FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya...

134

Transcript of FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya...

Page 1: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu
Page 2: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

2

FORWARD BY DANIEL SZMIOT

2017 marks the 40th anniversary of the start of Lighthouse Ministry. As in all wars, soldiers continue to fight the battle for the body, mind, will, and emotions. We as Christian soldiers fight an unseen enemy I call personalities without bodies looking for someone to influence and control.

Who is this enemy of our souls? Satan and his dominions. For the weapons of our warfare are divinely powerful for the pulling down of strongholds and casting out of imaginations. To our evangelical brothers this material has overtones that we think everything is an evil spirit, the demon behind every bush mentality; to our charismatic brothers who think everything supernatural is automatically from God, unknowingly may court many counterfeits; to our professionals, with all due respect, medical doctors and psychologists who think you can medicate, counsel and rehab evil is short sighted. In no way do we discount sin, freewill, forgiveness, wisdom, prayer and faith, but suggest that to some a temptation and thought is to another a bondage and stronghold of the enemy.

This study and procedure manual will teach you how to fight and reclaim what is yours as a Christian. God did not raise us up to be more than conquerors to watch us lose. I believe spiritual warfare and the authority of the believer is the best kept secret in Christianity, the missing piece to the Christian puzzle.

On October 7th, 1969, 7:00AM, God spoke directly to me and said, "Prepare yourself to die." I said, "Lord, forgive me and save me", just as a car came over the center line and hit us head on. One dead, one critically injured, one saved. Which one will you be?

I knew that day that God was who He said He was and He had a purpose for my life. I present to you that purpose, spiritual warfare, for those of you who are saved but are not free.

Page 3: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu
Page 4: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

YALIYOMOUtangulizi wa Kozi 3Sura 1 – Kuishi kutokana na Umoja na Nafasi yetu Katika Kristo Katika Kristo Mimi nina... (Maandiko kuimarisha utambulisho wako kwa Kristo) “Hakuna kukosa upande (nusu nusu)……..”C. S. Lewis

41415

ULINZI DHIDI YA KUINGIWA TENA NA ROHO WACHAFUSura 2 – Silaha za Mungu Kuendelea Kushuka (kuporomoka) kwa Mzunguko wa Dhambi Mavazi na Vifaa vya Vita vya Askari wa Kirumi

161928

Sura 3 – Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho Maelezo ya Mapambano ya Kumfunga Shetani Maandiko ya Kumfunga Shetani kwa Majina Yake Maeneo ya Kuhoji Wakati wa Kufikiri/kutakari (Consideration Time)

31363738

Sura 4 – Kurejeshwa kwa Maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu Kujinyenyekeza – Utaratibu wa Upinzani katika Mapigano Matunzo Baada ya Kufunguliwa kwa Mwamini Kusafisha Nyumba Karatasi ya Kazi kwa ajili ya Sura ya 4

4245464750

Sura 5 – Kushinda Vita Katika Ufahamu/Akili Mtu ambaye Hajazaliwa Upya baada ya Anguko Mtu Aliyezaliwa Upya kabla ya Ukombozi Mtu Aliyekombolewa Yuko Huru Karatasi ya kazi kwa ajili ya Kushinda Vita Katika Akili

5153555663

Sura 6 – Kujenga/Kuendeleza Upambanuzi Kuzijaribu Karama za Roho, Maneno na Kazi Karatasi ya Kazi juu ya Upambanuzi

667072

Sura 7 – Kujenga Upya Kituo na Maisha yako ya Ibada Ramani ya Yerusalem Mafundisho kutoka Kitabu cha Ezra Chati za Wajenzi Wapya

74757679

Sura 8 – Kujenga Upya Kuta na Malango ya Maisha Yako Mafundisho Kutoka Kitabu cha Nehemia Gems Kutoka kwa A. W. Tozer juu ya Kuabudu

828289

Sura 9 – Kusimama katika Ushindi wa Kristo – Kuchunguza Matukio kupitia MaandikoTaarifa za Huduma

91

94[Maandiko yote katika mafunzo haya yanatoka katika tafsiri ya Biblia Maandiko Matakatifu isipokuwa imeelezwa vingenevyo]

2

Page 5: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Utangulizi wa Kozi

Lengo la Kozi: Kuelewa kanuni za vita vya kiroho na kuzitendea kazi ili kwamba tuweze kuutunza uhuru wetu katika Bwana Yesu Kristo, na baadaye, tuwe watu wanaomwabudu Yeye na tuwe watumishi wenye faida kwa heshima na utukufu wake.

1. Kozi hii imekusudiwa kuwa msaada kwa wale ambao wameyatambua mashambulizi yaadui dhidi ya maisha yao na wale waliochagua ‘kumpinga’. Imewakilishwa kama kozi yaukombozi; hata hivyo, inaweza pia kuwa ya msaada kwa wale ambao hawajafunguliwa(kuwa huru) katika maisha yao.

2. Siyo kwamba Kozi hii imekamilisha kila kitu katika somo la ukombozi, bali imetoamajumuisho yahusuyo ukweli na mafundisho muhimu kwa wale ambao, baada ya kuwawamefunguliwa, wamedhamiria kubakia huru na kukua katika neema na maarifa yaBwana na Mwokozi wao Yesu Kristo.

“Hitaji la leo ni kwa jamii ya watakatifu wanaoshinda, wanaojua namna ya kuendeleza vita kwa ajili ya kufunguliwa kwa wale walio chini ya udanganyifu wa adui. Maisha ya Mkristo ni kuingia kwenye mapigano yasiyo na mwisho katika uwanja wa mapambano. Mkristo hawezi kuweka silaha zake chini hadi atakaposimama mbele za Bwana. Kuondoa mapambano haya katika maisha ya Mkristo ni kumfanya asizae/asiwe na matunda. Maisha ya kiroho ni moja kati ya mambo muhimu ya kiroho kwa sababu anayaishi ili kuelekea kwenye uvamizi dhidi ya maadui wa Mungu wa kiroho. Ni ombi langu Mungu ainue mashujaa wa jinsi hiyo!”Watchman Nee, The Spiritual Man, Vol. 3

Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni shirika ambalo kusudi lake la pekee ni kumtukuza Bwana Yesu Kristo kwa kuwezesha/kufanikisha kuwekwa huru kwa Mwili wa Kristo ulimwenguni pote kupitia ukombozi na maandalizi katika vita vya kiroho. Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni shirika la kidini lisilofungamana na dhehebu (lisilozalisha faida) lenye uhusiano na Christian & Missionary Alliance Denomination. Mafunzo ya Biblia ya Ukombozi na Ushindi wa Vita vya Kiroho ya Lighthouse, yamechapishwa: Franz Reproductions, Minneapolis, MN. Chapisho la kwanza 1990 Chapisho la pili 1992 Chapisho la tatu 1994, Limepitiwa na kusahihishwa 1995; 1996, 2000 Chapisho la nne, Jipya na lililohaririwa 2002. Ushindi wa Vita vya Kiroho Chapisho la tano 2003, 2004, 2005 – Chapisho la Mtandao Nakala za nyongeza za mafunzo haya yanapatikana kwa kuchangia $15.00. Pia, ili kupata nyenzo, taarifa za ziada na ratiba za miadi na mikutano, unaweza kuwasiliana nasi kupitia: Lighthouse Ministry InternationalP.O. Box 120297 Simu: 651 483 0888 St. Paul, MN 55112 Fax: 651 483 1888

www.lighthouseministryintl.orgE mail [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected]

3

Page 6: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura 1 Kuishi kutokana na Umoja na Nafasi yetu Ndani Kristo

Kweli Kuu: Bwana wetu Yesu Kristo anashikilia wadhifa/cheo cha juu katika ulimwengu, na nikiwa mwana wa Mungu, nimeketishwa pamoja naye katika mamlaka ya pekee na ushindi dhidi ya Shetani na wafuasi wake kuzimu, Wafilipi 2:9-11, Waebrania 1:2-4.

Lengo la Somo: Kuielewa mamlaka ya Kristo na kipekee kuchukua kile nilichopata kutokana na nafasi yangu katika Kristo.

Andiko la Msingi/Kuu: Luka 10:19 “Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote

za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru”.

Waefeso 1 – 2:7; Wakolosai 1:13-29; Wakolosai 2:1-15

A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu na Hawa – Bwana Yesu Kristo aliirejesha mamlaka hiyo kwa ajili yetu.

1. Tuliumbwa ili tuitawale nchi na vyote vilivyofanywa na Mungu ndaniyake. Mwanzo 1:28, - “Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaenimkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wabaharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juuya nchi”.

2. Kupitia imani ya Adamu na Hawa katika maneno ya “manuizo” wali (nasisi pamoja nao) poteza nafasi yao ya mamlaka waliyopewa na Mungu.Waliamini na kuweka imani yao kwenye uongo: Kwamba kile Mungualichokuwa amewapa hakikuwa kizuri, hakikukamalika, na kwambawalitaka kukataa mamlaka Yake ili kufikia mfano wa Mungu.Walitamani “upambanuzi wa uongo”, ujuzi wa mema na mabaya,kuliko upambanuzi wa kweli ambao unatokana na uhusiano binafsina Mungu.Soma Mwanzo 3:1-7[Maandiko mengi yatawasilishwa kupitia mafunzo haya. Tafadhali patamuda wa kuyaangalia, yasome na uyatafakari, na mruhusu RohoMtakatifu kuzungumza na wewe binafsi juu ya maandiko hayo. Andikapembeni vidokezo vyako ukingoni. Hii itamruhusu Roho Mtakatifukuitumia Kweli kwako binafsi.]

4

Page 7: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Moja ya matokeo ya hili, ni kwamba mtu alishindwa kufanya kile Mungualichomwambia Kaini lazima afanye kuhusiana na adui yake wa kiroho,ambaye ilikuwa “kumshinda”.Je, adui huyo alikuwa ni nani?___________________________________Mwanzo 4:7 – “Kama ukitenda vyema hutapata kibali? Usipotenda vyemadhambi inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasauishinde”Zingatia: Kama ulisema “dhambi” ndiye adui aliyepaswa kumshinda,umepata.

4. Dhara lingine lilikuwa, kwamba ulimwengu wote ulioumbwa na Munguna kuwekwa chini ya utawala wa mwanadamu ulikuwa kwenye kifungochini ya utawala mpya ulio kinyume cha kisheria.Ni yupi mtawala huyo aliye kinyume cha sheria?_______Soma Warumi 8:19-22.Zingatia: Kama uliema “Shetani”au “Kifungo cha Dhambi” umepata.

B. Bwana Yesu Kristo alikuja na kurejesha mamlaka hii iliyoibiwa katika ulimwengu kupitia misheni yake ya “kuharibu kazi za Shetani“. 1Yohana3:8.

1. Misheni hii ilidhihirishwa katika maisha ya Yesu kwa namna mbali mbali:Jina Lake Maana Halisi ‘Ukombozi’ “Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina

lake Yesu maana yeye ndiye atakayewaokoa watu na dhambi zao.” Mathayo 1:21

Útangulizi katika Huduma yake

Alitumwa kuwafungua waliofungwa

“……Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao…….. na kuwaacha huru waliosetwa” Luka 4:18

Maneno Yake Yalikuwa na Mamlaka “kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka….” Mathayo 7:29

Mahitaji Yake Moja ya tatu ya huduma ya Yesu iliyoandikwa ilikuwa kukabiliana moja kwa moja na roho wabaya.

“Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu”Marko” 5:8

2. Kurejeshwa huku kulikamilishwa pale Mungu alipomfufua Kristo. “katikawafu, akamweka mkono wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sanakuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jinalitajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia;akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu yavitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wakeanayekamilika kwa vyote katika vyote”. Waefeso 1:20-23

Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo, sifa yake, heshima yake, kutangazwa kwake na utukufu wake viko mikononi mwa Mungu na mikononi mwetu. Tumeitwa ili tuwe warithi pamoja na Bwana Mungu Wetu na tushiriki katika vita vya kiroho kwa ajili ya nafsi za wanadamu.

5

Page 8: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

C. Tunapewa nafasi yetu katika Kristo pale tunapomkubali Yesu kuwa Mwokozi wetu, tunanyenyekea Kwake kama Bwana wetu na “tunazaliwa upya”. Kwa hiyo, Roho Mtakatifu hukaa ndani yetu na hutupa nguvu ya kuishi maisha ya ushindi kutokana na nafasi yetu katika Kristo katika ulimwengu wa Roho. Tunachukua nafasi zetu pale tunapokitumia kile tulichopewa! Tumepokea vitu vifuatavyo:

Familia Mpya “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake” Yohana 1:12

Nguvu Mpya “Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu. Ndiye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.” Waefeso 1:13-14

Mamlaka Mpya “Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana. Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye Aba, yaani Baba. Kama ni hivyo, wewe si mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana. Basi u mrithi kwa Mungu.” Wagalatia 4:4-7

Ufalme Mpya “Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa Pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi.”Wakolosai 1:13-14

Nafasi Mpya “Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu.” Waefeso 2:6

Utekelezaji: Tengeneza orodha ya baraka zote za kiroho unazoweza kuzipata katika mistari iliyotangulia hapo juu na mistari ya vifungu vinavyofuata hapa chini. Kisha mwombe Mungu kukufungua macho yako ya kiroho ili kuelewa namna ya kutekeleza kweli hizo katika maisha yako. 1. Tumepewa “ukamilifu” katika Kristo, kwa sababu sisi tu Mwili Wake. Uzima

wake unatupa maisha ya ufufuo ili kwamba tuwe na kila kitu tunachohitaji ilituishi katika maisha ya ushindi tunapompata Kristo.Waefeso 3:19“na kujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyomwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu”.Baraka zangu za rohoni:__________________________________________________________________

2. Tumejazwa kwa Roho Mtakatifu na tunashiriki asili yake ya Uungu kupitia umojatulio nao ndani Yesu Kristo katika maeneo yote ya maisha yetu ambayotumepewa na yako huru kwani hayamilikiwi na adui.

6

Page 9: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Wakolosai 2:9, 10 “Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. Na ninyi mmetilimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka.”

2Petro 1:3 “Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utaua, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.”Baraka zangu za Kiroho:____________________________________________

3. Je Bwana wetu Yesu Kristo yuko wapi?Waefeso 1:20-23 “aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamwekamkono wake kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme, namamlaka, na nguvu na usultani, na kila jina litajwalo wala si ulimwenguni humutu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamwekaawe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa ambalo ndilo mwili wake,ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote”.

1Petro 3:22 “Naye yupo mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni,malaika na enzi na nguvu zikiisha kutitiishwa chini yake.”Baraka zangu za Kiroho:____________________________________________

4. Je sisi tuko wapi kuhusiana na Kristo?Mungu ametufufua pamoja na Kristo na ametuketisha pamoja naye katikaulimwengu wa roho katika Kristo Yesu.Waefeso 2:4-6 “Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenziyake makuu aliyotupenda, hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu yamakosa yetu; alitufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katikaulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu”.Baraka zangu za Kiroho:____________________________________________

D. Yesu Kristo ameihamishia mamlaka yake kwetu katika Agizo Kuu. Katika Mathayo 28:18 & 19, Yesu anawaambia wanafunzi wake, “……..Nimepewamamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, enendeni……..”. Maneno hayo, moja kwa moja yanadokeza uhamishaji wa mamlaka yake kwetu, wanafunzi Wake.

1. Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja na akawapa nguvuna mamlaka kufukuza pepo wote na kuponya magonjwa yote. Jewanafunzi wake waliifanyia nini mamlaka ya Kristo?_________________

Luka 9:1 Marko 6:7-13

2. Mamlaka ya Kristo ilifanywa, si kwa ajili ya wale wanafunzi kumi nawawili tu, bali pia kwa ajili ya wanafunzi wengine ambao walijisalimishaKwake kama Bwana na waliamriwa kwenda kwa Jina lake na kuhudumu.

Wale Sabini walipewa mamlaka ili kuhudumu katika Jina Lake.

7

Page 10: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Utumiaji wa mamlaka hii ya kiroho, katika kulitumia Jina la Bwana Yesu Kristo, dhidi ya nguvu zote za adui, kumewafanya kutambua kuwa mamlaka ya Kristo, kwa hakika, imehamishiwa kwa wanafunzi wake. Luka 10:17-19 “Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako“. Na akawaambia, “Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru”.

Utekelezaji: Je, unaweza kufanya nini kwenye huduma baada ya kujua kuwa Bwana wetu Yesu ameihamishia mamlaka yake kwako?

1. ______________________________________________________2. ______________________________________________________

Kanuni ya Mapambano: Ujasiri wetu katika kumkabili Shetani na wafuasi wake kuzimu umejikita kwenye nafasi yetu ya ushindi katika Kristo iliyo juu ya tawala na mamlaka zote.

Zingatia: Kama majibu yako kwa maswali D1 na D2 yalikuwa: Kutoa pepo, kuomba kwa ajili ya wagonjwa – umepata!

3. Je, Yesu aliipataje nafasi hiyo ya mamlaka kamili na ushindi dhidi yaShetani na wafuasi wake kuzimu kwa ajili yetu?

Bwana wetu Yesu, baada ya ubatizo aliongozwa kwenda nyikani kukutanana adui yetu katika mapambano ya mauti. Ili kutafuta haki yetu yakukabiliana na adui na kutangaza kushindwa kwake, Yesu mwenyewe,kama mwanadamu alipaswa kuzishinda nguvu za Shetani. Alikutana nayekama Adamu wa pili, kama mtu mtakatifu. Aliipitia njia ya Adamuakielekea kwenye nchi ya uharibifu ya mapepo ambako Shetani alitawala.Alikuwa dhaifu, aliyechoka na mwenye njaa. Kwa ufasaha hatuwezi kuiitani vita, kwa tafsiri ya nyakati zetu. Hata hivyo, Yesu alipambana naShetani kupitia Neno la Mungu takatifu, kisha kwa nguvu, alimkemea, nakumwamuru Shetani kuondoka.

Ni hatua iliyoandaliwa, Shetani amefunuliwa wazi wazi kama adui waYesu na ikiwa ni pamoja na miili yetu ya kufa. Sasa Yesu yuko tayarikuanza kuutangaza Ufalme, wa kuponya na wa ukombozi kutoka kwenyeufalme wa Shetani. Mtume Yohana anasema, “Kwa kusudi hili Mwana waMungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi” 1Yohana 3:8. Katikamapambano mengi dhidi ya Shetani wakati wa huduma zilizofuata, kilamara Yesu alipingana na shetani na roho zote chafu kwa maneno makaliya kukemea kwa kuwaamuru “kuondoka”, “kutoka”, na “kutorudi tena”.

8

Page 11: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Basi sasa turudi kwenye tukio la Luka 10 la wale wanafunzi sabini. Katika hali yao ya kusisimuka wakati wakiangalia mapepo yakikimbia katika jina Lake, Yesu anatupa sababu kwa nini adui alilazimika kutii, Akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru”. Wanafunzi hawa walitambua kwa hakika kuwa mamlaka ya Yesu imehamishiwa kwao. Shetani aliweza kutii amri ya wanafunzi vile vile, kama alivyo salimu amri kwenye mamlaka ya Yesu Kristo, Mtakatifu, Mwana wa Adamu.

Katika Marko 5 tunamwona mtu aliyekuwa ameshindikana kupatiwa msaada wowote uliojulikana. Hapa Yesu aliruhusu wanafunzi wake kuona kielelezo cha mamlaka yake katika masuala mazito zaidi ya kipepo. Bila shaka alitaka waone nini mapepo yanaweza kufanya kwa mwanadamu kama yakiachwa bila kushughulikiwa. Yesu alitaka kuwaonyesha wanafunzi wake namna ya kumhurumla mtu aliyepagawa na mapepo na kuwa na shauku dhidi ya Shetani. Mtu huyu asingeweza kufungwa. Alikuwa amejaa ghadabu, hasira, aliyetengwa, mchafu, kifo na mateso vilimkabili. Mapepo yalikuwa yakijaribu kumharibu. Mtu aliyepagawa na mapepo alianguka miguuni pa Yesu na Yesu akalikemea jeshi la mapepo, akayataka yamtoke mtu yule na kuyaruhusu kuwaingia nguruwe ili kuwaonyesha wanafunzi wake kusudi la uharibifu wa mapepo yote, na pia kuonyesha nguvu za Mungu za ukombozi katika kumfungua mtu huyu. Ilikuwa ni baada ya tukio hili ndipo Yesu akawatuma wanafunzi waende na kufanya hivyo hivyo. Ni dhahiri walikuwa na wasiwasi kwa kiasi fulani. Kwa hiyo Yesu anaongeza kwenye mstari wa 19, “wala hakuna kitu kitakachowadhuru”.

4. Ni kwa jinsi gani, sisi kama waamini tunaitendea kazi mamlaka ya Kristo?

Mamlaka ya Kristo na mamlaka yetu katika Yeye inaonyeshwa wazi wazi katikamuktadha wa ukombozi. Yesu alisema kwamba, ni imani yetu Kwake ndiyoinayotupa ujasiri wa kuihamisha milima. Yesu hakusema, “Ombeni kwa ajiliya milima”. Katika Mathayo 17:14-21, kijana aliyepagawa pepo, ambayewanafunzi walishindwa kumtoa, aliletwa kwa Yesu na alifunguliwa kutokana nanguvu za mapepo. Wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”.

Yesu akawaambia, “Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amininawaambia, mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huuOndoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako nenolisilowezekana kwenu” Mathayo 17:20.

Katika kifungu hiki, ni wazi kwamba wanafunzi walikuwa na mamlaka lakinibado walikuwa wanajifunza kusimama kikamilifu katika Kristo dhidi ya adui.Ufunguo huo wa kutumia mamlaka ya Kristo katika maisha yetu ni imani.Bwana wetu alisema kwamba kiasi kidogo cha imani kilitosha kuzungumza namilima (au ngome katika maisha yetu) na kuiamuru kuondoka.

Utekelezaji: Je una imani kiasi cha punje ya haradali? Je, Unawezakuiamuru milima katika maisha yako? ______ Ndiyo ____ Hapana

9

Page 12: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Wanafunzi walidhihirisha kwamba hakika walikuwa na mamlaka ile ile dhidi ya ulimwengu wa mapepo.

Mamlaka hiyo imetolewa kwa watumishi wa Mungu WOTE siyo tu kwa Mitume Kumi na wawili, siyo tu kwa wale sabini,

Bali kwako na kwangu.

*******

Kilikuwa kipindi muhimu kiasi gani katika historia ya mwanadamu! Mamlaka ya Kristo dhidi ya Shetani na mapepo yake imehamishwa kwa mafanikio makubwa

MILELE NA MILELE!!!!! Je, ni nani aliyepewa mamlaka hii? Je walipewa wenye hekima na wasomi walioisomea kwa ufasaha?

Hapana, bali kwa watu walio na imani kama ya mtoto ambao wamemkubali Yesu kwa Neno lake. Yesu alisisimuka sana kiasi kwamba alilipuka kwa kushangilia, Luka 10:21 “Saa ile ile alishangilia kwa Roho Mtakatifu, akasema, nakushukuru, Baba, Bwana wa Mbingu na Nchi, kwa kuwa mambo haya umewaficha wenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga; naam, Baba kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza”.

Utekelezaji: Je, ni akina nani waliopewa imani hii? Soma Luka 10:21, kisha angalia jibu sahihi. ________________ Kwa Wakristo waliokomaa tu ________________ Kwa waamini walio na imani kama ya mtoto ambao wanamkubali Yesu kwa Neno lake

5. Mamlaka ya Kristo, imetolewa waziwazi kwetu pia, kwa ajili ya kuliadabishaKanisa. Soma Mathayo 18:15-20, kisha tazama kama unaweza kuorodheshahatua sahihi za kuliadabisha Kanisa.

a. ____________________________________________________________b. ____________________________________________________________c. ____________________________________________________________d. ____________________________________________________________

Baada ya kuchukua hatua kadhaa katika kuliadabisha kanisa; na kama mwamini habadiliki, Yesu anatuambia tuhamie kwenye ulimwengu wa roho na kuzifunga nguvu za giza zinazoathiri hali hii na kumuathiri mwamini. (Angalia Sura ya 3 Juu ya ya Mafundisho kamili ya Kufunga na Kufungua).

Kanuni ya Mapambano: Mamlaka kwa Mkristo ni haki na kibali cha kulitumia JINA, Bwana Yesu Kristo, dhidi ya adui kwa sababu tumeketishwa ndani Yake kwa imani. Majibu kwa swali D5: 1. Nenda pekee yako kwa ndugu yako na umwambie kosa lake. 2. Chukua mashahidi 2 au 3 pamoja nawe. 3. Liambie Kanisa; 4. Awe kwako kama mpagani au mtoza ushuru-mpende.

6. Je, ni lini/wakati gani tunapokea mamlaka hii kumkabili Shetani na wafuasi wakekuzimu na kusinda kila wakati?Kristo aliihamishia mamlaka yake kwa Kanisa wakati wa Pentekoste akiahidinguvu hiyo itawajia wanafunzi wake Roho Mtakatifu atakapokuja. Matendo 1:8.

10

Page 13: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

7. Je, ni nani aliye chanzo cha nguvu katika maisha yako?Paulo anathibitisha chanzo cha nguvu na kushuhudia juu ya uhalisi wa nguvuhiyo katika maisha yetu. Roho Mtakatifu aliye ndani yetu ndiye chanzo pekeecha nguvu.Waefeso 3:16 Mtume Paulo anaomba, “awajalieni, kwa kadri ya utajiri wautukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake katika utu wandani. Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani….”

E. Tunapomkabili Shetani na wafuasi wake katika vita vya kiroho, hatuwezi kwa nguvu au uwezo wetu wenyewe. Ni lazima tuitambue kwa hakika nguvu na nafasi yetu katika Kristo. “Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana hata pepo wanatutii kwajina lako” Luka 10:17.

1. Kwa sababu ya nafasi yetu katika Kristo; nguvu zote za giza ikiwa ni pamoja naShetani mwenyewe, zaidi ya hayo, tunayo mamlaka dhidi ya kazi zake namakusudi yake. Ni katika utii unaotenda kazi katika mamlaka yetu, katikahiyo, tumefanywa kuwa washindi dhidi ya Shetani.

“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi” 1Yohana 3:8b Katika 1Yohana 4:4, tunasoma, “Ninyi; watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia”.Wakolosai 2:6-10, “Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa mkazidi kutoa shukrani. Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu wala si kwa jinsi ya kimwili. Na ninyi mmemilikiwa katika yeye aliye Kichwa cha enzi yote, na mamlaka”.

2. Tunashiriki katika nafasi na mamlaka ya Kristo tangu sasa na hata milele kwakufanyika warithi pamoja naye.Warumi 8:14-17, “Kwa kuwa wote wanaongozwa na Roho wa Mungu, hao ndiowana wa Mungu. Kwa kuwa hamkupokea tena roho ya utumwa iletayo hofu; balimlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani Baba.Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kuwa sisi tu watoto waMungu, na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamojana Kristo; naama tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye”.Ufunuo 2:26-27 inatupa kidokezo cha majukumu yetu ya baadaye, “Na yeyeashindaye, na kuyatunza matendo yangu hata mwisho, NITAMPA MAMLAKAJUU YA MATAIFA, NAYE ATAWACHUNGA KWA FIMBO YA CHUMA, KAMAVYOMBO VYA MFINYANZI VIPONDWAVYO, kama mimi nami nilivyokea kwaBaba yangu”.

11

Page 14: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Utekelezaji: Orodhesha mambo unayofikiri kuwa ni faida kuu mbili kwa nafasi yetu katika Kristo?1 ____________________________________________________________2 ____________________________________________________________

F. Tunazo nguvu kupitia silaha zetu za kiroho kubomoa/kuvunja ngome zote za adui

1. Katika namna ile ile, ambayo Jenerali anapewa mamlaka na nguvu zakijeshi kumshinda adui, sisi pia tunayo mamlaka na nguvu za Kristokumshinda Shetani na jeshi lake. Jenerali anazo nguvu na mamlaka kupitianafasi yake aliyopewa kutoka kwa wakuu wake. Anazo nguvu zilizopokwa ajili ya kumshinda adui, kwa sababu anasaidiwa na jeshi lote ambalolipo tayari kuitikia amri yake. Jenerali hatumii nguvu zake mwenyewe,bali, zaidi hutumia uwezo aliopewa. Kama mtu mwingine akichukuanafasi hiyo, anakuwa na nguvu ile ile. Katika hali hiyo hiyo, tunayomamlaka juu ya nguvu zote za adui katika nafasi yetu iliyo katika Kristo.Tunazo silaha zenye nguvu kuliko zote katika ulimwengu kwa amriyetu tunamshinda adui. Bwana Yesu Kristo anasimama nyuma yaamri yetu kwa nguvu zake na jeshi lote la mbinguni.

G. Silaha za mapambano yetu ni za kimiujiza. “……………maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome”.2Wakorintho 10:4.

1. Hizi ni pamoja na:a. Damu ya Mwana Kondoo wa Mungub. Jina la Bwana Yesu Kristoc. Neno la ushuhuda wetud. Maisha yetu yaliyosulubishwa ambayo kwa imani humfanya

Mwana wa Mungu mwenye nguvu kuishi kupitia sisi kwanjia ya Roho Mtakatifu.

e. Neno la Mungu lenye nguvu – Biblia Takatifu.

Utekelezaji: Tafadhali, nukuu ni silaha zipi zimejumuishwa katika maandiko yafuatayo: Ufunuo 12:11 Damu ya Mwana Kondoo, Neno la Ushuhuda, Maisha yaliyotolewa kwa Mungu2Wakorintho 10:3-6____________________________________________ Wafilipi 2: 9-11 ____________________________________________ Wagalatia 2:20 _____________________________________________ MAJIBU: Silaha za Kimungu, Jina la Bwana Yesu Kristo, Kristo anaishi ndani mwangu.

12

Page 15: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

H. Tunapojinyenyekeza kwa Mungu kikamilifu, tunaweza kusimama kwa ujasiri dhidi ya Ibilisi na wafuasi wake huko kuzimu.

Utekelezaji: Sisi, Kanisa, tunapaswa kuutangaza ushindi wa Kristo, na kwa Jina lake, kutangaza kushindwa na kuharibiwa kwa nguvu za giza ambazo zinasimama kinyume nasi.

Waefeso 3:8-10, “Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiri mataifa utajiri wake Kristo usiopimika; na kuwaangaza watu wote wajue habari za madaraka ya siri hiyo, ambayo tangu zamani zote ilisitirika, katika Mungu aliyeviumba vitu vyote; ili sasa kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu ilivyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho”

“Mwito wa mwisho vitani dhidhi ya

nguvu za giza ni Uamsho! Lakini

mwisho wa uamsho huo ambao utakuja

kama matokeo ya ushindi dhidi ya

Shetani ni ushindi wa kupaa: Miaka elfu

moja ambapo Bwana Yesu Kristo

atatokea na kumseta Shetani na nguvu

zake zote kuzimu.”

Watchaman Nee,

Mtu wa Rohoni (Kiroho)

13

Page 16: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Katika Kristo Mimi ni……………………………………

1. Mwana wa Mungu (Warumi 8:16)2. Nimekombolewa kutoka mikononi mwa adui (Zaburi 107:2).3. Nimesamehewa (Wakolosai 1:13,14)4. Nimeokolewa kwa neema kwa njia ya imani (Waefeso 2:18).5. Nimehesabiwa haki (Warumi 5:1)6. Nimetakaswa – nimefanywa mtakatifu (1Wakorintho 6:11)7. Kiumbe kipya (2Wakorintho 5:17)8. Mshiriki wa asili yake ya Uungu (2Petro 1:4)9. Nimekombolewa kutoka laana ya sheria (Wagalatia 3:13)10. Nimefunguliwa kutoka nguvu za giza (Wakolosai 1:13).11. Naongozwa na Roho wa Mungu (Warumi 8:14)12. Ninalindwa kila ninapokwenda (Zaburi 91:11)13. Ninapata mahitaji yangu yote kwa Yesu (Wafilipi 4:19).14. Namtwika fadhaa zangu zote Yesu (1Petro 5:7)15. Hodari katika Bwana na nguvu za uweza wake (Waefesi 6:10).16. Nayaweza mambo yote katika Kristo anitiaye nguvu (Wafilipi 4:13).17. Mrithi wa Mungu na mshiriki wa urithi pamoja na Kristo

(Warumi 8:17)18. Mrithi wa baraka za Ibrahimu (Wagalatia 3:13, 14).19. Natunza na kuzifanya sheria/amri za Bwana (K/Torati 28:12)20. Nitabarikiwa nitokapo na niingiapo (K/Torati 28:6).21. Ni mrithi wa uzima wa milele (1Yohana 5:11-12)22. Nimebarikiwa kwa baraka zote za rohoni (Waefeso 1:3).23. Niliponywa kwa kupigwa kwake (1Petro 2:24).24. Ninatumia mamlaka yangu dhidi ya adui (Luka 10:19).25. Mimi ni kichwa, wala si mkia (K/Torati 28:13)26. Ni zaidi ya mshindi (Warumi 8:37)27. Naanzisha ufalme wa Mungu hapa duniani (Mathayo 16:19).28. Mshindi kwa Damu ya Mwana Kondoo na Neno la ushuhuda

(Ufunuo 12:11)29. Namshinda Shetani kila siku (1Yohana 4:4)30. Sivutwi na mambo yanayoonekana (2Wakorintho 4:18).31. Natembea kwa imani na si kwa kuona (2Wakorintho 5:7)32. Naangusha mawazo mabaya.(2Wakorintho 10:4-5)33. Nazitiisha fikra zote (2Wakorintho 10:4-5).34. Nimegeuzwa kufanywa upya nia yangu (Warumi 12:1-2).35. Ni mtenda kazi pamoja na Mungu (1Wakorintho 3:9).36. Mwenye haki wa Mungu katika Kristo (2Wakorintho 5:21).37. Ninamfanana Yesu (Waefeso 5:1).38. Nuru ya ulimwengu (Yohana 8:12)

Utekelezaji: Kila siku tafakari mambo haya; mawili au zaidi kuhusu wewe ni nani kama Mkristo. Utatiwa nguvu kukabiliana na mazingira yo yote na mapigano katika mtazamo na nguvu za Kristo.

14

Page 17: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

“Hakuna nafasi ya kati kati (kutopendelea

upande wowote) katika ulimwengu; kila eneo,

kila sekunde inamilikiwa na Mungu na

Shetani Anaidai/taka.”

C. S. Lewis

15

Page 18: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 2 Silaha za Mungu

ULINZI DHIDI YA KUINGIWA NA MAPEPO TENA Sura zote zinazofuata zitakuandaa ili uendelee kuwa huru

Kweli Kuu: Bwana Yesu Kristo ni silaha yetu.

Lengo ya Kujifunza: Kukariri kila sehemu ya silaha za Mungu na kujifunza namna ya kuzivaa kila siku ili kwamba tuweze kusimama imara katika mapambano dhidi

ya Shetani na kuzitambua njama zake.

Andiko la Msingi/Kuu: Waefeso 6:11 “Vaeni silaha zote za Mungu, ili kwamba mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani”.

Kifungu cha Kujifunza: Waefeso 6:10-18

A. Uwe hodari katika Bwana na uweza wa nguvu zake (Mst. 10) 1. Tunapokuwa tumetakaswa kwa Damu ya Kristo, tumewekwa huru mbali

na ngome zote za adui, na kujazwa kwa Roho Mtakatifu, tunakuwa na nguvu katika Bwana. Tunawezeshwa kwa nguvu za Mungu ambazo hazitokani na sisi wenyewe. Nguvu hizi zinakuja pale Roho Mtakatifu anapokaa ndani yetu kadri tunavyojinyenyekeza kwa Mungu. Roho Mtakatifu anaachiliwa kutoka vilindi vya ndani na kutiririka kama maji yaliyo hai. Hapo ndipo tunapoishi maisha yenye uzima tele.

Je, ni kweli zipi tunaweza kuzipata katika vifungu vifuatavyo? 1Yohana 1:9 1Wakorintho 16:13 2Wakorintho 12:9 Waefeso 1:18-21 Yohana 7: 38 Zaburi 18:29-36

B. Tumeamriwa kuzivaa silaha zote za Mungu ili kwamba tuweze kusimama dhidi ya njama za Shetani (Mstari 11). Je, tunaweza kudanganywa? Je, ni akina nani ambao Shetani

anawatafuta? 2Korintho 11:3 1Petro 5:6-10 Majibu:___________________ ____________________________ Majibu: Ndiyo, Mtu wa kummeza

16

Page 19: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

1. Tumepewa amri ya kuvaa na kuchukua silaha zote na kisha kusimamaimara. Ni lazima tuchukue hatua hizi ikiwa tunataka kufaidika kutokana nasilaha zote za Mungu.

Kanuni ya Mapambano: Tunapozivaa silaha za Mungu, tutazitambua na kusimama imara dhidi ya njama za shetani (Angalia Waefeso 6:11).

2. Mwamini aliyekombolewa yuko tayari sasa kwenda vitani dhidi ya Shetani.Ni lazima awe ameandaliwa na aweze kustahimili katika mapigano.

Jesse Penn-Lewis, Mpiganaji hodari wa Mungu, anayo haya ya kusema juu yahitaji la silaha za Mungu. Hapa kuna mambo matatu juu ya kuvaa silaha zaMungu. Je, unaishi katika faida kamili ya silaha hizo?

“Mwamini anayezivaa silaha zote za Mungu kama kinga na ulinzi dhidiya adui, lazima yeye mwenyewe atembee katika ushindi dhidi ya adui. Nilazima: (1) Roho yake ikaliwe (ijazwe) kwa Roho Mtakatifu, ili atiwenguvu na uwezo wa Mungu kusimama pasipo kuyumba; (2) Akili yakeifanywe upya (Warumi 12:2) ili kwamba ufahamu wake ujazwe na nuruya kweli, (Waefeso 1:18) kuondoa uongo wa shetani, na kuharibu utandoambao Shetani aliuweka; hatimaye awe na akili iliyobainishwa ilikwamba kwa kutumia akili aweze kuelewa kusudi la Mungu ni lipi; (3)mwili wake unyenyekee kwa Roho (1Wakorintho 9:25-27), na utii kwenyekusudi la Mungu katika maisha na utumishi”. Jesse Penn-Lewis. Vitakwa Watakatifu.

C. Vita vyetu ni dhidi ya Shetani na mapepo yake katika ufalme wake wa giza (mstari 12).

1. Ufalme wa Shetani umeandaliwa katika mpangilio wa kijeshi ilikumshambulia Mkristo kwa umakini. Shetani amekuwa akitenda kinyumecha mwanadamu tangu pale kwenye Bustani ya Eden.

a. Mtawala wa nguvu za dunia ni Shetani. Anautawala ufalme wakena kuhodhi vyeo mbalimbali. Hapa chini ni baadhi ya majinayake:� Ibilisi WAefeso 4:27 � Yule Mwovu 1Yohana 5:19 � Beliari 2Wakorintho 6:15 � Mungu (mtawala) wa dunia hii (2Wakorintho 4:4,

Yoh.14:30� Mpinga Kristo (2Wathesalonike. 2:3-10,

1Yoh. 4:3) � Joka Ufunuo 12:9

17

Page 20: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

� Nyoka wa zamani Mwanzo 3:1, Ufunuo 12:9 � Mshitaki wa ndugu zetu Ufunuo 12:10 � Shetani, adui 1Nyakati 21:1

b. Mashambulizi yanaweza kuja kutoka ngazi/viwango mbalimbalivya ufalme wa giza.

