ANNUUR 1030

download ANNUUR 1030

of 16

Transcript of ANNUUR 1030

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    1/16

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    2/16

    2AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0713 110148, DSM.www.ipctz.org E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri

    A L H A M D U L I L L A Hhatuna budi kumshukuruA l l a h ( S W T ) k w akutuwezesha kutekelezaibada hii muhimu ya fungana hivi tupo ukingonikabisa. Wakati kwa upandemmoja ni furaha, kwa kiasikikubwa ni huzuni kwambamwezi huu wenye kherinyingi unaondoka. Na kwahakika hakuna anayejuakuwa atajaaliwa uhai nauzima aipate Ramadhaninyingine. Kutokana na

    ukweli huo, ni wajibu kwakila Muislamu kuhakikishakuwa katika masiku hayaya ukingoni anakithirishaibada na hasa kuhuishausiku akimsabihi Molawake na kutaka msamaha,asaa funga yake ikawa niyenye kutakabaliwa.

    Lakini jingine muhimu nikuwa tunatakiwa kufahamunini Idd na yepi yanajuzukufanywa katika siku hiyona yapi hayaruhusiwi. Yotehii ni kutaka kumfanyamja afaidike kutokana naRamadhani yake na piaachume kutokana na Idd

    yake.T u n a a m b i w a k u w aIdd el Fitri ni sikukuu yakuadhimisha na kusherehekeakumalizika kwa mwezimtukufu wa Ramadhani.Na kama ilivyokuwa katikamafundisho ni kuwa hiiinakuwa kama siku yamahafali ambapo Waislamuwanapokea shahada zaoza kuhitimu mafunzo yauchamungu. Na mafhumuhaya ni kutokana na ileamri yenyewe ya kufungailivyokuja ikitaja lengo la

    Iwe Idd el Fitri njemakufunga. Aya inasema:

    E n y i m l i o a m i n i !Mmelazimishwa kufungakama walivyolazimishwawaliokuwa kabla yenu ilimpate kumcha Mungu.(Albaqara: 183)

    Sasa kama lengo n ikumfikisha mja kat ikauchamungu, kinachotarajiwani kuwa ile hali ya kumkhofuna kumtii Allah itaongezekabaada ya kumaliza Ramadhani.Na ndio maana imesisitizwakuwa siku ya Idd pamoja

    na kuwa ni sherehe ambapowatu wanatakiwa wale nakunywa vizuri na kuvaavizuri, lakini ni siku pia yakumdhukuru sana MwenyeziMungu na kumtukuza. Nisiku ya Takbira. Hii siyosiku ys kurejea katika maasibaada ya kuyahama wakatiwa kufunga.

    K a t i k a k u t o a o n y oimepokewa kuwa katikajumla ya madhambi makubwani pamoja na kumuaswi Allahsiku ya Idd. Ili kuonyeshatu uzito wake ikaelezwakuwa mwenye kumuaswiMwenyezi Mungu siku yaIdd, ni sawa na aliyemuasiAllah siku ya Kiama.

    Kwa hiyo wito kwetu kwaWaislamu ni kuwa wajitahidikumaliza Ramadhani hiikwa kukithirisha ibada nahasa kuhuisha usiku, lakinip ia wa j ichunge ka t i kakusherehekea sikukuu ya Iddwasije wakaharibu swaumuzao na kulikosa lile lengo lakufunga.

    Tunawatakieni mwishomwema wa Ramadhani naIdd el Fitri njema.

    Aibu, fedheha BungeniK W A h a k i k a z a wa d izilizotolewa Bungeni kwawaliodaiwa wanafunzi2 0 wa l i o fa n y a v i z u r izaidi katika mitihani yakidato cha sita mwakajana, ni kitendo cha aibu,fedheha, hakipendezi nakisichokubalika kwa wotewanaojali haki, uadilifu nakuitakia mema nchi hii.

    Aibu hii inakuja kutokanana ukweli kwamba wakatiWaziri wa Elimu na Mafunzoya Ufundi alitarajiwa kuingiaBungeni akiwa kainamishakichwa chini kwa aibu naakitegemewa kutoa matokeo yauchunguzi aliotakiwa kufanyajuu ya madudu yanayodaiwakuwepo ndani ya Baraza laMitihani (NECTA), hakugusiakabisa kashfa iliyoibuliwamwaka huu, badala yake

    akaona afunike kwa kupigapro paganda ya kul isi fu nakulimwagia sifa Baraza hilo.

    Kwa hakika ni jambo lakusikitisha, kuhuzunishana kukatisha tamaa kabisa,iwapo Waziri anayetarajiwakusimamia maendeleo yaelimu nchini haoni kuwakuna tatizo ndani ya Barazala Mitihani ambalo hutoam a t o k e o y a u w o n g o ,likizomewa linabadili nakuibuka na matokeo mapyaambayo nayo yakichunguzwani ya uwongo pia. Huu nimsiba!

    Mheshimiwa Waziri, Vipi

    unatarajia watu wenye akilina busara zao wathaminina kufurahia matokeo ya20 Bora ya Baraza kamahili ambalo limejaa watuwa Marian Spirit ambaoimedhihirika wazi kwambahuwapunguzia maksi watuwa Is lamic Knowledgena kuwaongezea wale waDivinity?

    Vipi Mheshimiwa sanaWaziri Kawambwa anatarajiakwamba watu watayakubalina kuyaenzi matokeo hayaya 20 Bora yaliyoratibiwana Katibu Mtendaji ambayehakuona vibaya kujidhirishakwamba yeye ni mtumikiawatu wa Divinity na MarianSpirit pale alipoona nivyema kuajiri Mchungaji wakusimamia masilahi ya vijanawa Kikristo lakini hadi sasakagoma kuajiri mtaalamu wasomo la Islamic Knowledgena Lugha ya Kiarabu!

    Inakuwaje! Waziri atarajiewatu wathamini matokeoyanayotolewa na Barazaambalo wakati wowotewatumishi wa Marian Spiritwanabadili grading systemna range za kutoa madarajakwa masomo mbalimbalikulingana na wanavyotaka ama

    kuwafelisha au kuwafaulishawatu fulani?

    Yapo maneno (na ndiomaana Waislamu wakahimizakufanyika uchunguzi wa kinana huru) kwamba baadhi yawakati wakubwa wa NECTAhukataa kutaja hadharani 10bora katika kufaulu ki-Wilayaau Mkoa pale inapotokeaWilaya/Mkoa, unaoongozaama ni wa Unguja au eneolenye Waislamu wengi. Nahaya yanasemwa kwa sababuinadaiwa kuwa wahusikaw a l i y a s e m a ( r o p o k a )hadharani yakanaswa nawapita njia.

    Kwa muda mrefu Waislamuwamekuwa wakituhumukwamba kuna njama zakuhujumu wanafunzi waKi i s l a m u . M wa k a h u uWakuu wa shule za Kiislamu

    wakaona ni vyema wasiwasihuu usemwe na ufanyiweuchunguzi.

    Wizara ya Kawambwa nayeye mwenyewe ni shahidikuwa Baraza analolisifiakwa kuhudhur i sha 20Bora Bungeni, kwambalilipunguza makisi za watuwa Islamic Knowledge baadaya kuzomewa likazirejesha.Lakini na zenyewe zikiwa nawalakini pia.

    Hata kama utasema kuwalilikuwa kosa la kibinadamu,s io makusud i , bado n ikashfa tosha pale Barazaambalo l i l i takiwa kuwa

    makini linapotoa matokeoya uwongo na likalazimikakubadili. Wanafunzi na wazaziwatakuwa vipi na imani naBaraza kama hili?

    W a t u w a n a s e m a n akujiuliza, inavyofahamikaWaziri Kawambwa ni msomialiyekuwa Mhadhiri wa ChuoKikuu cha Dar es Salaam, leoanaposifia Baraza la namna hii,watu wanashindwa kuelewausomi wake upo wapi? Auana masilahi NECTA kamayale ya William Mhando waTANESCO na mkewe? Je,mkewe naye ana tenda yakusambaza vifaa vya ofisi

    au kufagia ofisi za NECTA?Kama si hivyo, inakuwavigumu kuelewa inakuwajekwa msomi huyu Muhadhiri,Mwalimu wa Chuo Kikuu,kushindwa kujua uzito wadhambi inayofanyika ndaniya NECTA.

    Labda tukumbushe hapakuwa baada ya kubaini kuwaBaraza lilighushi matokeoya vijana wa Kiislamu naikizingatiwa kuwa kunatuhuma kuwa toka Baraza hiloliundwe halijawahi kuonyeshasura ya kitaifa kutokana nakuwa kama kitengo cha Kanisa,

    Waislamu walitaka Baraza hillichunguzwe na uchunguzhuo usiishie kwa somo mojtu lililochakachuliwa mwakhuu au kwa mitihani ya mwakhuu tu, bali uhusishe masomyote na uangalie kwa uchachmiaka 10 iliyopita.

    Habari zilizopo mitaanzinafahamisha kuwa tayaWaziri alishaunda Tume hiyna ilishakabidhi matokeo yakkwake japo haijafahamikkama ilikuwa na hadidza rejea zinazokidhi madaya Waislamu. Hata hivyokilichotarajiwa ni kuwa Waziwa Elimu angetoa taarifBungeni juu ya matokeo yTume yake, lakini badalyake kaja na aibu nyinginya kuficha matokeo yuchunguzi kwa kuifunika n

    20 Bora waliotolewa nBaraza linalotoa matokeo nkubadili linapozomewa!

    Kama tulivyosema, taarifza mitaani zinafahamishkuwa tayari Tume iliyoundwk u c h u g u z a N E C Tishakabidhi taarifa yake nzipo tarifa kwamba kulikuwna Waislamu. Sasa baadya usanii na filamu ile yku toa zawad i kwa 2Bora Bungeni, Waislamwanataraj iwa kuwasakna kuwatambua Waislamwaliokuwa katika Tume hiykujua ni Waislamu wa sampu

    gani.Wakiwapata wataitish

    m k u t a n o m k u b w a whadhara utakaowahusishwanafunzi Waislamu, walimwao, wazazi, Masheikh nWaislamu kwa ujumla ambapwatawataka wajumbe hawale kiapo cha Kiislamu.

    Watatakiwa kutawadhakuswali rakaa mbil i nkutakiwa kushika Msahafkuapa kwamba watasemkweli juu ya kile walichokionkatika uchunguzi wao. Baadya hapo Waislamu wataamunini hatua za kuchukua.

    K a m w e W a i s l a mhawatakubali 20 Bora nkiroja cha kupewa zawadBungeni kuwa blanketi lkufunika madai ya Waislamndani ya NECTA.

    Waislamu ni raiya wa nchhii, ni watoa kodi, wana hakzao za kiraiya na ki-uwananchkama walivyo wengine. Wanhaki ya kupata eilimu na sikupewa kwa kupunjwa akuondoa muhali.

    N i a m r i y a Qu r a nusidhulumu wala usikubakudhulumiwa.

    Gazeti la An-nuurna watendaji wake

    wanawatakiaWaislamu wote EID

    MUBARAK

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    3/16

    3AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 201Habari

    Leo Kisonge wamepatiaKweli kunguru hafugikiKWA zaidi ya wiki mbili,Maskani ya Kisonge, Ungujailiweka bango linalosema kuwaKunguru hafugiki.

    Swadakta, Kisonge safarihii wamesema kweli kabisa,Wazanzibari hawataki mtamawa kurushiwa ndani ya kibandawakiwa wamefungiwa, wanataka

    kupumua, kama alivyosema MzeeKarume kwamba Wazanzibariwanataka uhuru wa kujitawalawenyewe.

    Amesema mwananchi mmojabaada ya kusoma bango hilo laKisonge wiki iliyopita.

    Hata hivyo, baadhi ya watuwameanza kujiuliza nini hatmaya vuguvugu na mchakato huuwa kutaka Zanzibar huru hukuwengine wakitafsiri hali hiyokuwa ni kuwa na muungano wakimkataba.

    Katika mazungumzo yakena wandishi wa habari sikukadhaa zilizopita, MzeeHassan Nasso ro M o yoalisema kuwa haamini kuwaMzee Aboud Jumbe alikuwahakukosea alipopigania hakiya Zanzibar na mamlaka yakekatika muungano.

    Alisema kuwa Mzee Jumbealikuwa na maoni kuwa kuwena Serikali tatu, ndio vuruguzikatokea na kudaiwa anatakakuvunja Muungano maana ndiomatatizo yetu hayo.

    Hata hivyo Mzee Moyoakasema kuwa yeye haoni kuwaJumbe alikuwa na makosa. Kwakauli yake alisema:

    Mimi nasema Aboud hakuwana kosa, na yeye yupo hai nasina wasiwasi na ninayo yasemasimsingizii.

    Lakini pamoja na imanihiyo kuwa Mzee Aboud Jumbe

    hakuwa na kosa, Mzee Moyoalieleza pia kuwa hiyo haikuwasababu ya kunusurika.

    Ndiyo hivyo tena likaendalikapasuka kule, kwa hiyo (MzeeAboud Jumbe) hakupata msaadawa watu, kina Moyo wakakaakimya tu hivi hivi, na walewaliokuwa wakimsaidia kule,

    Nyerere akawatia ndani wote.W a t u wa n a j i u l i z a , J e ,Mheshimiwa Jakaya MrishoKikwete akiwa kavaa kofia kamazilezile za Mwalimu Nyerere,kwa maana ya Rais wa Nchina Mwenyekiti wa CCM, nayeatafuata nyayo za Nyerere kwakuwachukulia hatua wazeewapigania Uhuru wa Zanzibar nawanamapinduzi wanaotaka sasaZanzibar iachiwe ipumue?

    Je, nini itakuwa hatma yawazee kama Mzee Hassan

    Nassoro Moyo wanaosema wazikuwa wanataka muungano wamkataba?

    Je, nini itakuwa hatma ya walewanaomuunga mkono ambaowapo tayari kurejesha kadiza CCM kama itakuwa ndiyogharama ya kutetea uhuru naDola kamili ya Zanzibar?

    Wakati Mzee Aboud Jumbeanasulubiwa Dodoma mwaka1884, tunaambiwa kuwa kinaMoyo walikaa kimya tu hivihivi.

    Leo miaka 28 baadae hojaz i l ez i l e za Aboud Jumbekudai haki ya Zanzibar katikamuungano zimeibuka kwa nguvuna kwa uwazi zaidi.

    Je, wakati makomredi, makadana waasisi akina Mzee Moyowanapaza sauti, yakiwakutahali itakuwa ileile ya viongoziwengine na umma kukaa kimyatu hivi hivi?

