ANNUUR 1094

download ANNUUR 1094

of 16

Transcript of ANNUUR 1094

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1094 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA , OKTOBA 11-17, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Siri ya mafunzo fekiya Al Qaida Mtwara

    Tumieni CD za Rambo, Noris, AnoldMsikilizeni Elbaradei kama mna akiliHizi ni zama mbaya. Age of Deception

    Sheikh amiminiwa risasi 40Auliwa kama alivyouliwa RogoSerikali yarushiwa tuhuma nzito

    WAJE wawaone watuwenyewe maana itasaidiahata kutumia akili zao tu

    Waislamu watiwamsukosuko Mtwara

    Sheikh Ibrahim Omari, maarufu Ibrahim Rogoameuliwa kama alivyouliwa Sheikh Aboud MohammeRogo.

    Ni baada ya taarifa za ugaidi wa magazetiSheikh atoa tahadhari, nasaha kwa Waharir

    Na Bakari Mwakangwale za kuzaliwa kulinganishana tuhuma hizo kwakujiuliza kuwa huyukweli alikuwa na dhamira

    Inaendelea Uk. 4CHUCK Noris (kushoto) na John Rambo. Soma Uk. 6

    Age of Deception

    Uk. 6

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    2/16

    2AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Makala/Tangazo

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi yakujiunga na kidato cha kwanza 2014.Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatatu hadijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basic Mathematicsna Computer.ADA: Ni Tshs 60,000/=(Elfu sitini) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu.Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada.Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato cha kwanza

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0714 888 557/0712 974428

    Wabllah tawqMKUU WA SHULE

    Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

    E-mail: [email protected]

    MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014

    (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)

    ZIPO taarifa kuwa kunakamatakamata ya chinikwa chini inaendeleahasa maeneo ya Ilala naBuguruni ambapo watukadhaa wamekamatwa nawanashikiliwa na Polisi.

    Inadaiwa kuwa watuhao, baadhi walikamatwaMisikitini na wenginen y u m b a n i n a w o t einadaiwa kuwa walikuwawakiangalia kanda za Al

    Shabaab.Kwa ambaye amewahikuona CD hizo kamaz i l i v y o z a g a a k a t i k amitandao na akawahikuangalia taarifa ya habariya TBC1 Jumanne saambili usiku, ataridhikakuwa documentary hizozimeandaliwa na watumaalum kwa lengo lakupiga propaganda yakuwatia kat ika hat iaWaislamu na kuupakamatope Uislamu.

    Kitu wanachotakiwak u f a ha m u Wa i s l a m uni kuwa hizi ni zamaza udanganyifu (Ageo f D e c e pt i o n) k a m a

    anavyosema MohamedElbaradei. Documentarykama hizo zimetengenezwanyingi na kuingizwa katikamtandao kwa malengomawili. Moja ndio hizovyombo vya habari kamaTBC hutumia katika taarifazao za habari katika jitihadaza kuhusisha Waislamu naugaidi. Pili, kuwatia hatianiWaislamu na kuleta kamakidhibiti kuwa wanajifunzaugaidi.

    Wanajua wakiziwekakatika mtandao au CDKuna watu watazifanyia

    b i a s h a r a n a w a p oW a i s l a m u w a t a t a k ak u z i t i z a m a . L a k i n i

    wanajua pia wapo Polisiwaliokwisha andaliwa,wanajua nini cha kumfanyamtu watakayemkuta naCD hizo. Watamtia katikaugaidi. Sasa kuna hajakwa vijana wa Kiislamuna Waislamu kwa ujumlakuwa makini.

    Tutambue kuwa kwamuda mrefu kumekuwana jitihada kubwa sana zakujiaminisha sisi wenyewekuwa hapa Tanzania kunakitisho cha kweli chamagaidi.

    T o k a t u l i k u w atukiambiwa kuwa magaidihao ni wa kutoka nje

    mpaka sasa tumefikiamahali pa kufanya juhudim p y a k w a m b a s a s amagaidi hao wapo ndaniya nchi na wana kambi zakutoa mafunzo hayo kwaWatanzania wenzetu.

    Juhudi jingine ambayotumekuwa tukiifanya kwa

    ju hu di ku bw a sa na nikuwatambulisha magaidihao ni akina nani.

    Baada ya kazi hiyo

    kubwa na ya muda mrefuambayo imefanywa kwajuhudi kubwa na vyombov y a h a b a r i , m a m b omakubwa manne sasayanajidhihirisha kamakielelezo cha mafanikioyaliyokiwa.

    Moja, ni kukubalikakuwa nchi inakabiliwa nakitisho cha magaidi. Pili,kuwatambua magaidi haokuwa ni al Qaida na AlShabaab walio nje na ndaniya nchi. Tatu, Al Qaida na AlShabaab hao ni wananchiwenzetu Waislamu. Nne,tumejiaminisha kuwamagaidi hao wana uwezomkubwa sana usio wa

    kawaida, hata nchi ikitakahaiwezi kuwazuiya.Tunalotakiwa kutambua

    hapa ni kuwa kwa yotetuliyokuwa tukifanya,( M w e n y e z i M u n g ua e p u s h i l i e m b a l i ) ,yanaweza kutuletea balaakubwa na hili likitokeaitabidi tujilaumu wenyewe.

    Nitafafanua. Ikirie nchikama Marekani na maguvuyake ki-intelijinsia, kijeshi,kipolisi, Sheria za uhamiaji,udhibi t i wa wasaf ir ikuingia kupitia viwanjavya ndege na bandarini,tekinolojia na umakini wavyombo vya kusimamiasheria, lakini tunaambiwakuwa magaidi kutokanchi duni kwa kila kitu,Afghanistan wameingia nakushambilia sehemu nyetikama Pentagon na WTC!

    H a i k u i s h i a h a p ob a d o t u n a a m b i w ak u w a k u m e k u w a namashambulizi menginemadogo nadogo kama hilila juzi la Boston MarathonBombing!

    Kwa waliowahi kufikaM a r e k a n i b a a d a y aSeptemba 11, 2001 wanajuakiwango cha upekuzi naharakati za kiusalamazinazofanyika. Lakini

    bado tunaambiwa kuwa AlQaida wameweza kufanya

    Tutajiangamizakwa upumbafu

    shambulizi la Boston nakuuwa watu!

    Mambo mawili hapoyanajitokeza: Moja ni kuwalazima tukubali kuwamagaidi hao ni hatari sanana uwezo wao ni mkubwasana na kwamba kamahata baada ya kuuliwaOsama Bin Laden, badowana uwezo wa kupigaMarekani, basi sisi huku

    uwezo wa kukabiliana naoutakuwa ni mdogo sana.Pili, kama hilo la kwanza

    sio sahihi, basi tukubalikuwa tumetiwa upumbafuwa kutisha kuwa likitokea

    j a m b o ha tu na m u d awa kuhoji hakika yake.Tunakwenda tu na ujingatuliokwishalishwa kuwahao ni Al Qaida.

    Hatari iliyopo ni kuwaukishaaminishwa kuwawapo Al Qaida wenyeuwezo wa kiwango hichona ukifikishwa mahalikuwa akili yako ishaliwana virusi vya kulemazak u f i k i r i n a k u h o j i ,kinachoweza kutokea ni

    kuwa usiyemdhania kabisaanaweza kutumia fursahiyo kufanya shambulioakijua wazi kuwa walahutahangaika kuchunguzanini kimetokea na nanikahusika.

    Ana j u a k a bl a ha ta T w i t t e r h a i j a s e m awaliohusika ni Al Qaida/AlShabaab, tawi la Tanzania,wewe tayari ushajiaminishakuwa hakuna wa kufanyahilo ila magaidi wa AlShabaab/Al Qaida.

    Katika zama hizi zaelektroniki na dijitali,ambapo mtu anawezakuanzisha blog/page,katika mtandao na akaipa

    jina na anuwani anayotaka,nini na nani mweyeTwier ipi?

    L a k i n i a n a j u ak w a u p u m b a f uwaliokwishatiwa watuk u pi t i a v y o m bo v y ahabari, ikitokea tu AlJazeera ikasema, Twierya Al Qaida/Al Shabaab,

    imesema wanahusika,h u t a k u w a n a m u d awala akili ya kuhoji nakutafakari. Utaimba hilohilo la Twitter. Huu niupumbafu wa kutisha nakwa hakika unaochefua nandio utakaotuangamiza.

    Na kwa hali hii ambapo AlQaida wana nasibishwa nawanaorukuu na kusujudu,

    b a s i w a t a k a o f a n y a

    shambulio ambao wewew a l a h u t a w a f i k i r i a ,wanajua wazi kuwa watuwa upande mwinginewatataka kulipa kisasi.Na hiyo itakuwa njia yauhakika ya kuitia nchikatika machafuko.

    Hivi sasa kuna ukaguzimkubwa unaofanyika kwawatu wanaoingia katikamaduka makubwa kamaMlimani City na QualityPlaza. Lakini tujiulize, hivipale Westgate hapa kuwana walinzi? Hapa kuwa nacamera za security.

    Awali ikasemwa gaidimwanamke kaingia nakikosi cha watu 30 na lundo

    la AK-47. Sasa tunaambiwani kama watu saba/nanetu wanaoshikiliwa nakuhojiwa. 23 hawajulikaniwameyeyukia wapi. Ndiohii mara wadau wakuukatika kututia uj inga(wahar ir i /waandishi )wanasema hao 23 naKamanda Mkuu Samanthawametoroka kupitia mtarowa maji machafu.

    Hebu ichukulie Westgatekama Mlimani City auQuality Plaza. Ndani kunaaskari na makachero kwamamia wanaopambanana magaidi. Nje jengolimezungukwa na mamiaya Polisi na wanajeshiwakiwa na silaha nzito.Mtaro upi wa maji machafumagaidi 23 na kamandawao watatumia kutoroka?Kama si mtaro huo wamaji machafu, Samanthaalipitaje ngome hii yaaskari? Labda askarihao watuambie ndiowaliomruhusu kupita

    na kwa maana hiyo wawatakuwa ndio wa mwanzkuhojiwa watuambie ninkilitokea.

    K a m a t u n a a m i nkuwa magaidi waliwezkuingiza silaha za kutoshpa l e We stg a te M a lNairobi, bila kugundulikna vyombo vya usalamw a k a s h a m b u l i a nk u o n d o k a , h a p a n

    shaka magaidi hao kamw a ta i ng i a T a nz a ni ai t a k u w a v i g u mkuwadhibiti.

    Kwa mtindo huu wkuwa na Boston MarathoBombing baada ya harakazote za kiusalama baadya Septeba 11, pamojna kumuuwa OsamBin Laden, ni wazi kuwhakuna Usalama wa TaifPolisi, Mgambo, Poli

    Jamii au Jeshi wanaowezkuzuiya magaidi hawa.

    We unapekuwa watM l i m a n i C i t y , w awatapiga sokoni KariakoU k i z i d i s h a u p e k u zKariakoo watapiga sok

    la Tandale! Unazidishulinzi Dar na Arushawanashambulia Kibondna Kirando!

    Sisi tunadhani kuwkubwa la kufanyika hapa nkufanya utati wa kisomkukitambua kwanza kwuhakika hiki kirusi AQaida/Al Shabaab nugaidi wake kwa sababkinavyoonekana kasi yakya kujibadili (mutationni kubwa mno ambau n a m p a u w e z o wkushambulia usipotarajia k a p i t a m a h a l i b i lwewe kumtambua kamtunavyoaminishwa kuwwalifanya WTC, PentagonBoston, Westgate Kenya nkwingineko.

    Hii maana yake nkuwa dawa ya kupekuwwatu, kutumia mbinu zkipolisi na usalama wtaifa, zinaweza kuishikuuwa na kutesa tu watwasio na hatia, lakini badhatutakuwa salama.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    3/16

    3AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Habari

    Sheikh amiminiwa risasi 40MOMBASAJAMII ya WaislamuMombasa nchini Kenya,wamedai kuwa Maofsa

    wa Kupambana na UgaidiKenya ndio waliomuuaSheikh Ibrahim Omar nawenzake watatu.

    Aidha wamedai kuwamaofisa hao wanaandaamipango ya kumuuaS h e i k h m w i n g i n ealiyetajwa kwa jina la AbuBakar Makaburi.

    H a b a r i k u t o k aM o m b a s a K e n y a ,zimeeleza kuwa SheikhIbrahim Omari, maarufuIbrahim Rogo na wenzakewatatu walipigwa risasi nakuuliwa wakiwa ndani yagari lao katika barabara yaBamburi mjini Mombasa.

    Mashuhuda wamedaikuwa Sheikh IbrahimOmar na wenzake haowalipigwa risasi zaidi yaarobaini, hali iliyoonyeshakuwa maadui hawakutakakumbakisha hata mtu

    mmoja kwenye msafarahuo, uliokuwa unatokakatika msikiti ambaomarhuum Sheikh AboudMohammed Rogo, kakawa marehemu ambayenaye anadaiwa kuuliwana polisi mwaka jana, nawahusika hajakamatwahadi sasa.