1. Wenye mamlaka, wenye uwezo Warumi 8:38;Waefeso 6:12; 1Wakorintho 15:24, Waefeso 1:21, Waefeso3:10, Wakolosai 1:16, 2:10.

2. Mamlaka, Ufalme Waefeso 1:21, Wakolosai 1:6f, 2Petro 2:1

3. Wana waWafalme, Mabwana, nguvu za giza Waefeso6:12, (Angalia ulinganisho hapo juu)

4. Roho Wachafu/wabaya (Malaika wa Ibilisi) 1Samweli18:10, Luka 8:27

5. Wajumbe wa Shetani Mapepo 2Wakorintho 12:7 (na mingine zaidi)

2. Adui anatuia maeneo matatu kushambulia: mwili, dunia, na nguvu zamiujiza miovu.ENEO LA

MASHAMBULIZI TATIZO SULUHISHO

Mwili Wagalatia 5:19-21

MSALABAWarumi 6:6 Wagalatia 5:24

Dunia Yohana 15:18-191Yohana 2:15-17 Tamaa ya macho, kujivuna/dai kwa vile tulivyo navyo

MSALABAWagalatia 6:14 1Yohana 5:3-5

Ibilisi, Mapepo Waefeso 6:12

1Petro 5:8

VITA VYA KIROHO1Yohana 3:8 Yakobo 4:7 Mkaribieni Mungu. Mpingeni Shetani.

Tunapewa mafunzo kwa ajili ya vita vya kiroho

dhidi ya mataifa.

18

Page 21: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Je, nitawezaje kujua kuwa niko kifungoni?

Kuendelea Kushuka katika mzunguko wa dhambi Na Hatua za Kufunguliwa

MFULULIZO WA DHAMBI HATUA ZA KUFUNGULIWA(Yakobo 1:13-14) (Yohana 8:36)

Hatua Kuelekea Kufunguliwa MAWAZO YA DHAMBI MAWAZO SAHIHI/MAZURI UCHAGUZI MBAYA UCHAGUZI SAHIHI/MZURI TABIA MBAYA KUJIZUIA

KUPOTEZA MWELEKEO KUJIDHIBITI KIFUNGO UKOMBOZI

Yakobo 4:7 UDHIBITI KAMILI KATIKA MAENEO YOTE YA MAISHA YAKO

(Miujiza Miovu imejenga ngome-matokeo yake ni udhibiti wa mapepo-ukombozi ni muhimu ili kuwekwa huru)

D. Tutaweza kupingana na kusimama katika siku ya uovu tutakapovaa silaha zote za Mungu (mstari 13).

“Twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama” Mst. 13.

1. “Kutwaa” maana yake ni “kukamata/kushika”. Ni picha ya askarikuweka sawa vifaa vyake vya vita, kwa hekima na katika mpangilio. Hakuna kinakachokuwa mahali pasipofaa. Hakuna kinachokosekana.

2. “Silaha zote za Mungu” – Kila aina ya silaha inaelezewa kwa mfano wasura ya Kristo. Tutaona ni kwa namna gani kila aina inatumika katikaushindi wetu.

3. “Siku za Uovu” - ni nyakati au majira ya mashambulizi makali. Ayubualipitia “siku za uovu”ambazo zilisababishwa na Shetani, lakiniziliruhusiwa na Mungu ili kumjaribu, kumthibitisha, kumsaidia kupevukana kumtengenezea unyenyekevu katika kupambanua mambo ya rohonimtu wa Mungu aliyeandaliwa kuwahudumia wengine (Ayubu 42:8). Sasa,kwa kuwa umewekwa huru, mapambano unayokabiliana nayoyatalitimiza kusudi la Mungu. Je matokeo yake yatakuwa nini auyapi? Soma kwanza mistari ifuatayo:1Petro 1:3-9Kusudi la vita vya kiroho kwangu ni_______________________________________________________________________________________Muhimu: Majibu yanaweza kuwa-nifinyange na unifundishe kuomba na kupiganiawengine.

19

Page 22: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

4. “Tunasimama imara” kwa kujinyenyekeza kwa Mungu, kuchukua nafasizetu katika Kristo na kumpinga Shetani. Tunaposimama imara tunakuwawashindi kiroho. Tunahakikishiwa kuwa mashambulizi yanakapokwisha,bado tutaendelea kusimama imara na bado tukiwa thabiti (1Petro 5:8-10).

“Hakuna likizo katika ulimwengu wa roho….. Hakuna bali silaha za Mungu zitatufanikisha katika mapigano haya hatari ambayo tumejiingiza. Hakuna ulinzi, hakuna tunaloweza kufanya ambalo hatimaye litatulinda dhidi ya adui huyu anayetutia hofu, mwerevu na mwenye nguvu bali ni Silaha zote za Mungu tu”. Dr. Martini Lloyd Jones, Askari Mkristo

E. Silaha za Mungu (Mistari 13-17) “Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake” Warumi 13:14.

Kanuni ya Mapambano: Kuvaa kwetu silaha zote ni sifa ya msingi katika uwezo wetu wa kusimama wakati wa shambulizi la kipepo.

1. Jifunge MKANDA WA KWELI kiunoni mwako (Mstari 14)“Basi simameni hali mmejifunga kweli viunoni……” Mst. 14.

a. Kusimama ni nafasi ya ukakamavu ya askari ambayo inaonyeshakwamba hatutakiwi kutoka nje ya nafasi yetu katika jeshi. Hatufanyikazi inayofanana, lakini tunashiriki kusudi moja la kijeshi: kulishindajeshi la Shetani kupitia ushindi ulio katika Bwana Yesu Kristo nakuzifichua hazina kutoka gizani. Soma Isaya 45:2-3. Je, unafikirihazina zilizofichika gizani nizipi?_______________________________________________MAJIBU YANAYOTARAJIWA: Waliopotea, roho za watu ambao badohawajaokolewa, watu walio kifungoni

b. “Kujifunga kweli viunoni” kunamaanisha kuvizungushia aukuvivalisha viuno vyetu mkanda wa Kweli. Askari wa Kirumi alivaamkanda mpana sana. Huu ulikuwa sehemu muhimu katika vifaa vyakevya kijeshi. Katika sehemu moja kulikuwa na kitanzi kwa ajili yaupanga, kitanzi kingine kilikuwa na mijeledi/ugwe mitatu ya ngoziiliyoning’inia kutoka hapo; kulikuwa pia na mfuko wa mgawo.(Angalia kielelezo kwenye ukurasa wa 28-30).

c. Kweli inaakisi/ashiria Uhalisia (ukweli) ambao ni Mungu. Mungumwenyewe ametushirikisha kile ambacho ni halisi katika maeneo yetuya kibinadamu. Aliileta Kweli hii duniani kupitia Mwanae. Munguanaongea kupitia Biblia Takatifu; na Mwanae; na Roho Mtakatifukutukumbusha sisi juu ya hiyo Kweli. Soma mistari ifuatayo nauandike tafsiri yako ya neno “Kweli’.Yohana 8: 31-32 Yohana 14:16, 17

20

Page 23: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Kweli ni____________________________________________.

Utekelezaji: Mkanda wa hiyo Kweli unakuwa na faida pale tunapochukua msimamo usioyumba katika Neno la Mungu katika kukabiliana na uongo. Jibu kwa swali E 1c: Nafsi ya Bwana Yesu Kristo, Roho Mtakatifu ni Roho ya Kweli.

2. Kuvaa DIRII YA HAKI (Mst. 14)a. Dirii ya Kirumi ilitengenezwa kwa shaba au chuma. Ilishikiliwa

kwenye mkanda kwa mijeledi/ugwe mitatu ya ngozi ambayoimeshatajwa hapo juu ambayo ilining’inia kwenye mkanda. Diriihii ilifanya kazi ya ulinzi kwa ajili ya viungo muhimu vya mwili– moyo na mapafu. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa 28-30).

b. Kama sehemu ya kuhifadhi maandiko, Moyo ni lazima ulindwe.Dhamira na moyo huamua mwelekeo wa akili na tabia ya askariMkristo; na ni lazima asishutumiwe kwa lo lote. Tunatambuaumuhimu wa kutembea kwenye kweli katika mistari ifuatayo:

Zaburi 19: 14, Zaburi 119:11 Mithali 4:20-23

c. Haki ni nini? Haki ni uadilifu mbele za Mungu kupitia Bwanawetu Yesu Kristo. Kristo ni kielelezo chetu cha uadilifu, usafi,hekima, na utakatifu. Tunapodai haki yake, mshitaki hawezikutuingilia kwa mashitaka yake.

“Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwenu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu na ukombozi; kusudi, kama ilivyoandikwa, YEYE AONAYE FAHARI NA AONE FAHARI JUU YA BWANA”1Wakorintho 1:30, 31

Je, wewe unaweza kuitafsiri haki kwa namna gani?____________________________________________________________________________________________________________

d. Nabii Yeremiha, alitabiri hili kwenye Yeremia 23:6, “… na jinalake atakaloitwa ni hili, BWANA ni haki yetu”.

e. Baada ya kufa na kufufuka kwa Kristo, tunasoma juu ya utimilifukatika Warumi 5:18, “Basi tena, kama kwa kosa moja watu wotewalihukumiwa adhabu, kadhalika kwa tendo moja la haki watuwote walihesabiwa haki yenye uzima.”2Wakorintho 5:21 – “Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwadhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katikaKristo.”

21

Page 24: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

f. Utekelezaji: Tunapodhamiria mioyoni mwetu kutojinajisi nakudai haki ya Kristo kama yetu, tunasimama imara dhidi yamashitaka ya Shetani.

“Basi tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwa upande wetu, ni nani aliye juu yetu? Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye? Ni nani atajakayewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki” Warumi 8:31-33

g. Utekelezaji: Mshukuru Bwana Yesu Kristo kila siku kwambaunasimama katika haki yake. Jiwekee malengo kwambahutajinajisi na dhambi, na dunia, au na mashitaka ya Shetani.

3. “KUFUNGIWA MIGUU UTAYARI TUPATAO KWA INJILI YAAMANI” AU “KATIKA MIGUU YAKO KUWE NA UTAYARIAMBAO UNATOKANA NA INJILI YA AMANI” (Mst. 15).

a. Miguu yako ni lazima iwe imejiweka tayari kwa vita. Viatu vyaKirumi vilikuwa vya kamba za ngozi vikiwa na njumu chini ilikurahisisha utembeaji na kushikilia sana nafasi yake wakati wakupambana na adui. (Angalia kielelezo kwenye ukurasa 28-30).

Kanuni ya Mapigano: Hakuna kurudi nyuma mara unapoamua kupambana na adui. Shikilia kwa nguvu msimamo ulioutangaza.

b. “Utayari” au “Maandalizi” ni nafasi tunayoipata baada yakuelewa umuhimu kamili wa Injili ya amani, ambayoimetupatanisha na Mungu na wanadamu wenzetu. Injili hii nitangazo la kushindwa kwa ufalme wote wa Shetani.

c. Je, ni kweli ipi unaweza kuupata kuhusiana na aina hii ya silahakutoka mistari ifuatayo?

1. Luka 12:35__________________________________2. Yohana 14:2_________________________________3. Warumi 10:15__________________________________4. Waefeso 3:8-10_________________________________5. Wakolosai 1:20-23_______________________________6. Wakolosai 3:15__________________________________

22

Page 25: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

d. Utekelezaji: Kutangaza msimamo wako wa ushindi katika Injili yaAmani:“Ninatangaza kwamba nimenunuliwa kwa Damu ya thamani yaBwana Yesu Kristo. Kumbukumbu za dhambi zimefutwa.Nimesamehewa na ninasimama kama mwenye haki wa Kristo. Ninaamani na Mungu. Nimekubali kuwasamehe wote walionionea kwamsamaha wa Bwana wangu Yesu Kristo, na ninafuta kumbukumbuzao za mabaya waliyonitenda. Ninawabariki wale walionilaani nakuamua kuwafanyia mema wale walionifanyia mabaya. Nasimamaimara katika Injili ya amani na kudai ujasiri wa Kristo kwakuitangaza pasipo hofu Injili ambayo kwayo nimekuwa baloziwake”.Majibu kwa swali E – 3, b: 1. Jivike utayari. 2. Yesu ametuachia amani, nasiyo moyo wa hofu na unaosumbuka.; 3. Wale wanaoleta kwa furaha taarifaza kushindwa kwa Shetani, na habari njema za Injili wanayo “Miguu mizuri”;4. Shetani na watenda kazi wake wametaarifiwa juu ya Hekima ya Mungu. 5.Tumepatanishwa na Mungu na kuwa na amani kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. 6. Tunairuhusu amani ya Mungu kuwa mtawala (mwamuzi) katika mioyo yetu.

4. Zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya Imani ili kwa hiyo muweze kuizima mishaleyote yenye moto ya yule mwovu (mst. 16).“Basi kama mlivyompokea Kristo, Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katikayeye; wenye shina na wenye kujengwa katika yeye mmefanywa imara kwa imani,kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani” Wakolosai 2:6-7.

a. “Kuitwaa ngao ya imani” kunamaanisha kuichukua imani kila wakatikwa ajili ya vita. Ngao ya Kirumi ilitengenezwa kwa umakini ili iwezekutumika mara moja inapohitajika. Wakati wa maandalizi ya kuingiakwenye mapambano, ngao hii ililowekwa kwenye maji ili kuzimamishale ya moto ya adui. Kwa Mkristo, Neno la Mungu ni majiambayo yanatakiwa kuiloweka ngao ya imani yetu. Ili tuweze kutumiangao ya imani yetu, ni lazima tujikifu wenyewe kwenye Kweli yaNeno la Mungu, kwa sababu ni hilo tu ndilo linaloweza kuzima motowa mawazo na mashambulizi ya akili ya adui (Angalia kielelezoukurasa 28-30).

b. Imani ni nini? Imani ni tumaini la mtu binafsi katika nafsi ya BwanaYesu Kristo. Imani ni kuwa na mtazamo wa Kristo. Ni kumwaminiYesu katika kufanikisha mahitaji yetu yote. Kwa habari ya ahadi zaMungu, imani yetu ni hakika ya mambo yatarajiwayo na bayana kwamambo yasiyoonekana. Tumechagua kuliamini Neno la Munguhata kama halikubaliani na ufahamu, hisia, mazingira yetu auuongo wa Shetani.

c. Utekelezaji:Je, ni kweli ipi juu ya ngao yako ya imani inaweza kupatikana kwenyemistari hii?:Waebrania 11:1_______________________________________Mithali 30:5__________________________________________Mathayo 17:19-20_____________________________________

23

Page 26: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Marko 11:22-24_______________________________________ Luka 17:5-6__________________________________________ Majibu kwa maswali E-4, b: 1. Tafsiri/maana ya Imani; 2. Mungu na Neno lake ndio ngao yetu ya Imani; 3. Ukubwa wa wa imani kiasi cha mbegu ya haradali kinaweza kuhamisha milima na kufukuza mapepo; 4. Kuomba kwa imani huleta majibu; 5. Yesu anaeleza kazi ya kiwango kidogo cha imani kwamba ni cha muhimu sana katika vita vya kiroho.

d. Kuna njia nne za kutekeleza amri ya “kuitwaa ngao ya imani”:1. Kulichukua (kulisoma) Neno la Mungu kila siku ili

kuimarisha ngao yako Warumi 10:172. Kudai ahadi za Mungu kwa imani kama msingi wa kila

unalotenda Waebrania 11:17-183. Kujazwa kwa Roho Mtakatifu na kuonyesha matunda ya

Roho Mtakatifu Waefeso 5:18, Wagalatia 5:22,234. Kuitwaa ngao ya imani mara moja (haraka) unapokuwa

kwenye mapambano 1Petro 1:6,7,135. Wakati wote jishughulishe na masuala yanayomhusu Kristo

na uwe na ushirika naye 1Petro 1:8, Wakolosai 3:1,Waebrania 12:1-2.

e. Adui ana mbinu katika mikakati yake ya kututoa kwenye imaniyetu. Baadhi ya mambo ya kawaida yanayoshambulia imani ni:mashaka, hofu, kutotenda, kutoamini, na utepetevu (hali yakutojali). Hii itajadiliwa kwa kina (undani) katika sura ya tanojuu ya “Kushinda Vita vya Akili”.

f. Utekelezaji: Ninaichukua ngao yangu ya imani na kuchaguakuiamini na kuitangaza kweli ya Mungu katika maeneo ambaokuna mwako wa uongo au ushauri wa adui.

5. Kuchukua CHAPEO YA WOKOVU (Mst. 17).a. Kwa kuwa Kristo ndiye kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa, hivyo, Ndiye

kichwa chetu. Chapeo ya Wokovu inawakilisha nafasi yetu ya ushindi; baada yakuupata ukombozi wetu kutoka kwenye ufalme wa giza na nafasi yetu yakudumu kama wana wa Mungu.

b. Chapeo ya Kirumi ilikuwa na kibwenzi cha rangi nyekundu ya kung’aa ili kumta- mbulisha. Kama chapeo ya Kirumi ilivyomtambulisha askari kwamba ni wakutoka jeshi gani alilopigania, kwa hiyo wokovu wetu unatutambulisha kwa aduikama askari wa Msalaba ambao wanatembea chini ya Damu ya Mwana Kondoo.“Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalmewa Mwana wa Pendo lake” Wakolosai 1:13

c. Akili ya mwanadamu iko vitani ambako Shetani na roho wake wabayahupambana dhidi ya kweli kwa kupandikiza mawazo, ushauri, kutafakari vibaya,kudhania, kupotosha na fikra potofu. Ngome za adui ambazo zimekaa katika akiliziliharibiwa na kuondolewa wakati wa ukombozi, lakini sasa akili ni lazimairejeshwe kwenye hali iliyo njema ambayo Mungu aliikusudia kuijenga upyakatika kweli yake. (Angalia Sura ya 5 yenye kichwa: “Kushinda Vita vya Akili”).

24

Page 27: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

“Maana ingawa tunaenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsia ya mwili; (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacha juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo” 2Wakorintho 10:3-4.

Je, mistari hii inazungumzia nini kuhusiana na akili?Wafilipi 2:12-13 Warumi 12:2

d. Bwana wetu Yesu Kristo ni mwokozi wetu kutoka kwa adui zetu.Unabii wa Zekaria kuhusu Kristo unatimizwa:

“Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa. Ametusimamishia pembe ya wokovu katika mlango wa Daudi, mtumishi wake - Kama alivyosema tangu mwanzo kwa kinywa cha manabii wake watakatifu - Tuokolewe na adui zetu na mikononi mwao wote wanotuchukia; Ili kuwatendea rehema baba zetu, na kulikumbuka agano lake takatifu; Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu, Ya kwamba atatujalia sisi, tuokoke mikoni mwa adui zetu, na kumwabudu pasipo hofu, kwa utakatifu na kwa haki mbele zake ziku zote” Luka 1:68-75.

e. Chapeo ya wokovu inawakilisha ukombozi wetu na nafasi yetu katikaUfalme wa Nuru kama askari wa Kristo.

f. Utekelezaji: Je, ni namna gani tunaweza kushughulikia mashutumu ya aduidhidi ya nafasi yetu ya ukombozi katika Kristo na ushirika wenyemshikamano tulio nao katika Kristo?

1. Usiache mawazo au mishale kuweka mizizi – ambayoitakufanya utende dhambi. Yakatae mara moja yanapojuakwa mara ya kwanza, Yakobo 4:7.

2. Jifunze kuitambua tofauti kati ya fikra zako na fikra zaShetani na mapepo. Adui mara nyingi ataongea katika nafsi yakwanza ili kukufanya ufikiri kwamba hayo ni mawazo yako.Kwa mfano: “Mimi ni mtu wa kushindwa”. Kamaunachokisikia siyo cha kweli na hakilingani na Kweli juu yaMungu au wewe ulivyo katika Kristo, basi hayo yanatoka kwaadui.

3. Njia ya kawaida sana ambayo Shetani anakupata ni kupitiaakili yako. Kama ataipata akili yako, amekwishakuushambulia utu wako. 2Wakorintho 10:4-5. Mara mojatambua uongo wake na ongea kweli badala yake.Hii ni kanuniya mapambano ya mashambulizi. Unavyoyapinga mapemamashambulizi, ndivyo uharibifu unakuwa mdogo.

4. Kama adui atashambulia hisia zako, zisalimishe hisia zako kwaBwana Yesu Kristo na dai hisia na maisha yake kama mwitikiowako.“Ninayeweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu” Wafilipi4:13

25

Page 28: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

6. Chukua UPANGA WA ROHO ambao ni NENO LA MUNGU (Mst. 17).a. Tunatumia silaha za kujihami kwa kuongea neno la Mungu kama vile Yesu

alivyofanya alipokuwa akijaribiwa nyikani, pale aliposema na Shetani,

“Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako,umwabudu yeye peke yake. Kisha Ibilisi akamwacha……”. Mathayo 4:10-11.

Utekelezaji: Tumia mstari sahihi dhidi ya uongo au mikakati ya adui naitaharibu mpango wa Shetani dhidi yako.

b. Je Mungu anasema nini juu ya nguvu na kusudi la Neno lake?1. “Wana amani nyingi waipendao sheria yako, wala hawana la

kuwakwaza”. Zaburi 119:165.2. 2Timotheo 2:15 inatupa changamoto kulitumia Neno la Mungu

kwa uangalifu na usahihi, “Jitahidi kujionyesha kuwaumekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu yakutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli”.

3. Nguvu ya Neno la Mungu inaonyeshwa kwa usahihi kabisakwenye Waebrania 4:12, “Maana Neno la Mungu li hai, tena linanguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili,tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo namafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawaoz namakusudi ya moyo”.

c. Upanga wa Kirumi ulijulikana katika ulimwengu mzima kama upanga ukataokuwili, mkali na silaha iliyoogopwa sana. Askari wa Kirumi hakuachana naowakati wo wote, usiku au mchana. Ilikuwa ni silaha yake ya msingi ya ulinzi.(Angalia kielelezo kwenye ukurasa wa 30). Kwa hiyo, vivyo hivyo, tunatakiwakuijua silaha yetu kwa kusoma na kutafakari Neno la Mungu usiku na mchana.Tunapopambana dhidi ya Shetani na majeshi yake, matumizi sahihi ya Neno laMungu litafanikisha kumshinda. Shetani anatetemeka anaposikia Neno laMungu. Anajua kwamba ni silaha ambayo itamsababishia yeye kukimbia.

7. KUOMBA/KUSALI WAKATI WOTE KATIKA ROHO NA KUKESHA NAKUWAOMBEA WATAKATIFU (Mstari 18)

a. Ni Roho wa Mungu tu ajuaye namna tunavyopaswa kuomba. Tunapoomba,kwanza, tujisalimishe kwa Baba wa Mbinguni katika Jina la Bwana YesuKristo. Tunamwomba atuonyeshe namna ya kuomba sawa sawa na mapenziyake. Jipe muda kumsubiri Bwana na msikilize Yeye!!!!!!!!

b. Tunapata nguvu ya kupigana na adui na tunayakomboa maeneo kutoka kwakepale tunapoomba kwa ajili ya watakatifu ambao nao wanapitia majaribu namateso. Maombi hutusaidia tusiangukie katika mitego ya adui. Yesualizungumza na wanafunzi wake katika kipindi cha majonzi yake makubwa,wakati alipokuwa akimwombea kila mmoja,

“Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho I radhi, lakini mwili nidhaifu”. Mathayo 26:41.

26

Page 29: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

c. Paulo aliwataka watakatifu kuomba kwamba apata ujasiri kutangaza Injilipasipo uoga/hofu. Askari wa Kirumi alijulikana kwa ujasiri wake nakutokuwa na hofu. Waefeso 6:19-20. Kama Paulo, sisi Wakristo tunawezakuombeana ili kwamba tupewe ujasiri tuweze kutangaza Injili pasipohofu/uoga.

d. Je, tunawezaje kujua kuwa tunaomba katika Roho? Kama unataka kuwana uhakika kwamba unaomba katika Roho, omba kwa kutumia Neno laMungu. Pole pole utapata uhuru zaidi na zaidi katika Roho kuomba katikamapenzi ya Mungu.

e. Utekelezaji: Hapa/hizi ni kanuni za kutumia katika maombi kwa ajiliyetu na wengine ili kwamba ufalme wa Mungu uweze kusonga mbele.

1. Waefeso 1:15-23 - Omba kwa ajili yako kwanza na fuatia nawengine.

2. Waefeso 3:14-21 – Omba kwa ajili ya uwezo, nguvu, uwepowa Kristo, na uwezo wa kuelewa namna upendo wa Kristounavyofanya kazi ndani ya Kanisa.

3. 2Wakorintho 4:3-4 - Mwamuru Shetani kuvua vinga/upofuwake kwenye ufahamu/akili za wasio amini, wale ambaounawoambea ili kwamba waweze kuelewa Injili nakumpokea Kristo.

4. Wafilipi 3:10-11 - Omba kumjua Kristo, nguvu Zake, kuwana ushirika naye katika mateso yake.

5. Wafilipi 4:6-7 - Omba badala ya kuogopa.6. Ezekieli 22:30-31 - Simama kama mwombezi kwa wale

unaowapenda, watakatifu, na taifa kadri Roho Mtakatifuatakavyokuongoza.

7. 2Wathesalonike 1:11-12 – Omba kwamba kusudi la Munguliweze kutimizwa kupitia wewe ili Bwana wetu Yesu Kristoaweze kutukuzwa.

8. 2Wathesalonike 3:1-3 - Omba kwa ajili yako na Wakristowengine ili kwamba muweze kukombolewa dhidi ya watuwabaya na awaimarishe kwa ajili ya vita.

9. 1Timotheo 2:1-4 - Omba kwa ajili ya viongozi na watuwote, kadri Roho Mtakatifu anakavyokuongoza, ili wawezekuokolewa.

27

Page 30: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Mavazi ya Askari wa Kirumi na Vitendea Kazi (vifaa) vya Vita

Askari wa Kirumi – Karne ya Kwanza Mtume Paulo kwenye Waefeso sura ya 6 anazielezea Silaha za Mungu. Katika kipindi

hicho alikuwa amefungwa chini ya Askari wa Kirumi ambaye alivaa mavazi kama hayo.

Mkanda wa Kirumi – Mkanda wa Kweli

28

Page 31: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Silaha za Kirumi – Karne ya Kwanza

Dirii ya Kirumi – Dirii ya Haki

Viatu vya Kirumi vilivyovaliwa wakati wa vita

Ngao ya Kirumi – Karne ya Kwanza.

29

Page 32: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Silaha za Askari wa Kirumi

Kofia (Chapeo) ya Kirumi yenye kibwenzi chekundi – Kofia (Chapeo) ya Wokovu

Upanga wa Kirumi Ukatao Kuwili – Neno la Mungu

Jeshi la Kirumi likiwa kamili na Vitendea Kazi tayari kwa Mapambano Sisi ni Askari wa Msalaba, tumeandaliwa vema

kwa Silaha za Mungu.

30

Page 33: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 3 Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho Mathayo 12:29; Capt. 16:19; Capt. 18:1

Kweli Kuu: Tumepewa mamlaka katika Kristo kumfunga Shetani na Wafuasi Wake.

Lengo la Somo: Kuelewa namna ya kushiriki katika vita tulivyoamriwa na namna ya kuzifunga nguvu za giza na kuwafungua watu kutoka kwa adui kwa uongozi wa

Roho Mtakatifu.

Andiko la Msingi/Kuu: Mathayo 12:29 “……..Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na

kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoteka nyumba yake”.

A. Kanuni za Mapambano. 1. Wakati wote tutende kwa utii kwenye kusudi la Mungu lililofunuliwa.

Usifanye tendo linalojitegemea, bali subiri kujua Kusudi la Mungu.Mistari ifuatayo inatuhamasisha kuwa watii Yakobo 1:22-25 1Petro 1:13-16

2. Wakati wote tunatunza mfumo wa mapambano kwakujisalimisha/kumkaribia Mungu kwanza na kumpinga ShetaniYakobok 4:7

3. Wakati wote ongea kwa sauti na adui. Bwana wetu kwa sautialimwamuru adui kuondoka. Shetani hana uwezo wa kusoma akili zetu.Yesu aliweka kielelezo kwa ajili yetu katika mistari ifuatayo kwa kuongeakwa sauti na adui.Mathayo 4:10 Marko 8:33 Marko 9:25Kwenye Luka 10:17 wale sabini walishangilia kwa furaha kwa jinsimapepo yalivyowatii walionena kwa jina la Yesu.

4. Tunakuwa tunakabiliana na adui moja kwa moja, kamwe hatuko kwenyemaombi. Tunakuwa kwenye nafasi ya vita tukiwa na macho yaliyo waziwakati tunaongea moja kwa moja na Shetani na roho wake wachafu.Bwana wetu alikuwa kielelezo mara kwa mara. Vivyo hivyo, wanafunziwake pia walifanya.Marko 9:25 Matendo 13:9-10

31

Page 34: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Kanuni ya Mapambano: Vita vyote vya Kiroho vinafanyika chini ya usimamizi mzuri wa mamlaka na katika utii wa amri za Bwana wetu.

B. Tumekwisha pewa funguo za ufalme ili kufunga na kufungua katika ulimwengu wa roho ili ufalme wa Mungu usonge mbele. “Katika vita vya kiroho, “kufunga”, ni mchakato wa maongezi ya kiroho katika huo “tunamfunga”, “tunaweka pingu miguuni”, au “kumzuia kutembea” au “kuingia” Shetani na wafuasi wake kuzimu katika namna ya mtu au hali (Greek deh’ o-kuwa kifungoni).

“Ufungaji”ni mchakato wa maongezi wa kiroho ambao katika huo “tunaacha huru”, “tunavua”, tunafukuza (kuruhusu kuondoka), tunayeyusha, tunasimamisha (kufunga) au tunaachisha”. Utawala, ushawishi au kufanikiwa kwa shetani na wafuasi wake kuzimu ndani ya mtu aliyekusudiwa au hali. [Greek – lu o – kulegeza, kuvua, kuyeyusha, kumalizia (hitimisho)]

C. Kanuni za Kufunga na Kufungua katika Vita vya Kiroho.

1. Mungu hatafanya kwa ajili yetu cho chote ambacho amekwishatuandaa kukifanya wenyewe.Tumekwisha pewa uhuru wa kufanya ambao Mungu hatauingilia. Nilazima tuchague kutumia nyenzo ambazo Mungu amekwisha tupatia.

“Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakwua limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni” Mathayo 16:19.“….. Kwa maana, amini, nawambia, mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtaumbia mlima huu ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisowezekana kwenu”. Mathayo 17:20b

2. Ni lazima tusonge mbele dhidi ya adui chini ya amri tu. Kwa kuwaBwana Yesu Kristo ni kamanda wetu wa wenyeji wa mbinguni, basitunapojinyenyekeza kwake, tunamsubiri yeye kutupa maelekezokuhusiana na vita vya kiroho. Tunakuja kwa Baba yetu wa Mbingunikatika Jina la Bwana Yesu Kristo katika maombi na kumwombaatuonyeshe namna tunavyoweza kumfunga adui na wafuasi wake kuzimukatika mazingira au mtu fulani.a. Mungu hutupa hekima kwa ajili ya vita Mithali 20:18 b. Hutuandaa Zaburi 18:33-39 c. Wale sabini walirudi na ushindi baada ya kufuata mpango wa vita Luka 10:17-23 d. Tunahamasishwa kufuatia mpango wa maisha

ambao Mungu ameuandaa kwa kila mmoja wetu Waefeso 2:10

32

Page 35: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Mathayo 8:8-9: “…… Bwana, mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona. Kwa maana mimi nami ni mtu niliwekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu Njoo, huja; na mtumwa wangu, fanya hivi, hufanya”.

3. Tunatakiwa kuelewa kwamba ulimwengu wote wa roho unaendeshwana mamlaka sahihi. Bwana alimsifia yule askari kwa imani kubwa iliyona msingi wa ufahamu wa mamlaka. Tayari tumejifunza namna gani,katika Kristo, tumekwisha pewa mamlaka dhidi ya nguvu zote za adui.Tunaweza kumfunga adui na kumfungua katika maisha yetu kutokana nautawala wake. Tunaweza pia kuchukua mamlaka dhidi ya nguvu zote zaadui na kumfunga kwa wale walio chini ya mamlaka yetu. Kwa maranyingine tena, kufunga na kufungua kwa ujumla kunategemea Kusudi laKamanda wetu, Bwana Yesu Kristo.Ni lazima kila wakati tutafute/tufuate maelekezo/maagizo kutokakwake kabla ya kufunga na/au kufungua.

4. Kila kujihusisha kwetu katika ulimwengu wa adui usioonekana katikaulimwengu wa roho kunafanyika kwa imani katika Mwana wa Mungu nakatika Neno la Mungu. Askari aliamini kwamba hakika Yesu alikuwa KamandaMkuu wa ulimwengu wote wa roho na viumbe hivi vyote vitaziitikia amri zake.Alijua kwamba roho wabaya wamesababisha magonjwa kwa mtumishi wake.

5. Ni lazima pia tukubali kuamini kuwa, tumekwisha pewa mamlaka yake ilikufunga na kufungua katika ulimwengu wa roho ili mradi tunaji nyenye- keza Kwake kwa ajili ya maagizo.

6. Kufunga na Kufungua katika ulimwengu wa roho ni nyenzo tulizopewa ilikueneza Injili. Adui hupumbuza akili za wale wasioamini ili asiweze kuipokeaInjili. Tunapomfunga Shetani kwenye akili, hisia, na mwili wa mtu asiyeamini,tunamsaidia ili kwamba mtu huyu aweze kuisikia kweli, aokolewe na kuwekwahuru.

a. Mathayo 16:19 – Hizi ndizo funguo: Kufunga na Kufungua“Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakwua limefungwa mbinguni; na lo lote utkalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni” .

b. 2Wakorintho 4:3-4 – Tunapofunga, tunamfanya Shetani ashindwekufunga akili za mtu asiyeamini kwa hiyo anaweza kuielewa Injili.

7. Kwa kawaida tunayo mamlaka ya kufnga na kufungua kwa niaba ya waleambao wako chini ya mamlaka yetu. Askari aliielewa mamlaka hii palealipoongea na Yesu juu ya mtumishi wake aliyepooza. Yesu alitaka kwendanaye ili amponye mtumishi wake, na askari akadhihirisha uelewa wake juu yamamlaka katika ulimwengu wa roho.Mathayo 8:7-8

33

Page 36: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

8. Tunapoingia nyumba ya mtu mwenye nguvu kuviondoa vitu anavyovimiliki, nilazima kwanza tumfunge mtu mwenye nguvu. Mtu huyu mwenye nguvu niShetani. Muktadha wa kifungu hiki ni ukombozi. Baada ya kuwa tumemfungamtu huyu mwenye nguvu, tunaweza kuingia kwenye milki yake, kufungawatumishi wake waovu, na kuawaamuru kwenda kuzimu, ili kwamba tuwezekudai tena maeneo yetu ya maisha ambayo yalikuwa chini ya umiliki wake. Yesuametupa amri katika mistari ifuatayo:Mathayo 12: 29 (Mstari wa msingi) Marko 3:27

9. Tunafunga na Kufungua kwa malengo. Tunamfunga mtu mwenye nguvu nakuwafungua wale walio chini ya vifungo vyake (Angalia ukurasa 40).Tunamfunga katika maeneo yafuatayo:

� Katika mwili au mwili wa nyama, pia, kipekee, ulimi � Ufahamu au akili � Nia/dhamira� Hisia, huba, tamaa. 1Wathesalonike 5:23 inayaelezea maeneo mawili ambayo yanatakiwa kudhihirishwa katika kufunga. Ni maeneo yapi hayo? _____________, _______________________ Jibu: Nafsi na mwili

10. Katika kuliadabisha Kanisa, tulijifunza kuwa tunayo mamlaka ya kumfungaadui na kumfungua mtu kutoka kwenye nguvu za giza, pale Mkristoatakaposhindwa kuiitikia katika mchakato wa urejesho/ukombozi kupitiamaandiko. Yesu aliuelezea mchakato katika: Mathayo 18:15-20.

a. Pale ndugu yako katika Kristo anapotenda dhambi dhidi yako, Yesualitoa hatua zilizo wazi na rahisi kusuluhisha tatizo:

Hatua ya 1: “Enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia umempata nduguyo”.Hatua ya 2: “La kama hasikii, chukua pomoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike”.Hatua ya 3: “Na kama asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru”.Hatua ya 4: Amini, nawaambieni, yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni. Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloomba, watafanyiwa na Baba aliye mbinguni”.

b. Yesu anatuelekeza kuchukua mamlaka dhidi ya roho za mapepoambazo zinamzuia mtu kupokea ukombozi/urejesho. Tunawezakufanya hivi kwa kuzifunga na kuzifungua roho ambazo zinamtesa.

11. Siku zote funga na kufungua katika Jina kamili la Bwana Yesu Kristo.Tumepewa heshima ya kuisimamia Injili, nguvu ya Mungu, kwa sababu sisi niwateule wake. Kuna makristo wengi wa uongo na Yesu wa uongo, lakini kunaBWANA YESU KRISTO mmoja tu.

34

Page 37: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

ONYO!!!!!!!Siku zote kiri dhambi zako zote unazozijua na

kujisalimisha kikamilifu kwa Bwana Yesu Kristo katika maeneo yote ya maisha yako kabla ya kuingia katika

vita vya kiroho.

D. Utekelezaji: Namna gani tunamfunga Shetani na wafuasi wake jehanamu? Hii tunafanya kwa ajili yetu wenyewe, waamini wengine na wasioamini kama Bwana atakavyokuongoza.

1. Mfunge Shetani kama mtu mwenye nguvu, na kisha funga pepowachafu wale ambao Bwana anakuongoza kuwafunga. Mathayo12:29; Marko 3:27

2. Unapomfunga Shetani, ongea kwa sauti kwa ujasiri wa Roho Mtakatifu.Haya siyo maombi, bali ni tangazo la mapambano.

3. Ongea moja kwa moja na Shetani katika Jina la Bwana Yesu Kristo nachukua mamlaka dhidi yake (Luka 10:18-19).

4. Funga nguvu za Shetani zilizo katika mwili na ulimi wa mtu, ambayehatajionyesha kuwa na nguvu kwa namna yo yote na kisha kwa manenoufungue mwili na ulimi wa mtu kutoka vifungo vya Shetani katika Jina laBwana Yesu Kristo.

5. Baada ya hapo, mfunge Shetani kutoka kwenye akili, dhamira, na hisia zamtu. Unaufungua ufahamu, dhamira, na hisia kutokana na kushikiliwa naShetani.

6. Msubiri Bwana akuonyeshe kama unahitaji kumfunga Shetani kwa majinamaalumu (baba wa uongo, mdanganyaji, mshitaki, mharibu n.k.). Hizizinaweza kuwa njia ambazo adui amekuwa akizitumia kumshambulia mtuhuyo.