    Baada ya utangulizi huifuatayo ni sehemu ya mwisho ymaelezo ya Mzee Hassan NassMoyo alipokutana na wandiswa habari hivi karibuni katikHoteli ya Bwawani, ZanzibaEndelea

    Aboud Jumbe hakukosea

    Sasa nije katika kisa chAboud Jumbe, mi nasemhakufanya makosa, maanyeye alikuwa akizungumza kikifungu ambacho kinasemkutakuwa na Serikali mbili, moni ya Zanzibar itakayoshughulikm a m b o a m b a y o s i y o yMuungano na moja ya Muunganambayo itashughulikia mambo yMuungano, na pia itashughulikmambo ya Tanganyika ambaysiyo ya Muungano.

    Aboud akafasiri mambo hayya Muungano na mengine yTanganyika, kwa hiyo tuwna Serikali tatu, ndio vurugzikatokea na kudaiwa anatakkuvunja Muungano maana nd

    matatizo yetu hayo. Mimi nasemAboud hakuwa na kosa, na yeyyupo hai na sina wasiwasi nninayo yasema simsingizii, vile tu alilichukua suala hikama lake yeye na RamadhaHaji Waziri Kiongozi, baadaya kuwashirikisha wenzao wBaraza la Mapinduzi na hilinawezekana maana alikuwkiongozi wetu.

    Ndiy o hivy o tena likaendlikapasuka kule, kwa hiyhakupata msaada wa watu, kinMoyo wakakaa kimya tu hivi hivna wale waliokuwa wakimsaidkule, Nyerere akawatia ndawote.

    Inaendelea Uk.

    Masheikh Dar watoa tamko rasmi sensaVIONGOZI wa Jumuiyana Taasis i za Kiis lamu

    w a m e s i s i t i z a k u w awataendelea na msimamowao wa kuwataka Waislamukutoshiriki zoezi la sensaya watu na makazi nchinilinalotarajiwa kuanza Agosti26, 2012.

    Wakasema kuwa, msimamohuo utaendelea kubaki hivyohata kama serikali itatamkakukubaliana na mapendekezomatatu yaliyotolewa na Waislamukwa sababu muda uliosaliahautoshi kwa utekelezaji wamapendekezo hayo.

    Tamko hilo limetolewa janana viongozi hao Jumuia naTaasisi za Kiislamu nchinikufuatia msimamo wa serikali

    kwamba haitorejesha kipengelecha dini katika sensa ijayo.Akizungumza mbele ya

    Waandishi wa habari katikaM s i k i t i w a K i c h a n g a n iMagomeni jijini Dar es Salaam,Katibu wa Jumuia hiyo SheikhPonda Issa Ponda, alisemaawali Waislamu walisemahawatoshiriki zoezi la Sensaendapo madai matatu yaWaislamu.

    Ameyataja kuwa ni KuundwaTume huru ya sensa, Kuwepomawakala wa dini za Kiislamu,Kikristo na wapagani katikaukusanyaji wa Takwimu namajumuisho hayatatekelezwana serikali kabla ya kuanzazoezi lenyewe.

    Kwa upande mwingine,msimamo wa Waislamu wakutoshiriki zoezi la Sensaumechukua sura mpya baada yasakata hilo kuliwasilisha Umojawa Mataifa (UN) na kufungamjadala huo na Serikali.

    Suala hilo limetua rasmiAgosti 14, mwaka huu katikaOfisi za Umoja huo zilizopoJijini Dar es Salaam, chiniya uwakilishi wa Jumuiya naTaasisi za Kiislamu (T).

    K a t i k a b a r u a y e n y ekumbukumbu namba KUM:JTKT/UN/01/12, inayokwendakwa Katibu Mkuu wa Umoja waMataifa, Ban Ki Moon, kupitiakwa Mwakilishi wa Umoja huo

    nchini (UNDP), imesema Sensaya mwaka 2012, itaacha kundikubwa la raia bila kuhesabiwa.

    Ikasema, barua hiyo kuwaili zoezi hilo liende sawasawakitakwimu ni vyema mambomatatu yakafanyika, miongonimwa mambo hayo ni kuutakaUmoja wa Mataifa kuishinikizaSerikali kuiakhirisha Sensa.

    Mbali ya hilo, pia Jumuiyana Taasisi za Kiislamu kupitia

    barua hiyo imeutaka Umoj ahuo kuishinikiza Serikali yaTanzania kufanya muafaka katiyake na Waislamu, na kwambaikiwa Serikali haitoafiki, Umojahuo uweke wazi udhaifu wa

    Shaaban Rajab na BakariMwakangale

    takwimu za Tanzania, 2012.Kwa kuwa Tanzania ni

    mwanachama wa Umoja huona kwa kuwa mfumo wa Sensaya watu na makazi wa 2012,utaacha kundi kubwa la raia

    bi la kuhesa bi wa , il i zoez ihilo liweze kufikia malengoyake ni vyema mambo matatuyakafanyika.

    Kwanza, Umoja wa Mataifaukashinikiza kuairishwa kwasensa, pili kushinikiza muafakakati ya Serikali na Waislamu naikiwa Serikali itaziba masikioni vyema UN ukazitahadharishanchi wanachama na mashirikaya kimataifa juu ya udhaifu watakwimu za Tanzania kupitiaSensa hii. Imesema baruahiyo.

    Taarifa hiyo iliyosainiwana Jumuiya na Taasisi naneza Kiislamu kwa niaba yaJumuiya zaidi ya 50 za Kiislamu

    imesema inaamini takwimusahihi za idadi ya watu katikaTaifa zinawezesha mashirika yaKimataifa na nchi wanachamawa Umoja wa Mataifa kuratibumipango ya kimataifa ikihusishauwiano wa huduma na misaadaya maendeleo.

    Taarifa hiyo imesema,Waislamu hawatoshiriki zoezilinaloitwa sensa ya watu namakazi Tanzania linalotarajiwakuanza Agosti 25, 2012.

    Imesema taarifa hiyo yaJumuiya na Taasisi za Kiislamunchini na ikaweka msimamow a k e b a y a n a k w a m b a ,msimamo huo utaendeleakubaki hivyo hata kama leo

    Serikali itatamka kukubalianana mapendekezo waliyoyataja,huku ikilaani kamata kamatakwa Waislamu mikoani.

    Huo ni msimamo kwa sababumuda uliobaki hautoshi kwautekelezaji wake, pia tunaalanioperesheni inayoendelea nchinzima ya kuwakamata baadhiya raia Waislamu kwa madaiya kutamka kutoshiriki zoezilinaloitwa Sensa ya watuna makazi. Imesema taarifahiyo.

    Katika utangulizi wake,barua hi yo imesema kuwautafiti wa kina uliofanywana Waislamu umebaini kuwakuondolewa katika Sensa hojaji

    ya kutambua uwiano wa dini ninjama ya makusudi.Imesema barua h iyo ,

    ambayo An nuur inayo nakalayake, kwamba njama hizo zinalengo la kuwabagua baadhi yaraia wake na kuwagawa kwamisingi ya Dini zao.

    Imeainisha barua hiyokuwa hatua walizo chukuakabla ya kufikia uamuzi huuni kuwasiliana na Serikalikwa maandishi, mazungumzoya moja kwa moja na kupitiavyombo vya habari.

    Katika hatua za awalikuhusiana na suala h i l i ,Jumuiya na Taasisi za Kiislamu

    (T), ilipeleka kopi Umojawa Mataifa (UN) ya Baruailiyoenda Tume ya Takwimuya Taifa (NBS).

    T a a r i f a h i y o k w aU m o j a w a M a t a i f a ,imenukuu mapendekezowaliyoyawasilisha awali (NBS)ikiwa ni kuundwa Tume huru yaSensa, kuwe na mawakala waDini za Kiislamu na Kikristona wapagani katika ukusanyajiwa Takwimu na majumuisho,sambamba na kipengele chadini na makabila kirejeshwekatika dodoso la Sensa.

    Lengo likiwa ni kufuatakanuni ya u tawala borai n a v y o y a t a k a M a t a i f akutambua na kuweka rekodiya takwimu sahihi za mamboyote muhimu, ikiwa ni pamojana idadi ya watu, makazi, Dini

    na Makabila.Lakini zaidi pia msimamo

    huo wa Waislamu, unaelezwani kutaka kuondoa utata wamkanganyiko wa takwimu

    zisizo rasmi, za uwiano waraia Waislamu, Wakristo naWapagani zinazokinzana nahistoria ya Tanganyika.

    Hata hivyo majibu ya raisJakaya Kikwete Julai 22, 2012,yaliyotiliwa mkazo na WaziriMkuu Mizengo Kayanza PeterPinda, Agosti 10, 2012, Bungeniyameweka wazi msimamowa Serikali wa kutorejeshakipengele cha Dini katika sensaTanzania. Imesema barua hiyona nakala yake kupelekwaBalozi zote nchini pamoja naUmoja wa nchi za Ulaya.

    Wakati huo huo, Sheikh

    P o n d a a m e s e m a k u wBaraza la Eid el Fitr safari hlitafanyika kitaifa jijini Des Salaam katika viwanja vyMwembeyanga Temeke baadya swala ya Eid.

    Alisema Baraza hilo litakuwni la Umoja wa Kitaifa ambaplitahudhuriwa na viongozi wWaislamu kutoka TanzanBara na Zanzibar.

    A l i w a t a j a b a a d h i yMasheikh watakohudhurkatika baraza hilo kutokZanzibar kuwa ni pamoja nSheikh Farid, Azzan na SheikMsellem.

    Sheikh Ponda al isemMasheikh na viongozi wJumuia na Taasisi za Kiislamnchini nao watahudhuria Barazhilo ambalo amelitaja kuwlitakuwa ni la kihistoria.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    4/16

    4AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20Habari

    Leo Kisonge wamepatia Kweli kunguru hafugikiInatoka Uk. 3

    Bahati mbaya sana, kilalinalofanywa jambo ambalo sila Muungano likafanywa ni laMuungano, basi ni kudhalilisha

    upande wa Muungano ambao niwa Zanzibar.

    Mfano ushi r ik iano wakimataifa, halikuwa ni jambola Muungano kat ika hapawakaliongeza la Ushirikianowa kimataiafa, hilo limeingiakinyemela tu, kwa sababu hiyohata Rais wetu akienda Nairobihapo hawezi kutia hata sainikununua unga wa ngano, hawezimpaka ruhusa ipatikane Bara.

    Hoja za Vijana zisikilizwe

    Mambo haya ndio katikamatatizo ya Muungano. Lingineni kwamba Mzee ile siku ya Chai,aliwambia vijana wote wote walewaliokuwa YASU, kwa kuwa

    sisi hatutaki uhuru wa elimu baliuhuru wa kujitawala wenyewe,nyinyi ndio mtakaosoma.

    Tu m e p a t a Se r i k a l i y aM a p i n d u z i v i j a n a w e t utumewasomesha, wameelimikatunao wengi hapa, hata kazihatuna za kuwapa. Na haowaliokuwa ndani ya Serikalikwa kuwa wote wamesoma, sasaule mkataba ambao tulitia saini,ninao mie hapa, hii ni nakala yamkataba halisi uliotiwa saini, naKurume na Nyerere.

    Sasa vi jana wetu hawaw a l i o s o m a w a m e u s o m ahuu mkataba, leo wanakujawanamwambia Mzee Hassan

    Nas oro Moy o, wewe umetia

    saini Mkataba huu, mbona komahii hapa imewekwa mahali

    sipo? Mbona sentesi hii imekaasipo? Waniambia mimi Mzeewao ambao nilitia mimi sainimkataba, baada ya mika 48, nawameshaona mambo yoote yamatatizo ya hapa na pale tokeakuingia katika Muungano.

    Hawa vijana nimewafundishamimi wameelimika wanajuasasa wanaona makosa wanasematubadilishe, tubadilike hawasemihawataki Muungano hapana,wataukataa Muungano tu kamahauendi sawa sawa.

    Mzee Karume al isema,Muungano wetu sio sheria,Muungano wetu sio wa katiba,Muungano wetu sawa sawana Boti, maana yake nini,kwamba kuna siku boti linaweza

    kuteteleka hali alitoa mfano wanguo, kwamba Koti likikubanavua.

    CCM im e k u j a baada yaMuungano

    Sasa vija ndiyo lugha hiyowanayosema wanataka kuonaMuungano unaoendana nawakati wao, ugomvi uko wapi.Sasa ukisikia watu wanasematunakwenda kinyume na sera yaCCM, nataka nikuambieni kitukimoja sera ya CCM, imekuja

    baada ya Muungano wa vyamamwaka 1977.

    Huu ni Muunagano wa nchi,mimi nimezaliwa mwaka 1933,nimeikuta nchi tayari hapa

    sikukuta Muungano, sikukutaChama, sasa leo kwa nini

    tusizungumze Muungano.Kwa hiyo v i j ana hawa

    w a n a p o t a k a M u u n g a n oubadilike wanataka Muunganowa mkataba wana haki si ndowanafikiri hivyo, mtawazuiahata kusema wasiseme? Sera yaCCM, imekuja kuunga mkonouamuzi wa Serikali zao, leowanakuja kutaka kuligeuza tufatewanavyotaka wao, haiwezekani,hatuwezi kuchanganya mamboya Chama na nchi.

    Nchi ni mali yetu sisi wananchi,kwa hiyo tusichanganye mambohaya mawi l i kwa wakat immoja. Chama ni Chama,kinaweza kuondoka, sasa leotumeunganisha nchi mimi natakakuzungumzia nchi, unaniambia

    nakwenda kinyume na sera zaChama, ala.

    Mimi niwaombe viongoziwetu wa CCM watuachietuzungumzie nchi yetu, mimikama mtaniambia nakwendak i n y u m e n a s e r a , a h l a nwasahalan, mimi nipo katikamsimamo uleule, mimi nimkereketwa wa CCM safi kabisasiwezi kupinga Muungano hatamara moja lakini nasema bilakificho, bila kificho lazimaM u u n g a n o t u u b a d i l i s h e ,hatuwezi kwenda nao hivi, hiliwala silionei haya kwa sababuni haki yangu.

    Nilichotaka kusema ni hichokwamba tuzidi kuelewana

    kwamba tulikotoka ni huko natunakotaka kwenda tuwe na

    nchi nzuri tuwe na MuunganoMzuri kabisa na tuzungumzem a z u n g u m z o h a y a h u k umnakunywa soda, kahawa kamawazee wetu ndio walifanyahivyo, bila ugomvi, bila vitishondio walifika hapa.

