ANNUUR 1091

download ANNUUR 1091

of 16

Transcript of ANNUUR 1091

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1091 DHULQADAH 1434, IJUMAA , SEPT. 20-26, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Sheikh Azzanhoi HospitaliniMnazi Mmoja

    Waislamu wahoji mapingu yote ya nin

    Uk. 11

    Matibabu Sheikh Azzanyasubiri Mahakama

    Wakili wa Sheikh Pondaataka shitaka lifutweKesi yashindwa kuanza kusikilizwa

    Waislamu waitupa Tume ya Polisi

    THE Lord's ResistanceArmy (LRA), au kwa upandemwingine ikijulikana kamaLord's Resistance Movement,ni kundi la harakati za kijeshilinaloongozwa na JosephKony, ambalo linapiganiakuona Uganda inatawaliwakwa Amri Kumi za Mungu,kama zilivyotajwa katikaBiblia.

    Taarifa mbalimbali za

    kitati na kisomi zinaonyeshakuwa LRA ilianzishwa ilikukabiliana na Jeshi la UgandaUganda People's DefenceForce (UPDF), wakati huolikiitwa National ResistanceArmy (NRA) kabla ya RaisYoweri Kaguta Museveni,kukamata na kutawala nchi.Wakati huo, NRA/UPDFilishutumiwa kufanya vitendovya mauwaji, ubakaji, kutesawatu, uporaji na kuwatiawatoto wadogo katika vita.

    Ukiacha migogoro yakikabila iliyokuwa imetawalaUganda na kwa muda mrefuikawa haikupatiwa ufumbuzi,kilicholipua mapambano yaLRA ni mgogoro uliokuwandani ya jeshi. Kulikuwa

    Kamanda Mussa

    Victor naye alikuwagaidi wa LRA au Eta?

    Tukihangaika na asidi UngujaTusisahau taarifa ya bomu Arusha

    Pengo asaidiwe kabla hajakwama

    Na Omar Msangi

    na shutuma kuwa jeshlimetawaliwa na watu wKaskazini mwa Uganda.

    K u l i k u w a n a k i tkikijulikana kama NRM/ALuwero Triangle, wakipinghali iliyokuwepo ambapmadaraka yalishikil iwn a watu wa K as kaz intoka Uhuru, huku kijamikionekana kuwa wa-Kusiwanadhulumiwa. Na kwamb

    Inaendelea Uk.

    KAMANDA Mussa.

    SHEIKH Azzan Khalid Hamdan (kushoto). Sheikh Ponda Issa Ponda (kulia).

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    2/16

    2AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Tangazo

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ymaandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014.Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatathadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.Masomo yatakayofundishwa ni:-

    Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basiMathematics na Computer.

    ADA: Ni Tshs 60,000/=(Elfu sitini) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programuFomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada.

    Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato chkwanza.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0714 888 557/0712 974428

    Wabllah tawfq

    Mkuu wa Shule

    Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

    E-mail: [email protected]

    MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014

    (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)

    HIJA ni nguzo yatan o y a U is lam uil iy o farad h ish w akwa waumini kamat u n a v y o j i f u n z akatika katika Quran3:97:

    N a M w e n y e z iM u n g ua m e w a w a j i b i s h i awatu wafanye hijakatika nyumba hiyo( A l - K a a b a ) y u l eawezaye kufunga

    safari kwenda huko.Na atakayekanusha(asiende na hali yakuwa ana uwezo)b a s i M w e n y e z iMungu si muhitajia n a y e w a h i t a j i awalimwengu.

    N d u g uk a t i k a U i s l a m uunayekusudia kufanyaibada ya Hijja mwakahuu, awali ya yotetunakupa hongera

    na kukutakia kila lakheri katika safari hiiya ibada.

    Y a k u p a s aumshukuru MwenyeziMungu kwa kukupaafya na uwezo katikakuiendea nyumbayake tukufu na kongweiliyoko Makkah, ilikutimiza nguzo yatano ya Uislamu.

    H a t a h i v y o ,tunalazimika kutoa

    m a o n i j a p o k w aufupi , i l i kuwezakuweka sawa baadhiya mambo ambayoni sehemu muhimuya maandaliz i yakuiendela ibada hii,ili yasije yakafanyikam a k o s a i w e n ik w a k u s a h a u a ukutofahamu na kutiadoa ibada hii adhimukat ika maisha yaMuislamu.

    Siku hizi baadhi yamahujaji wamekuwawakifanya makosak a d h a a k a t i k akutekeleza matendombalimbali ya ibadahii. Mtume (SAW)k a w a a m u r u w a t u

    wachukue matendo naibada ya Hijja kutokakwake.

    Katika kipindi hiki,mwenye kujiandaak u h i j i s a f a r i h i i

    anatakiwa akumbukekufanye mambo kadhakabla kuingia safarini.

    Kwanza kabisa nini kutia nia kwa Allah(sw) aliyetukuka nakutakasika; kwaniAllah hapokei i lakilichokuwa kwa ajiliyake pekee. Hii nihatua muhimu sanakwa Mahujaji wetuwaratajiwa kuitimizakabla ya kuondoka.

    W a l a

    h a w a k u a m r i s h w ai l a k u m u a b u d uMwenyezi Mungukwa kumtakasia dini,waache dini za upotofu,na wasimamishe salana kutoa zaka, na hiyondiyo dini iliyo sawa(Albayyinah, 5)

    Mwenyezi Mungundiye wa kutakasiwadini bila kushirikishwa(Az-zumar, 3)

    Mwen y e k un uiakuhiji, ajipambe na

    tabia nzuri, ajizuilienan a maneno namatendo machafuna maovu. Ajitahidikuishi na watu kwawema.

    Hujaji anatakiwaalete toba ya kwelikutokana na kila kosaalilofanya, ili aje kwaMola wake akiwa msawa moyo.

    N i s h a r t i l amuhimu sana kwaH u j a j i k u w a c h i a

    Mahujaji wajiandae vyema na Hija

    w a n a o m t e g e m e amatumizi ya lazimah a d i a t a k a porud ikutoka Hija.

    M t u m e ( S A W )a n a s e m a : N ikosa la kumtosham t u k u w a t u p aw a l i o m l a z i m u .

    Ameipokea Bukhari.Ni jambo jema kwaH u j a j i k u c h u k u amahitaji ya kutoshelezakwa ajili ya safari yake,ili abaki katika tabia yakupendeza na kuwahuru wakati wote waibada ya hija.

    Imepokewa kutokak w a I b n u A b b a s( R A ) a m e s e m a :W a t u w a Y e m e nwalikuwa wakihiji nahawachukui mahitajiya safari wakisema: Sisi

    ndio tunaomtegemeaAllah. Wakika Makkahuwaomba watu. Allah(SW) akateremshak a u l i y a k e : N ajichukulieni mahitaji yasafari, kwani mahitajibora ya safari ni ucha-Mungu. AmeipokeaBukhari na Abu Daud.

    Hujaji anahitajikaalipe madeni yake,arudishe alivyoazima

    na amana za watu,na aepukane na kilajukumu lililo juu yake.

    Ni vyema Hujajikabla ya safari yakeakaandika wasia wakena haki zilizomlazimu.M t u m e ( S A W )anasema: Si halali kwa

    mtu Muislamu aliye nakitu cha kuusia kulalasiku mbili ila na wasiawake umeandikwa,uko kichwani kwake.Ameipokea Rabiu,Bukhari na Muslim.

    Kabla ya kusafiri,Hujaji awatake radhiwatu wa nyumbanik w a k e , j a m a azake, jirani zake nawenzake na awaageanapoondoka.

    Aidha anayekwendaH i j a a n a l a z i m i k a

    kujifunza namna yakuhiji na mapema.I f a h a m i k e k u w aibada haiswihi kwaasiyeijua. Ni vyemaanayej ipanga kwaHija, akachukua kitabukilichokusanya mamboyanayohusu ibadaya hija kumwongozavyema.

    Ibada ya Hija nifuraha na raha kubwa.

    Ili kuondoa hofu amashaka kwa Hujaji nakawa na furaha wakawote wa kutekelezibada yake, ni jambbora za i di i wa patafuatana na watwema watakaomsaidikutekeleza ibada z

    hija. Ajitahidi matumizyake yawe ya halayasiyo na shaka.

    Wajuzi wa ibadhii wanapendekezsafar i ikawa s ikya Alhamisi kamtunavyojifunza katikSahihi mbili kutokkwa Kaab bin Mali(RA) amesema: Marchache Mtume (SAWaliingia safarini sikisiyokuwa Alhamisikiwa imempita bas

    ni siku ya Jumatatumaana ndiyo sikaliyohama Mtumkutoka Maka.

    Baadhi ya wanazuonwameshauri kuwHujaji anaposari, baaiage nyumba yakkwa rakaa mbili naombe dua ya safari.

    T u n a w a t a k imaandaliz i memMahujaji wetu.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    3/16

    3AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Habari

    Wakili wa Sheikh Ponda ataka shitaka lifutweMAHAKAMA ya HakimMkazi Mjini Morogoro,i m e t a k i w a k u f u t amahamani hapo shitaka

    la kwanza linalomkabiliKatibu wa Taasisi naJumuiya za KiislamuNchini, Sheikh PondaIssa Ponda, la kudaiwakukiuka masharti yahukumu ya kesi ya Kisutu.

    Wakili wa Sheikh Ponda,Juma Nassor , ameiel ezamahakama hiyo Jumannewiki hii kuwa, kosa hilolilifikishwa Mahakamanihapo kimakosa.

    Hoja hiyo ilisababishamvutano mkali wa kisheria

    baina ya Wakili wa SheikhPonda, na mawakili waSerikali, hali ilimlazimu

    H a k i m u M k a z i w amahakama hiyo, RichardKabate, kuahirisha kesihiyo kwa mara nyinginehadi Oktoba Mosi, mwakahuu.

    H a k i m u K a b a t e ,alilazimika kuahirisha kesihiyo ili kutoa muda kwaMahakama iweze kupitiavifungu vya sheria juu yaombi la wakili wa upandewa utetezi kama shitakahilo lifutwe au liendeleekusikilizwa mahakamanihapo.

    W a k i l i N a s s o r o ,alilieleza Gazeti hili njeya Mahakama, kuwa

    shitaka hilo linalohusianana kukiuka masharti yahukumu ya kesi ya Kisutu,limepelekwa Mahakamaya Morogorogo kimakosa,kwa sababu ni jambolinalopaswa kurudishwakatika Mahakama yaKisutu , J i j in i Dar esSalaam alipohukumiwamtuhumiwa.

    Alisema kwa mujibuwa sheria, Mahakamai l iyomhukumu ndiyoinayoweza ikapitia nakuona kama hukumu yakeimekiukwa au la, badalaya kwenda kufungua kesi

    mahala kwingine.Awal i waki l i JumaNassoro, alisema kwambakesi hiyo ilikuja kwa ajiliya kusilikiza maamuzi yakupatiwa dhamana SheikhPonda, ili kesi ya msingiiweze kusikilizwa.

    Hata hivyo alisema,b aa d a ya M aha k am akukubaliana na pingamizila DPP,la kuzia dhamanaya mteja wake, ndipo alitoaombi kwa Mahakamaya kufutwa shitaka lakwanza, hatua ambayoimesababisha kushindwa

    Na Bakari Mwakangwale kuanza kusikilizwa kesihiyo na kuahirishwa tenakwa mara nyingine, ili hojahiyo ifanyiwe kazi.

    Hakim amekubalianana pingamizi la DPPkuwa Sheikh Ponda,asipewe dhamana na kesiimeahirishwa tena kufuatiaombi letu kwa Mahakama.Alisema Nassor.

    Hata hivyo wakili huyoal idai kuwa HakimuKabate, alitoa maelezokuwa hana mamlakaya kutengua pingamizila DPP, na kwa mujibuwa sharia, pia hatakiwikufafanua ni kwa vipimaslahi ya Taifa na usalamawa Taifa unahatarishwa nakwamba, DPP akisemandiyo kasema.

    Ama kuhusu Tumeiliyoundwa na Jeshi la Polisi

    kuchunguza kupigwarisasi Sheikh Ponda MjiniMorogoro, Wakili hiyoalisema hajapata kusikiakama Tume hiyo imefanyakazi kwa usahihi tanguiteuliwe.

    N i n a c h o e l e w a n ikwamba Tume ya Haki zaBinadamu na Utawala Bora,ndiyo inayoendelea nauchunguzi na imeshafanyamahojiano na baadhi yawananchi mkoni humo nandiyo ambayo Waislamuna wananchi kwa ujumlawanasubiriwa ripoti yake.Alisema wakili Nassor.

    Kwa upande wake Amirwa Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamumkoani Morogoro, SheikhAyoub Myinge, alisemaWaislamu wal i ikataaTume ya Jeshi la Polisi nahawakutoa ushirikianokwa Tume hiyo hivyohawaelewi itakuja na itatoaripoti gani.

    Al i se m a Wa i s l a m uw a l i t o a h o j a k u w awanahitaji kuhojiwa naTume huru na si hiyo yaPolisi, kwa kuwa Waislamundio wanaowatuhumupolisi kumpiga r isasikiongozi wao.

    Wao (Tume ya polisi)w a na l a z i m i sha z a i d ikutoa maelezo ya tukiohilo, Waislamu hatukuwatayari, wametumia njiazao kuokoteza watu nakuwahoji kisha kupatamaelezo wanayojuwawao. Alisema SheikhMyinge.

    Alisema ni jambo ajabuWaislamu wa Morogorokuikubali Tume ya Polisina kutoa ushirikianokwao, kwani wao ndiowaliofungua kesi dhidiSheikh Ponda na Polisi hao

    hao ndio wanaoendeshakesi hiyo inayoendeleakatika Mahakama ya MjiniMorogoro.

    Sheikh Myinge, alisemabaadaye ilifika Tume zaHaki za Binadamu naUtawala Bora, ambayowalikaa na Waislamu nawalitoa ushirikiano kwaTume hiyo kwa asilimiamia moja.

    Alisema Tume hiyoilikaa mjini humo kwas i k u nne w a k i f a ny amahojianao ambapo awaliilika hospitali ya rufaa yaMorogoro na baadae kwaWaislamu na kisha kwa

    Jeshi la Polisi.Amir huyo alisema

    kuwa, yeye alisimamia

    kutoa mwongozo kwaTume hiyo, ili kuruhusumashuhuda (Waislamu)k u t o a m a e l e z o n aushirikiano bila hofu baadayeye kama kiongozi waWaislamu kuridhika.

