05.c - Maria Kim

6
Jua signs za conflict, tatua shida mapema ili kuzuia ugomvi na vita Na warning signs ni gani? Examples za early warning ni kama: conflict mara nyingi hutokana na kutoelewana sababu ya kitu kidogo na huendelea kuwa worse isipo suluhishwa mapema WORKSHOP - Youth Time: 2.00 pm - 4.0 CHURCH NOTICE BO 18

description

Chapta 5 - Maria Kim: Fununu Kwa Neighbourhood

Transcript of 05.c - Maria Kim

Page 1: 05.c - Maria Kim

Jua signs za conflict, tatua shida mapema ili

kuzuia ugomvi na vita

Na warning signs ni

gani?

Examples za early warning

ni kama:

conflict mara nyingi hutokana na kutoelewana sababu ya kitu kidogo na huendelea kuwa worse isipo suluhishwa mapema

WORKSHOP - Youth hting Time: 2.00 pm - 4.00 pm

CHURCH NOTICE BOARD

18

Page 2: 05.c - Maria Kim

water shortage...

Ma-Politicians wakiongea kwa lugha yao

na ku-mock watu wa kabila ingine

Wamama wawili wana-bargain bei ya

mboga

Wengine wana-joke juu ya kabila

zingine kuwa ni za warogi, wezi, wazembe,

walafi…

unaleta kisirani tena? Nunua maji au uende

zako!

Mnatufungia maji kwa commu-nity ili mjitajir-ishe tukinunua

maji yenu!

Tutaweza kujilinda kama

kabila kwa kuchagua kiongozi wa kabila

yetu. Outsider hajui shida zetu!

Unapandisha bei ili

tuwasaidie kupata pesa ya ku-campaign-ia

mtu wenu!

Tunashikwa na polisi mara nyingi kwa sababu hatuna sura ya Mkenya. Kwani Mkenya ana

sura gani?19

Page 3: 05.c - Maria Kim

Ona vile rumours

hu-spread:

Roba amepewa notice ya kuhama na

landlord juu hakuwa analipa rent

Roba amepewa notice ya kuhama na landlord anayem-

chukia. Imagine si wa kabila yake!

Naskia notice imetolewa eti watu wa kabila yetu wanaham-

ishwa

Hebu nisaidie kutafuta nyumba ingine

ili nitoke kwa ma-landlords wakabila

Aaaai!hatuwezi kubali

kuhamishwa virahisi. Lazima tufanye kitu!

Jitayarisheni, tuna-demonstrate

kesho!!

20

Page 4: 05.c - Maria Kim

Ufisadi kidogo hu-grow

into ufisadi bigtime

Watu wanaoweza

afford comfort-able life hawa-bother about

mabaya yanayofan-yika kwa wakenya

wengine

Kumaliza ufisadi kunaanza

individual ku-decide hatatoa

hongo. Kuwa transparent

Wakati wananchi hawaheshimu mali ya wengine kwa

kuiiba na kuiharibu

21

Page 5: 05.c - Maria Kim

Unaweza imagine mtu akikaa kwa room inashika

moto sababu wenzake hawatoki

nje?

Hivi ndivo hate speech

huanza.

Huyu chali hakubal-iani na maoni ya wale wengine...

Ananogopa ku-express

maoni yake kwa wengine...

Mwishowe atajikuta amejiunga na

the majority na kufikiria ni sawa kuongea vibaya

juu ya wengine...

22

Page 6: 05.c - Maria Kim

Huyu chali angekuwa surprised na watu ambao wangemuunga mkono kama angekuwa brave kuongea

against hate speech

Thanks kwa kutusaidia na

hizo tips

Nice seeing you Maria.

Tuonane lunch kesho!

It’s a date J.K!

DJB, nime-learn

umuhimu wa kujua warnings za conflict ili kui-prevent mapema

Nitumieni experiences zenyu vile mna-overcome conflict

inayoweza end up to violence on 3008 ili tuelimishane

kama vijanaa!

Mara mob, wakulima huchunga parts za mimea

wanazoona na kujua very little juu ya roots na yanayo-happen huko chini. Kujua yanayofanyika ndani ya mchanga kungefanya

mkulima kuchukua the first steps za ku-control worms na diseases kwa roots. Mwishowe, wakulima wangepata

healthy plants

Jua signs za conflict ili kuzuia nomaHizi ni possible signs za conflict: I. Insecurity nchiniII. Debate juu ya opinions tofauti kati ya wananchi III. Human rights violations na wananchi kukaziwa madaraka

yao IV. Kukosana kwa viongozi wa kisiasaV. Condition ya wananchi kiuchumi na institutions zilizo kwa

society yao kama za kidini, masomoVI. Middle class kutokuwa concerned na maovu yanayo-happen

kwa wananchi wengineVII. Politicians wanaweza incite watu na ku-cause violence kwa

kutumia differences za kabila, dini, historia ya ukoloni, land distribution na natural resources

VIII. Mabadiliko over time yanaweza fanyika kama kubadilika kwa government type, kiongozi kufa, kuongezeka kwa bei za bidhaa kama chakula, fuel na umaskini. Huwezi kuwa prepared ku-zizuia zisi-happen

Ili kumaliza violence: a) Wanao-cause violence wanatakikana kushtakiwa b) Healing and reconciliation ianzishwe ili–ku-address injusticesc) Watu wote wanatakikana kuhusishwa kwa ku-detect signs za

conflict juu wana-experience life kwa njia tofauti. Local com-munity iko-supposed kuhusishwa kwa process ya reconcilia-tion, sio tu viongozi peke yao

d)Nimuhimuku-documentmamboyapeacenacooperation.Signs za kuleta amani na umoja zinatakikana kuwa identified wakati wa ku-detect early warning signs. Conflict inapo-happen hufanya watu kusahau mambo ya amani

e) Penye nia pana njia: Anzisha njia za ku-communicate. Leta maelewano kati ya wananchi na sectors tofauti kama vikundi kwacommunity,religiousinstitutionsnaNGO’s

Tumia DJB maoni yako juu ya hii storo ya kuzuia conflict mapema on 3008

Zuia Violence

23