    Na sisi weng ine ambao niwazee ambao akili zetu zinafanyakazi tunasema hivyo, kweliinafaa tukae kitako Muunganohuu tuuangalie isiwe tu huuinatosha, miaka 48, inatoshakukaa kitako na kuungalia.

    Muungano kwanzaKatiba ije baadaeMimi natofautiana kitu kimoja

    tu, huwezi ukafanya jambo lamwanzo ukalifanya kuwa la

    mwisho, nimefurahi kusikiaTume ya Warioba kwambaatapokea mambo ya Muungano,lakini kupokea haimo katikahadidu rejea.

    Kwa hiyo ni muhimu sanakwa Serikali yetu kuliona hilokwamba tusichuke jambo lamwisho kuliweka mwanzo.Karume na Nyerere kwanzawalizungumza Muungano,ndio likaja je Muungano huoutashughulikia mambo ganindiyo hayo 11, la pili hilo. JeeMuungano huo utashughulikaKatiba gani ya Tanganyika yamuda si la tatu hilo.

    Sasa tusichukue jambo latatu la mwisho tukalifanya

    la mwanzo, unatengenezKatiba unamtengenezea nanunatengenezea madogoli? Aunatengenezea Muungano, sastuzungumzie Muungano kwanztunataka Muungano gani, hii n

    haki yetu wala tusiogope, kwnini tuzungumze Katiba kabya Muungano.

    Mimi nafikiri mabadilikya Muungano hayana budk u f a n y i k a . P i l i n a s e mMuungano usiwe katika namnhii. Tatu Muungano bwantushauri uwe wa mkataba. Nnkila nchi iwe na vyake. Tankuwepo na mambo maalum ykushirikiana.

    Sita tusifungike, kwa mambambayo tunazungumza kwambtusizungumze mambo ya zamanSaba tukubali mabadiiko. Nanmawazo haya ambayo watwanayatoa ya kutaka mabadilikyasije kufasiliwa kuwa tunatakkuvunja Muungano, laa. Leng

    ni kuutengeneza Muunganambao utakidhi haja kwa nchzote mbili.

    Nane na Tisa, huko tulikotoktulikubaliana uzuri sana kwkucheka kwa furaha, sasnadhani tukizungumza swahili kwa kucheka na vigeregerkusiwe na ghadhabu tutafika.

    Baada ya hayo nashukurkwa kunisiki l iza, nadhannimejitahidi kukusaidieni kw

    jambo hili la Muungano, asantesana.

    (Mzee Hassan NassoMoyo-Mwandishi aliyetimazungumzo yake katikm a a n d i s h i n i B a k a rMwakangale)

    HUENDA 10 bora fekiwakawa wanapewa zawadina kupongezwa kila mwakaBungeni, kama uchunguzimakini hautafanyika Barazala Mitihani kama ambavyoWizara ya Elimu imeombwakufanya.

    Kupongezwa huku itakuwamambo ya kujidanganya kamahatujasafisha na kujiridhishakuwa NECTA ni chombo chakuaminika.

    Hayo ni maoni ya mmoja wawalimu baada ya kushuhudiahaf la ya kupewa zawadiwanafunzi 20 wanaodaiwakufanya vizuri zaidi katikamitihani ya kidato cha Sitamwaka jana.

    Hafla hiyo iliyofanyikaBungeni Dodoma Jumannewiki hii, ilikuwa Waziri Mkuualiyetoa zawadi huku Waziri waElimu na Mafunzo ya Ufundi,Mh. Shukuru Kawambwaakitanguliza sifa nyingi kwaKatibu Mtendaji, Baraza laMitihani Tanzania.

    Nchi hii ina mambo ya ajabusana, haijapata kupungukiwa namisamiati ya kupongezana nakusifiana, lakini mara yataibukakama yale ya TBS, TANESCO,ATCL, ambapo nchi hupotezamabilioni ya dola na kuendeleakuzama katika umasikini.Alisema mwalimu mmoja.

    Mwalimu huyo ambaye hatahivyo hakutaka kutajwa jina lakegazetini anasema kuwa ukiachayale yaliyoorodheshwa katika

    Kawambwa aficha maduduBaraza la Mitihani, NECTA

    Na Mwandishi Wetu

    barua rasmi ya Wakuu wa Shuleza Kiislamu na ukiacha yale

    yaliyotajwa katika risala yaWaislamu kwa Wizara, yeye anamifano hai ambapo wanafunziwaliotoka na ufaulu wa darajala kwanza kwa pointi chiniya 10, wamekuwa wakitupwakwa mbali hata na wenzaowalioingia kidato cha tano kwadivisheni 3.

    Mtu unajiuliza, huyu hiidivision 1 ya point 10 katikamitihani ya kidato cha 4aliipataje? Mbona hapa hatakatika 20 bora haingii tenawakati wengi katika wanafunziwenzake waliingia wakiwadivision 3?

    Anahoji mwalimu huyoakisisitiza kuwa ipo hajaBaraza la Mitihani kufanyiwa

    uchunguzi wa kina kujuaumakini wake.

    Hadi Wazir i Kawambaanapeleka majina ya watoto 20

    bora, bado alikuwa hajasemalolote juu ya kuunda Tumekuchunguza NECTA hasa baadaya kuchakachua matokeo yamitihani mwaka huu na baadhiya wakuu wa shule kutakauchunguzi ufanyike.

    Kwa maoni ya baadhi yawalimu, udhaifu na uchochoro

    wa kufanya udanganyifu katikaNEC TA ni ule uta rat ibu wa

    kuchukua makaratasi ya mitihanibaada ya kusahihishwa na kukaanayo muda mrefu huku ikiwa piahaijulikani kanuni inayotumiakatika kurekebisha viwangovya ufaulu na kutoa madarajamiongoni mwa masomo.

    Y a p o m a d a i k u w ainawezekana kuna baadhi yashule ni ada yao kusomeshamitihani katika utaratibu ambaomwanafunzi hajui na matokeoyake watoto hufaulu sana.

    Na ndio hao watoto ambaohuingia kidato cha tano nadivisheni 1, lakini wanatupwakwa mbali na walioingia nadivisheni 3.

    Kama si hivyo, unaielezajehali hii? Anahoji mwalimu

    mmoja ambaye shuleni kwakekuna mwanafunzi kama huyo.

    Inapotokea hivyo, yawezashule husika watoto wotewakapata A labda na B tu,katika hali hiyo Baraza huonalitazomewa na kuzua zogokwa hiyo hupandisha makisi zamadaraja, kwa hiyo katika shuleambapo watoto wamefanyamtihani bila lift, watafelisana na kiwango cha ufaulukwa ujumla itasemwa kuwa

    kimeshuka, lakini si kwelibali ni katika kuficha ufisadi.

    Amesema.Hoja inayotolewa ni kuwa

    pamoja na kuwa wasahihishajiwanafanya kazi yao vizuri,lakini kitendo cha maofisa wa

    NE CTA ku ka a na ma to ke opembeni kwa muda mrefu katikautaratibu ambao haujulikani,ndio unaotowa mwanya kwaBaraza kutoa matokeo kinyumena makisi zilizotolewa nawasahihishaji na kinyume nauwezo halisi wa mtahiniwa.

    Kwa upande mwingine, kamaambavyo imeoneshwa katikamadai ya Waislamu, NECTAimekosa sura ya kitaifa kwasababu toka imeanzishwa wakuuwa vitengo vyote muhimuwamekuwa ni Wakristo hali

    ambayo inaleta wasiwasi wakufanyika upendeleo.

    Wasiwasi unapata nguvuzaidi baada ya kufahamika kuwaKatibu Mtendaji wa Baraza hiloDr. Joyce Ndalichako, ameajirimchungaji wa kuangalia masilahiya wanafunzi wa Kikristo, lakiniamegoma kuajiri Mratibu waSomo la Maarifa ya Uislamu naLugha ya Kiarabu.

    Hadi Wazi r i Kawambaanasimama Bungeni na kumsifu

    Katibu Mtendaji huyo, badilikuwa haijajulikana nikilitokea hata Baraza hilo likatomatokeo yasiyo ya kweli kwwanafunzi waliofanya somo Islamic Knowledge.

    Ile kugundulika tu kwambumetoa matokeo ya uwonghalafu ukalazimika kubadili, kashfa kubwa kwa Baraza, lakikwa NECTA yetu hii kashinazidi kuwa kubwa na ya utazaidi kwa sababu hata haymarekebisho waliyotoa wakadni sahihi, bado sio sahihi.

    Waswahili wana msemo wakwamba kwa mtu muungwannguo ikimvuka huchutama, lakikwa NECTA ndio kwanza wawanapongezana Bungeni!

    Hii ndiyo Bongo, haishangakwa nini pamoja na rasilimazote tulizo nazo, nchi masikiwala hatuoni aibu. Amesemmwalimu huyo kwa hisia kali

    DKT. Shukuru Kawambwa

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    5/16

    5AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 201Makala

    SERIKALI ya nchi yetuimeshawahi kufanya sensayapata mara sita marambili wakati wa Serikali yaKikoloni mwaka 1948 na1957 na mara nne wakati waTanzania huru mwaka 1967,1978, 1988 na 2002. Sensailiyofanywa na Wakoloni yamwaka 1957 kipengele chaDini kilikuwepo ambapo

    W a i s l a m u w a l i k u w aaslimia 58, Wakristo 32%na Wapagani 10% yaaniwastani wa kila watu 3 basiWaislamu ni 2 na Wakristoni mmoja.

    Sensa ya kwanza kufanywana Tanzania huru ni ile yamwaka 1967 ambayo iliwekakipengele cha Dini lakini laajabu mara baada ya zoezihilo, haikutajwa mara mojaidadi ya watu kwa mujibuwa dini zao, lakini miakaya baadae Idara ya Taifa yaTakwimu ndio ikatoa idadiya watu kwa mujibu wa dinizao na wakatangaza kwamba

    Wakristo ni asilimia 33.5, naWaislamu asilimia 31.4 naWapagani asilimia 34.3.

    Hii imedhihirisha wazikwamba takwimu hizi siz a k we l i n a z i t a k u wazimechakachuliwa hasaukizingatia kwamba eti idadiya Wapagani imeongezekatoka asilimia 10 zama zaMkoloni hadi kufikia asilimia34 zama za uhuru na Wakristokuonekana wengi kulikoWaislamu.

    Ajabu idadi ya Wapaganiimeongezeka kwa kipindi chamiaka kumi tu, hii inaonyeshawatu wengi wameacha dinizao na kuwa Wapagani na si

    rahisi kuamini hilo.

    W a j i b u w a k u w a t i iviongozi

    Uislamu umeagizishiausikivu kwa watawala wetuendapo wametuamrisha yaliyomema yanayomridhisha Allah{SWT}.

    Amesema Allah {SWT}Enyi mlioamini MtiiniAllah na mtiini Mtume nawale waliopewa amri katikanyinyi. {Anisaa aya 59}.

    Ni ka t ika se hemu yaibada kwetu Waislamukuwati i v iongozi wetu

    lakini kwa shart i amrihizo zimemridhisha Allah{SWT} endapo viongoziwata tuamrisha maaas i ,hatutakiwi kutii amri hizokama alivyosema Mtume{REHEMA NA AMANIZIMSHUKIE}:~

    Hakuna kumtii kiumbekatika kumuasi alieumba.I m e p o k e w a n a I m a mBukhari.

    M a f u n z o h a y ay a n a p i n g a n a n a y a l eyaliyomo ndani ya Katibaya Jamhuri ya Muunganowa Tanzania ambayo asili

    Sensa Tanzania Agosti 2012yake yaliandaliwa na wasioWaislamu kama yalivyokujakatika kifungu cha 26 {i} chaKatiba ambayo inajulikanakama sheria mama ya nchi.Kifungo hicho kinasema:

    Kila mtu anawajibu wakufuata na kutii katiba hiina sheria za Jamhuri yaMuungano.

    Sisi Waislamu wa Tanzaniatukiwa sehemu ya raia wa nchihii tumelazimishwa kufuata

    na kutii Katiba na sheria zanchi bila ya masharti hatakama sheria hizo zinakhalifusheria za Allah {SWT}.

    Kwa mfano sheria ya ndoaya mwaka 1971 kifungunamba 160 kinasema:

    M w a n a u m e n aM w a n a m k e w a k i i s h ik w a m u d a w a m i a k amiwili mfululizo huwezakuchukuliwa ni mke na mumembele ya sheria japo kuwahawakuwahi kufunga ndoa.

    H i i k w a m t a z a m owa Uis lamu n i sher ia

    inayohalalisha uzinifu, kwasababu ndoa katika Uislamuhaiwi halali mpaka kupatikaneyafuatayo: Walii, mahari,Aqdi {mkataba wa ndoa}na mashahidi wawili. Ndoailiyotajwa katika sheria yanchi si ndoa ni uzinifu naamesema Allah {SWT}

    Msiikaribie zinaa hakikahiyo {zinaa} ni uchafu na njiambaya. {Surat ul Al Israaaya 32}.

    T u k i a n g a l i a k a t i k aUislamu tunaona Mtume{REHEMA NA AMANIZIMSHUKIE} ameamrisha

    kuchukua idadi ya Waislamu.Imepokewa kutoka kwaSwahaba Hudheifa {R.A}amesema: Tulikuwa pamojana Mtume {REHEMA NAAMANI ZIMSHUKIE}

    akasema: Nihesab ien i(na katika mapokezi yaBukhari) {niandikieni}ni wangapi waliotamkaUislamu tukasema: EweMtume wa Mwenyezi Munguunatuogopea {tusipatwe naadha} sisi ni baina ya watu

    mia sita hadi mia saba.Akasema:~ Hakika nyinyihamjui huenda mkapewam t i h a n i . { A k a s e m aHudheifa} Tukapata mtihanimpaka katika sisi ikawa mtuhawezi kuswali isipokuwakisirisiri.

    Imepokewa na ImamuMuslim katika KitaabulImaan mlango wa kusirishaimani kwa alie mwoga. Naamepokea Bukhari kutokaKitaabul Jihaad Mlango waKiongozi kuandikisha idadiya watu.