    Tulitimiza hili baada yakuwasiliana na viongoziwa Kitaifa Jijini Dar esSalaam, pamoja na wakiliwetu na kuj ir idhishakwamba Tume ya Haki zaBinadamu na Utawala Borandiyo inastahili kupewaushirikiano, na miminilitoa muongozo kwaWaislamu. alibainishaSheikh Myinge.

    Kabla ya kusikilizwakesi hiyo, Waislamu kutokasehemu mbalimbali nchini

    walikutana katika Ibada yItiqaf, usiku wa Jumatatkatika Msikiti wa MungMmoja Dini Moja mjinhumo na asubuhi yakwalielekea mahakama ymjini Morogoro.

    Hata hivyo SheikMyinge alisema Waislamwanaishangaa Serikakupitia Jeshi la Poliskutumia gharama nnguvu kubwa kat ikuendeshaji wa kesi hiykuliko uhalisia wa jamblenyewe.

    S h e i k h P o n damerudishwa mahabusS e g e r e a b a a d a ymahakama kumnyimdhamana. K e simeahirishwa hadi Oktob1, 2013.

    Matibabu Sheikh Azzan yasubiri MahakamKUFUATIA urasimu wakupatikana kibali chase r i k a l i k u m r u h u suN a i b u A m i r w aJumuia ya Uamsho naMihadhara ya Kiislamu(JUMIKI),Sheikh AzzanKhalid Hamdam, kwendakutibiwa nje ya nchi,huku hali yake ya afyaikiendelea kudhoofuhospitalini Mnazi MmojaZanzibar, sasa juhudi zazimeelekezwa mahakama

    kuu ya Zanzibar kunusuruhali.Taarifa zilizopatikana

    jana zimeelez a kwambatayari wakili wa SheikhA z z a n , B w . S a l u mTawq, jana amewasilishaM a h a k a m a K u u y aZanzibar barua ya kuitakamahakama hiyo kumpatiaruhusa Sheikh Azzan,kwenda kutibiwa nje yanchi kufuatia maradhi yakekukosa matibabu visiwanihumo huku hali yakeikiendelea kudhoofu zaidikadiri siku zinavyokwenda.

    Akizungumza na An-nuur jana, mmoja waviongozi wa Jumuia hiyo,

    Sheikh Saidi Amour ,alisema ripoti ya madaktarii n a y o e l e z e a j u u y amaradhi ya Sheikh Azzan,wameipata Jumatano wikihii baada ya kutolewa

    Jumatatu iliyopita.Ripoti ya madaktari

    tulikuwa tukiisubiri kwamuda, imetolewa Jumatatuwiki hii na wakili aliipataripoti hiyo Jumatano. Tayariwakili ameshaandika baruaya kuomba dhamana nakuiwasilisha MahakamaKuu, ili kumruhusu SheikhAzzan kutibiwa nje kwakuwa utaratibu wa serikaliunazidi kuchelewesha

    Na Shaban Rajab matibabu yake na haliya Sheikh ikiendeleakudhoofu, alisema SheikhAmour.

    Hali ya afya SheikhAzza imeendela kudhoofuhuku akiendela kukosamatibabu sahihi kufuatiamadaktari kuibaibnishakwamba maradhi yakeyanastahili matibabu njeya nchi.

    Tayari serikali kupitiaWizara ya Afya Zanzibarimeshabainisha kwambaSheikh Azzan hawezikutibiwa hapa nchini

    na kwamba anatakiwakupatiwa matibabu nje yanchi.

    Hata hivyo serikaliimeshindwa kumsarishaSheikh Azzan haraka nje yanchi kwa ajili ya matibabuhayokwa kile kilichodaiwakuwa kuwepo idadi kuibwaya wagonjwa wanaotakiwakusarishwa kutibiwa njeya nchi kwa utaratibu wakiserikali.

    Iliibuka hoja ya kutakiwamatibabu ya dharura kwaSheikh Azzan kulinganana hali yake ya maradhi,lakini hakuna hatua zadharura zilizoonekanakuchukuliwa hadi sasa.

    Sheikh Azzan amelazwakatika hospitali ya rufaaM na z i M m o j a ta ng uSeptamba mwaka huu

    ba a d a ya k up o te z anguvu akiwa mahaburu.Baadae ilibainika kuwaanasumbuliwa na maradhiya figo, lakini madaktariwakabaini kuwa maradhihayo hayawezi kutibiwaho spo ta l i n i ha po nak w a m b a a n a t a k i w aakatibiwe nje ya nchi.

    Hata hivyo kumekuwepona ucheleweshaj i wakibali cjha matibabu hayoserikalini, hali inayolazimuSheikh kuendelea kuugulia

    hospitalini hapo.K u t o k a n a n

    u c h e l e w e s h a j i h u oSeptemba 8 mwaka huu

    Jumui a ya UAMSHiliiandikia serikali kupitWaziri wa Nchi Ofisi yRais na Vikosi vya SMZik i i la lamik ia ser ikakuchelewesha matibabya sheikh huyo.

    Katika barua hiyoUAMSHO ilidai kuwucheleweshaj i huo nmatayarisho ya mauaya makusudi kwa Sheik

    Azzan Hamdani.Aidha sehemu ya baruhi y o a m ba y o na k a lyake tunayo, i l ielezkatika siku arobaini zmwanzo za kuwekwmahabusu Sheikh Azzana wenzake, waliwekwkatika mahabusu maalumkila mmoja akifungiwkatika chumba chake kwmuda wa saa ishirini nnne, kwa siku arobain

    bila kupata mwanga wjua na kusababisha wenwao kupoteza nuru zmacho, baadhi yao kupaugonjwa wa kutosikiharufu na wengine uziwi

    I l ie leza barua hiykwamba siku ya Agos31,2013 Sheikh Azzaalizimia usiku na kupatnafuu siku ya Jumapisaa moja asubuhi, ambapmajira ya saa 2:00 asubuhalipelekwa kwa machehospotali ya rufaa MnaMmoja ambako aliendelekuzimia na kupata fahamu

    Ilieleza taarifa hiykuwa baada ya madaktak u m f a n y i a v i p i mwalibaini kuwa maradhyake hayawezi kutibiwhospitalini hapo.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    4/16

    4AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Makala

    Victor naye alikuwa gaidi wa LRA au Eta?Inatoka Uk. 1

    dhulma hiyo iliwezekanakwa sababu jeshi lilikuwalimeshikiliwa na watu waKaskanzini. Hoja na madaiyakawa, lazima hali hiyoikomeshwe.

    Walichofanya NRM/A,ni kuvunja yaliyokuwamakubaliano ya Nairobi(Nairobi Agreement),kitukilichosababisha uhalifumkubwa kufanyika dhidi ya

    watu wa Acholi. Hii ilikuwani pamoja na ubakaji, liwati,uporaji, kuharibu vyakula namambo kama hayo. Na hayayalifanyika huku baadhi yamaasa wa jeshi waliokuwawa-Acholi wakishuhudia,jambo lililowafanya kujiungana uasi, na hivyo kuishia kwaLRA. Hiyo ilikuwa mwaka1986.

    Ilikuwa ni katika mazingirahaya, kundi la waasi waLRA lilizaliwa likiwa namalengo ya kukabiliana nawalichodai kuwa ni uovuuliokuwa ukifanywa na NRAna hatimaye kuweka serikaliitakayokuwa ikiongozwana Amri Kumi za Mungupamoja na mila za ki-Acholi.Itikadi inayoongoza kundi

    hil i imetajwa kuwa nimchanganyiko wa MsimamoMkali wa Kikristo (Christianfundamentalism) na imani/tamaduni za Kiafrika (hasaAcholi) . Kiongozi wakeJo se ph Ko ny , an aj ie le zakama mtume na msemajiwa Mungu al iyetumwakumwangamiza Musevenina jeshi lake.

    Mtu huyu Joseph Kony,anayejitaja kama msemaji waMungu na anayetaka Ugandaitawaliwe kwa Amri Kumi zaMungu, japo awali alisemakuwa kaja kuwanusuruwatu wanaouliwa, kuteswa,kubakwa na kuporwa malina jeshi la NRA, lakinimwenyewe amefanya ukatiliwa kutisha ikiwa ni pamojana kuuwa watu, ubakaji,kuwakata viungo, kuporana kuwatia watoto wadogokatika vita. Ni kutokana nahaya yote, kundi la LRA,likatangazwa kuwa ni kundila kigaidi.

    Ji rani na Uganda kunanchi inaitwa Somalia. Hii ninchi ambayo kwa takribanmiaka 20 sasa imekuwahaipo katika amani tokaalipopinduliwa aliyekuwaRais wa nchi hiyo Siad Bare.Baada ya juhudi za kikandana kimataifa kushindwakutatua mgogoro wa nchihiyo, kupitia juhudi zaWasomali wenyewe, mwaka2006 nchi ilipata amani,ikawa na serikali iliyowezakuwadhibiti wababe wakivita na wananchi wakaanza

    kuishi maisha ya kawaidakabisa. Hata hivyo, amanihiyo haikukaa muda mrefu.Nchi ikavamiwa, serikaliiliyokuwepo ikangolewam a d a r a k a n i , h a l i y am ach af u ko , m ap igan ona mauwaji ikarudi nakuendelea mpaka leo.

    Ni katika mazingira hayo,waliibuka vijana wa al Shabab,kupambana na wavamizi nabaada ya mvamizi wa awalikuondoka (Ethiopia), nasasa kupambana na majeshikutoka nje, yanayodaiwakulinda amani.

    Hiyo ni mifano miwili yamakundi ya upinzani yakupigania maslahi fulani nakupinga uvamizi/serikali,

    katika Afrika.Ukija Ulaya kuna ETA. ETA

    ambayo ni kirefu cha manenoya Kihispania, EuskadiTa Askatasuna ("BasqueHomeland and Freedom"),ni kundi la waasi katika nchiya Hispania lililoanzishwa

    mwaka 1959 likipiganiakujitenga na kuwa nchihuru majimbo saba yaliyoKaskazini mwa Hispaniana Kusini Magharibi waUfaransa. Katika kuendeshaharaka hizo, Euskadi TaAzkatasuna, Eta, ilianzakama harakati za wanafunziwakipinga utawala waudikiteta wa kijeshi wagenerali Franco. Chini yaudikiteta wa Franco, lugha yawatu wa majimbo hayo saba(Basque), ilipigwa marufuku,utamaduni wao ukapigwavita kama kitu kisichotakiwakuonekana, imani za asilizikazuiwa na wasomi waoambao walionekana kuwawataongoza mapambano yakupigania haki za wazalendo

    w a B a s q u e w a k a w awanakamatwa, kuteswa nahata kuuliwa.

    Baada ya kufariki dikitetaFranco mwaka 1975, zilikujasiasa za demokrasia ambazozilisaidia watu wa Basquekupata madaraka ya ndani(home rule).Ukiacha ukwelikuwa bado nchi ya Basque,inadhibit iwa na Spain,lakini ina Bunge lake, Idarayake ya Polisi, inadhibitimasuala yote ya elimu nakodi. Hata hivyo, bado ETAwanapambana kuhakikishakuwa wanapata Uhuru Kamilina Madaraka Kamili. Ila tukwa sasa wamepunguza sanavitendo vya kutumia nguvuna silaha katika kupiganiamadai yao. Wanakwendazaidi kisiasa, mazungumo nakidiplomasia. Lakini ukirejeahistoria ya ETA, imefanyavitendo vya mauwaji naugaidi wa kutosha mpakakikastahiki kuitwa kuwa nikikundi cha kigaidi.

    Wakati NRA, imebakiakuwa ni tatizo la Uganda,na ETA, tatizo la Hispania,mabeberu wenye agendazao Somalia , wanatakakutuaminisha kuwa alShabab ni tatizo la Tanzania,Uganda, Kenya na dunia,kama walivyofanya kwaal Qaida yao. Kwa bahatimbaya, kumekuwa na vipasasauti ambavyo vikitiwa tubetri, huimba wimbo waugaidi wa al Shabab AfrikaMashariki.

    Wiki iliyopita kulifanyika

    uhalifu mwingine tenawa kumwagiwa tindi kali.Aliyemwagiwa na kuumiavibaya usoni na kifuani, niPadri wa Kanisa KatolikiParokia ya Cheju, Zanzibar,J o s e p h M wa n g a m b a .Tumefahamishwa kuwa hivisasa polisi wanafanya msakona uchunguzi ili kuwabainiwaliohusika na uhalifu huona tunaambiwa kuwa watuwapatao 15 wamekamatwawakiwemo waliodaiwakukutwa na tindikali.

    K a t i k a t a a r i f a y a k ekwa vyombo vya habari,Kamishna wa Polisi Zanzibar,alisema kuwa miongonimwa watu waliokamatwani vijana wanaojihusisha

    na imani kali za kidini nasiasa zenye mwelekeo wakikundi cha Al Shaabab chaSomalia. Alisema baadhiya vijana hao walikamatwa

    wakitaka kwenda kujiungana Al Shaabab na walikirik u w a w a n a k w e n d akupigana vita vya Jihad.Kwa mujibu w ataarifaza magazeti, KamishnaMussa alipoulizwa baada yamkutano na waandishi wahabari kuhusiana na mahaliambako vijana hao walikuwawanaelekea kupigana vitaya Jihad, hakueleza zaidi yakusema wanawahoji zaidikwa kuwa wana wasiwasikuwa wanajihusisha nakikundi cha Al-Shaabab.

    Maelezo kama haya yaKamanda Musa, si mara yakwanza kusikika kutokaIdara ya Polisi. Mara kadhaam a k a m a n d a w e t u w aPolisi, wamekuwa wakiletangonjera na porojo za alShabab na Boko Haram,wakilenga mambo mawili.Kwanza kutaka wananchiwaamini kuwa al Shabab nikikundi hatari cha kigaidiambacho kinafanya ugaidib i la m i p ak a . K wam bak u t o k e a M o g a d i s h u ,k i m e s a m b a a N a i r o b i ,Kampala na Dar es Salaamkufanya mashambulizi yakigaidi. Pili, kuwaaminishakuwa magaidi hao waponchini, na wana kambi zaoza kutoa mafunzo ya kigaidikwa vijana (wa Kiislamu naMasheikh zao.)