    T a a r i f a z i n a e l e z akwamba Abu Makaburina Sheikh Ibrahim Omar,kabla ya kukutwa namauti walikuwa wakipatavitisho vya kuuliwa,ikidaiwa kuwa vitishohivyo vililenga kuzima

    vuguvugu la Da'awah yahaki.Kufuatia kushambuliwa

    Je ng o la ki bi as ha ra laWestagte ambapo watuzaidi ya 67 waliuliwa,imedaiwa kuwa maosawa serikali wamekuwawakipanga mkakati wakuwapoteza vijana naMasheikh ambapo katikaorodha yao, imebainikakuwemo majina ya SheikhIbrahim na Abu BakarMakaburi.

    Imeelezwa kwambasiku mbili kabla ya SheikhRogo na wenzake kukwana mauti , ulienezwauvumi katika mji waMombasa kuwa Abu BakarMakaburi ameuliwa,

    jambo li li lo wat ia hofuWaislamu wa eneo hilo.

    Pamoja na kuuliwaSheikh Ibrahim Rogo nawenzake watatu, habarizinaarifu kwamba mtuanayechunguzwa nakufuatiliwa kwa karibuzaidi na maosa hao wakupambana na Ugaidi,ni Abu Bakar Makaburina kwamba, mpango ukomezani na utatekelezwawakati wowote.

    Kw a u pa nd e w a o ,Waislam wa Mombasawameeleza kuwa Serikaliya Kenya imeamua kuwaua

    baada ya kushindwa vitavyao na Somalia.

    Awali Polisi Kenyailitangaza kuwa, watuwanne akiwemo SheikhIbrahim Ismail Rogo,wameuawa usiku waAlhamisi Octoba 3, baadaya kupigwa risasi na watuwasiojulikana wakiwandani ya gari dogo mjiniMombasa.

    Taarifa ya Polisi yaKenya imeeleza kuwa,Sheikh Ibrahim Rogoalikuwa mrithi wa SheikhAboud Rogo, ambaye nayealiuawa pamoja na familiayake kwa kupigwa risasi nawatu wasiojulikana mwezi

    Agosti 2012.Mauaji ya Sheikh IbrahimRogo ambayo yameutikisam j i w a M o m b a s a ,yametokea baada yakupita takriban wiki mbilitangu kutokea uvamiziwa maduka ya Westgate

    jiji ni Nairobi, uliodai wakufanywa al Shabab aual Qaeda ambapo watuwasiopungua 63 waliuliwana wengine kujeruhiwa.

    P o l i s i w a m e s e m akuwa muhubiri huyoalikuwa amehubiri katikamsik i t i u l iohusishwana wanamgambo waKiisilamu wa Al Shabaab.

    Baadhi ya wananchi wa

    Mombasa wanakituhumukikosi maalumu chakupambana na ugaidi kuwandicho kilichotekelezamauaji hayo.

    Sheikh Ibrahim Rogo,ambaye alikuwa akitoamihadhara kwenye Msikitiwa Musa mjini Mombasa,alituhumiwa na jeshi lapolisi kuwa anawachocheav i j a n a w a K i i s l a m ukujitumbukiza kwenyemakundi ya kigaidi.

    P o l i s i y a K e n y aimesema kuwa, GaddafiMohammad, Issa Abdallahna Omar Abu Rumeisan i m i o n g o n i m w awaliouawa, huku Salim

    Aboud akinusurika katikashambulio hilo.Sheikh Ibrahim Rogo,

    alikuwa muhubiri katikamsikiti aliokuwa akihubirikaka yake marehemuSheikh Aboud Rogo,ambaye pia aliuawa kwakupigwa risasi mwaka

    jana.Vyombo vya usalama

    K e n y a v i m e k u w avikimshutumu SheikhR o g o k u w a a n a t o amafunzo yanayodaiwakuwa ni yenye itikadikali, ambayo yanadaiwakuwashawishi vi j anakujiunga na makundi yakigaidi kama Al Shabaab.

    S i k u y a J u m a t a t uAgosti 27, 2012, SheikhAboud Rogo Mohammedkaka wa maremu SheikhIbrahim Rogo aliyeuliwaalhamisi iliyopita, aliuawaakiwa katika gari yakewakati akimpeleka mkewehospitalini mjini Mombasa.

    M a u a j i h a y oy a l i sa ba bi sha g ha s i aambapo watu watatuw a l i p o t e z a m a i s h ayao, ambapo ilielezwakuwa polisi waliokuwawakijaribu kutuliza ghasiaza baada ya kifo cha SheikhRogo ndio chanzo chamauaji hayo.

    Ilielezwa kuwa mauajiya Sheikh huyo yalitiashaka kama yalikuwa nialama ya ukatili au ni suranyengine ya vita dhidi yaugaidi.

    Siku moja baada yamauaji hayo, shirika la

    kutetea haki za binaadamu,Human Rights Watch,likatoa taarifa ya kutakauchunguzi wa harakaufanyike dhidi ya mauajiya Sheikh Rogo, pamojana kulaani mauaji hayo navurugu za baada ya mauaji.

    "Tunataka uchunguzi wakina juu ya kile ambachokimemtokea Sheikh Rogo.Tunadhani ni lazima tukiohili lichunguzwe na hatuazichukuliwe."

    Alisema Ben Rawlence,Af i sa w a Uta f i t i w aShirika la kutetea haki za

    binadamu alipozungumzana DW kwa njia ya simuakiwa jijini Nairobi.

    Baraza la Usalamala Umoja wa Mataifalilimuwekea vikwazo vyakusafiri na kuzuia malizake mwezi Julai, likidaikuwa alikuwa ametoa"msaada wa kifedha, vitu,mafao au ufundi kwa al-Shabaab."

    Kwa mujibu wa Barazahilo, Sheikh Rogo alikuwandiye "kiongozi mkuuwa kiitikadi" wa kundi laHijra la Kenya, ambalo pialinajulikana kama Kituocha Vijana wa Kiislamu, naambalo Umoja wa Mataifau n a l i c h u k u l i a k u w amshirika wa karibu wa al-Shabaab kwa Kenya.

    Awali Polisi nchiniKe ny a w a l i m k a m a taSheikh Aboud Rogo, kwatuhuma za kumkuta nasilaha kinyume na sheria.

    Alipelekwa mbele yamahakama ya MombasaAgosti 14 kwa mashitakaya kupanga mashambulizikatika maeneo ya umma.

    Aliyakana mashitakadhidi yake na kuachiwakwa dhamana hadi Oktoba15, ambapo kesi yakeilikuwa isikilizwe tena.

    L a k i n i a k a u a w atakribani wiki tatu kablaya tarehe hiyo.

    Kwa mujibu wa vyanzo

    mbalimbali vya habari,Sheikh Rogo alikuwaameliarifu jeshi la polisinchini Kenya, Julai 24,2002 kwamba maishayake yalikuwa hatarini nakwamba alihitaji ulinzi.

    Ripoti hiyo aliiwasilishapia kwenye Kamisheniya Haki za Binaadamu yaKenya na pia mahakamaya nchi hiyo.

    Kwenye taasisi hizozote, Sheikh Rogo aliripotikwamba, watu waliojidaikuwa polisi walikuwawamejar ibu kumtekanyara yeye na mwenzake,Abubakar Sharif Ahmed.

    Hata hivyo kilisababishamauaji ya Sheikh AboudRogo, haki ja ju l ikanahadi leo wala wahusikakukamatwa.

    Lakini mashirika ya hakiza binadamu ya ndani nanje ya Kenya yaliinyosheavidole mamlaka za Kenya,k w a m b a h a t a k a m ahazihusiki moja kwa moja,

    bado zina wajibu wa mojakwa moja wa kuwalindaraia wake, na katika hilikufanya uchunguzi wakina.

    W a z i r i M k u u w awakati huo, Raila Odingaalilitolea maelezo jambohilo, akisema kwambawaliofanya mauaji hayo nimaadui wa Kenya ambaowanataka kuiingiza nchihiyo kwenye mapambanoya kidini.

    K u f u a t i a m a u a j ihayo, Al-Amin Kimathi,Mwenyekiti wa Jukwaa

    la Waislamu la Haki zaBinaadamu nchini Kenya,alisema hana sababu yakuiamini serikali kwanisi mara moja wala mbilimauaji kama haya kutokeana wala hakukuwa nahatua zilizochukuliwa.

    K e n y a i l i p e l e k awanajeshi wake nchiniSomalia mwaka jana,kwa lengo la kupambanana wanamgambo wa al-Shabaab, ambao Kenyainawatuhumu kwa kufanyamashambulizi ndani yaardhi yake, ikiwemo piautekaji nyara wageni nawafanyakazi wa mashirikaya misaada.

    Lakini Ben Rawlencewa shirika la kutetea hakiza binaadamu la HumanRights Watch, haoniuhusiano wa moja kwamoja wa sura hizi mbili zakupambana na ugaidi.

    "Siwezi kusema kwambaKenya inafuata mtindohuo wa Marekani. HataMarekani yenyewe haiwezikumuua raia wake nchinimwake.

    N a s i s i h a t u w e z ikujua kuwa ni kweliserikali imehusika, lakinimahakama na sheria zaKenya zipo.

    Mtuhumiwa anapaswa

    kupelekwa mahakamani nkuhukumiwa kisheria. kuuawa mitaani." AlisemBw. Rawlence.

    Kwa mujibu wa taarfya Jukwaa la Haki zBinaadamu kwa Waislamumnamo mwezi Machmwaka 2002, mhadhimwengine wa KiislamuSamir Khan, aliyekuwp i a a k i k a b i l i w a n

    mashitaka ya kuwa nsilaha kinyume na sherna kutoa mafunzo kwajili ya al-Shabaab, na rakyake Mohammed Qassimwalitolewa kwenye bamjini Mombasa na watwaliojitambulisha kampolisi.

    M w i l i w a K h aulikuja kugundulika sikkadhaa baadaye katikmbuga ya Tsavo, ukiwumekatwakatwa vibayhuku hatima ya Kassimikiwa hadi sasa haijuilikan

    Kwa mujibu wa HumaRights Watch, mwanzonPolisi ya Kenya ilikuwimewaambia waandishi w

    habari kuwa Khan alikuwameshikiliwa na KikoMaalum cha Kupambanna Ugaidi, lakini baadaywakakana kumshikilia.

    Mara kadhaa, wakiwa Sheikh Rogo, MbuguMureithi, alikuwa amesemmteja wake alilalamikikufuatwafuatwa na polisna hata kumtaja afismmoja wa polisi ambayalimtishia kwamba wapolisi, wangelitafuta njya kumalizana naye.

    A l - A m i n K i m a t ha m b a y e m w e n y e wsi mgeni wa kutiwmisukosuko na polisanasema kwamba hay

    hayashangazi.Wakati Wakenya ndunia wakisubiri majibkwa mauaji dhidi ya SheikAboud Rogo na machafukyaliyotokea baada yhapo, majibu ya kutekwna hatimaye kutowekkwa akina Samir HashimKhan, Mohamed BakhQassim, Sylvester Opiy

    Jacob Musyoka, JeremiaOnyango Okumu, StepheMwanzia Osaka, OmaShaib na Salim Abubakandani ya kipindi hichcha mwaka mmoja, badhayajapatikana.

    Kwa mujibu wa Jukwala Haki za Binaadamu Waislamu nchini Kenym a t u k i o y o t e h a yyal ir ipot iwa kwenyvyombo vya dola.

    Katika mazingira yayale, kauliwa kaka yakAboud Rogo, SheikIbrahim Omar Rogo nwenzake watatu.

    Mauaji ya Sheikh IbrahimRogo na vijana wenginwatatu wa Kiislamu, nishara tosha kwambmaisha ya walinganiaji wKiislamu yamo hatarinkwa mgongo wa lughya ugaidi, al shabab na Qaeda.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    4/16

    4AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Habari

    Waislamu watiwamsukosuko Mtwara

    Inatoka Uk. 1

    hiyo?Au mazingira haya

    yanalingana na mafunzoya Al-qaid au kijeshi ?

    Kuliko kukurupukabil a kupata maelezo yaupande wa pili wa jambolenyewe, zaidi huishiakuwatisha wananchi tu.

    H a l i i m e k u w a y a

    wasiwasi huku polisiwakimwagwa kat ikabaadhi ya vijiji WilayaniNanyumbu baada yakuripotiwa kuwepo kwamagaidi wa Al Qaida.

    Taarifa zinasema, askariwamekuwa ni wengi nawanawapa tabu wananchihasa Waislamu.

    Mashuhuda wanasemakuwa askari wamemwagakila sehemu, katika mjihuo na zaidi wamekuwawakiwaandama Waislamuhaswa wale wenyekajipamba na zile sifa zaKiislamu, huangaliwa amakudhaniwa ni adui hivyowanakuwa ni watu wa

    kupata misukosuko yaajabu kwa kuwatuhumuugaidi.

    Katika hali hiyo, baadhiya viopngozi wa Dini yaKiislamu Mkoani Mtwara,wamelaani taarifa ya Jeshila Polisi na kushabikiwana vyombo vya habarikuhusiana na vijana 11kuwa walikuwa machoniwakipata mafunzo yakijeshi.