    Mwanachuoni wa zamazetu Sheikh Nassirudin AlAl Bany katika kushereheshahadithi hii amesema: Nahadithi hii ndio asili ya kilakinachojulikana leo kuhesabuidadi ya watu {na kujua idadiya Waislam}. {MuhtasarSahihi Muslim uk. 24}

    Na katika zama za Khalifawa pili Omar Bin Al Khatabwanasimulia wanachuoni wahistoria Bin Jariri Al Twabarikatika kitabu chake TarekhAttwabary na MwanachuoniIbn Althiir katika kitabuchake Akl Kaamil i f iy

    Attariikh kwamba KhalifaOmar zama zake alianzishazoezi la kuwahesabu watuwaliokuwa chini ya Dolaya Kiislamu kwa lengo la lakuwagaia zakah na ngawira

    zinazopatikana katika vita.Hivyo hivyo Makhalifa

    wal ioku ja baada yakewaliendeleza zoezi hili nakuwahesabu hata wasiokuwaWaislamu i l i kudhibi t iidadi yao kwa mpango wa

    maendeleo. Kutokana nakauli hizi, hii inaonyeshawazi kuhesabu idadi ya watuni sehemu ya mafunzo ya diniyetu na kuhesabiwa idadi yaWaislamu ni jambo la wajibukwetu sote. Isitoshe Katibaya Jamhuri ya Muungano waTanzania ambayo ndio sheriamama ya nchi ibara ya 18{i} na {ii} inatambua hakiya wananchi kutoa na kupatahabari.

    18 {i} Bila ya kuathirisheria za nchi kila mtu yukohuru kuwa na maoni na kutoa

    nje mawazo yake, na kutafuta,kupokea na kutoa habarina dhana zozote kupitiachombo chochote bila yakujali mipaka ya nchi, na piaana uhuru wa mawasilianoyake kutoingiliwa,

    {ii} Kila raia anayo haki yakupewa taarifa wakati wotekuhusu matukio mbali mbalinchini na duniani kote ambayoni muhimu kwa maisha nashughuli za wananchi ina piajuu ya masuala muhimu kwajamii.

    Ni jambo la kusiki tishakusikia kwamba Serikali

    katika zoezi hili imeondoswali dodosa la kuuuliza mtdini yake kwa madai kwambswali hili halina maana nlitasababisha kuwagawWatanzania kwa misingya udini, hatimae uvunjifwa amani kwani lengo lSerikali kuweka mipangya maendeleo bila ya kujadini au kabila ya mtu. Lakin

    la kushangaza Serikali hiyhiyo imetaka kujua idadi ymakanisa na misikiti iliyopnchini. {Angalia gazeti lAn nuur la tarehe 06 Jula2012}. Kuna mantiki ganS e r i k a l i i n a y o j i g a m bkwamba haina dini ihesabidadi ya misikiti na makanisna ikatae kuhesabu idadi ywenye makanisa na misikitBaada ya kusikia hoja hiSerikali imeondoa kipengehiki sababu?

    Kwa kweli msimamhuu umeleta utata na hisinyingi kwa Watanzania hasWaislamu kama ifuatavy: Mfumokristo unaendele

    kufanya kazi yake wenykukusudia kuficha idadhalisi ya Waislamu ukiangaltakwimu za nyuma zotzimeashiria kwamba idadya Waislam ni wengi.

    Kuna takwimu zinatolewna vyombo vya habarvya Serikal i k .v . TBzilizoonyesha kwamba idadya Wakristo ni kubwa kulikWaislamu na taasisi nyinginzisizo kuwa za Kiislamzikieneza propaganda hizkwa malengo ya kupotoshulimwengu ili kuhalalishdhulma wanazofanyiwWaislamu kwa madai kwamb

    wao ni wachache kulikWakristo. Cha kusikitishsana ni kuona baadhi yMasheikh nchi hii wamekuwna msimamo wa kuungmkono Serikali na Kanisa kwmadai kwamba kipengele chkuulizwa dini ya mtu hakinfaida yoyote.

    Athari za kuondolewa Dinsensa 1967

    B a a d a y a S e r i k a lkuondoa kipengele senszilizopita, hivyo kushindwk u t o a t a k wi m u s a h i hzinazoonyesha idadi haliya Waislamu, Wakristo nWapagani katika nchi hihivi sasa kila mtu anaibukna takwimu zake. Shirika Utangazaji la Serikali la Taif{TBC} kupitia televishenyake ya taifa TBC1 siku ysherehe ya Muungano 2April 2012 ilitangaza kwambidadi ya Waislamu nchinni asilimia 32, Wakristo nasilimia 52 na Wapaganni asilimia16. Takwimhizi zinamaanisha kwambWaislamu wanazidiwa nWakristo kwa tofauti y

    Inaendelea Uk.

    MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Idd Seif akikabidhi zawadi kwa mmoja wa washindi wakuhifadhi Qur'an katika mashindano ya kusoma na kuhifadhi Qur'an yaliyofanyika katika Chuo

    cha Al-Haramain jijini Dar es Salaam wiki iliyopita.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    6/16

    6AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20Makala/Matangazo

    HUENDA kwa uwezo waAllah S.W ikafikia yalem a n e n o n a a h a d i y aWaislamu kumi kuwashindamakafiri mia Inshaallah.Tumejihis i kufungukamasikio yetu sisi Waislamu

    wa Sumbawanga Manispaa.Jambo hili linatufanyatumshukuru MwenyeziMungu mlezi wa viumbevyote, kwa kutuwekana kutuelekeza katikamtazamo wa kuyapendamaslahi ya dini yetu Islamu.Haya yamejitokeza palea m b a p o I ju m a a ta tuzimetumika vilivyo nakuonyesha muelekeo halisikwa waumini wakazi waManispaa ya Sumbawangana vitongoji vyake.

    Siku nyingi maeneo yetuUislamu wake umekuwa niwa kuonekana katika swalaza Ijumaa, Idd na Maulidindipo utaona kidogo watuhu jad i l i ana mambo yadini yao. Sehemu kubwatumegubikwa na mijadala yaWakristo, Vyama vya siasa namfumo kwa sana. Lakini njoouione Sumbawanga hivi sasautashangaa.

    Ilikuwa baada ya seminailiyoendeshwa na SheikhP o n d a I s s a M a i m a m uwa Misiki t i ya Ijumaawalikubaliana kuwa siku yaIjumaa ya tarehe 20/07/2012watoe tamko la kuwasisitizawaumini wao kutoshirikisensa hadi pale kipengelecha dini kitakapowekwa

    katika dodoso la karatasi yakuhesabia sensa hiyo.

    Al hamdulillah zoezi hilolilifanikiwa kwa asilimia100% kwani maimamu wotewa misikiti ya Jadida (ImaamMajaliwa Busazi), MasjidQiblatain (Imaam RajabJumanne), Masjid Salama(Imaam Abdallah Tawfiiq),Masjid Rawdha (ImaamQassim Juma) walitimiza

    Kumekucha SumbawangaNa Yusuf Kambale

    matamko yao katika misikitiyao.

    Mji mzima ulisimulia.Alikuwa Sheikh wa Mkoa

    Sheikh Rashid Akilimalialiyefungua kongamanolililohutubiwa na SheikhPonda ambapo alitoa manenomazito. Kwa ujumla Sheikhwa Mkoa alisimama katikamsimamo wa Waislamu juuya masuala ya katiba nasensa.

    Ukizingatia huyu ndiyeSheikh wetu wa mkoaambaye hapo awali mweziwa tano alikuja na taarifa zakikao walichokaa Waislamu,Wakristo na serikali kuhusuTanzania na mchakato wakatiba mpya kule Dar esSalaam, akituhakikishia kuwawameikanyaga serikali nakuwakemea mapadri hasa yuleMathedius Kilaini kwa yeye

    kuwa msemaji wa serikalidhidi ya madai ya Waislamu.Pia huyu ndiye Sheikh wetuwa mkoa ambaye ilipotolewaidadi ya Watanzania kwa dinizoa na chombo cha serikaliTBC, alisema kwa nguvu zoteakitumia msikiti mkuu waIjumaa wa Qiblatain kulaanitaarifa ile. Pia alipopata gazetila An nuur toleo lililofuataakawa mkali zaidi.

    Kimsingi Sheikh alionyesha

    umma na wanaomfuata kuwaanatufaa pale alipokwendaOfisi ya Mkuu wa Mkoaakilalamika juu ya taarifaya TBC kuonyesha sensa

    Ponda aliwatoa wasiwasi nkuwahakikishia Waislamkuwa hakuna sheria kamhiyo.

    Hivyo Muislamu anatakiwatambue kuwa vyombo vinvya habari hutumikia kanikwa maana hiyo kutoa kitishhicho kulipelekea baadhya Waislamu kuogopa n

    pale walipoondoshewa uogwakatamka wazi kuwa hisiyo enzi za zidumu fiksahihi za Mwenyekiti wchama fikra za kidhalimu zkuwanyanganya Waislammali zao halafu kuwatkizuizini na baada ya mienane ndiyo inatungwa sherya kuwashitaki.

    Udikteta huu atauvumilnani! Huu ni wakati wukombozi. Ijumaa iliyofua2 7 / 0 7 / 2 0 1 2 m a i m a mwalikuwa wameletewa baruza kuitwa kwa Mkuu wWilaya wafike saa nne asubuhMaimamu wakajadilian

    kuwa hawatokwenda kwahuku ni kudharauliwa kwnini atuite saa nne Ijumawakati huo sisi ndiyo mudwa kuanza maandalizi yswala ya Ijumaa. Ameshindwh a t a k u h e s h i m u h i l oAma kweli mfumokristumezid i . Na maimamwalionyesha msimamo kwkutokuhudhuria.

    Katika khutbah ya Ijumakatika Msikiti wa Qiblatakhatib alikuwa kijana SwaleYassin ambapo alisisitizviongozi kuwa na msimamwasiogope. Pia alishutum

    wale viongozi wanaopewvyeo na pesa ili kuungamizummah kuwa ni wasalitAkasisitiza Waislamu mahii tusikubali kurubuniwa.

    ya Watanzania kwa dini zaoWakristo 52% na Waislamu32% akihoji imetoka wapi?Mkuu wa mkoa alimpozana kumwambia tutafuatilia.B a a d a y a m u d a T B Cwaliomba msamaha. Huyundie Sheikh na mwanakamatikatika kamati yetu ya mkoaya kuratibu maoni ya katibakwa Waislamu.

    Sasa uone serikali nautawala wake kwa maslahi

    ya kanisa ndani ya sikuhizo kulikuwa kumetolewataarifa na vyombo vya habarikuwa atakaegomea sensaje la . Ja mb o hi li sh ei kh

    Inawatangazia Waislamu wote kuwa imeandaa safari ya Hijja na Umra mwaka 2012 kwdola (US) $ 3375 tu.Mambo yatakayogharamiwa.Semina za Hijja, Huduma za Afya, Airport charge na Tiketi za ndege, Nyumba za kulala Makkna Madina, Ihram na Kuchinja kwa ajili ya Tamaa-tuu, Chakula wakati wote, Usafiri na ziarMakka na Madina, Mahema Mina na Arafa. KUHIJIWA ni DOLA US$ 1450.Fomu zinapatikana.

    1 Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam- Magomeni Mtaa wa Dosi na MkadiniNyumba namba 26 Mkabala na Show Room ya Magari Tel: 0713 730 444 au0773 804101 au 0785 930 444 au 0773 930 444.

    2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar RahaLeo Tel: 0777 484982, 0777 413987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar Es salaam Tel: 0784 453838.4. Abdallah Salehe Mazrui ( Hoko) Dar es salaam Tell. 0715 72 4444.5. Salim Is-haq Dar es Salaam Tell: 0754 286010, 0774 786101.6. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Wete Pemba Tel: 0777 482665.7. Sheikh Daudi Khamis Sheha Tel: 07776 79692.8. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar Tel: 0777 417736.

    Wahi mapema kulipia ili ushughulikiwe mapema, kama utalipia kwa Account N048101000030 NBC piga simu kwanza 0774 412975.Kumbuka kikundi cha Ahlul Daawa ni cha Bei nafuu zaidi na huduma zake ni bora zaidi yvikundi vingine.

    Ahlul Daawa Hajj and Travel Agency

    Tangazo

    Ungana na UWASAKITAkatika huduma za jamii, toamchango kwa kutuma nenoUWASAKITA kwenda Namba15533 Tigo na Zantel.

    Kwa maelezo zaidi piga simunamba 0715 125455

    BAADHI ya washirikji wa mashindano ya kuhifadhi Qur'an yaliyofanyikaKigamboni Jijini Dar es Salaam wiki iliyopita.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    7/16

    7AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 201Makala

    NI jambo la kusikitishakwamba Masheikh ambaowalitarajiwa kusaidiakatika kusimamisha haki,sasa wanakuwa wa mwanzokatika kuipindisha.

    Hawa ndio viongozi wadini ambao walitarajiwakuwasaidia hata viongozi wakisiasa pale wanapokwendakombo warejee katika haki nainsafu ili nchi itengamae.

    Quran inasema, Enyimlioamini! Kuweni wenyekusimamia uadilifu, mtoaou s h a h i d i k wa a j i l i y aMwenyezi Mungu, ijapokuwani juu ya nafsi zenu, au(juu ya) wazazi wenu najamaa (zenu). Akiwa taj iriau masikini (au mfalme),(wewe usitizame). MwenyeziMungu anawastahikia zaidi(kuliko wewe). Basi msifuatematamanio mkaacha kufanyauadilifu. Na kama mkipotoa(shahada) au mkajitenga

    (na kushuhudia, MwenyeziM u n g u a t a k u t e s e n i ) ,n a M w e n y e z i M u n g uanazo khabar i za yo temnayoyatenda.

    Sheikh Abdullah Saleh AlFarsy katika kufafanua ayahii anasema kuwa hapanacha kuleta raha kubwa namasikizano duniani kamaInsafu-yaani kutimizianahaki.

    Kwa hiyo katika aya hiiinahimizwa kweli kwelikusimamia haki vilivyojapokuwa kusimamia hukokutawadhuru (watu) wakon a k u t a k u d h u ru we we

    mwenyewe nafsi yako. Isaidiehaki itande, itapakae kilamahali.

    Pengine hapa niul izeswali, serikali ilipokuwainaweka taratibu za kuchukuakodi za Watanzania kimyakimya, kinyemela bila yakuwaarifu Waislamu watoakodi, nakuwapa Wakristokuanzisha na kuendeshashule na vyuo mbalimbalivya elimu, ilikuwa ikizingatianini? Utanzania au Ukristo?Na aliyekuwa Katibu Mkuuwa Baraza la MaaskofuTanzania (TEC), FatherRobinson aliwahi kusemakuwa kufikia mwaka 1965,shule za seminari za Kikristozilikuwa total dependent onState aid for administration.Na akaongeza akisema, ifthis aid were withdrawn , thechurch would be forced toclose its schools.

    Kwamba, lau serikaliingesitisha ruzuku hii, basikanisa lingelazimika kufungashule zake.

