ANNUUR 1057

download ANNUUR 1057

of 16

Transcript of ANNUUR 1057

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1057 RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Si kuwepo au kutokuwepo Mkataba asilia

    Kama Amani hakuona, Shein kautoa wapi?

    Wanafunzi Waislamusasa waikataa NECTA

    Waazimia kupiga kambi kwa NdalichakoNi iwapo serikali itaendelea kuwapuuza

    Tai ametua rasmi Afrika -Uk. 9

    Tusipotoshe agenda:Hoja ni Zanzibar huru

    Waislam kwenda kwa DPPkuhoji dhamana ya PondaWAISLAMU JijiniDar es Salaam,wameazimia kufikakwa Mkurugenzi

    wa Mashtaka Dk.

    Elliezer Feleshi wiki

    ijayo, kutaka kujua

    sababu ya kuzuiadhamana ya SheikhPonda Issa Ponda.

    Soma Uk. 16

    TAI - Alama ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kuashiria nguvu nauoni wa mbali.

    Inawatangazia nafasi ya hijja 1434h,2013m

    Malipo ya gharama zote ni Dola 4300$Karibu Ahlul Sunna wal Jamaa

    Ofisi yetu ipo Barabara ya LumumbaJijini Dar es salaam katika jengo laSaba general, mkabala na AnatogloMnazi moja, ghorofa ya tatu kwa

    mawasiliano zaidi piga simu 0717224437,0774462022

    Ahlu Sunna Wal jamaa

    Hajj And Umra Trust

    Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume hawndiyo waasisi wa serikali za Tanganyika na Zanzibar; na

    kisha muungano.

    Kizungumkuti chamuungano bila hati

    Uk. 11

    Uk. 6

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    2/16

    2AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    MJUMBE wa Shura yaMaimam, Mkoani Mtwara,Bw. Saalum Simba, amesemasi kweli kwamba mgogoro waGesi, umekwisha kufuatiaziara ya Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda, mkoanihumo hivi karibuni.

    Bw. Simba ameyasemahayo, akitoa taarifa fupi,kuhusu ziara ya Waziri MkuuMh. Mizengo Pinda, katikamkutano wa Waislamu,uliofanyika Temeke Jijini Darers Salaam, Jumapili iliyopitana kudaiwa kuwa, mgogorowa gesi baina ya Serikali nawakazi wa Mikoa ya Kusini,umekwisha.

    Si kweli kwamba mgogorowa gesi Mtwara umekwishakama vinavyoripoti vyombovya habari, baada ya Waziri

    Mkuu, Mizengo Pinda,kufanya ziara katika Manispaaya Mtwara, Mikindani.Alibainisha Bw. Saalum IssaSimba.

    Bw. S imba , a l i semamsimamo wa watu wa Mikoaya Kusini, ambao kaulimbiu yao ni Gesi kwanzauhai baadae. ni kwambaendapo Serikali haitobadilishamsimamo wake, wapo tayarikufa kuliko kuona gesiikisafirishwa.

    Alisema, msimao huoumejidhihirisha siku chachezilizopita, kwani imeripotiwakuna baadhi ya wananchi

    wa Mtwara wamekufa, namiongoni mwa hao wawilini Polisi.

    Akizungumzia yaliyojirikatika z iara ya Wazir iMkuu, alisema, Mh. Pinda,alifanikiwa kuzungumzana makundi mbalimbali yakijamii kwa lengo la kupatamaoni yao, ikiwemo Shura yaMaimam.

    Ust. Simba, alisema Shuraya Maimam, lilikuwa kundila pili kuzungumza na Mh.Pinda, wakitanguliwa nawanasiasa, ambapo (Shura)walitoa kikamilifu maoniyao kuhusiana na madai namaoni ya watu wa Mkoa waMtwara.

    Tulimpa maelezo ya kina,na msimamo wa watu waMtwara, kauli yake alisemahapa mmemaliza yaanilile tamko lilikuwa sawa nauamuzi wa Serikali, kwakuwa lilikuwa na pointi zamsingi zenye kueleweka kwaasilimia mia moja. AlisemaUst. Simba.

    Bw. Simba, aliendeleakusema kwamba, katikamaelezo yao kwa Waziri

    Mgogoro wa gesi Mtwara haujaishaNa Bakari Mwakangwale Mkuu, waliitaka Serikali

    kuachana na ushauri waTPDC, wa kujenga Bomba laGesi, kutoka Mtwara kwendaDar es Salaam, sambambana kujenga mitambo yakufulia umeme Kinyerezi,Dar es Salaam, na badalayake mitambo hiyo, ijengweMtwara.

    Bw. Simba, akasema,Waziri Mkuu Mh. Pinda,alidai kuwa mawazo hayoyanafanana na mpango waserikali, kama alivyo elezwana mtaalamu wake kuwamitambo hiyo itajengwaMadimba, Mwatwara.

    Hata hivyo, Bw. Simba,aliueleza umma kwamba,maelezo ya Waziri Mkuuyana walakini, kwani katikampango wa TPDC, ambao

    ndio washauri wa Serikaliunaonyesha wazi kuwakitakachojengwa Madimba,ni mtambo wa kusafisha gesikisha bomba litasafirishagesi asilia kwenda Dar esSalaam.

    Mchoro unaonyesha kuwamtambo wa kufulia umemeutajengwa Kinyerezi, lakinikauli ya Waziri Mkuu (Pinda)inasema mtambo utajengwaMadimba, tunashindwakuelewa ukweli haswa niupi, jambo ambalo linatutiamashaka. Alisema Bw.Simba.

    Kufuatia kupishana kwamaelezo hayo baina ya WaziriMkuu na michoro halisi, alidaikwamba labda Mh. Pinda,angewaeleza wana-Kusinikwamba Serikali imebadilishampango wake wa kufuataushauri wa TPDC.

    Bw. Simba, alikwendambali zaidi akidai kuwa wanaMtwara hawajaridhishwa nakauli ya Waziri Mkuu.

    Kutokana na hali hiyo,a l i s e ma w a n a - M t w a r awanataka kujiridhisha kwambani kweli kinachojengwaMadimba, Mtwara ni mtambo

    wa kufulia umeme au nimtambo wa kusafishia gesi.

    Lakini pia Bw. Simba,akadai Waziri Mkuu katikaziara yake hiyo hakuwekawazi madai ya kile alichokiitagharama kubwa ya kusafirishagesi kwa njia ya nyaya kutokaMtwara kwenda Dar esSalaam.

    Kinyume chake alisema,Serikali hiyo hiyo ina mpangowa kuunganisha mji waSongea katika gredi ya Taifakwa umeme huo huo wa Gesikutoka Mtwara, kwa njia ya

    nyaya wakati umbali wake nmkubwa kuliko Mtwara-Des Salaam.

    Mtwara tunahoji, kamkutoka Mtwara hadi Dar eSalaam, ambako kilomezake ni chache, iwe ni gharamkubwa vipi iwezekane kuutoumeme huo Mtwara kwendSongea, ambako kilomizake ni nyingi zaidi? Sasutata kama huu utasemajkuwa mgogoro umekwishaAlisema na kuhoji BwSimba.

    Bw. Simba alidai, baadya kikao cha majumuishna Waziri Mkuu, ambachkimeacha maswali menyasiyo na majibu, wanMtwara, wanashangazwa ntaarifa zinazodai kuwa suala gesi limemalizwa, jamb

    ambalo wanashindwa kuelewtaarifa hizo zinatoka wapi.Bw. Simba, alisema kil

    cha watu wa Mikoa ya Kusinni kuona mitambo ya kufulumeme inajengwa ndani ymikoa hiyo, jambo ambalitaweza kuvutia wawekezakuwa na uhakika wa umemwa kutosha wa kuendeshviwanda katika maenehayo.

    W a t u w a K u s i ntunaposema gesi haitokhatuna maana wenginwasinufaike, ila kwa kuwa situpo nyuma kiuchumi zaid

    ni vema matumizi ya awaya gesi yakaanzia kwetu, kwkufanya hivyo ndipo wanKusini watainuka kiuchumna manufaa mengineAlibainisha Bw. Simba.

    Akielezea hali ya mwa Mtwara, kuhusiana nsuala la gesi, Bw. Simbalisema wakazi wa mji huhivi sasa wanakauli moja tkwani alidai akitokea mtyoyote yule kusimama nkuzungumzia gesi huulizwswali moja tu, Inatoka aHaitoki.

    A l i b a i n i s h a k w a mb

    ukijibu kuwa gesi itatokkabla hujatoa maelezo yziada unapigwa.

    Hii alisema inaonyeshkwamba wana-Mtwara badhawajakubali gesi itokMkoani mwao.

    Wana-Kusini wanasembado wanaen delea kui sihSerikali yao kwamba, hi

    jambo bado limekaa vibaybusara na umakini utumikbadala ya mabavu, vinginevyhali itakuja kuwa mbaya zaihuko mbele. AlitanabaishBw. Simba.

    HIVI karibu, yamefanyikamaadhimisho ya siku yasheria nchini.

    M a a d h i m i s h o h a y oyalifanyika katika viwanja vyaMahakama Kuu Kivukoni,

    jijini Dar es Salaam Februari6, 2013.

    Katika maadhimisho hayo,mgeni rasmi alikuwa ni Raiswa Jamhuri ya Muungano

    wa Tanzania, Jakaya MrishoKikwete.Bila kukosekana watendaji

    wakuu wa mahakama wakiongozwa na Jaji MkuuOthman Chande, Jaji Mkuu waZanzibar Othman Makungu,Jaji kiongozi Fakihi Jundu,Spika wa Bunge la Jamhuriya Muungano Anne Makinda,Waziri wa Katiba na ShariaMathias Chikawe, Jaji waMahakama ya Rufaa JanuaryMsofe, Majaji wa mahakamaya Rufaa, Mahakama Kuu,Mawakili na Wanasheriambalimbali pamoja na

    viongozi wa dini na baadhiya wananchi wa kawaida.

    Kabla ya maadhimishohayo, yaliwahi kufanyikamaadhimisho ya siku ya Hakiza Binadamu katika viwanja

    vya mnazi mmoja jijini Dar es

    salaam. Mgeni rasmi katikamaadhimisho hayo alikuwani Waziri Mkuu, MizengoPeter Pinda.

    Ni jambo zuri kuadhimishasiku hizo za kisheria na za

    kutetea haki za watu hapa

    nchini. Hii ni ishara kwambasuala la haki za watu katika

    nchi hii, zinakumbukwa nakuthaminiwa.

    Hata hivyo, tunasikitikasana kusema kwamba sualala kuthamini haki za watuhapa nchini limekuwa adimusana.

    Kweli tumadhinisha sikuya sharia nchini na siku yahaki za binadamu. Lakinitumefanya hivyo kinadhariatu, na kuuonyesha ulimwengukuwa tunajali na tunasimamiahaki.

    Lakini kwa vitendo haliinaonyesha kuwa kuna

    Vyombo vya sheria viachwe hurukutoa haki kwa mwenye haki

    udhaifu mkubwa katikavyombo vyetu vya kutoa nakusimamia haki nchini.

    Kwa jinsi hali ilivyo,rushwa, kufahamiana, wenyeuwezo, wenye nyadhifakubwa serikalini, watumashuhuri na watu maarufu,wamekuwa wateule wakupata haki.

    Masikini, makabwela,watu wa kawaida, wamekuwa

    wanyonge wa haki mbelekundi nililotangulia kulitajahapo awali.

    Kibaya zaidi, siasa nayoimeingilia haki za watumbele ya vyombo vya kutoana kulinda haki. Waadhirikawakubwa ka t ika eneohili ni wanasiasa hususanwasiokuwa wa mrengowa chama tawala. Lakiniwanaobanwa zaidi katikauwanja huu ni viongozi wadini.

    Hawa wakidai haki zaoau za dini zao au wauminiwao, watawala na watendaji

    wa ngazi za juu serikaliniwata tumia siasa kamamwanya wa kuwabana nakuwanyamazisha.

    Akina Ponda, akina Faridni mfano mzuri katika eneohili. Leo wako ndani nadhama zao zimezuiwa. Hayani matokeo ya mamlakakutumia nguvu ya kisiasadhidi ya watuhumiwa ilikuwadhibiti.

    Tunakumbuka pia ilekesi ya uhaini iliyokuwaimefunguliwa kule Zanzibardhidi ya akina Juma DuniHaji.

    Lingekuwa ni jambo zurizaidi iwapo sherehe hizizinazohusu masuala ya hakiza watu, zukaadhimishwahuku kukiwa na mazingiramazuri yaliyo wazi nahuru kwa watendaji wavyombo hivyo vya kulindana kutetea haki za watuhao.

    Haipend ezi kujengamatabaka ya wanaostahilina wasiostahili haki mbele yavyombo vyetu vya sharia, ilikulinda maslahi ya wachachewanaodhulumu.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    3/16

    3AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Habari

    Wanafunzi Waislamu sasa waikataa NECTANa Bakari Mwakangwale

    WANAFUNZI wa KiislamuJij ini Dar es Salaam,wameitaka Serikali kuifuta

    kamati ya Kutunuku viwangovya ufaulu ya NECTAkwa kuwa ni kichaka chakuwadhulumu.

    Aidha, wanafunzi haowamesema, wapo tayarikuchukua hatua mbadala ilikuweza kufikisha ujumbekwa Serikali kulifanyiamarekebisho Baraza la Mitihanila Taifa (NECTA), ikiwa njiaza awali zimepuuzwa.

    Wanafunzi hao wametoakauli hizo Jumatano wikihii, katika Kongamano lawanafunzi wa Kiislamulililofanyika katika Msikitiwa Mtambani, Jijini Dares Salaam, na kujumuishaw a n a f u n z i w a S h u l embalimbali za Jijini hapa,wakijadili kadhia ya Barazala Mitihani dhidi ya wanafunziwa Kiislamu Tanzania.