    ETA, japo imefanya sanavitendo vya kigaidi, Ulaya,lakini inajulikana kuwawalifanya hivyo kupiganiak i l e w a n a c h o k i t e t e a .

    Hutasikia ikisemwa kuwaETA inapanga mipangoya kulipua New York,Washington au Zanzibar.LRA nayo ni hivyo hivyo.

    Kule Arusha lililipuliwabomu kanisani, watu wakafana wengine kujeruhiwavibaya. Tukaambiwa kuwam lip u a bo m u a l iku waam eku s u dia ku m u u waMwakilishi wa Papa nchini.Katika maelezo ya awaliikadaiwa kuwa lile lilikuwani shambulio la kigaidi. Hatahivyo baada ya kukamatwamtuhumiwa Victor, hatujuimpaka leo zile tuhumaza ugaidi zimeishia wapi,maana hata mashitaka yaawali mahakamani yalitaja

    tu tuhuma za mauwaji.Hapakuwa na shitaka lau g a i d i n a m p a k a l e ohaijulikani uchunguzi wapolisi umeishia wapi.

    Labda Kamanda Mussaatusaidie, yule mtuhumiwawa Arusha naye alikuwaakijishughulisha na vitendovya kundi gani la siasa kaliza kidini? LRA au ETA?

    Kama kuna nia njema,mimi nasema kuwa iwapoule uchunguzi wa bomula Arusha ungefanyikak i t a a l a m u , u k w e l iukafahamika kuwa nini hasakilitokea, nani wahusikana nini agenda zao, walatusingepata tabu na hayaya tindikali au madai yakuchomwa moto makanisaZanzibar.

    Ila ukisikiliza kauli yaKamanda Musa, ukirejeayale ya Uamsho na kauli zahuko nyuma za wanasiasawetu na makamanda wetuwa polisi, jambo lililowazi nikuwa kumekuwa na kampenikubwa sana ya kusimika

    kitisho cha ugaidi katika nchihii. Na magaidi wenyewe,lazima wawe wa ki-al Shabab.

    Alipopigwa risasi na kufaPadiri kule Zanzibar, ilikuwadhahiri kuwa kulikuwa nawatu waliodhani kuwa huoungeweza kuwa mlango wakuingilia kutimiza lengo hilo.Kwa bahati mbaya baadhi yavyombo vya habari vilihusikasana pamoja na baadhi yamakanisa ambayo hata hivyokwa kujua ufadhili waounapotoka, haikushangazasana. Baadhi ya wachungajiwakatoa wito wa kulipizakisasi na kusambaza taarifaza uwongo juu ya kuchomwamakanisa. Hata hivyo,ba ad hi ya Ma as ko fu waKanisa Katoliki, walionyeshau ko m av u , u m akin i n auzalendo wa hali ya juusana kwa kutoa wito kwawaumini wao waachane namawazo potofu ya kulipakisasi. Muadhama PolycarpKadinali Pengo, akiwakiongozi wa ngazi ya juukabisa nchini kwa KanisaKatoliki, alitimiza wajibuwake wa kiroho, kidinina kijamii kwa kuhimizauvumilivu na kujizuiya namawazo ya kulipa kisasi.Kwa hakika Watanzaniawan atakiwa ku o n a n akuthamini kazi kubwailiyofanywa na kiongozihuyo.

    Hata hivyo la kuzingatiani kuwa kama kuna watuwamedhamiria kusimikakitisho na kiwe cha kweli,

    kwa mtindo huu wa matukiokama lile la Arusha ambapopolisi na wanasiasa wanatoakauli kali, lakini mwisho wayote haielezwi kesi imeishiawapi, hali kama hiyo inatoafursa kwa matukio kamahayo kufanyika tena natena hadi lengo la wabayalitakapotia.

    Katika tukio la kuuliwaPadiri Zanzibar, Maaskofuwa Kikatoliki walifanikiwakuwatuliza waumini wao.Lakini kwa mtindo huu wapropaganda za ki-al Shababna mwisho wa kesi za akinaVictor kutokujulikana,wasiwasi ni kuwa itafikamahali viongozi wa diniwatashindwa kuwazuiya

    waumini wao kujizuiykulipiza kisasi.

    H e b u f i k i r i a k a t i kmazingira haya ya KamandM u s a k u p i g i a d e bpropaganda za al Shabana madai ya baadhi ywachungaji kuwa hivi ni vidhidi ya Wakristo, hivi mtumbaya akitokea na kulipukanisa ambapo anahakikishkuwa anauwa watoto nmakumi kadhaa ya watwasio na hatia, kuna Askofataweza kuwazuiya waumwake wasilipe kisasi?

    Jumapili iliyopita, ilikuwsiku ya huzuni kubwa kwwakazi wa miji ya HillaIskandariyah, Karbala nKut. Watu zaidi ya 58, wasna hatia, waliuliwa katikkile kinachodaiwa kuwa nmwendelezo wa chuki nmachafuko ya kiitikadi, bainya Wasuni na Washia wIraq. Umwagaji huo mkubwdamu ulisababishwa nmfululizo wa mabomyaliyolipuliwa katika mhiyo kwa nyakati tofauthuku yakiacha mamia ymajeruhi.

    Watafiti na wachambuwa mambo wanakubaliankuwa kabla ya uvamizi w

    Marekani mwaka 200Iraq haikuwa na mauwaya namna hii. Lakini pupo ushahidi wa kutoshukiwemo wa wavamiw e n y e w e k w a m bugaidi huo ulifanywku p an dikizwa. N am nyake ilikuwa kuwa msikiwa Mashia unalipuliwinasingizia kuwa ni Sunnwamefanya hivyo. Keshunalipua wa Sunni unasemni Shia. Kwa mtindo huuna uhakika kuwa baadya m u da wataen de lekuuwana wenyewe kwwenyewe katika mtindw a k u l i p i z a n a k i s a sHayo ndiyo yanayotokeIraq hivi sasa. Lakini kunwasiwasi pia kuwa men

    ya mashambuzi hayo kwsasa, hufanywa na wawale walioyaanzisha maya kwanza ili kudumishkitisho cha ugaidi na kufanynchi hiyo, isitulie.

    K a m a w a p o w a twanaoshabikia propagandz a k u o n a W a i s l a mwanatangazwa kuwa nmagaidi, kwanza wafahamkuwa ili kitisho cha kwekitimie, lazima kwanzufanyike ugaidi wa kwePatalipuliwa mahali nwatakaokufa ni Watanzaniwakiwemo Waislamu nWakristo. Pili, ili kitishk i d u m u , m i l i p u k o nmatukio kama hayo ykigaidi hayatakoma kamambavyo tunasikia hivsasa yakiendelea PakistaAfghanistan, Yemen nsasa Kenya. Tutadumnayo mwishowe tutaletewDrone.

    Je, kwa propaganda hiza al Shabab, hayo ndiytunayotamani yatufikeKamanda Musa, hapo ndiptunapokusudia kuifikishTanzania?

    La kuzingatia hapa nkuwa tunapokubali kuwwashenga wa propagandza kusimika ugaidi Tanzanitufahamu kuwa madharyatakuwa juu yetu sisi sote

    Sasa tuna uhuru wkuchagua: kuitosa nchi yetilipo Yemen na Pakistan atuinusuru.

    Kamanda Musa

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    5/16

    5AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Habari za Kimataifa

    Waziri Mkuu serikali ya Mpito Syria achaguliwaWaasi wasalimisha silaha jeshi la Syria

    WAKATI waasi wakiendeleakushindwa na majeshi yaserikali ya Syria katikamedani za kisiasa na kijeshi,kundi linalojiita Muunganowa Kitaifa wa Wapinzaniwaishio nje ya Syria ,limemchagua Bw. AhmadTwa'amah Alkhadhar, kuwaWaziri Mkuu wa muda waserikali iliyotajwa kuwa niya mpito nchini Syria.Bw. Alkhadhar alichaguliwana wapinzani wa serikaliya Damascus wanaoungwamkono na serikali za Saudia naUturuki Jumamosi iliyopita,katika kikao kilichofanyikamjini Istambul, Uturuki.

    Twaamah ni mgombeawa kwanza kuwania nafasihiyo, akimrithi GhassanHito, aliyejiuzulu wadhifahuo mwezi Julai, kufuatiakushindwa kuunda serikalikutokana na kupingwa naSaudi Arabia.

    Muungano wa Kitaifa wawapinzani waishio nje yaya Syria ulimchagua Hito,mfanyabiashara mweyeuraia wa Syria aishiye nchiniMarekani Machi 18 mwakahuu, kuwa Waziri Mkuuwake na kumpa jukumu lakuunda serikali ya mpito yaSyria.

    H a t a h i v y o s e r i k a l ihiyo bandia, ilikabiliwa naupinzani mkubwa kutokakwa wajumbe wa muunganohuo wa wapinzani, akiwemoM k u u w a z a m a n i w amuungano huo Ahmad Moazal Khatib, hali kadhalikaSaudi Arabia.

    Kushindwa kwa Bw. Hitokuunda serikali hiyo yamuda, kuliuweka mwelekeowa wapinzani wa serikali yaDamascus chini ya maswalimengi mbele ya madolayanayowaongoza wapinzanihao.

    Hii ni kwa sababu katikakipindi cha karibu miakamitatu ya mgogoro wa Syria,kundi hilo siku zote limekuwalikishuhudia mgawanyiko

    kati ya wajumbe wakesambamba na kufanyiwamabadiliko mara kwa mara.

    Suala hilo linaashiriakuwepo mtafaruku baina yawajumbe wa muungano huo,hivyo kuzidi kudidimizamalengo ya wanaowaungamkono ambao ni baadhiya nchi za Kiarabu naKimagharibi.

    B w . G h a s s a n H i t oalijiuzulu wadhifa wake sikumbili baada ya kuchaguliwaAhmad Assi Jarba, ambayeni mtu wa karibu sana naSaudia. Kabla ya hapo nabaada ya kujiuzulu Moaz alKhatib, Mkuu wa zamani wamungano huo George Sabra,alipewa kazi ya kuwaongozawaasi hao.

    Hata hivyo kutokanana tofauti nyingi za ndani,George Sabra naye hakuwezakufanikisha matakwa yawajumbe wa genge hilo.Kwa muda mrefu sasawaasi wa Syria waishionje ya nchi wameshindwakutatua ugomvi wao mudamrefu, hivyo kushindwakabisa kuvutia ushawishi wawananchi.

    Aidha wapinzani haow a m e s h i n d w a k u t e u amwakilishi atakayeongozatimu yao ya mazungumzokatika kikao cha Geneva 2.

    Vinara wa chuki dhidi yaserikali ya Damascus, hususanMarekani, imekwishauonya

    Muungano huo wa Kitaifawa Wapinzani kuwa ikiwahautaweza kumchagua mtuwa kuongoza timu yao katikamazungumzo ya kikao chaGeneva 2, basi utakatiwamisaada.

    Ripoti zinasema kuwa,baada ya Ahmad Twa'amahAlkhadhar kuchaguliwakuwa Waziri Mkuu wakundi hilo Jumamosi usiku,hakugusiakabisa mizozo

    iliyopo baina ya wanachamawa kundi hilo wala na mauajiya raia yanayofanywa namakundi ya kigaidi nchiniSyria, badala yake alidai kuwawapinzani wanakusudiakuanzisha Jamhuri mpyanchini Syria, ambayo ndaniyake haitakanyagwa haki yamtu yeyote yule.

    Wachunguzi wa mamboya siasa za Syria wamesemakuwa, mabadiliko ya kila sikukatika uongozi wa waasi hao

    yanasababishwa na mivutanomikubwa iliyopo baina yawajumbe wa muungano huo,licha ya genge hilo kuungwamkono na nchi mbalimbaliduniani zikiwemo za Kiarabuna za Magharibi.

    Wakati hali ikiwa hivyo,kwa upande mwingineserikali ya Syria imeendeleakutotetereka katika kampeniyake ya kuyasasha makundiya kigaidi na kusambaratisha

    njama za maadui wa taifa hilola Kiarabu.

    Wakati hali ikiwa hivyo,makumi ya waasi wenyesilaha katikati mwa Syriawameendelea kujisalimishakwa jeshi la nchi hiyo pamojana silaha zao.

    Wakazi wa eneo Shansharna katika viunga vya eneohilo katika mkoa wa katikatiwa Homs, wamejisalimishakwa vikosi vya jeshi la Syriabaada ya kukabidhi silahazao na kuahidi kutobeba tena

    silaha na kwamba, watarejeakatika maisha ya kiraia.Katika upande mwingine,

    vikosi vya jeshi la Syriavimegundua na kukamataidadi kubwa ya silaha na zanaza kivita katika oparesheniwaliyoifanya kwa ajili yakurejesha amani katikamoja ya mashamba ya eneola Tadmur mkoani Homs,ambayo magaidi walikuwawakiyatumia kama machoyao. (irib.ir)

    RAIS Bashar al - Assad wa Syria

    Sudan

    yaitaka

    Marekani

    iachekuituhumu

    kwa ugaidiKHARTOUMSerikali ya Sudan imeitakMarekani kuiondoa nchhiyo katika orodha ynchi zinazotuhumiwkuunga mkono ugaidi.

    H a y o y a m e s e m wna Naibu Waziri w

    Mambo ya Nje ya SudanRahmatullah MuhammaOthman, alipokutana nDonald Booth, mwakilism p y a w a M a r e k a nkatika masuala ya Sudana Sudan Kusini mjinKhartoum.

    Rahmatullah amesisitizkuwa, Marekani inapaswkuliondoa jina la nchi hiykatika orodha ya nchzinazotuhumiwa na nchhiyo ya Magharibi kuungmkono ugaidi, kwani hadsasa hakuna ushahidwowote unaoihusishKhartoum na vitendo vykigaidi.

    Amesema kuwa, serikaya Khartoum inatarajikuwa mjumbe huyo mpywa Marekani nchini humataweza kufanya shughuzake kwa mujibu wa sherza kimataifa.

    Marekani ililiweka jinla Sudan katika orodhya nchi zinazotuhumiwkuunga mkono ugaidmwaka 1993.

    Meli za kivita za Iran zinasheheni 'drones'TEHRANMeli zote za kivita zaJeshi la Wanamaji laIran sasa zinashehenindege zisizo na rubaniau drone zenye uwezowa kuruka masafa marefubaharini.