7. Kata mawasiliano yote kati ya Shetani na roho wachafu.8. Futa maelekezo yote ambayo yanapingana na mtu.9. Futa laana zote ambazo zilikuwa zimewekwa kumkandamiza mtu huyu,

zilizopo kwenye huduma, na huduma.10. Kwa utulivu, subiri katika maombi ili kufikiri maeneo gani mengine ya

kumfunga ambayo Baba wa Mbinguni atakutaka uyafanye. Hakikishakuwa ufungaji umefanyika kwa kina na kwa ukamilifu.

SIKU ZOTE ONGEA KATIKA JINAL LA BWANA YESU KRISTO.

11. Funga roho chafu zote ambazo Roho Mtkatifu anakuongoza kuzifunga. Fanyakwa sauti na kwa mamlaka tena.

12. Zifunge roho zile tu ambazo una uhakika Bwana kupitia Roho Mtakatifuanakuongoza kuzifunga. Mara nyingi, Mungu huruhusu mtu kupitia uchungukwa ushawishi wa roho wabaya ili kutimiza kusudi lake.Paulo aliruhusiwa kuwa na “mjumbe kutoka kwa Shetani”kama mwiba katikamwili ili kumfanya aitegemee Neema ya Roho Mtakatifu, 2Wakorintho 12:7-9 .

35

Page 38: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Maelezo ya mapambano kumfunga Shetani na wafuasi wake walioko kuzimu kwa ajili yako, au kwa ajili ya mtu mwingine katika maisha yako ambaye yuko chini ya mamlaka yako au mtu mwingine katika maisha yako ambaye umepewa ruhusa na Mungu kumfunga/kumfungua kwa niaba yao.

“Shetani, Ninakuja kinyume chako katika Jina la Bwana Yesu Kristo na kwa nguvu ya Damu Yake aliyoimwaga na ninachukua mamlaka dhidi yako. Ninazifunga nguvu zako katika mwili (Jim). Hutaonekana kuwa na nguvu katika mwili. Ninaufungua mwili wa (Jim) kutoka utawala wako. Ninakuamuru kuufungua mwili wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, Ninakufunga ulimi wako kutoka ulimi wa (Jim). Hutaweza kutumia ulimi wake kumkufuru au kumlaani Mungu. Ninaufungua ulimi wake kutoka kwako katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na ninakuamuru kuuachilia ulimi wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, Ninakufunga akili zako kutoka akili, ridhaa, na hisia za (Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninazifungua akili/ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim) kutoka utawala na akili zako. Ninakuamuru kuachilia ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim)”.

Ninakufunga wewe kama mdanganyaji, mshitaki, mjaribu, muongo, mharibu, Muuji na mnyang’anyi.

Ninazifunga roho (za hofu, hasira, tamaa n.k.) na roho zote ambazo zimejihusisha katika maeneo haya katika maisha (ya Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakufungua uwezo wako wa kutawala dhidi ya (Jim) na ninakuamuru kumfungua na kuwa mateka katika utii wa Bwana Yesu Kristo (2Wakorintho 10:4-5). ……………………………………………………………………………

E. Mara kwa mara mwombee mtu ambaye unamfungia mtu mwenye nguvu na wafuasi wake. Muulize Roho Mtakatifu kukupa kusadiki na kutubu kwake (Yohana 16:8-11). Unaweza kudai ahadi ambazo Bwana wetu ametupa sisi kwamba, “Älikuja kuwafungua waliofungwa” (Luka 4:18-19) “Amini, amini nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi; kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiniomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana”. Yohana 14:12-13

36

Page 39: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAANDIKO YA KUMFUNGA SHETANI KWA MAJINA YAKE Shetani Kama: Mshitaki, Ufunuo 12:10 Mnyama, Nyoka Mdanganyifu 2Yohana 7Nyoka 2Wakorintho 11:3Mjaribu Mathayo 4:3Mharibu Ufunuo 9:11Baba wa Uongo Yohana 8:44 Muuaji Yohana 8:44Mwizi Yohana 10:10Mwenye kudhuru kifedha/kiuchumi

Ayubu 1:6-11

Mwenye kudhuru mwili Luka 13:13 Mharibu Ayubu 1:6-16Mzuiaji 1Wathesalonike 2:18

Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuviteka vyombo vyake; asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? Ndipo atakapoiteka nyumba yake”. Mathayo 12:29

37

Page 40: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAENEO YA KUULIZA/KUHOJI

MAELEZO: Vichwa vikuu wa habari huitwa “VIFUNGUA-MILANGO”, vimetafsiriwa kama njia ambazo zinaweza kumpa shetani mwanya katika maisha yetu. Orodha hii inakubaliana na ile iliyopo kwenye Taratibu za Mwongozo wa Mafunzo wa Lighthouse..

1. HALI WANAYOPITIA WALIOPATWA NA KIWEWE/KIHORO: Mtotoaliyedhalilishwa

Kifo Talaka Kujamiiana na ndugu wa karibu

Kukataliwa

Uhalifu wa nguvu Kusalitiwa Matumizi mabaya ya hisia UpwekeKutoamini Hofu Uzinzi Kudhalilishwa kimwiliKuumizwa sana Ajali mbaya Kudhalilishwa kiroho Kutengwa/KutelekezwaUdhalilishaji kijinsia au kubakwa/najisiwa

Maumivu Mwingiliano mkubwa wa kimatibabu

2. VIFUNGO VYA UKOO NA/AU LAANA: Roho zijulikanazo kutokana na ndugukujihusisha kwenye uchawi, dini za uongo, kuabudu mizimu, laana zilitamkwa na nduguau watu wenye mamlaka juu ya tabia ya mwamini au maumbile au uwezo, pia, kifungocho chote cha dhambi; kama ni mtoto wa kupanga, ukoo kutoka kwa wazazi waliomzaana wazazi wa kisheria lazima zivunjwe; vifungo vya dhambi toka pande zote mbili.(Angalia # 3 na # 4).

3. UCHAWI/UASI: Madhehebu (Cults)Kuomba kwa Shetani Kumlaani Mungu New Age (Imani

potofu)Dini za Uongo

Falaki/Buluji Elimu ya Nyota Yoga MadawaShughuli za Kimazingaombwe

Vitabu vya kimazingaombwe

Sinema/filamu za Mazingaombwe

Imani kuwasiliana na pepo

Kupitisha/channeling Miujiza/uchawi Kuelea hewani Imani ya kuwasiliana na mizimu

Laana Kuwa na mwiliwa binadamu

Kubashiri Tarot Cards

Hisia za kabla Uwezo wa kutabiri

Unajimu (Utaalamu wa elimu ya nyota

Maneno ya Kunuizia

Nguvu ya kutabiri Mikataba ya damu Dini za Mashetani Uaguzi/upigaji ramli Majinamizi Mizuka Kuita mizimu Hirizi/azamaMiungu ya sanamu Kuabudu sanamu Kafara za damu Kufuru/Kashifu

4. VIFUNGO VYA DHAMBI:Kutawaliwa na kitu chochote (mfano, kileo/pombe, madawa, kafeini, pipi n.k.) Kuzoelea tabia mbaya (Mfano, kutawaliwa na ulevi wa hisia, chakula, ulaji. T.V., ngono n.k.)

Madawa ya mitaani Dawa zilizoagizwa Kileo/Pombe NikotiniUlafi Kuacha kula kunakoweza

sababisha kifo Bulumia Vurugu

Kulala Kuiba Majivuno Kijicho/wivuHusuda Kufuru/kashfu Kulaani KuapaKufanya umbea/teta Kashifu/singizia Kukosoa Kutamani Hasira Ghadabu Uchoyo ChukiKuhukumu Ustadhi wa shughuli Kutawala Uchoyo

[Hizi ni ngome chache tu ambazo zinaweza kuwepo hapa.]

38

Page 41: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. VIFUNGO VYA HISIA/AKILIEneo la kawaida ambalo adui hulitumia kuingia kwenye akili = ukimya/ubaridi, udanganyifu na mashambulizi ya hisia. Baadhi ya maeneo ya hisia:

Upweke Wasiwasi Hatia UsumbufuKukataliwa Kujikana Kuvunjika moyo KujihurumiaKukosa tumaini Kukata tama Hofu (tazama # 9) Maumivu ya hisia Kukata tama Kuumizwa Hasira GadhabuKihoro Kulaumu/laumiwa Kujiua Kiwewe

KujiuaBaadhi ya Maeneo ya Kiakili: Kuchanganyikiwa Kukosa utulivu Ulimwengu wa njozi Wasiwasi/kuvuruga Kukanusha Kusikia kitu

kischokuwepo Kujidai Kuepuka Sauti PhobiasKuchanganyikiwa Mwenda wazimu/kihoro Kutoroka Ugonjwa wa akili

usiotibikaMultiple personalities

Roho za wasiwasi = Wasiwasi wa aina yo yote (mfano, wasiwasi wa kujisumbua, mapenzi makubwa kwa mtu fulani, n.k.). Roho za ulevi = Tabia ya ulevi (Mfano, kununua kilevi, ulevi wa kulala, kucheza kamari, n.k.) [Hizi ni baadhi tu ya ngome ambazo zinaweza kuwasilishwa katika maeneo haya. Adui anaweza pia kughushi, kuzidisha nguvu, au kusababisha ukandamizaji/uzuiaji wa hisia].

6. UCHAFU/UOVU KWENYE TENDO LA NGONO:Tamaa Uasherati Uovu Kupiga punyetoUpendaji wa starehe Uzinzi Picha za Ngono Ukaidi/upotevu Unyama/ukatili Ubakaji/Unajisi Kukera/kusumbua KubakaKujamiiana na ndugu wa karibu Usenge/Ubasha Roho ya usagaji Kufanya mapenzi kwenye ndoto Majinamizi Utoaji wa mimba Ukahaba Aibu ya Mapenzi Laana ya mapenzi Kukataliwa

kimapenziRoho za ukahaba Uvaaji wa Jinsi ya tofauti

Matumizi mabaya ya Matambiko Kimapenzi (Hutumika kwenye sherehe za kimila

Kutongoza Kutumia nguvu katika mapenzi

Mashambulizi ya kimapenzi ya mapepo

7. VIFUNGO KATIKA MAENEO YA WASIFU (BINAFSI: (Majina ya rohoyamekolezwa wino)Laana (Ulizonenewa na mtu/watu: Mfano “Wewe ni Mpumbuvu”)Laana Binafsi (Tunausikiliza uongo wa adui na kujisemea wenyewe: Mfano “Wewe niMbaya). Kunaweza kuwa na mifano mingi.Laana za namna hii hupelekea:Mtu kujilaumu, kukataliwa, kutojithamini, kujiona hufai, kutojitosheleza,kutoweza, kujiharibu Taswira mbaya ya mwili Bulumia Kujichukia Kuogopa kunenepa Mlo usiokidhi mahitaji Kifo Kujidhalilisha (Kujikata = Watu wanaojikata wenyewe)Kuhusika pande mbalimbali (Kwa kawaida hujihusisha na matambiko)Nafsi Mbaya za Kipepo (Mara nyingi baada ya kudhalilishwa au kujeruhiwa sana)Pale utu/heshima yetu inapokuwa imeharibika, adui anaweza kutumia:

39

Page 42: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Majivuno Kujidai Ulimwengu wa Njozi Kujitenga Kuepuka/kukimbia Hofu ya kukataliwa Kihoro/kiwewe Kujiua

8. KUTOKUSAMEHE:Kuumizwa/maumivu Maumivu ya hisia Chuki/udhia UhasamaUlipizaji kisasi Lipiza kisasi Kukataliwa UchunguChuki Kuua/mauaji

9. HOFU/WOGA:[Majina mengine: Vitisho, wendawazimu, mashambulizi yenye hofu.]Hofu ya………………………….. (Zimetajwa chache tu).

Mungu (Kukana) Ukanaji/Kukataa Kutelekeza Siku za baadaye Shetani Giza Nguvu za miujiza KifoMashambulizi Kushindwa/feli Mafanikio MamlakaKukosa mwelekeo Kupoteza (mfano

mtu uliyempenda) Wazimu Ugonjwa

Wanaume/wanawake Maumivu Kuumizwa Kujamiiana/mapenzi Kuongea mbele ya watu

Maji Kuzama Nyoka

Buibui Watu Kimo (urefu) KuendeshaAjaliKunaweza kuwa na hofu ya karibu kila kitu, kama kitazidi na kukutawala.

10. VITISHO (MAKOSA) VYA KIMAUMBILE:Kitu cho chote kilichorefushwa (kupitiliza muda wake) ambacho hakikubali kwenye uchunguzi wa kawaida wa kitabibu na matibabu ni cha kutilia shaka. Magonjwa ya kawaida ambayo yamekuwa yakihusiana na mapepo mara kwa mara ni:

Pumu Saratani (Kansa) Mchafuko wa Damu Maumivu PMS High Blood Pressure Kifafa Magonjwa

yanayojirudia Maumivu makali ya Uchovu wa muda

mrefuKuwa na wasiwasi Kupoteza nguvu

Homa (inapokuwa siyo dalili ya kawaida

Maumivu makali (Mfano, kipandauso, maumivu yanayohama) Homa (Inapokuwa siyo dalili ya kawaida) Uchovu mkali na wa muda mrefu (Hutuibia nguvu) Roho zilizoingia kupitia matibabu ya uongo/mabaya (Kwa kawaida huruhusu mapepo mengine kuingia kwenye eneo lile ambalo mengine yametoka)

11. VIZUIZI VYA KIROHO:Kumlaani Mungu Kuomba kwa Shetani Maasi/vurugu ShakaKutosadiki Kushuku/mashaka Manung’uniko/

kutoridhishwa Mshika sheria

Udanganyifu/ulaghai Ubaridi/ukimya Kiinimacho Kujidai/jigambaHasira (Mungu) Utendaji Utendaji wa jambo kwa

ukamilifu Uchawi

Laana Vipawa vya Uongo Kumpinga Yesu Maono ya uongo Kujitoa kwenye huduma za uongo- Mikono iliyowekwa kwenye huduma za uongo, mafuta ya upako wa uongo, kuuawa katika roho, ubatizo wa roho usio sahihi, lugha potofu, au karama nyingine potofu, roho za kucheka kwa uongo, roho za kuchanganyikiwa, kukosa utulivu, kujiweka wakfu kwa “Watakatifu”au “Bikira Maria” au ye yote mwingine zaidi ya Mungu.

40

Page 43: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

12. DHAMBI ZISIZO TUBIWA (KUTOKIRI)Je, una dhambi yo yote usiyoitubia? ……………………………………………….. Hii inaweza kukuingiza kwenye kifungo cha:

Hatia Udanganyifu Majivuno Unafiki/uzandikiKujidai/jigamba Aibu Kulaumu KujiteteaKujilaumu Kujihesabia haki Kushika sheria UtendajiKubishana Mawazo mabaya Maasi/vuruguRoho za kanuni/mafundisho potofu (hubadili imani yako ili kuiruhusu dhambi)

13. ROHO ZENYE USUMBUFU:Roho hizi zinaweza kutumwa ili kuendelea kukusumbua kwa:

Mawazoyanayokera/umiza

Mashaka Hofu/wasiwasi Kulaumu

Baada ya ukombozi, roho hizi zinaweza kujaribu kumwibia mwamini ukombozi wake na kupata nafasi kwa kushambulia katika maeneo dhaifu. 14. KARAMA ZA ROHO:Je, Karama zako za kiroho ni zipi?............................................................................. Je, karama hizi zimejaribiwa sawa sawa na 1Yohana 4:1-3? (Sura ya 6)

Mweleze mwamini kwamba wakati wa huduma, atafundishwa namna ya kuzijaribu karama. Hapa chini ni baadhi ya miujiza ya kipepo inayoigiza: Kuigiza kunena kwa lugha Unabii wa uongo Mafunuo ya uongo Yesu/Kristo wa uongo Uponyaji wa uongo Upako wa uongo Ishara na Miujiza za kuigiza Kumwelezea vibaya

’Mariamu’ au ’Yesu’ Maono ya uongo – Utabiri

Mafundisho ya uongo Kanuni za Uongo Roho za dini Matambiko ya kidini Maombi ya Uongo

(incannations)Maarifa ya uongo – Onyo Kabla

Kuna udhihirisho wa miujiza mingine mingi ya uongo.

41

Page 44: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura 4 – Kukomboa Maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu

Kweli Kuu: Mungu ametupa nyenzo za mapambano yetu ili kuteka mateka kutoka ufalme wa Shetani na kukomboa

maeneo ya maisha yetu, familia zetu na jamii zetu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.

Lengo la Somo: Kuelewa hatua tutakazopitia kutoka kwenye kifungo kwenda kwenye uhuru na kuelewa namna ya kutakasa maisha na nyumba zetu kiroho.

Andiko la Msingi/Kuu: Wagalatia 5:1 “Katika ungwana huo, Kristo alituandika huru, kwa hiyo, simameni wala msinaswe tena chini ya kongwa la utumwa.

1Petro 5:6-11; Yakobo 4:7

A. Vita vya Kiroho ni nini? Vita vya Kiroho ni mchakato wa kiroho ambao eneo/uwanja wake unachukuliwa kutoka kwa adui na kurejeshwa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.

B. Uwanja wa Vita – Ni mahali au uwanja wa kushindania ambao Wakristo wanapambana na adui. 1. Neno – 1Yohana 2:152. Akili/Moyo, ridhaa, hisia na mwili wa mwamini – Warumi 8:5-153. Mwenendo wa mwamini – Wagalatia 5:164. Jamii, na nchi ya mwamini pamoja na nchi nyingine za ulimwengu

(Mathayo 28:19).

C. Wapiganaji – Ni wale wote wanaoingia katika mapambano dhidi ya Shetani na wafuasi wake wa kuzimu. 1. Jeshi la Nuru – 1Wakorintho 15:24-28, Wakolosai 1:12-13

a. Mungu Baba, kama mtawala wa ulimwengub. Mungu Mwana, Bwana Mungu wa Miungu, Bwana Yesu Kristo

ni kamanda wa jeshi la malaika wa mbinguni.

42

Page 45: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

c. Mungu Roho ni Kamanda wa Vita uwanjani pamoja na sisi hapa.d. Malaika ni mashujaa wa mbinguni ambao hutusaidia sisi katika

vita.e. Askari Mkristo – Sisi ni mabalozi na Mashujaa wa Yesu

2Wakorintho 5:20.

2. Ulimwengu wa giza – Wakolosai 1:13a. Shetani, kama anayetawala kwa nguvu katika milki ya

mwanadamu na mfalme wa nguvu za anga, mungu wa mfumowa dunia hii.

b. Mapepo na roho wabaya, kama wajumbe na watenda kazi waShetani.

c. Mtu asiyefanywa upya, kama rafiki wa Shetani.d. Ulimwengu, kama mfumo wa Shetani

D. Mwongozo wa vita ni Neno la Mungu – Waebrania 4:12; 2Timotheo 3:16,17.“Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, shetani; kwa maana imeandikwa, msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.” Mathayo 4:10

E. Silaha – 2Wakorintho 10:3-5, Ufunuo 12:11 1. Kujihami – Silaha zote za Mungu – Waefeso 6:10-18.

a. Kwelib. Dirii ya Hakic. Injili ya Amanid. Ngao ya Imanie. Chapeo ya Wokovuf. Upanga wa Roho, Neno la Mungug. Maombi ya Watakatifu

2. Kushambulia – Ufunuo 12:11; Waebrania 4:12; Waefeso 3:10a. Damu ya Mwana Kondoo, Bwana Yesu Kristo.b. Neno la Ushuhuda wetuc. Maisha yaliyosalimishwa katika mamlaka ya Yesu.d. Jina la Bwana Yesu Kristo, ambaye pia ni Bwana Mungu wa

Wateule.e. Neno la Mungu lililonenwa/zungumzwaf. Kushiriki kikamilifu katika ushirika wa watakatifu dhidi ya

nguvu za giza kuusukumia mbali ufalme wa giza na kudai“Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni”Mathayo 6:10.

g. Nguvu ya ufufuo ya Bwana Yesu Kristo ambayo ilitufufua sisi ilitukae naye katika ulimwengu wa roho.

43

Page 46: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

F. Namna gani tunavyokuwa tayari kwa ajili ya mapambano?

1. Uwe karibu na Bwana kwa kukiri dhambi zote zinazojulikana. Pasiwepona mlango wo wote wa dhambi umeachwa wazi - 1Yohana 1:9.

2. Kila siku wasamehe wale wanaokukosea. – 2Wakorintho 2:10-113. Jisalimishe/jinyenyekeze katika maeneo yote ya maisha yako ya kila siku

kwa Bwana Yesu Kristo – Wakolosai 3:1-10.4. Vaa/tumia silaha zote za Mungu kwa maneno katika maombi5. Mfunge Shetani dhidi ya akili, mwili na ulimi wako.6. Ukiwa katika hali ya kuomba, fikiria ni maeneo gani ya vifungo unaweza

kuwa nayo.

Utekelezaji: Andika orodha ya ngome ambazo unasumbuka nazo. Kisha nenda kwenye ukurasa unaofuata na rudia kuangalia kila eneo ambalo roho wabaya wamekuwepo katika maisha yako. Tafadhali rejea kwenye orodha ya ngome kwenye ukurasa 38-41.

ORODHA YA MFANO WA NGOME

Roho ya kukataliwa Roho ya kushindwa Roho za Ukoo – hasira, tatizo la mazoea sugu, uzinzi,

Roho ya wivu Roho ya hasira Roho ya kutawala

Roho ya kujihukumu Roho ya hofu Roho ya Kiburi

Roho ya kuumizwa Roho ya picha za ngono Roho ya aibu

Roho ya mashaka Roho ya ulimwengu wa njozi

Roho ya uzinzi

Roho ya kuchanganyikiwa

Roho ya utambuzi Roho ya Utendaji

44

Page 47: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KUJINYENYEKEZA – MBINU ZA MAPAMBANO YA KUJIHAMI

Yakobo 4:7 “Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia”.

FANYA SEHEMU HII YA KWANZA KILA SIKU

1. Kila siku mtii Mungu.Maombi ya Kujinyenyekeza. “Baba wa Mbinguni, ninakupa wewe umiliki waufahamu, hisia, ridhaa na mwili wangu. Ninakualika uwe Bwana wa maishayangu, katika Jina la Bwana Yesu Kristo.”

2. Vaa silaha za MunguMaombi ili kuvaa silaha za Mungu. “Bwana, ninazivaa silaha zako ulizonipa:Mkanda wa Kweli (Kujifunga Kweli kiunoni), Dirii ya haki, maandalizi ya Injiliya Amani, ngao ya imani, chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho” (Waefeso6:10-18).

3. Mfunge Shetani.Maelezo ya Kufunga na Kufungua. “Shetani, ninakufunga. Hutakuwa na uwezowa kutawala akili, hisia, ridhaa au mwili wangu. Ninajifungua mwenyewe kutokakila ngome na vifungo vyote katika Jina la Bwana yesu Kristo”.

KAMA UMETOA NAFASI KWA ADUI, jinyenyekeze na kukiri dhambi na kisha zipinge na kuzikemea na kiziamuru zitoke roho zilizokushambulia.

4. Maombi ya Kukiri. “Baba, ninakuja kwako katika Jina la Bwana Yesu Kristo.Nimetoa nafasi kwa roho za……………………………….. Hazitoki kwako nawala sizitaki katika maisha yangu. Ninakiri dhambi nilizotenda katika eneo hili lamaisha yangu. Nisamehe kwa kuziruhusu roho hizi kuyatawala maisha yangu.Asante kwa kunisamehe, katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

5. Zungumza/onge hili na adui katika kujihami na kukemea:Tamko. “Roho za……………………….ninachukua mamlaka dhidi yako katikaJina la Yesu Kristo. Nimejisalimisha/nyenyekeza kwa Mungu na huwezi kukaa.Huwezi kuzipata akili au mwili wangu. Ninachukua tena kila eneo ambalonilikupa wewe katika maisha yangu. Ninajifungua mwenyewe kutoka vifungovya………………………………. Ninakuamuru katika Jina la Bwana YesuKristo kuondoka sasa. Ninakukemea na kukuamuru kwenda kwenye shimo lakuzimu sasa hivi katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

6. Omba na umwalike Roho Mtakatifu kutawala maeneo yote ya maisha yako.Maombi ya Utakaso. “Baba wa Mbinguni, nakuomba unijaze na kutawala kilaeneo lililosafishwa/takaswa katika maisha yangu kwa Roho wako Mtakatifukatika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

45

Page 48: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MATUNZO BAADA YA KUKOMBOLEWA KWA MWAMINI Kwa kuwa sasa umefunguliwa kutoka kwenye vifungo, ni muhimu sana kwamba uanze kuwajibika kutunza uhuru wako. Hatua zifuatazo zitakusaidia katika utunzaji wa uhuru wako katika Bwana Yesu Kristo.

1. Wewe ni mrithi pamoja na Bwana Yesu Kristo na mshirika wa baraka namarupurupu yote kupitia kazi aliyoifanya Bwana Yesu Kristo. Mshukuru Yeye kila siku kwa ajili ya baraka zako za rohoni. Mwabudu Yeye katika maombi na kumsifu kuliko vitu vyote.

2. Jinyenyekeze kwa Bwana Yesu Kristo kila siku, na mwombe RohoMtakatifu kukujaza. Vaa silaha za Mungu kwa kuzitamka katika maombikila siku. Tumia Waefeso 6:10-18.

3. Unatakiwa kuweka kumbukumbu kwa dhambi ambazo umekiri karibunina mwalike Roho Mtakatifu kutawala maeneo yaliyotakaswa na kukujazakabisa. Ni kazi endelevu ya Shetani kutumia mbinu mbalimbali kuwavutawatoto wa Mungu nje ya nafasi ya kushikamana na Kristo.

4. Tumia muda wako kuwa na Bwana wakoYesu Kristo kila siku katikamaombi na Neno lake. Roho Mtakatifu atakufundisha na kukubadilishaakili yako kwa Neno la Mungu. Ni muhimu sana kutenga muda kwa ajiliya kuabudu, kufanya maombezi na kutafakari Neno la Mungu.

5. Kabiliana na mazingira au hali yo yote kwa ujasiri katika Kristo.Unapokabiliwa na uongo, majaribu, au mashaka, usikawie kuchukuahatua, bali, ni vema, kuikemea na kuitangaza kweli mahali penye uongo.Kumbuka kuwa upo vitani maadamu bado unaishi katika mwili huu.

6. Tunza busara/hekima na akili iliyo makini wakati wote. Kamwe usiruhusuukimya ndipo utulie. Tathmini mawazo yako kuona kama yanakubalianana Neno la Mungu. Fanya maamuzi yenye busara katika yale unayoyaruhusu katika akili/ufahamu na maisha yako. Mwili na akili zako ni maliya Mungu, kwa hiyo dumisha usafi wa akili na mwili unaokubalika mbeleza Mungu.

7. Jiunge na kanisa la mahali pamoja ambalo linafundisha Neno la Mungu.Muulize Bwana ili kujua namna unavyoweza kumtumikia katika kanisalako. Ushiriki na waamini wengine, kusoma Biblia, na kuomba pamoja nakundi la waamini na kutumika; vitakusaidia kuwa imara katika Bwana.

8. Kama umefungua mlango kwa adui kwenye eneo lo lote katika akili, hisia aumwili wako, fuata hatua zilizopo kwenye kadi ya “Kujisalimisha/kujinyenyekeza– Kanuni za Mapambano ya Kujihami”ambayo ulipewa ulipokuja kwa ajili yaukombozi. Kumbuka kuwa ushindi na uhuru wako unadumishwa unapoendeleakudai Neno la Mungu kwa imani ambalo linasema, ”Basi Mwana akiwawekahuru mtakuwa huru kweli kweli”Yohana 8:36.

46

Page 49: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

G. Namna gain tunatunza Uhuru wetu? 1. Tembea katika Roho na kuwa na matunda ya Roho Mtakatifu Wagalatia

5:22-232. Omba kwa ajili ya Watakatifu Waefeso 6:183. Kwa ujasiri mpinge Shetani na wafuasi wake Yakobo 4:7

[Angalia kadi ya kujinyenyekeza-Mwongozo wa Kushinda Vizuizi katikaukurasa wa 53]

4. Tumia karama ambazo Roho Mtakatifu amekukirimia 1Wakorintho 12,Waefeso 4:11-13.

5. Rejesha maeneo yaliyotolewa kwa adui 2Wakorintho 10:56. Baada ya kujisalimisha/nyenyekeza katika kila eneo la maisha yako kwa

Bwana na kurejesha maeneo ambayo shetani aliyachukua katika maishayako, basi utatakiwa kusafisha maisha yako na nyumba kwa vitu vinavyohusiana na dhambi. K/Torati 23:14.

H. Utekelezaji: Baada ya Ukombozi wa binafsi, ni wakati sasa wa kusafisha nyumba!

1. Roho Mtakatifu hujaza kila eneo lililosalimishwa katika maisha yako sasakwamba sasa umewekwa huru. Tumeambiwa tusimhuzunishe Roho waMungu Waefeso 4:30.

2. Tunakuwa na ushirika pamoja na Mungu Mtakatifu. Kazi, matendo namazingira yetu yanategemea mamlaka yake, na kwa hiyo, tunatakiwakuwa makini kumsikiliza Roho Mtakatifu kadri anavyotuongozakuviondoa vitu kutoka maishani mwentu ambavyo vinamhuzunisha.

3. Kumbuka, Roho Mtakatifu atakujulisha kwa habari ya kazi na vituunavyotakiwa kuviondoa.

“Ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto ulao; ni nani kwetu sisiawezaye kukaa na moto uteketezao milele? Ni yeye aendaye kwa haki,anenaye maneno ya adili, ni yeye anayedharau faida ipatikanyo kwadhuluma; akung’utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikioyake asisikie habari za damu; afumbaye macho yake asitazame uovu.Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakulachake; maji yake hayatakoma” Isaya 33:14-16.

“Ee Mungu, unichunguze, uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazoyangu; Uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu, ukaniongozekatika njia ya milele” Zaburi 139:23-24.

47

Page 50: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

4. ORODHA YA VITU VYA KUSAFISHA KATIKA NYUMBAa. Nyenzo au vifaa vya kimazingaombwe – Matendo 19:17-20;

K/Torati 7:25-26Unapokuwa ndiwe mwenye mamlaka ya mwisho, unaweza kusafishamilki/mazingira yote ambayo yako chini ya umiliki wako. Musaaliharibu sanamu waliyoitengeneza wana wa Israeli baada ya kuwaamewaombea na kuwaonya – K/Torati 9:18-21.

b. Muziki ambao una uhusiano na dhambi au mambo yakimazingaombwe.

c. Vitabu, magazeti, Video, vipindi vya televisheni, machapishoyanayohusiana na dhambi kutoka kwenye interneti ambavyohuamsha hisia au mawazo mabaya. Neno la Mungu ndiyo kiongoziwako kila siku – Wafilipi 4:8; Zaburi 119:9-11.

d. Vitu vya Kisanaa/sanii vinavyomshambulia Roho wa Mungu aliyendani yako.“Unigeuze macho yangu nisitazame visivyofaa; unihuishe katika njiayako inayohusu kicho chako” Zaburi 119:37.

e. Vitu vilivyobuniwa, hasa kama vinatumika katika matambikoK/Torati 7:5-6

f. Kujilimbikizia mali“Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, malialozoziweka mwenyewe kwa kujinyima….” Mhubiri 5:13.

g. Akili isiyotulia au Vitu vya Kulevya - kilevi, madawa, sigara n.k.Moja ya matunda ya Roho Mtakatifu ni kiasi, Wagalatia 5:23.

5. Ondoa vitu vyote vyenye mashambulizi katika nyumba na maishayako, kiri dhambi, kisha zuia na kuondoa roho wabaya waliopo sasa nawale wa zamani.

a. Utekelezaji: Nenda chumba kwa chumba ukifanya maombiya kukiri/kutubu na kisha fanya vita dhidi ya Shetani nawafuasi wake walioko kuzimu.

==============================================Maombi ya Kutubu/Kukiri: Baba wa Mbinguni, Ninakuja kwako kwa Jina la Bwana Yesu Kristo na kukiri kwamba nimetenda dhambi na nimeruhusu na kushiriki katika shughuli za dhambi katika eneo hili (kama hii inafaa). Nimekuwa na vitu visivyo vya kimungu. Ninakiri hii kama dhambi na ninaomba unisamehe kwa Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakiri kwamba dhambi imetendwa kwenye eneo hili na roho wabaya waliokuwepo na ninaomba uisafishe nyumba hii kutokana na uovu wote. Ninaikomboa nyumba hii kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, katika Jina la Bwana Yesu Kristo, Amen”.

Kujihami na Kukemea: “Shetani, katika Jina la Bwana Yesu Kristo, ninakuja dhidi yako na wafuasi wako wa ulimwengu wa giza ambao wametawala eneo hili. Ninavunja nguvu zako dhidi ya eneo hili na ninachukua mamlaka dhidi yako na pepo wote wabaya ambao wame jiungamanisha katika eneo hili. Ninayarejesha maeneo uliyoya shikilia na ninaamuru kila roho chafu zifungwe. Ninawaamuru kufungua vifungo vyenu hapa na kuondoka eneo hili na kwenda kwenye shimo la kuzimu sasa hivi katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

48

Page 51: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Maombi ya Kujiweka Wakfu (Kujikabidhi):

Baba wa mbinguni, kwa Jina la Yesu kristo, Ninakuomba uisafishe nyumba yangu (mali, mahali) kwa Damu ya Bwana Yesus Kristo na kuimiliki kwa Roho wako Mtakatifu. Ninaitoa nyumba na mali zangu kwako. Ufalme wako uje na kusudi lako limitimizwe mahali hapa. Tuma malaika wako katika mipaka ya mali hizi katika Jina la Bwana Yesu Kristo, Amen.”

==============================================================6. Kabidhi nyumba na mali zako kwa Bwana Yesu Kristo kwa kuipaka milango

mafuta kama alama ya Damu ya Mwana Kondoo.M/Walawi 8:10-12Unapoiweka wakfu nyumba yako kwa Bwana, unatangaza kwamba nyumba yakoni TAKATIFU KWA AJILI YA BWANA.

7. Takasa na kabidhi tena nyumba yako iwe kazi endelevu.i. Tupa ’uchafu’ nje

ii. Imiliki tena kwa vitu ambavyo vitampa Mungu utukufu.Mfano: Maandiko kwenye kuta, Miziki ya Kimungu n.k.

I. Baada ya kutakaswa, miliki tena nyumba yako kwa hazina za Mungu. Dhamiria kurejesha tena umiliki wa nyumba na maisha yako kwa kuyaondoa mambo yenye ushawishi mbaya na kuweka yenye ushawishi mzuri.

4. Ni viwango vipi ambavyo kila mstari umeviweka kama msingi kwa ajiliya kutambua kazi zote na ushawishi ambao utatakiwa kuruhusiwa katikanyumba na maisha yetu?

a. Wafilipi 4:8_______________________________________________________b. 1Wakorintho 10:31_______________________________________________________c. Warumi 13:14_______________________________________________________d. Waefeso 5:10_______________________________________________________e. 1Wakorintho 3:16_______________________________________________________f. Warumi 14:13, 21_______________________________________________________

Majibu: a. Yoyote yaliyo kweli, yenye staha, yaliyo haki, yaliyo safi, yenye kupendeza, yenye sifa njema. b. Basi, mlapo au mnywapo, au mtendapo neno lo lote; fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. c. Basi mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake. d. Mkihakiki ni nini impendezayo Bwana. e. Mimi ni hekalu la Roho Mtakatifu. f. Mtu asiweke kitu cho chote kumkwaza ndugu au cha kumwangusha; kama unafikiri kitu fulani ni najisi kwako, basi kwako ndivyo ilivyo; kila mmoja ana kiwango tofauti cha uhuru.

49

Page 52: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Karatasi ya kazi kwa ajili ya sura ya 4 – Kurejesha/kuomboa maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu. Tafadhali chana karatasi hii na jibu maswali unapoendelea kujifunza somo hili.

1. Taja baadhi ya nira za vifungo ulivyonavyo katika maisha yako?Kwa mfano: wivu, hofu, mamlaka, wasi wasi, kukataliwa, kulaumu, hasira, uasi____________________________________________________________________________________________________________________________________

2. Katika ngazi ya mtu binafsi, Je vita vya kiroho ni nini kwako? Fikiria juu yavifungo ulivyovipitia katika maeneo ya maisha yako na nini unafanya sasa ilikubakia huru.Vita vya Kiroho kwangu mimi ni:____________________________________________________________________________________________________________________________________Je umetoa nafasi kwa nira ya utumwa au kifungo cha dhambi, tena? Ni ipi?

(Rejea kwenye orodha ya ngome kwenye sura 3 ya masomo ya kitabu hiki)

3. Ni maeneo yapi ambayo shetani anakushambulia mara kwa mara? Angaliamaeneo._____ Dunia _____ Tamaa ya kumiliki vitu vingi zaidi_____ Akili / moyo – Zimetumika kwa kubadilishana katika Bibilia_____ Ridhaa ___ Ninapotaka kufanya lililo jema, sifanyi_____ Hisia___ Hasa hisia za ____________________________________________ Utu wa kale ___ Kwa uongo kwamba wewe ni binadamu tu._____ Familia, mwenzi, ndugu_____ Marafiki __ Sehemu ya kazi au mahali pengine ambao wamenishawishikutenda dhambi_____ Fedha ___Hali ya uchumi

4. Ni hatua zipi unazichukua kujiandaa kwa ajili ya vita vya kiroho dhidi ya Shetanina roho wake wachafu? Nenda ukurasa 38 na ingia kwenye vita vya kiroho katikakila eneo la kifungo ulichokitaja.

a. ____________________________________________________________b. ____________________________________________________________c. ____________________________________________________________d. ____________________________________________________________

5. Tengeneza orodha ya mambo katika maisha au nyumba yako ambayoyanamhuzunisha Roho Mtakatifu:______________________________ ________________________ ______________________________ ________________________ ______________________________ ________________________

6. Uko tayari kuweka tamko ambalo litabadilisha nyumba yako kuwa mahalipatakatifu ambapo pamejaa amani na upendo wa Bwana wetu Yesus Kristo? Baadaya kuwa umesafisha nyumba yako, fanya tamko hili juu ya nyumba yako:“Ninatamka kwamba nyumba yangu itakuwa huru na______________________,_______________________, _________________________ n.k. Natamka tenakwamba Yesu Kristo ni Bwana na anatawala hapa katika eneo hili/sehemu hii.

50

Page 53: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 5 Kushinda Vita ya Akili (Ufahamu) 2Wakorintho 10:3-5; Wafilipi 2:8

Ukweli Kuu: Fahamu/akili zetu ni uwanja mahususi wa vita, ambapo vita na adui hupiganwa na ushindi hupatikana.

Lengo Kuu: Kujifunza ili kuitambua mikakati ya adui dhidi ya akili zetu na namna ya kuyatoa mawazo yetu katika utumwa kuyaweka katika utii wa Kristo.

Andiko la Msingi/Kuu: 2Wakorintho 10:3-5 “Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; (maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;) tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacha juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo”.