    Katika maazimio yao,wanafunzi hao wamesetakamati hodhi ya kutunukuviwango vya ufaulu kwawanafunzi nchini iondolewemara moja kwani ni sehemukuu ya dhulma katika Barazahilo.

    Kamati hiyo haina usawana haizingatii haki katikamaamuzi kwani ni kichakacha kuwachinjia wanafunzi waKiislamu, pia katika muundo

    wa Baraza la mitihani haipo.Imesema sehemu ya maazimioya wanafunzi hao.

    Wanafunzi hao walionekanakuguswa mno na taarifambalimbali zilizowasilishwakwao na Baraza la Wakuu waShule za Kiislamu Tanzania,iliyotanguliwa na taarifa yaMwenyekiti wa Baraza hiloMwalimu Hamisi Togwa, haliiliyopelekea kutoa maoni yaokwa hisia kali.

    Mwanafunzi Ally Said,kutoka Shule ya SekondariRidhwaa, akichangia katikaKongamano hilo, alisematokea kuibuka kwa kadhia hiyo,

    kauli nyingi zimeshatolewalakini vitendo hakuna, hukuakitaka vitedo vichuke nafasiyake sasa.

    Mmetueleza dhulma nyingitulizofanyiwa na NECTA,mpaka sasa tumejitambuakuwa tumenyanyaswa sanakama tusipo tumia mikonoyetu kuondo dhulma hii,hali hii haitokoma. AlisemaMwanafunzi Ally.

    Akiongea kwa uchungu,aliwataka Wakuu wa Shulekutoa muongozo ni liniwaende Baraza la Mitihani,kwani alidai ipo siku itafika

    wataamua hata kufunga shuleza Kiislamu, huku akidaimaneno matupu ni sawa naSimba aliyekosa meno namakucha.

    Naye Mwanafunzi Qassim,

    kutoka Shule ya KiislamuUbungo, aliifananisha Serikalina ndimu, kwamba alidai haitoimaji mpaka ikamuliwe, hivyoalisema wakati umefika wakuchukua maamuzi magumukuilazimisha Serikali iondoedhulma ndani ya Baraza laMitihani.

    Mwanafunzi kutoka Shuleya Matangini Islamic, Rajab,aliwataka wanafunzi wenzakekuwa madhubuti katika kudaihaki ili waweze kukabiliana nadhulma ambazo zimeanishwana viongozi wao katikaKongamano hilo.

    Tumeshatambua adui wetu

    ni nani, kama ni hivyo tuelewekwamba hakuna mabadilikobila maumivu, lazima tukubalikuumia lakini wadogo zetuwalio nyuma waje kutendewahaki, ipo haja kwa wanafunziwa Kiislamu kwenda kuwekakambi Baraza la Mitihanimpaka kieleweke. AlisemaRajab.

    Mwanafunzi mwinginekutoka Shule ya Sekondari IlalaIslamic, Mwajuma Mikidadi,alisema anacho elewa yeye nikuwa wazazi wao (Waislamu)wameshaongea sana kuhusuBaraza hilo, bila mafanikio.

    Imefika wakati sasasisi wanafunzi tusimamewenyewe tumechoka kukutanakatika makongamano yakuzungumzia NECTA, ni

    bora twende kuonana na haowatendaji, sisi tupo tayari kwalolote ili watuelewe kuwatumechoka kuchulumiwa.A l i s e m a m w a n a f u n z iMwajuma.

    Akisherehesha aya za Quran, katika mchango wake,mwanafunz i MwajumaMbaruku, toka Buza Sekondari,alisema kwa mujibu wa madazil izowasil ishwa katikaKongamano hilo, ni kwambamfumo huo haujaanza sasa.

    Alisema, Mwenyezi Mungu

    kasema katika Qur an kwambawatu hao ni mabubu, viziwina vipofu, kwa hali yoyotealidai hawawezi kuelewakitu kinachoitwa haki kwaWaislamu hivyo kilichoponi kupambana na kuondoamfumokristo ulipo ndani yaBaraza hilo.

    Mwanafunzi kutoka Shuleya Sekondari Kibasila, JumaSalim, alisema wanafunzi waKiislamu nchini wasimamekwa kauli moja na kutafutanjia muafaka ya kuipaza iliwahusika weweze kusikiaikiwa njia z i l izotumika

    zimefeli.Akijibu hoja za wanafunzi

    hao, waliohoji mpaka liniwataendelea kuzungumziasuala hilo badala ya kuchukuahatua, Makamu wa Rais

    wa Jumuiya ya Wanafunziwa Ki is lamu Tanzania(TAMSYA), Salum Kisaki,alisema wanafunzi pamojana Waislamu kwa ujumlawataendelea kuzungumza

    juu ya kadhia hiyo mpakapale watakapokuwa na kaulimoja.

    Alisema, kujitambua kwawanafunzi juu ya dhulmawafanyiwazo kupitia Barazala Mitihani, ni moja ya njia yakuondoa tatizo hilo ndio maanawamekusanyika kwa pamojaili kujadili na kuanisha hatuaambazo zimesha chukuliwahadi sasa.

    Hisia mlizo onyesha hapa,ni kutokana na kupewa aukufahamisha kiuhalisia jinsiBaraza la Mitihani lilivyona linavyofanya kazi, natumewaita hapa kupeanauhalisia huo ilitukiamuakufanya jambo tujue ninitunachokifanya. AlisemaBw. Kisaka.

    Katika maazimio ya kikaohicho, imeelezwa kwambaWaislamu hawana imani naBaraza la Mitihani kwa kuwahalina uwiano wa kidini, nakwamba kitendo cha Barazahilo kujazana watu wa dinimoja kunashawishi upendeleo

    wa dini husika.M a a z i m i o h a y o p i ayametaka viwango vya ufauluwa wanafunzi viwekwe wazikwa wadau wa elimu na ziwena muundo mmoja badalaya kubadilika na kuwa siriya baadhi ya watendaji waBaraza la Mitihani.

    Bw. Kisaka, aliwatakawanafunzi hao kuondokana maazimo hayo, wakiwa

    wanajiandaa na njia mbadalaambayo kwa pamoja watakapo

    amliwa kuifuata, hapatakuwana maswali kwa nini iwehivyo.

    Kwa kuendelea kupuuzwa,Rais huyo wa TAMSYA,aliasa kwamba siku itakapo

    kuja kutumika njia mbadalaisije dhaniwe kuwa watu

    w a n a t u m w a k u v u r u g a

    amani ya nchi, bali ielewekeWanafunzi wa Kiislamuw a n a d h u l u m i w a , s a s awamechoka kudhulumiwa.

    A w a l i , a k i w a s i l i s h amada yake ya changamotozinazowakabili wanafunzi waKiislamu, nchini kupitia Barazala Mitihani la Taifa, Mhadhirimsaidizi kutoka Chuo Cha

    Waislamu Morogoro (MUM),Suleiman Qassim, alisemawanafunzi wa Kiislamu nchinini wahanga wa kwanza wadhulma zinazofanywa naBaraza la Mitihani Tanzania.

    Alisema, uozo uliopoBaraza la Mitihani, kamaw a n a f u n z i w a k i a mu akuuondoa hawashidwi kwanihistoria inaonyesha kuwawanafunzi wameweza kuletamageuzi kutoka katika dhulmana kwenda katika haki, katikanchi mbalimbali.

    Mwl. Qassim, alisemautafiti ulifanywa na Baraza laWakuu wa Shule za Kiislamu,ulibaini kwamba, mitihaniinasahihishwa sawa sawana maksi zinajumlishwakiusahihi, katika hatua zaawali, lakini tatizo linakujakatika kamati ya kutunuku

    madaraja (Grade).Akianisha changamoto hiyo,Mwl. Qassim alisema katikakufanya uchunguzi tumeya Waislamu ya uchunguziiliomba kupatiwa mfumounaotumika kuweka hayomadaraja ya ufaulu.

    Tume ya uchunguziiliomba, mara ya kwanzahaikupatiwa mara ya tatuwakaulizwa, kwani zinaulazima mzipate. Baadaya kupatiwa madarajahayo ndipo likapatika

    jambo amba lo li likuwahalifahamiki kabisa.

    Alisema Mwl. Qassim.Akiweka bayana mamboyaliyobainika kutoka katikakamati hiyo, alisema mathalanikatika somo la Maarifa yaUislamu kwa kidato cha nne

    mwaka 2011, wakati ambapinafahamika ukipata alama 2au 23, unakuwa umepatalama D.

    Lakini mwaka hu

    ilikuwa aliyepata 0 mpak34, ilihesabika alikuwa ndaraja F, na alama D, ilikuwinaanzia alama 35 mpaka 5kwa hiyo wewe ukijikadiralama 41, kuwa umepadaraja C, katika kamaya kutunuku ni kinyumchake, na hii tume hii ipchini ya Katibu Mtendawa Baraza la Mitihani, DkJoyce Ndalichako, ambayndiye Katibu Mtendawa Baraza pia. AlianishMwl. Qassim.

    Changomoto ya pili aliitakuwa ni Barza la Mitihan

    kufanywa kama Parokikwa maana toka kuanzishwkwake mpaka leo takribanmika 30, nafasi zote nyena muhimu hushikwa nWakristo.

    Si hivyo tu, lakini pia mwQassim, alidai waratibu wmasomo hayo, zaidi yasilimia tisini ni Wakristna hata wasahishaji wmitihani yao huwa ni hahao, jambo ambalo ni waWanafunzi wa Kiislamnchini inawakwazika.

    M w l . Q a s s i maliwatanabaisha wanafunhao wa Kiislamu kwambwasidhani kwamba ipsiku Wakristo waliojazankatika Baraza la Mitihanwatajiwabisha wenyewe.

    Kumradhi

    TOLEO lililopita likokosea kuandika jina la Kamishnwa Polisi Zanzibar( kulia) Jina lake ni Mussa Juma na siIGP Said Mwema (kushoto) kama ilivyoandikwa awali

    IGP Said Mwema Mussa Juma

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    4/16

    4AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 20Makala

    SHUKRANI zote anastahikiMwenyezi Mungu Mola waviumbe wote. Na rehema naamani zimfikie Bwana wetuMuhamad na jamaa zake nasahaba zake wote.

    Kwa hakika Uislam umekujaili uwe ni rehema kwa viumbewote na kuporomosha nakuondoa taabu na mashaka,ambayo yalikuwa kwa waliopitakabla.

    Mtume wa Waislam namjumbe wa Mola kwa viumbewote Muhamad (S .A.W),

    miongoni mwa mambo makubwaambayo aliletwa kwayo, alikuwampole kwa viumbe wote nahili ndilo lililoweka waziQur-an tukufu pale aliposemaMwenyezi Mungu mtukufu, nasikukutimiliza isipokuwa uwe

    Aina za misamaha katika Uislamu

    Na Sheikh SalahSayed Hussein

    ni rehema kwa viumbe wote.Na akasema tena katika SuratAl-aaraf, na rehema zanguzimeenea katika kila kitu nanitaziweka kwa wale walioWachamungu hadi neno lake

    na kuwaondolea matatizo namashaka waliokuwa nayo.Na katika sahihi Muslim

    toka kwa Abii Hurairat (R.A)palisemwa, ewe Mtume waAllah, Walaani washirikina,akasema Mimi sikuletwakuwa mwenye kuwalaani watu,kwa hakika nimeletwa kuwani rehema. Ni kweli yeye nirehema mwenye kuongoa na nineema mwenye kusaidia watuwote.

    Na dini hii imesimamia juu yaupole na usamehevu na wepesi,na yeyote atakayedhani kinyumena hicho, atakuwa amepoteana kupata hasara kubwa kwaniMtume (S.A.W) anasema, Kwahakika dini hii ni nyepesi nahatoitia ugumu yeyote miongonimwenu isipokuwa itamshindatu.

    Namna mbal i mbal i zamisamaha ya kiislam

    1. K w a h a k i k aumekusanya Uislam juu yamisamaha ya aina mbalimbali

    katika maisha ya kidunia na yaakhera, na kwa hivyo ndivyoilivyokuja dini hii ili iwe ni diniya wastani na msamaha katikapande zote.

    Na huyu Mtume (S.A.W),

    pale walipokuja watu watatuwote wakiuliza juu ya ibada yaMtume (S.A.W), na alipowapahabari juu ya ibada zake Mtumehuyu, miongoni mwa matendoyake wa l i onekana kamakuyaona ni madogo akatangazakila mmoja miongoni mwaokuongeza bidii katika ibada.

    Akasema mmoja; miminitasimama usiku wote, akasemamwingine; na mimi nitafungamilele, akasema mwingine;s i taoa mwanamke. Lauungetazama mambo hayo yotematatu ni mazuri sana kiasikuwa ni kikomo cha ibada.

    Na huu ndio mtazamo wa watuhawa wote. Akawatokea Mtume(S.A.W) akasema, Wapo wapiwatu ambao waliosema mambohaya na haya walipokuwa mbeleya Mtume (S.A.W) akasemaMtume mwenye uwastani namsamaha na upole; Amamimi nina swali na ninalala naninafunga na ninakula mchanana ninaoa wanawake na yeyote

    asiyetaka mwenendo wangu basihuyo si mwenzangu.

    2. Ka t i ka kuuza nakununu; hebu angalia katikapicha hii vizuri ambayo anasemaMtume (S.A.W), Mwenyezi

    Mungu amerehemu mtu,na amsamee anapouza piaamsamehe anaponunua naamsamehe anapokopesha piaamsamehe anapodai deni.

    3. Lazima za kisheria ,hebu angalia juu ya upole huuamabo ni wa thamani ya juu zaidini swala wakati unapokuwa safariswala ambayo ni mawasilianokati ya Mola na kiumbe wake.Uislam umetia katika sheriahaki ya kuzipunguza swalazile zenye rakaa nne (4) nazoni Adhuhur, Alasiri na Inshakuziswali rakaa mbili (2), na hiini namna kubwa kabisa katikamsamaha na uwepesi, pia tazamavile vile Uislam unaruhusu hadikula mzoga pale unapozidiwakwa njaa kiasi cha kuwezakupoteza uhai na kunywa pombeunapotaka kuangamia kwa kiuna kukosa kinywaji cha halali.

