid (Kaloleni Mazui)

    Jumat atu -ma ra moj a kil amwezi, Tunah (Majengo)Ijumaa moja, Msikiti Nur(Ijumaa moja), Malindi,Kenya, Msikiti SheikhNassor, Jumamosi baada yaSwala ya Magharibi.

    S h e i k h A b d a l l aamebahatika kuandika vitabumbalimbali na hivi ndivyovitabu al ivyoviandika:Tafsiri ya Qurani Takatifu,ambayo ilipigwa chapa maraya mwanzo mwaka 1969,Maisha ya Nabii Muhammad(SAW), Mawaidha ya Dini,Tarehe ya Imam Shafi na

    Wanazuoni wakubwa waAfrika ya Mashariki, Baadhiya Wanachuoni wa Kishawa Mashariki ya Afrika.Sayyid Said bin Sultan,

    Urathi, Jawabu za Masualaya dini (sehemu ya kwanza,pili na tatu), Tafsiri yaSuratul Kahf na hukumuya swala ya Ijumaa, Suraza swala na tafisir zake,Swala na maamrisho yake,Ndoa na maamrisho yake,Saumu na maamrisho yake,Mambo anayofanyiwa Maitina Bidaa za Matanga nahukumu za Eda, Bidaa I naII, Khitilafu za MadhehebuNne katika swala, Sifa zaMtume, mawaidha na Dua,Mashairi I-II, Maisha yaSayyidnal Hassan, Maisha yaSayyidnal Hussein, Utukufuwa swala na namna ya kusali,Mafunzo ya dini, Tafsiriya Maulidi Barzanji neno

    kwa neon, Wakeze Mtumewakubwa na wanawewengine, Wakeze Mtumewadogo, Tafsiri ya Baadhi yaSura za Qurani: Yasin, Waqiana Mulk. Sayyidna Khalidbi n Al -Wal id , Vy ak ul aalivokula Mtume, Tundala Quran, Upotofu juu yaTafsiri ya Makadiani, Kisacha Miraji na Maisha YaMtume Muhammad. Katikavitabu vya Kiarabu aliandikakitabu kwa anuwani, Al-Busa id iyyun hukkamZinjibar. Muscat: Ministryof National Heritage andCulture 1982.

    Kati ya vitabu vyakeambavyo havikupigwachapa kwa Kiarabu ni:Inayatullaahi al-adhym bi

    al Qurani al-Karim, Irfaanial ihsaan bi tarjamati al qariiHafs bin Suleiman, Nuru albasira wal al basar taraajimial quraa al arbaatashar na Alkhulafau al Amawiyin.

    Sheikh Abdullah SalehFarsy alifariki dunia tarehe9 Novemba mwaka 1982karibu miezi minane tokeaalipoondoka Kenya kuelekeaMusqat, Oman. Aliwachapengo kubwa kwa walewazungumzao lugha yaKiswahili kustafidu naelimu aliokuwa nayo. Molaatujaalie nasi tufwate nyayozake katika kuendelezaUislamu, Ameen.

    ANNUUR NEW.indd 12 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    13/20

    13 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Safu ya Ben Rijal

    MITI ni maisha na maisha yetuyanategemea miti, itapotowekamiti na mimea maisha ndioyatapomalizika. Tunapatachakula chetu cha kila sikukutokana na miti, sayari yetuhii hupozwa na miti, na kuwezakukalika.

    Katika Quran imetajwaaina ya miti 54 kati ya hayo 3haipo duniani, iliyobaki yoteinaonekana duniani. HukoDubai kumetengenezwa bustaniitwayo Emirates Holy QuranPark ambayo miti yote iliotajwakatika Quran itaoteshwa, hadinaandika makala hii, miti 31tayari imeshaoteshwa na 20mengine itaoteshwa badaye na3 nishakwisha kuelezea kablakuwa haipo duniani. Bustanihii ilitegemewa kufunguliwarasmi mwezi wa 9 mwaka 2015katika eneo la Al Khawaneej nakugharimu Dh26 milioni.