    Rais wetu MheshimwaJakaya Mrisho Kikweteanatuambia kwamba serikalihaipangi mambo yake kwakutizama dini za watu, kaulihiyo inasemwa na kukaziwa

    Masheikh Bakwata wamtosa KikweteNa Omar Msangi

    na Waziri Mkuu MheshimiwaMizengo Kayanza PeterPinda. Swali hapa ni je,kat ika kuweka mpangohuu wa maendeleo katikaelimu ambao serikali kwabusara zake iliona ikusanyekodi kutoka kwa Waislamu,Wakristo, Wahindu, Banianina watambika mizimu namakomunisti, lakini bilakutangaza hadharani ichukepesa hizo na kuwapa Wakristopekee kuanzisha shu le navyuo, i l i kuwaimarishaWakristo, ilizingatia jambogani kama sio dini?

    K a t i b u M k u u w aWakatoliki anasema kuwalau serikali ingesimamishamsaada wake kwa kanisawa kuendesha shule zake,Kanisa lingelazimika kufungashule zake; leo serikaliinaposimama hadharani nakulipongeza Kanisa, eti,kwa kuisaidia serikali katikakutoa elimu, inamdanganyanani? Waislamu? Je, ni katikakuwadanganya Waislamuili wasihoji mtindo huuwa kibaguzi, dhulma naupendeleo wa kidini?

    Tukiacha taarifa hiyo yamiaka ya 1960s, na ya Padiri,

    juzi hapa Rais Kikwete akiwakatika hafla ya Wakristokasema mwenyewe tena kwakinywa kipana hadharanikwamba kawapa Wakristomabilioni ya shilingi alizotoakutoka Hazina ya Taifa. Kamahoja haikuwa kuzingatia dini,mbona Waislamu hakuwapa?Mbona akiletewa mambo yaWaislamu huishia tu kutoakejeli hata yale ambayo yapowazi kabisa kama lile laMahkama ya Kadhi na OIC?

    Tunaweza kusema kuwaWazi r i Mkuu anawezakusameheka kwa sababu

    a n a m a s i l a h i b i n a f s ikama Mkristo, japo hiyohaimuondolei dhamana nauwajibikaji wa kisiasa, lakinikwa kuzingatia ile ahadi yaMwalimu Nyerere kwambaanakusudia kulipa KanisaKatoliki A Better Chance,t u n a w e z a k u m u e l e w aakingangania kukwepaukweli au kutoa ushahidiusio wa kweli juu ya sualala upendeleo wa kidini hapanchini. Lakini pia kwa vileyake ni Biblia, haitakuwasahihi kumrejesha katikaaya niliyoinukuu hapo juu

    kwamba atoe ushahidi wakweli hata kama Kanisa naWakatoliki watakosa masilahiwanayopata hivi sasa.

    Ambacho kilitarajiwani kuwa angalau masheikhwetu wangemkumbushaMheshimiwa Rais juu yakanuni hii ya Quran yakusimama katika haki. Nakama alivyosema SheikhAbdullah Farsy, Insaf ndiyoinayojenga nchi. Bali dhulmana ubaguzi hubomoa. Raiswetu ni mwanasiasa. Natofauti na Mzee wetu AlliHassan Mwinyi, inawezekanahuko nyuma hakubahatika

    kuisoma na kuijua vyemaQurna. Lakini anaipendaDini yake, ndio maanatupo pamoja naye katikaFunga na ibada mbalimbali.Cha kusikitisha ni kuwabadala ya Mashei kh wetuhawa kumkumbusha kamawanavyotuhimiza kila sikukwa kusema, Fadhakkir..,wanaendeleza propagandakinyume na ukweli.

    Labda niwaulize Masheikhwangu hawa, nini kilipelekeaMwalimu Nyerere kuvunjaEast Africa Muslim WelfareSociety na kuacha taasisiza Kikristo za kikanda na

    kimataifa kama si kuangaliad in i? Nin i k i l imfanyaMwalimu Nyerere kutoaamri ya kupigwa marufuku nakufungwa seminari za kwanzaza Kiislamu, Kinondonina Jumuiya Tanga, hukuakiacha mamia ya seminariza Kikristo! Masheikh ambaohawajui kisa cha Kinondonina Jumuiya Tanga, bahatinzuri Mzee wetu AlhajAboud Jumbe bado yupohai, wakamuulize. Bahatimbaya mwenzake MzeeKawawa ambaye kwa pamojawalipewa amri na Nyerere

    kuhakikisha kuwa shule hizozinafungwa amefariki! Kamasiasa za nchi hii hazitizamidini, mbona amri kama hiyohaikutolewa kufunga seminariza Kikristo?

    Leo zipo hoja zinatolewakuwa Waislamu hawapewim a d a ra k a k wa s a b a b uhawakusoma na bahati mbayabaadh i ya mas hei kh wetuwanadiriki kusema manenokama haya. Lakini kama nikutokusoma, basi mazingirayenyewe ni haya ya mtotokunyimwa maji na sabunihalafu analaumiwa kwauchafu.

    Hata hivyo kwa upandemwingine, hao wanaodaiwakusoma wenyewe kina nani?Wameisaidia nini nchi hii?Kutuletea Wazee wa Vijisenti,kashfa ya rada, kashfa zaTBS kufungua ofisi hewaHongkong na kulipa mamiliniya dola; TANESCO kununuamasanduku ya misumari nakudai ni vipuri vya mabilioni,kununua nguzo Njombe nakudai zimetoka nje ya nchi namikataba mibovu ya madiniya kuifilisi nchi?

    Leo kila mtu analalamikajuu ya gharama za umemek wa m b a k i l a k u k i c h a

    zinazidi kupanda. Wenyewwaliosoma wanasemwanamkamua mlaji kwsababu gharama za uendeshazipo juu. Gharama zenyewndio hizo za kununua sandukla misumari kwa mabilioni yshilingi wakidai ni vipurGharama zenyewe ndihizo za ATCL kukodi ndegmbovu na kuishia kulipmabilioni ya dola ambayyangewezesha nchi kununundege zake mbili mpyGharama zenyewe ndihizo za kununua nguzo zumeme Mufindi zikapelekwMombasa na kisha kurejeshwDar es Salaam ikidaiwa kuwzimetoka Afrika Kusini!

    M w e n y e z i M u n gamesema katika QuranNa kwa sababu ya kufurzao na kumsingizia kwaMaryamu uwongo mkubwaNa kwa (ajil i ya) kusemkwao: Sisi tumemuuwM a s i h i I s s a , m w a nwa Maryamu Mtume w

    Mungu, hali hawakumuuwwa l a h a wa k u m s u l u b ubali walibabaishiwa (mtmwingine wakamdhanNabii Issa). Na kwa hakikwale waliokhitalifiana katik(hakika) hiyo wamo katikshaka nalo. Wao (kabisahawana yakini juu ya (jambohili isipokuwa wanafuadhana tu. Na kwa yakinhawakumuuwa. (4:156157).

    Katika Aya nyinginQuran inasema: Enyi wawa Kitabu! Msipindukmipaka katika dini yenu, wamsiseme juu ya Mwenye

    Mungu ila yaliyo kwelMasih Issa bin Maryamni Mtume wa MwenyeMungu na (n i k iumbaliyeumbwa kwa ) tamklake (tu Mwenyezi Mungualilompelekea MaryamNa ni roho itokayo kwakBasi mwaminini MwenyeMungu na Mitume yake, wamsiseme watatu. Jizuiye(na itikadi hiyo) itakuwa bokwenu. Bila shaka MwenyeMungu ni Mungu mmoja tNa ni mbali na utakatifu wakkuwa ana mwana. Ni vyak(vyote) vilivyomo mbinguna vilivyomo ardhini, nMwenyezi Mungu ni mlinwa kutosha. (4:171)

    Kisha inasema tena QuraKwa yakini wamekwishkufuru wale waliosemMwenyezi Mungu ni Masibin Maryamu. Sema: Nnani atakayemiliki (kuzuilicho chote mbele ya MwenyeMungu kama yeye angetakkumuangamiza Masihi mtowa Maryamu, na mama yakna vyote vilivyomo katikardhi? Na ufalme wa mbingna ardhi na vilivyomo kayake ni wa Mwenyezi Mung(tu peke yake). Huumb

    Inaendelea Uk. 1

    MUFT Issa Shaaban Simba (kushoto) akisalimiana na Rais Jakaya Kikwete.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    8/16

    8AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20Makala

    ZAIDI ya Waislamu 28,000wameuliwa na askari waserikali ya Burma hivikaribuni.

    Na kutokana na kilio chaWaislamu hao kuangukias i k i o l a u z i w i , u p o funa ububu wa Jumuiya yakimataifa ikiwemo, Umojawa Mataifa (UN), mauwajihayo yanaendelea yakitishia

    kuwatekeza kabisa Waislamukatika nchi hiyo.

    Where in the hell are youinternational community?!!More than 20,000 Muslimsare killed this month in Burma(Myanmar) by police, armyand Buddhist extremists. Nowwhere is UN????

    Imesema taarifa mojaikifahamisha juu ya mauwajihayo.

    Taarifa hiyo ikibebwan a k i c h wa c h a h a b a r ikinachosema:

    Muslims Massacre andInhumane Burma Governmentand Color blind media!!??,

    inafahamisha kuwa kwamuda mrefu sasa Waislamuwa Burma hasa katika mkoawa Myanmar , ambapondipo walipo kwa wingi,wamekuwa wakiishi katikamateso makubwa ikiwemokuchomwa moto wakiwahai, kubomolewa Misikitina nyumba zao, wanawakekubakwa na kuuliwa bila yasababu.

    Na kwamba mauwaji hayohufanywa na serikali ambayoimedhamiria kuwateketezakabisa Waislamu katika nchihiyo ambayo dini kuu niBuddha.

    Pamoja na serikali, yapo piamakundi ya kidini ya Buddhaya kigaidi yenye silaha,ambayo nayo yamekuwayakiuwa Waislamu na kwahakika yakihamasishwa naserikali.

    Burma ina idadi ya watukiasi milioni 75, Waislamuwakiwa pungufu kidogokufika milioni moja.

    T a k w i m u n y i n g izinaonyesha kuwa Waislamuwapo kat i ya laki sabana milioni (700,000 na1,000,000) na kwambawamekuwa katika matesohaya toka mwaka 1962 jeshililipochukua madaraka.

    Mara kadhaa serikali yaBurma imedaiwa kutangazakuwa nchi yoyote inayotakaije iwachukue Waislamumaana hawahitajiki katikanchi hiyo.

    Whole of West and theirhypocrite United Nations isSilent on Massacre of MuslimsBurma. (Yes) They are silent.But, why are you Si lent?If you betray or forsake aMuslim who is in need today,be assured that Allah willforsake you tomorrow.

    Kinasema na kuho j ikipengele kimoja katika

    Mauwaji ya kinyamataarifa tuliyoinukuu hapjuu.

    Ufupi wa maneno kinasemkuwa pamoja na mauwahayo ya kutisha, pamoja nkujinadi kuwa ni watetewa haki za binadamu, lakikatika suala hili la mauwaya kikatili dhidi ya WaislamMarekani, Ulaya na Umojwa Mataifa, wameridhish

    unafiki wao.Lakini pamoja na hay

    taarifa inatupa pia lawamkwa Waislamu.

    Inasema, kama Ulaywapo kimya, kama UN wapkimya, mbona hata na wewMuislamu upo kimya? Kwnini unawasaliti Waislamwenzako wa Burma.

    Na kisha inatoa tahadhana onyo ikisema, kamutawasaliti Waislamu, kamutasaliti umma wa Kiislamkama utawasahau Waislambasi kuwa na uhakika kwambAllah atakusahau hiyo keshAkhera.

    Katika kuonyesha jinambavyo itakuwa ni hatakwa Waislamu kusubiutetezi wa Marekani, Ulayna inayoitwa Umoja wMataifa au Jumuiya na Taasiza Kitaifa na Kimataifa zkutetea haki za binadamutaarifa imeonyesha kuwa haanayetajwa kuwa mpiganiahaki mkuu wa Burma, DalLama, katika suala hili mauwaji dhidi ya Waislamamepiga kimya!

    Our prime purpose in thlife is to help others. And you cant help them, at leadont hurl them.

    Taarifa imenukuu kaumashuhuri ya Dalai Lamakikariri dhamira yake kuwni kusaidia watu.

    Hata hivyo, katika suahili la Waislamu, kiongohuyo wa Mabuddha kawbubu.

    Katika hali ya tabu kama hinayowakabili, Waislamu wBurma wamekuwa wakijaribkukimbilia nchi jirani yBangladesh. Lakini nakhuko ni wachache wanapenyWengi hurejeshwa.

    Katika miaka ya hivkaribuni, zaidi ya vijiji 500 vyWaislamu vimeangamizwkabisa kwa kuchomwa mo

    ambapo wamehiliki maelya Waislamu.

    Kwa hakika ni hali ambaylau watu hawa wasingekuwWaislamu, tayari mauwahayo yangekwishapewhadhi ya mauwaji ykuangamiza (genocide).

    K e l e l e z i n g e k u wzinasikika ndani ya Umoja wMataifa, na si ajabu hivi sakungekuwa kumepelekwjeshi la Umoja wa Mataifa u s e r i k a l i i n g e k u wimeshawekewa vikwazo.

    Lakini hilo halitarajiwkufanyikwa. Wanaouliwa Waislamu!

    PICHA JUU: Baadhi ya maiti za Waislamu waliouawa na serikali ya Burma. ChiniWanawake wakilia baada ya kuuliwa kwa ndugu zao.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    9/16

    9AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 201Makala

    Inatoka Uk. 5

    Sensa Tanzania Agosti 2012asilimia 20.Kanisa Katoliki nchini kwaupande wake katika tovutiyake ya www.rc,net, wanadaik wa m b a m wa k a 2 0 0 8Wakristo walikuwa asilimia44, Waislamu asilimia 34 naWapagani asilimia 22. Hiiinaonyesha kwamba Wakristo

    wamewazidi Waislamu kwatofauti ya asilimia 10.

    Bodi ya taifa ya Utalii{TTB} katika tovuti yake yawww. Tanzaniatourismboard.com/about /Tanzania /religion,mpaka tarehe 20 Juni, 2012ilikuwa inaonyesha Wakristoni kati ya asilimia 40 hadi45, Waislamu kati ya asilimia35 hadi 40 na waliosaliani Wapagani. Lengo lakuwaonyesha Watalii idadihii ni kuwapa picha Wataliiambao wengi wanaokujakatika nchi hii ni Wazunguambao ni Wakristo, kwambanchi hii ni ya ndugu zao, hivyo

    wafanye watakavyo. {Taarifahii baada ya Waislamukulalamika, imeondolewakwenye tovuti hiyo ili kufichaukweli}.