    Amesema Mwenyezi Mungumtukufu katika Surat Maaidah(Imeharamishwa kwenu mzogana damu na nyama ya nguruwe

    na vile vilivyochinjwa bila yjina la Mwenyeyezi Mungu nwalionyongwa na vilivyopigwna vi l ivyodondoshwa nvilivyotobolewa na waliokusamba isipokuwa mliowawa

    kwa kuwachinja na waliochinjwmasanamu hadi neno lakMwenyezi Mungu mtukuna yeyote atakayesongekw(kuzidiwa) na njaa na bila ykukusudia madhambi, hapMwenyezi Mungu ni msamehevna ni mpole.

    4. Amedhami ni uhurwa kila mmoja wetu baada ykuhangaika binadamu na taabya wasi wasi na anachokiabudUkaja uislam ili useme kwwatu wote kuwa Nyinyi mndini yenu na mimi nina diyangu na anasema vile vihakuna kulazimishana katikdini kwani imeshabainishuongofu kutokana na upotevna yeyote atakaye muami

    M w e n y e z i M u n g u h u yatakuwa ameshika kamba imaisiyokatika na Mwenyezi Mungni mwenye kusikia na ni mtunzNinamuomba Mwenyezi Mungatukunjue vifua vyetu katikuislam na imani.

    N a P r o f e s a M i c h e lChossudovsky

    (Januari 6, 2013, Mtandao

    wa kupashana habari)Kundi la Jabhat al-Nusra

    KUNDI l a J ahba t a l -Nusra - ambalo linaaminikakufungamana na Al Qaeda -linaelezwa kuwa ndiyo kundipinzani la uasi lenye nguvu,lililohusika na mashambulizimakubwa ya mabomu. Likiwalinatambulishwa kama adui waMarekani (liko kwenye orodhaya makundi ya kigaidi ya Wizaraya Mambo ya Nje ya Marekani),operesheni za Al Nusra hatahivyo zina alama ya mafunzoya kiusalama ya Marekani,mbinu za ugaidi na mifumo yasilaha. Mauaji yaliyofanywadhidi ya raia na Al Nusra

    (inayofadhiliwa kwa kificho naMarekani na NATO) yanafananana yale yaliyofanywa na vikundivya mauaji vilivyoundwa naMarekani nchini Irak.

    Kwa maneno ya kiongoziwa Al Nusra, Abu Adnan hukoAleppo, kaskazini ya Syria,Jabhat al-Nusra inajumuishawapiganaji wa Syria waliokuwakatika vita ya Irak, watuwanaoleta ujuzi - hasa wakutengeneza mabomu - katikavita nchini Syria.

    Kama ilivyokuwa nchini Irak,vita vya vikundi vya kisiasa nakijeshi na kusafisha maeneowasiwepo waumini au wafuasiwa madhehebu fulani vilipewa

    Ugaidi wenye sura ya kiutu: Historia ya vikundi vya mauaji vya MarekaniVikundi vya mauaji nchini Irak na Syria: Mizizi ya kihistoria ya vita kificho ya Marekani na NATO dhidi ya Syri

    kipaumbele/ Nchini Syria,jamii za Walawi , Washia naWakristo zimelengwa na vikundi

    vya mauaji vilivyoundwa naMarekani na NATO. Walawina Wakristo ndiyo walengwazaidi wa mpango wa mauajiya mtu mmoja mmoja. HIiilidhihirishwa katika ripoti yaShirika la Habari la Vatican(Roma).

    Wakristo katika mji waAleppo ni waathirika wa vifona uharibifu kutokana namapigano hayo ambayo kwamiezi mingi yameuathiri mji.Maeneo wanayokaa Wakristo,katika muda si mrefu uliopita,yamelengwa na majeshi lawapinzani wanapombana najeshi la Syria, na kulazimishakuondoka kwa raia wengi.

    Baadhi ya makundi katika

    upinzani huo wa vikundimar i dhawa , ambako p i akuna makundi ya ki-Jihad,yanaelekezea risasi nyumbaza Wakriso na majengo yaomengine, kuwalazimishawanaokaa humo waondokeili washike majengo hayo(usafishaji wa kidhehebu) kwamujibu wa Agenzia Fides, katikaHabari za Vatican, Oktoba 19,2012.

    Wanaharakati wa Salafi waKisuni - anasema Askofu huyo- wanaendelea kufanya mauajidhidi ya raia, au kulazimishavijana wajiunge nao kwa nguvu.Wasuni hao wanaoua kirahisiwapinzani wao wa kiimani

    wanapigana vita takatifu kwakumianini, hasa hidi ya Walawi.Magaidi wanapotaka kujua

    nini mwelekeo wa kidhehebuwa mtu fulani, wanamtakaaeleze vizazi vilivyopita hadiMusa. Na pia wanamtaka atoesala ambayo Walawi waliifuta.Walawi hawana njia ya kutokakatika mtego huo wakiwa hao.(Kwa mujibu wa Agenzia Fides,Juni 4, 2012).

    Taarifa zinathibitisha kuingiakwa wingi kwa vikundi vyamauaji vya Kisalafi na Al Qaedapamoja na br iged i zi li zokochini ya kundi la Udugu waKiislamu nchini Syria kuanziauasi ulipoanza Machi 2011.

    Isitoshe, kama ilivyokuwaMujahiddin wa Afghanistankuungan i shwa kup i ganaJihad ya Shirika la Ujasusi la

    Marekani (CIA) wakati wa vitavya iliyokuwa Urusi nchiniAfghanistan, NATO na wakuuwa jeshi la Uturuki, kwa mujibuwa taarifa za ujasusi za Israeli,walianzisha kampeni ya kusajilimaelfu ya wanamgambo wakujitolea wa Kiislamu katikaMashariki ya Kati na ulimwenguwa Waislamu kwa jumlakupigana upande wa waasi waSyria. Jeshi la Uturuki lingewapahifadhi askari hao wa kujitolea,kuwapa mafunzo na kuwezeshakuingia kwa nchini Syria. kwamujibu wa DEBKAfile, NATOkuwapa waasi silaha za kulipuavifaru, Agosti 14, 2011).

    Kampuni binafsi za usalama

    na kusajiliwa kwa askari wakukodiwa

    Kwa mujibu wa taarifa,

    makampuni binafsi ya usalamayanayofanya shughuli zakemaeneo ya Ghuba yanahusikakatika kusajili na kutoa mafunzokwa askari wa kukodiwa.

    Ingawa haikuwekwa rasmikwa kusajili askari wa kukodiwadhidi ya Syria. taarifa inaonyeshakuundwa kwa kambi za mafunzinchini Qatar na Falme za Kiarabuza Ghuba (UAE).

    Katika mji wa kijeshi waZayed, Falme za Ghuba, jeshi lasiri linainuliwa, linalosimamiwana Xe Services (Ze Services,zamani Blackwater, iliyobadilijina baada ya kasfha ya matesona udhalilishaji wa wafungwawa kivita nchini Irak).

    Makubaliano ya kuanzisha

    kambi ya mafunzo ya kijeshikwa ajili ya kufunza askari wakukodiwa yalitiwa saini Julai2010, miezi tisa kabla ya kuanzakwa vita vya Libya na Syria.

    Katika mabadiliko ya hivikar ibuni , makampuni yakiusalama yenye mikataba aukandarasi na NATO na Pentagon(makao makuu ya Jeshi laMarekani) yanahusika kaikakufunza makundi ya mauaji yaupinzani katika kutumia silahaza kemikali.

    Marekani na nchi washirikakadhaa za Ulaya wanatumiamakandarasi wa ulinzi kufunzawaasi wa Syria jinsi ya kukamatashehena za silaha za kemikali

    nchini Syria, ofisa mmomwandamizi wa Marekani nmaofisa wa kibalozi waliiamb

    CNN (kituo maarufu chtelevisheni kimataifa) Desemb9, 2012.

    Majina ya makampuni husikhayakutajwa.

    N y u m a y a m i l a n giliyofungwa katika Wizara yMambo ya Nje ya Marekani

    Robert Stephen Ford alikuwmmoja wa timu ya watu wachachkatika Wizara ya Mambo yNje ya Marekani iliyosimamkusajiliwa na kupewa mafunzbrigedi za kigaidi, pamoja nDerek Chollet na Frederic CHof, mshirika wa zamani wkibiashara wa Richard Armitagambaye aliwahi kuwa mratibmaalum wa Washingtokuhusu Syria. Derek Choll

    hivi karibuni aliteuliwa kushikwadhifa wa Naibu Waziri wUlinzi kwa masuala ya kuisalamya kimataifa. Timu hii ilifanykazi chini ya aliyekuwa NaibWaziri wa Mambo ya Nje kwmasuala ya Mashariki ya KaJeffrey Feltman.

    Timu ya Feltman ilikuwkatika mahusiano ya karibu nkusajiliwa na kupewa mafunzkwa askari wa kukodiwa kutokUturuki, Qatar, Saudi Arabia nLibya (kwa msaada wa utawauliofuatia kuanguka Gaddaambao ulipeleka wapigana600 wa Kundi la Wapiganawa Kiislamu la Libya (LIFG

    Inaendcelea Uk

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    5/16

    5AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Habari za Kimataifa

    MILANMsaidizi wa MwendeshMashitaka wa Mahakama yMilan nchini Italia, ametakitolewe adhabu kali ya kifungcha miaka 12 jela kwa mkuu wzamani wa Shirika la Ujasula Kijeshi la Italia SISMkwa kuhusika na jinai ykumteka nyara Sheikh OsamMoustafa Hassan Nasr.

    Sheikh Osama MoustaHassan Nasr, mashuhuri kwjina la Abu Omar, alikuwa Ima

    wa zamani wa Msikiti wa Milanchini humo.

    Msaidizi wa MwendeshMashitaka wa Mahakama yMilan amesisitiza pia juu ykuendelezwa kesi dhidi yvibaraka wote waliohusika nkitendo cha kumteka nyarSheikh Abu Omar Februari 12003, ambao wanafungamana nShirika la Ujasusi la MarekaCIA na Shirika la Ujasusi Italia.

    Aidha Msaidizi huyo wMwendesha Mashitaka wMahakama ya Italia ameitakmahakama imhukumu MarcMancini, afisa mwandamiwa Shirika la Ujasusi la Italkifungo cha miaka 10 jela kwkuhusika na jinai hiyo.

    Wanajeshi 325 wa Kimarekani walijiua 2012Israel wamejiua 237

    WASHINGTONJ E S H I l a M a r e k a n ilimetangaza kuwa, karibuwanajeshi 325 wa nchi hiyowalijiuwa mwaka 2012.

    Kiwango hicho ni kikubwazaidi ikilinganishwa na idadiya wanajeshi wa Marekaniwaliouawa nchini Afghanistanmwaka 2012.

    Takwimu hizo zinaonyeshakuwa, wanajeshi 182 waliamuakujiuwa wakati wakiwa kwenyevita na kesi zipatazo 130zimeshathibitishwa na jeshi laMarekani, huku 52 zikiendeleakuchunguzwa.

    Jeshi la Marekani limeongezakuwa, idadi ya wanajeshi wanchi hiyo waliouawa nchini

    Afghanistan mwaka jana ilikuwa312. Jenerali Howard Bromberg

    amesema kuwa idadi hiyo yawanajeshi waliojiua mwaka janani kubwa mno katika historia yajeshi la nchi hiyo.

    Utafiti mwengine umeelezakuwa, karibu wanajeshi 22 wazamani hujiuwa kila siku naidadi hiyo ni asilimia ishirinizaidi ya kiwango cha kujiuwawanajeshi wa zamani wa nchihiyo mwaka 2008.

    Kwa upande mwingine,habari zilizotolewa mwishonimwa mwaka jana zimeelezakuwa wanajeshi wasiopungua237 wa utawala hasimu waIsrael wamejiua kwa nyakatimbalimbali katika kipindi cha

    RAIS Barack Obama waMarekani

    Ufaransayahalalisha

    ndoa za liwat

    Marekani yaendelea kuvunja sheria kukomba mafuta IraqINGAWA serikali ya WaziriMkuu wa Iraq, Nuri al Maliki,inapinga vikali kazi za Shirikala Mafuta la Kimarekani,Exxon Mobil, Kaskazini mwaIraq, viongozi wa shirika hilona wale wa mkoa wa Kurdistanwamefanya uchunguzi wa eneojingine lenye utajiri mkubwawa mafuta kwa lengo la kutakakuchota nishati hiyo muhimu.

    Shughuli hizo zinahesabikakuwa zisizofuata sheria za nchihiyo.

    Siku ya Ijumaa duru za habarizilimnukuu kiongozi mmoja

    nchini Iraq akisema kuwa,viongozi wa Exxon Mobil kwakushirikiana na viongozi waeneo la Qarah Hanjir, ambaloliko umbali wa kilometa 35Kaskazini Mashariki mwa mjiKirkuk Kaskazini mwa Iraq,

    walikagua na kujadiliana njia zakuanzisha kituo cha kuchimbamafuta katika eneo hilo, lichaya kwamba eneo hilo hadi hivisasa lina mzozo kati ya Baghdadna Arbil.

    Hii ni katika hali ambayokwa mujibu wa katiba yaIraq, mikataba yote ya mafutaikiwemo mikataba ya mafutaya eneo la Kurdistan lazimaiidhinishwe na serikali kuu.

    Hata hivyo pamoja nakuwa wazi vifungu vya katibahiyo, lakini viongozi wa eneola Kurdistan mara kadhaa

    wamekuwa wakiweka mikatabana mashirika ya kigeni yakuchimba mafuta sambamba nakustafidi na nishati hiyo muhimubila ya kibali kutoka kwa serikalikuu ya Baghdad.