    Hayo yamedokezwana kamanda wa Jeshi laWanamaji la Iran, AdmeliH a bi bo l l a h S a y y a r i ,ambaye ameongeza kuwakatika miezi michache ijayoIran itazindua nyambizimpya ijulikanayo kamaFateh (mshindi).

    H a d i s a s a I r a n

    imezindua nyambizikadhaa za kisasa kabisazilizoundwa nchini hapohuku ikikarabati kikamilifuzile zilizonunuliwa kutokanje ya nchi.

    A d m e l i S a y y a r iamenukuliwa akisemakuwa hivi sasa Jamhuriya Ki is lamu ya I raninakaribia kujitoshelezakikamilifu katika uundajina ukarabati wa nyambiziza kisasa zaidi duniani.

    Katika miaka ya hivikaribuni, Iran imepigahatua kubwa kat ikakujitosheleza kwenye

    sekta ya ulinzi na usalamakwa kujitengenezea zanaza kivita kama vile ndege,vifaru, manoari, nyambizina rada.

    Iran imesisitiza kuwauwezo wake mkubwa wakijeshi si tishio kwa nchiyoyote, kwani sera yake yaulinzi imejengeka katikamsingi wa kujihami.

    Katika hatua nyingine,Mkuu wa Shir ika laNishati ya Atomiki laIran, Dk. Ali Akbar Salehi,amesema kuwa serikaliya Urusi itakabidhi kituocha nyuklia ya Bushehr,

    kilichopo Kusini mwa Iranikapo tarehe 24 ya mwezihuu.

    A l i A k b a r S a l e h iameongeza kuwa, zoezila kujaribiwa na hatimayekukabidhiwa kituo hichokwa wataalamu wa Iranilitachukua muda wa siku14.

    Am e o ng e z a k u w a ,p a m o j a n a k w a m b awataalamu wa Iraniwatakabidhiwa rasmik i t u o h i c h o , l a k i n iwataalamu wa Urusiwataendelea kuwepo hadikitakapomalizika kipindi

    cha dhamana.Ijumaa iliyopita RaHassan Rohani wa Iranalikutana na kufanymazungumzo na RaVladmir Putin wa Uruwakati wa mkutano w

    Jumuiya ya Ushirik ianya Shanghai (SCO) hukBishkek , Kyrgyzstan a k u s i s i t i z a k u wmazungumzo kati yTehran na kundi la 5+yanapaswa kuandaliwha r a k a i l i u ta f u twufumbuzi wa mizozo dhidya miradi ya kuzalishnishati ya nyuklia ya Ira(irib.ir).

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    6/16

    6AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Makala

    HII inayoitwa vita "dhidiya ugaidi" imewafanyaWaislamu duniani kotewamulikwe na vyombovya habari vya kimataifa.Kila siku inayopita kunamatukio mapya kuhusuUislamu na Waislamuduniani, na vyombo vyahabari vinatafatuta maoni

    ya Masheikh, wanasiasa,wasomi, viongozi wa taasisina watu wa kawaida mitaani.

    Ingawa hiki ni kipindikigumu sana kwa Waislamuduniani, lakini pia ni fursakwao kutekeleza jukumuambalo Mwenyezi Munguametuumbia. MwenyeziMungu anasema ndani yaQur'an:

    "Nyinyi ndiyo ummab o r a k u l i k o u m m azote zilizodhihirishiwawatu (ulimwenguni) -mnaamrisha yaliyo memana mnakataza yaliyo mabayana mnamwamini MwenyeziMungu"Qur(3:110).

    Umma wa Waislamuduniani unakabiliwa nashinikizo kubwa la kutakiwakutoa maoni yanayolinganana sera za mataifa yamagharibi, ikiwa ni pamojan a k u t a k i w a k u f u n g amdomo kuhusu madhilawanayotendewa Waislamuulimwenguni kote!

    Kuna hatari mashambuliziya propaganda dhidi yaWais lam u yan ap o zidi ,Waislamu wakaanza kujiteteakwa kulegeza misimamoya Kiis lamu na sheriazake, kama wanavyofanyabaadhi ya ndugu zetu . Nijambo la msingi sana kwaWaislamu kutosalimu amrikwa kupindisha ujumbewa Uislamu kwa sababu yashinikizo hili. Lengo siyokuzifurahisha serikali zamagharibi.

    Badala yake, wanatakiwa

    ku n g ' an g ' an ia kwen yemisimamo ya Kiislamuna kufikisha ujumbe waUislamu kwa hekima namawaidha mazuri, bilakuvunja msingi wowotewa dini, wala kuwadhuruWaislamu. Hili ni jukumu laWaislamu wote, wanaume,wanawake, wazee na vijana.Kiigizo chao bila shakani Mtume wa MwenyeziMungu na Masahaba wake.

    Ama, kuhusu majibu yaSheikh Mohammed Issa,kwenye kipindi cha Diraya Dunia kinachorushwana Shirika la Utangazajila Uingereza (BBC) wikimbili zilizopita, kuhusianana mgogoro wa Somalia,niseme tu ilikuwa bahati

    mbaya. Wakati mwingine sirahisi sana kwa Masheikhkutambua mbinu chafuza vyombo vya habari, auajenda za siri zinazobebamahojiano wanayofanya.

    M i y e n a m f a h a m uSheikh Mohammed Issa.Ni mtu makini, mahirina mwenye ufahamu wakutosha kuhusu siasa zaulimwengu na Waislamu.Alikuwa na dhamira njemakabisa wakati akijibu swalila mwandishi wa BBC,isipokuwa mwandishi yulendiye aliyeficha dhamirambaya. Katumia majibusahihi ya Sheikh kufanikishamalengo yake maovu.

    N i a h a s a , s i y o

    Masheikh na vyombo vya habariTujifunze kwa Ja'afar!

    Na Said Rajab

    kuendeleza mjadala huu,isipokuwa mambo kamahaya yanapotokea, huachamafunzo muhimu kwetu,i l i tuweze kurekebishamapungufu na kutumiavizuri fursa zinazojitokezakwenye vyombo vya habari,lengo likiwa kusukumambele ajenda za Waislamuna siyo za maadui wetu.

    Nimeona nitumie kisacha Waislamu wa awaliwal io h am ia A bys s in ia(Ethiopia ya kale), ili kujengahoja yangu, na ningewaombasana Masheikh, wanazuoni,wahadhiri na viongozi wataasisi za Kiislamu hapanchini, ambao mara kwa marahuzungumza na vyombo vyahabari wazingatie sana jambohili.

    Tukisoma vizuri mfanow a M a s a h a b a w a k a t iwalipohamia Abyssinia,tunaweza kuchota mafunzomengi ya msingi, ambayoyanaweza kutumiwa mpakaleo na Waislamu.

    Wais lam u wa awal iwalipata madhila mazitoyasiyovumilika kutoka kwautawala wa Maqurayshim j i n i M a k k a . W a k a t iMaqurayshi waliposikiakundi la Waislamu, wakihoakukufurishwa kwa nguvu,wamehamia Abyssinia, basinao wakatuma wajumbewawili kuwafuatilia.

    L e n g o l a o l i l i k u w akuwaharibia Waislamu hao,wakitarajia kwamba mfalmewa Abyssinia, ambayealikuwa Mkristo, Najash,angewafukuza kwenyeufalme wake na kuwarejeshaMakka kutokana na fitnawatakayopika. Wajumbewale walifika Abyssinia,wakawapa zawadi majenerali

    wa Najash, ili wasaidiek u m s h a w i s h i m f a l m eawarejeshe Makka wakimbiziwa Kiislamu.

    W a l e w a j u m b ewaliwaambia majenerali waNajash, "Kuna wapumbavukutoka kwetu wamekimbiliakwenye nchi ya Mfalme;wameacha Dini yetu nahata yenu hawaikubali, nawameleta Dini mpya ambayosisi na ninyi wote hatuijui.Wakuu wetu wametutumak w e n u i l i m t u s a i d i ekuwarejesha nyumbani.Naomba mtupe watu hao,sisi ndiyo tunaojua makosawaliyofanya."

    W a j u m b e w a l e p i awalikula njama na majeneraliwa N a jas h , wakiwekamazingira magumu kwaMfalme kuzungumza naWaislamu, wakihoa wasijekumwambia ukweli ulivyo.Majenerali wakakutana naNajash na wakamshauriawakabidhi Waislamu kwawatu wao. Lakini Mfalmeakataka kusikia kutoka kwaWaislamu wenyewe kablahajaamua.

    Ja 'a fa r bi n Ab i Tal ib,ndiye aliyekuwa kiongozina msemaji wa Waislamuwaliohamia Abyssinia.Wakati yeye na Masahabawengine walipoingia kwenyem ah akam a ya N a jas h ,waligoma kumuinamiaMfalme huyo, ikiwa niishara ya heshima, kamawalivyofanya wengine wote

    SHEIKH Mohamed Issa

    ukumbini mle, wakiwemowale wajumbe wawili waMaqurayshi.

    Walipoulizwa kuhusuhili, Ja'afar alijibu; "Sisi niWaislamu, kitendo kile nimwiko kwetu kumfanyiayeyote isipokuwa MwenyeziMungu tu."

    Kisha Ja'afar akatoa hotubayake, akiwasilisha Uislamukwa Najash. Alisema, "EweMf alm e! S i s i tu l iku wawatu wajinga na tuliishikama wanyama wa porini.Mwenye nguvu miongonimwetu akimtafuna mnyonge.Hatukuwa na sheria ya kutiiisipokuwa mamlaka yakibabe.Tuliabudu masanamuyaliyotengenezwa kwa maweau mbao, na wala hatukujuachochote kuhusu heshima yabinadamu".

    "Kisha Mwenyezi Mungu,kwa rehema zake, akatutumiam ju m be wake am bayealikuwa ni miongoni mwetu.Tulijua kuhusu ukweli nauadilifu wake.Tabia yake ni yakupigiwa mfano, na alikuwani miongoni mwa kizazi borakabisa cha Waarabu".

    " A m e t u l i n g a n i akumuabudu Mungu mmoja,na ametukataza kuabudumasanamu. Ametusisitizakusema kweli, na kuwalindaw a n y o n g e , m a s i k i n i ,w a a d i l i f u , w a j a n e n amayatima. Ametuamrishakuwaheshimu wanawake nakutowadhalilisha".

    "Tulimtii na kufuata

    mafundisho yake. Watuwengi katika nchi yetu niwapagani, na hawakupendasisi kuingia kwenye Dini hiimpya inayoitwa Uislamu.Wakaanza kututesa, nakutokana na mateso yao,ndiyo maana tumekimbiana kutafuta hifadhi kwenyeufalme wako."

    Wakati Ja'afar alipomalizah o t u b a y a k e , N a j a s halimuuliza, "Je? Una chochotekutoka katika kile ambachoMtu m e wen u am eku janacho kutoka kwa Allahkunisomea?" Ja'afar alijibu,"Ndiyo" na akasoma SurahMaryam kutoka mwanzompaka pale MwenyeziMungu aliposema:

    "(Mariamu) akawaashiriak w a k e ( y u l e m t o t owamuulize yeye). Wakasema:Tuzungumzeje na aliye badomtoto kitandani?" (Yulemtoto) Akasema: "Hakikamimi ni mja wa MwenyeziMungu, amenipa Kitabuna amenifanya Nabii. NaAmenifanya mbarikiwapopote nilipo. Na ameniusiaSala na Zaka maadamu ni hai.Na (ameniusia) kumfanyiamema mama yangu. Walahakunifanya niwe jeuri,muovu. Na amani iko juuyangu siku niliyozaliwa nasiku nitakayokufa na sikunitakayofufuliwa kuwa hai"Qur (19:29-33)

    Wale vigogo walio karibuna Najash waliposikia hiviwakasema, "Haya na yale

    yaliyoletwa na bwana wetMasihi (Yesu) yanatokkwenye chanzo kile kile"

    Mfalme Najash alisikilizk i s o m o c h a Q u r ' akwa makini sana mpakakamwaga machozi kwjinsi Qur'a n il ivyom gusAkasema, "Kwa kweli haya nkile ambacho Mussa ameletvinatoka sehemu moja. Ninwawili mnaweza kwenda, nkamwe sitawakabidhi wathawa kwenu"

    Wale wajumbe wawili wMaqurayshi wakaondokkwenye Kasri la Kifalmvichwa chini na wakaanzkufikiria njia nyingine ykukamilisha kazi yao. Sikya pili wakaenda kwa Najasna kumwambia; "Waislamwanasema mambo mabayku h u s u Mas ih i , wai tuwaulize kuhusu jambo hilo

    Najash alifanya hivyna Ja'afar alimjibu; "Siytunasema kuhusu Yeskile ambacho Mtume wetamekileta. Yeye ni Mwa Mwenyezi Mungu nMtume wake. Siyo Mungwala mwana wa MunguNajash akawafukuza wawajumbe wa Maquraysh

    mikono mitupu.H ap a n diyo kwen yh o ja yan gu ya m s in gsasa. Kwa bahati mbayhistoria imemjenga sanmfalme Najash, katika tukhili la Waislamu kuhamAbyssinia. Mchango wsahaba Ja'afar bin Abi Talhauonekani wazi. Najasndiye anayeonekana shujawa tukio lile la kihistoria.

    Miye silaumu hapa, waroho hainiumi, kwaninmfalme Mkristo ameng'arzaidi kwenye tareikh yWaislamu kuliko SahabLakini, kweli kabisa, ukiwmwandishi wa habari nm wan af u n zi wa ' MasC o m m u n ica t io n ' kammimi, lazima shujaa wakatakuwa Ja'afar bin Abi Talkatika tukio lile. Ja'afar, kammsemaji wa Waislamu, ndiyaliyemvuta Najash upandwa Waislamu. Ja'afar alikuw' M a s s C o m m u n i c a t oaliyewiva kweli kweli!

    Kupitia makala hii ndogningependa tumuangalkwa makini Sahaba Ja'afab i n A b i Ta l i b , k a mmsemaji wa Waislamu, ituchote mafunzo muhimaliyotuachia.

    Somo la kwanza, ambaJa'afar amefundisha Waislamkupitia hotuba yake kwmfalme Najash, ni kwambusilegezwe msimamo wSheria za Kiislamu, wakaunapowasemea Waislamu akuwasilisha hoja za Kiislammahali popote.