    Miti imetajwa kwa kujirudiakatika Quran, kwa mfano mtiwa Mana umetajwa mara 3katika Surah (2:57; 7:160; 20:80-81), Mtende umetajwa mara 20katika Surah 2:266; 6:99; 6:141;13:4; 16:11; 16:67; 17:91; 18:32;19:23; 19:25; 20:71; 23:19; 26:148;36:34; 50:10; 54:20; 55:11; 55:68;69:7; 80:29, Mizaituni imetajwamara 6 katika Surah 6-99; 6-141;16-11; 23-20; 24-35, Mzabibuumetajwa mara 11 katika Surah((2-266; 6-99; 13-4; 16-11; 16-67; 17-91; 18-32; 23-19; 36-34;78-31, 32; 80-28), Komamangalimetajwa mara 3 katika Surah6-99; 6-141; 55-68, Tini imetajwamara 1 Surah 95 :1, Mkunaziumetajwa mara tatu 34:15-16;

    53 : 14-18, 56 :28, Mkunazikama Msuwaki umetajwa maramoja 34 :16, Hena mara mojakatika Surah 76 :5, Mtangawiziumetajwa mara moja Surah 76:17, Adesi imetajwa mara mojakatika Surah 2 :61, Kitunguumara moja katika Surah 2:61,Kitunguu Thoumu kimetajwamara moja Surah 2 :61, Tangoujmetajwa mara moja Surah2 :61, Mungunye umetajwama ra moja katika Surah 37:146, Khardali umetajwa mara2 katika Surah 21: 47; 31:16.Unapoisoma Quran kwa makinina kuichambua katika fanimbalimbali utakuja kufahamumambo ambayo yanaungana namasuala mbalimbali iwe kilimo,mazingira, tabia n.k.

    Faida za ziada za mitiMiti hupambana nakupambana na mabadilikoytabia nchi : Itaposhamirihewa ukaa duniani hali ya jotoitaongezeka na dunia itakuwakatika shindikizo kubwa kwani

    baadhi ya miti ya chakulaitapotea na maisha yetu yoteyanategemea mlo kutokana nachakula, aidha kutokana nahewa ukaa kuftonzwa na mitimiti itapotoweka kutakuwa na

    janga kubwa duniani ambalohivi sasa tunaanza kushuhudiaupunguwaji wa miti na kilimokwenda chini aidha hali ya joto

    Miti Duniani na Maisha Yetu (1)MAKALA 15 mfululizo nitaizungumzia miti mbalimbali

    inapopatikana na faid zake. Miti ikiwa ndio maisha yetu, mitini nyezo kubwa ya maisha yetu, kutokuweko miti chakulakitakosekana, kutokuwepo miti itakosekana dunia kupozwa nakuwa inakalika kwani hewa ukaa (Carbon dioxide) hufyonzwana miti na kuifanya dunia hii kuweza kukalika.

    Mwembe ni kati ya mti maarufu duniani

    Mnazi ni mmoja wa mti unaonekana katika sehemu za mwambao

    kuongezeka.Miti husasha hewa: Harufu

    mbaya na najisi za hewambalimbali huchujwa na mitina kuyafanya mazingira yetukuwa sa na ya salama. Mitihutupatia gesi ya Oksijini(Oxygen): Gesi ya Oksijini ndioinayotufanya tuweze kuvutapumzi na kujaalia maisha yetukuwa mwanana, fahamu kuwaeka mmoja ya miti iliyopandwana kushamiri ni kutosha kutoagesi ya Oksijini kwa watu

    18 na kuweza kuishi pasinamatatizo. Miti na utowaji wavivuli katika mitaa na miji:Miji mingi inapendeza kwakupata vivuli na kuwa na hewamwanana kutokana na miti.Inapopandwa miti ya ainambalimbali miji hupendeza namiji hio huepukana na baadhiya madhara mbalimbali ambayoingekuwa hio miti haipoingeweza kuwaka wananchikatika miji hio.

    Miti husaidia kudhibitinishati: Tunapata nishati yakupikia kutokana na miti, lakinimiti kama utaipanda pembeni

    ya nyumba yako itasaidiakupunguza ukali wa hali yahewa katika nyakati za kiangazikwa asilimia hata 50. Mitihusaidia kudhibiti maji: Vivulivya miti husaidia pakubwakatika maeneo yenye majikutopotea kwa kuyayuka kwakiasi kikubwa. Miti husaidiakukabiliana na uchafuzi wa maji:Miti huwa kama chujio kwamaji ya mvua kupenya kwenyeardhi aidha maji ya mvuaambayo husombwa na uchafu

    mbalimbali hupunguzwa uchafuhuo kuelkea baharini kwa msadawa miti.