A. Akili au ufahamu wa mwanadamu ni uwanja wa mapambano ambapo Shetani na pepo wabaya wanapingana na Kweli, hivyo hupingana na mwamini. Utashi na mawazo ya mwanadamu ni kama ngome ambayo pepo wabaya wanatamani kuiteka. Ni uwanja ulio wazi ambapo vita inapiganwa ili kuteka ngome ya mawazo yetu.(Angalia andiko kuu na pia rejea kwenye kielelezo katika ukurasa 53).

1. Mawasiliano yote kati ya mwanadamu na majeshi ya Shetani yanatokeakatikamfumo wa wazo. Mwanadamu alipoteza ushindi kwa adui wakati waanguko kwa kutoa nafasi kwa wazo liliyopandikizwa na Shetani, kuliamini nakulitendea kazi. Baada ya hapo, Mungu akasema, kila kusudi la mawazo yamoyo/akili ya mwanadamu siku zote ni baya. Matokeo yake ilikuwa niuharibifu, vurugu, na tabia ya uasherati ambayo ilizidi sana kiasi kwambaMungu akaona kizazi chote cha mwanadamu kiliharibika au kilipagawa namapepo isipokuwa familia ya Nuhu. Alilazimika kuangamiza kizazi choteisipokuwa watu wachache katika kizazi cha mwanadamu.Mwanzo 3:5-9 Mwanzo 6:5-9, 12-13

2. Shetani amekuwa na uwezo wa kuziingia akili/fahamu zetu tangutunapozaliwa. Ufahamu/akili ya mtu ambaye hajazaliwa upya ni ngome yaadui/Shetani. Wazazi wetu au mamlaka zilitulinda baadhi yetu zaidi yawengine. Wengine walifundishwa kufanya maamuzi mazuri na kuwekania/dhamira dhidi ya mawazo mabaya. Bali sisi sote tumepitia uzoefu natumeshawishiwa kwa kiasi fulani na mashambulizi ya adui dhidi yaakili/ufahamu wetu.

51

Page 54: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Maeneo yanayoshambuliwa yamejumuisha, mila, michakato ya elimu, uongowa kipepo uliopandikizwa katika akili zetu, na mifumo ya imani za uongo.Biblia inaeleza hali ya akili zetu kabla ya wokovu.

Angalia mistari ifuatayo kisha andika neno linaloelezea hali ya ufahamu/akili ya mwanadamu wa asili kabla ya kubadilishwa kwake.

a. Warumi 1:21__________________________________________b. Warumi 1:21__________________________________________c. Warumi 1:28__________________________________________d. Warumi 8:7___________________________________________e. Wagalatia 4:3__________________________________________f. Wakolosai 1:21___________________________________________g. Wakolosai 1:21; Waefeso 2:3_________________________________h. Wakolosai 2:8____________________________________________i. Mathayo 15:19_________________________________________j. 2Wakorintho 3:14_________________________________________k. 2Korintho 4:4__________________________________________

Majibu kwa swali A3: Iliyotiwa giza, Uzushi/upuuzi, upumbavu, upotovu, mwili ulio fungwa na roho wabaya, waliotengwa mbali na Mungu, Uadui na Mungu, watumwa na tuliodanganywa, na walionajisiwa, vipofu katika kuijua kweli ya Injili kwa kupofushwa na Shetani.

UFUNGUO WA AKILI TIMAMU Mkristo anatakiwa kuiweka akili yake katika amani na Mungu wakati wote. “Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini. Mtumaini Bwana siku zote, maana Bwana Yehova ni mwamba wa milele” Isaya 26:3-4 “Furahini katika Bwana…… Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu” Wafilipi 4:6-7.

4. Mtu ambaye hajaokoka ni mateka wa Shetani. Nafsi yake huongoza matendoyake. Mtu wa asili kabla hajakombolewa na Kristo hutegemea akili (kufikiri),hisia na utashi (dhamira) kama msingi wa maamuzi na tabia. Mwili nimtumwa kwa nafsi. Mwili na tamaa zake na shauku zenye nguvu hushawishitabia ya mtu ambaye hajakombolewa. Roho ya mtu ambaye hajaokokainatawaliwa na nafsi. Giza hutawala katika roho na mtu ambaye hajazaliwaupya hutumia hisia, utashi wa hisia na maamuzi ya kibanadamu katikakufanya maamuzi yake. Ni rahisi kuona jinsi Shetani anavyoweza kushawishi,kudanganya, kujaribu na kumteka mwenye dhambi. Yeye ni mtumwa wadhambi.

52

Page 55: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Warumi 6:15 inaelezea hali ya mtu ambaye hazaliwa upya: “Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye manajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, kwamba ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki”.Jifunze mchoro ulio hapo chini ili kuelewa zaidi.

MTU AMBAYE HAJAZALIWA UPYA.

1. Nafsi – Uwezo wa Kutawala2. Mwili – Chini ya Mamlaka ya Nafsi3. Roho ya mtu – Chini ya mamlaka ya mwili na nafsi

BAADA YA ANGUKO Waefeso 2:1-3

53

Page 56: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

B. Tendo cha kwanza/Hatua ya kwanza ili kurudisha ufahamu toka kwa adui ni kutubu na kuokoka. 1. Neno “toba”maana yake ni “kubadili mawazo”

Warumi 10:9, 10, 13 inaeleza, “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywachako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungualimfufua katika wafu, utakaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huaminihata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. ………… Kwakuwa, kila atakayeliitia Jina la Bwana anaokoka”

2. Sasa tunao ufahamu ambao hauna uadui tena na Mungu. Warumi 8inalinganisha kati ya ufahamu wa kimwili wenye uadui na Mungu naufahamu wa na roho.Warumi 8:5-6, “Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo yamwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa niaya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani”.

5. Roho Mtakatifu anatumia Neno la Mungu kujenga upya na kubadilishaufahamu wetu ili kwamba tuweze kujua kusudi la Mungu na kulifanya.2Timotheo 3:16-17, “Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwamafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, nakwa kuwaadibisha katika haki, ili mtu wa Mungu awe kamili,amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.”

C. Mungu anataka kuhuisha ufahamu, mioyo, nia, hisia upendo na matamanio yetu katika kiwango cha juu kama vilivyokusudiwa kuwa, ili kwamba siyo tu tumtukuze Mungu katika kufikiri kwetu, bali kama matokeo, tumtukuze Mungu katika mwenendo wetu pia. (Rejea vielelezo ukurasa wa 55 & 56).

1. Mabadiliko katika kufikiri kutapelekea mabadiliko katika tabia. Lengo nikuwa na ufahamu wa Kristo unaoelekeza shughuli za akili na hisia zetu.1Wakorintho 2:16, “Maana ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana,amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo”.Ni nini Mungu ameahidi tutafahamu kama sasa tulivyo na ufahamu waKristo?

a. 1Wakorintho 2:12_______________________________________b. Warumi 12:2__________________________________________

Majibu: a. Tutavijua vitu vilivyotolewa kwetu bure na Mungu. b. Tutalijua nini kusudi la Mungu katika maisha yetu.

2. Mara Roho Mtakatifu anapoingia wakati wa wokovu, anafanyika mkuu waserikali (mtawala). Tunakuwa na Bwana mpya ambaye atatufundishakumwamini Bwana wetu Yesut Kristo na Neno lake Takatifu. Tunaingiakatika mchakato mrefu wa maisha wa utakaso ambao tutabaisilishwa tuwekatika mfano wa Kristo. Tumejifunza kuzinyenyekeza nafsi na miili yetuchini ya Mamlaka yake. Tunajifunza kwamba mawazo na hisia zetuhaziwezi kuelekeza mchakato wa kufanya maamuzi katika maisha yetu.

54

Page 57: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MTU ALIYEZALIWA UPYA (Baada ya Wokovu)

Chuki

NAFSI

MWILI

ROHO MTAKATIFU yupo ndani ya

ROHO YA BINADAMU

Maeneo yanaweza kuwa bado Anahitaji kukombolewa Chini ya utawala/umiliki [Mathayo 17:20] Wa adui (Waefeso 4:27) [Luka 10:17-19] Mfano, hasira, tamaa n.k.

Mkristo aliyeokoka anaweza asiwe huru kabisa kutoka kwenye ngome za adui katika maeneo mbali mbali ya maisha yake. Kukombolewa kutoka vifungo vya mapepo kunaweza kuwa muhimu. Kisha mwamini anaweza kumwalika Roho Mtakatifu kuyamiliki maeneo ya maisha yake ambayo adui alikuwa ameweka ngome.

55

Page 58: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MRISTO ALIYEKOMBOLEWA AMEWEKWA HURU

Chuki

NAFSI

MWILI

ROHO MTAKATIFU yupo ndani ya

ROHO YA BINADAMU

Roho wabaya bado wanavamia, bali sasaunajua namna ya kusimama imara

Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli, nayo hiyo kweli iwawaeka huru. Yohana 8:31

. D. Ufahamu/akili zinatakiwa kutekwa tena na kujenga upya katika maeneo ya

hiari/ridhaa, ufahamu/akili, fikara, hisia, upendo na matamanio.

1. Ridhaa/hiari ni nyenzo/chombo cha maamuzi. Ni usukani unatoa/amua mwelekeowa maisha. Mungu anatambua kwamba tunao uhuru/utashi/hiari wa kuamua.Haingilii utendaji wa utashi wetu, bali huiweka wazi mbele yetu kweli na kutupauhuru kamili wa kuikubali au kuikataa. Hii ni kanuni muhimu kuielewa katikamchakato wa kurejesha utawala wa ufahamu/akili zetu. Mungu hafanyi ghaflakuchukua madaraka ya kutawala mawazo na matendo yetu. Anaweka wazikwamba ni wajibu wetu kuteka mawazo yote kwa kutumia nyenzoalizotupatia: Neno la Mungu, Nguvu ya Damu na Jina la Bwana Yesu Kristo.Mistari ifuatayo ni muhimu:Yohana 8:31-32 Yakobo 4:7

56

Page 59: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Utekelezaji: Kwa tendo letu moja tunajinyenyekeza kwenye kusudi la Mungu, na kisha tunakuwa kwenye nafasi ya kumpinga Shetani na kurudisha ufahamu/akili zetu ili kwamba tuwe na maamuzi sahihi na ufahamu ulio bora kwa utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.

2. au Mungu alitupatia hisia ili tuweze kuufurahia ulimwengu unaotuzunguka nakuidhihirisha furaha yetu ndani ya Mungu. Hisia zetu huitikia kwenye vichocheo vya njekama ilivyo kwenye Roho wa Mungu aliyeko ndani. Biblia inayo mifano mingi yamiitikio ya hisia za waamini kwa kazi nzuri za Mungu, kama vile:Zaburi 149 Luka 1:47

3. Ndani ya mtu wa asili, miitikio yetu kwa kile tunachohisi au kufikiri upo katika nyanja aueneo la mihemuko (hisia) zetu. Hisia, matamanio, na upendo wetu ni sehemu yamihemuko yetu. Jinsi tunavyozidi kuizoea mihemuko (hisia) yetu ndivyo tunavyotambuakwamba huwezi kuitegemea na huweza kubadilika na hivyo haiwezi kuwa msaada katikakuongoza maisha yetu. Mihemuko (hisia) kamwe isiwe nguvu inayotawala maisha yetu.Roho Mtakatifu anapokaa ndani yetu, huleta tunda la upendo, furaha, amani uvumilivu,upole, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi ili kuifanya mihemuko au hisia zetuziwe chini ya utawala wa Roho wa Mungu.Wagalatia 5:22-23Katika Waefeso 4:26-27, Paulo anafundisha kwamba mihemuko au hisia zetu zinawezakuwa dhambi kama hazitashughulikiwa kama Mungu anavyoongoza. Shetani hupatanafasi katika maisha yako.

4. Bwana wetu Yesu Kristo alipokuwa katika kipindi cha hisia/huzuni kali katika maishayake, aliunyenyekeza utashi na matamanio yake kwa Mungu Baba. Kisha alipokea nguvuili kukabili Msalaba. Tunapojaribiwa ili tuingie katika udhaifu, silika, matamanio aumihemuko yetu ya kimwili, ambayo itatupeleka nje ya kusudi la Mungu lililofunuliwa, nilazima tulinyenyekeze kusudi letu kwa Mungu. Hisia au Mihemuko yetu ipitie katikamsalaba ili isitawale maamuzi yetu. Mihemuko hii inakuwa watumishi wa kusudi laletu, ambalo ni kujinyenyekeza kwa Bwana Yesu Kristo.Katika Mathayo 26:37-42, tunaona kielelezo ambacho Yesu alikiweka kwa ajili yetu.Utoaji umefanyika pale msalabani kwa ajili ya mihemuko au hisia zetu:“Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabayana tamaa zake. Tukiishi kwa Roho na tuenende kwa Roho” Wagalatia 5:24-25.

5. Bwana wetu Yesu Kristo alituonya kwamba katika familia na maisha yetu tunawezakuwa milima na mabonde, kukataliwa na kutoelewana na wale walio karibu nasi.Alisema kwamba, njia kuelekea ushindi katika mazingira yetu ni kuchukua msalabawetu, kuachana na agenda zetu na kujinyenyekeza kwenye kusudi lake katikamaeneo yote ya maisha yetu kila siku. Hebu tusome Maneno ya Yesu yanayopatikanakatika Mathayo 10:34-39.

6. Shetani hujaribu kuamsha hisia, hamu, mapenzi, na matamanio yetu ili kwamba tuchaguekutenda dhambi au anajaribu kulishinda kusudi letu kwa kulinyamazisha ili kwambatusiweze kufanya uamuzi mzuri (2Korintho 11:13). Kusudi la Shetani ni kutupelekamahali ambapo tutalikatia tamaa kusudi letu na kumruhusu yeye au roho chafukutawala maeneo ya ufahamu, utashi au hisia au mihemuko yetu. Utashi wetu nikikwazo (kizuizi) kwa adui kutuvamia.

57

Page 60: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

E. Siku zote Mungu hushughulika nasi kutegemea mioyo/akili zetu. Mungu hatauacha moyo ulionyenyekea na kuvunjika/kupondeka Zaburi 51:17 Zaburi 10:17-18

1. Maombi ya Daudi kwenye Zaburi 51:10-12 yanapaswa kuwa yetu binafsi.Katika Isaya 57:15 Mungu Mtakatifu anasema kwamba, Hukaa na yeye aliyena roho iliyotubu na kunyenyekea

2. Unyenyekevu na kupondeka ni sifa muhimu za moyo kwa ajili ya Mungukujenga upya akili/ufahamu wetu.

3. Tunatakiwa kulipokea Neno la Mungu kwa unyenyekevu kama chanzo chaKweli ambayo itatubadilisha na kutujenga upya ufahamu/akili zetu.

4. Tunapoukubali umoja/ushirika wetu na Kristo, tunapewa unyenyekevu wakewa moyo na tunajisikia pumziko katika nafsi na hisia zetu. Zinaacha kuwanguvu zinazotawala maisha yetu. Ukweli huu unaelezwa waziwazi katikamaagano yote, Agano Jipya la Kale:Isaya 66:2 Mathayo 11:28-29.

Kanuni ya Mapambano: Ili mradi tunaendelea kumtegemea Kristo aliye hai ndani yetu katika kila hali, tutaendelea kuwa katika nafasi ya ushindi. Lengo la kwanza la Shetani dhidi ya Mkristo ni kutuondoa kutoka kwenye nafasi yetu ya ushindi na ushirika au umoja wetu na Kristo.

58

Page 61: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Tunahitaji akili zilizo huru, safi, makini na akili zenye utashi ili kwamba yale yote ambayo Mungu amekusudia kutufanyia na kupitia sisi yafanyike.

1. Muhutasari wa afya ya akili umeelezwa katika Agano la Kale NabiiDaniel. Aliishi katika jumba la Mfalme wa Babeli, penye kiti cha enzi chaShetani. Watenda kazi wake walikuwa wachawi, waganga, watuwanaocheza na nyoka, na watabiri. Kwa imani yake ndogo Danielialiweza kusimama mshindi na kuuendeleza Ufalme wa Mungu. Ninikiliwezesha Danieli kuwa na nguvu hiyo ya kiroho?

a. Alikusudia moyoni mwake siku zote kutojinasi na vyakula vyaadui, Danieli 1:8

b. Siku zote alijinyenyekeza kwa Mungu, alimwabudu Mungumara kwa mara, alijifunza kwa makini, na aliiishi imani yakekwa ujasiri katika nyanja zote za maisha yake. Mungu alimpa/alimkirimia nguvu ya akili inayomhofu Mungu.

2. Angalia maandiko yafuatayo na andika sifa ambazo Mungu alimpa Daniel.a. Danieli 2:14 ____________________, _____________________

____________________ b. Danieli 5:11-12 ____________________, _____________________

____________________, _____________________ c. Danieli 5:14 ____________________

3. Utekelezaji: Neno la Mungu linaeleza akili iliyo tayari kwa vita yanguvu. Tunatakiwa kudai:a. Nguvu, upendo, na akili timamu 2Timotheo 1:7 b. Akili iliyofanywa upya kwa Neno la Mungu Warumi 12:2c. Akili iliyofanywa upya, yenye kweli, na kiasi Waefeso 4:20-32

d. Akili iliyonyenyekea, iliyo tayari kufanya kazi Wafilipi 1:27; 2:3,5pamoja na Wakristo wengine, ili kujenga Kanisa. Wafilipi 2: 3, 5 e. Akili inayokaa katika kweli Wafilipi 4:8

f. Akili ambayo inayoyatafakari yaliyo juu Kolosai 3:2; Mathayo. 5:21

g. Akili iliyo makini na thabiti 1Wathesalonike 5:8.9. h. Akili inayofurahi siku zote/wakati wote 1Wathesalonke 5:18 i. Akili iliyo makini tayari kwa vita 1Petro 5:8 Majibu ya F2: Mafunuo, uamuzi, hekima, utambuzi, uelewa, uwezo wa kutatua matatizo magumu

Kanuni ya Mapambano: Katika ulimwengu wa Roho, sheria ya kujibu mashambulizi siku zote inatenda kazi ili kupata ushindi wo wote. Kama mwanga unavyofukuza giza, ukweli ni lazima usemwe ili kuushinda uongo.

59

Page 62: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

F. Itambue mitego ya hatari ambayo Shetani ameitega dhidi ya akili, utashi, na hisia zako ili kwamba uweze kuchukua silaha zake za kiroho na kwa ujasiri kuziharibu.

1. Utepetevu wa Kiroho – Uhafifu huu wa hali ya akili hutoa nafasi kwamanyanyaso ya kipepo. Tunatakiwa kuendeleza mapambano ya kiakili. Tukaemacho na kuwa kwenye zamu na si watepetevu, 1Petro 5:8.

2. Ukimya/ubaridi – Hali hii huruhusu nguvu za nje kutuhamasisha. Tofauti yamsingi kati ya kazi ya Roho Mtakatifu na ile ya roho wachafu ni kwamba RohoMtakatifu kamwe hatuambii tuuweke utu wetu kando; roho wachafu hututakatusiwe watendaji ili yeye afanye badala yetu na kutufanya sisi kama roboti. RohoMtakatifu huhitaji ushirikiano wetu wa hiari na unyenyekevu kwake. Utashi wetulazima utende kazi siku zote bali chini ya mamlaka ya Roho Mtakatifu ili kuzuiaupinzani wa kimyakimya. Zaburi 40:8

3. Ufahamu ulio mtupu ambao hukosa lengo maalumu au mwelekeo unaruhusuroho wachafu kuingiza mawazo yao. Usiruhusu hali ya ufahamu wako kuwa katikati au kutokuwa na kitu. Biblia inasema tunatakiwa kuwa na utayari namwelekeo katika kweli. 1Petro 1:13.

4. Mawazo mabaya/wachafu – Roho chafu zitajaribu mara kwa mara kuingizamawazo mabaya/machafu. Ikiwa tunafurahia mawazo ya dhambi, inakuwa niuamuzi wa akili na kinachofuata ni kitendo. Basi, tunatakiwa kuungama dhambina kumpinga adui katika eneo hili. Kujaribiwa si kutenda dhambi, bali kukubalikutenda ndiyo dhambi. Yakobo 1:14-15.

5. Misisimuko ya kuigiza ya miujiza – Uwe macho na dini zenye misisimko yakidini inayoteka utu wako. Mungu anatutaka kutembea kwa imani siyo kwamisisimko, mitazano au uzoefu wetu, Warumi 12:3; 2Wakorintho 5:7 [angaliasura ya 6 kuhusu “kuendeleza/uendelezaji wa mafunuo].

6. Vipawa vya kuigiza vinaweza kutenda kazi ndani ya mwamini aliyedanganywana hakujifunza kuzijaribu roho kuona kwamba zinatoka kwa Mungu (AngaliaSura ya 6).

7. Kukubali mapendekezo kuhusiana na maisha yetu au ya watu wengine au yamazingira ya baadaye – Roho wachafu hutafuta kutupa uwezo wa kimiujizakatika kuzigeuza karama. Kila karama au ujumbe ni lazima ujaribiwe sawa sawana 1Yohana 4:1-3 (Angalia sura ya 6).

8. Msukumo wa mawazo ya haraka haraka. Hali hii hupelekea hali/msukumo wakuchukua maamuzi ya haraka. Roho wachafu huathiri akili/ufahamu kwashinikizo na kutaka kuharakisha mambo (kusukuma) ili kutimiza agenda zaokabla ya kuchukua muda kumuuliza Bwana na kuona kama jambo hilolimeagizwa lifanyike. Mapepo humuumbia mtu matamanio yasiyo ya kawaidajuu ya vitu. Hutusukuma kwa msisitzo ili kuona tunafikia matakwa au malengowanayopendekeza. Akili/ufahamu uliathiriwa na adui hukosa utulivu na huwa namasumbuko/dhoruba. Kwa upande mwingine, Roho wa Mungu ni mpole na waamani na hatulazimishi kutenda. Hutuongoza kimya kimya, hatua kwa hatua.Ikiwa tunahisi msukumo mkali katika akili zetu, mara nyingi hautoki kwaMungu, Yohana 10:3-4.

9. Msongamano wa Hisia zenye nguvu – Ikiwa eneo lililorahisi kushambuliwa nihisia zetu, tunatakiwa kuzilinda dhidi ya vitendo au misukumo inayoletwa nahisia. Njia zote za Mungu ni za amani. Kwa hakika Mungu huturuhusukuonyesha/kueleza hisia zetu za ndani chini ya uangalizi wa Roho Wake lakinitunda wakati wote ni haki na amani. Hisia zenye nguvu zilizo mbaya (hasi)ambazo hutuibia tunda la Roho Mtakatifu hazitoki kwa Mungu. Yohana 14:27

60

Page 63: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

10. Ufahamu/akili yenye wasi wasi inatambuliwa kwa kurudia mara kwa maramatukio na mawazo mabaya (hasi) yanayaoambatana na mchakato wa wazo.Mara kwa mara kuna usumbufu, wasi wasi, hofu kwa mambo yasiyojulikana,hofu ya mambo ya baadaye na matokeo halisi mwilini kama vile maumivu yakichwa, hofu au kukosa usingizi. Neno la Mungu limeeleza kwamba tiba pekeekwa akili yenye wasiwasi – ni kuzikabidhi fadhaa zako Bwana katika maombi,Wafilipi 4:6-7

11. Mashaka makubwa – siku zote hupandikizwa na adui ili kutugeuza (kughusi)kufikiri kwetu. Adui siku zote hujaribu kuharibu imani yetu kwa Mungu na Nenolake. Roho wachafu huingiza uongo juu ya tabia ya Mungu ili tusimwamini. Piahutufanya tuwe na mashaka kwamba sisi ni nani katika Kristo. Wauaji hawa waimani ni lazima washughulikiwe kwa uwazi kwa kuikiri Kweli, Yohana 8:32.

12. Akili iliyochanganyikiwa ni ile ambayo mitazamo miwili inayopinganaimewasilishwa na hakuna hatua iliyochukuliwa kuonyesha msimamo.Uchaguzi/uamuzi thabiti (usio na mashaka) unaomini Kweli ya Neno la Munguhuzuia/hukinzana na uongo na kutowezesha kuchanganyikiwa. Yakobo 1:8.

13. Ufahamu/akili ya wakati uliopita ni ufahamu ambao kila mara hukumbukamatukio mabaya (hasi) ya zamani. Mara tunapofunguliwa kutoka dhambini,mambo ya zamani, au ngome za mapepo ambazo zimetokana na maisha yetu yazamani, tumeamriwa katika maandiko tusijishughulishe na mambo ya dhambi zakale/zamani, bali tuchuchumilie mbele kwa yale yaliyo mbele yetu, Wafilipi3:13-14.

Kanuni ya Mapambano: Njia nzuri ya kulinda/ulinzi ni mashambulizi endelevu

G. Utekelezaji: Namna gani tunashinda vita vya ufahamu/akili. Jenga tabia yakufanya matendo yafuatayo kila siku, na utashangazwa kwa mabadiliko katika akili zako.

1. Andaa ufahamu wako kwa vita kila siku. Ukubali ukweli kwamba tukovitani dhidi ya adui anayetaka kutuibia na kutuharibu.1Petro 1:13

2. Salimisha ufahamu, nia/utashi, hisia na mwili wako kwa Bwana YesuKristo kila siku na dai ufahamu wa Kristo. Vaa Silaha za Mungu1Wakorintho 1:13.

3. Jaza ufahamu/akili zako kila siku kwa Neno la Mungu. Fikiri Kweli,zungumza Kweli, na tembea katika kusudi la Mungu lililofunuliwa kwakokila siku.Zaburi 119:11

4. Linda, kupitia Roho Mtakatifu, hazina ambazo zimekabidhiwakwako.2Timotheo 1:13-14

61

Page 64: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. Epuka maswali ya kipumbavu na magomvi yanayoondoa kifungo chaamani.2Timotheo 2:23-26

6. Jiondoe kwenye kila pando ambalo hukufubaza kiakili na kiroho.Dhamiria moyoni mwako kuto najisiwa na adui chakula.2Timotheo 2:19, 21 – 22

7. Mshukuru Mungu katika kila jambo maana hayo ndiyo mapenzi yaMungu kwako.1Thesalonike 5:18

8. Tathmini kili kitu kwa makini kulingana na Neno la Mungu. Kamahakiendani na neno la Mungu kikatae mara moja.Matendo 17:11

9. Mwombe Mungu akupe hekima kila siku. Yakobo 1:5.

10. Jitoe/jikabidhi maisha katika mchakato wa muda mrefu wakubadilisha ufahamu/akili zako katika ufahamu uliopevuka kwakujazwa Roho Mtakatifu ambao Mungu anaweza kuutumia kwa ajili yautukufu Wake1Wakorintho 14:20, Warumi 12:2

“Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea; Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.”

Isaya 26:3

62

Page 65: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Karatasi ya kazi kwa ajili ya sura ya 5 – Kushinda Vita vya Akili (ufahamu) Tafadhali chana karatasi hii na ujibu maswali kadri unavyojifunza somo hili. Weka alama katika jibu sahai kwa maswali 1 – 5 kwenye orodha katika swali 1.

1. Je, ni eneo gani unapata mashambuli kutoka kwa adui mara kwa mara? Weka alama + _______Macho ________Masikio _______Hamu ya kula, kuonja ________mihemuko, hisia kali _______Utashi dhaifu ________Tamaa mbaya ya

mapenzi _______Shauku ya kutafuta maarifa zaidi kama njia ya kupata hekima ya kibinadamu

____Mawazo/mafikara ____Maumbile ya Kimwili _____Magonjwa, Maumivu 2. Je, ni eneo gani hushambuliwa kwa nadra katika maisha yako?

Weka alama X kwenye orodha iliyopo hapo juu. 3. Je unafikiri ni eneo gani ambalo kwa kawaida hushambuliwa dhidi ya

kizazi cha binadamu? Weka alama C kwenye orodha iliyopo hapo juu.

4. Ni mahali gani Shetani alimshambulia mwanadamu kufikika kiwango ambacho Mungu alijuta kumuumba mwanadamu? Weka alama D kwenye orodha iliyopo hapo juu.

5. Ni maeneo gani yanayoshambuliwa katika maisha yako ambayo hushambulia maeneo yale yale ambayo yalisababisha kuharibiwa kwa kizazi cha mwanadamu (isipokuwa kwa Nuhu na familia yake)? Zungushia mduara kwenye jibu katika orodha iliyop hapo juu.

6. Je ni maeneo gani ya mashambulizi tangu utoto wako ambayo umefikia kuuamini uongo mwingi wa shetani juu ya Mungu na wengine, na Maisha?_______Mila (Utamaduni) ______Mifumo ya Elimu _______Uongo wa Kipepo uliopandikizwa _______Mifumo ya imani potofu _______ Falsafa, Nadharia, Dini n.k.

7. Ni hatua gani ya kwanza ambayo ni lazima tuichukue kurejesha ufahamu wetu kutoka kwenye milki ya adui? ______Soma kitabu kingine ______Kutubu dhambi zetu zote

8. Weka Kweli____K au Si Kweli_____S juu ya vitendo vifuatayo tunavyopaswa kuvifanya ili kurejesha ufahamu wetu kwa ajili ya Bwana Yesu Kristo. _____Kuangalia luninga kwa masaa 3 _____Kukiri kwa vinywa vyetu na kuamini katika mioyo yetu kwamba Yesu Kristo ni Bwana _____Kuitoa miili yetu kama dhabihu katika maombi kila siku _____Kuyajaza maisha yetu kwa falsafa za kidunia _____Kusikiliza sauti inayosema, “mara moja hii tu”au “hutadhurika” _____Kuwa tayari kila sikukwenda kushuhudia kwa yale Kristo ametufanyia _____Mwelekeo unaoutendea kazi uwepo wa Kristo na Neno lake kila siku katika maisha yangu.

9. Je kuna ngome katika maisha yako ambazo bado zinaathari kubwa juu yako? Onyesha eneo hilo kwa “ndiyo”au “hapana”. _____ Ngome katika hisia/mihemuko

63

Page 66: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

_____ Ngome katika ufahamu _____ Ngome katika mwili

10. Elezea katika maneno yako mwenyewe mchakato ambao Mungu,kwa Roho wake Mtakatifu hutenda kazi pamoja nawe kuziangusha ngome na kulifanya kila wazo mateka_____________

____________________________________________________________11. Je ni kitu gani “Kinaendelea kujengwa”katika maisha yako

wakati hu? Weka alama ’X’

- Utashi - Mawazo/fikara

- Akili/Ufahamu - Hisia

Ujenzi Unaendelea

12. Andika mambo mawili ambayo yanaathiri hisia zako za ndanin nambili ambazo zinaathiri hisia zako kwa nje, zote, vizuri (chanya)na/au vibaya (hasi).

HISIA ATHARI TOKA NDANI ATHARI TOKA NJE____Mawazo Hasi ______________ __________________________

________________________ __________________________

13. Malizia sentensi ifuatayo kwa kile kinachoelezea vizuri mihemuko(hisia) – kunaweza kuwa na jibu zaidi ya moja.Mihemuko ni: a.hisia b. mawazo c. Upendo/huba d. Shauku

14. Toa jibu kwa maelezo yafuatayo kuhusiana na mihemuko kwa kuwekaKweli__ K au Si Kweli___S.

Mihemuko:_____Huweza kutawala utashi_____Hazina hakika_____Ni za asilia na kwa hiyo ni lazima wakati wote zionyeshwe

64

Page 67: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

_____Siyo imara na hubadilika _____Haziwezi kuruhusiwa kutawala maamuzi yetu _____Ni vyombo tunavyotumia kuonyesha upendo, amani, furaha na uwepo wa Bwana katika maisha yetu.

15. Ni hisia gani zina nguvu ambazo unadhani adui anaweza kupata nafasikwako?_____________________, ____________________, ____________

16. Jaza nafasi zilizoacha wazi. Rejea kwenye ukurasa wa 57 #4.� Hisia zetu lazima ziwekwe kwenye______________________ Ili

kutoziruhusu ku___________________ maamuzi yetu. � Hisia zangu lazima ziwe watumwa wangu__________________

Kama mimi ninavyojinyenyekeza kwa Bwana wangu Yesu Kristo.Majibu kwa swali 16: Msalaba, Utawala/umiliki, Utashi

17. Ni hali zipi za mioyo yetu zinamruhusu Bwana kutubadilisha nakutujenga upya akili/ufahamu, hisia, na utashi wetu? Onyesha matatu._____Kiburi _____Ukimya ______Udanganyifu _____Unyenyekevu _____Mateso ___Uaminifu kwa Mungu

18. Ni mitego ipi ya hatari ambayo Shetani amekuwa akiitumiakukudanganya wewe?Weka X. Tafadhali rejea kwenye ukurasa 60 na 61._________ ukimya kiroho (kupoa kiroho) ________akili iliyopoa_________ akili iliyo wazi ________miujiza ya uongo _________ mawazo mabaya ifurahishayo _________ akili iliyo na wasi wasi _____msukumo wa mawazo _________ mashaka makubwa (yenye nguvu) ya haraka haraka _________ aili iliyochanganyikiwa _____akili yenye wasiwasi _________mongamano wa hisia zenye nguvu _____ndoto za mchana_________aili inayotazama zaidi mambo yaliyopita kuliko ya sasa._________aili inayofanya kazi chini ya uongozi wa karama za

uongo. _________mwazo na mapendekezo yenye nguvu juu ya

matukio ya baadaye

19. Andika matendo matatu yanayojenga unayoweza kuyatumia kushindavita kwa ajili ya akili yako? Chagua kutoka kwenye orodha iliyopo juueneo moja la kujadili.

a. ___________________________________________________b. ___________________________________________________c. ___________________________________________________

“Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo”. 1Wakorintho 2:16

65

Page 68: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 6 Kujenga Upambanuzi katika Njia za Mungu

Kweli Kuu: Mungu anawapata Wakristo mafunuo ya Miujiza kutoka kwa Roho Mtakatifu jinsi tunavyokua katika imani na maarifa katika Bwana wetu Yesu Kristo na Neno lake Takatifu. Mungu pia huwaandaa watakatifu kwa karama za miujiza kwa ajili ya kuujenga Mwili wa Kristo.

Lengo Kuu: Kuelewa namna ya kuzitambua na kuzijaribu roho zilizo nyuma ya neno, kipawa, udhihirisho wa miujiza na kazi zote.

Maandiko ya Msingi/Makuu: “Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani”. 1Yohana 4:1-3

“Basi, ndugu zangu, kwa habari ya karama za roho, sitaki mkose kufahamu. Mwajua ya kuwa mlipokuwa watu wa mataifa, mlichukuliwa kufuata sanamu zisizonena, kama mlivyoongozwa. Kwa hiyo nawaarifu ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.” 1Wakorintho 12:1-3

Somo hili juu ya mafunuo linaweza kufanyika kwa kutumia karatasi ya kufanyia kazi iliyoko ukurasa wa 72.

Msingi wa mafunuo yote ni Neno la Mungu.

66

Page 69: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

A. Mafunuo kwa Wakristo ni sifa ya kukuwezesha kudaka na kuelewa yale yasiyojulikana na yaliyofichika gizani; mwamini aliyekomaa, anayekula Neno gumu la Mungu na kulitendea kazi, inadhihirishwa kwa uwezo wake wa kutofautisha mema na mabaya.

“Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoezwa kupambanua mema na mabaya”, Waebrania 5:14.

1. Maana ya Mafunuo/maonoa. Katika lugha ya asili ya Kiebrania ya Agano la Kale, kupata mafunuo/ maono

ni kutambua, kutofautisha au kubagua/kutenganisha [Vine’s 1985, p.60].

b. Katika Agano Jipya, neno mafunuo/maono linamaanisha “kutenganisha kwaumakini, kuchunguza kwa kuangalia”. Katika Mathayo 16:3 pia “ni kujaribuna kudhibitisha”; Luka 12:56; na “kutoa maelezo ya kimahakama”; Ebrania4:12, Neno la Mung “lijepesi kuyatambua mawazo na nia ya moyo” i.e.kubagua na kupitisha hukumu juu ya mawazo na hisia. (Vine’s CompleteEspository Dictionary of Old and New Testament Words, Unger & White,1985, ukurasa 171).

2. Kusudi la Mafunuo/maonoa. Paulo anaomba kwamba “pendo lenu lizidi kuwa jingi sana katika hekima na

ufahamu wote” Wafilipi 1:9.b. Kwa nini tuwe na maarifa na upambanuzi halisi? Ili kutambua na/au

kuyachukua na kuyathibitisha mambo ambayo ni mazuri sana ili kwambatuwe wakweli na tusiolaumiwa mpaka siku ya Kristo.

3. Madhumuni ya Mafunuo/maonoa. Ni jambo gani lazima lihamasishe kutafuta upambanuzi? Upambanuzi lazima

uhamasishwe na upendo wa Mungu na kazi zetu katika Mwili wa Kristo.Manabii wa Agano la Kale walivunjika mioyo, watu wa machozi katikamaombezi waliowapenda watu wao, na kwa hiyo Mungu aliweza kuwatumiakuona na kutangaza kusudi la Mungu (Yeremia 9:1). Yesu alipambanuakutoka kwenye upendo. Kwa mfano katika suala la mtawala tajiri kijana,Biblia inasema kwamba, “Akampenda”, kwa hiyo Yesu angeweza kumpamaneno magumu ya mafunuo ambayo yalilifunua jambo halisi na kutoahukumu katika hali yake, (Marko 10:21)

b. Zaidi ya upendo wa Mungu na Roho Mtakatifu kutuhamasisha, upambanuziunaweza kuwa nyezo ya migawanyiko inapokuwa mikononi mwa adui.Mkakati wa kwanza na wa muhimu ambao Shetani aliutumia dhidi yaAdamu na Hawa ilikuwa ni kuwapa mafunuo ya uongo, “ujuzi wa mema namabaya”. Katika Mwanzo 3:5 neno, “maarifa”(kiebrania – yada) maanayake ’kuyakinisha/hakikisha kwa kuona’..Adui hutumia mafunuo/maono mabaya katika namna ya kubashiri,hisia/onyo kabla ya tukio, ubashiri, na maarifa ya kutabiri. Katika hali hii,watu wanaotumia uwezo huu hupata maarifa pasipo upendo wa Mungu nawanahamasishwa na madhumuni mabaya. Tunda la mafunuo ya uongo nihofu, vifungo vya kiroho, kuchanganyikiwa na laana.

67

Page 70: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Roho Mtakatifu, ambaye ndiye chombo cha mafunuo, anakubaliana naMaandiko Matakatifu. Tunaweza kutumia makubaliano haya kuhakikisha usahihi wa mafunuo.

B. Bwana wetu Yesu Kristo aliifunua kila hatua ya huduma yake. Tunapoendelea kuwa na umoja Naye, Roho Mtakatifu atatupa Kweli inayotakiwa katika kupambanua na kulitimiza kusudi la Mungu.