    Wizara ya Mambo ya Nchiza nje ya Marekani kwenyetovuti yake www.state.gov inasema mwaka 2011Wakristo Tanzania walikuwaasi l imia 62, Waislamuasilimia 34 na Wapaganiasilimia 4 yaani Wakristowamewazidi Waislamu kwaasilimia 28. Nalo Shirika laKijasusi la Marekani {CIA}kwenye tovuti yake www.cia.gov linadai kwamba mwaka

    2005 Waislamu nchiniTanzania walikuwa asilimia52, Wakristo asilimia 38,na Wapagani asilimia 10.Mwaka 2012 CIA linadaikwamba Waislamu ni asilimia35, Wakris to asi l imia30, na Wapagani asilimia35. Shirika la kimataifal a N a t i o n m a s t e r , c o mkatika tovuti yake www.nationmaster.com linadaik wa m b a m wa k a 2 0 1 2Waislamu Tanzania ni asilimi35%. Wakristo asilimia 35%na Wapagani ni asilimia 30%.Yaani Waislamu na Wakristowamekuwa sawa kwa idadi.

    Takwimu hizo hapo huu

    zinaonyesha wazi kwambahakuna ukweli wowote juu yataarifa zilizotolewa ambazoni kazi ya kubuni tu, kwasababu hakuna machimbukosahihi yaliyotolewa na idaraya Takwimu kujua idadi yawati kwa mujibu wa dinizao.

    U d h a i f u w a h o j a z aserikali

    Serikali inasema kuwahaiwezi kuweka kipengelecha dini kwa kuwa Babawa Taifa alikiondosha ili

    kujenga umoja wa Kitaifa.Haya yalisemwa na viongoziwa Serikali katika mkutanowake na viongozi uliofanyikaDodoma tarehe 11 Juni2012. Pili, kuhesabiwa watukwa msingi wa dini zaokutapekelekea uvunjifu waamani na utulivu nchini. Tatu,Serikali haipangi maendeleokwa kuangalia dini (haya

    yalisemwa na Waziri katikaofisi ya Rais Sera na Uhusiano,Mheshimiwa Stephen Wasirakatika semina hiyo Dodomana Waziri Mkuu, MizengoPinda katika kujibu maswaliya papo kwa papo bungenitarehe 09 August 212. Nanne, Serikali ya Tanzaniainafuata utaratibu wa Sensawa Kimataifa ambao nikuhesabiwa watu bila yakuhusisha kabila wala dinizao.

    MAJIBU: AnayotamkaBaba wa taifa sio wahyi{ufunuo} kutoka mbinguni,ni yeye ndie alietuletea sera

    ya chama kimoja na, Azimiola Arusha na siasa ya Ujamaana kujitegemea. Sera sotehizo zimeshindwa na hili lakuondoa kipengele cha dinibadala ya kuleta umoja wakitaifa umeleta mtengano kwasababu limeanza kuamshahisia za dhulma na upendeleodhidi ya Waislamu na kuibukatakwimu zisizo sahihi. Na kwahilo nalo Serikali ni lazimaiweke pembeni fikra hizi zaBaba wa taifa ili kuokoa nchina uvunjifu wa amani.

    Kuacha kukitia kipengelecha dini katika takwimu ya

    kitaifa ndio ambako kunawezakuvunja amani hasa paleambapo baadhi ya raia kuhisikwamba wanabaguliwakwa madai kwamba wao niwachache na wanadhulumiwana kunyimwa haki zaonyingi. Hii ndio inawezakuleta uvunjifu wa amani.Isitoshe nchi nyingi zikifanya

    takwimu zinaweka kipengelecha kujua dini za watu. Nchikama Marekani, Uingereza,Ufaransa, Ujerumani, India,Kenya, Uganda n.k. zinafanyahivyo na hujasikia hata nchimoja duniani kumetokeauvunjifu wa amani kwasababu hiyo.

    Si kweli kwamba Serikalihaipangi maendeleo yakekwa kuzingatia Dini kwasababu eti Serikali haina dini.Ukweli ni kwamba Serikaliinapanga maendeleo yakekwa kuzingatia sana dinilakini ni ya Kikristo. Mfanoni ule mkataba wa maelewanobaina ya Serikali na Kanisa(MoU), ahadi ya Serikali niKushirikiana na Makanisakupanga sera na maendeleoya sekta ya Elimu, Afya nahuduma za Jamiii. Je, hiisi mipango ya maendeleo.Mkataba huo (MoU) umetoamamlaka ya kuundwa kwatume ya Kikristo ya hudumaya Jamii {CSSC} kwa lengola kuunda sera zinazofananakwa huduma za Makanisa naafya na elimu wa makubalianona Serikali ya Tanzania.Pia mkataba huo umelengakuwa na utekelezaji sawakwa Serikali na makanisa

    katika maendeleo ya jamii.Jee huu s i mpango wamaendeleo baina ya Serikalina Wakristo. Katika kifungucha 11 cha mkataba huokinasema Serikali ni lazimaitoe nafasi za ajira katikavyuo vyake vya Ualimu{TTC} kwa Wakufunzi waKikiristo kufundisha watu

    wataofuzu kama Walimu kwaajili ya shule za Makanisazilizoainsihwa. Jee hii simipango ya maendeleo kwakuzingatia dini?

    Kutokana na makubalianohayo baina ya Serikali nakanisa, imelazimika Serikalikuyapa makanisa mabilioniya fedha za Watanzania kilamwaka katika utekelezajiwa mkataba huu. Mfanomwaka 2008 Serikali iliyapamakanisa jumla shilingibilioni 170 {Gazeti la JamboLeo la Jumapili 20/03/2011liliandika hivi: Mwaka 2009Serikali iliyapa makanisashilingi bilioni 45. Mwaka

    2010 iliyapa shilingi bilioni61.9. Kwa maana hiyoSerikali kuanzia 2008 hadi2011 imeyapa makanisa nataasisi zake shilingi billioni331. Jee, Waislamu na taasisizake wamepewa nini?

    Pia iweleweke kwambazaidi ya asilimia 54 yabaje ti ya Wizara ya Afyainakwenda kwenye vituo vyaAfya, zahanati, mahospitalina taasisi nyingine za afyaza Kikristio. Je. fedha hizizinaweza kutoka bila yaSerikali kuwa na mipangoya maendeleo?

    Hoja ya kwamba Serikainafuata mpango wa senwa kimataifa usiohusisha diwala kabila si ya kweli kwsababu utafiti unaonyeshkwamba Umoja wa Mataiunataka sensa iwe na kipengecha dini, kabila, utaifa nlugha nk. Hii inasaidia kuleufahamu na kujuana na hilimebainishwa katika Qurapale Subhannahu wa Taalaaliposema:

    Enyi watu! Hakika Situmewaumbeni kutoka nMwanamme {Adamu} nMwanamke {Hawa} ntumewajaalieni mataifa nMakabila mbali mbali impate kujuana. Hakika mbowenu mbele ya Allah ni MchMungu zaidi katika nyinyi9Al Hujuraat aya ya 13).

    Ili kupatikana sensa iliysahihi kitengo cha Sensa chUmoja wa mataifa kimetomaelekezo yafutayo kwnchi wanachama zinazotakkufanya sensa. Kipengel

    nambari 2.109 hadi 2.11chasema hivi: Kwa faidya watumiaji wa Takwimambao wanaweza wakawhawafahamu dini zote nmadhehebu yote yaliyopkatika nchi, vile vile kwmadhumuni ya ulinganishawa kimataifa, uchambuw a t a k w i m u l a z i muonyeshe kila dhehebu kamsehemu inayounda dinnzima kwa ujumla wakMaelezo mafupi ya waumiwa dini au madhehebambayo yanawerza yakawhayafahamiki nje ya nchi aukanda yangeweza kuwa

    msaada. (angalia tovuti wwwunistats.un .org).Hii inaonyesha wa

    kwamba Umoja wa Mataiwenyewe wanataka kipengecha dini kuwepo kwenysensa kwa faida ya wote. Kwnini basi Serikali ya Tanzanikatae kuweka kipengecha dini katika sensa ilhayenyewe ni mwanachammwenye kufuata mikataba yUmoja wa Mataifa?

    Waislamu hawana imana Idara ya Takwimu

    Waislamu hawana imana Idara ya Takwimu nTume yake ya Sensa kwkukaa kimya kwake juu ytakwimu zilizotolewa zbandia kwa lengo la kupotoshulimwengu kwamba Wakrisnchi hii ni wengi kulikWaislamu. Hii ni dalikwamba idara hii inashirikueneza propaganda hizIsitoshe matokeo ya senskatika baadhi ya mikoa yenyWaislamu wengi, kwambidadi ya watu ni ndogo nhaiongezeki. Mikoa yenyWakristo wengi idadi ya wa

    Inaendelea Uk. 1

    SHEIKH Mbwana Urari (kulia) akitoa nasaha katika mashindano ya kuhifadhiQur'an yaliyofanyika Kigamboni Jijini Dar es Salaam wiki iliyopita.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    10/16

    10AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20Makala/Tangazo

    LEO hii tunaishi katikakipindi ambacho usomaji waQuran duniani umesambaasana. Sasa tunaweza kusikilizaQuran kwenye televisheni,kompyuta, redio, CD, DVD,portable players na vyombovyingine vya kisasa. Hata simu

    za mkononi siku hizi, ukigusatu button unapata siyo tumaandishi ya Quran, balihata tafsiri zake mbalimbalikupitia mtandao wa Internet.

    Alhamdulillah, sasa tunawezakuona mabadiliko makubwa yamaendeleo katika darsa zetuza Kiislamu, ambapo walimuhutumia programu maalumuza kompyuta kuwahifadhishawanafunzi Quran katika kipindikifupi mno! Nimeshuhudiahili mjini Istanbul, Uturuki.Kwa kweli inatia raha sana!Maendeleo haya ya kiteknolojiayamewafanya vijana wa Kiislamuwakue katika mazingira yakusikiliza maneno ya MwenyeziMungu yakisomwa kila mahali,tena kwa hukmu na taratibuzake.

    Quran imeenea sana kiasikwamba tunaweza kuisikiami taani , kwenye madukamakubwa, migahawani; kamakule kwetu Kipunguni, utaisikiaQuran mpaka kwenye pikipikiza bodaboda! Lakini uhalisia huu,

    japo unatupendeza, umekuja napumbao lisiloonekana, ambalolinatuficha jambo muhimu sana

    bila ya wenyewe kutambua.Jambo hili ndugu zangu,

    Waislamu wa awali walilipaumuhimu mkubwa mno, kamatunavyoona katika historia,

    jinsi uhusiano wao na Quranulivyokuwa. Jambo hili nitadabbur (tafakari ya kina naufahamu) wa maana za Quran

    tukufu!Haina ubishi kwamba Quran

    ndiyo msingi wa itikadi yetu,ambayo kwa kweli tunajivuniasana ulimwenguni kote. Itikadiyetu inatoka kwenye manenoyaliyofunuliwa na MwenyeziMungu mwenyewe ambayetunamuabudu. Kwa kuwa lengoletu kuu ni kusimamisha sheriazinazotoka ndani ya Quran, Je?hatuoni haja ya kufanya juhudiza kufahamu maana za Quranyenyewe, ambayo tunalengakuitekeleza?

    Quran inawapa waumininguvu ya ajabu ambayo inaamshanyoyo zilizolala na kuzigeuzakuwa madhubuti, zinazowezak u v u m i l i a m a c h u n g u n a

    mateso, bila ya kushawishiwana starehe za dunia, kwa lengotu la kutafuta radhi za MwenyeziMungu. Quran hi i ndiyoinayotuhakikishia kwambaushindi siku zote unatoka kwaMwenyezi Mungu na hatunamatumaini mengine isipokuwakwake. Kwanini hatufanyi

    jiti hada ya kufaha mu maanaza ndani za Quran, ikiwa ni

    pamo ja na kuz ingatia maanahizo na malengo yake?

    Tunaishi kat ika kipindiambacho wasomaji wa Quran niwengi sana, lakini ni wachachemno wanaofanya jitihada zakusoma na kutafuta muongozowa Quran, ikiwa ni pamoja na

    Je? Hawaizingatii hii Quran...!Na Said Rajab

    kuzifanyia kazi hukmu zake.Katika Aya zinazozungumziaAhlul Kitab (Watu wa Kitabu),Mwenyezi Mungu anasema:

    Na wako miongoni mwao(hao Mayahudi) watu wasiojuakusoma; hawajui (kusoma nakufahamu) Kitabu cha MwenyeziMungu; hawajui) isipokuwatamaa tu za upuuzi, nao hawanaila kudhani tu Qur(2:78).

    Ayah hii inasema kwambamiongoni mwa watu wa kitabu,kuna wale wajinga (kwa maanaya kutofahamu Kitabu chaMwenyezi Mungu), kitabuwanacho siku zote, lakini hawajuikinasema nini. Wanajifunzakile tu kinachowafaa katika

    mas lahi yao ya k idunia .Wanachagua kujifunza yale tuwanayoyapenda. Kama kunakitu kitawanufaisha katika duniayao watajifunza, kama wanaonahakitawanufaisha wanaacha!

    Ibn Abbas na Qatadahwamefasiri maana ya nenoummiyyun (wajinga) kama,hawafahamu maana ya kitabu.Wanajifunza, wanahifadhi nawanasoma bila ya kufahamum a a n a y a k e . M a a n a y awajinga katika Aya hii siyokwamba hawajui kusomana kuandika . Wanasoma,wanahifadhi na wanafundishalakin i bado hawafahamukitabu kinazungumzia nini.Wanaridhika na kusoma tu.

    Quran siyo kitabu chakuwekwa kabatini na kupambwamajalada ya kupendeza. Sikuhizi Quran inapambwa mnokiasi kwamba watu wenginewanaogopa hata kuigusa,wachilia mbali kuisoma kwa

    jinsi ina vyo pen dez a! Kat ikazama zetu hizi, iwapo watuwangeiona Qur an ik iwaimeandikwa kwenye mifupa auvipande vya ngozi, bila shakawangesema haraka kwambahuko ni kuivunjia heshimaQuran. Lakini bado watuhawafikiri kwamba kutoifuataQuran kwa vitendo ni kuivunjiaheshima zaidi.