    Vyombo mbalimbalivya vya habari mapemawiki hii, viliripoti taarifaya Kamanda wa PolisiM k o a w a M t w a r a ,Zelothe Stephen, kwamba

    w a m e w a t i a m ba r o nivi jana hao na kudaikuwa walikuwa wakipatamafunzo ya kijeshi ambayoni hatari na yakutisha.

    Tukio hilo limeripotiwakutokea katika milima yaKijiji cha Nakopi, kilichopokati ya Wilaya za Masasi,Nanyumbu na Newala,a m b a p o w a n a d a i w akukutwa na CD za Al-Shabab, mapanga mawilina Visu.

    Mmoja wa viongozihao, aliyepo WilayaniNanyumbu, alilifahamishagazeti hili kwa njia ya simuakidai kwamba vyombovya habari vimepaka

    matope juu ya suala hili, nakwamba anadiriki kusemakuwa vimekurupuka sanakwa kule kuripoti kuwawamekamtwa magaidi.

    Akavitaka vyombovya habari kutoishiahapo katika kulikuza nakulishabikia suala hilona kuwatisha wananchihususani katika eneo latukio, zaidi akavitakavyombo hivyo kufikaeneo la tukio kufanyauchunguzi wa kina kulikokulishwa habari na Jeshila Polisi.

    Waje wawaone watuwenyewe maana itasaidia

    hata kutumia akili zao tu

    za kuzaliwa kulinganishana tuhuma hizo kwakujiuliza kuwa huyu kwelialikuwa na dhamira hiyo(?) au mazingira hayayanalingana na mafunzoya Al-qaid au kijeshi (?),kuliko kukurupuka bilakupata maelezo ya upandewa pili wa jambo lenyewe,zaidi huishia kuwatishawananchi tu. Alisema.

    Kiongozi huyo akielezeatukio hilo alisema, wao

    baada ya kusikia vijana haowamekamatwa na taarifazikihusisha tukio hilo naUislamu, waliwasiliana na

    baadhi ya Polisi wa kituocha Nangaka, kama piawaliwakamata na silahaza moto, lakini akadaikwamba walijibu kuwahawakuwakuta nazo.

    Nikawahoj i , kamasilaha za moto hawakuwana z o , sa sa k o sa l a oni lipi, ili hali pia niwakazi wa huko hukoLikokona, alinijibu kuwahayo yote yanaendeleakuchunguzwa, kwa kuwataarifa zao wamezipatakupitia uongozi wa kijijinikwao. Alisema kiongozihuyo.

    Alisema, vijana haowamekuwa na shughulizao za mazoezi ya mwili kilasiku katika utaratibu waowaliojiwekea, lakini alidaitaarifa zao zilivyoripotiwaz i m e g u b i k w a n ap r o p a g a n a d a z a i d ikuliko uhalisia wa jambolenyewe na haswa baadaya kunaswa na vyombovya habari.

    Al isema, hal i hiyohawajakutwa na silahaza moto zaidi ya kuwa napanga na visu, ambavyovitu hivyo si kosa kuwanavyo hususani kwa watuwa vijijini, kwani ndiyovitendea kazi vikubwakatika shughuli zao.

    Kwa upande wakeNaibu Amir wa Jumuiyamoja ya Kiislamu Mkoani

    humo, alisema, hajafikaeneo la tukio lakini kwamujibu wa mwalimummoja wa Shule yamsingi aliyeko katika Kijijihicho, alimueleza kuwa,vijana hao walikamatwana kufanyiwa mahojianoya kawaida na Polisikujiridhisha na ndio maanaw a l i pe w a d ha m a na ,kulingana na wepesi watuhuma zenyewe.

    M w a l i m u h u y o ,alimueleza Amir huyokuwa kadhia hiyo, ni yawiki moja iliyopita walasi ya wiki hii kama umma

    ulivyohabarishwa na

    vyombo vya habari, nailikuwa ni ya kawaidakwani vijana hao wanakawaida ya kwenda nakurudi katika mazoeziya viungo na wala si kwakicho.

    Tukio hili limetokeasiku nane au saba zilizopita,lakini zimeripuka upya,k u to k a na na na m nalilivyoripotiwa na vyombovya habari na kuwa kamani suala jipya kabisa nala hatari. Alisema Amirhuyo.

    Kabla ya hapo, alisematukio hilo la kukamatwavijana hao lilikuwa nila kawaida tu, maanawalichukuliwa na Polisiwakahojiwa na kupewadhamana, lakini akadai,

    ba ad a ya vy om bo vyahabari kuripoti katika suraya hatari, sasa vijana haowamekamatwa tena lichaya kuwa nje kwa dhamanana wamesafirishwa kwamagari ya Polisi zaidi yamawili.

    Awali, imeelezwa kuwawiki moja iliyopita, kablaya kuripotiwa katikavyombo vya habari, vijanahao walipo kamatwawalipelekwa katika kituocha Polisi na kuhojiwakisha walipelekwa MkoaniMtwara, na waliporudiwalikishwa Mahakamani.

    Kadhia hii ilitokeaIjumaa ya wiki mojailiyopita ilitulazimu sisikufika katika kituo chaPolisi Nangaka, na baadaya kupata fursa ya kuonananao tuliwahoji ambapowal i tueleza kwambaw a l i k u tw a m l i m a ni ,wakifanya mazoezi yamwili, lakini pia katikaratiba yao walikuwawakiendesha darsa .Kilisema chanzo chetukikinukuu maongezi yaona vijana hao.

    I m e e l e z w a k u w a ,vijana hao walitolewakwa dhamana Ijumaa yawiki iliyopita na kurejea

    makwao na baada yahapo zil ifatia taarifakatika vyombo vya habarikatika sura tofauti kabisana uhalisia wa tukio hilolilivyo.

    Baada ya vijana walekutolewa ndipo tukasikiataarifa kupitia vyombov y a h a b a r i k u p i t i aTelevisheni, magazeti namitandao ya kijamii, kuwaWilaya ya Nanyumbuwamekamatwa vijana 11,wakijifunza ugaidi. Wakatitaarifa hizo zinaripotiwahivyo vijana hao wapo njekwa dhamana na wala sualahili halikuwa na ukubwa

    kama lilivyoripotiwa.

    Kilisema chanzo chetukwa mshangao.Taarifa hizo zilieleza

    kuwa baada ya taarifa hizokupitia vyombo vya habari,zilipatikana taarifa kuwavijana hao wanatakiwawakamatwe tena, jamboambalo lilitekelezwa navijana hao walikamatwasiku hiyo hiyo.

    Leo asubuhi (Jumatano)nilika katika kituo hichocha Polisi, nimekutanana ndugu wa vijana haoambao walitokea hukoKijijni, ambao walikuwawanafuatilia ndugu zaona kuthibitisha kweliwalikamatwa na kwambawapo ndani.

    Niliporudi kuwaandaliachai ili tuwapelekee pale,niliona gari za Polisi,zikiongozana moja likiwana jamaa zetu wakiondokan a o , h u k u n y u m awakifuatiwa na gari yaKamanda wa Polisi Mkoa(RPC). Kilieleza chanzochetu cha habari.

    Chanzo hicho kiliezak w a m ba v i j a na ha owamechukuliwa ingawawapo nje kwa dhamanahuku sababu za msingizikiwa hazieleweki kufutiahatua hiyo.

    K u f u t i a h a t u a y akukamatwa tena vijanahao na Jeshi la Polisi,mpashaji wetu habarialisema kwamba hadhanikuwa watuhumiwa haow a l i v u n j a m a sha r i t iya dhamana, pamojana kwamba hajayajua,ndio maana walipoendakukamatwa waliwakutakatika makazi yao hapoKijijini.

    N a y e U s t a d h iPwirila, aliye makaziWilayani Nanyumbu,akizungumzia tukio hilo,aliitaka Serikali kuwamakini pindi wanapopatataarifa za aina yoyote,kwani alidai endapowatakuwa wanazichukuakwa kukurupuka bila

    kuzifanyia kazi, wanawezawakawa wanawatesa watubila kuwa na hatia yoyote.

    Alisema, kutokana naJeshi la Polisi kuwakamatavijana hao kwa mara yakwanza na kuwahoji kishakuwakisha Mahakamani,walisharidhika kuwawanastahili dhamanakulingana na tuhumawanazowatuhumu nazo.

    L a k i n i a k a s e m a ,kitendo cha kuwakamatatena baada ya sualahili kuripotiwa kupitiavyombo vya habari nakuonekana kubwa na zitokuliko uhalisia wenyewe,

    wamechukua jukumu kuwakamata tena.

    Huu ni uonevu wdhahiri unaofanyika dhidya Waislamu, na penginSerikali yetu inafanykazi kwa kuongozwa nvyombo vya habari kwansuala hili walivyorilipolimestua zaidi kulika m b a v y o l i l i k u whalijaripotiwa. Alisema

    Ama kuhusu Jeshla Polisi, Ust. Pwirilalisema linapaswa pikuwa makini kwa sababwanapokamata watu kwtuhuma wawe wepekuwaf ik isha kat ikmikondo mingine ysheria ili waweza kujielezkwa mujibu wa sherikuliko kukaa nao kwmuda mrefu.

    Si sahihi kuendelek u m n g a n g a n imtuhumiwa kwa mudmrefu sana, upandmwingi inaonekana kamni utesaji na kuwanyimwatu haki zao na sua

    hi l i l imekithir i sank w a w a t u h u m i ww a n a p o k u w a nWaislamu. Alisema.

    Ust. Huyo alisemba ad a ya kadhia hi yokuripotiwa na vyombo vyhabari, askari wamekuwni wengi na wanawaptabu wananchi hususaWaislamu.

    A l i s e m a , a s k a rw a m e m w a g a k i lsehemu, katika mji huna zaidi wamekuwwakiwaandama Waislamhaswa wale wenykajipamba na zile sifa zUislamu, huangaliwa am

    kudhaniwa ni adui hivywanakuwa ni watu wkupata misukosuko yajabu.

    Mmoja wa viongozwa Msik i t i WilayanNanyumbu, aliliambig a z e t i h i l i k u w aamestushwa na taarifkupit ia vyombo vyhabari siku ya Jumannw i k i h i i pa m o j a nkuwa watuhumiwa hawalikuwa wapo nje kwdhamana.

    Sasa inasemekanM k u u w a P o l i s i wMkoa (RPC), ameamurvijana wale wakamatwtena wakati Mahakamiliwaachia kwa dhamanh i v y o m p a k a s a s( J u m a t a n o ) w a pmikononi mwa Politena. Alisema kiongozhuyo.

    A m a k u h u s u C Dwanazotuhumiwa nazalisema mikanda hiyo ipkwa watu mbalimbali npengine na wao walikuwnayo kwa ajili ya kungaltu huwezi kusema mokwa moja malengo yail ikuwa ni kuj ifunzugaidi.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    5/16

    5AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Habari za Kimataifa

    BALI

    WAZIRI wa Mambo yaNje wa Marekani, JohnKerry, ametetea hatuaya nchi yake ya kufanyaoperesheni za kijeshikatika nchi za Libya naSomalia.

    John Kerry ambaye hivisasa yuko kisiwani Bali,Indonesia kwa ajili yakushiriki katika kikao cha

    Jumuiya ya Kiuchumi yaAsia na Pasifiki (APEC),amedai kuwa, Marekanihaitaacha kampeni zake zakupambana na makundi yakigaidi.

    Aidha Waziri huyowa Mambo ya Nje wa

    Marekani amejigamba

    TEHRANMKURUGENZI wa Shirikala Atomiki la Iran (AEOI),Dk. Ali Akbar Salehi ,amesema kuwa vikosi vyausalama vya Iran vimewatiam b a r o n i w a t u w a n n ewaliokuwa wanapanganjama za kufanya hujumakwenye taasisi moja ya

    nyuklia humu nchini.Dk. Saleh ameongezakuwa, wahujumu hao wannewametambuliwa.

    Hata hivyo imeelezwakuwa Mkurugenzi huyohakutoa ufafanuzi zaidikuhusu jambo hilo kwasababu za kiusalama.

    Katika miaka ya hivikar ibu n i , wan as ayan s ikadhaa wa nyuklia wa Iranwaliwahi kuuliwa nchini

    Nchi za Mashariki ya Katina jamii ya kimataifa zinawasiwasi mkubwa kuhusuhatari ya silaha za nyuklia zautawala wa Israel.

    Hayo yamesemwa namkuu wa ujumbe wa Jordankatika Wakala wa Kimataifawa Nishati ya Atomiki (IAEA)kwenye mkutano wa kilamwaka wa wakala huounaoendelea mjini Vienna.

    H u s a m a l H u s s e i n i

    amesema kuwa silaha zanyuklia za Israel zinatiawasiwasi mkubwa na kwambautawala huo unalazimikakutia saini mkataba wa kuzuiautumiaji na usambazaji wasilaha za atomiki (NPT).

    Al Husseini amesisitizakuwa, maghala ya silaha zanyuklia za Israel yanapaswakuwekwa chini ya usimamiziwa Wakala wa Kimataifa waNishati ya Atomiki na kusemakuwa, kujiunga Israel namkataba wa NPT kunawezakuimarisha amani Masharikiya Kati na kuzihamasisha nchimbalimbali zielekeze juhudizao kwenye masuala yaustawi na maendeleo badalaya kutumbukia kwenyemashindano ya silaha.