1. Yesu alijua katika Roho yake yale ambayo wanadamu waliyafikiria ndaniya mioyo yao. Marko 2:8

2. Yesu alifunua kupitia mafunuo kamili (sawasawa) suala halisi la dhambindani ya Mwanamke Msamaria pasipo lawama. Yohana 4:17-18

3. Kwa kushikamana na uwepo wa Baba yake, Yesu aliweza kufunuakwa usahihi kila hali. Maana ya mafunuo katika Luka 12:54-57 ni“Kuhukumu katika mambo ya haki”. Yesu aliwakemea Wayahudi kwakuwa na mafunuo ya ulimwengu wa mwili lakini hakuna kwa ajili yaulimwengu wa roho. Alihusisha uhitaji wa kuwa na mafunuo sahihi kwawakati wa sasa.

C. Nabii Danieli alikuwa na kipawa cha mafunuo alichokirimiwa na Mungu, ambacho kilijidhihirisha kupitia roho wa kipekee, maarifa na utambuzi, kutafsiri ndoto, kuelezea mafumbo/miujiza na kutatua matatizo mazito.

1. Danieli alieleza kwamba mafunuo ya yale mambo ya siri si kwa uwezowa asili ambao ulikuwepo ndani yake, lakini zaidi Mungu aliitoa kwakekwa ajili ya kulihubiri kusudi la Mungu.Danieli 2:30 Danieli 5:12

D. Wakristo katika Kanisa la Kwanza waliutambua uongozi wa Roho Mtakatifu kadri Kanisa lilivyokua.

1. Mara kwa mara, kwa ujasiri waliweza kuzitambulisha karama za uongo,madhumuni au roho za adui na kushughulika nazo na baadaye kuuhubiriUfalme wa Mungu.Soma vifungu hivi na andika mafunuo yaliyotolewa na Mungu:

a. Matendo 5:3__________________________________________b. Matendo 8:29________________________________________c. Matendo 10:19-20_____________________________________d. Matendo 13:9-10______________________________________e. Matendo 16:16-18_____________________________________

2. Tunapoyatendea kazi mafunuo, ni lazima tumtegemee Mungu atufunuliekwa njia ya Roho Mtakatifu kweli umuhimu au mwelekeo wakuyafanikisha makusudi yake. Upambanuzi untolewa kwetu kamawaamini kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu na siyo kwa ajili yamaarifa binafsi au kurahisisha mambo.Majibu kwa Swali D1: a. Petro alimfunua Shetani, mwongo, ndani ya waamini ambaowaliadabishwa kwa kifo. B. Filipo aliongozwa na Roho kuokoa roho/nafsi. C. Mungualithibitisha maono ndani ya Petro ambayo yaliwaongoza watu wa mataifa katikawokovu. D. Paulo alimfunua adui ndani ya Elma na akamkemea ili kwamba Injili iwezekumfikia liwali. E. Paulo alizifunua roho chafu ya utambuzi iliyozuia Injili katika Efeso.

68

Page 71: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Maneno yanayotolewa katika upambanuzi/mafunuo kamwe hayapingani na Neno la Mungu.

E. Mafuno ya kiroho lazima yaendelezwe. 1. Jinsi tunavyotembea katika Roho na kuendelea kukaa ndani yake, tunakua

katika mafunuo ya kiroho.Paulo anaifundisha kweli hii katika:1Korintho 2:6-16.

2. Mafunuo ya kiroho ni ishara ya kukua kiroho. Mafunuo ya kiroho nimatokeo ya fahamu zote ambazo Mungu ametupa na vipawa vya RohoMtakatifu kunyenyekezwa kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya hekima yakena Kweli yake iweze kujulikana.

F. Karana zote za Roho Mtakatifu zinatumika na ufunuo, lakini “karama ya kupambanua kati ya roho” inatumika zaidi katika vita vya kiroho. Hebu tuangalie katika 1Wakorintho 12:1-11

1. “Karama ya mafunuo au kupambanua kati ya roho”, inapatikana katikaorodha ya huduma ya vipawa kwa udhihirisho wa Roho kwa ajili yakuujenga mwili wa Kristo. Katika huduma ya ukombozi, karama hii ni yamuhimu ili kuweza kujua ni ngome gani hasa ziko katika maisha ya mtu.

2. “Karama ya neno la hekima”, “karama ya neno la maarifa”, “karama yaimani”, “karama za kuponya”, “utendaji wa miujiza”, “karama ya unabii”na “karama ya aina mbalimbali za lugha”na “tafsiri za lugha” ni karamazinazotolewa na Roho Mtakatifu ambazo hufanya kazi wakati wa vita vyakiroho kadri Bwana atakavyoona zinahitajika.

G. Kanuni za Upambanuzi 1. Uwe msafi/mtakatifu, umejazwa na Roho Mtakatifu, na umevaa silaha za

Mungu kabla ya kumwomba Bwana kwa ajili ya neno maalumu katikahali maalumu. Kisha subiri kwa utulivu mbele za Mungu. Angaliamaelekezo maalumu yaliyopo kwenye vifungu vifuatavyo:Zaburi 25:4, 5 Zaburi 27:14Zaburi 62: 5

2. Yeremia 23:28 inaonyesha thamani ya Neno la Mungu likipingana nandoto.

3. Katika Zaburi 119:66 na mstari wa 99, Mwimba Zaburi anaombamafunuo, na kisha anafunua jinsi Mungu anavyojibu maombi hayo.

4. Tunaamriwa ’kuchunguza kila kitu kwa makini’ na ’kuzijariburoho’. Hizi ni amri za Kimaandiko kwa kwa ajili ya kuzijaribu roho.

a. 1Wakorintho 12:1-3 (Andiko kuu).b. 1Wathesalonike 5:19-22c. 1Yohana 4:1-3 (Andiko kuu)

69

Page 72: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. Jaribu na kutathmini “neno kutoka kwa Bwana” kwa Maandiko. Jaribio lamsingi kwa ajili ya matendo ya miujiza na maneno tunayoyapokea wakatikarama zinatenda kazi yanachuliwa kwa kuyalinganisha na Neno laMungu. Jifunze kwa makini uhalisi – Biblia, na utaweza kugundua vilivyovya kughushi/kuigiza (Matendo 17:11). Jumbe kutoka vyanzo vingine,tunaambiwa pia katika Maandiko “tuzijaribu roho ili kuona kwambazimetoka kwa Mungu” (1Yohana 4:1-3, andiko kuu)

H. Utekelezaji: Kuzijaribu karama za roho, maneno na kazi1Yohana 4:1-3

NAMNA YA KUZIJARIBU ‘ROHO’

1. Jaribio ni halali (la kweli) kwa ajili ya udhihirisho wa muujiza ambao“unadaiwa” kuwa umetoka kwa Mungu.

2. MAOMBI YA KUJINYENYEKEZA:

“Baba wa Mbinguni katika Jina la Bwana Yesu Kristo, ninakuombaunifunuliwe kwamba neno hili (au udhihirisho wa muujiza) unatokakwako. Nitaijaribu roho iliyo nyuma ya ujumbe (karama) sawa sawa naNeno Lako. Ninaomba katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

3. Kujaribu karama au neno, siyo muhimu kwaMBA kwenye utendaji. Bali kamaunaijaribu roho iliYo nyuma ya karama ya lugha, basi unaweza kunena kwalugha wakati wa jaribio.

“Sawa sawa na Neno la Mungu, Naijaribu roho iliyo nyuma ya ujumbe(lugha au karama), Unakiri kwamba Yesu Kristo amekuja katikamwili?”

4. Subiri majibu ya maneno ambayo utayaongea. Ikiwa ni kutoka kwa Mungu,basi majibu yatakuwa kutoka kwa Roho wa Mungu katika maneno ya lughayako yanayotamkwa.“Ndiyo, Yesu Kristo ni/amekuja katika mwili” 1Yohana 4:2. au“Ndiyo, Bwana Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu ambaye amekujakatika mwili”, au“Ndiyo, Yesu Kristo ni Bwana” 1Wakorintho 12:3.

70

Page 73: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. Kama hakuna majibu au tamko lililo kinyume, basi neno, karama au ishara zamuujiza ni uongo. Kiri kuwa umetoa nafasi kwa roho ya karama ya uongo /neno / maono / au ishara nyingine za muujiza. Neno la uongo, karama yayongo au ishara ya muujiza wa uongo vinapaswa kutubiwa, kubatilishwa nakukemewa.

“Bwana wangu, ninakiri kwamba nimetoa nafasi kwa roho mchafuambaye ameniingia kupitia (ulimi/lugha, karana au ishara nyingine) zauongo. Nisamehe mimi kwa kuziruhusu kuwa na nafasi katika maishayangu.Sasa kemea roho hizo:Katika Jina la Bwana Yesu Kristo, nabatilisha kila neno (au karama) yauongo. Narejesha maeneo yote niliyoyatoa kwako, (adui) katika maishayangu na ninavunja ngome zako zote juu yangu na ninajifungua navifungo vyote. Nakemea roho zilizo nyuma ya neno (au karama) hii naninamuru utoke na kwenda moja kwa moja kwenye shimo la jehanamusasa hivi, katika Jina la Bwana Yesus Kristo”.

6. Mwombe Mungu akujaze katika kila eneo la maisha yako kwa Roho wakeMtakatifu. Mwombe Mungu akupe karama zilizo halisi sawa sawa na kusudilake. 1Wakorintho 12:11.

“Baba wa Mbinguni, ninaomba unitakase kwa Damu ya thamani ya Bwana Yesus Kristo. Ninakualika Roho Mtakatifu kunijaza katika kila eneo la maisha yangu. Ninakuomba kwa ajili ya karama za Roho wako Mtakatifu ambazo Roho wako hunikirimia sawa na uhitaji wangu katika huduma, na ninakushukuru kwa ajili ya karama hizo katika Jina la Bwana Yesu Kristo.”

Roho Mtakatifu ni chombo cha Mafunuo. Wakati wote anakubaliana na Maandiko Matakarifu. Tunaweza kuyatumia makubaliano haya kama

udhibitisho wa usahihi wa mafunuo.

Maelezo:

71

Page 74: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Karatasi ya Kazi kwa ajili ya Sura ya 6 – Kuendeleza Upambanuzi Tafadhali chna (kata) karatasi hii na jibu maswali kadri unavyojifunza somo

hili.1. Orodhesha maneno mengine mengi kwa kadri unavyoweza yanayofanana na neno

upambanuzi / mafunuo:____________________________ _________________________ ____________________________ _________________________ ____________________________ _________________________

2. Katika maelezo rahisi, andika kusudi la msingi la upambanuzi/mafunuo.____________________________________________________________________________________________________________________________________

3. Katika neno moja, andika madhumuni ya upambanuzi/mafunuo:__________________________________________________________________Sasa kamilisha sentensi ifuatazo:Mafunuo sahihi hupelekea (huleta matokeo ya):____________________________________________________________________________________________________________________________________

4. Je, Yesu angefanya nini wakati “mafunuo yanatendeka?” Angalia ukurasa wa 68BBaada ya kusoma mistari, chagua jibu sahihi kwa mistari._______ Marko 2:8 a. Yesu alijua mzizi wa dhambi ya mwanamke

na alimuokoa._______ Yohana 4:17-18 b. Yesu aliwakemea Wayahudi kwa

kutotambua wakati walio nao (wa sasa)_______ Luka 12:54-57 c. Yesu alijua nini watu wanafikiria.

5. Katika mapitio, Danieli alifanya nini ili kuwa na akili nzuri yenye afya ambayoilikuwa tayari kutumiwa kufunua? Angalia ukurasa wa 68C. Chunguza majibusahihi.____ alikunywa mvinyo kila siku ____hakula ‘adui’chakula____aliomba mara 7 kwa siku ____alitafuta ushauri kwa watu wa Mungu ____Alijua kuwa yeye ni bora ____ alitembea katika unyenyekevu mbele Kiroho za Mungu na watenda kazi wenzake.

6. Nini kilisababisha Danieli kuwa na “akili njema/safi?”Chunguza majibu sahihi:____ alikuwa na karama ya neno la maarifa____ uelewa____ alielewa uganga/uchawi wa Babeli.____ alikuwa na uwezo wa kutafsiri ndoto____ aliweza kueleza siri – matatizo mazito.____ alikuwa na maktaba kubwa ya vitabu vizuri____ alipewa majukumu makubwa zaidi na kupandishwa cheo.____ hakuweza kuondoka Ikulu kama apendavyo____ alijua namna ya kuendeleza ushirika wake na Mungu.____ aliona hali zote/kila hali kwa macho ya rohoni____ alipoteza umaarufu mahakamani____ alipata kibali kwa bosi wake – Mfalme.

72

Page 75: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

7. Kila karama ya kiroho “neno kutoka kwa Bwana, maono, ndoto, lugha, tafsiri auunabii ni lazima vijaribiwe kwa: [Angalia ukurasa 70 & 71]._____ Mchungaji ____Wazee ___Neno la Mungu

8. Ni muhimu kuzijaribu roho kwa sababu:____ kuna karama nyingi za uongo ndani ya makanisa leo.____ kuna manabii wa uongo.____ kuna walimu wengi wa uongo____ kuna mafundisho mengi kuhusu mapepo yanayofundishwa leo.

9. Fikiri juu ya karama ambayo Mungu amekupa wewe kutumika ndani ya Kanisa.Inawezekana kuwa na zaidi ya moja, lakini hebu tuichunguze na kuijaribu mojatu. Malizia maelezo/semi zifuatazo:“Ninafikiri Mungu amenipa karama ya___________________________. NitalitiiNeno la Mungu na kuzijaribu karama sawa sawa na 1Yohana 4:1-3”.Hebu tuzijaribu ‘roho zilizo nyuma ya karama ya_________________________kuona kama inatoka kwa Mungu au la. Umejifunza kwenye somo hili namna yakuzijaribu roho, kwa hiyo hii ni nafasi yako kuweka kwenye utendaji jaribio hilimuhimu.

10. Ikiwa unazo karama nyingine za kiroho, ni zipi hizo?_________________________________________________________________________________________________________________________________

Ungependa kuzijaribu? ______ Ndiyo ____ HapanaKama jibu lako ni “ndiyo”, basi tayari unajua namna ya kufanya na unayo kazi yakufanya katika wiki hii inayofuata. Uje na matokeo yako wiki ijayo.

73

Page 76: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 7 Kujenga Upya Maisha na Namna yako ya Kuabudu

Kweli Kuu: Kituo chetu cha Ibada, ambacho ni miili yetu, hekalu la Roho Mtakatifu, ni lazima lijengwe upya na kulindwa ili kwamba tuweze kutekeleza usanifu wetu ambao ni kuwa (kufanyika) Wamwabuduo Bwana Yesu Kristo na baadaye kutunza ushirika wa karibu sana na Yeye.

Lengo Kuu: Kukijenga upya kituo cha Kuabudia na kuta za Kiroho za ulinzi katika maisha yetu ili kwamba adui asiweze kutushambulia na kutuibia tena hazina yetu ya kiroho.

Maandiko ya Msingi/Makuu: “Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu” 1Wakorintho 6:19-20.

“Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya duni hii; bali mgeuzwe kwa kufanaywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yalivyo mema, ya kumpendeza na ukamilifu” Warumi 12:1-2.

Maandalizi ya Somo: Vifungu vya msingi kutoka kitabu cha Ezra vitatumika wakati wote wa somo hili. Ili kujiandaa kwa ajili ya somo hili, soma kitabu cha Ezra. Pia soma 2Mambo ya Nyakati 36 ili kuelewa mpangilio wa kihistoria na wa kiroho na kwa nini watu wa Mungu walikwenda utumwani/kifungoni.

[Ramani ya Yerusalem ni mwakilishi wa mji katika nyakati za kujenga upya chini ya Ezra na Nehemia. Tarehe ilikadiriwa kuwa 550 K.K.]

74

Page 77: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

YERUSALEM˜ 550 K.K.

75

Page 78: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAFUNDISHO KUTOKA KITABU CHA EZRA

A. Sisi ni wateule wa Mungu tuliochukuliwa kwenda utumwani kwa sababu ya dhambi za wahenga wetu, na/au dhambi zetu, au tulikuwa wahanga wa adui kwa sababu hatukuwa na ulinzi wa kiroho. 1. Wana wa Israeli walikuwa watu wa Mungu ambao walitenda dhambi na kuasi

kinyume cha Mungu. Watoto wao walikuwa wahanga wa adui na wakiangukiakwenye dhambi ya wahenga wao. Hata hivyo, Mungu aliwapelekea manabiikuwaonya na kuhubiri msamaha kwao, walikataa kumrudia Mungu. Kwa sababuya kushupaza mioyo yao, waliishikilia mioyoni mwao dhambi ya uasi, kuabudusanamu, na vifungo vya uchawi na uzinzi. Moyo hutenda dhambi kwa mazoeaya kufanya dhambi ambayo huteketeza upendo na huugeuza moyo mbali naMungu, hatimaye hupelekea kwenye ukaidi/sugu na ugumu wa moyo. IlibidiMungu awaachilie Israeli, na baadaye Yuda katika uvamizi wa adui.2Mambo ya Nyakati 36:9, 11, 12, 16-21.1Wakorintho 10:1-15. Mungu anatuonya sisi tusirudie dhambi ya Israeli. Kunadhambi tano. Unaweza kuzitafuta katika kifungu hiki?

_____________________, ____________________, _________________ _____________________, ____________________.

2. Walikwenda katika nchi ya adui na chini ya utawala wa Kishetani. Watu waMungu wakawa watumwa kwa Bwana wa Uongo. Walipoteza uchaguzi wao.Walikuwa kifungoni. Ni maelezo mazuri kiasi gani kwa mwamini anayerudinyuma na kumwacha Mungu.Warumi 6:16 Wagalatia 4:92Wakorintho 11:3

3. Yerusalemu, mji wa Mungu kilikuwa kitovu cha Ibada. Kilitunza hazina kubwaza thamani za watu wa Mungu, walitunza ndani ya Hekalu huko Yerusalemu.Pale Mungu alipowaachilia mikononi mwa makabila ya adui, ambao walivamiana kuiba hazina zote zilizokuwamo hekaluni. Walichukua Sanduku la Agano,vibao vya torati, vitu vya ubunifu vya vita, na vyombo vya dhahabuvilivyotumika katika ibada.Yeremia 51:51 Yeremia 52:7, 18-19 Maombolezo 2:7 Maombolezo 4:12-13 Maombolezo 5:6-8 Ezekieli 20:30; 22:30

4. Katika Agano Jipya, Yerusalemu unaitwa Bibi Harusi Mtakatifu wa Mungu. Sisi,tuliokombolewa na Bwana, ni Yerusalemu mpya. Kama Kanisa la Bwana YesuKristo, tumeungamanishwa pamoja ili kuufanya Mwili wa Kristo, ambakoanakaa kwa Roho wake Mtakatifu.Roho Mtakatifu anakaa ndani yetu kwa sababu sisi ni Hekalu lake. (AngaliaMaandiko ya Msingi). Paulo anatoa maelezo kidogo juu ya sisi ni akina nanikama Wakristo. Soma vifungu vifuatavyo na kisha eleza wewe ni nani machonipa Mungu.Waefeso 1:13-14: Mimi ni______________________________________Waefeso 4:16: Mimi ni_________________________________________1Petro 2:9-10: Mimi ni _______________________________________Majibu kwa swali 1A: Kutaka mambo maovu, ibada ya sanam, ukosefu wa maadili,kumjaribu Mungu, manung’unikoMajibu kwa swali 4: Mimi ni mali ya Mungu, Mimi ni sehemu ya mwili wa Kristo, Mimini sehemu ya uzao wa wateule, ukoo wa kikuhani, sehemu ya taifa takatifu, mali yaMungu mwenyewe.

76

Page 79: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. Agano Jipya linaweka wazi kwamba sisi ni mahali ambapo Mungu huweka hazina yake-Ufalme wa Mungu. Hali ya mji wa Yerusalemu kwa wakati ule unaielezea hali yamwamini aliyetoa nafasi kwa adui, ambaye hutuibia hazina za kiroho katika maisha yetu(hekalu).Mungu aliweka hazina zake kwetu: 2Wakorintho 4:6-7Tumetahadhariswa kukimbia dhambi ya zinaa ili tusiweze kuliharibu hekalu la RohoMtakatifu 1Wakorintho 6:18-20.

Katika maisha ya Petro, Shetani alitaka kumchapa (kumpepeta kama ngano) na kuchukua mbegu nzuri zote kutoka kwake (Luka 22:31-31). Shetani hutuibia tunda la Roho Mtakatifu, Neno la Mungu, na utambulisho wetu katika Kristo na vyombo vya dhahabu vya ibada kama vile maisha ya maombi, unyenyekevu wetu kwa Mungu kila siku, harufu nzuri ya kafara za kila siku ya miili yetu Kwake. (Angalia maandiko ya msingi).

Utekelezaji: Je, malango ya maisha yako bado yako wazi kwa adui zako? “…….. Malango ya nchi yako yamekuwa wazi kabisa mbele ya adui zako; moto unatekeza mapingo yako”. Nahumu 3:13.

B. Mungu wetu ni Mungu anayetunza agano. Alituumba sisi ili tuwe na uhusiano na yeye. Hata kama watu wake wanakwenda utumwani, Mungu anaahidi kuwakomboa, kuwarejesha/kuwahuisha, na kuwaponya. 1. Nabii wa Mungu Ezekieli alitangaza kwa watu wa Mungu waliokuwa utumwani

kwamba wangerudi Yerusalemu na kuondoa sanamu mbaya na machukizo yakuabudu sanamu. Mungu aliahidi kwamba angewapa moyo mpya na kuwekaroho mpya ndani yao. Aliahidi kuwapa moyo wa nyama na kuwatakasa kutokakwenye uchafu na sanamu za namna zote.Ezekieli 11:18-20 Ezekieli 36:25-26 Yeremia 31:31, 38-40

2. Mungu ni yule yule, Mungu anayetunza maagano. Tuko kwenye patano jipyasasa, Agano Jipya la patano, ambalo lilitiwa mhuri kwa damu ya Bwana YesuKristo. Yeye ni mwokozi, mkombozi, mponyaji, mtakasaji, anagangawaliovunjika, mwenye kuturejeshea makao ya kukaa/kuishi. Kila kitukilichotutokea, kinaandaliwa ili kutuleta sisi katika ushirika na Mwana waMungu. Katika mistari ifuatayo, andika nini Mungu anafanya kuturejesha/huisha,na kufanya upya agano nasi, na kututuma tena upya:a. Waebrania 9:14-15__________________________________________b. Waebrania 10:9-10__________________________________________c. Luka 22:20________________________________________________d. Tito 2:14__________________________________________________e. Isaya 58:12________________________________________________

3. Kitabu cha Ezra kinaeleza juu ya kurejeshwa kwa Hekalu, kitovu cha ibada(kuabudu) na uamsho ambao ulipelekea kurejeshwa kwa Ibada.

Nehemia anaeleza juu ya kujengwa upya kwa kuta na malango ya Yerusalemu ili kulinda kitovu cha kuabudu kutoka uvamizi wa adui. Tunaweza kuona jinsi gani hii ina husika na maisha yetu kama watumwa ambao wameachiwa huru. Tunatumwa kwenda na kujenga upya kile ambacho adui alikiharibu.

Majibu kwa swali B2: a. Nitakaswe dhamira yangu kwa Damu yake, b. Huanzisha agano jipya na kunitakasa, c. Yesu ananipa kikombe cha ushirika kuanzisha agano jipya katika damu yake. Hunitakasa kutoka kila matendo yasiyo ya sheria, e. hunitumia kuujenga upya uharibifu wa zamani na kuinua msingi na kurekebisha uharibifu na kurejesha makao ya kuishi

.

77

Page 80: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

C. Ni akina nani wajenzi wapya? “Watu wote ambao Mungu amewaamsha roho zao kukwea, ili kuijenga nyumba ya Bwna, iliyoko Yerusalem” Ezra 1:5. Sisi ndio wajenzi. Wale wanaotaka kuwa huru ni wajenzi.

1. Adui lazima aachie kile ambacho ameiba. Mungu alimwambia MfalmeKoreshi aliyetawala kwa nguvu za kishetani kurudisha hazina za Hekalu nakuwaachia Israeli waliotaka kurudi kujenga Hekalu. (Ezra 1:1-3, 7, 8, 11) Katikaukombozi, adui alituachilia na hazina zilirudishwa kwetu kadri Roho Mtakatifuanavyotumiliki (Efesi 5:18). Kwa vile tumewekwa huru, tumetumwa kuijengaupya madhabahu na hekelu kwa ajili ya kumwabudu Bwana wetu Yesu Kristoaliye hai.

2. Kila mmoja aliyefunguliwa anaagizwa kujenga upya.Waisraeli waliotumwa kuongoza katika kujenga madhabahu na hekalu walikuwana majina makubwa katika lugha yao ya asili ya Kiebrania ambayo kwetu sisi leoyanaonekana kuwa na utekelezaji muhimu.

a. Jeshua/Yeshua aliwajibika kuijenga upya madhabahu “Yehova niWokovu” (Angalia chati kwenye ukurasa 90). (Ezra 3:2-4)

1 Wajenzi wapya walitiwa hofu kwamba adui wangekuja na kuwavamia tena, kwa hiyo walijenga madhabahu na wakatoa sadaka asubuhi na jioni. Katika kumwabudu Mungu, hofu yao ilitoweka, na Mungu aliudhihirisha uwepo wake. (Ezra 3:3)

2 Wajenzi wapya pia walisherehekea Sikukuu ya Vibanda (Hema Takatifu-Tebanako) ili kukumbuka kwamba Mungu wao aliwakomboa kutoka utumwani na aliwalisha jangwani. (Angalia Ezra 3:4)

b. Zerubabeli alijenga upya hekalu. Jina lake linamaanisha “mtuanayetoka kwenye ukoo wa ufalme wa damu na ni mzao wa utumwa”.Ni mmoja anayetokea moja kwa moja kwenye ukoo wa Mfalme Daudina inaonekana ni wa uzao wa Yesu kwenye Mathayo 1:13. Munguanampa Zerubabeli unabii wa kustaajabisha/kushtusha ambaoungetimizwa kupitia Masihi Mfalme Yesu. Hata sisi tupo kwenye uzaohuo huo wa damu kwa njia ya damu ya Kristo, kwa hiyo huu ndiounabii hasa ambao tunaishi chini yake tunapozikabili nguvu za mapepoya gizani na pete ya mamlaka ya Kristo.

Hagai 2:21-23 – “Sema na Zerubabeli, liwali wa Yuda, ukisema, Nitazitikisa mbingu na dunia; nami nitakipindua kiti cha enzi cha falme, nami nitaziharibu nguvu za falme na mataifa; nami nitayapindua magari, na hao wapandao ndani yake; farasi na hao wawapandao wataanguka chini; kila mtu kwa upanga wa ndugu yake. Katika siku ile, asema Bwana wa Majeshi, nitakutwaa wewe, Ee Zerubabeli, mtumishi wangu, mwana wa Shealtieli, asema Bwana, nami nitakufanya kuwa kama pete yenye muhuri; kwa kuwa nimekuchagua, asema Bwana wa Majeshi”.

c. Wajenzi wameorodheshwa hapa. Angalia kama unaweza kupata namnautakavyotekeleza katika maisha yako binafsi kama mjenzi. Kila mmojawao anawakilisha sura tofauti ya mjenzi mpya.

Nyenzo za Mafunzo: Kila jina la mtu katika Kiebrania lina maana ambayo ni muhimu kwetu kuielewa katika hadithi ya Kibiblia ya Kujenga upya. Ili kwenda mbele zaidi katika mafunzo ya Ezra na Nehemia, tunapendekeza utumie kitabu kinachoiitwa Strong’s Exhaustive Concordance of the Bible. Jaribu kuangalia kwanza maana ya majina ya watu kasha fuata nambari kuelekea nyuma ya kanuni ya Kiebrania. Hapa utaweza kuona maana yake ya asili. Wajenzi wote wa madhabahu, Hekalau, kuta na malango ni wa muhimu katika utekelezaji wetu binafsi kama wajenzi wapya wa maisha yetu ya kiroho kulinda hazina tulizo nazo ndani yetu.

78

Page 81: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Je wewe ni Mjenzi Mpya? Ezra 2:2 “Ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilsahani, Mispari, Bigwali, Rehumu, na Baana” Ezra 2:2

Utekelezaji: Kadri unavyosoma orodha ya wajenzi na maana ya majina yao, jiulize maswali yafuatayo kabla ya kujibu, angalia maana kwenye maandiko.

MAJINA MAANA MAANDIKO MASWALI 1. Ezra Msaidizi Yohana 14:26 Je msaidizi anaishi ndani

yako? 2. Zurubabeli –Liwali wa Yuda, wa uzao wa Daudi

Mmoja katika ufalme wa damu wazao utumwani

1Petro 1:18-19, Yohana 8:36

Je wewe ni ufalme wa Damu? Je umekwisha wekwa huru?

3. Jeshua-AlijengaMadhabahu

Yesu, Mwokozi, Yehova ni Wokovu

Ufunuo 1:17 Je Yesu/Yeshua ni madhabahu yako?

4. Nehemia –Alijenga kuta

Bwana anafariji Yohana 14:16 Ni nani Mfariji na Msaidizi wako?

5. Seraya Yehova ni Mfalme Isaya 9:6 Je, unaye mfalme wa amani kutawala juu ya mambo ya maisha yako?

6. reelaya Kutetemekakulikosababishwa na Yehova (Utisho sahihi wa Mungu)

Danieli 6:27 Je unasimama katika utisho wa Mungu, anayeweza kukuokoa kutoka kwenye makanwa ya simba?

7. Mordekai Myahudi, caguo la Mungu

Wakolosai 3:12 Je umechaguliwa? Na nani?

8. Bishan Mtafutaji wa kweli ya Mungu

Zaburi 119:33 Jew ewe ni mtafutaji wa kweli ya Mungu?

9. Mispari Yule anayeandika, mwandishianayekumbuka

1M/Nyakati16:12, 15

Je unakumbuka mambo aliyokufanyia Mungu?

10. Bigwali Muisraeli aliyerejea kwena (kurudi) nyumbani

Mathayo 6:25-26 Je umekuja nyumbani kupumzika chini ya uangalizi wa Baba yako?

11. Rehumu Mwenye huruma Waefeso 3:14-19 Je una huruma zaidi sasa kwa vile umewekwa huru?

12.Baana Machukizo;kujishughulikia kikatili mwenyewe

Wagalatia 5:24 Je unashughulikia maisha yako kwa kutangaza kuwa umekufa katika Kristo?

Kama jibu ni “Ndiyo”kwa maswali haya, unafaa kuwa mjenzi mpya.Sasa ngoja tusonge mbele kujenga upya maisha yetu ili kwamba tuweze kuwa vyombo vya haki ambavyo Mungu anaweza kuvitumia.

79

Page 82: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Watu waliowekwa huru waliufurahia uhuru wao mpya na walikwenda kufanyamambo yao, kujenga upya maisha yao ya zamani kuliko madhabahu, hekalu nakuta za Yerusalemu. Ngoja tuangalie mtiririko wa matukio kutoka vifunguvifuatavyo:Ezra 3:1-Watu walikuwa kwenye miji yao wenyewe.Hagai 1:4-7, 12-14, Nabii anawaonya “zitafakarini/zikirieni njia zenu”.Hagai 2:4,5,20-23 Bwana anawatia moyo katika kazi ya kujenga upya.

a. Baada ya kusoma vifungu hivi, jiulize maswali yafuatayo:1 Je huna malengo unapoishi maisha yako ya zamani?

___Ndiyo __Hapana 2 Je umepoteza ujasiri katika kujenga upya maisha yako ya

ibada? ___Ndiyo ___Hapana3 Je una wakati mgumu kuiona picha kubwa ya kwa nini vita

ya kujenga upya lazima iendelee? ___Ndiyo___Hapana.

4. Mungu anakutaka uelewe picha kubwa ya kiroho, kama vile Yeyealivyofanya alipompeleka Nabii Hagai kwa Wajenzi wapya wa Israelikuwatangazia kwamba wangetumiwa kama mashujaa wa kiroho dhidi ya mataifana kwamba wangevaa pete ya muhuri ya mamlaka ya Mungu.Nitazitikisa mbingu na dunia, nami nitakipindua kiti cha enzi cha falme, naminitaziharibu nguvu za falme na mataifa; nami nitayapindua magari, na haowapandao ndani yake; farasi na hao wawapandao wataanguka chini; kila mtukwa upanga wa ndugu yake. Katika siku ile, asema Bwana wa Majeshi,nitakutwaa wewe, Ee Zerubabeli, mtumishi wangu, mwana wa Shealtieli, asemaBwana, nami nitakufanya kuwa kama pete yenye muhuri; kwa kuwanimekuchagua.”Hagai 2:22-23

Tunapewa Mafunzo kwa ajili ya Vita vya Kiroho dhidi

ya Mataifa.

5. Tutakuwa na Bwana Yesu Kristo katika Jeshi Lake atakaporudi kutawalahapa duniani.“Na majeshi yaliyo mbinguni yakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwakitani nzuri, nyeupe, safi”.“Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao,wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshiyake”. Ufunuo 19:14, 19.

6. Kama wajenzi tunahitaji msaada wa kanisa la mahali pamoja nawazee.Wajenzi waliunganishwa na wazee na manabii wa Mungu waliokujakuwasaidia.

a. Kadri unavyojenga upya maisha yako ya ibada, unahitaji msaada wakanisa lako na watu wa Mungu waume kwa wake wanaoelewa mpangowa kujenga upya na uanafunzi. Uthabiti wa kujifunza Biblia namafunzo ya mara kwa mara ya Biblia yatakuimarisha na kukupa hamuzaidi ya kumwabudu Mungu na kukaa kwenye Neno lake.

b. Hekalu lilikamilika na kuwekwa wakfu kwa Bwana kwa sadaka nafuraha. Hebu tusome namna Biblia inavyoyachambua matukio kwaajili yetu katika Ezra 5:2; 6:14-17.

80

Page 83: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

7. Utekelezaji:Kadri tunavyojenga madhabahu na hekalu letu kama vitovu vyetuvya ibada, furaha yetu itarejeshwa, na tutakuwa na ushirika naMwanakondoo wa Mungu aliyechinjwa kwa ajili yetu.

a. Kila siku, tunaingia kwenye uwepo wa Mngu kwa sadaka zasifa, na tunampa yeye miili yetu kama dhabihu iliyo hai.(Angalia maandiko ya msingi).

b. Tunaziweka sehemu zetu zote za mwili juu ya madhabahu,na kumpa yeye umiliki kamili juu ya mambo ya maisha yetu.2Timotheo 2:3-4

c. Katika tendo hili la kujinyenyekeza na kumwabudu MwanaKondoo wa Mungu, Mungu Baba hujifunua kwetu nahutuwekea sisi uzima kupitia Roho Mtakatifu. Kishatunapata kile kinachoitwa kuambatana na Baba, Mwana naRoho Mtakatifu katika umoja uliobarikiwa. Yohana 5:19-20

d. Tunafanyika kuwa watu tunaomtegemea Mungu katikaumoja huu wa kweli pamoja na Mwana wa Mungu kwaRoho Mrakatifu tunapoishi siku zote madhabahuni.

e. Kadri tunavyomtegemea Mungu, tunapunguza utegemeziwetu kwa binadamu. Tunajifunza kwamba ni Bwana wetuYesu Kristo peke yake anaweza kutimiza mahitaji yetu.

f. Tangaza hili kila siku: Hakuna lililo gumu, nje au ndaniambalo Bwana wangu hawezi kulitimiza kwangu leo”.

81

Page 84: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura 8 Kujenga Kuta na Malango ya Maisha Yako

Kweli Kuu: Maisha yetu yanahitaji kuta na malango mapya ya kiroho ili kutumika kama ulinzi dhidi ya uvamizi wa adui.

Lengo Kuu: Kutengeneza mfumo wa nidhamu za kiroho katika maisha yetu ambayo huzalisha watu wanaomwabudu Bwana Yesu Kristo na askari waaminifu wa Msalaba.

Andiko la Msingi/Kuu: “Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, Ukiwa na uharibifu haziatakuwa mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, na malango yako Sifa.” Isaya 60:18

Vifungu vya msingi kutoka kitabu cha Nehemia vitatumika wakati wote wa kipindi hiki. Ili kujiandaa kwa ajili ya somo hili soma kitabu hiki.

MAFUNZO KUTOKA KITABU CHA NEHEMIA

A. Mara hazina zilipokuwa hekaluni, madhabahu na hekalu vilijengwa upya, mradi uliofuata ulikuwa kujenga kuta na malango ya mji ili kulinda kituo cha ibada kutoka uvamizi wa adui. Mji wetu (maisha) huhitaji kuta na malango mapya kutumika kama ulinzi dhidi ya uvamizi wa adui. 1. Kitabu cha Nehemia ni maelezo ya mchakato wa wana wa Israeli

walioupitia kwenda kujenga upya kuta na malango ya Yerusalem ili kwamba uweze kuwa salama kutoka uvamizi. Kumbuka, thamani ya mji ilikuwa hazina yake (Nehemia 2:17). Vile vile, thamani ya maisha yetu ni kwamba tunazo hazina za rohoni katika miili yetu hii ya nyama.Shetani anataka kutuibia tena kama akiweza. 2Wakorintho 4:7 Yohana 10:10

2. Maisha yetu yanalinganishwa na mji wa Yerusalemu. Kila mjiunahitaji aina fulani ya kazi, huduma, na mipangilio ili uweze kuendeshwavizuri. Kwa mfano: serikali, vyombo vya sheria, mifumo ya elimu,mifumo ya uondoaji/utupaji, maegesho, na vituo vya ibada. Maisha yetukwa ndani huendeshwa kama mji zaidi. Ikiwa mfumo mmoja unashindwa,basi mji mzima huathirika. Mungu alisema kwamba ameuchaguaYerusalemu ili Jina Lake Kuu likae humo. Sisi ni mahali ambapoMungu amepachagua kukaa kwa njia ya Roho wake Mtakatifu.Anataka kuwa serikali (mtawala) wa maisha yetu, mwalimu wetu,mtakasaji wetu, mshauri wetu, mahali petu pa kimya na kituo cha ibadakatika maisha yetu.

82

Page 85: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Roho Mtakatifu hatalazimisha mradi wa kujengwa upya kwako. Kutaza zamani (kale) ziliharibiwa au kuvunjwa kwa uharibifu wa ndani(dhambi) na mashambulizi ya nje (upinzani wa shetani). Nehemia, ambayejina lake linamaanisha “Bwana Hufariji”, alikagua hali ya kuta za mji naakatengeneza mpango kwa ajili ya kuujenga upya. Aliwasilisha hayo kwawazee na watu wa mji ambao ndio walikuwa wajenzi (Nehemia 1:3b,2:18). Roho Mtakatifu, ambaye jina lake ni “Msaidizi” na “Mfariji”anawajibika kuangalia mchakato wa kujenga upya katika maisha yetu.Kumbuka, Yeye ni msimamizi wa kujenga upya, lakini kama Nehemia,yeye ni mpole. Hatakulazimisha. Ataiwasilisha kweli kwako, naatakukumbusha kile kinachotakiwa kufanyika, lakini lazima uchaguekushirikiana na Roho Mtakatifu kila hatua ya njia zako. (Yohana 14:26)

4. Wajenzi wameelezwa katika Nehemia kama:“Basi watu hao ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa uweza

wako mwingi, na kwa mkono wako hodari” Nehemia 1:10 5. Kuta zinawakilisha ulinzi wa kiroho na mipaka tunayoijenga katika maisha

yetu.Malango huwakilisha maeneo ya kuingilia na kutokea katika maisha yetu.

a. Je kuta na malango ya maisha yako yako katika hali gani?b. Je, maisha yako yako salama kiasi gani kutoka uvamizi wa adui?