    Shughuli za mashirika ya

    mafuta ya kigeni katika eneo hilola Kurdistan ambazo zimekuwazikifanyika kinyume cha sheria,zimezusha mizozo mingi yakisiasa ndani na nje ya nchi hiyoya Kiarabu.

    Akiba ya mafuta katika eneohilo inakadiriwa kufikia mapipabilioni 44.

    Aidha kwa muj ibu wauchunguzi huo, akiba yagesi iliyoko katika eneo hilo,inakadiriwa kuwa ni mara mbiliya akiba yote ya gesi iliyokonchini Kazakhstan.

    Kuwepo kwa vyanzo hivyo

    vya utajiri, kumesababishamashirika mbalimbali ya njekulifanya eneo hilo kuwa lauwekezaji.

    Ni kutokana na ukiukwaji huowa mara kwa mara wa viongoziwa eneo la Kurdistan, ndipo

    serikali ya Baghdad ikaamuakupunguza bajeti ya eneo hilosuala ambalo pia limeibua vutani kuvute kati ya pande mbili.

    Kwa upande mwingine,mikataba isiyofuata sheria yamashirika ya kigeni imezuatafrani kati ya serikali yaBaghdadi na mashirika hayo.

    Miongoni mwa mashirikahayo ni Shirika la Kimarekanila mafuta la Exxon Mobil.

    Mwezi Oktoba mwaka2011, shirika hilo lilitia sainimakubaliano kati yake nauongozi wa Kurdistan kwaajili ya kuanzisha vituo sita vya

    kusafishia mafuta katika eneohilo.

    Ka t i ya maeneo hayoyaliyotajwa, mawili kati yakeyapo katika maeneo yenye mzozokati ya serikali za Baghdad naArbil nchini Iraq.

    PARISLi ch a ya maan d amanmak u b wa ya wan an cw a U f a r a n s a k u p i n gkuhalalishwa kisheria ndza watu kulawitiana, Bungenchi hiyo limepitisha muswadwa sheria hiyo kwa kunyingi.

    B u n g e l a U f a r a n slimepasisha muswada huo wsheria inayowaruhusu kuoakisheria wanaume kulawitiakwa kura 249 za ndiyo dhiya 97 za hapana.

    K a m a i l i v y o k u wimetarajiwa, wabunge wa chamcha Kisoshalisti, chama ckijani na cha mrengo wa kushowaliunga mkono mswada huuliopingwa na wawakilishi wchama cha umoja kwa ajili harakati ya wananchi.

    Wabunge wa mrengo wa kuwameeleza wasiwasi walionkutokana na kupitishwa mswahuo.

    Kupitishwa sheria hiyinayoruhusu ndoa za watu wjinsia moja, ni moja ya ahazilizotolewa na Rais FrancoHollande, wa Ufaransa wakwa kampeni za uchaguzi kwmadhumuni ya kuvutia kura makundi ya watu wa jinsia mowenye mwenendo mchafu wmaingiliano ya kimwili.

    Waliomteka

    Sheikh Abu Omawafungwa jela

    miaka kumi iliyopita.Kwa mujibu wa nyaraka za

    siri za jeshi la Israel, kwa uchachewanajeshi 24 wa utawala huohujiua kila mwaka.

    Press TV imesema nyarakahizo za siri zilitolewa kwa maraya kwanza na mwanablogu waIsrael, ambaye alikamatwa napolisi na kuhojiwa. Mwanabloguhuyo amesema idadi ya askariwa Jeshi la Israel waliojiua nizaidi ya iliyotangazwa rasmi.

    Hivi karibuni Wizara ya Vitaya Israel ilikiri kuwa idadi yawanajeshi wake wanaojiua nizaidi ya wanaouawa vitani.

    Jeshi la utawala wa Israellimeshindwa mara kadhaa katikavita dhidi ya wanamapambanowa Lebanon.

    Kwa kiasi kikubwa jeshi hilolimekuwa likifanya hujuma zaidiya Ukanda wa Ghaza.

    Ugaidi wenye sura ya kiutu: Historia ya vikundi vya mauaji vya MarekaniInatoka Uk. 4

    kupitia Uturuki katika mieziiliyofuatia kuanguka mnamomwezi Septemba 2011 serikaliya Gaddafi.

    Na ib u Waz ir i wa Ul in ziFeltman alikuwa anawasilianana Waziri wa Mambo ya Nje wa

    Saudia, Prince Saud al Faisal naWaziri wa Mambo ya Nje waQatar, Sheikh Hamad bin Jassim.Pia alikuwa akisimamia ofisi yaDoha ya uratibu maalum wausalama kuhusiana na Syria,ambayo ilikuwa inajumuishawawakilishi wa mashirika yakijasusi ya nchi za Magharibi naza Ghuba pamoja na mwakilishikutoka Libya. Prince Bandarbin Sultan, mwakilishi maalumna mtajwa sana kimataifa wamfumo wa ujasusi wa Saudiaalikuwa mmoja wa kundi hili.(Iliripotiwa na Press TV yaMarekani, May 12, 2012).

    Mwezi Juni 2012 JefferyFel tman a l i teul iwa kuwaNaibu Katibu Mkuu wa Umojawa Mataifa kwa masuala ya

    siasa, nafasi muhimu ambayokimsingi ni kuweka agenda yaUmoja wa Mataifa (kwa niabaya Marekani) katika masualaya kutatua migogoro maeneokadhaa yenye machafukoduniani, ikiwa ni pamoja naSomalia, Lebanon, Libya, Syria,Yemen na Mali. Katika hali yakushangaza, nchi ambazo Umojawa Mataifa unasema unajitahidikutatua migogoro yao ndizohasa ambazo zinalengwa naoperesheni za siri za Marekani.

    Akishirikiana na Wizara yaMambo ya Nje ya Marekani,NATO na washirika wake waBaraza la Ushirikiano la Ghuba(GCC) mjini Doha na Riyadh.Feltman ndiye mwakilishi waWashington aliye nyuma yamjumbe maalum wa Umojawa Mataifa Lakdar Brahimi napendekezo la amani alilotoa.

    Wakati huo huo, hukuwakizungumza juu juu kuhusujuhud i za Umoja wa Matai faza kufikia amani, Marekani naNATO wameonge za kas i yakusajili na kutoa mafunzo kwa

    askari wa kukodiwa, kutokanana kupoteza askari wengi vitanikwa vikundi vya upinzani vyauasi.

    Pendekezo la Marekani kwahatua ya mwisho ya mkasawa Syria siyo kubadili utawalaila kuvunjilia mbali Syria kama

    nchi.Kusambazwa kwa vikosi vyamauaji vya upinzani vikiwa naruksa ya kuua raia ni sehemu yamkakati huu wa kihalifu.

    Ugaidi wenye uso wa kiutuunakubaliwa na Baraza la Hakiza Binadamu la Umoja waMataifa, ambalo ni dirisha lakutoa maoni ya mkakati wakuingilia kati kibinadamu waNATO chini ya mtazamo wawajibu wa kulinda raia.

    Mauaji yaliyofanywa namakundi ya mauaji yaliyoundwana Marekani na NATO kiulainitu yanalaumiwa kuwa ni yaserikali ya Bashar al Assad. Kwamujibu wa kamishna wa Barazala Haki za Binadamu la Umojawa Mataifa, Navi Pillay:

    Upotezaji huu mkubwawa maisha ungeweza kuzuiwaikiwa serikali ya Syria ingekuwaimechagua njia tofauti na ileya kunyamazisha kwa nguvuki le ambacho mwanzonikilikuwa ni upinzani wa amanina wa haki unaofanywa na

    raia wasio na silaha, kwanukuu ya Stephen Lendman,Taarifa ya Umoja wa Mataifakuhusu Syria: Kuvunga Mauajiyanayofadhiliwa na Marekanina NATO, iliyochapishwa naGlobal Research, Januari 3,2012.

    Lengo la Washingon ambalohaiwezi kulisema wazi nikuivunja Syria kama nchi huru- kwa misingi ya kikabila nakidini - kuwa vitaifa tofauti nahuru.

    Makala hii iliwekwa kwanzakatika mtandao wa GlobalResearch, 2013 imetafsiriwana Anil Kija).

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    6/16

    6AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 20Makala

    Uzoefu wa Urusi (USSR)K U L I N G A N A n a

    uzoefu wa nchi nyingi

    duniani ambazo zilikuwazimeungana na kuachanaau kutengana, ni kwambau z o e f u u n a t u a m b i akwamba mara baada yanchi kutengana kila nchiinaanza maisha mapya.

    Na katika zoezi la kuanzamaisha mapya, kunamambo mawili: moja nikuanza maisha mapya kwamwelekeo mzuri; na mbilini kuanza maisha mapyakwa mwelekeo mbaya. Yotehaya yanategemea sanana wananchi wenyewe.

    Nasema inategemeana nawananchi wenyewe kwa

    vile wananchi na viongozikatika jamii, na jamiiyenyewe kwa ujumla.

    Tukianza kuuchambuamwelekeo mbaya ni kamaifuatavyo: Zanzibar naTanganyika zimekuwakatika muungano ambaoumedumu kwa miaka 49,na matunda ya muunganohuu kwa mwananchi wakawaida kama mimi nawale wenzangu wa kulevijijini, haujatusaidiakab i sa ba l i umez id ikutuongezea umasikini,na hata kutunyanganyakazi zetu; umasikini ambao

    umesababishwa na waasisiwa muungano huo na

    tawala (system) zao ambazobado zipo madarakani .Na w a l a u m u w a a s i s ikwa vile munapoamuakuunganisha nchi , nilazima kuwe na faida zakiuchumi na kisiasa, nafaida hizo ni lazima zitajwekwenye makubaliano yamuungano huo, lakinik w a b a h a t i m b a y asana hata makubalianoyenyewe hayapo! Sasa huomuungano ulikuwa kwaajili ya nani na kwa sababuzipi!?

    Nchi hizi zilipounganamwaka 1964 zote mbilizilikuwa ni kama nchichanga ambazo ndiyozil ikuwa tu zimepatauhuru wao muda s imrefu, na kulingana nauchanga (utoto) wao ndiyomaana hata wakafanyamuungano wa kitoto ambaoumedumu kwa umri wamtu mzima, lakini badowatu wazima wanaendeleakungangania utoto!Utoto huu huu ndiyoambao tusipokuwa makiniZanzibar na Tanganyikahasa kwa kipindi hikiambacho sote tena kwa

    pamoja tumekufa na

    kufufuliwa kama ambavyovitabu vya dini vinavyosema

    ukifa u tafufu l iwa i l iujitetee mbele ya mungukwa yale uliyoyatendahapa duniani! Sasa na sisitumeshakufa na kufufuliwana kila mmoja wetu inabidiatafute mwelekeo makinina wa kiutu uzima na walasiyo kama ule wa kitototuliokuwa tumeuchaguana tukaungangania kwamiaka 49! Tukiwaruhusuwale wale na taratibu zaozile zile zilizotufikisha hapatulipo leo hii, tutakuwa

    bado tunaendelea na utotouleule.

    Tukianza kuuchambuamwelekeo mzuri ni kamaifuatavyo: Zanzibar naTanganyika ziwe kamandiyo kwanza zimepatauhuru wake toka kwenyekivuli cha Tanzania; kilanchi iachane kabisa nafikra au kitu chochotekinachoitwa Tanzania;kila upande ujumuishewananchi wake na wadaumbali mbali kukaa chinina kuandika katiba mpyaya umma; katiba iweinafanana na katiba zanchi zingine zilizoendelea

    Mwalimu Julius Nyerere na Sheikh Abeid Karume hawa ndiyo waasisi wa serikali zaTanganyika na Zanzibar; na kisha muungano.

    Na Dr. Noordin Jella

    (Ph.D. in Economics) Kizungumkuti chamuungano bila hati

    TANGANYIKA na Zanzibarziliungana mwaka 1964chini ya makubaliano yamidomoni yaliyosimamiwana waasisi wawili wa mataifahayo: Mwalimu Julius

    K. Nyerere akiwakilishaupande wa Tanganyikana Sheikh Abeid AmaniKarume akiwaki l i shaupande wa Zanzibar.Makubaliano ya muunganohuu yamekuwa siri kubwaya mataifa haya mawili, napia imekuwa siri kubwakwa taifa la muunganoambalo n i Tanzania .Muungano ni fumbo nasiri kubwa ya taifa na hukonyuma waliojaribu kuhojiuhalali wa muungano huuaidha waliitwa wachochezi,w ah a in i au w a l i i t w aDodoma na mwishowekuishia kizuizini!

    Ukienda Zanzibar ukaanzak u t a f u t a mi k a t a b a y amakubaliano ya muunganohuo huwezi kuipata, navile vile ukija upande waTanganyika ukitaka uipatemikataba hiyo napo huweziku ipa ta ! Ingawa miminaamini kwamba mikatabahii ni lazima iwepo, kwa vilehaiwezekani viongozi wawiliwa ngazi za juu za kitaifawakubaliane kuziunganishanchi bila ya kuwa maandishiy o y o t e , h a t a u k u r a s ammoja, haiwezekani kabisa!Haiwezekani na haitakujaiwezekane . Ni laz ima

    kulikuwa na makubaliano juuya muungano huo; hata kamamakubaliano hayo yalikuwahayana hadhi za kimikatabay a k i m a t a i f a , l a k i n ikulikuwepo na makubalianoya kimaandishi.

    Wakati nilipokuwa nasomashule ya msingi kulikuwepon a p i c h a z i l i z o k u w azikimuonyesha Mwalimu

    Nyere re na Abeid AmaniKarume wakisaini mkatabawa muungano! Sasa hizodocument wa l izokuwawakizisaini wakati wanapigwa

    picha z ipo wapi !? Pianakumbuka wakati nasoma

    shule ya msingi tulikuwatunafundishwa kwambaTanganyika na Zanzibarzimeungana katika mamboyanayohusu wizara nne tu:Wizara ya Fedha; Wizara yaUlinzi; Wizara ya Elimu yaJuu; na Wizara ya Mamboya Nje. Haya nilifundishwadarasani na walimu wanguwa shule ya msingi.