    Mkutano wa kila mwakawa 57 wa wakala wa IAEAulianza kazi zake Jumatatuiliyopita na utamalizika keshokatika makao ya Umoja waMataifa mjini Vienna.

    Novemba 2011, taarifaziliripoti juu ya kuongezekajitihada za Israel za kuzalishana kujirundikia silaha zakijeshi za nyuklia.

    Hii ni katika hali ambayo,kra za walio wengi dunianizinahoa hatua hizo za Israelza kuzalisha kwa wingisilaha za nyuklia na kemikali,silaha ambazo kivitendozimebadil isha Palestinainayokaliwa kwa mabavukuwa ghala la silaha za mauaji

    Silaha za nyuklia Israelzinatia wasiwasi mkubwaya halaiki.

    K u h u s i a n a n a s u a l ahilo Gazeti la Guardianla Uingereza lilitoa ripotikuhusiana na kuendeleahatua za Israel za kuzalishana kuasisi viwanda vipya vyanyuklia.

    Kwa mujibu wa ripoti hiyo,Marekani na mataifa mengineya kibeberu yanakusudiakutumia fedha nyingi kwaajili ya kukarabati na kupanuaviwanda vya nyuklia.

    Gazeti la Kizayuni laH a a r e t z p i a l i m e w a h ikuandika kwamba, hivikaribuni manowari za Israelzitasheheni silaha za atomiki.

    Vilevile s iku kadhaazilizopita jarida la kila wiki laUingereza za Jane's Defence,liliandika kuwa utawala waKizayuni unamiliki karibuvichwa vya nyuklia 300.

    Kwa mujibu wa jaridahilo, wataalamu wa silahaw a m e p a t a u s h a h i d iunaonesha kuwa, Israelmbali na vichwa vya nyukliailivyonavyo pia inazalishasilaha za nyuklia za ainam b a l i m b a l i k a m a v i l emabomu ya ardhini na risasizenye umbo la mpira.

    Jarida hilo aidha limeitajaIsrael kuwa utawala pekee

    unaomiliki silaha za atomikikatika eneo la Mashariki yaKati. Makadirio ya awaliyalionyesha kwamba Israeli l ikuwa na vichwa vyanyuklia 200 lakini makadiriomapya yamedhihirishwakwamba katika miaka ya hivikaribuni, vichwa vya nyukliavya utawala wa Kizayunivimekia 300.

    Gazeti la al Wafd la Misrimwaka 2010 lilichapisharipoti iliyoelezea jitihadazinazofanywa na Israel zakujenga kwa siri viwandavipya vya nyuklia.

    Gazeti hilo lilichua kuwamoja ya viwanda hivyo vyanyuklia vya Tel Aviv, kipokatika mpaka wa Palestina

    inayokaliwa kwa mabavna nchi ya Misri na kwambkinajengwa kwa msaada wmadola ya Magharibi.

    Pia hivi karibuni ilichuliwkwamba Israel imeanzkujenga kiwanda kipya chatomiki katika eneo la aNaqab. Zaidi ya hayo mwakhuo huo 2010, Israel ilitiliansaini makubaliano mapya nMarekani ya kushirikiankatika masuala ya nyukliMisaada ya Marekani nmadola mengine yenye silahza nyuklia ya Magharibkwa utawala wa Kizayukwa ajili ya kutengenezsilaha za nyuklia yanakiukwazi Mkataba wa KuzuUzalishaji na Usambazaji wSilaha za Nyuklia NPT.

    Hii ni katika hali ambayIsrael kwa kuungwa mkonkila upande na nchi zMagharibi imekataa kutsaini mkataba wa NPT nkutoruhusu wakaguzi wIAEA wakague viwandvyake vya nyuklia.

    Hatua za Israel, Marekan a n c h i n y i n g i n e zzinazomiliki silaha za nyuklza kuzidi kuzalisha silahhizo, zinakiuka Mkatab

    wa NPT na kupingana nmakubaliano ya upokonyasilaha ya kimataifa.

    M a k u b a l i a n o yupokonyaji silaha yanazitaknchi zote zenye kumilisilaha hizo kutekeleza ahazao za kutokomeza kikamilisilaha za atomiki kwa njia zwazi, kutodanganya katikahadi hizo na kuharakishmwenendo huo wa kimataif

    Hata hivyo dola hizzimeendelea kuzalisha silahza nyuklia huku yakihatarishamani ya ulimwengu, hukzikipiga propaganda zkuzisakama nchi za KoreKaskazini, Irani, na sasa Syri

    Marekani kuendelezamashambulizi Afrika

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry.

    kuwa, wanachama wa

    mtandao wa al Qaidana makundi mengineya kigaidi wanawezakukimbia, lakini kamwehawawezi kujicha.

    Hivi karibuni vikosivya Marekani vilifanyamashambulizi katikamaeneo kadhaa ya Somaliana Libya kwa madai yakupambana na magaidi.

    Marekani inadai kuwaJumamosi ilimtia mbaroniAbu Anas al Liby, kiongoziwa ngazi za juu wa al Qaidakwa madai kuwa alihusikakatika operesheni zakushambulia balozi zaMarekani katika nchi za

    Kenya na Tanzania miaka

    15 iliyopita.

    K a t i k a s h a m b u l i oj e n g i n e , v i k o s i v yaM a r e k a n i v i m e u awanamgambo kadhaawa al- Shabab nchiniSomalia, baada ya vikosihivyo kuvamia makaziya kamanda mmoja wawanamgambo hao katikamji wa Baraawe.

    Hata hivyo taar i faz i n a b a i n i s h a k u w awanajeshi wa Marekaniwalishindwa kumkamatakamanda huyo wa al-Shabab.(irib.ir)

    Iran yawatia mbaroniwahujumu wa nyuklia

    humo kutokana na njamaza maadui wa taifa hilo,u k i w e m o u t a w a l a w aKizayuni wa Israel kwakushirikiana na baadhi yavibaraka wa ndani.

    H ata h iv yo Maaf is au s a l a m a n c h i n i I r a nwamekuwa macho wakatiwote katika kulinda taasisi

    za nyuklia nchini humona wamefanikiwa kuvunjanjama kadhaa za kuhujumumiradi hiyo.

    Dk. Salehi amesema kuwa,kuna nchi hazipendi kuonakadhia ya nyuklia ya Iraninatatuliwa kwa njia za amanina hivi sasa wameongezanjama zao, baada ya kuonak u w a k u n a m u e l e k e owa suala hilo kutatuliwakidiplomasia.

    Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T)Inawatangazia Waislamu wote kuwa kutakuwana Baraza la Idd.Litakalo fanyika:- Masjidi Mtambani, uliopoKinondoni-DSM.Siku ya Idd Mosi ya Jumatano-Tarehe16/10/2013.Muda:- 9:00 (Saa Tisa-Alasiri).Mada mbalimbali zitawasilishwa na Masheikh(Viongozi) kuhusiana na mwenendo wamasuala ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla.

    Wahi mapema

    Kwa niaba ya Katibu

    BARAZA LA IDD

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    6/16

    6AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Makala

    Siri ya mafunzo fekiya Al Qaida Mtwara

    KATIKA taarifa ya habariya TBC1 saa mbili usikujuzi Jumanne, kulikuwana taarifa za mambo yaugaidi na Marekani.Taarifa ilikuwa ikielezakaul i ya Waziri waMambo ya Nje, John

    Kerry kwamba ilikuwahalali kwa Marekanikumvizia na kumkamatamtuhumiwa wa ugaidindani ya Tripoli, Libya nakutoweka naye.

    Taarifa hiyo ilihusulile tukio la Jumamosiiliyopita ambapo KikosiMaalum cha Marekanikilichopo ndani ya Libyakilimkamata Nazih Abdul-Hamed al Ruqai, maarufukwa jina Abu Anas al Libi.Marekani inamtuhumumtu huyo kuwa ni alQaida.

    Lakini wakati Kerryakisema hayo, Serikali

    ya Libya inasema kuwahuo ni sawa na utekajinyara na kwamba hiyoni sawa na kuidhalilishaLibya, kwamba jeshi lanje linaingia na kukamatawatu ndani ya nchi hurukana kwamba hakunaSerikali.

    Katika kushereheshataarifa hiyo, zilitolewa pichaza video zikiwaonyeshaWaislamu wakiwa katikaswala. Wamesimama,wakirukuu na kusujuduhuku wengine wakiwawameshikilia bunduki.

    Hapana shaka habari na

    picha zile kilichokusudiwakuonyeshwa ni kuwa haowanaorukuu na kusujudu,ndio magaidi.

    M t u u n a j i u l i z a ,habari zinamhusu AbuAnas al Libi, kwa ninihaoneshwi huyo Libiikatosha, wanaonyeshwana Waislamu wakiswali?Halafu wanaunganishwana wengine waliofunikanyuso zao wakiwa na

    bun du ki am bao ma ranyingi picha hutolewa nakudaiwa kuwa hao ndioAl Shabaab.

    Kama ni kujenga habari

    ya Anas al- Libi, basilabda ingeelezwa kuwahawa Marekani inaodaikuwa ni magaidi, ndiohao iliokuwa ikishirikiananao na kuwapa silaha nakila aina ya msaada katikakumpiga na kumngoaGadha. Wanajuana!

    H a b a r i h i z o z aT B C z i n a k u j a s i k uambayo asubuhi yake,t a k r i b a n i m a g a z e t iy o te y a l i z u ng u m z i akukamatwa kwa vijana11 waliodaiwa kuchukuamafunzo ya ugaidi msitunihuko mkoani Mtwara.

    Na Omar Msangi

    Nazih Abdul-Hamed al Ruqai, maarufu kwa jina AbuAnas al Libi.

    Vijana 11 wanaswawakijifunza ugaidi. Vijanawabambwa wakijinoakijeshi: Walikuwa na CDza Al-Shabab.

    H i v y o n i b a a d h iya vichwa vya habarimagazeti ya Jumanne.Gazeti la Rai lenyeweliliandika:

    Wafuasi 11 wa Al Qaidawatiwa mbaroni Mtwara.-Watumia mapanga, videoza Osama bin Ladenkujifua.

    Katika para ya kwanzagazeti hilo linasema: Jeshila Polisi mkoani Mtwara,

    linawashikilia watu 11kwa tuhuma za kukutwam s i t u n i w a k i f a n y amazoezi ya kijeshi.

    P a m o j a n a m e n g iyal iyoelezwa, lak inimoja muhimu kulikoyote ni kuwa: Vijana haowalikutwa na vitabu vyaKiislamu.

    RAI likaendeleza habarihiyo kwa tahariri ya gazetilake la Jumatano ambapolilisema:

    Serikali isipuuze taarifaza ugaidi.

    Katika maelezo yake

    likasema, Jana vyombov y a h a b a r i n c h i n i ,vilitawaliwa na habarikubwa iliyokuwa ikielezakunaswa kwa vijana 11waliokuwa wanafanyamazoezi ya kivita msitunikwa kutumia video zamakundi ya kigaidi.

    Vijana hao wanatajwak u w a w a k a z i w aN a ny u m bu , m k o a niMtwara na walikamatwana pol is i wakifanyamazoezi kwa kutumia CDza kundi la kigaidi la AlShabaab na Al Qaida.

    L i k i e n d e l e a R a i

    l inasema, : Taar i fahizi ni za kushtusha nazinatusukuma sisi wa RAI

    Jumatano kuamini kuwataifa letu sasa linakabiliwana tishio kubwa la vikundivya kigaidi.

    K i s h a l i n a s e m a ,Kukamatwa kwa vijanahao kunaturejesha miezimichache nyuma, ambapogazeti Dada la Mtanzania

    Jumatano liliripoti habariya chuo kimoja (chaKiislamu kwa jina la Al

    Jazeera) kilichoko wilayaniU k e r e w e a m b a c h o

    kinahowa kutoa mafunzo

    yenye mwelekeo wakigaidi.T a h a r i r i i n a e l e z a

    mengi, lakini la muhimuinasisitiza kuwa Chuocha Kiislamu kilichopoUkerewe (kwa utati wagazeti la Mtanzania), ni

    cha kigaidi na mharianashangaa ni kwa ninm pa k a sa sa se r i k ahaijachukua hatua.

    K w a h i y o k a t i kkuikumbusha serikalmhariri wa RAI anasema

    Wito wetu kwa Serikani kwamba, inapaswsasa kuzinduka kw

    kuhakikisha inazichukulkwa uzito unaostahitaar i fa zozote zenymwelekeo wa kigaidau kuhatarisha aman

    bad ala ya ku zipuu zkama ambavyo imekuwikitokea.

    MOHAMED Elbaradeiameandika kitabu chakealichokipa jina:

    The Age Of Deception:Nuclear Dip lomacy in

    Treacherous Times.Katika sehemu moja yautangulzi wa kitabu hichoanasema, kila mara huwaanapitia ushahidi wao juuya Silaha za MaangamziIraq, na kwamba hazipitii

    bi la ya ku ta fa ka ri ju uya maelfu ya askari namamia ya maelfu ya raiawasio na hatia waliouliwa,mamilioni kutiwa vilema,kuharibiwa makazi yao nakuwa wakimbizi na nchikuvurugwa kabisa.