6. “Vifusi vya zamani” kutoka kwenye maisha ya zamani lazimaviondolewe. Nehemia pia alikagua “vifusi vya zamani” katika mji. Ilikuwalazima viondolewe kabla kuta hazijajengwa. “Vifusi vya zamani” huwakilishamabaki kutoka kwenye maisha yetu ya zamani kabla ya ukombozi. (Katikasura ya 4, tulianza mchakato wa kuondoa “vifusi vya zamani” kwa kufanyausafishaji wa wa dhati wa nyumba).

7. Jina la kila mjenzi na kila lango ni muhimu kwa ajili ya utekelezaji katikamaisha yetu leo. Tutayataja machache tu kama mifano tunapoufunua mpangokwa ajili ya kujenga upya maisha yetu.

B. Lango la Kondoo – Jenga upya ibada kwanza. Nehemia 3:1 1. Lango la Kondoo lilitumika kupeleka kondoo kwa ajili ya kafara katika

viwanja vyahekalu. Lango hili lilielekea moja kwa moja Hekaluni.

2. Wajenzi wa Lango la Kondoo, alama na maana ya majina yao.MAJINA MAANA

Eliashibu, kuhani mkuu Mungu atarejesha Mnara wa Mamia Kumshinda adui Mnara wa Hananeli (ngome ya Hekalu)

Mungu anafadhili

Kanuni ya Mapambano: Mungu amejitoa kurejesha uhusiano wetu na yeye. Muda wetu wa ibada (kuabudu) ni lazima utunzwe kwa gharama zote. Hili ndilo kusudi la msingi la vita vya kiroho.

83

Page 86: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Lango la Kondoo lilijengwa na makuhahni wakuu na makuhani wengine. TunayeKuhani wetu Mkuu anayeishi ili kuomba kwa ajili yetu katika kazi yetu yakujenga upya. Sisi pia tumeitwa “ukoo wa kikuhani”na kwa hiyo tumeitwakumtumikia milele Bwana Yesu Kristo. Mistari ifuatayo inazungumzia Kweli hii:Waebrania 4:15-16 1Petro 2:9-10Waebrania 7:25

4. Kadri tunavyomtumikia Bwana kwa kumwabudu Yesu Kristo ambaye ni MwanaKondoo wa Mungu, tunajenga upya Lango la Kondoo na kurejesha ibada,ambayo ni wajibu wetu wa msingi. Pia tunawasilisha miili yetu kama dhabihuiliyo hai kila siku kwa Mungu, ambalo ni tendo la Kuabudu. Ngoja tuangaliemistari ifuatayo:Yohana 1:29 Waebrania 9:11-12 Ufunuo 5:12 Warumi 12:1

C. Lango la Samaki – Linajenga upya Neno la Mungu katika kila fikra na shughuli za maisha yako. Nehemia 3:31. Samaki waliletwa kila siku kutoka Mto Yordani na Bahari ya Galilaya ili

wauzwe katika soko. Watu walidamka mapema kununua samaki wapya kablajua halijawafanya kutoa harufu au kuoza (kuchina). Hii inawakilisha jinsiMungu anavyotukirimia kila siku katika maisha yetu.

2. Mjenzi wa Lango la Samaki alikuwa Hasena ambalo lina maanisha, “mchomo(kuchoma) mwiba”a. Neno la Mungu ni sehemu yetu ya chakula kipya kila siku. Neno la

Mungu li hai na ni kali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili kiasi chakugawanya nafsi na roho ….. viungo na mafuta yaliyomo ndani yake;tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo. (Waebrania4:12). Kadri tunavyotumia (kula) Neno la Mungu, ndivyotunavyochomwa kwenye dhamira zetu ili tuweze kuacha nakushughulikia dhambi katika maisha yetu. Hii ndiyo kazi ya RohoMtakatifu kutumia Neno la Mungu kututakasa. Yohana 16:7-8 Ni nanimwenye wajibu wa kutukumbusha/kututia hatiani sisi?______________

b. Kadri tunavyolihifadhi Neno likiwa jipya kila siku, tunakuwa na uwezowa kutambua kati ya mema na mabaya katika maisha yetu ya kila siku,(2Timotheo 3:16-17). Tunajifunza kuiacha/kuharibu mifupa na kulanyama.Waebrania 5:14.

c. Bwana wetu aliwapa wanafunzi wake samaki walioandaliwa. Anatupachakula chetu cha kila siku tunapokula (tumia) Neno Lake.Yohana 21:12-14.

d. Utekelezaji:(i) Je, Samaki gani umemla leo?(ii) Je, ilikuwa vigumu kwako kumla lakini ana faida?(iii) Je unakula samaki mpya kila siku kutoka kwa Bwana?(iv) Je, unatembea nuruni na ndugu yako wa kike na wa kiume

leo?Jibu la Swali C2a: Roho Mtakatifu

84

Page 87: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

D. Lango la Kale au Lango la Yeshanan – Jenga upya ulinzi dhidi ya shughuli zote najisi zinazotokana na asili ya dhambi, Shetani au dunia. Nehemia 3:6. 1. Lango hili lilijengwa upya na kuwekwa muhuri ili kwamba lisitumike!2. Lango la Kale lilijengwa upya na Yoyada ambalo linamaanisha “Kumjua

Yehova”. Kadri tunavyomjua Yehova zaidi, ndivyo tunavyozidi kuwa hurukutokana na tamaa zetu za zamani. Mtume Yohana anaisisitiza kweli hii katika1Yohana 2:15.

3. Maisha yetu ya kale ya dhambi ni lazima yafungiwe nje. Sasa tunafunga shughuli namahusiano yote ambayo yanatuunganisha sisi na maisha ya zamani ya kushindwa na kufungwa. Ni kweli, yako mahusiano mengine ambayo lazima yaendelee, kama vile muungano wa kindoa, hata hivyo, tunahitaji kufanya uchunguzi katika maeneo yote ya maisha yetu na kufanya maamuzi kutoshiriki katika lo lote kutoka kwenye maisha ya utumwa. Je, tunafanyaje hili? a. Tunakubali hukumu ya kifo kwa mambo yetu ya kale kwa njia ya

Msalaba wa Kristo. Warumi 6:6-7b. Kisha, tunatembea kila siku katika maisha ya Roho wa Mungu anayeishi

ndani yetu. Galatia 2:20 Galatia 5:24c. Kila siku tunajivika utu mpya ambao ni kufanywa upya na kuwa katika

mfano wa Kristo. Wakolosai 3:5-10. E. Lango la Bondeni – Uwe kwenye zamu ya ulinzi dhidi ya mashambulizi ya siri na ya kijanja

ya adui. Nehemia 3:13 1. Lango la Bondeni lilikuwa mahali ambapo mara kwa mara adui walishambulia

kwa sababu mashambulizi ya kificho kwenye ukuta yaliwezekana.2. Lango la Bondeni lilijengwa na Hanuni ambalo linamaanisha “kunyenyekea”.

Hanuni na wajenzi wenzie walitoka katika mji wa Zanoa ambao maana yake“kukataa, kuacha, au kusukuma pembeni”. Tunapojinyenyekeza kwa Mungu nakumwomba atujaze kwa Roho wake Mtakatifu, tunakuwa na nguvu katikaBwana na katika nguvu za uweza wake na kwa hiyo tunaweza kukataa majaribuya kijanja ya yule mwovu. Vifungu vifuatavyo vinafafanua mchakato huu:Yakobo 4:7 1Petro 5:8-10

3. Shetani ana mbinu za zamani katika faili lako. Atajaribu kukupiga maeneouliyokuwa na udhaifu huko nyuma. Kaa kwenye nafasi ya ulinzi kwa ajili yamikakati ya zamani. Kama haitafanya kazi tena, basi atafanya ujanja mwinginena atajaribu baadhi ya mikakati ya “Lango la Bondeni”. Jambo la muhimu nikuwa makini na kubakia mzima, akilini kwa ajili ya vita.a. Mbinu za Lango la Bondeni ni za kijanja sana na mara nyingi hazionekani

kuwa mashambulizi ya kipepo.(i) Mashambulizi ya kimwili katika namna ya kuchoka, maumivu,

mkazo wa misuli n.k. (ii) Mashambulizi ya hisia/akili katika namna ya kukata tamaa,

kujihurumia, upweke, kukosolewa au mtazamombaya (hasi) n.k. (iii) Mashambulizi ya kiroho katika namna ya utepetevu,

manung’uniko, kutojiamini, kuto amini n.k. b. Kama umepoteza uwezo wa kufurahi katika hali yo yote uliyo nayo au iliyo

ndani yako, basi yawezekana umeangukia kwenye mbinu (mtego) wa“Lango la Bondeni”. Sasa unajua namna ya kurudisha nafasi; kunyenyekeakwa Mungu na kumpinga Shetani.

c. Utekelezaji: Ni mbinu gani za kijanya adui alijaribu au anajaribukutumia kwako?Je, utafanya nini juu ya mbinu hizo? Itambue mikakati, kisha uiwekekwenye mfumo wa utendaji wa mapambano uliyojifunza katika mafunzohaya.

85

Page 88: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

F. Lango la Jaa – Kila siku safisha uchafu wa dhambi. Nehemia 3:14

1. Lango la Jaa lilijengwa na Malkiya ambalo maana yake ni “Mwana waYehova”. Ni Yesu tu anaweza kuondoa dhambi kwa Damu yake ya thamani.

2. Lango hili linaelekea kwenye Bonde la Hinoni au Gehana ambalo maana yake ni“Makao ya Mapepo”. Dhambi zisizotubiwa zinaweza kufanyika makao yamapepo. Wanajilisha kwenye dhambi zisizotubiwa. Mshitaki wa ndugu, Shetani,anakwenda nje kwenye jalala na kujaribu kutushitaki kwa dhambi ambazo tayaritumezitupa na kuziweka nje ya maisha yetu.

3. Kila siku uchafu kutoka mjini ulitupwa kwenye Bonde la Hinoni. Kama uchafuhaukuondolewa, ungetoa harufu na kusababisha maambukizi ya magonjwakwenye mji. Ni lazima tuwe karibu na Mungu (1Yohana 1:9). Tunasafishauchafu wa dhambi kila siku kwa kukiri kwa Bwana dhambi zetu na kudai utakasowa Damu ambao hutuosha.

G. Lango la Chemchemi – Sisi tumesafishwa/kutakaswa baada ya kuwa tulitembea katika dunia. Tunahitaji kuacha kuosha miguu yetu na kunywa kwenye chemchemi za maisha. Nehemia 3:15 1. Lango la Chemchemi lilijengwa na Shalumu ambalo linamaanisha

“kurejeshwa”.

2. Yesu ndiye anayeturejesha. Uwe msafi/uliyetakaswa kwa kunywa majisafi ya Neno la Mungu. Tunakunywa maji kutoka kwa Yesu ambaye nichemchemi ya uzima, Zaburi 36:9.

3. Wakazi wa Yerusalemu walikuja na kuosha miguu yao iliyojaa vumbi katikaLango la Chemchemi. Je unahisi kuwa mchafu au kuchafuliwa na dunia? Nendakwenye maji ya Neno, jioshe na uwe safi, Waebrania 10:22.

H. Lango la Maji – Nenda sehemu ya ndani mara kwa mara mahali penye ukimya ili uweze kuburudishwa, Nehemia 3:15, 26

1. Lango la Maji lilielekea katika Bustani ya Mfalme na kwenye Kijito cha Gihoni.Bustani ya Mfalme ilikuwa nzuri yenye kustawi karibu na birika tulivu laSiloamu ambako mfalme alikuja kufurahia ukimya na urejesho.

2. Jina la Siloamu maana yake “kutuma au kupeleka”. Hili ni birika lile lile ambapoYesu alitumia udongo (matope) kwa mtu kipofu na akamwambia kwenda nakunawa katika Birika la Siloamu. Alitii na kurudi akiwa anaona. Ni katika tendola utii wa kuja katika maji yaliyotulia ya uwepo wa Bwana ambao utayafanyaupya macho yetu na kurejeshwa kikamilifu. Yesu alikwenda mara kwa marakwenye sehemu yenye ukimya kuomba na kuburudishwa. Pata muda wakujifunza vifungu hivi na mruhusu Roho Mtakatifu kukuhudumia.Mathayo 14:23 Marko 1:35 Marko 6:46 Yohana 9:1-11 Zaburi 23:1-3 Luka 11:1

86

Page 89: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Bustani ni kwa ajili ya ushirika. Mungu kwanza alikutana na Adamu katika bustani(Mwanzo 2:8; 3:8). Bustani ya Mfalme ndani ya Lango la Maji inawakilisha mahalipazuri penye ukimya. Mji wetu (maisha) lazima yawe na sehemu hii tulivu ambakotunakutana na Mfalme. Yesu alikutana na Baba Yake katika Bustani ya Mlima waMizeituni na Bustani ya Gethsemane.

Mathayo 26:36, 39

4. Lango la Maji lilielekea kwenye chanzo kikuu cha maji kwa ajili ya mji waYerusalemu, vijito vya Gihoni. Hapa palikuwa ni eneo la wazi ambako Maandikoyalisomwa kwa uwazi. (Nehemia 8:1, 5, 6, 10)Neno Gihoni lina maana ya “kububujika”. Tunahitaji kukusanyika na dada nakaka wengine ili kusoma na kutafakari Neno la Mungu.Mkusanyiko wa pamoja wa watakatifu kwa ajili ya kujifunza Neno ni kama kujakwa bubujiko la vijito kwa kunywa. Tunalichukua Neno, furaha ya Bwanainakuwa nguvu yetu.Yohana 15:7-11.

I. Lango la Farasi – Jenga upya ufahamu wako kivita na jiandae kwa ajili ya vita kila siku. Nehemia 3:28

1. Lango la Farasi lilikuwa wazi wakati farasi na msafara wa Mfalme ulipotokakwenda vitani. Farasi na msafara wa mfalme viliwekwa katika hali ya utayarikila wakati.

2. Makuhani walijenga lango hili walipokuwa hawafanyi shughuli za kikuhani.Kwanza tumeitwa kuwa watu wamwabuduo Bwana Yesu Kristo na pili, wajenziwapya na mashujaa. Ulinzi wa mji ulikuwa endelevu. Tunapaswa kuelewakwamba vita itakwisha tutakapofika mbinguni. Mpaka wakati huo, tumeitwa“kusimama na kustahimili”. Chunguza jinsi Biblia inavyoipangilia kweli hii:Luka 12:35 Waefeso 6:13 (KJV).

3. Mungu alitangaza kupitia nabii Yeremia kwamba mji utajengwa upya nahautapinduliwa tena. Utakuwa mtakatifu kwa Bwana.Yeremia 31:38-40

J. Lango la Mashariki – Jenga upya tumaini lako kwa ajili ya kurejea kwa haraka kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Nehemia 3:29

1. Lango la Mashariki lilielekea moja kwa moja kwenye Hekalu. Limetajwakwenye maandiko kama Lango ambalo kupitia hilo Bwana Yesu Kristo atakujakuichukua nafasi yake halali/ya haki kama Mfalme wa Amani hapa duniani.Mpaka leo lingali limefungwa. Linaitwa Lango la Masihi.Ezekieli 44:1-3

2. Lango la Mashariki lilijengwa na Shemaya, maana yake “Bwana Yehovaamesikia”.Tunajua kuwa Bwana anasikiliza vilio vyetu.“Na uje Bwana Yesu” (Ufunuo 22:20).Tumaini letu ni hakika kwamba Bwana wetu anarudi kutukusanya kwakemwenyewe. Kisha tutakuwa naye atakaporudi kutawala na kumiliki. Tunayomaisha ya baadaye yenye utukufu. 1Wakorintho 15:51-58

87

Page 90: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

K. Lango la Gereza, pia liliitwa Lango la Kona na Lango la Kukutania – kagua kila kitu kinachotaka kuingia katika maisha yako. Nehemia 3:31

1. Lango la Gereza liliitwa pia “Lango la Kukutania”. Ilikuwa ni mahali hapa ndiponyaraka zilikaguliwa kabla wageni hawajaruhusiwa kuingia ndani. Kituo chaAskari wa ulinzi kiliwekwa katika lango hili.

2. Lango la Gereza lilijengwa na Malkiya maana yake “aliyechaguliwa na Mfalme”au “wa Mfalme”.

3. Tunapaswa kukagua kwa Neno la Mungu mawazo yote, “vichocheo vyakutamanisha, vitabu, muziki, au starehe ambazo zinatafuta namna ya kuingiakatika ufahamu na maisha yetu. Viwango vya Mungu vinapatikana katika Nenolake. Ikiwa kuna kitu cho chote kinataka kuingia katika maisha yako kitapitakatika mtihani/jaribio hili, kisha kitakuwa na faida kwako.“Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo yastaha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yoyote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote,yatafakarini hayo”. Wafilipi 4:8

4. Roho Mtakatifu ni mlinzi wetu, lakini kwa pamoja tunawajibika kuzilinda hazinaambazo zimekabidhiwa/aminiwa kwetu.2Timotheo 1:14.

L. Viwango vya Munguu juu ya mji (maisha yetu) ni kwamba tuwe sifa ya Utukufu Wake, maisha yanayoangaza yaliyojaa nuru, na yakiionyesha neema yake. Amani na haki vitatawala juu ya mambo yetu. “Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake. Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa” Waefeso 1:5-6.

“na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake. Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu” Waefeso 1:11-12.

“Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, ukiwa na uharibifu hazitakuwa mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, na malango yako Sifa. Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana; Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali Bwana atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako” Isaya 60:18-19.

“Tena nitawafanya wasimamizi wako wawe amani, Na hao wakutozao fedha kuwa haki”Isaya 60:17c.

88

Page 91: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Kwa kuwa tunakabiria mwisho wa mafunzo ya kujenga upya malango na kuta zetu za kiroho, hebu tukumbuke kwa nini tumedhamiria kuyalinda maisha yetu kutoka uvamizi wa adui. Yote haya ni kwa ajili ya kutunza uhusiano wetu wa karibu na Bwana wetu Yesu Kristo.

Mawazo juu ya Kuabudu/ibada kutoka Gems(Hazina) kutoka kwa Tozer,imeandikwa na A. W. Tozer Dondoo zimechukuliwa kutoka kwenye kazi mbalimbali za Tozer

“Tumeitwa Kutawala milele na Mungu. Mungu ni Roho na wale wamwabuduo yeye wanapaswa kumwabudu katika Roho na Kweli.

Kwa nini Kristo alikuja? Ili kwamba awawezeshe wale wanaomwabudu kutoka kwenye uasi. Tuliumbwa kuabudu. Kuabudu na ajira ya kawaida kwa viumbe waadilifu. Kuabudu ni uadilifu ulioamriwa.

Kuabudu …….. hupanda au kushuka kutegemea mtazamo wetu kwa Mungu;

Tuko hapa ili, kwanza tuweze kumwabudu, na pili kuwa watendaji kazi. Kazi ambazo hazibubujishi ibada hazitafanikiwa na zitakuwa kuni, nyasi, nakisiki tu katika siku ambayo kila kazi ya mtu itapimwa.

Kazi ya msingi ya Roho Mtakatifu ni kuzirejesha nafsi zilizopotea katika ushirika wa dhati na Mungu kupitia kuoshwa kwa kuzaliwa upya. Kwa hakika Roho anataka kutupa karama na nguvu kwa ajili ya huduma, bali utakatifu na kuabudu katika roho kunakuja kwanza.

Fanya mawazo yako kuwa mahali patakatifu. Kwa Mungu, mawazo yetu ndiyo ayapendayo. Mawazo yetu ni mapambo ndani ya mahali patakatifu ambapo tunaishi…. Ikiwa mawazo yetu yametakaswa kwa damu ya Kristo, tunaishi katika chumba kisafi….. Ikiwa tunapalilia ujuzi/maarifa ya Roho, ni lazima uyashikilie mawazo yako na usiruhusu akili yako kuwa nyika/jangwa ambako kila namna ya wanyama wasio safi huzunguka na ndege huruka……. Weka mbali kila tabia isiyo ya Kikristo kutoka kwako.. Anza kuufanyia kazi uwepo wa Mungu.”

89

Page 92: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

“Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-Kondoo.” Ufunuo 21:23

“Wala hapatakuwa na laana yo yote tena. Na kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo ndani yake. Na watumwa wake watamtumikia; nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao. Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.” Ufunuo 22:3-5

M. Uutekelezaji: Maonyo na Dokezo kwa Wajenzi wapya:

1. Tegemea upinzani wa adui. Nehemia 4:1-8

2. Uwe makini kila wakati, mchana na usiku. Nehemia 4:9

3. Vifusi vya zamani vitajaribu kukuzonga. Nehemia 4:10 a. Mfumo wa mawazo ya zamani Warumi 12:2

(Angalia Sura ya 5)b. Tabia mbaya Warumi 6:15-23 c. Hofu 2Timotheo 1:7 d. Mahusiano ya zamani ambayo yanakuhusisha wewe na

vifungo vya maisha ya zamani. 2Wathesalonike 3:6 4. Uwiano wa mapambano na ujenzi taratibu utabadilika kadri

unavyoendelea.a. Mifumo ya mapambano na ujenzi mwanzoni itaonekana

kama:Pigana!-Pigana! – Jenga! – Pigana! – Pigana! – Pigana! Nehemia4:13-16

b. Yatakuwa mabadiliko ya pole pole kadri adui anavyogunduakwamba husimami kwa kushindwa na mbinu zake au kukata tamaa.Mara utashi wako utakapokuwa umeshambuliwa, vita na ujenziutakuwa hivi:Pigana! - Jenga! – Jenga! – Jenga! – Pigana! – Jenga – Jenga! Jenga!

5. Vaa mavazi ya kujihami na silaha yako (Biblia) katika mkono mmojawakati unajenga kwa mkono mwingine. Nehemia 4:17, 23.

6. Shirikiana na wajenzi wapya wengine wakati vita inapokuwa ngumu.Kumbuka vita ni ya Bwana. Nehemia 4:20

7. Ujenzi utakamilika kwa msaada wa Mungu.Nehemia 6:15-16, 1Wathesalonike 5:24

8. Kuabudu ndiyo itakuwa shughuli kubwa ya maisha. Utatakiwa kutunzausafi/utakatifu ili kwamba uweze kusherehekea/kumfurahia Bwana YesuKristo. Nehemia 12:27-28, 30, 40-43

9. Lengo ni kuwajenga watu wanaomwabudu Bwana Yesu Kristo, ambaowamejaa upendo kwa Bwana asiyeonekana. Ni katika mchakato tu waMungu kuabudiwa ndipo/ambapo Mungu mwenyewe hujifunua kwetu.

90

Page 93: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Sura ya 9 Kusimama katika Ushindi wa Kristo

Lengo Kuu: Kujua na kukariri Maandiko ya Msingi kwa ajili ya kufanikisha vita ya kiroho.

Kweli Kuu: Tunashiriki kila eneo la ushindi wa Kristo pale tunapo pokea kwa imani na kutendea kazi kila kilichotolewa kwa ajili yetu.

Andiko la Msingi/Kuu: “Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake”. Waefeso 6:10

A. Kristo ndiye Msingi wa Ushindi 1. Uliahidiwa kwenye Agano la Kale – Mwanzo 3:152. Msalaba unatangaza Ushindi – Wakolosai 2:14-153. Kristo alitukuzwa na Roho Mtakatifu alitumwa kututia nguvu ili tushiriki

katika ushindi wa Kristo - Yohana 7:38-394. Kristo ameketishwa mahali penye mamlaka – Zaburi 110:15. Huduma ya sasa ya Kristo ni kutuombea sisi – Waebrania 7:25.6. Kristo ni mkuu kuliko vitu vyote (juu ya vitu vyote) Waefeso 1:20-21.7. Kristo ana mzigo kwa ajili ya watu wote – Luka 4:18.

B. Mwamini anayo nafasi ya ushindi katika Kristo. 1. Tunatambuliswha/kuthibitishwa pamoja na Kristo – Wagalatia 2:202. Tumeketishwa pamoja na Kristo – Waefeso 2:5, 6.3. Tunashiriki urithi wa Kristo – Warumi 8:16, 174. Tunashiriki ushindi kamili wa Kristo dhidi ya Shetani – Yoahana 16:8, 115. Tunashiriki uzima wa Kristo kwa ubatizo wa Roho – 1Wakorintho 12:136. Tunashiriki katika kusudi la Kristo – 1Yohana 3:8

C. Rasilimali za mwamini kwa ajili ya ushindi katika Kristo 1. Tunamiliki silaha za Mungu – Waefeso 6:10, 112. Tunazo silaha zetu zenye nguvu katika Kristo – 2Wakorintho 10:43. Tunao mfumo wa mawasiliano – Waefeso 6:184. Tunao msaada/usaidizi wa malaika –Waebrania 1:145. Tunazo nguvu za maombi ya pamoja (Maombi ya mapatano) – Mathayo

18: 19, 206. Tunazo nguvu za kutosha – Isaya 40:317. Tunao ujazo na utawala wa huduma ya Roho Mtakatifu – Waefeso 5:188. Tunayo hekima kwa ajili ya ushindi – Yakobo 1:5

91

Page 94: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

D. Hakika ya Ushindi ndani ya Kristo. 1. Tunalotumaini la Ushindi – Warumi 15:132. Tunayo nguvu kuu ndani yetu – 1Yohana 4:43. Ushindi wetu umehakikishwa (Tumehakikishiwa ushindi) – 2Wakorintho

2:14.4. Sisi ni washindi na si mateka – Warumi 8: 37-39

E. Kanuni za uwanja wa vita kwa ajili ya ushindi 1. Vita ni vya Bwana – 2Nyakati 20:152. Tunatumia nguvu ya Jina la Kristo lenye nguvu – Wafilipi 2:9-11.3. Mjue adui yako halisi – Waefeso 6:12.4. Mpinge Shetani – Yakobo 4:7.5. Mfunge adui kabla ya kuingia kwenye mipaka yake – Mathayo 12:296. Sifu kabla ya ushindi 2Nyakati 20:227. Rejesha maeneo kutoka kwa adui – Mathayo 18:18 - 19.8. Simama katika ushindi kwa imani – Marko 9: 23-24

F. Njia ya kwenda kwenye Ushindi 1. Tangaza utii wetu kwa Bwana – Yoshua 24:152. Jitoe kwa Bwana – Warumi 12:1-23. Weka vipaumbele – Mathayo 6:334. Itafute kweli – Yohana 8:22, 365. Shughulikia dhambi – 1Wakorintho 11:316. Omba kwa ajili kila jambo – Wafilipi 4:6-77. Jinyenyekeze kwa Mungu. Mpinge Shetani – Yakobo 4:7

G. Ushindi dhidi ya asili ya dhambi 1. Tambua wajibu wetu kuhusiana na asili ya dhambi - 1Yohana 1:82. Tangaza ushindi wetu dhidi ya asili ya dhambi – Warumi 7:24-253. Jihesabu kuwa tumekufa kwa ajili ya dhambi – Warumi 6:114. Jisalimisha kwenye operesheni ya kiroho – Waebrania 4:125. Ungama dhambi zako – 1Yohana 1:96. Acha kujiachilia wenyewe kwenye dhambi – Warumi 6:137. Mruhusu Mungu kuzifunua dhambi kwetu – Zaburi 139:23-24

H. Kuponya akili kupitia muungano wetu na Kristo 1. Akili/Ufahamu ni lazima ubadilishwe – Waefeso 1:182. Akili/ufahamu ni lazima ufanywe upya – Warumi 12:23. Akili/ufahamu ni lazima udhibitiwe – 2Wakorintho 10:54. Akili/ufahamu ni lazima ujazwe na mambo mazuri – Wafilipi 4:85. Mawazo yetu yatafakari yale yaliyo juu – Wakolosai 3:26. Mawazo yetu yamtafakari Kristo – Isaya 26:3

92

Page 95: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

I. Ulinzi katika mapambano 1. Hatuwezi kuguswa – 1Yohana 5:18; Luka 10:192. Tunao msaada wa malaika – Zaburi 91:9-11

Kauli ya Kuhitimisha

Katika mafunzo haya, tumejifunza namna ya kuwatunza waamini ambao wamefunguliwa kutoka utumwani/kifungoni. Tumegundua kanuni za maisha/kuishi kutokana na umoja na nafasi yetu katika Kristo. Kama askari katika Jeshi la Mungu, tumejifunza kuhusu aina mbalimbali za silaha za Mungu, na namna ya kuzivaa kila siku na kuzifanya sehemu ya mavazi yetu katika vita vyetu dhidi ya uovu. Mikakati maalumu ya kufunga na kufungua katika mapambano ya kiroho, kurejesha maeneo kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na kushinda vita kwa ajili ya akili/ufahamu yamepitiwa/ kutathminiwa. Pia tumeangalia namna ya kujenga mafunuo/maono na masuala muhimu kadri tunavyosogea mbele na kusimama katika ushindi wa Kristo.

Katika kumalizia, tunarudia maombi ambayo Paulo aliomba kwa ajili wa Wakristo katika Efeso, “kwamba, Awajalieni kwa kadri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake, katika utu wa ndani. Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo; ili mpate kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina; na kuujua upendo wake Kristo upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu. Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu; naam, atukuzwe katika Kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina. Waefeso 3:16-21

93

Page 96: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

94

Kwa taarifa zaidi au kupanga miadi kwa huduma binafsi au mkutano kwa ajili ya kanisa lako, tafadhali wasiliana na:

HUDUMA YA KIMATAIFA YA LIGHTHOUSEMakao Makuu P.O. Box 120297,

St. Paul, MN 55112, USA

Namba za Simu: Miadi: 651 483 0888 Mikutano 651 415 1888 Fax: 651 483 1888 Tovuti: www.lighthouseministryintl.org

Barua Pepe: [email protected]@lighthouseministryintl.org [email protected] [email protected] [email protected]

MACHAPISHO YALIYOPO

MAELEZOMAOMBI YA MCHANGO

Mafunzo ya Biblia ya Ushindi katika Vita vya Kiroho Mafunzo ya Biblia ya wiki 9 kumuimarisha mwamini katika kanuni na utekelezaji wa vita vya kiroho.

10.00 Mchango

Utaratibu wa Mwongozo wa Mafunzo wa Lighthouse Utaratibu wa hatua kwa hatua wa mwongozo kumchukua mwamini aliyepagawa na mapepo kutoka kifungoni na kumweka huru

10.00 Mchango

Kujinyenyekeza – Kadi ya Utaratibu wa Upinzani katika Mapambano - Njia rahisi ya kutunza uhuru wako katika Kristo

Hadi nakala 50 hakutakuwa na gharama

Kijitabu cha tukomboe kutokana na mabaya (uovu)Kijitabu cha taarifa kuhusu huduma

Bure

Jarida la Ishara za Uhuru – Barua ya tumaini na kutia moyo kwa ajili ya kila Mkristo

Bure

Page 97: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu
Page 98: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Ndugu wapendwa katika Kristo,

Huduma ya Lighthouse ni huduma ya kiroho isiyofungamana na dhehebu iliyokusudiwa kuwezesha uhuru kwa ulimwengu wote kupitia Kristo. Tulianza zaidi ya miaka 25 iliyopita katika Kanisa la Shoreview Aliance katika dhehebu la Christian and Missionary Alliance. Sisi ni wanaume na wanawake tunaoamini kuwa Mungu anayo majibu kwa waamini wanaopitia migogoro ya kiroho ambayo inawazonga.

Huduma hii ilianza kienyeji (bila kuwa rasmi) kutokana na uhitaji. Matokeo yake Lighthouse sasa imekua na kuwa huduma iliyo rasmi (yenye mipango) ikiwa na miadi kwa wakati kama ilivyo kwenye ratiba ikikutana na mamia ya watu kila mwaka, kutoka pande zote na madhehebu mbalimbali. Huduma hii haijawahi kutafuta kujitangaza, lakini kuongezeka kwa idadi ya waamini wanaozidi kufunguliwa kumetengeneza mshikamano wenye ushuhuda ambao ni vigumu kuukana (kutoridhika nao). Huduma imekuwa ikikua kutokana na shuhuda za wale waliofunguliwa. Huduma yetu siyo tu inamfikia mtu mmoja mmoja bali, inatoa fursa ya kutoa mafunzo na kuwaanda wachungaji, wamisionari, na watu wa kawaida kupita maelezo ya ufahamu/utambuzi. Tunafundisha pia mafundisho ya Biblia baada ya ukombozi kwa waamini waliofunguliwa. Shauku yetu ni kuwatoa watu kutoka kwenye mashimo ya mbweha kuwaleta kwenye mstari wa mbele, na kupata tena sehemu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu katika Jina la Bwana yesu Kristo. Maandiko yetu ni Neno la Mungu.

Huduma hii hailazimiki kuwa mwakilishi rasmi wa Christian and Missionary Alliance, ambayo inatoa uhuru kwenye masomo yenye utata ambayo kwayo Waprotestanti wengi wana mitazamo inayotofautiana. Tunasimamia msimamo thabiti katika nadharia ya tamko la imani ya Christian and Missionary Alliance. Tunapenda kueleza kwamba tunao Utaratibu wa Mwongozo wa Kufundishia wa Lighthouse ulioandikwa ambao unaweza kurekebishwa na kubadilika. Timu ya huduma ya Lighthouse inaendelea kujifunza zaidi juu ya nini Bwana wetu Yesu Kristo alifundisha na kufanya kuhusu ukombozi (kufunguliwa). Tunawasilisha Mwongozo huu kwa Mwili wa Kristo ili utumike kama Bwana wetu aonavyo inafaa.

Watumishi wako kwa ajili ya utukufu wa Kristo Timu ya Lighthouse

2

Page 99: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu
Page 100: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

YALIYOMO

Tamko la Imani 4

Fomu ya maandalizi kabla ya huduma 5

Huduma Kukubali Usajili 6

Utangulizi 7

Kipindi cha Taarifa za Awali za Ukombozi (Deliverance) 8

Shuhuda 14

Maombi ya Mapatano 15

Muda wa Kufikiri 16

Maeneo ya Kuhoji 17

Muda wa Upambanuzi 21

Kuwasilisha Orodha za Ngome 23

Namna ya Kumfunga Shetani 24

Maelezo ya Kumfunga Shetani 26

Kumfunga Shetani kwa majina ya Kimaandiko 27

Kuvunja Ngome na Laana za Ukoo 28

Kujinyenyekeza-Kielelezo cha Upinzani wa Mapambano 30

Kujinyenyekeza-Upinzani -Nakala ya Mwamini 32

Kuzijaribu Roho/Ndimi na Vipawa vingine vya kiroho 33

Ujazo wa Roho Mtakatifu 35

Malezi ya Mwaminialiyekwisha kufunguliwa 36

Taarifa za Huduma 37

Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni shirika ambalo kusudi lake la pekee ni kumtukuza Bwana Yesu Kristo

kwa kuwezesha uhuru kwa Mwili wa Kristo wa ulimwengu wote kupitia ukombozi (deliverance) na kuwaandaa

kwa ajili ya vita vya kiroho.

3

Page 101: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Tamko la Imani la Huduma ya Lighthouse

1. Kuna Mungu mmoja, ambaye ni mkamilifu sana, anayeishi milele katika nafsi tatu, Baba, Mwanana Roho Mtakatifu.

2. Yesu Kristo ni Mungu halisi na mwanadamu halisi. Alichukuliwa mimba kwa uwezo wa RohoMtakatifu na akazaliwa na Bikira Mariamu. Alikufa msalabani, mwenye haki kwa ajili wasiohaki, kuwa sadaka mbadala na wote wanaomwamini wanahesabiwa haki kupitia damu yakeiliyomwagika. Alifufuka kutoka kwa wafu sawa na maandiko. Kwa sasa ameketi mkono wakuume wa Mungu Mwenyezi aliye juu kama Kuhani wetu Mkuu. Atarudi tena kuanzisha ufalmewake wa haki na amani.

3. Roho Mtakatifu ni Nafsi ya Mungu, ametumwa kukaa, kuongoza, kufundisha na kumtia nguvumwamini na kuushuhudia ulimwengu wa dhambi juu ya haki na hukumu.

4. Agano la Kale na Jipya, ni la uhakika lisisilo na makosa kama lilivyotolewa mwanzoni, lilivuviwana Mungu na ni ufunuo kamili wa mapenzi yake kwa ajili ya wokovu wa wanadamu. Yanaundautakatifu na utawala pekee wa imani na utendaji wa Mkristo.

5. Mwanadamu kwa asili aliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu; alianguka kwa kukosa utii, nahivyo kupatwa na kifo cha kimwili na kiroho. Watu wote wanazaliwa na asili ya dhambi,wametengwa mbali na maisha ya Mungu na wanaweza kuokolewa tu kupitia kazi ya Bwana YesuKristo. Sehemu ya wale wasioonesha kutubu na wasioamini ni kuishi milele katika mateso yafahamu; na wale wanaoamini, katika furaha na raha mustarehe milele

6. Wakovu umetolewa (umekuja) kupitia Yesu Kristo kwa watu wote; na wale wanaotubu nakumwamini yeye wanazaliwa upya kwa njia ya Roho Mtakatifu, wanapokea kipawa cha uzimawa mile na kuwa watoto wa Mungu.

7. Azima ya Mungu ni kuona kila mwamini anajazwa na Roho Mtakatifu na kutakaswa kabisa,kutengwa na kuwa mbali na dhambi na dunia na kujitoa kikamilifu kwenye kusudi la Mungu, nakwa hiyo kupokea nguvu kwa kuishi maisha matakatifu na utendaji ulio makini. Huu ni wakatiwa uhitaji mkubwa na ni kazi endelevu pia anayokumbana nayo mwamini katika maisha kutokanana badiliko (kufuatia kubadilika).

8. Utoaji umefanywa katika kazi ya ukombozi ya Bwana Yesu Kristo kwa ajili ya uponyaji wa miiliinayokufa. Maombi kwa ajili ya wagonjwa na upakaji mafuta vinafundiswha katika maandiko nani marupurupu (faida) kwa kanisa katika wakati huu.

9. Kanisa linajumuisha wale wote ambao wanamwamini Bwana Yesu Kristo, wamekombolewakupitia damu yake, na wamezaliwa upya kwa njia ya Roho Mtakatifu. Kristo ndiye kichwa chamwili, Kanisa, ambalo limeagizwa na Yesu kwenda kwenye ulimwengu wote kama mashahidi,wakihubiri Injili kwa mataifa yote.

Kanisa la mahali pamoja ni mwili wa waamini katika Kristo ambao wameungana pamoja kwakusudi la kumwabudu Mungu, kwa ujenzi wa maadili kupitia Neno la Mungu kwa ajili yamaombi, ushirika, ushuhudiaji na kutekeleza ibada za ubatizo na Chakula cha Bwana.

10. Kutakuwa na ufufuo wa mwili kwa wenye haki na wasio haki; kwa wenye haki ufufuo wa uzima,kwa wasio haki ufufuo wa hukumu.