    Sasa h iv i muunganoumepanuka sana na umekuwani muungano wa wizaranyingi kuliko zile nilizokuwanimefundishwa darasani.Sasa sijui kama makubalianoya muungano huo yalikuja

    kuboreshwa au basi tu wawameona kwa vile wameiskindugu kwa muda murefhawana budi kuupanumuungano kwa kujumuishwizara zingine!

    Pia nakumbuka wakanikisoma shule ya msingi kinchi ilikuwa na kitengo chakcha usalama wa taifa, lakihivi sasa kitengo ni kimojsasa hivi wizara ya mambo yndani ipo kwenye muunganKatika mazingira kama hayinakuwa ni vigumu kujumakubaliano ya muunganule wa Karume na Nyererna muungano ule wa AbouJumbe na Nyerere, au nmuungano ule wa AbduWakil na Nyerere, au uwa Salmin Amour na MzeMwinyi, au ule wa AmanKarume na Mkapa, au huu wAli Shein na Jakaya KikweteWatanzania hawaelewi muungano upi ni sahihKwa vile kumekuwa n

    madadiliko ya viongozi pandzote mbili, na kama tulivysisi Watanzania mambo yeyote ni siri. Ni siri hata kammambo hayo yanawahuswananchi na nchi zao, bado kila kitu ni siri ya wakubw

    Na wan anc hi si haki yakuuliza wala kuhoji. Nkutokana na desturi hiyndiyo maana muungano weleo hii umekuwa fumbo na sikubwa ya taifa kiasi kwambhata marais wa Zanzibar nTanzania ukiwauliza maswamarahisi sana ya muunganhawawezi kuyajibu!

    Wakati Mwalimu Nyere

    yupo hai, Mzanzibar yeyoaliyethubutu kuuliza uhala wkimaandishi wa muunganalionekana muhaini nyalimfika. Hivyo kulinganna hali ya udikiteta huW a z a n z i b a r w a l i k o sujasiri wa kuhoji uhalali wmuungano kati ya Zanzibar nTanganyika kikatiba, kisherna hata kisiasa. Na hii ilikuwsiyo kwa Wazanzibar pekyake, bali hata Watanganyikwalikosa ujasiri wa kuhouha la l i wa se r ika l i yTanganyika ambayo ilikuwnchi huru kwa miaka minnna baada ya hapo kufanywmikoa ya Tanzania, tena bihata kuwauliza wananchkama wanaridhia au lah!

    Kuziunganisha nchi mbni suala nyeti sana. Kikawaidkulingana na sher ia zUmoja wa Mataifa, si halakuiunganisha nchi moja nnyingine bila ya kuwaulizraia wa nchi husika; na kamikatokea kiongozi wa nchfulani au viongozi wa nchusika kuziunganisha nczao bila ya ridhaa ya wanancwao inayoshuhudiwa na kuya maoni, basi muungano hu

    Inaendelea Uk. 7 Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    7/16

    7AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Makala

    ni batili. Muungano usiopataridhaa ya wananchi wa

    pa nd e mbi li hu si ka nimuungano Batili, tenakwa sheria za kimataifa.ni Uhaini na Ukiukwajiwa haki za binadamu.Sasa sijui kwa upande wa

    Zanzibar kama wananchiwalipiga kura ya maonikuamua kwamba Zanzibariungane na Tanganyikaau la! Isipokuwa kwaupande wa Tanganyikanina uhakika kwambaWatanganyika hawakuwahikuulizwa kwa kupigakura ya maoni kuhusunchi yao kuunganishwana Zanzibar! Sasa katikamazingira kama haya tayaritunaona kwamba kumbehata taratibu na sheria zakimataifa hazikufuatwakatika makubaliano yakuziunganisha Tanganyikana Zanzibar!

    Pamoja na kwamba hatadocument za makubalianohayo hazionikani, lakini

    pia inaonyesha kwambamuungano huo ulikiukasheria na tarat ibu zakimataifa! Kulingana nahali hiyo, unaonekanamuungano wa Tanganyikana Zanzibar u l ikuwani makubaliano kati yaMwalimu Nyerere na MzeeKarume. Na kwa bahatinzuri sana, leo hii wakatitunapasua vichwa kuhusuuhalali wa muungano huu,wote hawapo duniani. Hivyosioni sababu ya kuumizavichwa vyetu kuwajadiliviongozi wawili waliokiukataratibu za kimataifa zakuunganisha nchi zao, tena

    bila kumbukumbu yoyote!Mimi nashauri tuachanenao na makubaliano yaoya midomoni, na sisi tukaechini na kuangalia kamatunauhitaji huo muungao aula! Kama tunauhitaji, basi

    pande zote mbili zihusishwekikamilifu bila ya kificho

    chochote ili tutengenezemuungano unaokubalikana sheria na taratibu zakimata i fa , muunganowenye kumbukumbuza kimaandishi. Lakinikama sehemu zote mbili,au sehemu moja ikionahakuna umuhimu wamuungano huo, basi niwananchi wameamua, nawenye nchi ni wananchi,watawala wasilazimishe.

    Mimi ningependa nifikirikinyume na Watanzaniawengi kwa vile siyo vizuri

    Kizungumkuti cha muungano bila hatiwatu wote kuwa na mawazosawa, na pia si vizuri na nihatari watu wote kuwana mtizamo mmoja, hasatunapozungumzia suala

    nyeti kama hili la muunganokati ya Tanganyika naZanzibar katika kipindihiki muhimu cha mchakatowa kutafuta katiba mpya yaumma. Watanzania wengiwanazungumzia tu juu yauendelezo wa muunganoaidha kama ulivyokuwa aumuungano wa serikali tatuau hata ikiwezekana serikali

    moja. Mimi nazungumziauwezekano wa kuvunjikakwa muungano na ninikinaweza kutokea kamamuungano huo ukivunjika.

    Ni hasara gani zinawezakuziathiri nchi husika auni manufaa gani yanawezakupat ikana baada yakuvunjika kwa muunganohuu?

    Utafiti wangu umelengakwenye sek t a mb i l imuhimu za uchumi naSiasa: Nazungumzia kamamuungano utavunjika

    nini kitatokea. Kwanzatuna fahamu kwambaTanzan ia kama nch iinayokubalika na Umoja waMataifa duniani ina madeni

    makubwa tu inayodaiwa nanchi mbali mbali dunianihasa zile nchi zilizoendelea,lakini pia inawezekanaikawa inazidai nchi zingineingawa s ina uhakikakuhusu hilo. Nchi mbilizilizokuwa zimeunganakwa miaka 49 zimeaminiwana kukopeshwa madenimengi, na madeni mengineni yale ambayo ni madeni

    ya riba, kila mwaka denlinaongezeka kulinganna jinsi unavyochelewkulililipa deni hilo. Hivyunapotokea mvunjikwa muungano inabidTanganyika na Zanzibawakae chini waangalie nnamna gani watagawanmadeni hayo ili kila upanduelewe wajibu wake juu ydeni linalodaiwa na lazizimwanaodai wajulishwu t a r a t i b u m p y a wkulipwa madeni yao. Kuntaratibu nyingi zinazowezkutumika kulipa madenau kuchukuwa dhamanya kulipa madeni hasnchi mbili zinapovunj

    Uzoefu wa Urusi (USSR)

    Inatoka Uk. 6

    duniani; zisiandikwe katibapekee ambazo hazifananina katiba yoyote ile dunianikama ile ya Tanzania;hakuna siri katika kuandikakatiba, kwa vile katibazote duniani zinatakiwazifanane katika vipengerevingi vinavyogusa mahitajimuhimu ya binadamu.Hivyo akitokea mtu au watuwanajifungia chumbani etihawataki bughudha kwa vilewanaandika katiba, basi juakwamba hao hawatutakiimema, bali wana njama zakutuangamiza. Kwa vile

    katiba ndiyo sheria mamana kama tutakuwa na mamamzuri anayewajali wanaewote kwa usawa bilaupendeleo, basi tutakuwatumechagua mwelekeomzuri.

    Muungano wa nchiunaweza ukawa muunganomzuri unaojali maslahi yawengi, lakini kutokana nahulka za kifisadi muunganoukafa na nchi wanachamazikasambaratika na kuundaserikali za upweke: katikaserikali hizi za upwekezaweza kuwa serikalizinazoendeleza taratibu zakulinda na kutetea maslahiya walio wengi au serikaliza upweke za kifisadi; yoyehaya yanawezekana.

    Mwaka 1991 wakatim u u n g a n o w a n c h iza Kisoviet za Kirusiziliposambaratika baadaya kufutwa kwa siasaza kikomunist duniani,kulitokea mvutano namchanyiko mkubwa wakisiasa na kiuchumi ndanina nje ya nchi za Kisoviet.Soviet Union ilikuwainaundwa na nchi 15ambazo ziliwahi kuwa nchihuru huko nyuma lakini

    Inatoka Uk. 6

    zikashawishiwa kiuchumi,kisiasa na kimajeshi mpakazikaukana uhuru wao nakujiunga na jumuiya yanchi za Soviet Union.

    Ulipovunjika muunganohuu madeni yote ambayoSoviet Union ilikuwainadaiwa na nchi nataasisi mbali mbali dunianiyaliri thiwa na RussiaFederation nchi ambayondiyo hasa iliyoanzishaumoja huo, na ndiyoiliyokuwa na ushawishimkubwa wa kila kitu ndanina nje ya Soviet Union.Pamoja na kurithi madeniyote ya Soviet Union, lakini

    pi a Ru ss ia Fe de rat io naliendelea kumiliki malizote za umma (governmentA s s e t s ) z i l i z o k u w azinamilikiwa na serikaliya Soviet Union.

    Baada ya kuvunjika kwamuungano nchi zote zikawakama ndiyo zimejikomboakwa kupata uhuru tokaSoviet Union, hivyo kilanchi ikawa inajitahidikujenga misingi ya dola,kuandika katiba na kuombauanachama kwenye taasisina jumuiya mbali mbali zakimataifa.

    Nchi nyingi zilizokuwakatika jumuiya hii yaSoviet Union zimeshindwakabisa kuchagua mwelekeomzuri wa kuziendelezanchi zao, na matokeo yakezimeishia kujenga mfumowa kijambazi (Banditrysystem), mfumo wa kifisadiunaolindwa na mitandaoya uhalifu wa kupangwa(Mafia). Katika mfumohuu ni wale tu waliokomadarakani au katika idarana sehemu mbali mbali zaserikali ndiyo wanaofaidi.

    Kama huna ajira serikalini,basi wewe umeisha ; namwenye ajira anahakikishakwamba anamvuta mwanaeau nduguye karibu naye.Akifika muda wa kustaafu,anamwachia mwanaenafasi aendeleze ufisadi;na haya yote yameletwakwa vile viongozi waumma hawakutaka kuletamabadiliko ya kweli kwakuwahusisha wananchi,

    bali waliendeleza taratibuzile zile za zamani na hatakuziboresha kwa manufaayao binafsi.

    Ni nchi tatu tu (Latvia,Estonia, Lithuania) ambazozilikuwa ndani Jumuiyaya Soviet Union ambazo

    zimeweza kufuzu kujiungna Jumuiya ya Nchi la Ulay(EU) mwaka 2000. Nchzingine kumi ukiiondoRussia Federation nBelorussia ambazo hazinmpango kabisa na kujiungna jumuiya hiyo; zinginzote kumi zimeshindwkabisa kufuzu masharya kujiunga na EU, kwvile zimekumbatia tawaza k i j ambaz i ambau m e j e n g w a k w e n ymisingi ya ufisadi na uhalifwa kupangwa (MafiaKupanga ni kuchagu

    ukipanga mipango mizuu takuwa umechagumwelekeo mzuri.

    VIWANJA VILIVYOPIMWAKONGOWE KIBAHA TOWNSHIP

    REGISTERED PLAN No. 70995 BLOCK H

    PLOT HATUA ENEO MRABA GHARAMA TS

    H1 50 x 29 1341 Sqm 4,023,000/=

    H2 32 x 32 1136 Sqm 3408000/=

    H3 50 x 30 1470 Sqm 4410000/=

    H4 37 x 30 1115 Sqm 3345000/=

    H5 50 X 45 2259 Sqm 6750000/=

    H6 33 x 37 1566 Sqm 4695000/=

    H7 60 x 45 2423 Sqm 7269000/=

    H8 50 x 40 1984 Sqm 5952000/=

    H9 67 x 50 3564 Sqm 10692000/=

    H10 70 x 45 2842 Sqm 8526000/=

    H11 90 x 50 3780 Sqm 11340000/=

    H12 59 x 40 2292 Sqm 6876000/=

    Vipo Barabara ya Kongowe-Soga Kilomita mojtoka barabara ya Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    8/16

    8AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 20Makala

    Palestinians welcomeda U N H u m a n R i g h t sCouncil report on Thursday1 February 2013 highlycritical of Jewish settlementsin the occupied West Bank,saying it vindicated theirstruggle against the Israelioccupation.

    The UN investigation,which Israel boycotted,urged Israel to halt settlementconstruction unconditionallyand begin removing morethan 500,000 Israeli settlersfrom occupied territoryimmediately.

    The UN report, said thesettlements contravened theFourth Geneva Conventionforbidding the transfer of

    civilian populations intooccupied territory and couldamount to war crimes thatfall under the jurisdiction ofthe International CriminalCourt.

    Following are excerptsfrom the 37-page report:

    The facts brought to theattention of the Missionindicate that the State ofIsrael has had full control ofthe settlements in the OPTsince 1967 and continues to

    promote and sustain themthrough infrastructure andsecurity measures.

    The Mission notes thatdespite all the pertinentUnited Nations resolutionsdeclaring that the existence ofthe settlements is illegal andcalling for their cessation, the

    planning and growth of thesettlements continues bothof existing as well as newstructures.