    Wais lam u wal iku wkwenye wakati mgumu sanmbele ya mfalme MkristNajash. Kushindwa kujenghoja madhubuti, kulikuwna maana ya kurejeshwMakka, ili kukabiliana nmateso zaidi na penginkifo. Lakini, licha ya hangumu waliyokuwa nayhawakulegeza msimamwa dini yao kwa kumfanyrukuu Najash, ingawa hatuile ingeweza kuwavurugdhamira yao ya kuombhifadhi.

    Lakini pamoja na kwambW a i s l a m u w a l i g o mkumfanyia rukuu MfalmN a j a s h , w a l i f a f a n u

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    7/16

    7AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Makala

    ZIMEBAKI takribansiku chache tu, Waislamukutoka pande mbalimbaliz a d u n i a w a t a a n z akumiminika katika mijimitakatifu ya Makkahna Madinnah, kwa ajili

    ya kutekeleza Ibada yaHijja.

    Ibada hii, hasa iliasisiwana Nabii Ibrahim (A.S.W),miaka takriban 4000 BC(kabla ya kuzaliwa YesuKristo), pale alipoamriwana Mola wake ahamekutoka kwao maeneoya Iraq kwenda nchi yaHijaz (Saudia Arabiasiku hizi) na huko ajengeKaaba tukufu kwa ajiliya kuabudiwa Mungummoja.

    Hijja ilifaradhishwam w a k a w a 9 A H ,iliposhushwa Surat Al-

    Imran Aya 97 inayosema:Na Hijja katika nyumbaya Mwenyezi Mungu niwajibu ambao ni denianalodaiwa mwanadamuna Allah, kwa wale wenyeuwezo.

    Na katika Aya nyingineya 196 ya Sura ya Al-Bakara, Allah anatuambia:

    Na ikamilishe Ibada yaHijja na Umrah kwa ajili yaAllah na muuogopeniAllah.

    Hijja ni haki ya MwenyeziMungu; na kwambakadri unavyoahirishakwenda Hijja na uwezo

    unao,huachwi hivi hivitu, ndivyo unavyozidikujiongezea madhambina kama utakufa hivyo,basi ni sawasawa naaliyekufa kama Myahudi,Mnaswara, au Kafir iyeyote yule!

    Allah (swt), amesemaametuletea Hijja katikamiezi maalumu (Mfungomosi, Mfungo pili, Mfungota tu ) i l i pa pa t i k a nemkusanyiko mkubwawa watu (kiyyam lnnas),k u to k a k i l a m a ha l akwa ajili ya kuonana nakuelewana; kustawisha

    jamii na pia kutupumzisha

    n a m i s h u g h u l i k ombalimbali ya kidunia.Amani, upendo na utulivundio sifa kuu ya miji yaMakkah na Madinnah, nimaneno ya Sheikh AmranKilemile, aliyoyasemakatika Semina ya Hijjailiyoandaliwa na Taasisi yaTawheed katika Ukumbiwa Karimjee, Agosti 31mwaka huu, iliyobebaanuani ya Falsafa ya Hijja.

    Aidha, miezi hiyoimekusudiwa iwe ni yakuwapumzisha watu namisukosuko mingine,

    Falsafa ya Ibada ya HijjaNa Alhaj Abdallah

    Tambaza

    vikiwamo vita, ukosefuwa amani na chakula. Mijiya Makkah na Madinnah,pamoja na ardhi yake kuwaya jangwa, imebarikiwaneema nyingi za vyakula,utajiri mkubwa wa mafutapamoja na maji ya Zamzamyasiyokauka.

    Mtu akiingia katikamaeneo ya Haram,

    huwa amesalimika namaovu yote, kwani nimarufuku kabisa mtukutenda tendo lolote lauovu katika maeneo hayo.Hata ukiokota kitu hapokiache hapohapo; hakunakusema ni riziki yako kamatufanyavyo tunapookotavitu ndani ya daladalahapa kwetu. Wenye kaziyao watakihifadhi kituhicho mpaka mwenyeweapatikane.

    Tuliwahi kuandikakatika makala za Hijjazilizotangulia kwamba,k u s u d i o l a H i j j a ,

    its essence and raisondetra lilikuwa ni kwaWalimwengu wote na sikwa Waislamu peke yaokama inavyoonekana leohii.

    Hakika nyumba yakwanza waliyowekewawatu kwa ibada ni ile iliyokoMakkah, iliyobarikiwana yenye uwongofu kwaWALIMWENGU wote.Ndani yake zipo isharazilizo wazimasimamioya Ibrahim na mwenyekuingia humo anakuwakatika amanina kwa ajilihiyo imewawajibikia watukuhiji ndani ya nyumbahiyo na atakayekanushaM w e ny e z i M u ng us i m u h i t a j i k w awalimwengu,(AlImran3:96 97)

    H a b a r i z a H i j j azimetajwa kwa wingi sanandani ya Qurani Tukufu.Ndugu yangu msomajiu k i pa ta w a sa a , ba s iziangalie Aya zifuatazondani ya Qurani kwa faidazaidi:

    Surat Ibrahim: 37; SuratNisaa: 124; Suratil Bakara:125-126; Suratil Qasas: 57;Bakara: 198; Suratil Hajj26,29; Suratil Assafat na

    nyinginezo nyingi.Hijja ina nguzo kuu nne,

    ikiwamo kuwa katika vazila Ihram (zile shuka mbilinyeupe); kisimamo chaArafah; kuzunguka Kaabamara saba; na mwisho nikutembea baina ya Safa naMarwa. Mambo mengineni ya wajib na sunna,ambayo hata yakikosak u te nd w a ha y a w e z ikubatilisha Hijja ya mtu.

    V a z i l a I h r a m ,linamkumbusha mja tukiola kufa na kufufuliwalililo mbele yake; kwamba

    atakuwa kat ika hal iinayofanana na hiyosiku ya hesabu, hatakama alikuwa na mali nautukufu wa aina gani hapaduniani; na kwamba umatiwote ulewatu milionimpaka sita mbele yaAllah una daraja moja.

    Allah (swt) hakuiwekaKaaba tukufu mahala paleilipo hivi hivi tu. Alijuaanachofanya, maana yeyendiye aliyeumba duniahii na vilivyomo ndani

    yake. Mitandao yote yaIntaneti (search engines),sasa inathibitisha kwambamahala ilipo Kaaba tukufundio katikati ya Dunia(center of the universe), nakwamba mji wa Makkahndio mji ulio katikatiya ardhi kavu ya Duniaukitoa bahari. (Mecca isthe center of the dry land).Angalia google, wikipedia,yahoo, pamoja na cnn.com uone maajabu hayayalivyoelezewa.

    Kaaba tukufu ndiomsikiti kiongozi, kwamaana ya kwamba misikitiyote duniani inaelekeak w a y o . H a t a k a b l a

    hujaizunguka Kaaba ile,kile kitendo cha kuiangaliatu na ukaishangaa nakuduwazwa (mesmerized)nayo, basi husababishamja kupata thawabuzisizo na mfano. Pia, kilahatua anayotumia mtukuizunguka anapandad a r a j a n a k u f u t i w amadhambi.

    Habari zinasema, katikausawa il iyopo Kaabak u e l e k e a m bi ng u ni ,ipo nyumba nyingineijulikanayo kama BaitlMaamur iliyopo peponi,a m ba y o k i l a w a k a t imalaika 70,000 huingia

    humo kumwabudu Allahna wakitoka hawapatinafasi kama hiyo tena,kwani wanaingia wengine70,000.

    Wanazuoni mbalimbaliwamekubaliana, kwambamambo yanayofanyikakwenye nyumba hiyo(Bait lMaamur) ndiyohayo hayo yanayopatikanakatika Kaaba. Wanasemahata lile jiwe jeusi Hajarlaswed limedondoshwakutoka huko.

    Pembezoni k idogona Kaaba, kuna jiwelililohifadhiwa ndani yachupa yenye rangi yadhahabu. Jiwe hilo linanyayo (footprints) za NabiiIbrahim zilitokana nakukanyaga mahala hapowakati akipandisha maweya kujenga Kaaba miakakaribu 4000 BC. Mahalahapo patakatifu panaitwaMakamu Ibrahim, ambapohujaji humpasa kusaliraka mbili za sunna kwaheshima ya mahala hapo.

    Hijri Ismail, wengineh u k i i t a K i s i m a c h aZamzam, ni sehemunyingine ya miu j iza

    i l iyopo pale kwenyeKaaba. Hicho ni kisima chamaji ambacho kilipatikanakimiuj iza kwa mtotoIsmail, kupigapiga miguuyake na maji yakatoka

    baada ya mamake Hajark u m l i l i a M w e n y e z iMungu kwenye vilimavya Safa na Marwa.

    Shina la kisima hicho,ambacho hutoa lita 39,000kila saa, lipo karibu naAl Kaaba. Maj i yakehayakatiki na wala hayanatope wala vijidudu kamaya Dawasco. Pia hayahitajidawa kusashwa, kwaniyenyewe ni tiba ya maradhi

    mbalimbali.Maji haya ya miujiz

    hunywewa kwa niaUkinuia yakate kiu bayatafanya kazi hiyoukinuia iwe ni chakula bayatakushibisha; ukinuiwe ni pozo la maradh

    basi Mungu hujaalia ikawndio tiba yako. Hutolew

    bur e na ni ma ru fu kkuuzwa. Kunywa tanyako na mengine pelekzawadi kwenu utokakhutaulizwa na mtu.

    Vilima vya Safa nMarwa ni mahala penginpatakatifu, kwani Hujaanatakiwa azungukukvilima hivyo mara sabkukumbuka tukio la MamHajar , kutafuta majAtakapokamilisha anyoau apunguze nywele zak

    Hakika Safa na Marwni katika ishara za kuwapkwa dini ya MwenyezMungu,(Suratil Bakar158).

    S i k u y a M w e z i Dhulhija, kwa mwezmuandamo wa Saudindiyo siku ya ArafahMahujaji wote watakuwhapo kuanzia asubuhi hiv

    na wawe wameondokviwanjani hapo kabla yswala ya Magharibi,ambaywataiswali MuzdalifahHabari zinasema, hapArafah ndipo mahala ambapbaba yetu Adam na mamHawa walipokutanishwbaada ya kutolewa peponNi katika viwanja hivywalipoanzisha kizazi hichote cha binadamu.

    Pia, ilikuwa ni hapo ArafaMalaika Jibril alipomtafsirNabii Ibrahim (asw) maany a i l e n d o t o k w a m bAllah, amemtaka amchin

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    8/16

    8AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Makala

    SIKU chache zilizopita,m a t u k i o m a w i l iyametok ea n ch in iMarekani , ambayoy a m e d h i h i r i s h aw a z i s u r a h a l i s iya d emok rasia ya

    kimagharibi, ikiwa nipamoja na kubainishamaana ya usawa nahaki kwa mtazamo waKamarekani.

    Wamarekani wawili,Robert Bales na HassanNadal, wote wameuawatu na wote wamekirimakosa ya mau a j imbele ya mahakama yaKimarekani. Mahakamaimemnusuru mmojawao na adhabu ya kifona kumpatia mwingineadhabu ya kifo.

    Robert Bales, ambaye

    a l i u a w a t u w e n g izaidi, alipewa nafasiya kuishi na HassanNadal, ambaye aliuawatu wachache zaidi,alihukumiwa adhabuya kifo.

    M a h a k a m a y aM a r e k a n i i m e m p aRobert Bales, nafasiya kuishi kwa sababualiua watoto wadogo,wanawake na wazee,usiku wa manane wakatiw a k i w a w a m e l a l am a j u m b a n i m w a o .Hawakuwa na nia yakumuua au kumuumizamtu yeyote. Na walahawakuwa na namnayoyote ya kujihami.

    Na Hassan Nadal,

    Maana ya haki kwa MarekaniNa Said Rajab

    Hassan Nadal,

    alihukumiwa adhabu yakifo kwa sababu aliwauaaskari wa Marekani,mchana kweupee, tenakwenye kambi ya jeshiwakati walipokuwaw a k i p e l e k w aAfghanistan na Iraq

    kwenda kutesa na kuuawatu wasio na hatia,na tena walikuwa nauwezo na zana zote zakujihami.

    Mtu ambaye amewaua

    askari hakuidhalilishamiili yao na akaiachapale pale ilipoa. Mtuhuyu amehukumiwaa d h a b u y a k i f o .Lakini, kwa upandemwingine, mtu ambayeameidhalilisha miili ya

    watoto, wanawake navikongwe, kwa kuikatakata na kisha kuichomamoto , ameonekanaanastahili kuishi.

    Mantiki yenye akili

    t i mamu i nael ekezawazi k wam ba m tu

    aliyemwaga damu yawatoto, wanawake navikongwe wasiojiweza,

    n d i y e a l i y e p a s w akupewa adhabu ya kifo,kwa sababu hakuridhikana kuwaua tu, balialichoma moto miili yao

    baada ya kuwachinja.Lakini mahakama

    ya Marekani imefanyakinyume chake kwasababu Hassan Nadal,ameua Wamarekani naRobert Bales ameua

    Waafghanistan! Kwamujibu wa kanuni nataratibu za demokrasiaya Kimarekani, maishaya Wamarekani yana

    h a d h i n a h e s h i m akubwa zaidi na maishaya watu wengine hayanathamani wala heshima.

    H a s s a n N a d a l ,a m e s e m a k w e n y em a u n g a m o y a k ekwamba amewaua askari

    sababu yoyote ya msingHassan Nadal ni askawa jeshi la Marekani nRobert Bales pia ni askawa Marekani aliyekuwnchini Afghanistan.

    I n a o n y e s h a w a zkwamba, maana yhaki kwa mtazamo wMarekani, kuua watoto

    wanawake na vikongwwasio na hatia, siyuhalifu mkubwa ambam h u s i k a a n a w e zkupewa adhabu ykifo. Pia inathibitishkwamba kelele zote hizza haki za binadamuhaki za wanawake nhaki za watoto ni z

    bu re . Hazi na uk wendani yake. Zinatumiwtu na wanademokrasiw a K i m a g h a r i bkukamilisha ajenda zachafu.

    U l i m w e n g u wMagharibi hautambumaana halisi ya haki z

    binadamu, wala haunhabari na rehema nmapenzi kwa watotowala haujui hadhheshima na utukufu w

    wale wa Marekani, ikiwa

    ni hatua ya kulipa kisasikwa ajili ya raia wasiona hatia wanaoteswa nakuangamizwa nchiniIraq na Afghanistan.A s k a r i w a l i o u a w ana Nadal walikuwawakijiandaa kwendaIraq na Afghanistan.