    Anasema, anayatafakarihaya kwa sababu, vitaya Iraq 2003, haikuwa na

    Salam za Elbaradeisababu. Ilikuwa ni uvamina uhalifu wa wazi kwsababu Tume iliyopewkazi na Umoja wa Mataifkutizama madai kuwa Ira

    ina silaha za maangamiilionyesha kuwa hakuns i l a h a h i z o . L a k i nMarekani kwa ubabe wakikavamia tu na kupiga bihata ya idhini ya Barazla Usalama la Umoja wmataifa.

    E l ba r a d e i a l i k u wndiye Mkurugenzi Mkuwa International AtomEnergy Agency (IAEAtoka 1997 hadi 2009 nndio waliopewa kazya kutizama madai yMarekani kuwa SaddamHusein alikuwa na silahza maangamzi (WMD).

    MOHAMED Elbaradei.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    7/16

    7AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Makala

    KATIKA maelezo yakendani ya kitabu chake,E b a r a d e i a n a s i f i awanasayansi ya nyukiliana fisikia kwa ujumlawaliokuwa katika Wakalahuo wakiwemo kutoka

    Ufaransa na Marekanikwenyewe na kwambawalifanya kazi kubwaya kuchunguza sehemuzote ambazo zilikuwazikidhaniwa kuwa zinasilaha ikiwa ni pamojana zile walizopewa habarizake kupitia mashirika yakijasusi ya Marekani naNATO.

    Hata hivyo anasemahawakuona kitu. Lakinipamoja na hayo anasemaM a r e k a n i i l i k u w aikishikilia kuwa Saddamana silaha za maangamzina walipotaka ushahidi

    wakaambiwa mambomawili:Moja anasema Marekani

    lidai kuwa vyombo vyakevya kijasusi vina taarifaya kupatikana vi faafulani (tubes za bati)zinazoweza kutumikakutengenezea silaha hizo.Na pili ni taarifa kuwaSaddam Hussein alinunuamadini ya Uranium kutokaNiger.

    Mohamed Elbaradeianasema walifuatilia madaihayo na walichogunduani kuwa tubes zile za

    bati (alum inium tubes )zilikuwa za kutengenezearoketi za kawaida naw a l i k w e n d a m p a k a

    Ushahidi wa kughushikwenye kiwanda cha silahazenyewe na kuhakiki.

    Kwa upande mwingineanasema, taarifa za kuwaSaddam ameagiza madiniya Uranium kutoka Niger,zilipigiwa sana debe na

    Marekani na Uingerezaambapo Rais George WBush katika hotuba yakekwa taifa Januari 2003alisema:

    The British governmenthas learned that SaddamHussein recently soughtsignificant quantities ofuranium from Africa.

    Kufuatia madai hayo,E l b a r a d e i a n a s e m awal i taka ser ikal i yaUingereza iwape taarifazao za ki-intelijensia iliwazifuatilie kuthibitisha

    jambo hilo. Anasema baadaya kudai sana walipewa

    nyaraka mbili ambazo hatahivyo waligundua kuwazote ni za kughushi.

    Moja ilidaiwa kuwa nibarua ya Rais wa NigerMamadou Tandja kwendakwa Saddam. Lakini sainii l ikuwa ya kughushina mambo mengine yauwongo yalikuwa ndaniyake.

    Nyaraka ya pili ilikuwaba rua ya Ok to ba 20 00kutoka kwa Waziri waMambo Nje ya Niger ikiwana saini ya Allele Habibou.Walioghushi barua hiyowalisahau kuwa Habibouhajawahi kushika nafasiSerikalini toka mwaka1989.

    Vyombo vya habari balaa

    KILICHOWASHANGAZAwajumbe wa IAEA ni kuwapamoja na ushahidi walitoakuwa nyaraka zote hizozilikuwa za kughushi,l a k i n i w a l i o k u w awamepania kufanya vitawaliendelea kushikiliamsimamo wao.

    Lakini kilichowatishazaidi ni vyombo vyahabar i . Kadir i IAEAilivyojitahidi kutoa taarifaza kiuchunguzi zenyeushahidi na uthibitishowa uhakika, vyombo vyahabari viliendelea kupigatarumbeta kutoka 1600

    Pennsylvania Ave NW,Washington, D.C. naDowning Street, London,kwamba Saddam anasilaha za maangamzi.

    Anasema Elbaradei,hata walivyotoa nyarakaza kuonesha jinsi baruaza Niger kwenda kwaSaddam juu ya uraniumzilivyoghushiwa, vyombo

    vya habari vil ipuuzahabari hizo.

    Despite the on-the-ground knowledge of the UNinspectorate, we were losingthe bale of information, inthe Western press, and to someextent in the public eye. IAEAand UNMOVIC statementswere being discounted, or

    quoted selectively, eventhough we were the ones withthe best access to the truth,the eyes of the internationalcommunity. (THE AGE OFDECEPTION uk.68)

    Likishikilia bango kuwaSamantha, mwanamkewa Uingereza, alihusikakatika shambilo la kigadiWestgate Mall, Nairobi,

    gazeti moja la kila sikuhapa nchini l i l i semakuwa limepata habari zauhakika kutoka gazetilinaloheshimika la DailyMail la Uingereza kuwahuenda Samantha baadaya kufanya shambulioametoroka na amejichaTanzania.

    S a s a k a minavyoonyesha timu hii ywataalamu wa Umoja wMataifa juu ya masuala ynguvu na silaha za nyukiliIAEA, wanaonyesha haymagazeti yanayodaiwkuwa ya kuheshimikkwamba jamani baruinayodaiwa kutoka kwWaziri wa Mambo ya N

    ya Niger Allele Habiboya Oktoba 2000 ni ykughushi kwa sababu huyAllele si Waziri kutokmwaka 1989, hawasikilizwao wameshikilia lil i le waliloambiwa nWashington kuwa Saddamkaandikiwa barua na Alleya kupewa Uranium. Nnani kasema hivyo, Blair

    Fake BBC VideoJUZI Jumanne wakatinapitia kurasa za kitabuh i k i c h a E l b a r a d e inikakumbuka tena kile

    kisa cha Fake BBCVideo.Bado mgogoro wa

    Syria unazidi kutokota.Na baada ya Marekanikukwama katika namnanyingi, ilikuja na hoja kuwaSerikali ya Syria inatumiasilaha za sumu katikakupambana na wapinzani.Moja ya vyombo vyahabari ambacho akina

    and carnage here, erm wevehad a massive inux of whatlooks like serious burns, erseems like it must be some

    sort of, Im not really sure,may be napalm, somethingsimilar to that..

    Amenukuliwa Dr. Rolaakisema katika kipindihicho Panaroma Aleppoambapo ilidaiwa kuwa

    jeshi la Syria lilipiga bomula sumu katika uwanjammoja wa michezo washule (Tazama: http://www.bbc.co.uk/news/

    kwamba ndio jeraha bayna lenye maumivu makazaidi kuliko jeraha lololinalotambulika duniani

    Kwa hiyo haiwezi kuwakinamama na watotwanaodaiwa kuwa wanmajeraha ya kuunguzwn a n a p a l m h a l a fwamekaa wametulizanwakimtizama mpiga pichanavyowarekodi hukwanaongea bila wasiwas

    Footage o f genuinnapalm v ic t ims woullikely be far too horric an

    yahe huku ndio wanasemakuwa ni vya kuheshimikasana, BBC, Agosti 29,2013 ikaja na mkandawa Video (documentary)inayoonyesha lililodaiwashambulio la silaha zasumu kat ika mj i waAleppo.

    Inaonyeshwa kunazahama kubwa watuw a na o ne shw a w a namajeraha ya kuungua hukuwakipiga kelele. Dakitarinaye, ambaye ni Dr. Rola,anapaza sauti akidai kuwaanapokea majeruhi wengiwakionekana kuunguzwana silaha za sumu.

    Its just absolute chaos

    world-23892594)Hata hivyo, haukupita

    m u d a , b a r u a , s i m una makala mbalimbalizimeandikwa kuchambuatukio hilo kuonesha kuwailikuwa mchezo wa kuigiza(fabrication.)

    Waliohusika na kuandaakipindi hicho ambachosasa kinaonekana kuwani igizo, Ian Pannell naDarren Conway (BBCcameraman), wanaambiwana wataalamu wa silahaza sumu kuwa sumuya napalm huunguzana kutoa joto (moto)unaofikia nyuzi joto 800mpaka 1,200 (Celsius) na

    distressing to broadcast anto describe the alleged injuridepicted in these scenes anapalm-like is an insult those who have suered threality.

    Anayesema manenhaya amejitambulisha kw

    jina la Robert akiwa mmowa watu walioiandikiBBC kulalamika kuwwanaonyesha habari zkutunga na anawaambk u d a i k u w a w a twalioonyeshwa katikk i p i n d i c h a o w a nmajeraha ya napalmni sawa na kuwatukanna k u w a k e j e l i w a t

    Inaendelea Uk.

    Samantha

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    8/16

    8AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Makala

    Fake BBC VideoInatoka Uk. 7

    waliopatwa na msiba wakweli wa kushambuliwana sumu hiyo wakati wavita ya Vietnam.

    Sasa kwa watu ambaoakili zao na mawazo yao ni

    kuwa hawa BBC na DailyMai l ndio vyombo vyakuheshimika, haishangazileo kuona kuwa hakunawanachojiuliza:

    Inakuwaje mwanamkeS a m a n t h a , a t o k eMogadishu aingie nchiya watu na lori la silaha,nchi yenye Usalama waTaifa, yenye polisi na jeshimpaka ateke WestgateMall, lenye walinzi masaa24 na kamera za ulinzi!.

    Na akimaliza shambulioatoroke asikamtwe huku

    jengo zima limezingirwana Jeshi la Kenya!

    Wala hatajiuliza, hivihawa watu wanaodaiwakupigwa risasi mgongoni,mguuni na tumboni,m bo na w a na te m be awenyewe?

    M b o n a p i c h ah a z i w a o n e s h i h a omagaidi wakivamia nakukata watu mikono aukuwapiga risasi?

    N a u l e m o t o w a

    magodoro nao vipi?,Umeporomoshaje jengo?

    Nani kalipua wakatiilishaambiwa magaidiwameondoka?

    Na tangu lini moto wamagodoro ukaporomosha

    jen go kama li li lopigwabomu zito?H a y o h u t a s i k i a

    wakijiuliza waandishiwetu na magazeti yetu.Sana sana utawasikiawakiandika, eti Samanthana magaidi wenzakewalitoroka kupitia mtarowa maji machafu ulio chiniya jengo!

    Wanaleta stori za yalewanayoona katika pichaza Hollywood.

    Lakini wanaoandikahabari hizo huko Marekanina Ulaya sio wajinga.Wanajua wanachokifanya.

    Kubwa ni kukupumbaza(age of deception) kuwahawa magaidi al Qaida naal Shabaab, wanaorukuuna kusujudu, ni hatarisana. Ni makomandooambao kupambana nao nikazi kweli!

    Kwa sisi huku tunaigana kukariri tu. Zaidi niujinga na kuwa na akili yakushikiwa.

    Hatari ya uwongoKATIKA Quran ipo ayainasema:

    Kama fasiki akikujienina habari (yoyote ilemsimkubalie tu), balipe l e l e z e n i ( k w a nz a )msije mkawadhuru watukwa ujahili na mkawawenye kujuta juu ya yalemliyoyatenda. (49:6)

    Ili kuelewa vizuri somola aya hii, sikiliza habarihii.

    It turns out we werea l l wrong . MohamedElbaradei anamnukuu DavidKay akitoa taarifa yake kwaKamati ya Kijeshi ya Seneti(U.S. Senate Armed ServicesCommiee), kwamba wotekatika Marekani walisema

    uwongo juu ya SaddamHussein.

    A n a m n u k u u p i aMakamo wa Rais DickCheney akihoj iwa naMSNBC katika kipindiMeet the Press ambapoanasema:

    We never had any evidencethat (Saddam Hussein) hadacquired a nuclear weapon.

    L a k i n i E l b a r a d e ianasema hiyo ni Septemba2003 na Januari 2004 wakatihuo Iraq ishavamiwamaelfu kwa mamilioniya watu washauliwa,

    wakionekana kuwa nicollateral damage!

    Uwongo umeangamizaroho za mamilioni ya

    watu na inavyoonekanahakuna anayejali-collateraldamage.

    Anasema kilichokuwakik i tafutwa Iraq s iosilaha za maangamizi,demokrasia, kuondoaudikiteta au usalamawa Marekani na dunia.Ni vi ta ya Ki i t ikadii l iyochanganyika namasilahi. Kwa baadhi yawatu usalama wa duniani pale wao wanapodhibitirasilimali za kila mahalina kuwafanya wenginewatwana wao.