    M w e n y e z i M u n g u

    anatuambia: (Na hiki) Kitabu;tumekiteremsha kwako, chenye

    ba ra ka ny in gi ; il i wa pa tekuzifikiri Aya zake, na wenyeakili wawaidhike Qur(38:29)

    Ka t i k a Ay a h i i , n e n oliyaddabbaru limetumika kwamaana ya kuwa na taddabur(tafakauri ya kina). MwenyeziMungu anasema tena mahali

    pengine:Je! Hawaiz inga t i i h i i

    Quran? Au katika nyoyo zaokuna kufuli Qur (47:24).Mwenyezi Mungu mtukufu situ anatutaka kuisoma Quran,lakini pia anatutaka kuzingatiamaana zake na kuitafakari kwakina.

    Unaweza ukadhani, lakini

    sielewi lugha ya Kiarabu!Sawa, lakini lazima tufanyejitihada za kujifunza lugha yaQuran. Hata hivyo tusisubirimpaka tujifunze Kiarabu, ilikuifahamu Quran. Tunawezakuisoma na kuielewa katikalugha zetu. Hata kama huelewimaana yake, utapata malipo yakuisoma. Hata hivyo, lazimatufanye kila jitihada za kuielewaQuran, ili tuweze kuitekeleza nahivyo kupata manufaa yake kwaukamilifu.

    Kupata malipo ya kusomaQuran ni jambo moja, nakuitekeleza Quran kwa vitendoni jambo lingine. Tatizo linakuja

    pale watu wanapoacha kufanyajuhudi za kujua Quran inasemanini ili waweze kuitekeleza.Utekelezaji wa Quran unawezakufanyika bila ya Kiarabu.Tafakari ya kina katika maana zaQuran inaweza kufanyika kwakusoma tafsiri zake kupitia lughahusika. Lakini kama tujuavyo,tafsiri siku zote haiwezi kuwa

    bora zaidi, kuliko kuipata Quranmoja kwa moja kutoka kwenyelugha yake ya asili (Kiarabu).

    Kwa hiyo tunarudi pale pale,jitihada zinahitajika sana katikakujifunza lugha ya Quran.Kama tunafanya juhudi kubwakujifunza lugha ya Dunia(Kiingereza) kwanini tusiweke

    juhu di hizo kati ka kuj ifun zalugha ya Akhera? MwenyeziMungu mtukufu atatulipa kwania zetu. Kama anavyosema Ibnal - Jawzee (ra):

    Pengine Mwenyezi Munguatakulipa zaidi kwa nia yako

    kuliko malipo ya ki tendochenyewe. Kwa hiyo tukifanya

    juhudi na kujaribu, hivyo ndivyoMwenyezi Mungu anavyotaka.

    Mtu anaweza kujiuliza,ni hatua gani azifuate katikakuitafakari Quran kwa kinana kuitekeleza kwa vitendo?Kwanza, kuweka nia ya kubadiliutaratibu tuliozoea wa kuiendeaQuran ni hatua muhimu sana!Tuamue kwa dhati na kuwekania ya kusoma na kuelewa kitabucha Mwenyezi Mungu. Hii pekeyake, itafungua milango yote.Kwa sababu sisi tuna ukomowa ufahamu na haya ni manenoya Mwenyezi Mungu. Tukiwana taqwa, Mwenyezi Munguatafungua nyoyo zetu na kutupamwanga wa elimu yake.

    Pili, kila tunaposoma Quran,tusielekeze fikra katika kumalizasura, juzuu au Quran yote, balituelekeze fikra zetu katika kufikirinini tunasoma. Tatu, tujengeuhusiano wa karibu na Quran natuache kuifungia kabatini. Kadriunavyosoma Quran kwa wingi,ndipo tunavyoweza kuzingatiamaneno ya Mwenyezi Mungu.Tunatakiwa kuiishi Quran nakutekeleza hukmu zake.

    Hata hivyo, tunapaswakuwa makini zaidi . Marangapi tunasoma Quran wakatimawazo yetu yakihamia mahalikwengine? Hasa ikiwa ni surauliyohifadhi na unayoisomamara kwa mara! Kuna hatari yamazingatio kupungua. Mfanoukiwa unasoma sura moja kilaIjumaa (Surat al-Kahf) kama

    mazoea, Je? ufahamu wako wasura hii utaongezeka, ili uwezekuvuna manufaa yake?

    Hizi ni nukta chache tu zakuzingatia wakati tunaposomaQuran. Lengo hasa ni kuletamazingatio na tafakuri ya kinawakati wa kusoma. Kwanzakabisa jipe sababu ya kusomana jiulize wewe mwenyewe,Kwanini nasoma Maandikoh a y a ? Ka m a W a i s l a m utunafahamu sana umuhimu wakuweka nia kabla ya kufanya

    jambo. Uki wek a nia ya kitugani unataka kuvuna, huwezikupoteza muda kupitia tu kurasaza Quran, kwa sababu utakuwaunasoma kwa malengo. Kwamfano - weka nia yako kwambaunasoma sura hii, ili kuongeza

    el imu ambayo i takusaidkusukuma mbele Uislamu.

    Pili, weka lengo. Jiulimwenyewe na jiandae kujibswali hilo baada ya kusomKwa mfano wiki hii, wakanikisoma Surat Al-Kahf, natakuzingatia na kutafakari kwkina Hawa watu wa Pangonwalikuwa nani hasa? Stori yina umuhimu gani na nukta zamuhimu ni zipi? Fikiria, kwanitukisoma maandiko mengi

    tunaweza kufanya summarya nukta muhimu zinazijitokezlakini tunashindwa kufanyhivyo baada ya kusoma ukurawa Quran?

    Tatu, baada ya kusoma Atatu au nne za Quran, simamna j iul ize kama unaelewmaana ya Aya unazosomau la. Unaweza kulazimikkurudia Aya hizo mara kadhaili kuweka alama maneno istilahi ambazo hukuzielewili baadaye uweze kuziangakwenye tafsiri. Tafuta maneya msingi (kwa mfano, katiAya tulizosoma mwanzontuliona liyataddabaru kamneno la msingi). Angalia nukmuhimu au maalumu waka

    ukisoma Quran, ikiwezekaandika pembeni, ili milango yoya fahamu iwe inafanyakazi kukufanya makini wakati wot

    Nne, zin ga tia adabu zoza Quran, kama kuwa toharkuelekea Qibla, utulivu na kuankusoma kwa kumlaani shetanikiwa ni pamoja na kuepuka vivyote vinavyoondoa mazingatwakati wa kusoma kama milya simu, kelele na interruptionnyingine. Hizo ndiyo baadya mbinu muhimu za usomwa mazingatio tulizopewshuleni na vyuoni wakatukijiandaa kufanya mitihanKwanini tusi tumie mbinkama hizo kusoma maneno Mwenyezi Mungu ili tuwekuyazingatia?

    Hadith ya Mtume wMwenyezi Mungu inasemMakundi ya watu yataibukatika ummah wangu ambwatakunywa Quran kamwanavyokunywa maziw(Tabarani). Akifafanua hadihiyo, Al - Munawi anasemkatika kitabu chake Fayd aQadir: ..kwamba watapasauti zao kwa ndimi zao bila kuzingatia maana na hukmu Quran, matokeo yake Quri tapi ta kwenye ndimi zakama maziwa wanayokunywyanavyowapita kwa haraka.

    Quran ndiyo muongowetu, ndiyo i t ikadi yetndiyo shufaa yetu na ndiymtetezi wetu Siku ya MalipInaimarisha dhamira za wa

    wanaotaka sheria ya MwenyeMungu itawale maisha y

    binadamu duniani .Tunahi takujikumbusha umuhimu wkutafakari kwa kina maana hukmu za Quran. Lengo kuhakikisha kwamba Qurinasomwa katika namna ambainaingia kwenye nyoyo zetu kuacha athari ya kudumu.

    Matokeo ya usomaji huni kujenga haiba ya Kiislamambapo msomaji (Muislamuatakumbatia Aqidah ya Kiislamna kuifanya Shariah kuwmuongozo wa maisha yake, ikiwni pamoja na kuendesha daawya kusimamisha Uislamu katingazi mbalimbali.

    MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Idd Seif akikabidhi zawadi ya baiskeli kwa mmoja wawashindi wa kuhifadhi Qur'an katika mashindano ya kusoma na kuhifadhi Qur'an yaliyofanyika

    katika Chuo cha Al-Haramain jijini Dar es Salaam wiki iliyopita.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    11/16

    11AN-NUUR

    RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 201Makala

    Sensa Tanzania Agosti 2012Inatoka Uk. 9ni kubwa sana. Mfano mzurini katika sensa iliyofanyikamwaka 1988, mkoa wa Tangaidadi ya wakazi wake ilikuwa1,500,000 (milioni mojalako tano) na sensa nyingineilipofanyika mwaka 2002idadi ya watu mkoani humoilibaki kuwa hiyo hiyo yaani1,500,000. Hii ina maanakatika kipindi cha miaka14 kutoka 1988 hadi 2012hajaongezeka katika mkoawa Tanga hata mtu mmoja

    na Serikali hadi leo haijaelezasababu za kutoongezekaidadi ya watu katika mkoahuo. Je, ni watu wanakufasana au hawazaani. Hili ndiolimeleta mashaka kwambatakwimu zinachakachuliwakwa makusudi kwa lengomaalum.

    A m e s e m a M t u m e{REHEMA NA AMANIZIMSHUKIE}: Anaeonaovu katika nyinyi alizuie kwanguvu, akishindwa aseme,akishindwa achukie na hukukuchukia ni dalili uya udhaifuwa imani. (Imepokewa na

    Imam Muslim). Kususia ovuni katika mafunzo adhimua l i y o f u n d i s h a M t u m e{REHEMA NA AMANIZ I M S H U K I E } . H i v y obasi endapo Wa is lamuwamebainikiwa na lengola Serikal i kudhulumu,kudhalilisha Uislamu naWaislamu, basi hatuna budikususia zoezi hili katika njiaya kushinikiza Serikali ilindemaslahi ya Waislamu.

    H i l i s i j a m b o g e n ikwani kuna wakati Serikali

    i l i tangaza nia yake yakufuta misamaha ya kodikwa mashirika na taasisi zakidini. Kanisa kwa sababulilikhofia kuwa muathirikawa kwanza na kanisa liliwezakuishinikiza Serikali na kwamuda mfupi tu Serikaliilirejesha misamaha ya kodipa moja na kwam ba ta if alinakosa mapato makubwakwa kuruhusu misamaha yakodi.

    Shime Waislamu tusahauikhtilafu zetu juu ya hiliambapo Masheikh wotewameungan ika ku i takaSerikali iweke kipengele

    cha dini katika hili. La sivyWaislam wote hawatoshirikzoezi la kuhesabiwa. Na hini katika kutekeleza agizo Allah {SWT}.

    Wala msiwatii Makafina pambana nao kwa Jihad yhoja ya Quran jihad kubwa(Suratul Al Fuarqaan ay52).

    Tuachane na wale Mashehambao wameweka maslahi ymatumbo yao mbele kulikmaslahi ya Dini. Pia tusiogopv i t i sho v inavyo to lew

    na baadhi ya Wakuu wbaadhi ya Wais lamu kwhoja ya kwamba wanaletuchochezi.

    Wito unatolewa kwa kialiyekusudia kushiriki kwnjia yoyote ile, amche Molwake juu ya hilo katikkutekeleza agizo la Alla(SWT): Na msishirikiankatika dhambi na Uadui(Surat Al Maidah aya 2).

    Imekusanywa naSheikh Salim A.Barahiyn

    {LLB Shariah, LLM Shari& Law}

    MZEE Halimoja anasema:Kama tujuavyo kwa miaka132 kuanzia mwaka 1832m pa ka 1 9 6 4 , Za nz i ba rilikuwa chini ya utawala waKisultani.

    Tunashukuru sana kwa

    maneno yake hayo isipokuwahajatueleza kabla ya hapokulikuwa na utawala wa ainagani na watu wa makabila ganiwalikuwepo Zanzibar ?

    N a t u n a m k u m b u s h a ,inawezekana amesahau auamejisahaulisha kuwa watu wamwanzo waliokuwepo Zanzibarna wakawa wanatawala niWaarabu kutoka Shirazi, wakatihuo ilikuwa ipo Iraq nao ni kinaMwinyi Mkuu.

    Hata h iyo ser ika l i yaki sul t ani i l iyopindul iwaWaziri Mkuu wake marehemuSheikh Mohammed Shamteinasemekana asili yake niMdengereko mtu wa Rufiji,

    wa l a h a k u wa M wa r a b u ,kwani haikuwa taabu kumpauongozi kwa sababu alikuwa niMzanzibari.

    Jambo la kukumbushiaambalo ni muhimu sana kulikoyote yanayohusu muunganoni kuwa Hayati Mzee Karumeambaye ndie anayetajwa sanakuwa alianzisha muunganoalisema kuhusu muunganomaneno yake mashuhuri ambayoWazanzibari wote wanayajuanayo ni, Muungano ni sawana koti tukiona litatubanatunalivua. Naye Mwalimu

    Ny ere re a li wahi kusemahuko Uingereza 20/4/1968

    na maneno yake kunukuliwandani ya makala ya LondonObserver: Endapo umma waWazanzibari wataamua bilaya ushawishi kutoka nje kwahoja zao wenyewe, wakaamuakukoma muungano, mimi

    Nye rer e sitoweza kuw api gamabomu. Muungano utasita paleutapokosa ridhaa ya wananchi.

    I n g a w a t u n a c h o k i o n akinaendelea Zanzibar ni kupigwawatu mabomu na kuumizwa, na

    bado hayo mabomu yanaendeleakupigwa Wazanzibari kamawalivyofanyiwa watu waMahonda na Donge kwa

    sababu ya kutaka kusikilizamihadhara ndani ya misikitiyao, hayo ndio aliyoyasema

    Nyerere ya kutowapiga mabomuwatakaokataa muungano?Angalisema atawapiga mabomukingelitokea nini? Si kisiwachote kingelizamishwa?

    M a n e n o y a v i o n g o z ihao wawil i walioanzishahuo unaoi twa muunganoyanadhihirisha wazi kuwamuungano ni kitu kinachojadilika

    bali hata kinachoweza kuvunjwakisiwepo na wala isiwe tatizokwa pande zote. Sasa chakustaajabisha ni kuwa kutokeawatu wakangangania kusema

    Halimoja mgonjwa asiyejijua-2Na Abu Yusuf

    kuwa wanaotaka kuuvunjamuungano wanataka kurudishaUsultani, hivi hao viongoziwawili waliposema manenoyao walikusudia kuwarudishamasultani? Au na wao walikuwa

    vibaraka wanaotumiwa naWaarabu?