    R o b e r t B a l e salinusurika adhabuya kifo kwa sababualiwaua watoto wadogo,wanawake na vikongweili kufurahisha nafsiyake tu. Hakuwa na

    wanawake.

    Ni dini tukufu yUi s l amu tu , ndi yinayolinda na kuhifadhhaki za binadamu wotKwa mujibu wa dini hiyowatu wote, hata wakiwwa rangi na kabila ganwana haki sawa. Kwmujibu wa demokrasiya magharibi , walwenye nguvu tu ndiywenye haki zaidi ('mighis right') . Haizingatkabi sa heshi ma y

    binadamu.Robert Bales

    Jihad al-Hadad

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    9/16

    9AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Makala

    Falsafa ya Ibada ya Hijja

    Inatoka Uk. 7

    mwanawe Ismail. Mara mojaIbrahim (asw) na mwanaweIsmail walielekea maeneoya Minna kutekeleza amrihiyo. Baada ya kuonyeshautii, Allah, aliwaletea kondoowamchinje badala yake.

    Sunna hii ya kuchinjaimetakiwa kuadhimishwana Waislamu wote wakatiwa Sikukuu ya Eid ludhhiya,kwa kuchin ja mnyama

    (mbuzi, ngombe, kondoo,ngamia). Hapa kwetu huwahatuchinji kwa kisingiziocha kukosa uwezo na badalayake tunachinja kuku na kulapilau wenyewe. Subhanna!Ibrahim kakubali kuchinjamtoto, wewe hata mbuziunaona ni ghali kumchinjakwa kutaka radhi za Molawako? Hiyo ni imani dhaifukabisa!

    Unakubali siku hiyo,iliyopewa jina la Siku yaKuchinja (Eid lUdhhiya),i p i t e n a w e w e u k o s ethawabu zote zi le kwaubakhili tu. Mbuzi wamejaatele Vingunguti na watuwanaweza kuchanga na

    kununua mnyama wakanuiapamoja. Thawabu hizitunazoziacha zipite hivi hivimiaka nenda miaka rudi sizingetufaa siku ya siku kwakuziba mapengo?

    Kilima cha Jabal Rahmakiko h ap o m aen eo yaArafah pia. Mahala hapondipo aliposimama MtumeMuhammad (asw) katikaHijjat Lwadaa (Hijja yaKuaga) na kutoa khutbayenye maneno ya kupigiwamfano akisisitiza uadilifuwa viongozi na utoaji wahaki hasa kwa wanawake.Ni hotuba muhimu sana kwawalimwengu mpaka leo hii.

    kama leo hii viongoziw a k i d u n i a w a s a s awangeisoma khutba ile,bas i dunia ni leo hii watuwangeishi pasi na uonevu,dhulma na aina yoyoteya uovu usingekuwapoasilaan!,Haya ni manenoya Sheikh Twaha Banne,katika semina kwa Mahujajiiliyofanyika Ukumbi waKarimjee Septemba 8, mwakahuu.

    A m es em a: u kiwa

    katika viwanja hivi vyaArafah, ni fursa adhim yakulia sana kwa Mola wakokwani hakuna siku nyingineiliyochomozewa na juaambayo Allah huwaachiahuru watumwa wake naadhabu ya moto kama sikuhii ya Arafah.

    K w a w a l e a m b a ohawatopata bahati kwendaku teke leza H i j j a , d in iinawataka wafunge siku hiyoya kisimamo, mwezi 9 nasiyo mwezi 10 Dhulhija kamaMasheikh wetu wa hapakwetu wanavyotuelekeza.Alhaju Arafah! Na Arafahiko Makkah tu. HakunaArafah Mpwapwa wala

    Tandahimba. Ni vyema basitukawa tunafunga mwezi 8,kama mwezi umeandamatofauti na nchi ya Saudia.Ubishi na misimamo yakiitikadi inatutia hasarani tu.

    Ukiwa njiani unaelekeaMuzdallifah, kuna eneolinaloitwa Wadi lMukhasir.Hapa ni mahala ambapoaliteketezwa Abraha naJeshi lake la tembo wakatiakijiandaa kuingia Makkahkuibomoa Kaaba. Allah(swt) alileta ndege hewaniwakiwa na vijiwe vya motovilivyoangamiza kila kitu.Kisa hiki kinasimuliwa vizurindani ya Qurani Suratil Fil

    (Alamtara).Tukio hilo ni kubwa

    ambalo hata mazazi yaMtume Muhammad yalikuwayanahesabiwa kutokana natarehe ya tukio la angamizola jeshi la tembo. Tarehe yakuzaliwa Nabii Muhammadni 571 Miladia. Kabla yaMtume hajahamia Madinnah,tarehe za Kiislamu zilikuwazikihesabiwa kutokana natukio hilo. Ni mahala pabayana Mtume ameagiza watu

    wapite haraka mahala hapo.Hujaji huna hiyari hapo balini utekelezaji tu! MaanaMtume amesema Hudhuanimanasikakum (chukuenikutoka kwangu kuhusu Hijjayenu).

    Ja bal Hi ra, ni pan goambalo liko Mlima Noor.Ni mahala ambapo Mtumeal i f u atwa n a J ibr i l n akusomeshwa Aya za mwanzoza Qurani Suratil Alaq (Iqra).Ni msitu mnene kwelikweliunaoogopesha kukutanana mtu usiyemjua akakupahabari nzito kama hizo. Nimlima mrefu unaochukuatakriban saa nzima mpakakuupanda.

    Ghar Thowr, ni pangojen gine amb alo Mtumea l i j i f i c h a n a S a y i d n aAbubakar, kuwakimbiawatu waliotaka kumwuawakati akielekea Madinnah.Kimiujiza, Allah aliwekat a n d a b u i m l a n g o n iwakapoteza maboya na watuwale hawakuona kitu ingawawalika mpaka hapo.

    Katika ziara yako yamji wa Madinnah, hujajiutapata fursa ya kuswalina kuutembelea Msikiti waMtume (Masjid Nabbawi).Ni msikiti mkubwa sanaunaopendeza kwelikweli.Imam wake mkuu ni Babu

    mmoja mtu mzima, anayeitwaSheikh Khudhaifa. Msafarawake wa kuja msikitiniunaongozwa na mapikipikina barabara hufungwanamna wafanyavyo maraishapa kwetu. Ndugu yangumsomaji jitayarishe kuliaukiswali nyuma ya babuhuyu, kwani yeye anawezakulia ghaa katikati ya swalaakitokea kukumbana na

    maneno mazito ya Mungu.Lakini wakati mwengineatakuliwaza kwa sauti yakenyororo na maridadi. Sijuiwewe, lakini mimi nilikuwanalia naye bila kujijua!

    Ndani ya msikiti huo kunaeneo la mbele linalojulikanakama Rawdha. Ndani yaRawdha ndipo ilipokuwaponyumba ya Mtume. Kaburilake, lile la Sayidna Abubakarna Sayidna Omar yamo humopia. Ipo vilevile mpaka leomembar au dais aliyokuwaanatolea khutba zake zaIjumaa, ikiwa bado na uhalisiauleule wa kizamani. Pembeniyake ipo ya Abubakar pia.

    Nilipoziangalia vizuri

    nguzo za Rawdha niligunduani za dhahabu. Taa zakekubwa zinazoning inia(hanging chandalliers)zinangara sana usikukama mchana vile.

    Fursa inapatikana kwawewe kwenda karibuna kabur i la Mtumekumwombea dua; halafuusogee kaburini kwaSayiddna Abubakar naOmar uwaombee dua pia.Wapi tena utaipata nafasikama hiyo kuyashuhudiamakaburi ya watukufukama hao na kuwaombeadua? Ni ushahidi toshakwamba wewe sasa darjayako imepanda!

    Ukimaliza hayo utatokeamlango mkubwa unaoitwaBabu Jibril, mlango ambaoumepitwa mara kadhaa naMalaika Jibril katika safarizake kwa Mtume. Wamepitapia maswahaba wakubwawakubwa njia hiyo. Wapiutayapata hayo kama huendiHijja?

    Swala moja utakayoisalikatika msikiti huu ni sawana swala 1000 za misikitimingine. Kwa hiyo ukiwaM a d i n n a h , n i l a z i m aujipinde kufanya ibadakisawasawa na kumwombamaghra Mwenyezi Munguakusamehe makosa yako.

    Hatua chache mbele ya

    msikiti huu, kuna eneolinaloitwa Bakhee. Hapo nimahala alipozikwa SayiddnaOthman Bin Afan, watotona wakeze Mtume pamojana Maswahaba wengine.N i m a h a l a m u h i m ukupazuru ili kuwaombeadua watukufu waliozikwahapo.

    Uk i te m be a k i d o g oupande wa nyuma yamsikiti huu, utakutana naMasjid Ghamam.

    Tukiwa hapo mwakaja na , Sh ei kh Ab da ll ahNdauga, aliyeongozamatembezi ya kundi lamahujaji wa Taasisi ya

    Tawheed alitusimulihabari zake:

    Kabla ya kujengwmsiki t i huu, Mtumalikuwa akiacha msikiw a k e na k u j a ha p

    jangwani kuswali swalza Iddi na zile za kuombmvuasiku moja wakawakiomba mvua ghafpakafanya mawingu n

    mvua ikanyesha hatkabla watu hawajatimkKwa muujiza ule, kuanzhapo pakaitwa eneo lGhamama na ulipokukujengwa msikiti ukapew

    jina la Ghamama. Msikihuu umesheheni vitu vinsana vya kihistoria ya dinya Kiislamu.

    M a t e m b e z i y a kya mji wa Madinnayatakuf ik ish a Mas j iQubba, ambao ndio msikiwa mwanzo kujengwa nMtume nje kidogo na mwa Madinnah akitokeMakkah; na hapo ndipmahala iliposwaliwa swala ymwanzo ya Ijumaa. Mtum

    amesema mtu akijitwaharishkutoka kwake na kwendmahala hapo akaswali rakambili, basi ni sawa kamaliyefanya Umra.

    Milima ya Uhud ni sehemnyingine ya kutembelemaana mahala hapo ndipilipopiganwa vita ya Uhuambavyo Waislamu 7walipoteza maisha yao kwkupigania dini hii. Makabuyao yako pale likiwamo Jemadari Sayyidna HamzNi mahala panapohuzunishsana.

    Mwisho, naona nichukufursa hii kuwashukuru sanwatu wa Madinah kwukarimu wao waliouonyeshwakati wa Mtume, ambam p a k a s a s a u n a u o nu k i t e m b e l e a s e h e mmbalimbali.

    Shukrani za kipekeziende kwa viongozi nwananchi wote wa Saudkwa kuuenzi na kuutukuzUislamu kwa kudumishmila hii ya Nabii Ibrahimpaka leo kwa kuandakila mwaka Ibada hizi zHijja (single handedly), bimsaada wa nchi nyinginkama wanavyofanyiwwatu wengine wanapopewkuandaa mambo ya kidunkama mashindano ya Kombla Dunia au Michezo yOlimpiki. Nchi wenyeji huddia kwa gharama zao.

    Kupokea kwa niaba yAllah wageni zaidi ymilioni sita; wale, wanywwasafiri na wapate pkulala kwa kipindi chmwezi mzima sio kazndogo. Mungu analiphapa hapa. Leo Saudia ni nctajiri kupindukia! Sasa ndugyangu Mwislamu, kama badhujawazia kufanya safahii, wakati ndio huu ili nwewe Mungu akulipe leo nkesho kama anavyowafanyWasaudi!

    Wabillah Tawk!Simu: 0715 808 864E m a i l : a t a m b a z a

    yahoo.com

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    10/16

    10AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20Mashairi/Makala

    NDUGU Mhariri wagazeti letu tukufula An-nuur, naombanami unipatie nafasijapo kidogo niwezek u t o a l a n g u l amoyoni.

    Agosti 10, 2013siku ya Jumamosimajira ya saa 12:00

    j ioni , l i l ipotokeatukio la kusikitishala kujeruhiwa kwarisasi begani SheikhPonda Issa Ponda.Tukio hilo lilifanywana mmoja wa askariw a l i o u z i n g i r am k u s a n y i k o w aw a u m i n i w aKiislamu, waliokuwaw a k i h u d h u r i ak o n g a m a n o l aKiislamu lililofanyikamjini Morogoro.

    Baada ya tukiokupita takriban saatatu, Kamanda Polisimkoa wa Morogoro,alisikika akiutangaziaumma kuwa Sheikhkajeruhiwa. Mbalina kujeruhiwa huko,alidai kuwa alikuwaakisakwa na jeshi lapolisi ili afunguliwemashtaka ya kile

    Sheikh Ponda ana haki ya kudai fdiawalichodai polisikuwa alitoa matamshiya uchochezi, ambayoyalikuwa ni hatarikwa usalama wa nchi.

    B a a d a y ak u t h i b i t i k akujeruhiwa Sheikh,mengi yalisemwakupitia vyombo vyahabari . Miongonimwa hayo ni witou l i o t o l e w a n awanaharakat i naviongozi kadhaa wadini, wakiiiombas e r i k a l i i f a n y eharaka kuunda Tumehuru kuchunguzana kubaini harakasababu za SheikhPonda kupigwa risasi,nani aliyemfyatuliarisasi na kumjeruhi.

    S i h i v y o t u ,

    vyombo vya habariv i l i u t a n g a z i au m m a k u w a ,askari aliyehusikakumfyatulia risasiSheikh alikamatwaili kulisaidia jeshi lapolisi katika sualazima la upelelezi.

    Wito wa kuundwawa Tume na kutiwambaroni kwa askari

    huyo, ni ushahidina uthibitisho wawazi kuwa kitendocha askari, ambayen i m t u m i s h iserikalini kumpigar i s a s i S h e i k h ,kilikuwa ni hukumua l i y o h u k u m i w aSheikh hata kablahajakishwa kwenyevyombo vya sheria.

    Hata kama Sheikha n g e k a m a t w an a k u f i k i s h w am a h a k a m a n i n aakapatikana na hatiaya kuhatarisha amaniya nchi je, hukumuyake ingel ikuwani kupigwa risasihadharani?

    Sasa tujiulize, kamaSheikh alihukumiwakabla ya kukishwa

    m a ha k a m a ni , nahukumu hiyo ikawani kupigwa risasi

    je , si kw el i ku waS h e i k h a t a k u w ahakutendewa haki?Na je, kutoa manenoy a u c h o c h e z i ,hukumu yake nikupigwa risasi? Naserikali haioni kuwaina kila sababu ya

    kumfidia kutokanna ulemavu ambaameupata Sheikk u t o k a n a nkuathirika viungvyake?