11. Kuja kwa Bwana Yesu Kristo mara ya pili kumekaribia na atakuja mwenyewe, kwa uwazi naatatawala kwa miaka 1000. Hili ndilo tumaini la baraka kwa waamini na ni kweli iliyo wazikwamba hicho ni kichocheo cha kuishi maisha matakatifu na kutumika kwa uaminifu.

4

Page 102: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

HUDUMA YA LIGHTHOUSE MAANDALIZI KABLA YA HUDUMA

Mpendwa………………………………………. Tunapenda kuthibitisha miadi yako kwa…………………………. Tafadhali soma maandiko yafuatayo kabla ya kuja katika muda wa huduma uliopangiwa. Unaposoma, andika maeneo ambayo unapoteza mwelekeo katika njia zako na Bwana Yesu Kristo. Wagalatia 5:19-24 Marko 7:14-23 Waefeso 6:10-18 Yakobo 4:7 Wakolosai 2:13-15 Wakolosai 3:1-10 Waefeso 2:4-10 1Petro 2:9-12 Dodoso Kabla ya Huduma Tafadhali jibu maswali yafuatayo na uangalie maeneo ambao yanakuhusu. Tafadhali NJOO NA FOMU HII UNAPOKUJA KWA AJILI YA HUDUMA.

1. KUPATA KIWEWE (Kuumizwa sana)Je umeshawahi kukudhalishwa kingono?…..kimwili?....... kihisia….. kiroho…. Je umewahi kukataliwa? ……..kupata talaka?......tukio linalokaribia kifo…… uhalifu wenye vurugu…….. Je umewahi kutoa au kuwa sehemu ya utoaji mimba?.................

2. UKOOJina la kwanza la baba yako? …………….Jina la kwanza la mama yako…………Je kuna mtu wa familia yako aliye hai au aliyekufa amewahi kujihusisha katika shughuli za kichawi aumazingaombwe?..................... Je kuna mtu wa famili yako amewahi kujiua?........... ugonjwa wa akili?……….. Je kuna mtu wa familia yako amekuwa kwenye vyama vya siri (i.e. Free Masonry)…….. Kipi?...............

3. UCHAWIJe umewahi kujihusisha katika uchawi?.........dini za mashetani……. shughuli zozote za kichawi………. Je umewahi kuomba kwa Shetani?...….kumlaani Mungu?……kuukana wokovu wako?..….. Je umewahi kujihusisha na unajimu, mambo ya mizimu?....... dini za uongo?........ imani potofu?….

4. VIFUNGO VYA DHAMBIJe umeathirika na utumiaji wa madawa?......yapi?........ Je umeathiriwa na ulevi wa pombe?........nikotini?………chakula?.......ngono?.... Je ni tabia yako kuongopa?.........kuapa?........kukosoa wengine?.........kuiba?……kujidhalilisha……? kudhalilisha wengine?..........

5. MAENEO YA HISIA ZA KIAKILIJe unakabiliwa na ugonjwa wa akili?........ mfadhaiko?........ mawazo ya kujiua?....... Sununu (hali) zinazobadilika?.....hasira/gadhabu?........majinamizi?.......mawazo ya makufuru?....hofu kuu?.......upweke?.......njozi?......mawazo hasi kupitiliza?…..

6. UZINZI/UCHAFUUmewahi au kwa sasa hivi unasumbuliwa na tamaa?......picha za ngono?......uzinzi?......uasherati?...... kupiga punyeto?......usenge/basha? ……njozi za ngono?......ukatili?........ Je umewahi kudhalilishwa kingono na mashetani?..............

7. WASIFU (BINAFSI)Je unajidharau kupita kiasi?........ Unajiona hufai?..........hujitoshelezi?...........

8. KUTOSAMEHEJe umeshindwa kusamehe?............ Orodhesha wale unaoshindwa kusamehe?.........

9. HOFUJe unaogopa kupita kiasi?........Hofu ya (jaza kwenye nafasi)……………………

10. MATESO YA KIMWILIJe una maumivu yoyote ya muda mrefu?........Eleza kwa ufupi?...............................Unasumbuliwa na maumivu ya mara kwa mara?......kipandauso?........ wasiwasi……Kukosa usingizi?............

11. VIZUIZI VYA KIROHOJe unapitia hali ngumu katika kusoma Biblia?.......kuomba?...... kushiriki ibada ?....... Je unapitia hali ya kuchanganyikiwa Kiroho?...... hali ya kutojali?..........kutoamini?..... mashaka makuu?..........

Asante sana kwa kujaza fomu hii. Tafadhali kumbuka KUJA NAYO.Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nawe,

5

Page 103: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

Huduma ya Kimataifa ya Lighthouse ni huduma ya kiroho isiyofungamana na dhehebu yenye kusudi la kuwezesha uhuru kwa ulimwengu wote kupitia Kristo. Sisi ni wanaume na wanawake tunaomwamini Mungu kwamba anayo majibu kwa ajili ya waamini wanaotatizwa na mawazo na hali ambazo zinawazonga na zinaweza kuhusishwa na migogoro ya kiroho.

Katika wastani wa saa zetu tatu za vipindi, tunajadili na kujihusisha na vita vya kiroho; migogoro kati ya Mungu na Shetani ambayo inahusisha Wakristo sawa sawa na Waefeso 6:11-18, Yakobo 4:7 na 1Yohana 3:8. Muda huu pia hutumiwa kuzoeana, kuomba na kujadili mahitaji binafsi.

Lighthouse inafadhiliwa kipekee na utoaji wako wa hiari wa sadaka ya shukrani.

UTHIBITISHO WA HUDUMA Nimekuja kwa hiari yangu mwenyewe na ninaweza kuacha kipindi wakati wowote. Zaidi ya hayo, wajibu wa matokeo ya kipindi hiki yameachwa mikononi mwa Mungu, na ni wajibu wangu kuifanyia kazi imani katika Mungu na ahadi zake kwangu.

JINA…………………………………………………BARUA PEPE…………………… ANWANI…………………………………………………………………………………. JIJI-MJI/MKOA…………………………………………ZIP……………………… …… SIMU………………………………UMRI…………………KANISA………………….. IMEREJESHWA NA………………………………..TAREHE………………………… SAHIHI…………………………………………………………………………………. TIMU YA HUDUMA…………………………………………………………………. [Makabrasha ya huduma ya Lighthouse yanapatikana ukiomba] Lighthouse Ministry Intl. P.O. Box 120297, St. Paul, MN 55112 www.lighthouseministryintl.org

6

Page 104: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

UTANGULIZI

1. Fungua kwa maombi. Vaa silaha za Mungu. Dai nguvu za damu ya Bwana YesuKristo na mamlaka ya Jina lake. Mwalike Roho Mtakatifu kuelekeza muda wahuduma. Dai ushindi katika Jina la Bwana Yesu Kristo.Waefeso 6: 10 - 18 (Tazama hapo chini)

2. Mtake mtu anayehudumiwa ajaze fomu ya usajili ya huduma kama bado hawajafanyahivyo.

3. Washiriki wa timu ya ukombozi (deliverance) na watu wanaohudumiwawajitambulishe wenyewe kwa kifupi.

4. Endelea kwenye KIPINDI CHA TAARIFA ZA KABLA YA UKOMBOZI(deliverance). Washiriki mbalimbali wa timu washirikishe taarifa na kisha waachiemuda mwishoni kwa ajili ya maswali. Hakikisha kujumuisha maelezo ya “Wafungua-mlanto” (Angalia ukurasa wa 17).

Waefeso 6:10-18: “Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.

Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za shetani. Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu war oho. Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama. Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa drii ya haki kifuani, na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa injili ya amani, zaidi ya yote mkiitwa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu. Tena ipokeeni chapeo ya wokovu,na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu, kwa sala zote na maombi mkisala kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote”.

7

Page 105: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KIPINDI CHA TAARIFA KABLA YA UKOMBOZI (DELIVERANCE)

1. Neno ukombozi (deliverance) linatisha watu wengi, na bado lilikuwa moja ya ushauriwa Bwana wetu Yesu Kristo.

a. Tunaamini kwamba kila kitu ambacho Yesu alifanya katika huduma kilikuwani ukombozi: Je si wokovu ndio ulio ukombozi bora tunapokuwa tumekombolewa kutoka ufalme wa giza na kuingia kwenye Ufalme wa Mungu? Nauponyaji ni pale Yesu anamtoa mtu kutoka kwenye ugonjwa na kumfanyamzima; na kunapokuwa na upinzani wa kiroho, tunachukuliwa kutokakwenye kifungo na kuwekwa huru.

b. Yesu alipokuwa akifanya huduma yake, alinukuu kutoka kwenye Isaya 61:1“Roho ya Bwana Mungu I juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafutaniwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwagangawaliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwahabari za kufunguliwa kwao”.

2. Bwana wetu Yesu Kristo ametupa sisi mamlaka na anatutaka sisi twende tukafanyehivyo.

a. Katika Luka 10:18-19, alisema, “Akawaambia, Nilimwona Shetani, akiangukakutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyokana nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru”.

b. Kuna nguvu ZOTE katika Jina na Damu ya Bwana Yesu Kristo!

3. Unaweza kuhisi kukamatwa kwa kuwepo kwako hapa. (Angalia, na mfunge Shetanikama kuna mtu anakufungia). [Rejea ukurasa 24-27) katika mwongozo huu juu ya“Kumfunga Shetani”].

4. Sisi ni huduma ya ukombozi; huduma ya kuwafungua waamini.a. Sisi si huduma ya ushauri. Kuna nafasi ya ushauri wa Kikristo katika maeneo

mengi, lakini kama kuna ngome zinatawaliwa na roho wachafu, unawezakutoa ushauri kwa roho wachafu/wabaya?

b. Watu wanafikiri ukombozi ni kwa wale wenye matatizo sugu (addicted) nawale walio chini na ‘nje’, ni kweli hao wanahitaji, lakini tunatoa huduma kwaWakristo wa viwango vyote vya vifungo, inavyoelekea kutoka maeneo namadhehebu yote.

c. Tunatoa huduma kwa kila mtu aliyegeuka kutoka kwenye dini za kishetanikuwa misionari, na mtu yeyote hapo katikati.

d. Tunafundisha na kumwelekeza mwamini ushindi na nafasi yake katikaKristo na namna ya kupata uhuru na kutembea katika huo kama mwanawa Mungu. Jitihada yetu ni kuwaleta watu kutoka kwenye mashimo yambweha kwenda kwenye mstari wa mbele.

5. Tunasimama kinyume na Shetani na wafuasi wake kuzimu tukiwa na mamlakakamili ya Bwana Yesu Kristo.

a. Tumechagua kutoa huduma kwa Wakristo tu. Huduma yetu kwa wasio aminini kuwaongoza watu kwa Kristo.

b. Kitu gani kingemzuia roho mchafu asiyarudie maisha ya mtu asiye Mkristo?Mathayo 12:43-45.

8

Page 106: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

6. Katika Waefeso 6, tunaambiwa wazi kuwa, tuko vitani, ni mashindano ya mieleka.Tuko vitani na adui anayetisha.

a. Waefeso 6:12, “Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama;bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi yapepo wabaya katika ulimwengu wa roho”.

b. 1Petro 5:8 inaonya kuwa tuwe na kiasi na kukesha.“Mwe na kiasi na kukesha, kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simbaaungurumaye, huzunguka – zunguka akitafuta mtu ammeze”.Tunataka wewe utambue kuwa Shetani ni simba asiye na menoaliyeshindwa ambaye hunguruma sana.

c. Hosea 4:6 inasema,“Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa”

d. Mmeoka, roho zenu ziko salama, mbinguni ni makao yenu, lakini hamjafikambinguni bado. Bado mpo kwenye vita ya Waefeso 6. Katika makanisa yetu,tumefundishwa juu ya wokovu, lakini kidogo juu ya vita vya kiroho ambavyotunakabiliana navyo na adui wa nafsi zetu, Shetani.

Kama wana wa Mungu mko vitani, mtake msitake, na adui ambaye ni halisi anayetafuta kuiba, kuharibu na kuwaua ninyi.

e. Shetani anaitwa Mshitaki, Mharibu, Muongo, Mdanganyaji, Msingiziaji,Mnyang’anyi, na Mjaribu na majina mengine mengi. Hutenda kazi ilikupingana nasi katika namna hizo.

f. Tumeamriwa kuvaa silaha zote za Mungu kusimama na kuhimili nakupigana!!

g. Tumeambiwa kwenye 2Wakorintho 10:4 kwamba, “……maana silaha za vitavyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome”.

h. Warumi 8:37 inatuhakikishia, “Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, nazaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda”.

7. Tunatambua kwamba watu wanatofautiana sana lakini adui yetu ni mmoja. Tabia yaShetani hujirudia rudia (Satan is patternable).

a. Maandiko yanayonyesha kwamba Shetani hutumia mbinu zile zile tangukwenye Bustani ya Edeni. Katika Mwanzo 3: 4 akiwa na Hawa, Shetanialisema, “Hakika hamtakufa”. Vilevile kwenye Mathayo 16:22, pale Yesualiposema kwamba ni lazima aende msalabani, Shetani alizungumza kupitiaPetro na kusema, “Hasha Bwana haya hayatakupata”.Shetani hutumia mikakati ileile na anajua udhaifu wetu.

b. Kazi za Shetani hupingana na Wakristo ili kuwatoa kutoka katika maisha yaushindi tele ambao Mungu amewapa. Tunaweza kuwa na uzima tele sasa –siyo maisha yasiyo na majaribu, lakini yenye ushindi na furaha na amani yarohoni.

c. Yohana 10:10 inasema, “Mwivi haji ila aibe na kuchnja na kuharibu; miminalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele”.

d. Ni wapi unaposhindwa katika maisha yako ya Ukristo?e. Je, Shetani amekuibia ushindi wako?f. Je, Shetani amekuibia tunda la Roho Mtakatifu?

9

Page 107: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

8. Shetani au roho mchafu anaweza kutawala eneo la akili au mwili kama tutampanafasi. Waefeso 4:27 inasema, “wala msimpe Ibilisi nafasi”. Lakini nini kinatokeatunapompa nafasi? Je, tunawezaje kuirejesha nafasi hiyo?

a. Maandiko yana mifano ya Shetani kumtawala mwanafunzi (Petro, Yuda), auroho mchafu kutawaka eneo la akili au mwili. Kama ilivyoelezwa hapo juukwenye Mathayo 16, Petro alisikiliza uwongo uliohusu mateso ya Yesuambayo alipaswa kuyapitia na akasema, “Hasha Bwana haya hayatakupata”.Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Nenda nyuma yangu Shetani”. Kamayangekuwa maneno ya Petro, Yesu angemkemea Petro, lakini alizungumzajuu ya Shetani.

b. Huduma ya Bwana wetu ilikuwa ni ukombozi. Luka 4:36 inasema,“Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili,maana anaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka”.

c. Yesu kwa neno aliukemea upepo, homa, na roho wachafu na walitoka.Marko 1:25 inasema, “Nakutambua u nani Mtakatifu wa Mungu. Yesuakamkemea akisema, Fumba kinywa umtoke”.

9. Siyo kila kitu ambacho kihahusisha dhambi na kushindwa kinahusisha rohowachafu.Kabla Shetani hajahusika, tunayo dhambi ya asili na mioyo yenye uovu uliozidi.

a. Yeremia 17:9, “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wakufisha; nani awezaye kuujua?”

b. Kushindwa kwingi tunakokutana nako ni kwa sababu ya uchaguzimbaya. Tunachagua kutenda dhambi. Tunapoipa nafasi tabia ya dhambi,tunaweza kupoteza uwezo wa kuhimili dhamira zetu katika eneo hilo nakuruhusu ngome za Shetani kuanzishwa.

c. Jaribu siyo dhambi, lakini huzaa dhambi.Tunashambuliwa kutokana na tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi chauzima. 1Yohana 2:16 inasema, “Maana kila kilichomo duniani, yaani tamaaya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima havitokani na Baba, balivyatokana na dunia”

d. Kama tunashughulikia utu wa kale, asili ya dhambi ya mwili, Biblia inasematunatakiwa kudai kwa imani ambayo, “Na hao walio wa Kristo Yesuwameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake”(Wagalatia 5:24). Tunapaswa kudai kila siku, Warumi 6:6-7, “Mkujua nenohili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulubushwa pamaja naye, ili mwili wadhambi uubatilike, tusitumikie dhambi tena, kwa yeye aliyekufa amehesabiwahaki mbali na dhambi”.Kama umedai ushindi wa Kristo kwa ajili yako na bado unakumbana nakushindwa, inaweza kuwepo ngome katika eneo lako la ufahamu (akili) aumwili.

10. Je, Mkristo anaweza kupagawa na pepo?a. Kama unamaanisha, Je Mkristo hawezi kumilikiwa kabisa na Shetani au

mapepo. Biblia inatumia usemi, “kumilikiwa na pepo”ambayo haimaanishiumiliki kamili. Mapepo hayamiliki chochote. Agano Jipya linawachukuliamapepo kama wavamiaji na wavamizi wa makao ambayo siyo yao. Munguanamiliki hati ya maisha yako kupitia damu ya Mwanaye 1Petro 1:18-19.Neno kumilikiwa na mapepo linatafsiriwa kwa usahihi kama “kupagawa”,ambayo ni kushikilia pepo wachafu juu ya mtu katika kiwango chochote chakivuli. Kupagawa pia kunatafsiriwa: ukimya/ubaridi unaosabishwa na mapepo

10

Page 108: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

na kumiliki kutokana na pepo au mapepo yanayokaa ndani ya mtu katika eneo la akili au mwili na kudhihirisha madhara yake katika mwili (maumbile) au kuchanganyikiwa katika viwango vinavyotofautiana. Mkristo anaweza kumilikiwa na mapepo au kupagawa au kutawaliwa kama atatoa nafasi kwa adui. Wagalatia 4:9 inasema, “Bali sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena?”

b. Tunatumia misamiati kama: kupagawa, kuteswa, kuvamiwa, kuingiliwa,kuonewa. Kutawaliwa na adui tunakuzungumzia kama: Ngome, fortresses,fursa (footholds), kukisia au kufiki, mapepo, roho wabaya, au roho wachafu,2Wakorintho 10:3-5.

c. Tunaweza kuwa na ngome katika maeneo yetu ya vifungo vya ukoo, mazoeaya dhambi, dhambi zisizotubiwa, au kwa uwazi kabisa kumpa nafasiShetani au roho wachafu katika maeneo ya akili au miili kwa kufunguamlango kupitia shughuli za kimazingaombwe/miujiza.

d. Shetani hushambulia na kujaribu kuingiza roho wabaya katika maeneo dhaifu.Anaweza kupata fursa kisheria, na ni kwa kukiri tu, kutubu, kunyenyekea kwaBwana Yesu Kristo na kupingana kwa nguvu kupitia vita vya kiroho namamlaka tuliyopewa na Mungu wetu katika Bwana Yesu Kristo, aduiatayakatia tamaa maeneo hayo. Yakobo 4:7.

11. Nini tofauti kati ya hisia za nguvu mbaya (zilizo hasi) na roho wachafu?a. Mungu hutupa hisia, lakini zinapozidi, au kukosa mantiki, au kuwa za mazoea

au tabia zinapopitiliza kiasi, hata ukashindwa kujizuia, hapo unaweza kuzitiliashaka ngome za adui.

b. Hasira ni hisia. Je unaweza kuzitawala au zinaweza kukutawala wewe? Kamaunajulikana kwa hasira yako, na unadhani huwezi kuizuia, inaweza kuwangome ya hasira. Waefeso 4:26-27 inasema, “Mwe na hasira, ila msitendedhambi, jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; wala msimpeIbilisi nafasi”.

c. Hofu ni hisia, lakini zinapozidi kufikia hatua ya kukufanya usifanye kazizako, inaweza kuwa chini ya himaya ya roho ya hofu na kutojipenda.2Timotheo 1:7 inasema, “Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali yanguvu na ya upendo na moyo wa kiasi”.

12. Yesu alisema kwamba kama tukiwa na imani kiasi cha punje ya haradali, tunawezakuuambia mlima na kuuamuru kung’oka na hakuna kitakachoshindikana kwetu.Mathayo 17:20, Mathayo 21:21-22.

a. Bwana wetu aliyasema maelezo haya baada ya kumfungua mvulana aliyekuwamwendawazimu. Wanafunzi walishindwa kumponya, na Yesu akamkemeapepo na mvulana aliponywa. Na kisha akasema wote walihitaji imani kiasi chapunje ya haradali kukemea pepo mchafu.

b. Je mambo gani ni milima katika maisha yako?

11

Page 109: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

c. Unafaa kuwa kwenye ‘Idara ya Imani’ kwa kukubali tu mwaliko wa watuusiowajua. Mungu anaheshimu “imani yako iliyo kama punje ya haradali”.

d. Upo hapa kwa mwaliko wa Mungu.

13. Je, unawezaje kujua kama eneo linalokusumbua ni masuala ya dhambi auyanatawaliwa na roho wabaya?

a. Tunahudumu katika vipawa vya Roho Mtakatifu. 1Wakorintho 12:8-11inaorodhesha vipawa kwa ajili ya huduma hii. “Maana mtu mmoja kwa Rohoapewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeyeyule; mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama zakuponya katika Roho yule mmoja na mwingine matendo ya miujiza; namwingine unabii na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha;na mwingine tafsiri za lugha; lakini kazi hizo zote huzitenda Roho huyommoja,, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo”.

b. Tunamwomba Mungu kwa ajili ya karama ya kupambanua roho ilikutuonyesha zipi ni ngome na zipi siyo ngome.

14. Je, ni wapi unashindwa kwenye vita?a. Maandiko yanasema, “Lakini mtu mwenyewe”1Wakorintho 11:28.b. Tunagundua kuwa watu wanaweza kutueleza asilimia tisini (90%) ya wapi

wanashindwa katika mapambano/vita. Unajua ni wapi unapata shida.

15. Tunakufundisha namna ya namna ya kujua nafasi yako katika Bwana YesuKristo na kupigana na namna ya kuwa huru. Vipindi kwa kawaida na urefu wamasaa 3 – 4.

16. Je una vifungo gani katika maisha yako?a. Wagalatia 5:22-23 inazungumzia juu ya tunda la Roho Mtakatifu, “…..upendo,

furaha, amani, uvuilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi”. Je maishayako yanaonyesha tunda hili?

b. Tulikutaka kuiangalia orodha hii kabla ya kuja na kuona wapi hufanikiwi.

17. Tunamfunga mtu mwenye nguvu kabla kuingia kwenye vita ya kiroho dhidi yangome katika maisha ya mwamini.

a. Tulimwomba Mungu atuonyeshe namna ya kuwahudumia kwa mamlaka yotekama Bwana Yesu alivyofanya. Tunaamini kwamba Mungu ametuonyeshakwamba tunapaswa kumfunga mtu mwenye nguvu kwanza, kisha tuingie nakuchukua mali zake.Marko 3:27 inasema, “Hawezi mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenyenguvu, na kuviteka vitu vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu;ndipo atakapoiteka nyumba yake”. Mtu mwenye nguvu ni Shetani.

b. Kwa kumfunga Shetani kwanza, udhihirisho wa roho wabaya umefutwakabisa au angalau umepunguzwa kwa kiasi kikubwa.

12

Page 110: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

18. Kamisheni ya huduma ya Lighthouse ni Yakobo 4:7

“BASI MTIINI MUNGU. MPINGENI SHETANI, NAYE ATAWAKIMBIA NINYI”.

a. Tunampinga Shetani kwa namna ile ile kama Bwana wetu Yesualivyofanya. Yesu alimpinga Shetani kwa maneno kwa kutumia Neno laMungu. Kisha akamwamuru Shetani “Kwenda zake!”Shetani lazima aendezake, hana uchaguzi, au Neno la Mungu si la kweli. Katika Mathayo 4:10,Yesu alimwambia Shetani, “Nenda zako Shetani”

b. Kabla ya kupambana na adui katika eneo lolote la maisha ya mwamini,maombi ya kukiri, kutubu na kunyenyekea yawe ya kwanza. Kisha Bibliainasema, “Mpingeni Shetani, naye atatukimbia” Yakobo 4:7.

c. Tumeambiwa tumpinge Shetani kikamilifu naye atakimbia.d. Kupinga siyo maombi. Ni namna ya kumshambulia adui kwa maneno

kwa Neno la Mungu katika Jina la Bwana Yesu Kristo.

19. Tunaweza kufikiri baadhi ya maeneo ambayo Shetani anaweza kupata fursa.a. Hii tunaiita “Milango”, “Fursa”, au “Milango ya Kuingilia”b. SHIRIKISHA KUTOKA ORODHA YA “MAENEO KUJIULIZA/KUHOJI“.

Angalia kwenye ukurasa 17 hadi 20 wa mwongozo huu.

20. Hamia kwenye SHUHUDA.

13

Page 111: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

USHUHUDA

1. Kwa kuwa tumechagua kuhudumu kwa Wakristo tu, tunamtaka kila mtu anayepatahuduma hii kushirikishana shuhuda zao, kwa kueleza lini aliomba na kujikabidhi kwaKristo, kwa kumwomba Bwana Yesu Kristo kuwasamehe kutokana na dhambi zao nakuwa kiongozi wa maisha yao. (Angalia MAELEZO hapo chini).

TUMECHAGUA KUWAHUDUMIA WAKRISTO TU

TUNAPASWA KUTAMBUA KUWA, SISI NI UWANJA MTAKATIFUKABLA HATUJAINGIA KATIKA KUPAMBANA NA ADUI.

2. Chukua hatua kwenda kwenye MAOMBI YA MAPATANO

ZINGATIA:Kama kuna mashaka juu ya uhalali wa ushuhuda, mhamasishe mwamini kumfuatamtu aliye kwenye timu ya maombi ili kuyakabidhi tena maisha yake kwa Bwana.Kama hawajampokea Bwana Yesu Kristo, wasilisha ujumbe wa Injili kwao. Fanyahayo wakati wa huduma ya binafsi.

Kama mtu hajaweza kumpokea Kristo kwa sababu ya adui kuingilia kati (i.e.kuchanganyikiwa, hofu, au udhihirisho wa vitisho), mfunge Shetani kwanza [Angaliaukurasa 24-27]. Kisha, mtu huyu atakapoweza kuchagua, muulize kama atakufuatishakatika sala ya kujikabidhi kwa Mungu. Muongoze kwenye sala ya toba na kumpamaelezo ya kuzikataa kazi zote za Shetani (1Yohana 3:8).

= = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = =

Warumi 10:9-10 “Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa mana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu”.

14

Page 112: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAOMBI YA MAPATANO

1. Mtake/watake mtu/watu wanaohudumiwa kuomba na kumwambia Mungu manenomachache kwa nini amekuja na kisha kumwomba Mungu wao wa Mbinguni kwa yaleambayo wangependa Yeye awafanyie.

a. Huu siyo wakati wa kueleza kwa undani juu ya matatizo yao, lakini zaidi niwakati wa kueleza kwamba wanataka kuwa huru.

b. Mwamini aliyetatizwa anaanza kuomba:“Baba wa Mbinguni, Nakuja kwako katika jila la Bwana Yesu Kristo.Ninakuomba unifungue”.

c. Majina yote matatu, Bwana Yesu Kristo, yanatakiwa kutumika. Kwa kawaida,tuna uhuru kamili kutumia jina lolote la Bwana wetu Yesu Kristo katikamaombi, lakini kipekee katika muktadha wa vita vya kiroho, tumegunduakwamba adui anajaribu kulitumia vibaya Jina hili kwa kuzitambulisha rohochafu kwa kutumia vibaya Jina la Yesu au Kristo, lakini kuna Bwana YesuKristo mmoja tu. Dumisha matumizi ya jina kamili la Bwana Yesu Kristokipindi chote cha muda wa huduma. Ikiwa mwamini atajisikia ugumukulitamka Jina kwa usahihi, mpe muda kumfanya aweze kurudia ‘Bwana YesuKristo’ mpaka limemkaa vizuri.

2. Mwanachama (Mwana maombi) ataomba na atafanya mapatano na mwamini“anayetatizwa” kama shahidi wake kwamba anataka kuwa HURU, na kisha,mwanachama atatengeneza maelezo yenye nafasi ya ushindi kwa kuongea moja kwamoja na adui, Shetani, na kutangaza kwamba anamfungua mfungwa huyu katika Jinala Bwana Yesu Kristo.

3. Kisha, kiongozi atawachagua watu wawili walioko kwenye timu, mmoja awe mtumwenye wahaka/mkereketwa (worrier) na mwingine kama muombezi, kwa kilammoja wao mwamini atapata huduma. Marafiki na wanafamilia wanaweza kubakiana mtu huyo wakati wa huduma ikiwa wana timu na mtu anayehudumiwa kwapamoja wataliafiki hilo.

4. Jitenga kwa ajili ya muda wa hudumaPata muda wa mapumziko kwa dakika 5 – 10, na mnapokutana tena, mkutane katikamfumo wa makundi yenu madogo katika chumba tofauti.

5. Hamia kwenye MUDA WA KUFIKIRIA.

= = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = =

Mathayo 18:19 “Tena nawaambia ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani kwa jambo lolote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni”

15

Page 113: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MUDA WA KUFIKIRIA

1. Msikilize mwamini ‘aliyetatizwa’ anapojieleza ni maeneo gani ameshindwa,ameshambuliwa na anasumbuka.Yakobo 1:19, “……….. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wakusema……….”.

2. Andika majina ya ngome (hiyo/hizo) [Mfano: hasira, tamaa, hofu, uchawi,kukataliwa, n.k. jinsi Roho Mtakatifu atakavyokufunulia.1Wakorintho 12:4, 7-8, 10, “……….. pana tofauti ya karama…….” “Lakini kilammoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. Maana mtu mmoja kwa Roho apewaneno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule;”. “…….na mwingine unabii, na mwingine kupambanua roho……”

3. Tumia karatasi ya maswali iliyoambatanishwa kama mwongozo (Ukurasa 10-12),kama kuna lazima, lakini kutegemea na uongozi wa Roho Mtakatifu kadriunavyoomba maswali ya upambanuzi

a. Bwana wetu Yesu Kristo siku zote aliuliza maswali yaliyo dhahiri ambayoyaliyafichua masuala ya dhambi na kufunua siri za mioyo ya watu. Mathayo15:19; Marko 7:21-23; Luka 9:47; 1Wakorintho 12:10; John 12:49.1Wakorintho 14:24-25“Lakini wote wakihutubu, kisha akaingia mtu asiyeamini au mjinga,abainishwa na wote, ahukumiwa na wote; siri za moyo wake huwa wazi, nahivyo atamwabudu Mungu, akianguka kifudifudi, na kukiri ya kuwa Mungu yukati yenu bila shaka”.

b. Wagalatia 5:17-23 inamwonyesha mwamini mgongano ulio wazi kati yamatendo ya mwili ambayo yanaweza kumpeleka kwenye kifungo ikiwayanafanywa na hayatubiwi na kuyakana na tunda la Roho Mtakatifu ambalohuelezea Mkristo aliyeshinda..“Lakini mtu ajihoji mwenyewe” 1Wakorintho 11:28.

4. Baada ya kupitia maeneo yote ya vifungo kwa ukamilifu na kujaza orodha ya ngomeza mapepo zenye uwezekano wa kuwepo, malizia MUDA WA KUFIKIRI. Waachewanakikundi cha ukombozi na mwamini aliyetatizwa, ikiwezekana, kushirikishanaMaandiko, na hamia kwenye muda wa mafunuo. Nenda kwenye chumba tofauti kwaajili ya maombi na mafunuo.

Hapa kuna baadhi ya maandiko ya kumshirikisha mwamini wakati anasubiri: Luka 10:17-22, Wakolosai 2:13-15, 1Petro 5:6-11

= = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = =

1Wakorintho 12:10 “…… na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii, na mwingine aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha”.

16

Page 114: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAENEO YA KUJIULIZA/KUHOJI

(Vichwa vikuu vya habari huitwa “Funguo”, hutafsiriwa kwenye “Kipindi cha Taarifa”, hurejea kwenye njia shirikishi ambazo adui anaweza kupata fursa katika

maisha yetu).

ZINGATIA: Katika kipindi cha MUDA WA KUFIKIRI, tumia huu kama mwongozo tu. Vichwa vya habari vionyeshe funguo zitakazoweza kufungua vifungo vya adui. Orodha hii ni ukuzaji nguvu katika “fomu ya maandalizi ya kabla ya huduma”.

1. HALI WANAYOPITIA WALIOPATWA NA KIWEWE/KIHORO: Mtotoaliyedhalilishwa

Kukataliwa Mkali Kuumizwa KutelekezwaKifo Talaka Kujamiiana na ndugu

wa karibu Maumivu

Uhalifu wa nguvu Usaliti Kutengwa Woga/hofuMatumizi mabaya ya hisia

Kukosa imani Udhalilishaji wa kijinsia au kubakwa/najisiwa

Uzinzi Matumizi mabaya ya mwili

Upweke Udhalilishaji wa mambo ya kiroho

2. VIFUNGO VYA UKOO NA/AU LAANA: Ndugu kujihusisha kwenye uchawi, laana yatabia, kama imerithiwa, ukoo kutoka kuzaliwa kwa wazazi na wazazi wa kisheriazinahitajika kuvunjwa; vifungo vya dhambi katika ukoo (Angalia # 3 na # 4).

3. UCHAWI/UASI: Madhehebu (Cults)Kumlaani Mungu Kuomba kwa Shetani Imani za Kileo (New

Age)Dini za Uongo

Shughuli za Kimazingaombwe

Vitabu vya kimazingaombwe

Sinema/filamu za Mazingaombwe

Madawa

Imani ya Channeling Miujiza/uchawi Kuelewa hewani Imani ya kuwasiliana na mizimu

Laana Kuwa na mwili wa binadamu

Kubashiri Tarot Cards

Hisia za kabla Uwezo wa kutabiri Unajimu (Utaalamu wa elimu ya nyota

Maneno ya Kunuizia

Nguvu ya kutabiri Mikataba ya damu Dini za Mashetani Uaguzi/upigaji ramli Majinamizi Mizuka Kuita mizimu Uchawi/uloziMiungu ya sanamu Kuabudu sanamu Kafara za damu Hirizi/azama

17

Page 115: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

4. VIFUNGO VYA DHAMBIkutawaliwa na kitu chochote (mfano, kileo/pombe, madawa, kafeini, pipi n.k.)kuzoelea tabia mbaya (Mfano, kutawaliwa na ulevi wa hisia, chakula, ulajiovyo ovyo.T.V., ngono n.k.)

Madawa ya mitaani Dawa zilizoagizwa Kileo/pombe Nikotini Ulafi Kuacha kula kunakoweza

sababisha kifo Bulumia

Vurugu Kulala Kuiba MajivunoKijicho/wivu Husuda Kufuru/kashfu KulaaniKuapa Kufanya umbea/teta Kashifu/singizia KukosoaKutamani Hasira Uchoyo/ubinafsi ChukiKuhukumu Ustadhi wa shughuli Kutawala UchoyoHizi ni ngome chache tu ambazo zinaweza kuwepo hapa.

5. MAENEO YA HISIA/AKILIEneo la kawaida ambalo adui hulitumia kuingia kwenye akili = ukimya/ubaridi naudanganyifu na mashambulizi ya hisiaBaadhi ya maeneo ya hisia:

Upweke Wasiwasi Hatia Usumbufu Kukataliwa Kujikana Kuvunjika moyo Kujihurumia Kukata tama Kujihurumia Kukosa tumaini Hofu (tazama # 9) Maumivu ya hisia Kukata tama Kuumizwa HasiraGadhabu Kihoro/kiwewe Kujiua

Baadhi ya Maeneo ya Kiakili

Kuchanganyikiwa Kukosa utulivu Asiye na maamuzi Ulimwengu wa njozi Wasiwasi KukanushaKuona/kusikia kitu kisichokuwepo

Kujidai Kuepuka Sauti

Phobias Mwenyekuchanganyikiwa

Mwendawazimu Kihoro/kiwewe

Kutoroka Ugonjwa wa wazimu usiotibika

Mtu mmoja kuwa na utu wa watu wawili (Multiple personalities)

Roho za wasiwasi = Wasiwasi wa aina yo yote (mfano, wasiwasi wa kujisumbua, mapenzi makubwa kwa mtu fulani (kuabudu sanamu, n.k.). Roho za ulevi = Tabia ya ulevi (Mfano, kununua kilevi, ulevi wa kuosha mikono, checking, n.k.)

[Hizi ni baadhi tu ya ngome ambazo zinaweza kuwasilishwa katika maeneo haya. Adui anaweza pia kughushi, kuzidisha nguvu, au kusababisha ukandamizaji/uzuiaji wa hisia.

18

Page 116: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

6. UCHAFU/UOVU KWENYE TENDO LA NGONOTamaa Uasherati Uovu KutongozaUpendaji wa starehe Uzinzi Picha za Ngono Ukaidi/upotevuUnyama/ukatili Ubakaji/Unajisi Kukera/kusumbua KubakaKujamiiana na ndugu wa karibu

Usenge/Ubasha Roho ya usagaji Kufanya mapenzi kwenye ndoto

Majinamizi Utoaji wa mimba Ukahaba Aibu ya Mapenzi Laana ya mapenzi Mapenzi ya

Kishetani Matumizi mabaya ya Matambiko

Mashambulizi ya kimapenzi ya mapepo

7. WASIFU (BINAFSI: (Majina ya roho yamekolezwa wino)Laana (Ulizonenewa na mtu/watu: Mfano “Wewe ni Mpumbuvu”)Laana Binafsi (Tunausikiliza uongo wa adui na kujisemea wenyewe: Mfano “Wewe ni Mbaya). Inaweza kuwa mingi. Laana za namna hii hupelekea: Mtu kujilaumu, kukataliwa, kutojithamini, kujiona hufai, kutojitosheleza, kutoweza.Chuki Binafsi husababisha:Kujidhalilisha (Kujikata = Watu wanaojikata wenyewe) Kuhusika pande mbalimbali (Kwa kawaida hujihusisha na matambiko) Utu/heshima yetu inapokuwa imeharibika, adui anaweza kutumia: Majivuno Kujidai Ulimwengu wa Njozi Kujitenga Kuepuka/kukimbia Hofu ya kukataliwa Kihoro/kiwewe Kujiua

8. KUTOKUSAMEHEUdhia/chuki Uhasama Uhasama MaumivuUkanaji/kukataa Uchungu Kurudishia/Ulipizaji

wa kisasi Lipiza kisasi

Chuki Mauaji

9. HOFU/WOGA: Majina mengine: Vitisho, wendawazimu, mashambulizi yenye hofukubwa. Hofu ya………………………….. (Zimetajwa chache tu).

Mungu (hasi) Ukanaji/Kukataa Kutelekeza Siku za baadaye Shetani Giza Nguvu za miujiza KifoMashambulizi Kushindwa/feli Mafanikio Mamlaka Kukosa mwelekeo Kupoteza (mfano

mtu uliyempenda) Wazimu Ugonjwa

Wanaume/wanawake Maumivu Kuumizwa Kujamiiana Kutotambulika Maisha ya

kujamiiana/ngono Urefu/kilele Maji, n.k.