    Mahal i pengine , MzeeHalimoja anasema kuwa: Kwamiaka 73 kuanzia mwaka 1890mpaka 10/10/63 Mwingerezaalishirikiana na Mwarabu katikautawala wa Zanzibar. Halafuakasema pahala pengine: Nanialiitisha kura ya maoni kuulizakama Waafrika wa Zanzibarwalioendelea kukandamizwa naMwarabu walitaka mapinduziau la.

    Bado Halimoja anaendeleakudhirisha kuwa dhambi yaubaguzi inamsumbua, kwanivipi katika kipindi cha miaka

    73 ambayo ametaja mwenyewekuwa Waingereza walishirikianana Waarabu katika utawala, halafuanasema Waliokandamizwa naWaarabu, hao mabwana zetu waKiingereza mbona hakuwatajana walishirikiana na Waarabukatika kipindi chote cha miaka73 !! au ukandamizwaji waWaafrika wa Zanzibar ulianza

    baada ya kuondoka Waingerezaambao ni Wakristo?

    Anauliza Jee? : Mapinduziya Zanzibar hayakunufaishaWaafrika?.

    Tunasema alikuwa aseme:Jee? Waafrika wa Tanganyikahawakunufaika na Mapinduzi

    ya Zanzibar? Maana ni kweliwao ndio walionufaika kwaniwalikuwepo kina EdingtonKisasi, Said Washoto, SaidAbdal la Natepe , KhamisDarwesh, Seif Bakari, ShaabanMloo, na wengine akiwemoAboud Jumbe na Ali Hassanwakawa maraisi wa Zanzibarambao ni watu wa Tanganyika,na hao Tanganyika ndiowanaoitawala Zanzibar hadihii leo.

    Vile vile alitakiwa asemewalinufaika Waafrika waZanzibar kama kina: Twala,Saleh Sadallah, Othman Sharifuna wengine ambao maiti zaohazijulikani ziko wapi hadi hii

    leo.Anasema: Ni wananchi wa

    Zanzibar hasa wale wa Pembawalioendelea kunufaika zaidina Muungano nani anabisha?An a e n d e l e a : W a p e m b awanamiliki bara magari yaabiria, maduka, mabucha, vituovya mafuta na kadhalika.

    Inaonyesha kuwa badochuki za ukabila, rangi naudini zinamsumbua mzee wetukutokana na utajiri wa Wapembaambao hawakuupata bure, balikutokana na jitihada zao zakufanya kazi usiku na mchanana kujiwekea malengo maalum

    waliyokuwa nayo, si sawa nawale wanapopata pesa kazi yaoni wanawake na ulevi.

    Inafaa tumkumbushe mzeewetu kuwa si wao tu waliofaidika

    bali ni serikali ya Muunganondio inayofaidika zaidi kutokanana kodi ya mapato na ushuruunaokusanywa kutoka kwa haowafanyabiashara wa Kipembaanaowasema, hili mzee wetuhalioni!

    Vi le v i l e ipo ha ja yakumkumbusha kuwa lilikuwepokundi linalojulikana kama G55ambalo lilidai kuwepo kwaserikali tatu kwenye mfumowa Muungano; Serikali yaMuungano ya Tanganyika na yaZanzibar, pia nao wakaonekanani wasaliti, tena la kushangazani kuwa inasemekana kuwaBunge lilipitisha kuwepo kwaSerikali ya Tanganyika, lakini

    Mwalimu Nyerere alilipinga hilona kupingana na Bunge akasema:Wanajua kuwa mimi silitaki

    jambo hilo (yaani kuwepo kwaserikali ya Tanganyika) .

    Jee? wako wapi wale wanaodaikuwa katiba inapingwa kwasababu ya Zanzibar kujiungana O.I.C.

    Mbona hatukuwasikia kupigakelele kuwa katiba imekiukwa naMwalimu Nyerere kupinga lilewalilokubaliana wabunge, kwaniBunge ndilo lenye mamlaka yakupitisha mambo na sheria za

    nchi wala si mtu aliyekuwa raisna kuachia madaraka !!!

    Hatukuwaona wale wanaojidaina kujinadi kuwa wao wanaandikaukweli magazetini. Si hasha

    hivi karibuni tukawasikia walewenye dhambi za ubaguzi warangi wakisema kuwa SheikhFarid Hadi na Sheikh Azzansi Wazanzibari kwa sababu niweupe. Hatujasahau Zanzibartuliletewa mwanamke kutokaZambia anaitwa Madlini Casticokama sijakosea tukaambiwakuwa ni Mzanzibari !!!

    Kwa hivyo si ajabu tukisikiakuwa hao mashekhe wakiambiwasi Wazanzibari kwani mifano ipomingi tu kwa watu ambao kanisainawaona ni wabaya au wanatoasiri zinazofichua ubaya waowakawatangazia kuwa ni wagenikatika Tanzania kati ya hao:Marehemu Ali Nabwa, GeneraliUlimwengu na wengine wengiambao historia inawatambua.

    Hata hivyo ipo dhana kwenyenafsi za wengi Tanzania palelinapotajwa Bara la Afrikahudhania ni la watu weusi tu,dhana hii ni potofu na hainauhakika wowote, kwani kunanchi nyingi zenye idadi kubwaya watu katika Bara la Afrikaambazo watu wake ni weupetena ni Waarabu kama: Misri,Tunis, Aljeria, Libya, Morocco,Mauritania vile vile wapo watuweupe wengi katika Chad, Mali,Sahara, Sudan n.k.

    Dhana hii ndio imepelekmfano wa kina Mzee Halimokudhania kila aliyekuwa mweuphuko Zanzibar au TanganyikaMzanzibari au Mtanzania ndmaana akasema: Je, Masheikwanaoongoza madai ya kutakMuungano uvunjike si WaarabWaarabu wanahusika vipi nMuungano ulioanzishwa nviongozi Waafrika? Nani kawap

    Waarabu sauti ya kuwasemWaafrika wa Zanzibar? Hiusheikh wa dini ya Kiislamu unuhusiano gani na Muungano wTanganyika na Zanzibar?

    K a u l i k a m a h i zzimewapelekea wengi kati ywenye rangi nyeupe kujihisi wni wageni na si Wazanzibari auWatanzania bali wamefadhiliwtu. Jambo hilo si kweli kwaUzanzibar i au Utanzanhautizamwi kwa rangi ya mau dini yake, bali kwa mujibwa kanuni za uhamiaji za nchSi hayo tu bali kuna watu Weuambao wanajiona wana hazaidi na ni Wazanzibari halisi, nwatu hao pengine wamezaliwnje ya Zanzibar au mzee wak

    kahamia Zanzibar na bahaakazaliwa Zanzibar, mtu huykwa kutumia kanuni ya kinmzee Halimoja anajiona ana hazaidi ya kuzungumzia masuaya Zanzibar kwa sababu Mweusi kuliko yule Mzanzibamwenye rangi nyeupe ambmababu na mabibi wamezaliwZanzibar hadi ikafika lugha yakya asili haijui zaidi ya Kiswahikwa hivyo wale wenye fikhizo potofu za ubaguzi wa ranwamechelewa kwani wakawa kutumia fitna za kikabiumepita.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1030

    12/16

    Je! Una maoni, barua au Mashairi? Tuandikie:

    Mhariri AN-NUUR,

    S.L.P. 55105, Dar es Salaam au

    tutumie kwa Barua pepe

    E-mail: [email protected]

    12AN-NUURMashairi/Barua RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 17 - 23, 20

    Ndugu MhaririSinabudi kutoa shukrani za

    dhati kwa mchango wenu wahabari za Waislamu Tanzaniana dunia kwa ujumla. Kwa hiliMungu atawaandalia malipomakubwa Inshaalah.

    N i l i k u w a n a m o j alakupendekeza kwambatuwekewe Masheikh na

    Tupeni nasaha za MasheikhKilemile yu wapi?

    makala zao hasa zinazogusa

    maisha ya Waislamu katikahali tuliyonayo.Kwa u p a n d e wa n g u

    n a m p o n g e z a S h e i k hSuleiman bin Amran Kilemilekwa kuwa ndiye niliyepatakusikiliza kwa ukaribu madazake za kila Ijumaa alipokuwa

    msikitini kwake Tandik

    Mtaa wa Chihota. Nilikuwnikifarijika sana na hazina ialotuwekea Muumba maansi tu kuwaaidhi kwa diilikuwa inatupa changamoya kukabiliana na duntunayoishi. Hakuwa njazba lakin i ana tos hel ezwala hakutumia vichekeshili watu wamuelewe awavutike ila maelezo yakyalimgusa msikilizaji nalipata hamu ya kusikilizkinachoongewa.

    Wabillahi tawfiqSalum Awadh Mbarak+971 507 250 920

    MIGOMO HAINA TIJA

    1. Kwa jina lake Rabuka, shairi naliandika,Salam zipate fika, kwenu wote wasifikaMlio bara hakika, na visiwani kufikaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    2. Migomo haina tija, ndugu zangu nawambiaPokeeni yangu hoja, wazi nawasimuliaMuone tunavyofuja, neema katika duniaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    3. Mola katupa uzima, siha na nyingi hekimaIli tuweze pima, yaliyo bora kwa ummaTuyatende hima hima, pasi na kurudi nyumaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    4. Asili yake migomo, Mapambano ya wanyongeKudai chao kipimo, cha haki sio mazongeWatwana pia kuwemo, kundini kukosa dongeMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    5. Agomewae katili, hatoi haki kwa ummaHuzidumaza akili, kuwazuia kusemaVibarua na makuli, wasimtie lawmaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    6. Elfu ya tisa mia, kumin na tisa elewaKatika historia, nilipata kusomewaMgomo uliingia, Amerika ukatuwaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    7. Kina mama waligoma, kiwandani AmerikaJijini walinguruma, Newyoki kusikikaKushona kukasimama, mashati yakusifikaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    8. Hawa wote walikua, wahamiaji nchiniUkweli tuliujua, walikua wazayuni

    Jasho lao lilikua lanufaisha kampuniMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    9. Mabepari siri yao, kukuza mtaji kwaoIli kupata mafao, yenye faida kibaoWatumishi wanyonywao, daima wana chaoMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    10. Sura ya kwetu nchini, kwa watumishi wa ummaWallahi haifanani, na zile tulizosomaKwengine ulimwenguni, migomo ikirindima.MIGOOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    11. Maslahi ni ya umma, hapa nchini tambuaTukigoma kina Juma, wenyewe twajiumbuaUchumi warudi nyuma, pasi na kujitambuaMIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA

    KWA HERI MGENI MWEMA

    Kwa heri naitamka,kukuaga RamadhaniMoyoni nasikitika,imenijaa huzuniSijui kama tafika,kukudiriki mwakaniKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Wewe unapoingia,nyoyo zetu huwa shwariKatukumbusha Nabia,ni kimbilio la kheriIla unapokimbia,huzuni hutukithiriKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Siku zako maalumu,Allah amezibainiHakika zinapotimu,hurudi kwako nyumbaniUnatuachia hamu,ya kuzidisha hisaniKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Mengi ulokuja nayo,ni faida kwa insaniYalikuwa kimbilio,ya kuondoka dhambiniKwa jema tulifanyalo,tutalipwa qiyamaniKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Laylatu Qadiria,ni usiku wenye cheoTarawehe Laylia,ilikuwa kimbilioItikafu tulikaa,kutuma chetu kilioKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Yote hayo yaondoka,yarudi yalipokuwaKweli tumetakasika,au tulipuuziaTujichunguze hakika,nafsi zivyobakiaKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    Mwisho natoa usia,baada ya RamadhaniTubaki tulivyokuwa,tusirudi madhambini

    Ni shirki itakuwa,kwiabudia RamadhaniKwa heri mgeni mwema,Mtukufu Ramadhani

    MWL.Mohammed MakimuUbungo Islamic College of Education Rais Shein amaliza mgogoro Chwaka

    Inatoka Uk. 16zilizowekwa juu ya uvuviwa bahari, Sheria ambazozimewekwa na Serikali kwamashirikiano na wananchi nawavuvi wenyewe wa Ungujana Pemba.

    Aidha, alieleza kusikitishwakwake na baadhi ya watukuhusisha mgogoro huo namambo ya siasa na kueleza kuwani ukweli usiopingika kuwaajira hazitoshi na ndio maanawananchi walio wengi katikamaeneo hayo hujishughulishana shughuli za uvuvi, hivyo ipohaja ya kuyaezi na kuyatunzamazingira ya bahari ili yaletetija.

    Dk. Shein alisema kuwawatu wa Marumbi wanahistoria kubwa katika kujileteamaendeleo sambamba na kuwawastaarabu hivyo aliwatakawasikubali kuchokozeka walakuchukua sheria mikononimwao na yale yanayohususerikali waiachie serikaliiyafanyie kazi.

    K a t i k a m a z u n g u m z ohayo, Dk. Shein aliwasisitizawananchi wa Marumbi namaeneo mengine nchini kutunzamazingira kutokana na hali yaTabia nchi inavyojitokeza hivisasa hatua ambayo imepelekea

    jo to ku wa ka li pa mo ja na

    kupungua kwa kiwango chamaji katika ardhi na kuzidikiwango cha maji ya bahari.

    Kutokana na hali hiyo, Dk.Shein alisisitiza kuwa Serikalihaitochelea kuchukua Sheriakwa yeyote Yule atakae ivunjana kuvitaka vyombo vya Sheriakufanya wajibu wao na kulitakaJeshi la Polisi kuwasaidiawananchi katika kusimamiaSheria.

    Pia, alizitaka Mahakama nazoziendelee kufanya wajibu waokama ilivyokawaida pamoja nakazi zao vizuri bila ya kuingiliwahuku akiutaka uongozi waWizara ya Mifugo na Uvuvikufanya kazi ipasavyo.

    Pa m o j a n a h a y o , Dk .

    Shein aliwasisitiza wananchihao wa Marumbi kushirikikikamilifu katika zoezi la Sensalinalotarajiwa kufanyika mwezihuu na kuachana na mgomow a l i o k u w a w a m e u w e k ahapo kabla kwani zoezi hilolitawasaidia katika maendeleoyao.

    Sambamba na hayo, Dk.Shein aliwaahidi wananchihao wa Marumbi kuwa ahadializoziahidi Makamu wa Pili waRais Balozi Seif Idd zipi pale

    pale ikiwa ni pamoja na kueleza

    kuwa kwa kushirikiana naewatawapelekea mashua mbilina vifaa vyengine vitapelekwana Wizara husika.

    Akitoa maelezo kwa niaba yawananchi wa Marumbi BwanaUfuzo Haji alitoa shukuranikwa ujio wa Dk. Shein nakumueleza kuwa katika eneohilo la Ghuba ya Chw