    Nionavyo mim

    m a d a i y a f i d iyalistahiki kufanywharaka sana baada ttukio la kujeruhiwSheikh Ponda.

    H a k u n a m ty e y o t e k a t i kh u u u l i m w e n ga n a y e f a h a mthamani ya mwiw a m w a na d a mi s i p o k u w a y u laliuumba tu. Hivy

    b a s i , i f a h a m i kk u w a m w i l i wm w a n a d a mhaulinganishwi nkitu chochote, hatkama k i tu hichkitakuwa na thaman

    ya trilions za shilingN a t o a w i tk w a w a na she r iwanaomtetea SheikP o n d a , w a f a n yharaka kufungukesi ya madai iSheikh alipwe harakiwezekanavyo.

    M z e e H i m i dAthumani

    D o d o m a Tanzania.

    NDUGU Waziri waMambo ya Ndani

    John Nchimbi.Tunalo jeshi la

    Ulinzi la Wananchi,JWTZ, kazi yake kuuni kulinda mipaka yanchi yetu Tanzaniana usalama wake.T u n a l o J e s h i l aMagereza, kazi yakekubwa ni kusimamiawafungwa. Tunalo

    Jeshi la Polisi ambalokazi yake ni kulindausalama wa raia namali zao. Tunalo jeshiya kujenga Taifa,ambalo linajihusishazaidi na uzalishaji na

    kuimarisha uzalendow a v i j a na w e tu .Tunacho kikosi chaFFU kwa aj i l i yakutuliza ghasia.

    Tunacho kikosicha zimamoto, kaziyake ni kupambanana maafa na majangapale yanapotokea. Piatunavyo vikosi vyamgambo ambavyomara nyingi huajiriwana Halmashauri zaMiji na Manispaa zaMiji.

    Aidha inafahamika

    Barua ya wazi kwa Mhe. Nchimbkwamba katika miaka

    ya hivi karibuni,

    z i m e a n z i s h w akampuni za binafsiza ulinzi ambazoz i m e a j i r i w a t u ,

    baadhi yao wakiwani mgambo, wastaafuwa majeshi n.k kwaajili ya kulinda maliza wateja wao.

    Lakini kwa mudamrefu limekuwepohili jeshi linaloitwa

    Jeshi la Wokovu lililochini ya Kanisa, lenyekambi yake maeneoy a m a k u ta no y aVETA Chang`ombena barabara ya Kilwa

    karibu na JKT.H i l i j e s h i l awokovu kazi yakenini kwa umma waWatanzania. Lakinitufahamishwe zaidikwamba wenzetuwamepataje kibali chakuwaruhusu kumiliki

    jeshi hilo, na labdanihoji zaidi kwamba,kama kuna utaratibukwa madhehebu yadini kumiliki jeshi lakiroho? Na kama upoutaratibu huo upo je?

    N d u g u Wa z i r iNchimbi, sisi raia

    tu na ta k a k u pa tam a e l e z o k u t o k a

    k w a k o k u h u s uKanisa kuwa na jeshila wokovu la kirohoili kuondoa maswaliambayo baadhi yetu

    bado hatuna majibuyake.

    N d u g u Wa z i r iNchimbi, Serikalii n a s e m a h a i n adini, kwanini sikuy a J u m a m o si na

    Jumapi l i ser ikal iimebariki kuwa sikuza mapumziko kitaifana nafasi kwa wafuasiwa madhehebu yaWakristo kutekeleza

    inada zao lakini nafasihiyo haipat ikaniIjumaa kwa wafuasi

    w a K i i s l a m uTafadhali Ndug

    Wazir i Nchimbtufafanulie hili pia ikuweka mizani saw

    Mwaka mpya wKikristo ni siku ymapumziko. Mwakwa Kiislamu kitaifhakuna mapumzikwala hautambulikNasikia Waislamnao wameomba sikya mwaka mpywao, nayo iwe ymapumziko kitaiflakini bado hakunmajibu. Hili nalMhe. Waziri unalion

    je hili.

    Mikidadi AllyBox 28001Kisarawe.

    Ndani ya mboni yakeSiri haiitwi siri, itapozidi wawiliHata iwekwe nadhiri, lihali na dhuliWatakiwa ukiri, ili upate suliJasiri alo msiri, wakumwambia amali

    Fanani mfananize, kwa umbo na sifa zakeNia asikutatize, aanzapo sekesekeHamumu haiba ndize, maizi na uzishikeUjue usibakize, undani wa mboni yake

    Nami ninaye raki, Thabiti yake fananiAsokuwa mnaki, mwenye kuchunga hisaniTupo sote kwenye dhiki, raha na hata tabuniHababi yustahiki, jina lake Qurani

    Wa pili ni kikulacho, aliye nguoni mwanguHuyu nipo naye macho, nyendo zake na mizunguChambilecho na ucho, nakama zake ni chunguJina shetani na ndicho, chatini walinwengu

    Taswira za mboni hizi, zina hakika kamiliRaki yangu kipenzi, hakuachi bilikuliIbilisi simenzi, atakupa idhlali idhilaliShetani yake mapenzi, yatakufanya fedhuli

    Qurani ndo halili, raki wa maishaniHasanati huhamili, akhera na dunianiShufaa siku himili, ikakutoa tabuniShetani raki fuli, kiama atakuhini

    Na Nasri [email protected]: 0759202192

    UlimiUlimi nyama laini,yasika kwa lisaniZitokazo akilini, za uzembe na makiniZanena ya kirani, mabaya au ya shaniKauli ni tathmini, kupima wake undani

    Busuri zao bayani, wanojua dunianiKuna watu na shetani, tunu za hawa fananiKazisifu burhani, vitabu vya rahmaniBilikuli havidhani, kathibiti Subhani

    Ulimi wake shetani, husema kwa dalihiniKwa hii yake fanani, Mola haupi auniHupotosha buldani, kwa chambilecho pomoniBui walo wanandani, Burkata na jioni

    Ulimih una hisani, wasakama yetu diniWasemaji buharini, kunena uongo faniSemwa twavunja amani, magaidi limwenguniMepenya mahakamani, atapata haki nani?

    Ulimi hauthamini, subu tele mdomoniBanati sasa ni duni,ulimi unawahiniSwali chonyota kichwani, nikifanya tathminiMwenendo huu jamani, wazazi hamuuoni

    Ulimi wangu jamani, wosia huu ni deniUsimseme fulani, kumsengenya jiraniKiumeni na kikeni, asiya za kudhaniIthbati ndo thamani, ya kuniponya moyoni.

    Tambua ukinihini, utawekwa na dayaniSiku ya mwisho motoni, kwa dhambi za dunianiKaisome furqani, ujue wake undaniIkuponye maishani, pate ingia peponi.

    Na Nasri. I. Kione

    NO: 0759202192

    [email protected]

    Tuma barua, mashairi namaoni binafsi kwa E-mail

    ifuatayo:

    [email protected]

    tutaichapisha bilaupendeleo.

    Mhariri

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    11/16

    11AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.13-19, 201

    KWANZA kabisa sina budikumshukuru MwenyeziMungu kwa kunijaaliakuwa miongoni mwa wajawake wanaojua kusoma nakuandika licha ya kuwa siomsomi kama wanavyojiita aukuitwa wengine madaktariau vinginevyo.

    Baada ya hayo ningependan i z u n g u m z i e k i l enilichokikusudia ambachoni kuhusiana na kikundi

    cha watu wachache wenyemaslahi binafs i kutakakuwaburuza wengine ilikuwakingia kifua na kuwatoasadaka na kafara.

    Ni ukweli usiopingika naambao utabaki kuwa hivyoya kuwa ndani ya Muunganohuu wa Tanganyika naZanzibar uliofikiwa nakufanyika takribani miakahamsini sasa, ni wa nchi mbili,Tanganyika na Zanzibar.

    Lakini la kushangaza nipale linapotokea kundi nakujipachika jina wakijiitaWazenjibara na kudai waosi Wazanzibari halisi walaWatanganyika asilia jambolinalowapelekea kukosa hakizao za kimsingi kila upandewa muungano.

    Hakuna Wazenj ibarana hao wanaojiita jina hiloki-uhalisia na kisheria niWazanzibari kabisa wala hilohalihitaji mwanga kumulikwana haki wanazodai kuzikosasio kweli, kwani wanadaihaki ya kupiga kura Zanzibarhata ya Rais wa Zanzibarna kusema hawapati kwavile wao wanaishi hukuTanganyika, au kunyimwakitambulisho cha Mzanzibarimkaazi.

    N a t a k a n i s e m a h i l osio wanalolikusudia nawanaogopa kuwa wakwelikwani wale wanaotakak u w a t e k a i l i w a b e b emabango na kuwakingiakifua wanaweza kukataaukweli ukibainika dhidi yao.

    Suala la kupiga ama

    kupigiwa kura kwao ni jambowanaloliona ni kupotezawakati wao na kule kudaihawana kitambulisho chaMzanzibari mkaazi si kweliwala wasilete kisingizio chakuwa wao hawana kwa viletayari wanaitwa Wazenjibara.

    Wale wote waliokuwamstari wa mbele pale Ukumbiwa Karimjee wiki iliyopitani Wazanzibari ambaovitambulisho vilivyopoZ an zibar wan av yo n akama hawana tujiulize vipiwamepata paspoti Zanzibarwakati wanadai haki hiyowanaikosa Zanzibar na kamawamepata hapa TanzaniaBara, vipi wapate hali yakuwa wao si Watanganyika

    Na Rashid Alghafri

    Msiisaliti Zanzibar kwa maslahi binafsiasilia.

    N aru dia ku s em a n akusisitiza hakuna kundilinaloitwa Wazenjibara auWabarazenji isipokuwakuna Wazanzibari wanaoishiTanganyika na Watanganyikawanaoishi Zanzibar.

    Kuishi upande wowotewa muungano hakumpotezeimtu utaifa wake wa asili.H i v y o j i n a l a k u j i i t aWazenjibara ni ujanja tuwa kutaka kulinda maslahibinafsi chin i ya kivu li chawanyonge wenzangu na mie.Kunyimwa kitambulisho chaUzanzibari sio kwa sababu yakuishi Tanganyika kwani hatakule Zanzibar wapo watuwamenyimwa vitambulishohivyo licha ya kuwa wao niwazawa ambao hata sikumoja hawajawahi kupandameli kuja Tanganyika na waohao tuwaite nani au tuwatiekatika kundi lipi.

    Pia wanadai eti kunaW a b a r a z e n j i y a a n iWatanganyika wanaoishiZanzibar. Ni sawa wapoWatanganyika wanaoishiZanzibar, waliokwendakuhamia Zanzibar kunasheria wakiifuata wanawezakuomba kuwa Wazanzibarina wanaozaliwa Zanzibarni sawa na Wazanzibariwengine hupata haki zotekama ni kupiga au kupigiwakura na miongoni mwaot a y a r i w a m e k u w a n imawaziri na viongozi katikamajimbo ya uchaguzi.

    Mif an o s i ip o au n inadharia Mzee HassanNassor Moyo ni mmoja katiya watu wanaojinasibu nakusema wazi wazi kuwa yeyeni Mzanzibari licha ya babayake kuwa ni Mtanganyikakutoka Songea lakini yeyeni Mzanzibari mzalendo

    kindakindaki.Mzee Moyo inamuuma

    Zanzibar kwani ndio nchiyake na wala haja j i i taMbarazenji kama walivyowenzake wenye maslahibi na fs i ku li ko uz al en dowa n ch i ya Z an zibar .Nikupongeze Mzee kwa ulemsemo wa wazalendo wengi

    kuwa Zanzibar kwanzaShengesha baadae.Wanaojiita Wazenjibara

    wamewasaliti wenzao waZanzibar katika harakati zakudai Zanzibar huru kwakutanguliza maslahi yaokuliko kuangalia maslahiya walio wengi. WanadaiWazanzibari wana fursanyingi katika muunganohivyo ukivunjika watapatahasara kubwa. Hebu tujiulizeni Mzanzibari gani ambayeanataka muungano uvunjikena hata kama ukivunjikaw a l e w o t e w a n a o i s h iTanganyika kutoka mataifamengine wameungana auWazanzibari na Watanzaniakwa jumla waliopo nchi zanje kwa lengo la kuishi nakufanya kazi wapo hukokutokana na muungano?

    Nikimnukuu MheshimiwaMansour Yusuf Himida l i p o k u w a a k i h u t u b i akongamano ukumbi waSalama, hoteli ya Bwawanimara baada ya kufukuzwa naCCM kuhusiana na msimamowake wa Muungano, alisema:

    "Mwenziwe sitaki, basi".Sasa ya nini kujipachikamajina ambayo hayapo nakutaka kuwapuruza wenginekwa m as u ala ya watuwachache.

    Ndugu zangu munaojiitaWazenjibara musitumiekichaka cha Wazanzibarikutekeleza mambo yenuhebu kuweni wawazi nas io ku was em ea kwan iWazanzibari wamesema

    wenyewe bila ya kuogopakuwa tumechoka na sasa

    tuangalie upya.H i v i m n a d h a n i i l e

    dhana yenu ya dozi kamilim u k i m a a n i s h a k u w ana serikali moja na nchimoja, ndio suluhisho lamatatizo yaliopo? na vipimutambuliwe nyinyi kama

    kundi maalumu munaojitaWazenjibara na wenginekuwaita Wabarazenji?

    N a s i s i t i z a k u n aWazanzibari wanaoishiT a n z a n i a B a r a k a m aku n ah i ta j ika ku u l izwawaitwe au wafuatwe mitaaniwanamoishi na kuulizwamaoni yao, na sio kusemewan a w a f a n y a b i a s h a r aw a l i o j i b a t i z a j i n a l aWazenjibara.

    H a k u n a a n a y e p i n g ana kukataa muungano,i s i p o k u w a u w e w ah aki kam a m m o ja waWazanzibari alivyosemaukirithi nyumba mbovuunaikarabati ili iwe imarana kuendelea kuishi. Tuachemaneno ya kuwadanganyawengine kuwa nyinyi nipopo hamjulikani kama niwanyama ama ndege.