    Miti husaidia mmongnyokowa udongo: Katika maeneo yamabonde na ilitmbarare mitihuwa ni msada mkubwa wammongnyoko wa udongo. Mitihuwa ngao ya kupunguza nguvuya miale ya Ultra-violet: Kasi yamiale hatari ya jua ijulikanayoultra-violet ambayo huchocheakupatikana kwa sarataniya ngozi kwa asilimia 50 nahusaidia watoto wadogo ambaowengi hucheza nje ya majengoyao ya skuli. Miti hutupatia

    chakula: Mwanadamu,wanyama, ndege maisha yaohutegemea chakula chao kwaasilimia kubwa kutokana.Miti huponesha: Miti ya ainambalimbali ndio hutengenezwadawa za viwandani na wananchiwengi wa vijijini katika maeneombalimbali duniani hutegemeamiti ya madawa.

    Miti ni kinga: Miti huwani kinga kubwa ya dhorubakatika maeneo iliokuwepo kwawingi kinyume na maeneoyalio wazi. Miti huashiriakupatikana kwa majira: Katikamaeneo mingi duniani kwakuiangalia miti itakuambiawakati huo ni muongo gani,kipupwe, kiangazi, masika auvuli? Fursa za kiuchumi: Fursanyingi za kiuchumi hupatikanakutokana na miti, iwe kuuza mitiya chakula, matunda, kupatambao kwa kutengeneza fanichambalimbali, miti kwa mapambon.k.

    Miti ni nishati: Wananchi wajamii mbalimbali hutegememiti kuweza kupata nishati yakuni. Miti kama makazi: Miti nimakazi ya wanyama mbalimbaliiwe ndege, kima, vipepeo n.k.Miti hupunguza umasikini:

    Jamii mbalimbali zimewezakupunguza umasikini kwaupandaji wa miti.

    Miti kuitambua inatakataaluma maalumu inayojuliknakwa Kiengereza kamaTaxanomy, elimu hii hufanyakazi ya kuitambua, kuigawana kwisha kutoa majina kwanjia ya kitaalamu, hutoa jina lamwanzo ambalo hufatanishwa

    na la pili lenye sifa, manenohayo huandikwa ikiwa neon lamwanzo huwa na harufu kubwana neon la pili huanza kwaharufu ndogo, mfano muembehuandikwa Mangifera indicaunapoandika kwa kutumiacomputer majina hayo inajiriuyaandike kwa hati mlalo(italic) na kama unaandika kwakutumia mkono neon la mwanzoinabidi ulipige mstari peke yakena la pili hivyohivyo Mangiferaindica.

    Kazi ya kutoa majina kwamiti sio kazi ilio rahis kwanisio mtaalamu hukurupukatu na kutoa jina, bali hufwatataratibu ambazo zimewekwana kuna kitabu huitwa ufunguohicho ndicho humuongoza.Mara nyengine mtaalamuhuweza akapoteza siku nzimakupata jina la mti hasa mtiule unapokuwa haujulikani,na unapomshinda hubidiachukuwe majani na hatakama ataweza kuupiga pichana kuupeleka katika vituo vyautati wa mimea au hata katikavyuo vikuu ambako huko kunawataalamu waliobobea.

    Fatwana na mie kwenyemakala 15 ambazo nitaiangaliemiti mbalimbali inapopatikanamajina yake kienyeji aidhamajina ya kitaalamu.

    ANNUUR NEW.indd 13 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    14/20

    14 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016MAKALA

    Ulevi unatumalizaInatoka Uk. 7

    akiwa amelewavinatokana na athari ya

    kudhooshwa vituo vyaubongo na akili baada yakutumia ulevi. Manenona vitendo anavyovifanyani madhara yaliyotokanana ulevi.