    The establishment of thesettlements in the West Bankincluding East Jerusalemis a mesh of constructionand infrastructure leading toa creeping annexation that

    prevents the establishmentof a contiguous and viableP a l e s t i n i a n S t a t e a n dundermines the right of thePalestinian people to self-determination.

    -

    Palestine Information Centre (Tanzania)Kituo cha Habari cha Palestina (Tanzania)Feature/Report

    4 February 2013

    UN fact-finding mission condemns Israeli settlementon Occupied Palestinian TerritoryThe settlements have been

    established and developedat the expense of violating

    international human rightslaws and internationalh u ma n i t a r i a n l a w , a sapplicable in the OPT asnotably recognised by the2004 ICJ Advisory Opinion.

    The se t t lements a reestablished for the exclusive

    be ne fi t of Is ra el i Je ws ;se t t lements a re be ingmaintained and developedthrough a system of totalsegregation between thesettlers and the rest of the

    po pu la ti on li vi ng in th eOPT.

    This system of segregationis supported and facilitated

    by a strict military and lawenforcement control to thedetriment of the rights ofthe Palestinian population.The Mission considers thatin relation to the settlementsIsrael is committing serious

    breaches of its obligationsunder the right to self-determination and certainobligations under internationalhumanitarian law, includingthe obligation not to transferits population into the OPT.

    T h e R o m e S t a t u t eestablishes the InternationalCriminal Courts jurisdictionover the deportation ortransfer, directly or indirectly,

    by the occupying Power of

    parts of its own population intothe territory it occupies, or thedeportation or transfer of allor parts of the population ofthe occupied territory withinor outside this territory.

    Ratification of the Statuteby Pal estine may lead toaccountability for grossviolations of human rightslaw and serious violations ofinternational humanitarian lawand justice for victims. Theexistence of the settlementshas had a heavy toll on therights of the Palestinians.

    Their rights to freedomof self-determination, non-

    discrimination, freedom ofmovement, equality, due

    process, fair trial, not to bearbitrarily detained, libertyand security of person,freedom of expression,freedom to access places ofworship, education, water,housing, adequate standardof living, property, accessto natural resources andeffective remedy are beingviolated consistently and ona daily basis.

    The volume of informationreceived on dispossession,evictions, demolitions anddisplacement points to themagnitude of these practices.These are par t icular lywidespread in certain areasand acute in East Jerusalem.

    The Mission has noted thatthe identities of settlers whoare responsible for violenceand intimidation are knownto the Israeli authorities,yet these acts continue withimpunity. The Mission isled to the clear conclusionthat there is institutionalizeddiscrimination against thePalestinian people whenit comes to addressingviolence.

    The Mission believes thatthe motivation behind thisviolence and the intimidationagainst the Palestinians aswell as their properties is todrive the local populationsaway from their lands andallow the settlements to

    expand.The Mission is gravely

    concerned at the high number ofchildren who are apprehendedor detained, including forminor offences. They areinvariably mistreated, denieddue process and fair trial.In violation of internationallaw they are transferred todetention centres in Israel.

    Children suffer harassment,violence and encountersignificant obstacles ina t t e n d i n g e d u c a t i o n a linstitutions, which limits theirright to access education.Israel, the occupying Poweris failing in its duty to protect

    the right to access educationof the Palestinian childrenand failing to facilitate the

    proper working of educationalinstitutions.Information gathered by

    the Mission show that someprivate entities have enabled,facilitated and profited, fromthe construction and growthof the settlements, eitherdirectly or indirectly.

    Women alone in theirhomes, the Bedouins andother vulnerable groupsare easy targets for settlerviolence, creating a sense ofinsecurity amongst the widerPalestinian society.

    RecommendationsIsrael must, in compliance

    with article 49 of the FourthGeneva Convention, cease all

    settlement activities withoutpreconditions. In addition itmust immediately initiate a

    process of withdrawal of allsettlers from the OPT.

    The Mission further urgesIsrael to ensure adequate,effective and prompt remedyto all Palestinian victimsfor the harm suffered as aconsequence of human rightsviolations that are a result ofthe settlements in accordancewith Israels internationalobligation to provide effectiveremedy.

    Where necessary, stepsmust to be taken to providesuch remedy in concurrencewith the representatives of

    the Palestinian people andwith the assistance of theinternational community.

    Israel must put an end to thehuman rights violations thatare linked to the presence ofsettlements. The Mission callsupon the government of Israelto ensure full accountabilityfor all violations, includingfor all acts of settler violence,in a non-discriminatorymanner and to put an end tothe policy of impunity.

    The Mission urges Israelto put an end to arbitraryarrest and detention of thePalestinian people, especiallychildren, and observe the

    prohibition of the transfer prisoners from the OPT to thterritory of Israel, accordin

    to Article 76 of the FourtGeneva Convention.

    The Mission calls upoall Member States to compwith their obligations undinternational law and tassume their responsibilitiin their relationship to State breaching peremptornorms of international la

    specifically not to recognizan unlawful situation resultinfrom Israels violations.

    Private companies muassess the human rights impaof their activities and take anecessary steps includin

    by terminating their busineinterests in the settlements

    ensure they are not adverseimpacting the human righof the Palestinian People conformity with internationlaw as well as the Guiding

    Principles on Business anHuman Rights.

    The Mission calls upoall Member States to taka p p r o p r i a t e me a s u r eto ensure that businesenterprises domiciled in theterritory and/or under the

    jurisdiction, including thoowned or controlled by themthat conduct activities in related to the settlemenr e s p e c t h u ma n r i g h

    throughout their operationsThe Mission recommend

    that the Human RighCouncil Working Group oBusiness and Human Righ

    be seized of this matter

    _________________________

    Contact us: P.O Box20307, 612 UN Road

    Upanga West, Dar esSalaam Tel: 2152813,

    2150643 Fax: 2153257Email: [email protected]

    Website: www.pal-tz.org

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    9/16

    9AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Makala

    S AS A s i h ad i th i t en a .AFRICOM imejipenyezakatika ardhi ya Afrika. Lichaya Nchi za Jumuia ya Umojawa Nchi za Afrika, AU,kujitangaza kuwa hazitakuwatayari kuruhusu kuwekwakambi ya Komandi ya Majeshiya Marekani Barani Afrika(AFRICOM), Niger imekubalikupitia dirishani.

    Tayari Marekani na Nigerzimetiliana rasmi saini mkatabaambao umeiruhusu Marekanikuweka kituo cha ndege chakijeshi katika ardhi ya Niger,kituo ambacho sasa kitaiwezeshaMarekani kufanya mashambulizina upelelezi katika nchi zaAfrika kwa ndege za drones.

    Mkataba huo umeruhusundege zisizo na rubani zaMarekani (drones), kufanyaupelelezi au kushambulia kwamabomu katika maeneo ya nchiza Afrika, ambazo sasa zikombioni kutua rasmi katika barala Afrika.

    Ndege hizo zitaweka kambi

    yake katika mji wa Agadez,uliopo jangwani Kaskazini mwaNiger, ambao unapakana naMali, Algeria na Libya, chanzocha habari kimebainisha.

    Majeshi ya Marekani tayarikwa sasa yanaisaidia Ufaransakufanya mashambulizi katikanchi ya Mali, iliyo jirani naNi ge r ku pi ti a mg on go waUfaransa.

    Lakini sasa kwa kupitia kituochake kipya cha kijeshi chaAgadez, itasimama yenyewekuchunguza, kushambulia nakufanya kile inachotaka katikanchi nyingine za Afrika bilashida wala bughudha.

    Marekani imeshabainishakwamba shughuli za kijeshi

    z i t akazof any i ka kup i t i akituo hicho kipya, zimelengakuikomboa mipaka ya Kaskazinimwa Mali kutoka mikononimwa wapiganaji wa Kiislamuwanaotaka kufanya mapinduzinchini humo.

    Jumatatu iliyopita, Marekanina Niger zi l i t i l iana sainimkataba huo rasmi, ambaposasa Marekani itafanya kazizake za kijeshi katika ardhiNiger kwa uhuru.

    Pentagon wameshapangakuzindua makazi hayo mapyaya ndege zisizo na rubani nchinihumo.

    Habari zilizothibitishwa naserikali ya Niger jijini Niamey,zinaeleza kuwa balozi wa

    Marekani mjini Niamey , BisaWilliams, alimuomba Rais waNiger, Mahamadou Issoufou,kibali cha kutumia ardhi yanchi hiyo kuruhusu ndege zakipelelezi za Marekani kufanyakazi zake, naye mara mojaakakubali.

    Baada ya mazungumzo naRais Issoufou, Balozi Williamsaliwaeleza waandishi wa habarikuwa walizungumzia masualaya ushirikiano wa kiuchumi,kijeshi na kimaendeleo.

    Pia balozi huyo hakusitakutoa shukurani zake kwaUfaransa kufuatia mpangowake wa kijeshi nchini Maliwa kuwaangamiza aliowaita

    Tai ametua rasmi AfrikaNiger yakubali kumjengea kiotaWanaosakwa ni Shura, UAMSHO,AU msimamo wenu umeishia wapi

    Na Shaaban Rajab

    wapiganaji wanaoshirikianana magaidi wa Al Qaeda hukoKaskazini mwa Mali.

    Katika vita hivyo, Marekaniimedai imepeleka ndege za kivitana za kubebea zana za kivita nawapiganaji tu nchini Mali, lakiniikakanusha kupelekea vikosi vyawapiganaji.

    B i l a shaka wa t akuwawamefanya hivyo wakitarajiakuwa walikuwa mbioni kuwekakambi kamili ya kijeshi katikaukanda huo siku za usoni.

    Niger imewasha taa ya kijanikuiruhusu Marekani kupelekandege zake za kipelelezi katikaardhi yetu ili kuboresha usalamadhidi ya harakati za Kiislamu,chanzo cha habari cha serikali yaNiger kililieleza Reuters.

    Kabla ya kut iwa sainimakubalinao hayo, Mkuu waU.S. Africa Command, GeneraliCarter Ham, aliitembelea Nigermwezi uliopita.

    Nchi hiyo mask ini Afri kaMagharibi yenyewe ilielezakuwa inahitaji ushirikiano

    wa karibu wa kiusalama naWashington.Jijini Washington, vyanzo

    vya kidiplomasia vimeielezaThe Guardian kuwa, mkatabahuo mpya unaoitwa Status ofForces umepanua wigo zaidi.

    Hatua hiyo imetafsiriwakuwa ni kutoa nafasi kubwa kwaMarekani kupanua matumizi yandege zisizo na rubani katikaBara la Afrika, ambapo ndegehizo zitahusisha maeneo yanchi za Afrika kuanzia BurkinaFaso, Ethiopia na Djibouti katikapembe ya Afrika.

    Kufuatia hali hiyo, imeelezwakuwa Marekani sasa inalitizamaeneo la Kaskazini mwa Afrika

    hadi Magharibi kama uwanja wamapambano dhidi ya makundiya wapiganaji wa Kiislamuinayowahusisha na ugaidi.

    Tafsiri hiyo ya Marekaniimekuja kufuatia kuwepo mzozowa sasa katika nchi za Mali,Nige ria ka ti ka ma jimbo yaKaskazini na Algeria, ambako

    mapepari wa nchi za Magharibiwanaovuna mafuta wamekuwawakishambuliwa katika viwandavya mafuta.

    Mshauri wa Jeshi la Marekani,Robert Caruso, amesema kuwakambi yeyote nchini Nigerinaweza kufanana na ile ambayotayari ipo nchini Burkina Fasona kwamba zitafaa sana kwandege zisizo na rubani na hatazile zinazoongozwa na rubanikatika mpango wa upelelezi naufuatiliaji.

    Kamanda huyo alidai kuwamatumizi ya ndege hizo nikutokana na kukosekana kwawapelelezi wa Marekani katikaeneo hilo.

    Tunaleta drones nyingi

    katika Sahel kwa sababu hatunawatu wa kupeleleza ukandahuu-wala hatuna wa kutokakatika nchi marafiki. Tulitakiwakuwa na wapelelezi hao lakinihatuna, alisema Caruso.

    Hata hivyo wachunguzi wamambo ya vita wameeleza kuwamatumizi ya drone hata kama nikwa upelelezi tu, yameleta atharikubwa katika maeneo mengi.

    Imeripotiwa mara nyingikuwa mashambulizi ya ndegehizo za drone za Marekaniyameleta maafa makubwakatika nchi za Pakistan, Yemen,Afghanistan na Somalia.

    Mashambulizi katika nchihizo yamesababisha kuibuka

    kwa vikundi vya kupiganiauhuru na mauaji makubwa yaraia.

    T a a s i s i m o j a y e n y emaskani yake jijini London,(The London-based Bureauof Investigative Journalism),ambayo imekua ikifuatiliamadhara yanayosababishwa

    na ndege za d r one zaMarekani zilizowahi kufanyamashambulizi katika maeneombalimbali duniani, ilikujana matokeo kwamba, nchiniPakistan pekee, yamefanyikamashambulizi zaidi ya 362ambapo watu 3,461 wengi waowakiwa ni raia wasio na hatiawameuliwa.

    Awali katika Bara la Afrika,Marekani ilikuwa na kituocha ndege hizo. Kituo hichokilichokuwa pekee cha kudumuhapo kabla kipo nchini Djibouti,maili 3,000 kutoka Mali.

    Kituo hiki ndicho kimekuwakikitumika kurusha ndegezisizo na rubani na kufanyamashambulizi katika nchi za

    Yemen na Somalia, ambapokumekuwa kukiripotiwa mamiaya raia kuuliwa.

    Hata hivyo watafiti wengi wamasuala ya kivita wanaaminikwamba idadi ya raia waliouliwani kubwa zaidi.