    M H A R I R I w a R A Ia n a h i m i z a S e r i k a l ikuwachukulia hatuawatuhumiwa wa ugaidiikiwa ni pamoja na vyuovya Kiislamu anavyodaivinatoa mafunzo ya

    kigaidi.L a k i n i j i n g i n e

    linaloandamana na hilo,ni hii hali inayooekanahivi sasa ambapo ukikamahali kama pale MlimaniCity au kuingia mpiraniUwanja wa Taifa, unakutau p e k u z i m k u b w a .Wanapekuwa asije akapitaAl Shabaab na silaha!!!

    Kama tunaamini kuwaSamantha na wanaodaiwakuwa ni magaidi wenzake,waliweza kuingia Kenyawakaingiza lundo la silahandani ya Westgate Mallna kuondoka baada ya

    shambulio, basi ambaloni la uhakika ni kuwahakuna Polisi, mgambo,

    jeshi au Usalama wa Taifawanaoweza kuzuiyamagaidi wa namna hiyo.

    We ukipekuwa watuMlimani City na Uwanjawa Taifa, wao wanapigana kuuwa watu Soko laTandika. Ukilinda Sokola Kisutu (Soko Mjinga),wao wanapiga SokoMatola Mbeya au hukoNewala! Na wakifanyahivyo, utasikia Twitterimesema wanaohusikani Al Shabaab tawi laTanzania. Magazeti yetuyatapiga tarumbeta nakwa ujinga, tutaamini.Wala hatutajiuliza, Twierni nani katika zama hiziza electronic/digitali.Mtu anakwambia Twierya Al Qaida imesemawanahusika unaamini.Sasa katika upumbafuw a k i w a n g o h i k i ,hatutasalimika.

    T u k i o l a v i j a n akukamatwa Mtwara,l i l i t o k e a k i a s i w i k im o j a i l i y o p i t a .Vijana wakafikishwamahakamani wakapewad h a m a n a . L a k i n ililivyoripotiwa juzi ni kanakwamba ndio kwanzalinatokea. Ndio polisiwakaenda na kuwakamatatena na kuwaweka ndani.Na walikutwa kijij iniwakiendelea na shgulizao kama kawaida. Siwatu waliojificha kamawahalifu.

    Labda la kusema hapakwa Waislamu ni hili: Hizini zama za Deception.

    J a m b o l a u w o n g olinapigiwa zumari mpakalinaonekana kuwa kamakweli. Iraq imeangamizwakwa mtindo huo.

    H i v i s a s a S y r i ainasukiwa kitanzi. Vyombovya habari vinatoa taarifaza kutunga.

    Stand By, Camera

    Funzo kutoka Syria

    rolling, action Watuwanapigwa picha wakiwana m a j e r a ha ba nd i a

    ikidaiwa ni ya silaha zasumu.Huku kwetu napo

    inaonekana wana hamusana ya kupandikizak i t i s h o c h a u g a i d i .Z i p o k a n d a n y i n g izimetengenezwa kama zilezilizoonyeshwa na TBCkatika taarifa ya habariwakionyeshwa watuwanaswali huku wana

    bunduki na unaambiwakuwa hawa ni Al Qaida auAl Shabaab.

    W a l i o z i t e n g e z e ana kuziingiza katikamtandao, wanajua wapovijana watazi-down load,kuzirudufu na kufanya

    biashara.Wanajua pia kuwawapo vijana wa Kiislamuwatazipenda. Lakiniw a n a j u a p i a k u w aPolisi wameandaliwak u ta f u ta v i tu k a m ahivyo. Wakikamatwanazo, vyombo vya habarivitadaka Vijana 11 waAl Qaida wakamatwaMtwara. Vitaandika.

    Swali ni je, kujifunzakareti, mpaka uwe nakanda hizo zinazodaiwakuwa za al Shabaab na alQaida?

    Kama shida yako nikujua kareti au kuwa jitulenye nguvu linalojua

    k u pi g a na , tu m i a z aJ o h n R a m bo , Ano l dSchwarzenegger na ChuckNoris.au hata Jackie Chan.

    Na kujifunza kareti siolazima uende porini. Hatanje ya nyumba yako audarasa la shule ya msingimnafanya.

    Lakini mjue kuwakama ilivyo ile FakeBBC Video. Wanawezakupatikana vijana piawakawatosa wenzao.Watakuja na kuleta hojakuwa wao wameiva.Wanajiandaa na kitaliau kupigana Somalia.Watataka ushiriki darasa

    lao la harakati. Ujue hao nwashenga wa vita dhidi yUislamu. Ni maadui saw

    na maadui wengine japutawaona wanaswali nkusoma aya kali kali.

    Mohamed Elbaradebaada ya kuf anya kazkama Mkuu wa IAEA nkuona Iraq ilivyozuliwu w o ng o , j i ns i w a twalivyotumika kuwekushahidi bandia, anasema

    This is The Age oD e c e p t i o n . Ni zamz a u w o n g o , h a d a audanganyifu, ulaghapr o pa g a nd a na k i lwazimu. Na yote hayhufanywa kwa sasa kwlengo la kuwapiga vitWaislamu na kwa upandmwingine kutoa fursa kwwababe kutawala duniwakitawanya makuchyao katika kila kona.

    Vijana wa Kiislamt u m i e n i a k i l i . N y indio walengwa. Walwaliochezeshwa FakBBC Video ni vijana nraia wa Syria.

    Basi mjue na nyinymtachezeshwa FakMafunzo ya Al QaidNanyumbu.

    Sikilizeni, chambuenm j u e l i p i l a k w e l iIpi propaganda. Upudanganyifu.

    M u h i m u z a i d imsinaswe mkajidhurk w a m i k o n o y e n

    wenyewe. Anayekwambikaiva, mwambie akalimajitosheleze kwa chakulna k i ng i ne a tu u z i eAjenge shule, hospitali nkutuondolea dhiki ya maj

    A k i n g a a n g a n imazoezi ya kwenye kambna darasa za ki-Al Shabaazilizoko katika kanda zCD/DVD, ujue huyo nkachero au mtu mjingsana anayetumiwa bilya kujijua. Na mtu mjingmuepuke.

    Mjinga wa kiwanghicho, mkimbie, la sivyatakutosa.

    Chuck Noris.John Rambo

    Ma ka mo wa Rais Di ckCheney.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    9/16

    9AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Makala

    AL-KAABA ni neno laKiarabu linalo maanishakitu chenye pande nne.Kila upande una urefu sawana ule mwingine. Lakinikatika Qur-ani kinachokusudiwa kwa neno Al-Kaaba ni nyumba ya Allah(s.w.t.) iliyo jengwa naNabii Ibrahim (a.s.), iliyokokatika mji mtakatifu waMakka ambayo kuikusudiakwa ibada ni wajibu juu yaMuislamu katika umri maramoja kwa mwenye uwezo.

    N abi i Ibrah im ( a . s . )alizaliwa Iraq katika mji waBabli (Babylon). Baada yahapo alihama Iraq akiwana mke wake pamoja naL u t m t o t o w a n d u g uyake , ku e lekea S h am .Huko walifikia Harran,kiji j i ambacho kilikuwakinatawaliwa na washirikina,walio kuwa wakiabudusayari na masanamu. Katikakijiji chote hicho hapakuwan a Mu is lam u i la yeyemwenyewe Nabii Ibrahim(a.s.), mke wake Bibi Sara naLut mtoto wa ndugu yake.

    Katika kipindi ambachonchi ya Sham ilikumbwa najanga kubwa la ukame uliofuatiwa na njaa kali, NabiiIbrahim alihama yeye namke wake kuelekea Misri.Na wakati huo Misri ilikuwaikitawaliwa na mfalmedhalimu jabari ambayealikuwa hamuoni mtu anamke mzuri is ipo kuwaatafanya hila amnyanganye.Nabii Ibrahim alipoka Misrimfalme huyu kama kawaidayake alitaka kumfanyiadhulma na kumnyanganyamke wake. Hivyo, ghaflamfalme akamuita NabiiIbrahim na akamuulizakuhusu mwanamke aliye

    ambatana nae, ana uhusianonae gani. Nabii Ibrahim(a.s.) alimjibu mfalme huyodhalimu, kwamba huyu nidada yangu. Alisema hivyokwa kukusudia kwamba nindugu yake katika dini naitikadi, ikiwa ni hekima yakujihifadhi na shari ya mfalmehuyu lau kama angejua kwauhakika kwamba huyo nimke wake. Mfalme akaagizamwanamke huyo aletwekwake ili akae naye faraghana watumishi wake wakaitiina kuitekeleza amri yake,wakamleta mbele yake mkewa Nabii Ibrahim. Wakatihilo likijiri Nabii Ibrahim

    Al-kaaba na Makka katika historia

    Na Sheikh AbdallahAhmad Bawazir

    (a.s.) alikuwa amesimamakuswali na kunyenyekea kwaMola wake kwa nguvu zote,akimuomba Allah (s.w.t.)amuhifadhi na kumlindamke wake na dhulma yamfalme huyo.

    Mfalme alivutika sana nauzuri wa Bibi Sara wakatiwalipo kuwa faragha peke yaowao wawili tu. Ghaa aliponyoosha mkono wake kutakakumshika Bibi Sara, mkonowake ulipatwa na kiharusiakawa hawezi hata kuutikisa,akaingiwa na hofu kuu nakutetemeka. Akamuombamwanamke huyo amuombeedua na papo hapo hali yakeikarejea katika ukawaidawake. Lakini mfalme huyuhakukoma na kwa mara yapili tena akajaribu, akatakakuunyoosha mkono kwamara nyingine lakini haliikawa ni ile ile, hakupoaisipo kuwa baada ya duaya mwanamke mwemayule. Hatimaye alimgeukiamtumishi wake, akamlaumusana na kudai kwamba huyomwanamke aliye mleta simwanadamu bali huyo nishetani. Mfalme akaamrishamwanamke huyo arejeshwekwa mwenyewe na apewebint i ka ti ka waj akaz i wamfalme awe ni mtumishiwake.

    Baada ya mtihani huo,Nabii Ibrahim (a.s.) akarejeaS h am akiam batan a n amke wake na binti huyoaliyepewa na mfalme ambayejina lake ni Hajara. Kwa vileBibi Sara hakuwa amepataujauzito kwa kipindi kirefucha maisha yao, jamboambalo liliashiria huendaalikuwa tasa, bibi mwemahuyu alimtaka mume wakeamkubali binti huyo kamamke wake na amuingiliepengine akaruzukiwa mtotokwake . N abi i Ibrah imna bibi Sara, pamoja namjakazi wake Hajara akiwakama mke wake wa pili,waliondoka Misri na kurejeaShamu. Baada ya kitambokifupi, Nabii Ibrahim (a.s.)alijaaliwa kupata mtoto wakiume kwa mke huyo wapili mwenye asili ya Misri,akampa jina la Ismail. Huyondiye mtoto wa kwanza waNabii Ibrahim (a.s.) ambayeAllah (s.w.t.) alimsifu katika

    Qur-ani kwamba ni mkweliwa kutimiza ahadi, nabii namjumbe wa Allah (s.w.t.).Kwa mujibu wa maumbileya kila mwanamke, Bibi Sarabaada ya muda alianza kuhisitofauti katika nafsi yake.Alihisi upweke na huzunikwa kujiona ni muda mrefuna yeye hakujaaliwa kupatamtoto, akatawaliwa na gherahadi akawa anashindwakumuangalia mtoto huyo namama yake. Hapo ndipo BibiSara alipoamua kumshauriN a b i i I b r a h i m ( a . s . )kumuhamisha mtoto huyo namama yake, awaweke mbalina macho yake katika sehemu

    nyingine. Nabii Ibrahim(a.s.) akahama yeye, mkewake Hajara na mwanaweIsmail, wakaondoka Shamukatika ardhi ya Phalastinna kuelekea Kusini kwenyemilima ya Parani.

    Qur-ani inasema kwambaN a b i i I b r a h i m ( a . s . )aliwaweka wawili hao katikabonde lililo baina ya milimahiyo na akasema:

    MOLA WETU! HAKIKAMIMI NIMEWEKA BAADHIY A K IZ A Z I C H A N GUKATIKA BONDE LISILOKUWA NA MMEA MBELEY A N Y U M B A Y A K OTUKUFU. MOLA WANGU!( n im ef an ya h iv yo ) ILIWASIMAMISHE SWALA,BA S I J A A LIA N Y OY OZ A WA T U Z IELEK EEKWAO, NA UWARUZUKUKATIKA MATUNDA ILIWASHUKURU. [14:37]

    Bib i H a jara yeye n amwanawe Ismail akiwabado ni mtoto mdogo anayenyonya, wakabaki peke yaokatika bonde hilo baada yakuondoka kwa Nabii Ibrahim(a.s.) kurejea Sham. Majiwaliyo kuja nayo katikakiriba yaliisha yote na kiukikaanza kumsumbua mamana mwanawe. Bibi Hajaraalihangaika sana katikabonde hilo kavu, baina yajabali la Swafaa na Marwakutafuta maji. Mara alikuwaakipanda jabali la Swafaa naakishuka kupanda jabali laMarwa, akitafuta maji bila yakufanikiwa kuyapata. Baadaya kufanya hivyo mara saba,Allah (s.w.t.), alileta rehemayake kwa kumleta MalaikaJibril (a.s.), akaja na kupigasehemu katika bonde hilokwa ubawa wake na hapohapo chemchem ilichimbukana maji kububujika.