    Athari mbaya zakemikali ya alkoholikatika mwili wamwanadamu nikudhoosha sehemu zamishipa, yaani mshipawa ufahamu katikamwili wa mwanadamuna ubongo. Athari hiyohupenya na kuka katikamishipa ya damu nahuvuruga mzunguko wakawaida wa damu nawakati mwingine atharihizo huka hadi katika

    ngozi, ambapo baadhiya wakati ngozi ya mlevihuwa nyekundu.

    Wataalamu wa Afyawanasema kuwa, awalikileo huleta joto kwamtumiaji ambapo baadaya muda mchache

    joto hili hupandana huongezeka nakuna vitendo vyakehuongezeka, mapigo yamoyo huenda kwa kasina hupumua harakaharaka.

    Baada ya hatua hiyoathari zake kileo hichohupenya na kuka katikamishipa ya ubongo aumishipa ya ufahamu nahivyo mlevi kuzungumza

    maneno bila mpangiliowala kumbukumbu.Athari nyingine

    ni katika mishipa yanguvu za kusikilizia.Inaelezwa kuwa kileokikika mahala hapo,mtu aliyetumia kileohuanza kusikia sautiasizozielewa. Ataitika bilakuitwa, atatizama kitukama hakijui hata kamaakiwa na akili ya kawaidaanakijua,

    Dk. Melvin Kanzeli,ambaye amefanya utati

    juu ya unywaji wapombe kwa miaka mingi,anasema kuwa, "Unywajiwa pombe unaharibusana ubongo wa mtu.Wakati mtu anapojionakuwa anasikia raha nakuburudika kwa kiwangokidogo cha pombe,huwa hana habari kuwaanaziua seli za ubongowake." Dk. Kanzeliambaye ndiye Mkuu wataasisi ya utati cha Chuocha Matibabu cha SouthCarrolina, anaaminikuwa ulevi huasababishamabadiliko katikadamu na mishipa yakekiasi kwamba, ubongo

    unakosa hewa ya oksijenina hivyo kuharibiwa, auhuharibika kiasi kwamba,

    mtu anatumbukia katikahali ya kuchanganyikiwaakili.

    Kuingia kwa pombekatika damu kunaathirimno mzunguko wadamu, na hivyo maranyingi husababishakuganda kwa damu. Dk.Hertbert Moskov, tabibumashuhuri wa nchiniUrusi anasema kwamba,"Pombe hudhoosha seliza ubongo na kuteketezanguvu za uwezo wakukabiliana na matatizo.Lakini tatizo kubwani dosari za urithi wakimwili. Mlevi kwakawaida huwa amechoka,mvivu na mpumbavu.

    Baadhi ya watotowanaozaliwa na kuwa namatatizo au upungufukatika viungo, hayohutokana na utumiaji wapombe wakati mama zaowalipokuwa waja wazito.Wataalamu wa masualaya tiba wanaamini kuwa,pombe ni sumu yaviungo vinavyokuwa.

    Mama mjamzitoanapokunywa pombe,kileo hicho hupenyakatika mishipa ya damuya mtoto kupitia kondo lanyuma (placenta).

    Pombe hudhuruviungo dhaifu vyamtoto vinavyokuwa.Watoto wanaozaliwa

    na wanawake walevihuwa na tatizo la ukuajidhaifu wa ubongo hivyokuwafanya wasiwe naakili nzuri, kuwa nauzito mdogo wakati wakuzaliwa, matatizo yamoyo, go na macho,matatizo ya mifupa nayohuweza kuwapata watotohawa.

    Wakati mwinginehatua ya mama mjazitoya kunywa pombehusababisha kubadilishaumbo halisi la mtotona hata kusababishakuzaliwa mtoto mwenyeupungufu katika viungovyake.

    Aidha inaelezwa

    na wataalam kwambakitendo cha mamamjazito kunywa pombekinaweza kusababishamadhara makubwa kwamtoto anapozaliwa kamakuwa na matatizo yamtindio wa ubongo.

    Utumiaji wa kinywajihiki kilichoharamishwahusababisha madharakatika ini. Athari yapombe katika inihusababisha kujitokezamaradhi ya ini kuvimbana mwisho wake nimtumiaji ulevi kupata

    maradhi ya saratani.Athari nyingine ya ulevini kwa jamii. Mwaka 1968theluthi moja (1/3) yamatukio ya kujinyongaau ya kutaka kujinyongayaliyotokea ulimwenguniyalisababishwa na ulevi.