    Licha ya madhara hayo,Kambi ya Agader ni isharatosha kwamba Rais BarackObama, amedhamiria kikamilifukutumia zaidi drones katikamipango yake ya usalama nadhulma za kiuchumi.

    Waziri wake wa Ulinzi, LeonPanetta, ameunga mkono hatuaza Shirika la Kijasusi la MarekaniCIA na kusisitizia udharura wakuendelezwa mashambulizi

    ya ndege za zisizo na rubaza shirika hilo katika maenemengi duniani.

    Kabla ya kuchagul iwkuwa Waziri wa Ulinzi wMarekani, Leon Panetta, alikuwmsimamizi wa mashambulizi yndege zisizo na rubani hukPakistan na Mkuu wa Shirila Ujasusi la CIA tangu mwak2009 hadi 2011.

    Kuna habari kwamba Serikawa Marekani imekusudkupeleka wanajeshi 3,500 katiknchi 35 za Bara la Afrika mwakhuu wa 2013.

    Gazeti la World Tribunl i n a l o c h a p i s h w a n c h i nMarekani, limeripoti kuwuamuzi huo wa Washingtoumekusudia kukabiliana nongezeko la nguvu za kundi al Qaeda na washirika wake.

    Gazeti hilo limeandika kuwWizara ya Ulinzi ya MarekanPentagon, imesisitiza kutumwmajeshi hayo katika maeneyal iyokumbwa na ghasBarani Afrika, lengo likiwa kutokomeza ugaidi.

    Jenerali Carter Ham, Kamand

    wa Majeshi ya Marekani BaraAfrika (AFRICOM), amesemhali ya Afrika hivi sasa ni tofauna ilivyokuwepo awali.

    Jenerali Ham amedai, kunmakundi mapya yenye silahambayo hayana uhusianna mtandao wa al Qaeda nkusisitiza kuwa, makundi hayni tishio kubwa kwa Marekan

    Tangu shambulio la Septemb11, Marekani imekuwa ikitumkisingizio cha kupambana nugaidi kuhalalisha udhalimwake na kufikia malengo yakkatika maeneo mengi duniani

    Hivi sasa bara la Afriklinapewa nafasi kubwa katiksera za usalama za Marekansera ambazo ni tishio kw

    usalama wa bara hili.K i s i n g i z i o k i k u b wi nachok i t umi a Mar ekankuhalalisha mipango yake, kupambana na magaidi. BokHaram nchini Nigeria, Al Qaedkatika Afrika ya Kaskazi(Aljeria na Libya), makundi yWaislamu wenye misimamo ykidini na kiutawala kaskazimwa Mali. Kwa upande wAfrika ya Mashariki ni kunla Al Shabab na la LordResistance Army la JosepKony .

    Katika hali hii, hata hapkwetu tutarajie mengine. Hakwa kuzingatia msimamo wWazanzibar wanaopiganmuundo wa Muungano w

    Tanganyika na Zanzibawakiungwa mkono na Taasiya Kiislamu ya UAMSHOkumeleta ishara ya wasiwasi.

    Kama tunavyofahamu sothivi sasa serikali wamewaonUAMSHO kama Waislamu wsiasa kali, viongozi wake wngazi za juu wote wako ndawakikabiliwa na mashitaka yuchochezi na uvunjifu wa amanWamenyimwa dhanama.

    Kwa sura hii, haishangasiku moja drone kutokLemonnier ikazagaa katikanga letu wakiwatafuta al QaeZanzibar.

    Wala hai takuwa ajabInaendelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    10/16

    10AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 20Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    Ni jam bo la kaw ai dak a b i s a k u o n a w a t o t o ,wakiwa wakiume na wakike,wakizurura ovyo mitaanihasa katika miji, mikubwakama vile Dar es Salaam.Lakini pia kuna wale ambaowanapewa kazi na wazazi waowakitembeza vyakula kamavile mandazi, vitumbua hatawali na ugali. Kwa kiwangokikubwa sana, haya yanatokeakwa sababu wazazi wengini masikini. Kweli watotowengine hukimbia makwaokwa sababu ya mateso hasa

    panapokuwa na mama wakambo. Linalosikitisha sanani kwamba jaribu kuwaulizavijana hawa majina yao namara nyingi watataja majinayanayojulikana kama yaKiislamu kama vile Juma,Bakari, Abdallah, Muhamedi, na kadhalika. Pamoja nahayo, mahakimu wa kila ngaziwanasema wazi wazi kuwawateja wao wengi ni vijana

    wa Kiislamu. Na kweli, ni waondio waliojaa huko Segereakwa mfano na magerezamengine nchini. Kwa mudamrefu sana na mpaka sasamaelezo yanayotolewa niile hali ya Waislamu nchinikunyimwa haki yao hasaya kupata elimu. Mfanomzuri ni wa yule kijana waKilosa ambaye nafasi yake yakuendelea kidato cha kwanzaalipewa kijana wa Kikristo nayeye akaishia kuwa dereva walori. Ama yule kutoka shuleya msingi ya Mughabe, Dares Salaam ambaye mzaziwake alilalalmika kuwa

    hakuchaguliwa kuendeleasekondari ati hakupita mtihaniwake. Mzee huyo alikuwaakifahamu kuwa kufuatana namaendeleo ya mwanaye haposhule, huyo kijana asingewezakuanguka mtihani wa darasala saba.

    Lakini umefika wakatiW a i s l a m u w a s i w ewanala lamika tu kuwawananyimwa haki yao hapana pale. Wao wenyewe naowaamke wasimame wima nawaanze kujitegemea katikanyanja nyingi. Ni kweliikubalike kuwa hivi sasa

    Huduma kwa watoto wa mitaaniWaislamu wamejitahidi sanakutafuta elimu kiasi kuwawanajenga shule nyingi zasekondari na zinawasomeshavijana wengi kwa ufanisimkubwa. Hivi karibuni

    nilifarijika sana nilipokutanana kijana ambaye kamalizakusoma Chuo Kikuu chaDar es Salaam na kupatashahada ya kwanza yauhandisi ujenzi. Kijanahuyu alisoma katika shuleya sekondari ya Waislamu

    pa le Ki go ma am ba yo siya siku nyingi sana. Kweliziko shule zingine nyingi zaKiislamu zenye maendeleokama hiyo; lakini ngwe

    bado ni kubwa sana ambayoinataka Waislamu wakazanekwa nguvu ya ziada ili hatawaweze angalau kulipunguzalile pengo lililopo.

    Hakika wazazi wengi waKiislamu pia wanastahilisifa kwa kukipa kipaumbelewajibu wao wa kuhakikishakuwa watoto wao wanapatae l i mu y a d i n i k a t i k amadrasa zilizomo jiranihuko wanapoishi. Ikubalikekuwa vijana hawa wasipatemuda mrefu wa kucheza

    pal e wanapo tok a shuleni .Kwa siku nyingi lilikuwani jambo la kawaida kamasio la lazima kuwa hatakama vijana wakitoka shulemuda gani basi linalofuata nikuhudhuria masomo ya darsahata zile zilizomo kando

    pembezoni ya nyu mba zamaalim. Utamaduni huuusikosekani pale ambapohakuna shule za msingi zaWaislamu.

    Turudie kwa watoto wamitaani ambao inajulikanawengi wao ni wa Kiislamu.Inaelekea kwamba katikamiji mikubwa kama vileDar es Salaam taasisizinazotambulika kuwa niza Kiislamu hazina sera yakuwahudumia vijana hawa.Bahati mbaya kuna taasisinyingi za wale wasiokuwaWaislamu ambazo zinavitengo maalum ambavyo

    vinawashughulikia vijanahawa wawe waKristo ama dinizingine na hata wasiokuwa nadini. Hivi sasa imetambulikakuwa lengo ni kuwarubunivijana kuritaad na hawandio watakao kuwa wauminiwao wa kesho. Ni vizurikusisitiza kuwa kuwa waohakika wanawalenga sanavijana walio Waislamu kwamadhumuni ya kupunguzaidadi ya Waislamu nchinihumu. Inafahamika kuwahuwa hawaridhiki kamwekumuhudumia kijana ambaye

    bado anataka kuendelea na

    jina lake lile la Kiislamu. Nikwa sababu hiyo ndio maanawale vijana wa Kiislamuwanaosoma shule, ziwe zamsingi ama za sekondariza makanisa, hulazimishwa

    kuhudhuria missa hata kamasio waumini wa kanisa hilo.Hawana amri ya MwenyeeziMungu kama ile waliyonayoWaislamu kuwa La ikrah fidin. Wao hata huwabatizawatu bila idhini yao hasa

    pale watu hao wanapokuwana shida ama wagonjwamahututi . Hulazimishakubadili imani yao. Kwahiyo wanapopata kijana wakumrubuni hilo kwao huwani vuno. Kweli kuna watu

    binafsi, hasa kina Bibi ambaowamejikita katika kupokeana kuwalea watoto yatima

    hasa hapa Dar es Salaam.Kwanza kutokana na ufinyuwa nafasi walizo nazo kina

    bibi hawa, idadi ya vijanawanaoweza kuwalea ni ndogosana. Mahitaji ya kuwezakuwahudumia watoto wamitaani ama wanaoishi katikamazingira magumu sana nikubwa sana kupita uwezowao. Kwa hiyo hakunakinyume ni lazima taasisi

    za Kiislamu humu nchinizianze kufikiria kuwa nasera maalum ya kuwaokoahawa vijana wasirubuniwe nawale walio wajanja na wasio

    heshimu imani za wenzao.Ikiwa kweli itaamuliwa nataasisi yeyote ile ya Kiislamukuanzisha mfumo huu wakuwasaidia watoto wa mitaani,gharama zake zinaweza kuwani kubwa sana. Haitakuwatu kuwapatia hawa vijanachakula na mahali pa kulala,

    ba li pi a wa we ze ku pa taelimu; na hii maana yakeni kuwa na shule ya msingiya Kiislamu ya bweni. Hilosio kwamba halitawezekanakwa vile kuna taasisi kongwekama vile BAKWATAambao wakijipanga vizuri

    na kujirekebisha katikamatumizi yao wanawezakuanzisha kitengo kikubwacha kulea watoto wa mitaani.

    N a o B A R A Z A K U Uwamejaaliwa kuwa na wasomina wanataaluma wengiwakiwemo waalim ambaowanaweza kuunda mipangilioinayofaa na inayoweza kuletaufanisi katika jitihada zao.Kuna taasisi kama vile

    Msikiti wa Wamanyemambao upo katikati ya mkunakopatikana watoto wenwanaoshi maisha magumhivyo itakuwa sahihi kabi

    wao kuwa mstari wa mbekatika harakati za aina hiySi ajabu kuwa hawa watotwengi wa mitaani kuwa wanasili ya Umanyema kwwazazi wao.

    Ili kuhakikisha kuwhuko mbele wanapatikanWaislamu wanaoijua dini yana kuwa na imani ya Uislamthabiti, ni lazima kuwapikvijana wa leo waive kwkazi hiyo ya kesho. Labda svibaya kurudia na kusisitizkuwa Makanisa hivi saswanalenga kuwarubuni vijanwa Kiislamu waritaad i

    kujenga makanisa ya keshHii ni pamoja na kuhakikishkuwa wasichana wengi wKiislamu wanadanganywwanabadili dini na kuolewna vijana wa Kikr istMabinti hawa wakiwa nmsingi thabiti wa dini yahawataweza kutetereka hakidogo.

    Shime viongozi wa taasiza Kiislamu, wakati ni huu

    Tai ametua rasmi Afrikawakitafutwa Shura madhaliwalishatizamwa kwa jicho laWaislamu wenye msimamomkali.

    Uchunguzi wa harakati zakijeshi za Marekani baraniAfrika, hasa zile za kitengochake cha kijeshi cha Africom,unadhihi r i sha hal i yenyekutia hofu. Hali hiyo pia ni yakusikitisha kwa vile Marekaniinashirikiana katika njama zakemkono kwa mkono na baadhi yamajeshi ya nchi zetu wenyeweza Kiafrika. Tukumbuke tukwamba hata Rais wetu waawamu ya tatu Benjamin Mkapa,mapema alishasaini mkataba waanga huru na Marekani.

    Eneo hil i la Afrika yaMashariki na eneo zima laPembe ya Afrika, Marekaniinategemea sana kambi yake yakijeshi ya Lemonnier iliyokoDjibouti.

    Kwa upande wa nchi zaAfrika ya Magharibi, kunataarifa kwamba Marekani inakituo chake cha siri cha kijeshinchini Burkina Faso. Hukoakina Boko Haram na wengineowataojitokeza kupingana naserikali zao ndio walengwawakuu. Maadhali wana alama yaUislamu, watapewa jina baya nawatashughulikiwa.

    K w a u p a n d e w e t u ,Lemonnier ndio kambi kubwa

    Inatoka Uk. 9 ya Marekani katika eneo hili.Marekani inaitumia kambi hiyokurushia vyombo vya anganivya mashambulizi visivyo narubani ambavyo vimetumikakuwaua watu wanaoshutumiwakuwa ni magaidi katika Yemenna Somalia.

    Pamoja na kwamba kambikuu ya AFRICOM tunaelezwakuwa ipo nchini Ujerumani,lakini kijanjajanja Marekaniimeshamudu kuweka kambi zakeza majeshi yake ya AFRICOMndani ya bara la Afrika.

    Inavitumia vituo hivyokurushia ndege zake za upelelezina za doria juu ya sehemu kubwaya anga la bara la Afrika. Piainavitumia kurushia vyombo

    vyake vya anga visivyo narubani.

    Hapa t una j i u l i za , u l emsimamo wa viongozi wetu waAU ulikuwa na maana gani?

    Inajulikana kwamba katikaAfrika ya Mashariki jeshi laMarekani la Africom limekuwalikilisaidia kwa hali na mali jeshila Muungano wa Afrika katikaSomalia (AMISOM).