    Jibril (a.s.) alimbashiria BibiHajara kwamba hapo alipohakupotea, kwani jirani yakekuna eneo takatifu ambaloAllah (s.w.t.) amekwishaandika ya kwamba Al-Kaaba;nyumba yake ya ibadaijengwe hapo. Na atakaye

    ijenga ni Nabii Ibrahim namwanawe huyo Ismail.

    W a a r a b u w a k a b i l ala Jurhum walipo kuwawakipita katika msafarawao wa kibiashara, waliionasehemu hiyo na namna

    il ivyo changamka kwakuzungukwa na ndege, kwasababu ya neema ya maji yachemchem hiyo. Wakaendamahala hapo na wakaombaruhusa kwa Bibi Hajara ilina wao waweze kuishi hapopamoja na wanyama wao.Jurh um wal ii shi hapo naIsmail akawa pamoja nao,akajifunza lugha yao naakaoa kwao.

    Baada ya kupita mudafulani, Nabii Ibrahim alikujana akamkuta mwanaweIsmail tayari amesha kuwani kijana mwenye rika lamtu mwenye akili timamu.Akamwambia ya kwambaAllah (s.w.t.) amemuamrishaajenge nyumba ya ibada,ambayo kwa hivi sasa ndioinayoitwa Al-Kaaba na hapoilipo ndio Makka.

    Nabii Ismail (a.s.) akaijengaAl-Kaaba kwa ushirikianowa mwanawe Ismail, babaanajenga na mtoto akimbebeamawe. Na kwa baraka hiyoMakka ikaanza kuimarikakidogo kidogo. Hii ndiomara ya kwanza nyumbahii kujengwa kama Qur-aniinavyo tueleza. Nabii Ibrahim(a.s.) baada ya kumaliza ujenziwa nyumba hii, Allah (s.w.t.)akamuamrisha awatangaziewatu Hijja kokote walikoduniani.

    Mara ya pili, Al-Kaabailijengwa kabla ya kudhihirikwa Uislamu katika mji waMakka, wakati Bwana Mtume(s.a.w.) akiwa bado ana umriwa miaka thelathini na tano.Kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika mji wa Makka,mafuriko makubwa yaliingiakatika eneo lenye Al-Kaaba na kuta za Al-Kaabazilidhoofika na kupasuka.Makureishi wakakubalianakuijenga Al-Kaaba na BwanaMtume (s.w.a.) pia alipata

    fursa ya kushiriki katikujenzi huo.

    Mara ya tatu, Al-Kaabilijengwa tena katika kipincha Yazidu bin Muawiyaliye kuwa kiongozi mkukatika awamu ya pili ya doya Bani Umayya baada ykushambuliwa na majeshyake kutoka Sham. YeyYazidu ndiye aliye toamri jeshi lake kumzingir

    Abdullah bin Zubeir (r.akutokea nje ya Makka nakaishambulia Al-Kaabhadi ikavunjika na kuunguBaada ya mashambulihayo, Abdullah bin Zubeakaijenga tena Al-Kabna akafanya baadhi ymabadiliko humo.

    Mara ya nne, baada yAbdullah Zubeir kuuawkwa dhuluma, Abdul-Malb in Marwa n ; k i on gowa Dola ya Bani Umayykatika awamu ya tannaye huyu alifanya baadhya marekebisho katika AKaaba. Lakini katika kipincha Dola ya Abbasiya, HaruRashid akachukua uongo

    wa dola hiyo katika awamu ytano, na yeye alitaka kufanymabadiliko katika ujenzi wAl-Kaaba. Hasa katika yamarekebisho yaliyo fanywna Abdul Malik bin Marwana kuyarejesha katika hayake ile ile kama yalivykuwa wakati wa Bwana huyAbdul Malik bin MarwaLakini Imamu Malik bin Anakamkataza na akamtaka awna tahadhari Al-Kaaba isiikawa ni mchezo wa wafalmba ad a yake na ha ti ma yheshima yake ikatowekkatika nyoyo za watu.

    Kuna kauli nyinginzinazo semwa kwamba Nab

    Ibrahim (a.s.) sie wa kwanzaliye ijenga Al-Kaaba, baNabii Adam (a.s.) ndiye wkwanza kuijenga Al-KaabNa wengine wanasema wkwanza kuijenga ni Shiytmtoto wa Nabii AdamUkweli ni kwamba kauli hizzipo na zimeandikwa katikbaadhi ya vitabu, lakini kauli sahihi.

    ([email protected] +255 767 215 998)

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    10/16

    10AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201SHAIRI/HABARI

    WANAFUNZI wakidato cha pi l i nawale wa kidato channe, wamehimizwakujiandaa vyema namitihani inayowakabilihivi sasa, ili wawezekufanya vizuri katikamitihani hiyo.

    Wito huo umetolewana Mratibu wa Elimu yaDini ya Kiislamu Wilayaya Temeke, UstadhAbubakar Shaaban,

    kat ika Ms ik i t i waMuuminina- Buza njekidogo ya Jijini la Dares salaam mwishonimwa wiki iliyopita, kwaajili ya wanafunzi waKiislamu wa kidatocha pili wanaofanyamitihani yao hivi sasana wale wa kidatocha nne wanaotarajiakufanya mtihani waT a i f a N o v e m b a 4mwaka huu.

    N a w a s i s i t i z i akuyafanyia kazi yaleyote mliyofundishwana walimu wenu kwavitendo kwani kusomani ibada kama zilivyoibada nyingine. Alitiliamkazo Ust. Shaaban.

    A l i s e m a k u w awanafunzi wa sasandio viongozi wa baaden a kwam ba, kam ahawatajengewa misingiimara ya dini kwawakati huu, isitarajiwekupatikana viongozi wabaa dae wataka omjuaAllah (s.w) na wateteziwa dini yetu katikadunia hii na kwambakitarajiwe kizazi kibovukatika jamii.

    Aidha wanafunzih a o w a m e a s w ak u w a m a k i n i n ambinu mbalimbali zamaadui wa Uislamuna Waislamu katikayan ja m bal im bal i ,kwani mbinu hizo ni

    KIASI cha unit 572,sawa na lita 286 zadamu zimetolewa naWaislamu wa Jumuiyaya Al-akhlaquul Islam,kwa lengo la kusaidiajamii katika vituombalimbali vya Afyanchini.

    J u m u i y a h i y oi m e f a n y a z o e z ih i l o l a u t o a j i w ad a m u m w i s h o n imwa wiki iliyopita,n a k u w a j u m u i s h aWaislamu mbalimbalik a t i k a v i t u ov y a o v i l i v y o p omahospitalini.

    K wa m u j ibu waA m ir wa ju m u iyahiyo, Ust. Yahaya TateAlly, alisema Jumla yavituo 25, katika mikoa15, nchini, walishirikikatika zoezi hilo nakufanikiwa kuchangiadamu kiasi cha Unit572, kwa ujumla.

    Alisema, matarajiona malengo yao nikuelimisha na kusaidiaWaislamu na wasioWaislamu sambambana kuiongoza jamiikat ika wem a kwau j u m l a , m b a l i n ashughuli zingine za

    kihuduma wazitoazok a t i k a h o s p i t a l imbalimbali nchini.

    Ustadhi Tate, alisemakutokana na mchangowao ku tam bu l ika ,Serikali kupitia Wizaraya Afya na Ustawi waJamii, im ewa tu nukuCheti cha ushiriki wautoaji wa huduma hiyo.

    Hii ni kuthibitishaku wa J u m u iya yaAkhlaaqul Is lamni mdau mzuri wampango wa Taifa waDamu Salama.

    Kimesema Chetihicho kilichosainiwana Waziri wa Afya na

    Ustawi wa Jamii, Dk.Hussein Mwinyi.

    U s t a d h i T a t e ,a l i v i t a j a v i t u ovilivyoshiriki utoajiwa damu mwishonimwa wiki iliyopitakuwa kwa Jijini Dar esSalaam, ni Hospitali zaMwanayamala, Amanapamoja na Temeke.

    Kwa Mkoa wa Pwanizoezi hilo litafanyikakatika Hospitali zaTumbi, Kisarawe, Maana Bagamoyo.

    A m a m k o a n iMorogoro, zoezi hilolitafanyika jirani na

    Waislamu wachangiaDamu Salama lita 286

    Na Bakari

    Mwakangwale

    Hospitali kuu katika

    osi za damu salamu,pamoja na Hospitali yaWilaya ya Kilosa.

    Kwa mkoa wa Tanga,zoezi hilo litaendeshwak a t i k a v i t u o v y aHospitali za Bombo,na katiika Hospitali zaWilaya za Korogwe,Muheza pamoja naPangani, ambapo katikaMkoa wa Kilimanjaro,zoezi hilo litafanyikakatika Hospitali yaMawenzi.

    M k o a n i I r i n g a ,huduma hiyo itatolewakatika Hospitali yaMkoa huo, kama ilivyo

    kwa Mkoani Dodoma,

    huku Mkoani Tabora,huduma hiyo itatolewakatika Hospitali yaKitete, ambapo hudumakama hizo pia zitatolewaSumbawanga Mjini.

    Kwa upande wakeAmirat Aisha Fumita,alisema kuna wanawakewapatao 70, katikajumiya yao katika utoajiwa damu ila nambahiyo huwa hupandana kushuka kutokanana masharti ya utoajiwa damu kwani kilaanayetoa inamlazimukukaa miezi minnekabla ya kutoa tena.

    Mbali ya utoaji w

    damu katika kitenghicho cha ustawi wja mi i, Am ir at hu yalisema pia hujihusishna shughuli za mazisk w a Wa i s l a m uhususani kwa wawanaokosa ndugu.

    Alisema, shughuhizo ni za kujitolea zaikwa nguvu na mali zwanakikundi na hakunmuwezeshaji, zaidi ykujitolea huku akitowito kwa Waislamkwa ujumla kujitokezkushiriki katika zoehilo endelevu.

    Watahiniwa wapewa seminaNa Azza AllyAhmed

    za kuwakatisha tamaana kumsahau muumbawao.

    Hivyo amewatakaw a n a f u n z i h a oku j i tah idi ku m ju aMola wao na kuwekahofu ya kumuogopaM w e n y e z i M u n g uh u ku waki tam bu akwamba, kusoma niamri iliyotoka kwaMola wao.

    A i d h a U s t .Shaban amewatakawanafunzi hao kuzijuachangamoto mbalimbaliz i n a z o w a k a b i l i

    Waislamu na wanafunziwa Kiislamu, ili kuwezakukabiliana nazo bilakukata tamaa pindiwatakapokutana nazo.

    A l iz i ta ja baadh iya changamoto hizokuwa ni kunyimwahaki ya kufanya ibadawawapo katika shulembalimbali pamoja nakutothaminiwa kamawalivyo wanafunziwengine, wanafunziwa kike kudhalilishwana baadhi ya walimuwasiokuwa na maadilina kuvuliwa hijab zao.

    H i v y oal iwatah adh ar is h aw a n a f u n z i h a ok u j i a n d a a n achangamoto zozote

    watakazo kabi l ian anazo katika maeneoyao watakapokuwa nakutokubali kushindwana changamoto hizo.

    Msikubali kutokanje ya maamrisho yaAllah (S.w.) kwanik u f a n y a h i v y o n ichukizo kubwa kwaAllah. Nami napendakuwausia mubaki namsimamo huu kamaambavyo nawaonambele yangu, kwanihata mtakapo kuwavyuoni mtaweza kuipaheshima dini yetutukufu.Alisisitiza.

    Naye Bw. MsafiriMpendu, mtaalam wa

    mambo ya ushaualitoa nasaha zakkwa wanafunzi kwku wataka was o msana kabla ya mtihanlakini siku ya mtihanhawatakiwi kusomkwa kukesha usikm zim a ik iwa s iki n a y o f u a t a w a nmitihani.

    Alisema hali hiyinaweza kumsababishm w a n a f u n zkushindwa kwa sababya akili kuchoka sanna kutokukumbukyale aliyosoma siku znyuma.

    A m e w a t a kw a t a h i n i w a h akuswali rakaa mbiusiku wa kuamkia sikya mtihani kumuombM w e n y e z i M u n gkuwafanyia wepekatika mitihani yao.

    Aidha al iwatakwanafunzi hao kuwmakini wanapopewkaratasi ya maswali kwkuzisoma kwa umakikila kipengele, kwanwakikosea kusommaelezo (Instructionk w a m a k i n i n d imwanzo wa kufemtihani.

    M t a a l a m u h u yamewataka wanafunkutokujadili mtihan

    uliopita kwa kukavikundi vikundi nkupoteza muda baday a k e w a m e t a k i wkujiandaa na somlinalofuata.

    Kwa upande wakS h e i k h M i k i d a dKhalfan al iyekuwamewakilisha Barazla Wazee wa KiislamM s i k i t i n i h a p oamewataka wanafunhao kuzifanyia kanasaha walizopewa nyote waliofundishwa nwalimu wao ili kufanyvizuri katika mitihanyao na kufanikiwkatika maisha yao ybaadae.