    Kwa mujibu wa Shirikala Afya Duniani (WHO),mwaka 1980 asilimia(86%) ya makosa ya jinaiyakiwemo ya kuua, naasilimia hamsini (50%)ya matukio ya uporajina kutumia nguvuyalisababishwa na ulevi.

    Mwaka 1976 madharaya ulevi yalisababishaajali za barabarani kamaifuatavyo:

    Nchini Marekaniasilimia sitini na saba67% ya ajali za barabaranizilisababishwa na ulevi.Nchini Ufaransa asilimia46% ya ajali za barabaranizilisababishwa na ulevi.Nchini Australia asilimia50% ya ajali za barabaranizilisababishwa na ulevi.

    Madhara mengineya ulevi ni matatizo yakifamilia na ya kikazi.Na vile vile hasara zakiuchumi kwa mtu

    binafsi na kwa jamii kwaujumla.

    Kila jambolililokatazwa naMwenyezi Mungu katikaUislamu, sharti linasababu ya kukatazwakwake au lina matharamakubwa wa wanadamu.

    Mwenyezi Mungu

    ameharamisha ulevi kwamantiki kwamba, kwanzani rahisi kuizoea nakuwa muathirika wake,yaani huwezi kulala bilakuikosa (Adicted).

    Na alijua kwambamwanadamu akiizoeaitamdhuru. inamadhara kwa afya.Pombe humuondolewa

    binadamu nuru katikamoyo wake pamoja nastaha. Pombe humfanyamtu kuwa na kiburicha kufanya mambo yaharamu, umwagaji damuna kuchupa mipaka.

    Mtu akiwa amelewa,

    si ajabu akamuingiliakimwili hata maharimuwake. Pombe haiongezikitu zaidi ya mambomabaya na machafu.

    Kwa mantiki hiyoitoshe kufahamu kuwa,pombe ni chimbuko lakila mambo mabayana machafu. Binadamuakishakunywa, awezakufanya jambo lolote

    bila kujali wala kukirijuu ya matokeo ya kilealichokifanya. Tuepukanenayo.

    Lishe na athari zake katika sihaInatoka Uk. 6

    kutokea nje. Kama uchafu(mabaki ya chakulakilichochakatuliwa na

    mwili na kuondolewavirutubisho) hautolewinje ya mwili kamainavyotakiwa, basitutarajie athari mbayaikiwa ni pamoja namaradhi kadha wakadhaa. Ugonjwakama Bawasir (mgolo)au hemorrhoidskama unavyojulikanakitaalamu, ni mojaya magonjwayanayosababishwa kwakiasi kikubwa na hali hii.

    Uchakataji mwinginekatika chakula uko katikamtindo wa kuongezavitu fulani fulani ilikuimarisha ladha aukukipa chakula hichouhai mrefu zaidi wakukaa kwenye shubaka(shelf) la mauzo, au kuuavijidudu vya maradhivinavyoweza kuwemokatika chakula hicho,nakadhalika. Chukuliamfano wa chumvi.Kwa kawaida chumviambayo haijaongezwachochote huwa inavutamaji na muda wote ikokatika hali ya kulowa.Waandaji wa chumviwanapenda kuongezakemikali za kufukuzamaji na kuifanya chumvihiyo iwe ungaunga

    mkavu muda wote.Kemikali hizi huitwaanti-caking agents.Hivi sasa kuna mjadalamkali unaoendelea juuya usalama wa hizi anticaking agents kiafya.Baadhi ya wataalamuwanazituhumu kuwazinachangia katikamaradhi ya go, moyo,ini nakadhalika.

    Uchakataji maarufuni ule wa vyakula vyamakopo/chupa, auvilivyofungwa kwenyevifungashio maalumvya mabokisi, mathalaniyale ya juisi za matunda.Vimengenya vingivilivyoko kwenyevyakula vibichi lakinivikavu, mathalaninafaka, vinakuwa katikamtindo wa kutofanyakazi mpaka pale vyakulahivyo vinapogusana namaji. Kinachopelekeahali hii ni kemikalimaalum zilizowekwa naMUUMBA sambambana hivyo vimengenyaambazo kwa kitaalamuhuitwa ENZYME

    INHIBITORS, au vizuiavimengenya , kwa tafsiriisiyo rasmi.