Kunaweza kuwa na hofu ya karibu kila kitu, kinapozidi.

19

Page 117: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

10. VITISHO (MAKOSA) VYA KIMAUMBILE Kitu cho chote kilichorefushwa (kupitiliza muda wake) ambacho hakikubali kwenye uchunguzi wa kawaida wa dawa na matibabu ni cha kutilia shaka. Magonjwa ya kawaida ambayo yamekuwa yakihusiana na mapepo mara kwa mara ni:

Pumu Saratani (Kansa) Mchafuko wa Damu Maumivu PMS Shinikizo la damu

(High Blood Pressure)

Kifafa Magonjwayanayojirudia

Maumivu makali ya tumbo

Uchovu mkali Kuwa na wasiwasi Kupoteza nguvu

Matibabu mabaya (Kwa kawaida huruhusu mapepo mengine kuingia kwenye eneo lile ambalo mengine yametoka)

11. VIZUIZI VYA KIROHO Kumlaani Mungu Kuomba kwa Shetani Maasi/vurugu ShakaKutosadiki Kushuku/mashaka Mang’uniko/

kutoridhishwaMshika sheria

Udanganyifu/ulaghai Ubaridi/ukimya Kiinimacho Kudai/jigambaHasira (Mungu) Utendaji Mtendaji wa jambo

kwa ukamilifu Uchawi

Laana Vipawa vya Uongo hupelekea kwenye huduma za uongo

Kukosa utulivu Kuchanganyikiwakiroho

Kujitoa/kujiweka wakfu kwa “Watakatifu”au “Bikira Maria” au ye yote mwingine zaidi ya Mungu.

12. DHAMBI ZISIZO TUBIWA (KUTOKIRI) Je, una dhambi yo yote usiyoitubia? ……………………………………………….. Hii inaweza kukuingiza kwenye kifungo cha:

Hatia Udanganyifu Majivuno Unafiki/uzandikiKujidai/jigamba Aibu Kulaumu Kujitetea Kulaumu Kujihesabia haki Kushika sheria UtendajiKubishana Mawazo mabaya Maasi/vuruguRoho za kanuni/mafundisho mabaya (hubadili imani yako ili kuiruhusu dhambi)

13. ROHO ZENYE USUMBUFU Roho hizi zinaweza kutumwa ili kuendelea kukusumbua kwa:

Mawazoyanayokera/umiza

Mashaka Hofu/wasiwasi Kulaumu

Baada ya ukombozi, roho hizi zinaweza kujaribu kumwibia mwamini ukombozi wake na kupata nafasi kwa kushambulia katika maeneo dhaifu.

14. KARAMA ZA ROHO Je, Karama zako za kiroho ni zipi?.................................................................................. Je, karama hizi zimejaribiwa sawa sawa na 1Yohana 4:1-3? Mweleze mwamini kwamba wakati wa huduma, atafundishwa namna ya kuzijaribu karama (Angalia ukurasa 33)

20

Page 118: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MUDA WA UPAMBANUZI

1. Fungua kipindi cha upambanuzi kwa maombi. Mwombe Baba wa Mbingunikukupa kipawa halisi ili kuweza kuzitambua ngome. Dai Luka 11:10-13 na1Wakorintho 12:8-10.

Ombi kwa ajili ya karama za Roho Mtakatifu wakati wa huduma:Baba wa Mbinguni, Ninakuomba kwa Roho wako Mtakatifu nionyeshe mimi juu yamtu huyu. Ninaomba kwa ajili ya karama zote za Roho Mtakatifu kama unavyojuaninataka kuhudumu. Nifunulie ukweli kuhusu mwamini huyu, katika jina la BwanaYesu Kristo, Ameni”.

2. Mfunge Shetani na wenyeji wa kuzimu ili wasiathiri muda wa upambanuzi.Mwamuru adui kikimbia katika jina la Bwana Yesu Kristo sawa sawa na Yakobo4:7; Mathayo 4:10.“Shetani, Ninakufunga kutoka kwenye akili na mwili wangu katika Jina la BwanaYesu Kristo. Ninakufunga na mambo yako yaliyoko kuzimu kuanzia muda huu wamafunuo. Ninafunga roho zote za uongo, kuchanganyikiwa, uharibifu (kunawezakuwa na roho nyinginezo maalumu ambazo Bwana atakuongoza kuzifunga).Ninakukataa Shetani na mambo yako ya kuzimu na ninakuamuru kukimbia sawasawa na Neno la Mungu katika Yakobo 4:7)”

3. Chukua ORODHA iliyopo kwenye MUDA WA KUFIKIRI na omba ukimuulizaMungu akuonyeshe ni ngome ipi kwa hakika inayotawaliwa na adui na ipi siyo.

HUU NI WAKATI MGUMU WA HUDUMA

4. Mungu atatia ufahamu ndani yako kupitia kipawa cha kutofautisha (kupambanua)kati ya roho ili kujua zipi ni ngome za adui zinazotawaliwa na roho wabaya; na zipisiyo, utakapokuwa ukiziwasilisha Kwake orodha uliyoiandika wakati wa MUDA WAKUFIKIRI. Roho Mtakatifu atatia ufahamu ndani yako kwamba kuna roho wabayawanaotawala katika eneo husika au la; au Anaweza kukupa jina jingine mbali na lileuliloliandika. Kwa mfano, unaweza kuwa na ‘hasira’ imeandikwa, lakini unasikiakutoka kwa Bwana kwamba jina lake ni ‘gadhabu’. Hii ni karama ya utambuzi kati yaroho zinazotenda kazi katika muda wa mafunuo. Kufuatana na 1Yohana 4:1-3,zijaribu roho zilizo nyuma ya ujumbe kwa kuuliza, “Je, unakiri kwamba Bwana YesuKristo, Mwana wa Mungu, amekuja katika mwili?”Subiri uthibitisho wa maneno kabla ya kuendelea:“Ndiyo, Bwana Yesu Kristo amekuja katika mwili.”Yohana 10:27 inasema, “Kondoo wangu waisikia sauti yangu………”.

5. Mungu anaweza kukupa wewe Neno la maarifa kuhusiana na mtu huyo. Ujaribuujumbe kwa kujaribu roho iliyo nyuma ya ujumbe tena kwa kuuliza: “Je, unakirikwamba Bwana Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, amekuja katika mwili?”Subiri kwa uthibitisho: “Ndiyo, Bwana Yesu Kristo amekuja katika mwili”.

21

Page 119: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

6. Bwana anaweza kukushirikisha neno la Unabii ambalo linaweza kufunua mamboyaliyoko moyoni. Unapolipata neno kutoka kwa Bwana, lipime kwa uangalifu kamaujumbe huo unapaswa kushirikishwa na yule anayefanyiwa huduma au kama ni nenola kukusaidia wewe katika vita. 1Wakorintho 14:25 inaelezea kazi za karama yaunabii, ambayo ni kufunua siri za moyo. “Maneno” yanaweze kutathminiwa nawaamini wengine.1Wakorintho 14:29 inasema,Na manabii wanene wawili au watatu, na wengine wapambanue”.

“MANENO KUTOKA KWA BWANA” NI ENEO LENYE UWEZEKANO MKUBWA WA KUATHIRIWA KATIKA HUDUMA YA UKOMBOZI,

Kumbuka, unaweza kutoa huduma tu katika mwanga ambao Baba wa Mbinguni amekupa. Kama una uhakika wa maeneo machache tu, basi hudumu kwa mamlaka yote katika maeneo hayo.

7. Hamia kwenda kwenye KUWASILISHA ORODHA YA NGOME

= = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = =

Amosi 3:7-8, “Hakika Bwana Mungu hatafanya lo lote bila kuwafunulia watumishi wakemanabii siri yake. …. Bwana Mungu amenena, ni nani awezaye neno ila kutabiri?”.

Mithali 20:18, “Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana, Na kwa shauri la akili fanya vita”

22

Page 120: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

WASILISHA ORODHA YA NGOME

1. Mshirikishe ORODHA mtu anayedumiwa. Waambie kwamba unaamini kwambaMungu amekuonyesha wewe katika upambanuzi/mafunuo maeneo yaliyoainishwakama ngome za adui.Jizuie kusema, “Mungu ameniambia……” au “Mungu amesema….”Badala yake sema, “Katika upambanuzi/mafunuo, tunahisi……..”

2. Ruhusu muda kwa ajili ya maswali na maelezo.3. Muulize mtu anayehudumiwa kama wanakubaliana na ORODHA.4. Kama kuna makubaliano, endele KUMFUNGA SHETANI.

=====================================

Amosi 3:3 “Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja wasipokuwa wamepatana?”

23

Page 121: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MFUNGE SHETANI

1. Mwombe ruhusa mwamini kumfunga shetani.

2. Mfunge Shetani kama mtu mwenye nguvu. Mathayo 18:18, Marko 3:27 inasema,“Hawezi mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu, na kuviteka vitu vyake,asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu, ndipo atakapoiteka nyumba yake”.Hii ndiyo sehemu ngumu sana katika vita. Ongea kwa ujasiri, uwe fasaha namwenye mamlaka.

a. Wakati unamfunga Shetani, mwangalie mwamini moja kwa moja machoni naongea moja kwa moja na Shetani. Haya siyo maombi. Hili na tangazo lavita.

b. Eleza kwamba huongei na wao, lakini unaongea na adui, na kwa hiyo, sikuwadhalilisha.

c. Watahadharishe waamini kwamba kunaweza kujitokeza mambo madogomadogo (kulia, kuogopa, hasira, kudhihaki, kucheka/kicheko, n.k.) aukunaweza kusitokee chochote kabisa.

d. Shetani anafungwa na Mungu kupitia imani na Neno la Mungu na siyovile unajisikia au kuona, Mathayo 12:29.

3. Ongea moja kwa moja na Shetani katika Jina la Bwana Yesu Kristo na chukuamamlaka dhidi yake, Luka 10:19.“Shetani, Katika Jina la Bwana Yesu Kristo, nachukua mamlaka kamili dhidiyako”.

4. Fuatia na, zifunge nguvu za Shetani kutoka kwenye mwili wa mwamini ambayehataonekana yeye mwenyewe kuwa na nguvu kwa namna yo yote. Unaufunguamwili wa mwamini kutoka vifungo vya Shetani katika Jina la Bwana Yesu Kristo.[Angalia maelezo mwishoni mwa sehemu hii juu ya “Kumfunga Shetani”].

5. Fuatia na, Kuufunga mdomo wa shetani kutoka kinywa cha mwamini. Tangazakwamba Shetani hawezi kutumia ulimi wa mwamini kudanganya au kulaani aukumkufuru Mungu. Mwamuru Shetani kuacha kushikilia kinywa cha mwamini nakisha fungua kinywa cha mwamini kutoka umiliki wa Shetani. Mathayo 18:18,“Amini, nawaambieni, yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwambinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwambinguni”.

6. Fuatia na, Kufunga akili za Shetani kutoka ufahamu, ridhaa, na hisia za mwamini.Ufungue ufahamu, ridhaa, na hisia za mwamini kutoka umiliki wa Shetani.

7. Kata mawasiliano yote kati ya Shetani na roho wachafu.

8. Futa amri zote zinazosimama kinyume na mwamini na timu. Futa laana zote ambazozilikuwa zimewekwa kupingana na huduma na timu ya wanakikundi wanaomhudumiamwamini.

9. Mfunge Shetani katika dalili zote zinazoashiria udanganyifu, na viashiria vyakibinadamu ambavyo atajaribu kuvitumia, 2Wakorintho 11:14, 2Yohana 7.

24

Page 122: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

10. Mfunge Shetani kutoka tabia za kujifanya na tamaa za mwamini. Ikilazimu mfungeShetani kama mdanganyaji, mshitaki, nyoka, mjaribu, mharibu, mwongo, muuaji, namwizi. Bwana atakuongoza kumfunga katika maeneo maalumu yatakayojidhirisha.

11. Kwa utulivu subiri katika maombi kufikiri maeneo gani mengine ya kufunga ambayoBaba wa Mbinguni angetaka wewe ufanye. Hakikisha ufungaji ni wa kina naumekamilika. Unaweza kumuuliza mwamini anajisikiaje, lakini kumbuka, usitegemeejuu ya anavyojisikia lakini zaidi juu ya hakika ya Neno la Mungu. Waebrania 6:18inasema, “... ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Munguhawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashikamatumaini yale yawekwayo mbele yetu”

SIKU ZOTE ONGEA KATIKA JINA LA BWANA YESU KRISTO NA/AUKATIKA JINA LA BWANA MUNGU WETU

12. Mpinge Shetani na umwamuru kukimbia kwenda mahali ambako Bwana Yesu Kristoanampeleka sawa sawa na Yakobo 4:7 na Mathayo 4:10. Ongea kwa Jina la BwanaMungu aliye Mkarimu na weka maelezo ya mwisho:

“Shetani, Bwana Mungu wetu anakukemea na kukuamuru ‘kutoweka’. Kimbiasasa hivi na kwenda mahali atakapokutaka Bwana Yesu Kristo uende”.

13. Funga roho zote chafu katika Jina la Bwana Yesu kristo. Amuru kusubiri amri yao yakufunguliwa kwenye shimo la jehanamu katika Jina la Bwana Yesu Kristo, Mathayo18:18, Luka 18:31.

14. Subiri Bwana kwa utulivu ili kuwa na uhakika kwamba ufungaji umekamilika.Mshukuru Bwana wetu Yesu Kristo.

15. Endelea KUVUNJA VIFUNGO NA LAANA ZA UKOO.

25

Page 123: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAELEZO YA KUMFUNGA SHETANI

“Shetani, Ninakuja kinyume chako katika Jina la Bwana Yesu Kristo na kwa nguvu ya Damu Yake aliyoimwaga na ninachukua mamlaka dhidi yako. Ninazifunga nguvu zako (Jim) katika mwili. Hutaonekana kuwa na nguvu katika mwili. Ninaufungua mwili (Jim) kutoka utawala wako. Ninakuamuru kuuachia mwili wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, Ninakufunga ulimi wako kutoka ulimi wa (Jim). Hutaweza kutumia ulimi wake kumkufuru au kumlaani Mungu. Ninaufungua ulimi wake kutoka kwako katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na ninakuamuru kuuachilia ulimi wake katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, Ninakufunga akili zako kutoka akili, ridhaa, na hisia za (Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninazifungua akili/ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim) kutoka utawala na akili zako. Ninakuamuru kuachilia ufahamu, ridhaa na hisia za (Jim)”.

“Ninakata mawasiliano yote kati yako, wewe Shetani na pepo wachafu waliotumwa kwa (Jim) katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Ninafuta maagizo na laana zote ambazo zinasimama kinyume na mwamini huyu na kinyume na timu ya ukombozi katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, ninafunga dalili zote za viashiria vya udanganyifu, udhihirisho wo wote wa kibinadamu utakaojaribu kujitokeza katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakufunga wewe kutoka tabia za kujifanya na tamaa za (Jim)”.

“Ninakufunga wewe kama mdanganyaji, mshitaki, nyoka, mjaribu, mharibu, muongo, muuaji, na mwizi katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

“Shetani, Bwana Mungu weu anakukemea na kukuamuru ‘kuondoka’. Kimbia sasa hivi kwenda mahali Bwana Yesu Kristo alipokuamuru kwenda”.

26

Page 124: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MAJINA YA KIMAANDIKO YALIYOTOLEWA NA MUNGU KWA SHETANI

Shetani kama mdanganyafu, 2Yohana 7, “Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifuna mpinga Kristo”.

Shetani kama mshitaki, Ufunuo 12:10, “Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku”.

Shetani kama nyoka, 2Wakorintho 11:3, “Lakini nachelea, kama yule nyokaalivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikra zenu”.

Shetani kama mjaribu, Mathayo 4:3, “mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate”.

Shetani kama mharibu, Ufunuo 9:11, “Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni (mharibu)”.

Shetani kama baba wa uongo, na muuaji, Yohana 8:44, “Ninyi ni wana wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake, kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa huo”.

Shetani kama mwizi, muuaji, na mharibu, Yohana 10:10, “Mwivi haji ila aibe nakuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima kisha wawe nao tele”.

Shetani kama Mnyama, nyoka wa zamani, Ibilisi na Shetani, Ufunuo 20:1-3, 10 Mst. 10 “Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbnguni, mwenye ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake. Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani,ambaye ni Ibili na Shetani, akamfunga miaka elfu, akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; …...” (Maandiko Matakatifu ya Mungu, The Bible Societies of Kenya & Tanzania, 1997). Mstari wa 10, “Na yule Ibilisi; mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, ……”.

27

Page 125: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KUVUNJA VIFUNGO NA LAANA ZA UKOO

1. Vunja ngome zote za ukoo kuanzia nyuma hadi kizazi cha tatu na cha nne katika Jinala Bwana Yesu Kristo.Kutoka 20:5 Kutoka 34:7 Hesabu 14:18Mambo ya Walawi 26:40, 42 K/Torati 5:9

2. Mwanakikundi wa timu ya ukombozi anayefanya vita vya mashambulizi(Tunamtambua kama mkereketwa) anaongea moja kwa moja na roho chafu za ukookuanzia nyuma hadi kizazi cha tatu na cha nne katika jina la Bwana Yesu Kristo naanazitangazia roho zote za ukoo kufungwa. Jina la kwanza la baba na la mamayanaweza kutumika unapozitaja ‘roho za (Charles)’ na ‘roho za (Nancy)’, nyuma hadikwenye kizazi cha tatu na cha nne, lakini hakikisha unamwambia mwamini kwambasiyo kwamba unaongea juu ya wazazi wao, lakini ni kwamba unaongea na roho zaukoo ambazo zinawakilishwa kwa majina yao.“Roho za (Charles) na roho za (Mary), nyuma hadi kizazi cha tatu na cha nne,ninachukua mamlaka dhidi yenu na kuwafunga katika Jina la Bwana Yesu Kristo.Ninatangaza nguvu zakojuu ya (jina la mwamini) kuvunjika na Ninakuamuru utokekwenye kifungo na kuingia kwenye utii wa Bwana Yesu Kristo”.

3. Kisha, mkereketwa atafunga katika Jina la Bwana Yesu Kristo roho zote chafu zalaana za ukoo na laana nyingine zote ambazo zimemkalia mwamini.Mathayo 5:44; Luka 6;28, Warumi 12:14“Katika jina la Bwana Yesu Kristo, ninafunga roho zote chafu za laana zote za ukoo(unaweza kuzitaja) na laana nyingine zote ambazo zimo ndani ya …. (jina lamwamini)”.

4. Mwamini anatakiwa kuomba na kujinyenyekeza kwa Baba wa Mbinguni katika Jinala Bwana Yesu Kristo na kukiri kwamba amezipa nafasi roho chafu za wahengawake. Anapaswa kuomba msamaha kwa dhambi zake na dhambi za wahenga wakekama walivyosimama kinyume naye, na kisha anatakiwa kukana vifungo vyotekutoka kwenye ukoo wake (Siyo kwamba anawakana mama na baba au sehemu yaukoo wake ambayo ni nzuri). Kisha anadai ukoo (uzao) mpya kwa kutangaza kwambaamekwisha kombolewa kupitia damu ya thamani ya Bwana Yesu Kristo. 1Petro1:18-19 inasema, “Nanyi mfahamu ya kwamba mlikombolewa si kwa vituviharibikavyo, kwa fedha au dhahabu, mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaamlioupokea kwa baba zenu, bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana kondoo asiyena ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo”.

“Baba wa Mbinguni, Najinyenyekeza kwako katika jina la Bwana Yesu Kristo, na ninakiri kwamba nimezipa nafasi roho chafu za wahenga wangu. Ninakuomba unisamehe dhambi zangu na dhambi za wahenga wangu kama walivyosimama kinyume nami. Ninavikataa vifungo vyote kutoka kwenye ukoo wangu na kutangaza ukoo wangu mpya ni kupitia Damu iliyomwagika ya Bwana Yesu Kristo. Ninatangaza kwamba mimi ni mtoto wa Mungu. Ninakuomba unifungue kutoka vifungo vyote kutoka kwenye ukoo wangu vilivyopitishwa kwangu kutoka kwa baba na mama yangu hadi nyuma kizazi cha tatu na cha nne, katika jina la Bwana Yesu Kristo”.

28

Page 126: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

5. Kisha, mwamini arudie baada ya mkereketwa katika maelezo ya vita:“Ninasimama kinyume na roho zote chafu katika ukoo wa baba yangu na mamayangu hadi nyuma kwenye kizazi cha tatu na cha nne na ninavunja vifungo vyote juuyangu katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Nimejinyenyekeza kwa Mungu wangu nanimepata ukoo mpya katika Bwana Yesu Kristo na huwezi kukaa (kusimama).Ninakukemea katika Jina la Bwana Yesu Kristo, na ninakuamuru kuondoka katikaakili na mwili wangu na uende moja kwa moja kwenye shimo la jehanamu sasa hivi,katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninavunja laana zilizotamkwa na zisizotamkwa, naninaamuru roho zote chafu kutokana na laana kwenda moja kwa moja kwenye shimola jehenamu sasa hivi katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

6. Roho na laana za ukoo zina majina maalumu. Kunapokuwa na kifungo kikali kabisakutoka kwenye ukoo na kama Roho Mtakatifu atakavyokuongoza, kunaweza kuwa naumuhimu wa kutaja kila roho chafu, kuikemea na kuiamuru kwenda moja kwa mojakwenye shimo la kuzimu kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Kumbuka, mwamini ndiyeanayeongea dhidi ya roho hizi jinsi anavyofuatilia maelezo yako.

7. Siku zote mshukuru Bwana Yesu Kristo baada ya ushindi kama tendo la imanikwamba limefanyika.

8. Hamia kwenda kwenye KUJINYENYEKEZA – TARATIBU ZA KUPAMBANA NAUPINZANI

29

Page 127: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KUJINYENYEKEZA – TARATIBU ZA KUPAMBANA NA UPINZANI

1. Tengeneza mfumo wa mapambano katika hatua hii ya kwanza, kwa kujisalimisha kwaMungu na kisha kupambana na adui.

2. Mwamini anatakiwa kukiri dhambi katika eneo lililoainishwa na kukiri kwambaametoa nafasi kwa roho ya……………………………. … Anatakiwa kutangazakwamba roho hizo hazitoki kwa Mungu na kwamba hataki ziwe kwenye maisha yake.Anatakiwa kuomba msamaha kwa kuruhusu roho chafu kumtawala katika maeneohayo katika maisha yake. Kisha analikabidhi eneo hilo la maisha yake kwenyemamlaka ya Bwana Yesu Kristo. Kisha anaomba kufunguliwa kutoka kwenyekifungo hicho katika Jina la Bwana Yesu Kristo.* Fuatisha maelekezo yaliyopo kwenye ukurasa wa kujinyenyekeza – taratibu zakupambana na upinzani uliojumuishwa kwenye mwongozo huu ukurasa wa 32.

3. Baada ya kukamilisha kukiri, na mwamini amejikabidhi kikamilifu kwa Bwana YesuKristo katika eneo hilo, sasa mwongoze mwamni katika kukemea na kujikomboakutoka kwenye roho katika maeneo aliyoyakiri.* Fuatisha maelekezo yaliyopo kwenye ukurasa wa kujinyenyekeza – taratibu zakupambana na upinzani uliojumuishwa kwenye mwongozo huu ukurasa wa 32.Hakikisha mwamini anauelewa vizuri mfumo huu, ili aweze kuhusika katikamapambano yenye mpangilio.

KUSUDI LA KUANZISHA MFUMO HUU WA MAPAMBANO NIKUWAFUNDISHA WAAMINI KUPAMBANA.

4. Rudia Fuatisha maelekezo yaliyopo kwenye ukurasa wa kujinyenyekeza – taratibu zakupambana na upinzani katika kila eneo: i.e. eneo la hofu, eneo la vitisho vya hisia,eneo la uchawi, eneo la vitisho vya mwili/maumbile. Mhamasishe mwaminikuendelea kujinyenyekeza na kujisimamia mwenyewe mara tu anapojifunza/kuuelewamfumo.

KILA MPANGO WA VITA UKO CHINI YA USIMAMIZI WA MUNGUKABISA. KWA HIYO, MTAFUTE MUNGU KADRI VITAINAVYOENDELEA

5. Wakati wa mchakato wa mapambano na ukombozi, ni muhimu sana kwambamwamini ajue kweli ya Neno la Mungu ili kuudhihirisha uongo wa adui katikamaeneo ya vifungo. Mwanakikundi katika timu ya ukombozi huwajibikainapolazimu kushirikisha kweli ya Maandiko. Yohana 8:32 inasema, “Tenamtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru”

6. Tengeneza maelezo ya mwisho ya ukombozi. Shujaa (Mpiganaji-worrior) huchukuamsimamo wa mwisho na humwongoza mwamini sasa katika msimamo thabiti wamwisho. Katika Jina la Bwana Mungu Wetu, anakemea mapepo yote ya kuzimu,roho wadogo au wakubwa, roho zenye majina au zisizo na majina, roho zilizo jificha,zinazonyanyasa, kutesa na roho zinazodhuru na kutangaza hukumu juu yao namwisho wa utawla wao ndani ya mwamini na kuwaamuru wote kwenda moja kwamoja kwenye shimo la jehanamu, sasa hivi, katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Kisha

30

Page 128: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

mpiganaji atangaze kwamba roho hizo hazitarudi tena, na kutangaza kwamba milango imefungwa, na anakata njia zote za kumrudia mwamini, 1Samuel 17:45, Mathayo 16:19, Mathayo 18:18. “Katika Jina la Bwana Mungu Wetu, nakemea mapepo yote ya kuzimu, roho wadogo au wakubwa, roho zenye majina au zisizo na majina, roho zilizojificha, zinazonyanyasa, kutesa na roho zinazodhuru. Nitangaza hukumu juu yenu na kumaliza utawla wenu ndani ya maisha ya (Jina la mwamini), na niwaamuru wote kwenda moja kwa moja kwenye shimo la jehanamu sasa hivi, katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Hamtarudi tena na milango yote iliyokuwa wazi imefungwa, katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Ninadai Damu ya Bwana Yesu Kristo juu ya (Jina la mwamini).

7. Shujaa (Mpiganaji) atake/aombe damu ya Bwana Yesu Kristo imtakase mwaminikatika maeneo yote ambayo dhambi na vifungo vimezinga, 1Yohana 1:7, Waebrania9:14, Waefeso 1:7, Wakolosai 1:13-14.

8. Hamia kwenda kwenye KUZIJARIBU ROHO (NDIMI) NA KARAMA NYINGINEZA KIROHO

31

Page 129: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KUJINYENYEKEZA – TARATIBU ZA KUPAMBANA NA UPINZANI

Yakobo 4:7 “Basi mtiini Mungu; Mpingeni Shetani naye atawakimbia”

1. Uwe na uhakika na wokovu wako.

2. Maombi ya Kujisalimisha. “Baba wa Mbinguni, Ninajiachilia kwako ili utawaleufahamu, hisia, ridhaa na mwili wangu. Ninakualika uwe Bwana wa maisha yangu,katika jina la Bwana Yesu Kristo.”

3. Kufunga na Kufungua. “Shetani, ninakufunga. Hutakuwa na uwezo wa kutawalaufahamu, hisia, ridhaa, na mwili wangu tena. Ninajifungua kutoka kwenye kila ngomena vifungo vyote katika Jina la Bwana Yesu Kristo”.

4. Maombi ya Kukiri. “Baba wa Mbinguni, "Ninakuja kwako katika jina la Bwana YesuKristo. Nimezipa nafasi roho za (hasira, n.k.) Roho hizi hazitoki kwako, na hata mimisizitaki katika maisha yangu. Nisamehe kwa ajili ya dhambi yangu na kwa kuruhusuroho hizo ziwemo maishani mwangu. Ninakushi unitakase na kuniweka huru katikajina la Bwana Yesu Kristo”.

5. Tamko: Roho za (hasira, n.k.) ninachukua mamlaka dhidi yenu katika jina la BwanaYesu Kristo. Ninajisalimisha kwa Mungu, na hamwezi kukaa kwangu tena.Hamtanitumia tena katika akili au mwili wangu. Ninarejesha kila eneo ambalonililitoa kwenu katika maisha yangu; Ninajifungua kutoka……………….Ninawaamuru kwenda kwenye shimo la jehanamu, sasa hivi, katika jina la BwanaYesu Kristo”.

6. Uthibitisho/Ushuhuda: Hakikisha kwamba ukiri na tamko lako vimekamilika.

7. Maombi ya Kujiweka Wakfu. “Baba wa Mbinguni, ninakusihi kujaza na kutawalakila eneo la haya yaliyotakaswa katika maisha yangu kwa Roho wako Mtakatifukatika jina la Bwana Yesu Kristo. Ninakushukuru kwa kunifungua katika jina laBwana Yesu Kristo”.

32

Page 130: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

KUZIJARIBU ROHO (NDIMI) NA KARAMA NYINGINE ZA KIROHO

1. Mfundishe mwamini namna ya kuzijaribu karama zake za rohoni na kisha azijaribukarama za rohoni za waamini sawa sawa na 1Yohana 4:1-3, “Wapenzi, msiiaminikila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababumanabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu;kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Nakila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristoambayo mmesikia kwamba yaja na sasa imekuwisha kuwako duniani”.

a. Kipekee, kuijaribu karama ya kunena kwa lugha, mwamini anapaswa kuanzakunena kwa lugha na asiache wakati kujaribiwa kunapoendelea. Roho Mtakatifuanajua namna ya kuongea kila lugha.

b. Mwamini anapoendelea kunena kwa lugha, mwanakikundi wa timu ya ukombozianapaswa kuuliza roho inayonena kwa lugha kujibu kwa Kiswahili (au lugha yakabila ya mtu anayeendesha jaribio). ‘Je, unakiri kwamba Bwana Yesu Kristo,Mwana wa Mungu amekuja katika mwili?”

c. Kama roho inayonena imetoka kwa Mungu, roho inayonena itaitikia katika lughaya mwamini katika namna ya kuthibitisha ambayo inaweza kutofautiana. Baadhiya majibu yanaweza kuwa:“Ndiyo, Bwana Yesu Kristo amekuja katika mwili”1Yohana 4:2“Yesu Kristo ni Bwana”1Wakorintho 12:3

d. Kama roho hiyo haikutoka kwa Mungu, kunaweza kukawa na mwitikio usiomzuri (hasi) au kutokuwa na kukiri kokote, bali itabakia kimya tu. Basi, endeleakwenye kipengele # 4

2. Kwa habari ya karama za rohoni nyingine, siyo lazima kwamba karama hizo zitendekazi wakati wa kujaribiwa. Kwanza, mwamini anaisalimisha karama kwa Baba yakewa Mbinguni katika Jina la Bwana Yesu Kristo. Mwanakikundi wa timu yaukombozi au mwamini aliye na karama ataiuliza roho inayonena: “Je, unakirikwamba Bwana Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, amekuja katika mwili?Kama karama inatoka kwa Mungu, roho hiyo itaitikia kwa maneno na kwa namna yauthibitisho ndani ya mwamini ambaye ataunena ukiri. Ukiri unaweza kutofautianakwa majibu ya kimaandiko:“Ndiyo, Yesu Kristo amekuja katika Mwili”1Yohana 4:2.“Yesu Kristo ni Bwana”1Wakorintho 12:3.

33

Page 131: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

3. Kama roho iliyo nyuma ya kipawa au ujumbe haiitikii kama mara mbili au mara tatu,msubiri Bwana kwa uthibitisho zaidi kwamba unatakiwa kuijaribu tena. Kamamwitiko mbaya (hasi) unasikika au hakuna mwitikio kabisa, huyo roho hakutoka kwaMungu, kwa kuwa Roho wa Mungu hufurahia kuthibitisha kuwa Yesu Kristo niBwana na kwamba alikuja katika mwili.

4. Ikiwa roho hakubali kujaribiwa, mwamini anatakiwa kuikana roho hiyo, ombamsamaha kwa kutoa nafasi hiyo, na amuru roho zilizo nyuma ya kipawa chauongo………….. kwenda moja kwa moja kwenye shimo la jehanamu mara moja,katika jina la Bwana Yesu Kristo.

5. Mwongoze mwamini katika maombi ukimsihi Roho Mtakatifu kutamalaki/kumilikieneo hilo na omba kwa ajili ya kipawa cha kweli (halisi) kama Roho Mtakatifuanavyojalia sawa sawa na kusudi lake, 1Wakorintho 12:11.

6. Hamia kwenda kwenye UJAZO WA ROHO MTAKATIFU.

34

Page 132: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

UJAZO WA ROHO MTAKATIFU

1. Mwongoze mwamini katika maombi ya kujisalimisha na kujiweka wakfu kwa Mungukatika maeneo yote ya maisha yake.

2. Mwongoze mwamini katika maombi ukialika na kudai kwamba Roho Mtakatifuamiliki na kutawala maeneo yote ambayo yalikuwa yakitawaliwa na adui. Tunaaminikwamba ujazo wa Roho Mtakatifu unakuwa mgawo ulio sawa na jinsi au kadriunavyojiachilia. Waefeso 5:18 inasema, “……..mjazwe Roho”.

3. Mhamasishe mwamini kuushikilia uhuru kwa kufanya maamuzi mazuri, kukiridhambi zake zote mara moja, na kutembea kwa kujisamilimisha kila siku kwa BwanaYesu Kristo katika kila eneo la maisha yake, Wagalatia 5:1.

4. Mwelekeze mwamini kuvaa silaha za Mungu kila siku kwa kuidai moja moja katikamaombi na kuambatana na kweli ambayo kila moja inasimama kwa hiyo. Anatakiwakusimama imara katika kweli kwamba, “Basi mwana akiwaweka huru, mtakuwa hurukweli kweli” (Yohana 8:36).

5. Mpe/toa “KADI YAKUJISALIMISHA – MAPAMBANO YA UPINZANI” kwamwamini. Mtake aendeleze mfumo huu wa mapambano kuanzia sasa.

6. Rudi kwa mwamini na ORODHA ya ngome na umtake kuziharibu, ikiwezekana kwakuzichoma. Vikwazo hivi sasa vipo kwenye shimo la jehanamu, Matendo. 19:18-20,Wafilipi 3:13-14.

7. Mjulishe mwamini juu ya MAFUNZO BAADA YA UKOMBOZI.Mwamini atatakiwa kujienga kweli yake kwa Neno la Mungu na kuendeleakudumisha mapambano kwa akili, Warumi 12:2. Mafunzo ya Biblia baada yaukombozi, yenye jina la “Ushindi katika Mapambano ya Kiroho”, ambalolimependekezwa. Pamoja na paketi ya huduma hii ya ukombozi, tumeambatanishakozi ya mafunzo ya Biblia ambayo unaweza kurekebisha.

= = = = = = = = = = = = = = = = = = = = =

Warumi 12:1-2 “Basi, ndugu zangu nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zen, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema ya kumpendeza, na ukamilifu”.

35

Page 133: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

MALEZI YA MWAMINI ALIYEKWISHA KUFUNGULIWA

Kwa kuwa sasa umewekwa huru kutoka kwenye roho wachafu, ni muhimu sana kwamba unaanza kuwajibika kutunza uhuru wako. Hatua zifuatazo zitakusaida katika kuutunza uhuru wako katika Bwana Yesu Kristo.

1. Wewe ni mrithi pamoja na Bwana Yesu Kristo na mshirika wa baraka namarupurupu yote kupitia kazi aliyoifanya Bwana Yesu Kristo. Unahitajikakuwa makini (mwangalifu) juu ya suala la dhambi kwa kukiri haraka (maramoja) pindi fursa inapojitokeza, na umwalike Roho Mtakatifu kuyakaliamaeneo yaliyotakaswa na kuhakikisha umejazwa kikamilifu kwa Roho. Nikazi endelevu ya Shetani kutumia mbinu mbalimbali zinazopotosha ilikuwavuta wana wa Mungu nje ya ushirika na Kristo.

2. Jinyenyekeze/Mtii Bwana Yesu Kristo kila siku, na kumwomba RohoMtakatifu kukujaza. Vaa silaha za Mungu kwa kunena katika maombi kilasiku.

3. Tafuta muda wa kuwa na Bwana Yesu Kristo kila siku katika maombi naNeno lake. Roho Mtakatifu atakufundisha na kukubadilisha akili yako kwaNeno la Mungu. Ni muhimu sana kutenga muda kwa ajili ya kuabudu,maombezi na kutafakari Neno la Mungu.

4. Kabiliana na mazingira na hali yo yote kwa ujasiri. Unapokabiliwa na uongo,majaribu, au mashaka, usikawie kuchukua hatua, bali, ni vema, kuikemea natangaza ukweli mahali penye uongo. Kumbuka kuwa upo vitani maadamubado unaishi katika mwili huu.

5. Tunza (dumisha) busara/hekima na akili iliyo makini wakati wote.Kamwe usiruhusu ukimya ndipo utulie. Tathmini mawazo yako kuona kamayanakubaliana na Neno la Mungu. Fanya maamuzi yenye busara kutaka yaleunayoyaruhusu katika ufahamu na maisha yako. Mwili na akili zako ni mali yaMungu, kwa hiyo dumisha usafi wa akili na mwili ulio safi mbele za Mungu.

6. Jiunge na kanisa la mahali pamoja ambalo linafundisha Neno la Mungu.Mtafute Bwana kujua namna unavyoweza kumtumikia katika kanisa lako.Ushiriki na waamini wengine, kusoma Biblia pamoja, kuomba na kundi lawaamini na kutumika vitakusaidia kuwa imara katika Bwana.

7. Kama umefungua mlango kwa adui kwenye eneo lo lote katika akili, hisia aumwili wako, fuata hatua zilizopo kwenye kadi ya “Kujisalimisha-Upinzani”ambayo ulipewa ulipokuja kwenye ukombozi. Kumbuka kuwaushindi na uhuru wako unadumishwa unapoendelea kutembea katika hali yakujisalimisha/kujinyenyekeza kila siku kwa Bwana Yesu Kristo, ukikubalikwamba utu wako wa kale umesulubiwa, na kudai kwamba kupitia msalabawa Kristo, umesulubiwa kwa ulimwengu na ulimwengu kwako. Ni lazimauchague kuliamini Neno la Mungu kwa imani inayosema, “”Basi Mwanaakiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli”Yohana 8:36.

36

Page 134: FORWARD - lighthouseministryintl.org · A. Tuliumbwa ili tutembee katika mamlaka ya Mungu dhidi ya nguvu za giza hapa duniani, lakini tulipoteza haki hiyo kupitia dhambi ya Adamu

37

Kwa taarifa zaidi au kuandaa miadi ya huduma na/au mikutano na Huduma ya Lighthouse.

TAFADHALI WALISILIANA NASI:

LIGHTHOUSE MINISTRY INTERNATIONAL HOME OFFICE P.O. BOX 120297

St. Paul, MN 55112 USA

Namba za Simu Taarifa, Mikutano, Oda, na

Miadi: 651 483 0888 Fax:Website:

651 483 1888 www.lighthouseministryintl.org

Nakala za Ziada za Mwongozo huu zinaweza kupatikana kwa mchango wa $10.00