    Nabtadi kuangaza, halisi yake launiSi mwingine mpendeza, mwalimu Pugu shuleniIsimuye kudokeza, Nyerere si jina geniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Kila kona husiwa, kwa sifa ziso kifaniNa chapuo hupigiwa, ndani na ughaibuniWa Mungu mteuliwa, yanadiwa hadharaniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Ya uasisi kasumba, imewalevya vichwaniHuyumba huku wakimba, "mwasisi nambari 'wani' "Waimbaji mnoimba, 'wimbo' huu sikizeniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Nyerere mkaribishwa, hilo nyote ng'amueniNa Bantu katambulishwa, kwa Abdul jijiniKisha akakutanishwa, na wa TAA wauminiSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Ikawa mara ya kwanza, kutajika siasaniSafari akaianza, yu chini ya wauminiNguvu hawakumtenza, kwa tofauti ya diniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Kwa wema wakaamuru, aushike usukaniAkajifanya 'jabaru, alipowekwa kitiniWema akaukufuru, kwa kugeuka mdiniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Kura tatu ikajiri, Tabora unyamweziniIkatoka tahadhari, ya dalili za udiniUdini ukadhihiri, na umma kuutiniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Sheikh wetu Takadiri, muhanga nambari 'wani'Kisa kutoa indhari, kwa nduguze wauminiWakamsusa dahari, kisa eti yu mdiniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Likatimu lake lengo, Nyerere 'Bwana' udiniUkawa wake ulingo, na siriye mtimani

    Akaja kushika 'bingo', sitina moja mwakaniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Masaibu yakaanza, kuwazonga wauminiNi walewale wa kwanza, waanzilishi chamaniKikubwa kilowaponza,si kingine yao diniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Masheikh wakakamatwa, na kutiwa gerezaniMongoni mwalokamatwa, ni Sharifu AdinaniKisha nyuma akafatwa, na Sheikh KomorianiSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Kisha Sheikh Nurdini, mwana mwema wa Husseni

    Akaongezwa kundini, na Sheikh Al-AminiHata Bilali Rehani, yu hai muulizeniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Mwisho akajakamatwa, Mufti wetu nchiniHassan yeye aitwa, Amir wake ubini,Ikawa mchana kutwa, mazonge kwa wauminiSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Orodha ni ndefu sana, kuitaja shairiniLengo sio kulumbana, bali haki kubainiYeyote anayekana, alete hoja mezaniSura halisi ni hii, ya Julius Nyerere.

    Mwisho nakuusieni, tarekh tuisomeniIwe yetu ya nchini, au ya UghaibuniMengi tutayabaini, ya dhahiri na batiniHuyo jama tambueni, n'do mwalimu Nyerere.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Huyu ndiye Nyerere !

    (Kumbukumbu)

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    11/16

    11AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Matangazo

    Inatangaza nafasi za Masomo kwa wanafunzi

    wote wanaohitaji kujiunga na Pre- Form One

    Boarding and Day. Masomo yameanza Tarehe

    30/09/2013, Shule ipo Wilaya ya Bagamoyo

    Mkoa wa Pwani-km 7 kutoka njia Panda ya

    Chalinze Tanga, Kuelekea Morogoro.

    Nafasi za Kidato cha Kwanza mwaka 2014

    Pia tuna nafasi za kuhamia kwa Kidato cha 2

    na 3.

    Usaili Kidato cha Kwanza utafanyika Tarehe16/11/2013, kwa awamu ya kwanza. Awamu

    ya pili usaili utafanyika Tarehe 30/11/2013 na

    awamu ya Tatu Tarehe 20/12/2013.

    Kwa maelezo zaidi piga simu hizi:-

    0762-270 378/ 0659 303 203/ 0784- 323 203.

    Au E-mail: chalinzecentre@ yahoo.com

    MKUU WA SHULE

    Chalinze Islamic Seminary

    Pre-Form One

    STASHAHADA (DIPLOMA)- ADA LAKI TANO TU KWA

    HUDUMA ZOTE KWA MWAKA

    GRADE 3A (CHETI) SIFA ISIZIDI DIVISION 4.27-ADA LAKI

    SABA TU KWA HUDUMA ZOTE

    WASIOTIMIZA POINTI 27 WATAPEWA MAANDALIZI MAALUMU

    WAKIWA CHUONI.

    CHUO NI CHA BWENI KWA JINSIA ZOTE NA HUDUMA ZETU

    MALAZI NA CHAKULA NI BURE NA NI ZA KIWANGO CHA JUU.

    WANANDOA WANARUHUSIWA KUSOMA.

    USAJIRI MWISHO NI TAR: 28-OKTOBA 2013

    CHUO CHA UALIMU UNUNIOS.L.P 32654, DAR ES SALAAM, SIMU: 0713673405, 0715822332,

    0715455137/0654083940E-mail: [email protected] Blog: www.ununio.blogspot.com

    NAFASI ZA MASOMO YA UALIMUOFA MAALUMU(2013/2014)

    Msajili: 0715 822332 /0756 822332/0784 822332

    Mkuu wa Chuo: 0713 673405

    WABILLAH TAWFIQ

    KAMATI YA MAANDALIZI YA MKUTANO WASEKRETARIETI (KAMATI NDOGO YA KITAIFA)TUNATOA SHUKRANI ZA DHATI KWA WALE WOTEWALIOSAIDIA KUFANYIKA KWA MKUTANO WAPILI TAREHE 26-29/09/2013 KWA MAFANIKIOMAKUBWA SANA.

    AIDHA TUNAWAPONGEZA WAJ UMBE WOTEKUTOKA MIKOA YOTE YA TANZANIA KWAKUSHIRIKI VIZURI.

    IKUMBUKWE VIJANA WA KIISLAM HATUJAWAHIKUKUTANA KITAIFA MARA YA MWISHO ILIKUWAMIAKA 14 ILIYOPITA.

    TUNAWAKUMBUSHA WAPENDA MAENDELEO YAUISLAMU NA HARAKATI ZA VIJANA MKUTANOMKUBWA WA KITAIFA UTAKAOSHIRIKISHA VIJANAWOTE TOKA NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKIUTAKAOFANYIKA MWANZA HAPO DISEMBA-INSHAALLAH

    WAJUMBE KUTOKA KILA JUMUIYA ZA VIJANAKUTOKA KILA JIMBO, WILAYA NA MIKOA YA

    TANZANIA WAJIANDAE KWA MKUTANO HUO.TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA YA MKUTANOHUO WA KIHISTORIA.

    WASHIRIKI WANAWEZA KUPIGA NAMBAZIFUATAZO:0715/0756/0784/0772/822332 AU 0759 362888 AU0713 495992

    AHSANTENI SANAAMIR-KAMATI YA MAANDALIZI

    BARAZA LA VIJANA WA KIISLAMUMKOA WA DAR ES SALAAM

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    12/16

    12AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 20112 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 2013

    Tunawatakia Waislamu

    wote Eid el-Hajj!

    Eid Mubarak!

    The sixth graduationceremony will be held atthe campus of the MuslimUniversity of Morogoroon SATURDAY, 9 thNovember, 2013. Theceremony is expectedto start at 2.00 pm andend at 5.30 pm.

    Students eligible toattend the ceremony areundergraduates whosuccessfully completedtheir studies in 2013.

    Parents, relatives andguests of the studentsas well as interestedmembers of the generalpublic are welcome toattend the graduationceremony in the arena.Guests are expectedto dress modestly anddecently. Lady guestsattending the ceremonyare advised to wear

    MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania.

    Tel: +255 23 2600256; Fax: +255 23 2600286

    Website: www.mum.ac.tz, E-mail address: [email protected]

    SIXTH GRADUATION CEREMONY FOR UNDERGRADUATE DEGREESCONFERMENT 2013

    the hijab or any dressthat does not exposethe body other than theface, hands and feet.

    All eligible studentsa r e r e q u e s t e d t oattend the occasion,regardless of whetheror not they bring guests.However, they mustinform the ofce of DVC(Academic) of theirintention to participatein the ceremony NOTL A T E R T H A N 1 s tN o v e m b e r , 2 0 1 3 .Preferably call or smsMobile No:

    0712 - 277598Academic costumes

    (gowns, hoods andcaps) are available forhire by the graduandsstarting from 1st to 8thNovember 2013.TheUniversity cashiers

    ofce must receive fromeach of the participatingstudents a total of

    Tsh. 35,000 (Ts.20,000 for hiring thecostumes, Ts. 10,000deposit security whichis refundable, and Ts.5,000 convocation fee).

    Graduands, who donot have costumeson, will not be allowedto participate in theCeremony.

    Strictly, we shal lnot issue Academicc o s t u m e s o n t h eGraduation day, eachand every Graduandshall have to have hiredhis/her gowns between1st - 8th November, 2013.

    G r a d u a n d s a r erequired to bear in mindthat the hired gownsshall have to be returned

    after the ceremony.A heav y fine wi ll beimposed in case thecostumes are damaged,or not returned and/orin time.

    A hir ing ContractForm will be providedfor completion by thoseintending to hire thecostumes.

    For the safety of al l part icipants andtheir guests, close-uppicture taking and videorecording is restricted.

    REHEARSALSince the rehearsal

    is an integral partof the ceremony, allgraduands who wish toattend the graduationceremony MUST attendthe rehearsal which isscheduled on Saturday

    morning (9thNovember,2013 at 8.30) at thegraduation site. Failureto attend all rehearsalsby students will result inimmediate cancellationof their eligibil ity top a r t i c i p a t e i n t h egraduation ceremony.

    C e r t i f i c a t e s a n dt r a n s c r i p t s o f t h egraduands will not begiven at the ceremony.These can be receivedat another convenientday from the Ofce ofthe DVC (Academic)upon signing registerbooks and presentingan ID card.

    DEPUTY VICECHANCELLOR(ACADEMIC)

    UINGEREZA imeahidik u wa i t as h i r i k i an ana Zanzibar kat ikak u waj en gea u wezowananchi katika sektaya mafuta na gesi asilia.

    Balozi wa Uingerezanchini Tanzania bibiD i a n n a M e l r o s e ,ameeleza hayo wakatia k i z u n g u m z a n aMakamu wa Kwanzawa Rais wa ZanzibarM a a l i m S e i f S h a r i fHamad, nyumbani kwakeMbweni, nje kidogo yamji wa Zanzibar.

    B a l o z i M e l r o s ea m e s e m a a n a a m i n ikuwa Zanzibar ina utajirimkubwa wa maliasiliikiwemo gesi asilia, nakwamba ili wananchi

    Uingereza kusaidia uchimbaji mafuta Zanibarwaweze kunufaika nayo,ni lazima wawe weledina wataalamu wazalendokatika fani hiyo.

    N a y e M a k a m uwa Kwanza wa Raiswa Zanzibar MaalimS e i f S har i f Ham ad,amemuhakikishi balozihuyo kuwa Zanzibari t a s h i r i k i a n a n aUingereza, na kwambaitafarijika kupata msaadahuo wa kitaaluma.

    Amesema Zanzibarinahitaji sana wananchiwake kupatiwa taalumana kujengewa uwezokatika sekta ya mafutana gesi asilia, haa wakatihuu ambapo suala hilolinatarajiwa kutolewakatika orodha ya mambo

    ya Muungano.Mazungumzo hayo

    pia yalimuhusisha Mkuuwa Idara ya AfrikaMashariki na Magharibi,Osi ya Mambo ya Nje naJumuiya ya Madola waUingereza bibi HarrietMathews.

    Wakati huo MaalimSeif amekutana na Baloziw a Norw ay nc hi n iTanzania bibi IngunnKlepsvik na kujadilianajuu ya mambo kadhaayakiwemo Serikali yaUmoja wa Kitaifa namchakato wa mabadilikoya Katiba.

    Amesema viongoziwa Serikali ya Umojawa Kitaifa wanaendeleakushirik iana vizuri

    k a t i k a k u t e k e l e z amajukumu ya serikali,ingawaje bado zipochangamoto kat ikan g a z i z a c h i n i z auongozi.

    Amesema baadhiya viongozi wa ngaziza chini wakiwemom a s h e h a , b a d owanahitaj i taalumazaidi katika kuufahamumuundo huo mpyawa serikali, ili kufikia

    malengo yaliyowekwan a s e r i k a l i h i y o ,i k i w a n i p a m o j an a k u w a n g a n i s h awananchi.

    Kuhusu mchakato wamabadiliko ya Katiba,Maalim Seif amesemakwa sasa wananchiwanasu bi r i bu sar a

    za Rais wa Jamhury a M u u n g a n o wTanzania, Rais JakayKikwete ambaye ndiyaliyeasisi mchakathuo.

    K w a u p a n dwake balozi Ingunameelezea matumainyake kuwa mchakatw a k a t i b a m p yutamalizika salamna Tanzania itasongmbele kimaendeleo.

    Hata hivyo amesemipo haja kwa Tanzanikusimamia vyema zoezhilo, ili kuhakikishk u w a i n a p a tKatiba itakayokidhhaja , kul ingana nmabadiliko ya hali ykiuchumi, kisiasa nkijamii.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    13/16

    13AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    14/16

    14AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    15/16

    15AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201

  • 7/27/2019 ANNUUR 1094

    16/16

    16AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201