    Vizuia vimengenyavingi huuliwa nguvu

    yake na maji nandiyo sababu mbeguinapopandwa huhitajimaji ili iweze kuota!Maji hudidimiza nguvuya vizuia vimengenya,vimengenywa vinaachwahuru, navyo vinachocheaviini vya UHAI katikambegu kuzaa UHAImpya! Mbegu inachipuana huko iendako iwapoUHAI wa huo mmeampya utalindwa, mmeahuo utazaa mamia yambegu ambazo kilamoja itakuwa imefungiaviini luluki vya UHAImwingine!

    Kunapokuwa nalengo la kuhifadhi kwamuda mrefu vyakulaambavyo vina majimajindani, ni lazima vyakulahivyo vichakatwe aukwa kuondoa majihusika (drying), aukwa kuua vimengenyavilivyomo. Bila kufanyahivi ina maana kuwavimengenya vilivyomondani ya vyakula hivivitaendelea kufanya kazina kusababisha chakulahusika kuendeleakubadilika hadi kuoza,

    mfano wa tunda bivulinavyooendelea kuivahata pale linapokuwalishatenganishwa na mti!

    Juisi za matunda kwamfano zitaendelea kuiviandani ya kifungashiokama vimengenyakwenye matunda husikahavitaharibiwa!

    Ili kuondoa halihiyo juisi huchemshwa(vimengenya vingihufa katika nyuzi jotokati ya 42 na 47 katikakipimo cha Celcius).Aidha katika uchemshajihuu viini hai vingine

    navyo hufa pia. Kibayazaidi ni kwamba maranyingi ni lazima juisi hiziziongezwe pia kemikaliza kusaidia kuhifadhi(chemical preservatives)ambazo zitasaidiakudhibiti vimelea vyamaradhi visije vikaingiana vikazaana ndani yahiyo juisi.

    Kuna uhusiano ganikati ya chakula namaradhi? Fuatana namiwiki ijayo.

    ANNUUR NEW.indd 14 1/1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1212

    15/20

    15 AN-NUUR

    RABBIUTH THAB1437, IJUMAA JANUARI 15-21,2016Makala

    AMA baada ya hayo, njoziyangu kuu ilikuwa ni kuingia

    katika Chuo Kikuu. Nilikuwanatamani sana wakati ule ambaonitakuwa msichana wa ChuoKikuu. Nitastarehe kwa kudurahii kubwa kwa ile heshimaanayopatiwa msichana wa Chuo.Dini yangu ilikuwa na upungufumkuu na Swalah zilikuwazinanipita pamoja na Ibadahnyinginezo. Yote haya yalikuwani mambo ya kawaida. Pamojana haya yote, nilikuwa radhikwa hii kudura ya kutekeleza ilesehemu ndogo ya dini.

    Nilikuwa nikiwatizama walewalioshika dini kwa mtizamo wakuwatweza. Nilikuwa nawaonawao ni watu waliobaki nyumana wasiopenda maendeleo.

    Na hivyo wao wanasimamamsimamo wa kukataa kila kipyacha kisasa.

    Nilikuwa nafadhilisha raiza wenye kusahilisha ambaonilikuwa nazisikia kutoka kwaMashaykh kwenye idhaa naruninga. Nikazijaalia kuwahizo ni dalili kwangu kwa yaleniliyokuwa nayo kwa yalemakosa na munkar (maovu).

    Hakika nilikuwanimechoshwa na kukerwa namakatazo na amri ambazozilikuwa zinatufunga katikamadrasah (shule). Nilikuwanatamani kupata ziada katikauhuru, sehemu ya kuanzia nakuondoshewa vikwazo.