    M a r e k a n i s i k u z o t eimekuwa ikisisitiza kwambawanachokifanya Afrika nikujenga mahusiano endelevukati ya jeshi lake na majeshiya nchi za Kiafrika. Kigezokikubwa kinachotumika katikauhusiano huo ni kupambana na

    ugaidi wa kimataifa.Mshangao mkubwa

    kwamba, huko Kongo DRCsiku zote kuna vita na uasi kwmiaka nenda rudi. Hivi sasa kunmzozo kati ya serikali na waawa M23. Kisangani, Goma nmiji mingine imekuwa haituvita. Watu wanauliwa, mazinaporwa. Lakini haijawakusikika kama kuna mpango wMarekani kupeleka Drones zakkujaribu kutuliza hali.

    Joseph Kony amezalishmisiba huko Kaskazini mwUganda miaka nenda ruda m e k u w a a k i w a t e k a nkuwaingiza watoto wadogkatika jeshi lake, pamoja n

    kwamba anata jwa, lakihakuna hatua za uhakika zkunusuru hali zilizochukuliwna Marekani katika eneo hilo Uganda Kaskazini. Kony badyupo, vita yake haijakoma. Kwnini zisiende drone huko?

    Iweje umuhimu wa dronuelekezwe sehemu za majangwkwa wanamgambo wa Kiislamwanaopingana na serikali zaoMali vita vimelipuka siku za hikaribuni. Vita vya Kony UgandWaasi DRC ni vya miaka, Kwnini drone zielekezwe MaLibya, Algeria na Somalia?

    Uko wapi msimamo wa Ajuu ya AFRICOM?

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    11/16

    11AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Makala

    HATI ya Muunganotunayo, ni kauli yaRais wa Zanzibar Dr.Ali Mohammed Sheinaliyoitoa wiki iliyopitakat ika sherehe zakutimiza miaka 36 ya

    kuzaliwa kwa CCM.Katika hotuba yakeiliyojaa vijembe, kejelina dharau kwa waleanaowahisi yeye kuwahawautaki Muunganowa sasa (serikali mbili),Dr.Shein alisema kuwaa n a s h a n g a a s a n akuona baadhi ya watuwanataka kujua ilipohati ya Muungano lakinialisema hawajafanyaju hudi za ku it af ut akwani serikali inayo na

    nakala yake ipo makaomakuu ya Umoja waMataifa, New York.

    Hati ya Muunganoipo pale IKULU Zanzibarkuna chumba na mezainayotumika kuwekeasaini anayetaka kuionaaende Umoja wa Matifawanayo kopi hakuna hajaya kuhangaika, alisemaDr. Shein akinukuliwana gazeti la kila siku laZanzibar Leo, gazeti laserikali ya mapinduziya Zanzibar la tarehe 1

    februari 2013A kas i s i t i za kuw a

    Muungano wa serikalimbil i unatosha kwaZanzibar kwani ndiop e k e e u n a o w e z akuwale tea manufaaw ananch i . A l i sem aTanganyika na Zanzibarzilipoamua kuunganahazikufanya hivyo kwakubaha t i sha kw an izilitambua umuhimuwa kuwa na muunganowa pande zote mbili.

    Akasema kuwa Zanzibarkatika muungano huoimekuwa inafaidika kwakiasi kikubwa kutokanana wengi wa Wazanzibariwanaishi eneo kubwa laTanzania bara kulikowatu wa bara wanaoishiZanzibar

    Nilipokuwa Makamuwa Rais nilitembeleamikoa mbal i mbal iya Tanzania na kilanilipoenda nilikutana naWazanzibari, tuutuzeni

    Tusipotoshe agenda:Hoja ni Zanzibar huru

    Na Mwandishi Maalum

    Muungano wetu kuonaunabakia imara na lazimatutafakari ndani ya miaka

    hii 39, alisema Dr.Sheinakinukuliwa na gazetihilo la serikali.

    Yapo maswali kadhaayanajitokeza kutokana nakauli hii ya Mheshimiwa

    Rais Dr. Shein. Mojni hili alilosema kuwanayetaka kuiona (Haya Muungano) aendUmoja wa Matifa, UNwanayo nakala, hakunhaja ya kuhangaika.

    Sasa kama Hati hya Muungano ipo palIkulu, Zanzibar, kwnini watu wahangaikkwenda kuitafuta NewYork, Marekani?

    Kwa nini asiwaambiwanaotaka kuiona wajpale Vuga kuit izamaKwa nini asingekuja naykatika ule mkutano wakwa CCM akainyanyujuu minalhadhi r inwakaiona?

    R a i s M s taa fu wZanzibar MheshimiwDr. Amani Abeid Aman

    Karume amesema kuwpamoja na kukaa Ikulmiaka 10, ha japatkuona hati hiyo. Na huyndiye aliyemkabidhi ofisDr. Shein. Swali ni jekama Rais aliyetangulial iyemkabidhi ofishakumkabidhi Hath i y o k w a s a b a bhaikuwepo Ikulu, DrShein yeye kaipatwapi? Nani kamletena ilikuwa wapi hatmarais waliomtanguliwasiione?

    Rais Shein anasemHati ya Muungani p o p a l e I K U L UZanzibar na kwambipo katika chumbna meza inayotumikk u w e k e a s a i n imikataba ya kiserikalIna maana marais wotwaliomtangulia Zanzibawalikuwa hawajui hilona hawaijui meza hiyiliyopo Ikulu yenye HaHiyo?

    K w a h a k i k

    inashangaza sana kuonRais Mstaafu anasemkuwa aonyeshwe hati ymuungano ilhali mrithwake anasema ipo.

    Kwa upande mwinginRais Shein anasemkuwa mfumo mzurwa muungano ni huwa serikali mbili hukakiwaponda wale wotwanaouhoji. Nadhankwa hapa tuchukuli

    Note 1.The Peoples Republic ofZanzibar was admittedto membership on 16December 1963 byResolution No. 1975(XVIII). For the textof the Declarat ionof acceptance of the

    obligations containedin the Charter dated 10December 1963 madeby Zanzibar (registeredunder No. 7016), seeUnited Nations, TreatySeries , vol. 483, p.237.

    In a note addressed tothe Secretary General on6 May 1964, the Ministryof External Affairs ofthe United Republicof Tanzania informedhim that, following the

    United Republic of Tanzaniasignature and ratificationof the Articles of Unionbetween the Republicof Tanganyika andthe Peoples Republicof Zanzibar, the twocountries had been unitedon 26 April 1964, as onesovereign State under

    the name of the UnitedRepublic of Tanganyikaand Zanzibar.

    The Ministry furtherasked the Secretary-General to note thatthe United Republic ofTanganyika and Zanzibardeclares that it is nowa single Member of theUnited Nations boundby th e pr ov isi on s ofthe Charter, and that allinternational treatiesand agreements in force

    between the Republicof Tanganyika or thePeoples Republic ofZanzibar and other States or internationalorganizations will, tothe extent that theiri m p l e m e n t a t i o n i sconsis tent wi th the

    constitutional positiones t ab l i shed by theArticles of the Union,remain in force within theregional limits prescribedon their conclusion andin accordance with theprinciples of internationallaw.

    In communicating theabove-mentioned note,in accordance with therequest contained therein,to all States Members of

    Inaendelea Uk. 15 Inaendelea Uk. 15

  • 7/29/2019 ANNUUR 1057

    12/16

    12AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA FEBRUARI 8 - 14, 201Barua/Shairi

    Kilio kila kukicha, cha chama kuhujumiwa,Yanenwa bila kuficha, na makada aminiwa,Wa kando pasi kumcha, lawama anatupiwa,Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    Ukweli wanauficha, ni vyema mkatambuwa,Ni yao wao makucha, chama yanokitobowa,Nanena pasi kuficha, hata wao wanajuwa,Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    MTWARA kwayo makucha, ni wao wairaruwa,Wangangana kachakacha , GESIYE kuikwapuwa,Wahofuni kuiacha, KANZI hii kwa wazawa,Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    Wahaha usiku kucha, chamacho kukiumbuwa,Ya ILANI wayaacha, kwa UFISADI twaliwa,Wamegeuka galacha, kwa umma tothaminiwa,

    Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    Kwa kulifumbata BUCHA, wazidi kukitobowa,Lidhabihilo chachacha !, wane tu WATAHINIWA,Kwa ya UBAGUZI kacha, chamacho wanakiuwa,

    Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    Chahitaji chama KACHA, kwa TIBA bora patiwa,Maradhiye kuyakacha, si suluhu maridhawa,Au LAWAMA kuacha, kwa TABIBU siyo sawa,

    Walozi wa CCM, ni CCM wenyewe.

    MBILI ZIRO kumekucha, MOJA TANO mwangojewa,Si mbali kesho kukicha, kesho kutwa majaliwa,Kwa NGOMA yenu chakacha !, kwayo MTAHUKUMIWA,

    Katu hakuna WALOZI, wa CHAMA zaidi yenu.

    ABUU NYAMKOMOGI

    WALOZI WA CCM !!!

    MITIHANI MEMA!Nyote mitihani mema, leo nawatakieniMuifanye kwa salama, shari zikuepukeniMpate alama njema, kuvukia wasitaniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Mtangulize KARIMA, jinale tangulizeniYote mliyoyasoma, Rabbi ata kuungeniHamtobakia nyuma, mtavuka saliminiNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Mmefanya jitihada, nimewashuhudieniMkazikubali shida, zilizopita kifaniUsingizi ni ibada, mkauweka pembeniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Mkajinyima vizuri, kuja itafuta faniMkaacha vya fahari, huko kwenu masikaniKiasi mka ghairi, kuzipupia fasheniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Chakula mkadiriki, kujipanga kwa foleniKwenye kubwa halaiki, mule ndani kantiniWala hamkuhamaki, mkatulia vitiniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Kuzimisi familia, kwenu siyo jambo geniHakika mnaumia, kosa zao kampanibali mnavumilia, kipindi cha mashakaniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Msijefanya ghururi, tan-bihi nawapeniGhalati si desituri, katika yetu imaniSiyo kama nahubiri, bali nawakumbusheniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Sana tutawakumbuka, mkienda likizoniUpweke utatufika, peke yetu ofisiniMaktaba kutumika, huboresha anuaniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Kile cha Waislamu, Chuo Kikuu jamaniMorogoro mfahamu, sehemu zile mjiniChuo hiki ni timamu, hakika kipo makiniNyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Mkutubi kaditama, kalamu naweka chiniBusara nazo hekima, zilizo mwangu kichwaniNdizo zilizo nituma, leo ni waliwazeni

    Nyote mitihani mema, leo nawatakieni

    Isihaka Hemed Mzuzuri (Sauti ya Mkutubi)([email protected]) 0714-341 216MUM- Morogoro.

    HIVI sasa kuna hoja zabaadhi ya Wainjilisti ambaowanaizogoa serikali wakitaka

    W a k r i s t o w a r u h u s i w ekuchinja katika machinjioya wanyama ya serikali kwakuwa machinjio ya sasayanatoa nafasi kwa Waislamupeke yao.

    Pamoja na kwamba wengihawafahamu kama kuna sheriana utaratibu wa kuchinja Kikristokwa mujibu wa Biblia, na iwapokuna utaratibu huo unatokana naMungu na Mitume wake au la,lakini ni vyema tukadokeza japokwa uchache suala la kuchinjakwa mujibu wa taratibu zaMwenyezi Mungu na Mitumekwa kujibu wa Uislamu.

    I fahamike tu kwambaMwenyezi Mungu ndiyemuumba wa mbingu na ardhi

    na kila kilichomo. Aliumbaviumbe watu, wadudu, wanyamana mimea na akamwezeshamwadamu kuvitawala viumbehivyo, lakini kwa kuwekautaratibu maalum.

    Anasema Allaah SubhaanahuWa Taala): (Basi swali nauchinje kwa ajili ya Mola wako)[Al-Kawthar: 2] Kuchinja nimoja ya ibada za Kiislamua m b a y o i n a t u k u m b u s h aTawhiyd ya Allaah (SW) nabaraka zake kwetu, pamoja nakutupa mafunzo ya utiifu wababa yetu Ibrahim kwa Molawake na kumpwekesha Allaah.

    Hivyo ibada hii ya kuchinjani muhimu sana kwa Muislamna inawapasa kuizingatie

    kwa makini na kuitekelezainavyopasa kama ilivyoelekezwabila kufuata nafsi ya kibinadamu.

    Kuchinja ni kwa ajili yawanyama waliohalalishwakuliwa na mwanadamu. Iweni wafugwao au wa porini.Kuchinja ni wajibu katikafamilia ya kila nyumba yaMuislamu, ambayo watu wakewanao uwezo wa kuchinja. Hiikutokana na kauli ya Allaah(Subhaanahu wa Taala): BasiSwali na uchinje kwa ajili yaMola wako [Al-Kawthar: 2]

    Mtume (Swalla Allaahualayhi wa aalihi wa sallam)al ichinja kondoo wawi l iwalionona, walio na pembe,

    a l iwachinja kwa mikonoyake akataja jina la Allaah,akamtukuza kwa kusemaBismillaah Allaahu Akbar)[Al-Bukhaariy na Muslim]

    Kuna ushahidi kwambaibada ya kuchinja ina fadhilakubwa kwa sababu ya kauliya Mtume (Saw), kutoka kwamama wa waumini Aisha(R.a) kwamba Mtume (Saw)amesema: (Hakuna kitendocha mwana Adam kilichokuwani kipenzi kabisa kwa Allahs i ku ya kuch i n j a kamakumwaga damu (kuchinja).Atakuja (huyo mnyama) sikuya Qiyaamah na pembe zake,kucha zake na nywele zake.

    Kuchinja katika Uislamu kuna utaratibu na kanuni zakeWanaonyonga waendelee na utaratibu wao

    Damu yake itamwagika mahalifulani Allah anapajua kabla yakumwagika katika ardhi. Hivyo

    zipendezesheni nafsi kwayo)[At-Tirmidhiy]

    Na kauli yake Mtume (SwallaAllaahu alayhi wa aalihi wasallam) alipo