    Naona wamebeba kauliya UVCCM ya kusematutayalinda, tutayatetea,tutapigania, tutayaenzipotelea mbali. Kama nihivyo, na wengine tayariwanasema kitaeleweka. Basitusubiri huku tukizingatiakuwa Wazanzibari tayariwamesema wenyewe nahawakuweka mawakil iwanaojiita Wazenjibara.

    Rasimu ya katiba iliyopoinatoa fursa ya mtu kuwa nauraia wa nchi mbili tusubiriipite ili nyinyi munaodaikuwa ni Wazenjibara muweWatanganyika kamili na waleWazanzibari wabakie kuwaWazanzibari na sio kutoa

    takwimu za bandia kuwaongezeko la idadi ya watu

    Mkoa wa Mjini Magharini kubwa kuliko Mkoa wLindi. Hivi inaingia akilikwel i n in au l iza kamalivyouliza mmoja kati ywazalendo, makao makuya nchi kufananishwa nLindi! Ni akili kweli? Mbon

    Dar es salaam kuna idadkubwa iliyokithiri ya wathawaambiwi fursa ipManyara.

    Nyinyi walinda maslamusiwauze Wazanzibari nnchi yao kwa thamani ya dukla madira, mabanda ya kukjuisi za miwa na mashamba ymananasi Bagamoyo. Kamkweli munawaonea hurumWazan zibar i n a ku dwanafaidika na muunganili hilo litimie, basi jaribukufanya cha kuonekana kuZanzibar wafaidike na hapmuwambie hayo mutakaykama watakusikilizeni nsio kutaka kuwafanya ngana kuwapandia ili kufikmunapo hitaji kwa maslayenu binafsi.

    K u d a i w a n a s i a swanaodai mfumo mwinginwa muungano wanafanyhivyo kwa kuwa wamekohadhi ya ushindani katikmuungano ni sawa na matukwani kuna kigezo kipi chziada ambacho hawanWanao dai mfumo wa mpywa muungano sio wanasiapekee, bali ni Wazanzibawote ambao akili zao nba rab ar a na wa za le ndkindakindaki.

    Ndugu zangu munaojipna kujibatiza jina la bandna kusaliti ndugu zenu, boniwape pole na kuwambwamechelewa na wamepitwna wakati kwani Wazanzibawameamka na sasa ba

    w a m e c h o k a n a k u dwaachiwe wapumue.

    Makala

    Masheikh na vyombo vya habariInatoka Uk. 6

    msimamo wao huo katikanamna ya kitaalamu, mpakaMfalme Najash mwenyeweakawaelewa na hatimayekukubaliana nao.

    K w a h i y o ,unapowasilishwa ujumbe waUislamu, lazima zizingatiwek a n u n i z a K i i s l a m uwakati wote.Usifanyikeudanganyifu, usengenyaji,wala kumpaka mtu matope,kusiwepo kutukana aukulegeza kanuni yoyote yaKiislamu. Mbinu za kijingakama 'ends justify the means'(njia yoyote inafaa mradiuke), hazina nafasi katikakuwasilisha ujumbe waUislamu.

    Somo la pili ambalo Ja'afarbin Abi Talib ameliacha nikwamba, usipindishweujumbe wa Uislamu, wakatiunapousemea Uis lamu.Ja'afar alipoulizwa na MfalmeNajash juu ya mtazamo waUislamu kuhusu Nabii Issa(as), wala hakumung'unyamaneno. Hakujaribu kuchawala kupindisha mtazamow a U i s l a m u . A l i s e m awazi Uislamu unamuonaNabii Issa, kama Mjumbewa Mwenyezi Mungu, nasi Mungu wala mtoto waMungu.

    Sasa yasipindishwe aukuficha baadhi ya mambo

    katika Uislamu, ili kujengamtazamo ambao utafurahiwazaidi na serikali au vyombov ya h abar i . Wais lam uhawana sababu ya kuoneahaya maadili yao kwa mujibuwa maandiko ya Kiislamu,na lazima wakatae madaiya mataifa ya Magharibikwamba Uislamu ndiyosababu ya ugaidi unaotokeaduniani hivi sasa.

    Somo la tatu ni kuelewahadhira unayozungumzanayo na mazingira yaliyomo.

    Najash alikuwa MfalmeMkristo. Na mazingira yotepale ukumbini yalikuwa yaKikristo. Sasa angalia jinsiJa'afar alivyokuwa mahiri wakutumia kwa usahihi fursailiyopatikana kwa manufaaya ajenda yake!

    Alipotakiwa kusomaQur'an, katika Aya zotezilizoshuka wakati ule, Ja'afaralichagua Aya kutoka SurahMaryam inayoelezea mojaya miujiza ya Nabii Issa (as).Unajua kwanini alichaguaAya za Surah Maryam?Alijua Najash angewezakuhusisha mambo yale yeyemwenyewe. Na kweli kisomokile kilileta athari kubwakwa Mfalme Najash mpaka

    akalia. Je? angesoma SuratKafiruun katika mazingirana muktadha ule, mamboyangekuwaje pale ukumbini?

    K u e l e w a h a d h i r au n a y o z u n g u m z a n a y ona kuchagua mifano hai,a m b a y o h a d h i r a h i y oinaweza kulinganisha katikamazingira yao ni muhimusana. Tunapozugumza navijana, wanataaluma, wasomi,wanasiasa au vyombo vyahabari, ujumbe utabaki kuwaule ule, lakini mitindo na

    mbinu za lugha hubadilikakulingana na muktadha,kama alivyosisitiza mhaririwa An-nuur kwenye toleolililopita.

    Somo la nne, ambaloJa'afar bin Abi Talib, kamamsemaji wa Waislamuamefundisha, ni kutoogopakusema ukweli wa dhulma,hata akiwa katika mazingiramagumu kiasi gani.

    Wajumbe wawili waMaqurayshi walijaribu kwahila kumzuia Mfalme Najashasiwasikilize Waislamu, kwasababu waliogopa Waislamuwale wangewaumbua kwaMfalme. Lakini Ja 'afara l i p o t o a h o t u b a y a k embele ya Mfalme, alichua

    mateso yote na unyama wMaqurayshi, kwa namnhiyo, akijenga mtazamwa mahakama ile dhidi yMaqurayshi.

    Ja 'a fa r bi n Ab i Tal ibalikataa kabisa kunyamazunyama wa Maqurayshhata kama yeye na wenzakiwap o wan gere jes h wM a k k a , m a t e s o y ayangekuwa makali zaidMataifa ya Magharibi nmawakala wao katika nchzetu hizi, wanatumia kinjia kunyamazisha sauza wadhulumiwa. Matespropaganda, vitisho, vifungv ire f u j e la n a m au a j

    h u t u m i w a k u w a f u n gmidomo wale wenye ujasiwa kupaza sauti za wanyongna kukosoa unyama wwatawala.

    N i m a l i z i e t u k wkusisitiza kwamba, haukiwa katika hali ngumkiasi gani, muongozo wakawote unaweza kupatikankwenye kitabu cha MwenyeMungu na sunna za Mtumwake. Pia inapaswa kusommaisha ya Masahaba wMtume, ambao walikuwni binadamu wa makabin a m a z i n g i r a t o f a u twenye uwezo mbalimban a u dh ai f u , n a am bawameweza kunyanga haibzao kwa mujibu wa Uislam

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    12/16

    12AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 2012 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 20 - 26, 2013

    Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

    Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola zaKimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na

    Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013.Wahi kujiandikisha Sasa.

    Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipiakidogo kidogo, unaendelea.

    Simu: 0717 000 065, 0784 222 911,

    0754 304 518, 0754 498 888Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.

    MAKAMU wa Kwanzawa Rais wa Zanzibar,Maal im Seif Shari fHamad, amewasili nchiniJumatatu akitokea India

    alikokwenda kwa ajili yakufanyiwa uchunguzi waafya yake.

    Maalim Seif, aliwasilikatika uwanja wa ndegewa Kimataifa wa Zanzibarn a k u p o k e l e w a n aviongozi mbalimbali waSerikali, wakiongozwa naMkuu wa Mkoa wa MjiniMagharibi Mhe. Abdallah

    Maalim Seif arejeaNa Mwandishi Maalum

    ZbarMwinyi Khamis.

    Mapokezi hayo ambayp i a y a l i h u d h u r i wna viongozi pamojna wafuasi wa ChamCha Wananchi CUFyaliambatana na shamrshamra mbalimbali z

    burudani.

    Maalim Seif, aliondoknchini Agosti 24 mwakhuu kuelekea Indikwa ajili ya uchunguwa kawaida wa afyyake, utaratibu ambaamekuwa akiufanyikta ng u a l i po f a ny i wupasuaji wa goti miakmitatu iliyopita.

    NEW YORKSERIKALi ya Marekaniimetangaza kuwa, inapingaRais Omar Hassan al-Bashirwa Sudan kushiriki katikakikao kijacho cha BarazaKuu la Umoja wa Mataifa.

    Wizara ya Mambo ya Njeya Marekani imetangazakuwa, tayari imeshapokeaombi la viza la Rais huyo waSudan kwa ajili ya kuelekea

    MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamad

    Marekani yapinga Rais Bashir kushiriki kikao UNNew York, kushiki katikamkutano wa Baraza Kuu laUmoja wa Mataifa baadayemwezi huu.

    Taarifa ya Wizara hiyoya Marekani imebainishakwamba, Rais al-Bashiranapaswa kwenda katikaMahakama ya Kimataifa yaJinai ICC, yenye makao yakeThe Hague Uholanzi kujibutuhuma za mauaji na jinai zakivita zinazomkabili.

    Hata hivyo Wizara hiyohaijasema kama itakataakumpatia viza ya kuingiaNew York Rais huyo waSudan.

    Mwaka 2009 na 2010,Mahakama ya Kimataifa yaJinai ICC ilitoa hati ya kutiwambaroni Rais Omar al-Bashirakikabiliwa na tuhumaza kutenda jinai dhidi yabinadamu na mauaji katikajimbo la Darfur, Magharibi

    mwa Sudan.Uhusiano wa Marekan

    na Sudan umezidi kuzoroambapo wakati fulani ndegza kivita za Washingtoziliingia katika anga ya Sudana kukishambulia kiwandkimoja cha kutengenezdawa jijini Khartoum, ikidkuwa ni kiwanda chichkinatengeneza silaha zsumu.

    DIKTETA wa zamani waTunisia, Zain al Abideenbin Ali , ameteuliwak u w a m s h a u r i w amwanamfalme Bandarbin Sultan, Mkuu wa

    Shirika la Ujasusi laSaudi Arabia.Ali ambaye alikuwa

    kibaraka wa nchi zaMagharibi, alikimbilia nakupewa hifadhi nchiniSaudi Arabia, baada yaserikali yake kuangushwan a k u n g o l e w amadarakani na wananchina wanaharakati waTunisia mwaka 2011.

    Bandar bin Sultan,a na tu hu m i w a k u w aanaongoza na kuyasaidiakifedha na kwa silahamakundi ya k igaidinchini Syria. Imeelezwakuwa Bw. Ali baada ya

    Dikteta wa zamani Tunisia awa mshauri wa mwana mfalme

    SE R I KA L I i m e t a ki w akuunda Tume Maalumuk u c h u n g u z a w a k i n awa matukio ya kupigwar i s a s i na kum w a gi w atindikali viongizi wa dinina wahusika wafikishwekwenye vyombo vya sheria.

    Wito huo umetolewa naUmoja wa Wanazuoni wa

    Kiislamu nchini HAY-ATULULAMAA, ji j ini Dar esSalaam katikati ya wiki hii.

    Si mara chache, tunasikiamatukio kama haya nchinibila ya kumjua muhusikawa dhuluma hizi. SheikhSoraga, Sheha MohammedKidevu wa Zanzibar namfanyabiashara maarufuSaid Saad, wa Dar es Salaam,w o t e h a o w a m e k u w awaathirika wa tindikalina hakuna aliyekamatwakuhusika na matukio hayo,ilieleza taarifa ya wanazuonihao.

    W a n a t a a l u m a h a owam eeleza ku wa kwamustakabali huo, wanalaaniv i k a l i k i t e n d o c h akumwagiwa tindikali Padri

    wa Kanisa katoliki JimboKuu la Zanzibar, AnselmoMwang`amba.

    K a t i k a t a a r i f a y a okwa vyombo vya habari,iliyosaniwa na MwenyekitiUmoja wa Wanazuoni haoSheikh Amran Kilemile,imesema kuwa matumiziya silaha za moto, kamaalivyouliwa Padri Mushi na

    Wanazuoni wa Kiislamuwaitaka serikali kuunda Tume

    Na Mwandishi Wetu

    hivi karibuni kujeruhiwavibaya Katibu wa Jumuiyana Taasisi za KiislamuSheikh Ponda Issa Ponda, nimatukio ya hatari ambayoyanaweza kubadili suranzuri ya Tanzania.

    Taarifa hiyo imeelezakuwa vitendo kama hivyovinaashiria chuki baina yaWatanzania wenyewe kwawenyewe, vitakapoachwana kuendelea vitasababishaamani, utulivu, na busarakutoweka nchini.

    Sisi Umoja wa Wanazuoniwa Kiislamu Tanzania (Hay-atul Ulamaa) tunawasisitiziaWatanzania wenzetu kurejea

    katika utamaduni wetutuliokuwa nao karne nyingizilizopita, utamaduni wakuvumiana na kushirikianakatika kuilinda amani hapanchini ilieleza sehemu yataarifa hiyo.

    Hata hivyo wanazuonihao wamewatahadharishaV i o n g o z i w a d i n i n awengineo, kutokurupukakuelekeza tuhuma kwakikundi dhidi ya kikundivingine na kwamba, si halalitukio kama hilo kuhusishwana udini, Uzanzibar walaU tan gan yika kabla yakufanyika uchunguzi nakupata dalili sahihi zakutosheleza.

    kukimbilia nchini SaudiArabia pamoja na familiayake, aliishi kwa mudawa mwaka mmoja mjini

    Je dd ah kw en ye ka srila kifalme la Fahd bin

    Abdulaziz, mfalme wazamani wa nchi hiyo nakisha akaelekea kwenyemji wa Abha, uliokoumbali wa kilomita 450kusini mwa mji wa Jeddah.

    SHEIKH Abdallah Bawazir, mjumbe wa HAY-ATULULAMAA.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    13/16

    13AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    14/16

    14AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    15/16

    15AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20

  • 7/29/2019 ANNUUR 1091

    16/16

    16AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT.20-26, 20