    Katika Chuo nitavaa

    ninavyotaka na kufanyaninayotaka. Bila shaka ilikuwadhiki na kuchoshwa na nasihaza madrasah na sheria zao.Usiweke nguo yako kwenyeviganja vya mkono Usivaeaina hii ya nguo Tahadharina kuvaa nguo fupiOndoa(usitumie) aina yeyote yavipodozi usoni mwako. Hivyoni juu ya mwanadamu asubirimpaka atakapokia lengo lake,naam (ndio) nitasubiri.

    Nilikuwa nakiria sanahuku nikingojea siku ambayonitamaliza kwayo na kujitoakatika vikwazo hivi. Ninatakakuwa msichana ambaye nina rai

    zangu mwenyewe na kira hasana maazimio yangu yaliyo huru.Nilifaulu sekondari na

    matokeo yangu yalikuwayananiwezesha kuingiaChuo kikuu. Hatimaye njoziyangu imepatikana niliokuwanaitamani kila wakati.Mwishowe nitakuwa na rai nawala sitalazimizishwa kufuatarai za wengine.

    Mwaka wa masomo ulianzanami nikaanza kutafuta rakimsichana ili tubadilishane hisiaza nafsi. Awe anaishi kwa hamuile ile ninayoishi mimi. Raki

    Kisa cha msichana wa Chuo Kikuu Misr na Hijjaab!Hiki ni kisa cha kweli na kwa hakika kina mafunzo

    mapana sana kwa vijana wetu wa leo na akinamama kwaujumla. Fuatilia kwa makini na mazingatio huenda naweukawa ni mwenye kubadilika na kukiri vizuri na sahihizaidi badala ya kuendelea kuishi kwa kufuata hawaa namkumbo. Sasa endelea.

    zangu wawe wamefunguka

    kimawazo na wa kisasa nawawe wanauona ule uhuruambao ninauona mimi. Nilijuanana baadhi ya maraki nanikajenga pamoja nao uhusianousiotikisika na ambao ni imara.Mazungumzo yetu yalikuwayakizunguka katika mambo yakipuuzi, hivyo kuashiria upuuziwetu na mambo ya kijuu juu(bila kuwa na maana yeyote)mitindo ya kisasa na fashenina nguo za fahari kupita kiasi,vitu vya urembo, vipindi vyatelevisheni, sinema, vipindi vyakuendelea (musalsalaat), nyimboza video za kisasa, kusengenya,istihzai na mambo mengi ya ainahii.

    Baba yangu alikuwaameshughulika sana katikabiashara na kaka zangu wotewalikuwa katika njia hiyo hiyo.Sikusikia kutoka kwao kabisamaneno ya nasiha. Nilikuwanaishi katika ulimwengumwengine kabisa ambaoniliukumbatia kwa nafsi yanguna wala sikutaka kujiondoakwayo. Sikuwa ni mwenyekufanya kitu chochote kimakosakatika kipindi nilipokuwapamoja na maraki zangu.

    Siku moja nilipokuwaninamngojea dereva kwenye

    mlango wa Chuo, alinikabilimsichana. Inavyoonekanani kwamba yeye anamili (aumwanajumuiya) mfumo uleuleambao mama yangu na nyanyayangu wanamili. Nguo yakeilikuwa imemsitiri sana nahakuna kitu kilichoonekana.

    Alinisalimia kishaakaninyoshea mkono ambaoulikuwa na glavu. Nilimnyosheamkono kisha nikauondosha

    kwa haraka. Nikamwambia:Kama kwamba unatakakitu? Akasema: Kwa hakikaewe dada yangu! Nguo yakondio imenivutia, hivyo kutakakuuliza modeli yake.

    Nikamuambia kwakujiamini: Ufaransa, hii nikatika modeli mpya kabisailiyoingia madukani.Akasema: Je, unadhani yakwamba kwa kuwa nguo hiyoimetengenezwa Ufaransa inafaakuvaliwa na Waislamu? Na je,inafuata kanuni zilizowekwana Uislamu? Nikasema:Ni kanuni au maagizo ganiunayokusudia? Akasema:Je, hujui ya kwamba vazi la

    Kiislamu la kike lina sharti zakisheria, miongoni mwa hizoni: kufunika mwili mzima,lisiwe lenyewe ni pambo, lisiweni lenye kuonyesha maungo,liwe ni pana na wala si lenyekubana, lisif